''NKURUNZINZA'' WA IRINGA BALAA KATAPELI NUSU YA KIJIJI, APIGIWA SIMU

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameendelea na Ziara yake Mkoani Iringa na Hapa amefika katika kijiji cha Nduli na Kuongea na Wananchi wa Kijiji hiko na kupokea na kero mbalimbali kutoka kwa wenyeji wa Kijiji hicho hapa amekutana na Nkurunzinza wa Iringa unaambiwa ametapeli nusu ya kijiji.

Пікірлер: 175

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru18224 жыл бұрын

    Nahata wewe milad ayo tunakushukru kwa kutuletea habar lazima tukufikishiye shukran zetu kwa taarifa hizi

  • @zainaramadhan7769

    @zainaramadhan7769

    4 жыл бұрын

    kwakweli miladi ayo ndio mkombozi wa w2

  • @steralyoto4236

    @steralyoto4236

    3 жыл бұрын

    @@zainaramadhan7769 "gyy

  • @rehemamalley9557

    @rehemamalley9557

    2 жыл бұрын

    Milad tunaaimini sana chanel yako...keep on trust plz

  • @Chazyassenga

    @Chazyassenga

    13 күн бұрын

    Jaman watu wa iringa nkurunzinza manake ni nin?

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын

    Muheshimiwa Mchapa Kazi Barikiwa Sana, Endelea Kutetea Wanyonge.

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru18224 жыл бұрын

    Safi sana kwahii kazi ndugu yangu mkuu wa mkoa ally hapi mungu atakulinda naataendelea kukulinda

  • @mcrootsav7712
    @mcrootsav77124 жыл бұрын

    Hii changamoto inaonekana kuota mizizi hapo ulipo...yaani mwenyenzi mungu akujaalie kibali zaidi na zaidi Mh mkuu wa mkoa...kazi uifanyao ni ngumu na nzitoo mmno

  • @bonifacepatrick6679
    @bonifacepatrick66792 жыл бұрын

    Mungu akubaliki sana maana unaupiga mwingi viongozi wenye Welidi mkubwa na baba na wewe Mungu akupiganie sana kwenye kazi yako hiy

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel73062 жыл бұрын

    Miladihayo kazi yako inakubalika kwa waandishi wa habali kwa tanzania ww ni namba 1 maana hutoi habali za uongo nikiona kitu umepost ww huwa naamini asilimia 💯

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia56724 жыл бұрын

    Ally Happy God bless you a lot unafanya vyema!!!! Zao la Magu hili nimelipenda hakika

  • @mujahidinaathumani9751
    @mujahidinaathumani97513 жыл бұрын

    Kiongozi mwadilifu atapata neema ya kivuri Cha Arshi siku hiyo ngumu isiyokuwa nakivuri, Mungu akupe maisha marefu, Nimekuamini kiongozi, heshima kubwa kwako

  • @datiabdallah6012
    @datiabdallah60124 жыл бұрын

    Napendaga kusikiliza kesi za iringa🤣

  • @hasnasaif1075

    @hasnasaif1075

    4 жыл бұрын

    Kama mm hahaaa

  • @mujahidinaathumani9751
    @mujahidinaathumani97513 жыл бұрын

    Fanya kazi yakuwatetea nakuwakomboa nakurudidua haki zawanyonge, Amini utapewa daraja na kivuli Cha Arshi siku ambayo hakitakuwa nakivuli

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa usitoke ilinga unyooshe watu .nakupenda bule baba kazi nzuri

  • @denismabubu291
    @denismabubu2914 жыл бұрын

    Hongera mkuu wa mkoa unajali watu wako h sana

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi80294 жыл бұрын

    Wewe nkirunzinza wewe, mbona hatari Sana hii , wee nkirunzinza wee Ni nomaa sanaa

  • @zephaniajosia1077
    @zephaniajosia10774 жыл бұрын

    mamaee devd mwisa kiboko ya wahehe ......alijuaa wahehe ukiwazurumu wanaenda kujinyonga😂😂😂😂😂😂

