LIVE: RC HAPI AAGIZA MENEJA WA BENKI AKAMATWE NA KUHOJIWA

Ойын-сауық

a

Пікірлер: 827

  • @justkibet1125
    @justkibet11254 жыл бұрын

    Kenya hutawahi ona wakuu wa serikali wakijituma kwa watu. Hongera viongozi wa TZ

  • @suldanyareofficial6003
    @suldanyareofficial60035 жыл бұрын

    Walai i feel crying This are the right people God bless this man and Tanzania

  • @barackabaracka7854
    @barackabaracka78545 жыл бұрын

    Kama umeangali hii video ukajikuta unalia kwa furaha gonga like hapa

  • @elizabethjames292

    @elizabethjames292

    5 жыл бұрын

    huyu mkuu wa mkoa atumikie miaka yote hadi uzeeheni nimempenda bure

  • @poureenkunambi6413

    @poureenkunambi6413

    5 жыл бұрын

    Nimefrahi yaaan daaaaaaaa

  • @dandeenndandeen3047

    @dandeenndandeen3047

    5 жыл бұрын

    Yaan wey ach tu nmelia kw furah n Hurum pia😀😁😢

  • @emyshaibu8089

    @emyshaibu8089

    5 жыл бұрын

    Hapiii mwa mwa nakupenda bure

  • @mackinabdalla8417

    @mackinabdalla8417

    5 жыл бұрын

    dogo umekwiva sasa nakufahamu toka unasoma st thomas pale gongolamboto ukonga safi sana kijana

  • @mwanaafrika_tz
    @mwanaafrika_tz5 жыл бұрын

    Magufuli Hajakosea kukuteuwa Mkuu Wa Mkoa, piga Kaz kwa Haki.

  • @najma3268
    @najma32685 жыл бұрын

    Asante muheshimiwa , haki itendeke milion moja watu wauze nyumba

  • @muhsinsalum2305

    @muhsinsalum2305

    5 жыл бұрын

    Wehu saana hao. Vipara vikubwa tu

  • @ericksebastian5159

    @ericksebastian5159

    4 жыл бұрын

    Kwel

  • @antonykashube2065
    @antonykashube20655 жыл бұрын

    Hapiiiiii. God bless you man. Thanks Hon Magufuli for Hon Hapi.

  • @deejayrula2548

    @deejayrula2548

    5 жыл бұрын

    i wish tupate viongozi watenda haki kama hawa kenya.

  • @lukanadric4491
    @lukanadric44915 жыл бұрын

    gonga like kama unaamini mwanasheria ana GPA ya 0.

  • @chayogasperi9783

    @chayogasperi9783

    4 жыл бұрын

    Mwanasheria wa hovyo kabisa .

  • @vaniaruta
    @vaniaruta4 жыл бұрын

    Magufuli with your team... keep it up ! I believe Julius Kambarage Nyerere in paradise is proud of you ! Touched I am a Rwandan.

  • @issahketon4719
    @issahketon47195 жыл бұрын

    Baba Mimi Niko Nairobi, pongezi kwa kazi nzuri. Pia huku watufaa

  • @mathayoayubu8635
    @mathayoayubu86355 жыл бұрын

    Shikamoo mkuu wa Mkoa umefanya kitu chema saana

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar31725 жыл бұрын

    Kama umemuhurumia hugo meneja wa nmb nipe like hapa

  • @user-uc8ei8kn3l

    @user-uc8ei8kn3l

    6 ай бұрын

    Mi nimemuhurumia sana

  • @kirwaisa8772
    @kirwaisa87725 жыл бұрын

    Kazi nzuri mkuu wa Mkoa.i wish Kenyans should emulate such kind of leadership

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar26194 жыл бұрын

    Nilikua nimetegeya hii sehemu ya pili hongera bro safi kwetu kenya unyanyasaji tele haswa wajane,mackini i salute u Bro Big up from saudi Arabia