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    4 жыл бұрын

    😂😂😂 nkurunzinza

  • @pendobaharia6922

    @pendobaharia6922

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣hatujinyongi now day's

  • @zephaniajosia1077

    @zephaniajosia1077

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @nurunzisabila9
    @nurunzisabila92 ай бұрын

    Kumbe waku wa mikoa wanaweza kufanya kazi nzuli kama hizi kwa wananchi wao Mungu wa mbinguni awabariki

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji42425 ай бұрын

    magu hakupita tuu kaacha alama zake na nnchi hii inao vijana makini watenda haki nà wapiga kazi makini,mungu hawezi kumuacha magu aende tuu

  • @user-xq7bk5fq6t

    @user-xq7bk5fq6t

    5 ай бұрын

    Hapo angepatkana na Ally hapi hapo pangenoga maana wanamuoneya raisi wetu makonda na Hali hapi nawapa big up

  • @user-xq7bk5fq6t

    @user-xq7bk5fq6t

    5 ай бұрын

    Mama ssh ikikupendeza umludishe Ally kwenye Baraza la mawaziri Tena kitengo Cha aridhi

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi80294 жыл бұрын

    Wa Kwanza , hongera Sana kwa taarifa

  • @hamidahamida1473

    @hamidahamida1473

    4 жыл бұрын

    Atapatataaabu

  • @neemampiluka9267
    @neemampiluka92673 жыл бұрын

    Safi mkuu wakoa wairinga nakupenda unajiamini Sana inapendeza sana

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid24884 жыл бұрын

    Wallahi ata sichokagi kutazama izi habari maana kuna kuchekesha babu koti lake jamaa anataka akapigie deki jamaa anazarau kinyama

  • @ezekielevarest9215

    @ezekielevarest9215

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn85484 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa uko vizur Sana

  • @georgiaruhinda1704
    @georgiaruhinda17042 жыл бұрын

    Namshukulu Mungu wa Ally Happy akulinde akutunze tunakuhitaji ktk ngazi ya juu zaidi

  • @ndinagweandendekisye3722
    @ndinagweandendekisye37224 жыл бұрын

    Huyo David nahisi ni mchawi sio bure! Ubabe gani huo?

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi64342 ай бұрын

    Nakukubali muheshimiwa kwangu mm nakuita mwamba ALLY HAPI

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti67344 жыл бұрын

    Huyo kwisa ni mchawiii,matapeli ŵengi huwa wachawi.anawarubuni watu kwa njia ya nguvu za giza

  • @Boaz22
    @Boaz224 жыл бұрын

    Huyu David mwisa ni corona kabisa🤣🤣😂😂

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    4 жыл бұрын

    kabinywa pumbu mpaka kawalipa

  • @esterelias8189

    @esterelias8189

    4 жыл бұрын

    Haha haha haha haha

  • @safari5774
    @safari5774 Жыл бұрын

    Mungu amusaidie uendelee na kazi nzuri

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda45744 жыл бұрын

    Mkuu Wa mkoa mchapa kazi nakukubali sana bwana hapy hapo tatizo ni police rushwa nyingi

  • @nuratkalinga581

    @nuratkalinga581

    4 жыл бұрын

    Mwizi huyo shenzi taipu likatwe

  • @alumonkisinda4574

    @alumonkisinda4574

    4 жыл бұрын

    @@nuratkalinga581 taifisha Mali zake zote wape wanaodai

  • @mcrootsav7712
    @mcrootsav77124 жыл бұрын

    Vile nakuombea mwenyenzi mungu azidi kukujaalia afya njema na kukubalika zaidi na zaidi mbele ya wananchi wako.na wengine pia....huwa sitamani kupishana na hizi video za kazi zako...unaibua sana changamoto za wananchi wa jimbo lako.