  • @khamisshariff6600
    @khamisshariff66005 жыл бұрын

    muheshimiwa rais kiongozi kama huyu anatufaa nampa pokezi sana RC

  • @nurureuben6512

    @nurureuben6512

    5 жыл бұрын

    Kabisa

  • @medarddotto59

    @medarddotto59

    5 жыл бұрын

    Asante baba tenda haki mungu atakulipa

  • @johanesjofrey2105
    @johanesjofrey21055 жыл бұрын

    Hawa ndio biongozi tunao wahitaji, wachapakazi. Safi sana Ally,

  • @wendelipwera7582
    @wendelipwera75825 жыл бұрын

    Asante Kaka Ally Mkoa wangu 💪💪💪💪👌 NMB IRINGA #KAMWENE#

  • @Amani715
    @Amani7155 жыл бұрын

    Another King Solomon of our day. God may you give him more wisdom

  • @allymahmoud9951

    @allymahmoud9951

    5 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa hongera sana,tungekupata kama WW Zanzibar tungejivunia sana M,mungu akupe afya njema kwa kazi yako nzr

  • @mwamvuajumanne6090
    @mwamvuajumanne60905 жыл бұрын

    yes hii ndo nchi yangu nnliyoichagua

  • @stevek8318

    @stevek8318

    5 жыл бұрын

    Uliichagua vipi nchi hii? Labda wewe uwe umehamia tanzania basi umeichagua lakini kama wewe mzaliwa hukua na choice

  • @kietiaziz725
    @kietiaziz7254 жыл бұрын

    AAm from kenya and am very happy to see this kind of leadership

  • @user-jh7io9hd4q
    @user-jh7io9hd4q5 ай бұрын

    I like this like of leadership of TZ.ALLAH BLESS TZ LEADERS

  • @collooloo1074
    @collooloo10745 жыл бұрын

    We need some brilliant people like this in kenya

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes90875 жыл бұрын

    Eti sipaswi kuwepo eti mwana sheria huyooooo

  • @cypmkutubi3109
    @cypmkutubi31095 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu Akupe cheo zaidi ili uwatetee wanyonge na waja wake kwa ujumla

  • @boniphaceambwene7568

    @boniphaceambwene7568

    5 жыл бұрын

    inatakiwa pongez

  • @josphatmbegera1680
    @josphatmbegera16804 жыл бұрын

    I wish TZ was Kenya from this man to president they are doing a good job

  • @samwelimwinyi9267
    @samwelimwinyi92675 жыл бұрын

    Maandishi hayadanganyi! Respect u RC. HAPI

  • @saimonmwansile6101
    @saimonmwansile61015 жыл бұрын

    Big up mkuu ! Hongera pia kwa JPM kwa kumwona Huyu bwana mdogo huyu !

  • @abuuqaasim4815
    @abuuqaasim48154 жыл бұрын

    Kusema kweli Mh ALI HAPI uko vizuri sana kikazi zaidi kaka big up na wewe ni mfano wa kuigwa,kwa maana hiyo MH MAGUFULI hujakosea kabisa kumteua huyu kijana hongera sana mkuu

  • @zainabuahmed5910
    @zainabuahmed59105 жыл бұрын

    Allah akujaalie mkuu. Hizi Bank majanga,wanauza kwa ku deal na brokers na kuna list ya vibopa maarufu kwa kutengeneza deal za kuuza na kuuzia watu maalum ambao na wao huuza. Nasubiria Makonda afuate mkondo nikalitibue na mie.

  • @janesuma2193

    @janesuma2193

    5 жыл бұрын

    Zainabu Ahmed mim nilikopa finca nikajitahidi kulipa ikabaki shilling lakin na nusu eneo langu la biashara likawa limebomolewa nikawaita finca wakaona nikaenda kwa menega kumuomba wasiniongezee riba niweze lipa lile deni wanipe miez miwi uwiiiiii nilipigwa riba ambayo nilihisi kuchanganyikiwa deni la 150,000 likazaa milion moja hapohapo wakataka kuja kupiga mnada vitu vyangu wakati haviko kwenye zamana

  • @zainabuahmed5910

    @zainabuahmed5910

    5 жыл бұрын

    @@janesuma2193 Hizi taasisi zinwapigaji kibao nyuma ya Pazia Ktk Bank ambazo ni Rafiki basi Amana Bank. Ukikwama wanakupa njia na sio kukomoa. Hii kazi ya issues za Bank mkuu huyu awe mfano kwenu BOT mliolala, Raisi kawatembelea BOT ila nyie hamtaki kutembelea wananchi wakawapa majanga ya hizi taasisi za fedha,tunajua mna yenu nyuma ya pazia ila kwa Mungu hakuna kubwa

  • @missmoresa8854

    @missmoresa8854

    5 жыл бұрын

    mungu yupo jamani

  • @kingimmanuely1007

    @kingimmanuely1007

    5 жыл бұрын

    Zai Nitumie Namba Yako Nitakuchek Hawa Washenz Sana Hata Wanaofanya Valuation Hua Wakiiiba Nakueka Bei Fake Bot Wanawasave Sana

  • @cjrtz

    @cjrtz

    3 жыл бұрын

    Zey ukalitibue

  • @edithdickson3090
    @edithdickson30905 жыл бұрын

    Nikiwa namuangali Mh, Hapi Akiwa anatekeleza majukumu yake ya kuwasaidia wanyonge nahisi niko paradiso yaani, Hongera sana M/ mungu akupe maisha marefu tuendelee kunufaika na kipawa alichokujaria M/ mungu.