  • @rajabmshengeli1624
    @rajabmshengeli16244 жыл бұрын

    Part 2 plzzz tumsikie na David Mwisa

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    4 жыл бұрын

    Haswaa

  • @veronicamchilo8552
    @veronicamchilo85524 жыл бұрын

    Nkurunzinza mungu anakuona 😂😂

  • @mangegervas9651
    @mangegervas96514 жыл бұрын

    Gud saana

  • @jacklinejosam3713
    @jacklinejosam37139 ай бұрын

    Ningekuwa iringa, ningejikuta nmdai namimi😂😂😂

  • @shukrimohamed2324
    @shukrimohamed23244 жыл бұрын

    Mkurunziza n jipu akiii... High 5 milard ayo...

  • @justinemahondo9396
    @justinemahondo93964 жыл бұрын

    Asante. Mkuu

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu3 ай бұрын

    kuna wasio juwa hata kusoma mambo ya polisi wanaogopa maana hawajui hata kusema lolote wanaona tu bora wanyamaze lakini wanaugulia maumivu ya kunyanyaswa na hao watu wabaya wasio kuwa hata na hofu ya MUNGU " nawapenda sana viongozi wanao jitambua wasiokuwa na tamaa

  • @microssadamu7556
    @microssadamu75564 жыл бұрын

    Naona kama movie yani!! Hivi haya mambo bado yapo Tanzania??

  • @hamzabagilente2118
    @hamzabagilente21182 жыл бұрын

    Ali hapi mtetezi wa wanyonge mungu akujalie Kila laheli

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan9024 жыл бұрын

    Duh! Jamaa ana dharau anaomba koti apigie deki

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti67344 жыл бұрын

    Mheshimiwa Ally Happy tunakuombea Mungu akupe ulinzi wake

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Жыл бұрын

    Ndugu Ally kwakweli uko vizuri Sana Kama wakuu wote wa mikoa wangefanya kazi kama wewe duh! Tanzania ungekuwa mbali

  • @mohamedschaeublin7374
    @mohamedschaeublin73742 жыл бұрын

    Ndugu Muheshimiwa Mungu atakuepusha na Mitihani ya Dunia na Wenye dhuluma kwa watu Duni kiuwezo, watokee viongozi mfano wako kwa kila Mkoa na Idara kutakua na maendeleo Bora yakijamii, nakila kiongozi na mlanguzi atachunga maisha, Ahsante Ndugu Ally Wewe unaenda na mamlaka ya Mola Kisheria na Dini zinavyo ruhusu 😍🙏🙏🙏

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando52852 жыл бұрын

    Hao police wanajuana na Nkurunzinza🏃🏃🏃🏃🏃

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi27334 жыл бұрын

    Daudi Mwisa. ..huyu anaonyesha anatisha kama corona huko Iringa. .mjukuu wa mkwawa nini au anatokea familia za chief ? Mbona hivi huyu jamaa haogopi kifungo

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan9024 жыл бұрын

    Wahehe, watani zangu mnakwama wapi?

  • @issabakari1916
    @issabakari19164 жыл бұрын

    Hahahaha hata deki lako naomba nipigie deki, nimelipenda naomba nipigie deki, hahahahahaha dah hakiamungu wallah tuhurumie waja wako inshaallah

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn85484 жыл бұрын

    Tunataka viongozi Kama hawa

  • @kevinkimaninaphtal1498
    @kevinkimaninaphtal14982 жыл бұрын

    Akika alikuwa rais wa marais mungu akailaze roho yake mahali pema peponi

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga14 сағат бұрын

    Haya sasa munajiita haki za binadam. Hapo mko wapi? Unajua ninyi haki za binadam.mimi siwaelewi.wananchi wanaonewa wananyang'anywa mali zao mko kimya. Halafu anatokea kiongozi mtenda haki. Mnajitokeza na pale anapo tumbuliwa kiongozi mwunezi kwa wananchi. Mnajitokeza na kusema tunalaani kitendo hiki. Aise mimi mlaaniwe wenyewe. Haki za binadam gani watu wanstekwa. Wanapotea. Hatusikii tamko lolote mkitoa. Kama mnalipwa mishahara kiukweli mnakula pesa zawananchi bule. Ningemuomba raisi afute tu kitengo hiki

  • @reginaosward6170
    @reginaosward61703 жыл бұрын

    Mungu akubariki kiongozi,viongozi mnaona shida za wananchi msipoenda mtajuaje shida zao