  • @fatmahmwinyi4061
    @fatmahmwinyi40615 жыл бұрын

    Kwa hili baba wallah hata mungu yupo pamoja na wewe na inshallah atakulindaa...watu wananenepa na kungaa kwa fedha za wenzao tena maskinii...Allah akulindee...

  • @johnmkunde873
    @johnmkunde8735 жыл бұрын

    Kama uwongozi ndio huu basi kweli nimeamini kwann mflame suleiman aliomba hekima na busara katika kuamuwa aamuzi yake

  • @zuhraali8569
    @zuhraali85695 жыл бұрын

    Am in love with mkuu wa mkoa! 😍😁🤗 congratulations to this man on how he handled this whole case!

  • @davidpaulmungai5131
    @davidpaulmungai51312 жыл бұрын

    Hongera nchi yangu Tanzania,hakika unanukia vzuri.Hongera sana! sana!! Kiongozi,Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu na yawe mema siku zote na akuinue na kukuweka mahali pa wafalme

  • @user-ft4tq4ug4c
    @user-ft4tq4ug4c3 ай бұрын

    Ongera sana Allya Ape kwa ma'mzi mazuri uliyo yafanya ivi-ndivo viongozi wanapaswa kufanya juu ya Aki ya mwananchi binadamu Acheni zuruma fanyeni uwadirifu katika kazi zenu

  • @malikamanara4076
    @malikamanara40765 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu ndio mjuzi wa malipo kwako kwautendaji wako wa kazi mzuri na utetezi wako wa hali na mali kwa wanyonge. Mungu akulipe pepo Allahumma Amiin.zaidi ya hili sijaona la kukuombea.

  • @bahatifrank4869
    @bahatifrank48695 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana, tunatamani na sehemu zingine haki itendeke hivyo

  • @waitbird6549

    @waitbird6549

    5 жыл бұрын

    BAHATI FRANK z Bof

  • @uledihassan6065

    @uledihassan6065

    5 жыл бұрын

    Ni vigumu kuongea fact mbele ya mtawala anaetafuta kiki

  • @riz00rajebo82

    @riz00rajebo82

    5 жыл бұрын

    Muheshimiwa ningekupata mm huwe mume wangu ingependeza +254

  • @nuraakram1025
    @nuraakram1025Ай бұрын

    Kazi safi watching from kenya

  • @franceslenis4512
    @franceslenis45125 жыл бұрын

    This government is the best if it would be in Europe or america the world could appreciate I wish Tanzanians and Africans become the fans to this gvnt and learn something

  • @imallya6513
    @imallya65135 жыл бұрын

    Mungu ibariki Tanzania, mungu wabariki viongoz wote na raisi magufuli...

  • @stephenkasigara7070
    @stephenkasigara70705 жыл бұрын

    Safi sana Mh.Hapi.

  • @WilliamChristopher-dq2vn
    @WilliamChristopher-dq2vn4 ай бұрын

    hongera sana mkuu wa mkoa kweli RAISI WETU anao watu wazuri mungu ambariki sana nawewe pia mkuu wamkoa ubarikiwe sana

  • @stephanomchenya6344
    @stephanomchenya63445 жыл бұрын

    Tanzania tulifikia pambaya sana asante mangufuli asante mkuu wa mkoa

  • @elizabethsimemba5146

    @elizabethsimemba5146

    5 жыл бұрын

    Stephano Mchenya 5

  • @radhiasalum7156

    @radhiasalum7156

    5 жыл бұрын

    Sana.yena ilioza tanzania

  • @ramadhanyusuph9269

    @ramadhanyusuph9269

    4 жыл бұрын

    @@hashmumwamedi296 mvbh ycnj

  • @user-fj9it6mq4u
    @user-fj9it6mq4u5 жыл бұрын

    Eeh mungu shusa viongozi wa haina hii kenya watu wanyambishwe kwelikweli

  • @kacheali4777

    @kacheali4777

    5 жыл бұрын

    Hak ya Mungu sijui n nani atakomboa wanyonge Kenya Mungu sikia kilio chetu..ndio maana sipend mambo ya mikopo heri nijenge miaka kumi..mawakili n wafanyikaz wa benk waiz kaa nn.

  • @janesuma2193

    @janesuma2193

    5 жыл бұрын

    سالم السعدي atawapa tu wakati ukifika ila ni wakati wa Africa kubadilika wananchi wanaumizwa sana karibu kwetu Tanzania ndugu yetu Jiran yetu

  • @oliviakemuto1412
    @oliviakemuto14125 жыл бұрын

    Mimi naona nikihama kenya niende kuishi Tanzania kuzuri bhana

  • @luluamri370

    @luluamri370

    5 жыл бұрын

    Karibu 🤣🤣🤣

  • @fatmahmwinyi4061

    @fatmahmwinyi4061

    5 жыл бұрын

    Sana nakuna amanii telee

  • @kajjd40
    @kajjd405 жыл бұрын

    Nakukubali sana mkuu wangu wazaman Wa kinondoni kazi kazi Ali hapi 💪👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @thobiasbolen2496
    @thobiasbolen24965 жыл бұрын

    I wish they were granted the greatness power. My God help them

  • @edwinwafula3258

    @edwinwafula3258

    Жыл бұрын

    usione wembam na wa reli gari Moshi hupita,mkuu wa mkoo mdogo kimwili lakini amekomaa kiakili,ungekuwa Kenya bwana mdogo tungepata nafuu baba,Kenya wezi ajabu.congrats men

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl4 жыл бұрын

    Asante mkuu wa mkoa unafwata nyendo za magufuli big up xana mungu awe nawe wanyooshe Hao mabwege

  • @abelasmerom4832
    @abelasmerom48322 жыл бұрын

    God bless your hard work mweshimiwa your doing a remarkable job

  • @dismasdonald745
    @dismasdonald7455 жыл бұрын

    Ilitakiwa na Mwanza tupate mkuu wa mkoa kama huyu!!! Dah! Namuelewa sana Hapi! Fantastic

  • @bernardkibet
    @bernardkibet4 жыл бұрын

    Kenya desperately needs such leaders. Hongera Jirani yetu Tanzania

  • @stephenwakuloba7086
    @stephenwakuloba70864 жыл бұрын

    Wow, what a leadership!!!

  • @zefamange7281
    @zefamange72815 жыл бұрын

    ALLY HAP WEWE NI AINA YA WAKUU WA MIKOA WANAOFIT KATIKA AWAMU YA JPM. HONGERA DOGO

  • @modestmassawe9940
    @modestmassawe99405 жыл бұрын

    Safi sana kiongoz anapaswa kuwa wa watu

  • @dennismalima5365
    @dennismalima53654 жыл бұрын

    Yunusi umeuaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣... Mwanasheria mafi ya mende shule hakuna... Hapi akili kubwa sanaa

  • @munirdatisha684
    @munirdatisha6844 жыл бұрын

    Wee noma rc m mungu akuzidishie kuwasaidia wananchi nakupenda sn na kukubali

  • @user-we3or9ol4o
    @user-we3or9ol4o5 ай бұрын

    HAAPIIIIIIIIIIII💯👍👍👍👍👍👍,MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga89585 жыл бұрын

    Hongera Magufuri Rais wangu mpendwa!

  • @kandidosamwel3030
    @kandidosamwel30305 жыл бұрын

    Mungu wape nini wakazi wa iringa RC mnayo hapo mwenye speed ya JPM yani kama JPM kimaàmuzi ya papo hapo likê hapa kama nawe umemkubali RC

  • @MohammedAli-up6cu
    @MohammedAli-up6cu4 жыл бұрын

    Kwamuda mrefu sana wanyonge wamekua wakidhulumiwa,na hawakupata wakumlilia,,,hongera mhe,RC kwakufichua uovu huu,,,naomba uzidi kufuatilia,Kuna maouvu makubwa kuliko hayo.

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын

    Hongera Muheshimiwa Kwa Kazi nzuri,Hawa ndio Wanyanyasaji,Mwanasheria hajielewi,Meneja Hajitambui.