  • @nyamangaking6608
    @nyamangaking66083 жыл бұрын

    Huyu mkuu wa mkoa ni jembe,kweli JPM ameacha muongozo sahihi,watu waliona JPM alivyopendwa na wananchi kwa kazi yake njema.baadhi wanapita mle mle kwenye njia ya JPM

  • @angeljasson4376
    @angeljasson43764 жыл бұрын

    Mkuu Mungu akupe afya njema na maisha marefu

  • @gracemima5234
    @gracemima52344 жыл бұрын

    Zamani watu kama hawa walikuwa ni wengi.

  • @sasatv1484
    @sasatv14844 жыл бұрын

    Sijui namimi namdai nkurunziza? Ngoja nikumbuke

  • @hasnasaif1075

    @hasnasaif1075

    4 жыл бұрын

    Hahaaaaa kumbuka happy bado yupo

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92184 жыл бұрын

    camera iko vzr sana milardayo.salout.

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    4 жыл бұрын

    I Know right 👌👍👍

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Жыл бұрын

    Nampenda mkuu wa mkoa mimi jamani .anafanya kazi kwa weledi kabisa

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu3 ай бұрын

    MUNGU mkubwa " viongozi kama huyu ndio wanahitajika " nchi yenye furaha inajengwa na hawa " nawapongeza na kuwashauri wasiogope kufa watupambanie hadi tone la mwisho la damu kuwatetea wanyonge "

  • @sharoombay8997
    @sharoombay89974 жыл бұрын

    Anyanganywe kwanza bunduki.

  • @tindokamuti8142
    @tindokamuti81424 жыл бұрын

    koti nikapigie deki hahaha kiburi cha hali ya juu

  • @andrewlugome6514
    @andrewlugome65144 жыл бұрын

    Mkuu tunaomba wapo wengi waliotapeliwa wakifika wasikilize walikata taama anatishia anasilsha

  • @ConfusedBirdNest-np2vn
    @ConfusedBirdNest-np2vn5 ай бұрын

    ALLY HP CHAPAKAZI BABA

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane23644 жыл бұрын

    Wallah nme cheka sana koti lako amelipenda apigie deki

  • @user-pe8hj3ze4y
    @user-pe8hj3ze4y5 ай бұрын

    Huyu mkuu wa mkoa nakubar sana anachapakazi isee

  • @paulomartini7611
    @paulomartini76114 жыл бұрын

    Kazi ipo kweli hapo cyo mchezo

  • @francismakuno8643
    @francismakuno86433 ай бұрын

    Nkuruziza mgemtenda anachotenda ngombe zenu kumchinja😂😂

  • @andrewlugome6514
    @andrewlugome65144 жыл бұрын

    Mkuu Wa mkoa nakupa up kwa kufanyakazi macho yetu yako kwako

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel73 жыл бұрын

    Jamani

  • @frankdeogratius881
    @frankdeogratius8814 жыл бұрын

    Huyu mwisa🙌🙌🙌🙌🙌

  • @hamadiathumani5018
    @hamadiathumani50184 жыл бұрын

    Jamani watu zaidi ya mia moja kijijini apo uyo david ni nini.????

  • @davidwambura5915
    @davidwambura59154 жыл бұрын

    Huyo jamaa anachafua Jina la David mbona akina DAVID hatupo hivo.

  • @cristerfelly933

    @cristerfelly933

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaa pole akina David otee

  • @asteriambwei3349

    @asteriambwei3349

    3 жыл бұрын

    Huyo Devi ni mtu wa Aina gani mpotezeni piga Shaba aondoke kwenye uso dunia atawasumbua Sana wananchi Kwanza ni mchawi huyo huyo mbabe wenu

  • @leahavyarimana3731
    @leahavyarimana37314 жыл бұрын

    Kwahio rais wa burundi nkurunzinza ndo mbaze

  • @reemangoko2550
    @reemangoko25504 жыл бұрын

    Hee jamani David kashindikana hataree ni mchawi huyooooo

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 Жыл бұрын

    Anayemuita mwenzie mapengo nayeye ana mapengo🤣🤣🤣kweli watu wenye kasoro ndo huwa mstari wa mbele kupigia kelele kasoro za wenzie