  • @safari5774
    @safari5774 Жыл бұрын

    Napenda sana uongozi wako God bless you so much we need such leader in Kenya

  • @ahmedali1552
    @ahmedali15524 жыл бұрын

    Daaaah...uncle maguu kwenye awamu yake amechaguwa watu makinii kwelii...naomba zanzibar tupate viongozi kam hawaaa😥

  • @charlesmwango2736
    @charlesmwango27365 жыл бұрын

    Congrats mkuu wa mkoa... From 254

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed76195 жыл бұрын

    Hongera tunataka viongozi kama. Hawa wanaowajibika na haki za wanyonge

  • @Mohamedali-gr2ex
    @Mohamedali-gr2ex5 жыл бұрын

    Asante kaka umefaya zizuri Nigependa kukuja Tanzania

  • @voicejoachim1370
    @voicejoachim13705 жыл бұрын

    Nimekubali brother kuheshimiwa:)🤗🤗🤗🤗

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad37242 жыл бұрын

    nyonge mnyongeni haki yake mpeni Ali happy alifanya kazi nzuri saiv watu hawayaoni

  • @kacharimwangi537
    @kacharimwangi5373 жыл бұрын

    Big salute from 🇰🇪 Rc hapi

  • @alpheondanzi2544
    @alpheondanzi25444 жыл бұрын

    Mhe:Mkuu wa mkoa Wa iringa Ally Happy Iringa tumepata Neema Sana tunajivunia tunu yetu Karibu tena #mafingaTz

  • @biashaallyally3701
    @biashaallyally37014 жыл бұрын

    Huyu mkuu wa mkoa gani jaman mmm nimempenda sana kweli magu kafanya kazi zur sana kukuweka shikamoooo popote ulipo

  • @queenhusna204
    @queenhusna2044 жыл бұрын

    Yani nampenda uyuuu MH adi naliaa wanafanan sana utendaji wao kaz na MH JONNY POMBE MAGUFUL

  • @marymabubakar1646

    @marymabubakar1646

    4 жыл бұрын

    Magufuli,juuuuuuuuu,juu,zaidiii

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe3265 жыл бұрын

    Huyu mkuu kamzidi hata wa dar sasa kwa kazi daa nimempenda kweli kweli

  • @emelianashauri8350

    @emelianashauri8350

    5 жыл бұрын

    chris massawe dih

  • @buddycharles5045
    @buddycharles50455 жыл бұрын

    wish this was in kenya,one day we will be auctioned

  • @nancymuseve514
    @nancymuseve5144 жыл бұрын

    Tanzanian government is doing good work..well done

  • @secylovenessadaa4245
    @secylovenessadaa42455 жыл бұрын

    Hongera sana mheshimiwa ,I'm watching from Nairobi Kenya

  • @rosekazaula2557
    @rosekazaula25575 жыл бұрын

    Yaan mpaka machozi yamenitoka mnamdhulumu mjane waziwazi Mungu akupiganie Ally

  • @jamesassanga9220
    @jamesassanga92202 жыл бұрын

    Kwa kweli hii nimeupenda, I wish to be like this man in leadership

  • @irenejoseph6684
    @irenejoseph66844 жыл бұрын

    Nimekukumbali baba wewe ndo kiongozi bora maguful tunashukuru mngu kupat kiongoz bora 😍💪💪💪💪💪💪

  • @user-lo8xd8nc7w
    @user-lo8xd8nc7w5 ай бұрын

    Kwa hali hii naachaje kuipigia ccm kura 2025 mama samia hoyee❤❤❤❤

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga70622 жыл бұрын

    Hapi Iringa ubaki mpaka kustaafu kwako usiondoke wewe ni Mwanairinga mwenzetu maana unaonyesha uzalendo wa kweli kweli. Asante sana.

  • @faidamanoni2285
    @faidamanoni22855 жыл бұрын

    Mwanasheria hatakiwi kuwepo😂😂😂😂

  • @annetiadyeri5638
    @annetiadyeri56384 ай бұрын

    Makofuli Aliacha watoto mungu ababariki tunafurahi kwakazi zenu❤❤❤

  • @nahashaban5610
    @nahashaban56105 жыл бұрын

    Kweli naikubali serikali yangu Kwa kazi wanayoifanya ya kutete wanyonge na kuitimiza sheria ipasavyo.Hongera mheshimiwa

  • @maligisadotto8631
    @maligisadotto86315 жыл бұрын

    Tunakuombea Mkuu wa Mkoa, Mhe. Hapi Mungu akubariki, aendelee kukulinda ili uendelee kuijenga nchi yetu ya Tanzania.

  • @agesag.m2476
    @agesag.m24764 жыл бұрын

    Such a wonderful and a resourceful RC,,Good work brother.

  • @thomasvenance5186
    @thomasvenance51865 жыл бұрын

    Yani hao wamezingua bila chenga coz sheria ya Ardhi na 4 ya mwaka 1999 ina sema " mkopo wowote unao hitaji rehani ya rasilimali zisizo hamishika ambayo ni Nyumba au kiwanja kilicho endelezwa na pia hati miliki ya kiwanja au nyumba hiyo lazima iwe chini ya Benki husika katika mkopo " sasa huyo Jamaa akisema makochi yani hata huyo meneja wa bank naye haja elewa vyema sheria za mikopo kuhusu rasilimali

  • @joycejohn7754

    @joycejohn7754

    5 жыл бұрын

    Bank gan naweza kukopa kwa kuweka dhamana kiwanja?

  • @joycejohn7754

    @joycejohn7754

    5 жыл бұрын

    Bank gan naweza kukopa kwa kuweka dhamana kiwanja?

  • @thomasvenance5186

    @thomasvenance5186

    5 жыл бұрын

    @@joycejohn7754 kiwanja ni kile kilicho endelezwa yani kina jengo lilo simamiahwa pale au wew umeelewaje?

  • @rukundoseif6161

    @rukundoseif6161

    5 жыл бұрын

    Na ndio maan wote wapelekwa kuhojiwa ili kesi ieleweke vizuri.

  • @clemencesekabigwa5895
    @clemencesekabigwa58955 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akubaliki sana umesimamia haki hicho ndicho kinachotakiwa kazi njema bro.

  • @yelamasele5888
    @yelamasele58885 жыл бұрын

    Safi babaaa tunataka uwe rais baada ya kmaliza magufulii

  • @odarickmenard9107

    @odarickmenard9107

    5 жыл бұрын

    Yela Masele mkoa wa Songwe mkuu wa mkoa afanye ivyo ivyo haki za watu zimepotea sana na wengi wamekufa sababu za pesa izo

  • @martinamarugu44
    @martinamarugu443 ай бұрын

    Sijawahi fatilia habari zako. Nimekupenda Bure be blessed

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando52852 жыл бұрын

    Nampenda huyu DC mpk bas Mungu ampe umri mrefu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @benedictkimanzi4510
    @benedictkimanzi45104 жыл бұрын

    Tanzania is going far... If only something similar happened here in the +254

  • @jumbelbrownman1295
    @jumbelbrownman12955 жыл бұрын

    Congrats Pal commandante Ally Salum Hapi!

  • @emanueluledi5616
    @emanueluledi56164 жыл бұрын

    Viongozi kama awa ni muhimu sana ktk Tanzania yetu ahsante mkuu wa mkoa

  • @zakyahya4645
    @zakyahya46455 жыл бұрын

    Yani m2 anakopa miln5 analipa miln4 deni milin 1 nyumba inauzwa milin 7 wanachukua milin 1 ya deni inabaki milin6 wanaweka heshima bar pumbavu zao Suma ndani wote ao

  • @zawadihaji4844

    @zawadihaji4844

    5 жыл бұрын

    Dunia hii

  • @omarcpt1178
    @omarcpt11783 ай бұрын

    Mungu akujalie kwakuwasaidi wanyonge

  • @abdilahibg8794
    @abdilahibg87942 жыл бұрын

    I came across this clip in 2021 August..I can authotorively say this RC is Late Magafuli reincarnated.kumbe Tanzania hajaishiwa na magafuli?! Kudos from Kenya

  • @user-vt4je9eb5r
    @user-vt4je9eb5r5 ай бұрын

    Hongera kiongozi mafisadi Hao wako hadi kilimanjaro same tusadieni

  • @mariamabdull4134
    @mariamabdull41345 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie afyanjema mh. Ally Hapy

  • @aishaaisha2224
    @aishaaisha22245 ай бұрын

    Asante muheshima watu wanadhurumia sana yani Milion moja mtu anapiga mnada nyumba watanzania tunaumia sana

  • @dionisemyigezo9137
    @dionisemyigezo91375 жыл бұрын

    Hakika viongozi wenye uchungu na taifa wapo, Naamini macho hayanidanganyi walahi,,, Nainjoyi saaana kumtazama mkuu huyu wa mkoa.

Келесі