  • @domimasawe8674
    @domimasawe8674 Жыл бұрын

    Ndugu mkuu wa mkoa kagombee urausi kura yangu chukua wewe na magufuli ni kitu kimaja

  • @domimasawe8674

    @domimasawe8674

    Жыл бұрын

    💯

  • @gracemima5234
    @gracemima52344 жыл бұрын

    Korona ikiingia Tanzania tumekwisha. Watu wanajichokonowa mapuwa. Pengine mikutano isimamishwe mpaka Huu ugonjwa upite.

  • @yolakahmathews6913
    @yolakahmathews69134 жыл бұрын

    3:06 Acha kuchokonoa pua wewe Coronavirus ishatua bongo!

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory71165 ай бұрын

    Huyo jamaaa Duuu ni hatali saana.

  • @malayikanepo788
    @malayikanepo7883 жыл бұрын

    Nkurunziza wa Burundi kkkkkkk

  • @dianakakala3779
    @dianakakala3779 Жыл бұрын

    Barikiwa baba

  • @deshuaniton698
    @deshuaniton6984 жыл бұрын

    Mutende aki asisumbuwe watu wakose laa kwasabu yako jaman asitese wtu

  • @rajabumgogwe5312
    @rajabumgogwe53123 жыл бұрын

    Umesha pewa chako

  • @mussaboazi7782
    @mussaboazi7782 Жыл бұрын

    mird nakubar sana bg

  • @lukaseliasobwolo7498
    @lukaseliasobwolo74983 жыл бұрын

    Duuu kiongozi wasaidie hao wanyonge

  • @naamohamed9964
    @naamohamed99644 жыл бұрын

    Watu hawaogopi dhambi ya dhulma

  • @azizaz1628
    @azizaz16284 жыл бұрын

    We baba umechanganyikiwa maana ya nkurunziza ni ubabe! 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔

  • @happyalex2904
    @happyalex29044 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa hy aje agombee urais

  • @hamismponzi5320

    @hamismponzi5320

    2 жыл бұрын

    Mkuu pambana nakuandaliakukuchukuria fom2025uwnyoshemataperi

  • @winfridmsindo984
    @winfridmsindo9844 жыл бұрын

    Huyo devi ni tatizo kubwa sn

  • @esterelias8189
    @esterelias81894 жыл бұрын

    Mapengo...

  • @jacklinejosam3713
    @jacklinejosam37139 ай бұрын

    Jamani huyu mkuu wamkoa tumtoe copy asambazwe mikoa yote.

  • @jeofreyshega7139
    @jeofreyshega71392 жыл бұрын

    Mgu akujarie mheshimiwa

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92184 жыл бұрын

    piga uyoooo

  • @woteonlinetv644
    @woteonlinetv6444 жыл бұрын

    njaa tup yani

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Жыл бұрын

    Hivi mama anawaza nini kuhusu huyu jamaa? Yan anaweza kazi yake mnoo

  • @frankjeremia7435
    @frankjeremia74352 жыл бұрын

    wakuuu wamikoa kama huyu anafaa atakupewa ungoz mkubwa zaid jamn wanatetea watu masikini

  • @paulondiek1345
    @paulondiek13454 жыл бұрын

    This is really atrue leader.

  • @hamisimkumba10
    @hamisimkumba104 жыл бұрын

    Pwani akuna kitu

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy18123 ай бұрын

    😂😂😂😂Nimechek sana apo ku koti😂😂

  • @gedionmwenga6180
    @gedionmwenga6180 Жыл бұрын

    Huyu mkuu wa mkoa anafaa kuwa Rais wa Tanzania kabisa

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Жыл бұрын

    Huyo devi jamani

  • @user-vh3yh2ec8r
    @user-vh3yh2ec8r9 ай бұрын

    Kwasababu anatembea na silaa

  • @erickmatius6703
    @erickmatius67034 жыл бұрын

    David Mwisa

Келесі