ALIYEPEWA SHAMBA NA MAGUFULI ADAI KUDHULUMIWA NA MKOA, MKUU WA MKOA AWAKA "ACHAKUMDANGANYA MWENEZI"
Жүктеу.....
Пікірлер: 491
@daudbulba91536 ай бұрын
Naposikia haya namkumbuka hayati magufuli aliko mungu amuraze pema makonda big up sana magufuli wa pili anakuja
@khadjamhozya
2 ай бұрын
anakuja arakini😭😭😭 arakini uhhhmmmmmm😭😭😭😭😭
@killingmleke18106 ай бұрын
Makonda mungu akuweke sana mimi nakuahidi mungu atakusimamia na endelea ktk hilo
@nurumwenkale72786 ай бұрын
Hamna mkuu wa mkoa hapo huyo mama yupo upande wa wawekezaji si aseme tu na Hana mpango wa kusaidia wananch
@leonardkinanda32846 ай бұрын
Muheshimiwa Makonda! Nakufurahia sana! Bado namuomba Mungu akulinde na macho ya husda
@user-ee5ph1tm9n6 ай бұрын
Fanya kazi baba makonda uko Safi unaweza ukawa kiongozi bora sana brother
@elinipendokarisha95706 ай бұрын
Mh. Makonda ni chuma cha pua....he is a man of the peple
@mrsab3036 ай бұрын
Makonda you reminded me Magufuli good job ❤❤❤❤
@selemanimchana3598
5 ай бұрын
He fight for the next election 2025, haya maisha bhana Mimi nimechill tu
@lilianeerica3318
5 ай бұрын
@@selemanimchana3598Akichaguliwa na akafanya hivi ndipo tutajua kwamba ni mzuri ama mbaya
@alexandersangi17246 ай бұрын
Mm nazani makonda baada ya mama ufate wewe kuwa Raisi.
@ashangonyani79896 ай бұрын
Mama Asante sana, Mungu akupe umri mrefu Kwa kumrejesha Makonda. Msamehe na kumkumbuka Tena katika ufalme wako, ALI HAPI na SABAYA. 🙏🙏
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Walipoona Magufuli amekufa amemdhulumu huyo Mkuu wa Mkoa
@Obasaniyo
6 ай бұрын
Mkuu wa mkoa hovyo kabisa. Anajifanya anahasira.
@user-mx8tp2li8e6 ай бұрын
Ama kweli makonda nimekukubali upo vizuri kaka piga kazi
@emmanuelkyandochali9906 ай бұрын
Eti muogope mungu yaan limekaa Limama linawatetea wawekezaji linaumiza wananchi wake sa sijui linawaongoza wawekezaji au wananchi
@JophasJohn-oh8zu
5 ай бұрын
Si kapewa hela mbwa huyu mama
@user-eu6ql9zl7n
2 ай бұрын
Ana mgao wake Kwa wawekezaji
@asajileraphael19516 ай бұрын
Bado Kuna Mt anaitwa ALLY HAPPY apewe nafasi mchapa Kaz kweli naye, wakiunganishwa na huyu mwamba itakuwa
@josephineokama2200
6 ай бұрын
kwel kabisa yaani ni watu ninaowatamani jumlisha sabaya nchi ingekua mwake
@hopehealthcs3294
5 ай бұрын
Wow true
@aishaabrahaman9957
5 ай бұрын
Yulee yupo busy na ukulima abaki tuuuh uko uko
@user-zr1mk3xd2x
5 ай бұрын
Anhaa! Kaka umemsahau LENGAI OLE SABAYA! Na yeye arudi serikalini
@abdulmelele7322
5 ай бұрын
Ally Hapi mwamba namkubali sana mrangi yule ni kichwa kwel kwel
@grayjordan39006 ай бұрын
Kwa nini wanateuliwa watu hovyo namna hii nivigezo gani wanatumia kuteua watu wa hovyo, mkuu wa mkoa anadiriki kutishia wanainchi kweli
@boniphacewambura1427
6 ай бұрын
Ndio maana mm huwa huwa sipend hizi nafasi za kutwuliwa maa hawana hofu na wananchi wao huwa wanahofu na aliyewateuwa
@mms91585 ай бұрын
Mr makonda Alla akupe umuri uendelee hivohibo kuwasaidia wananchi ❤
@user-sq5mb2gd6x6 ай бұрын
Wewe mwanamke huna haya hata kuzungumza uongo humuogopi mungu.
@AbdulmalikFedrick-ct7nb6 ай бұрын
Mueshimiwa makonda Alha akulinde Na Kila adui CCM oyeeee
@user-br7sf6ey9t6 ай бұрын
Mkuu mkuu shikamoo uzidi kubarikiwa aseee kwanzia leo nimeamini mungu nimkubwa sana ivi ayayote unayaoteshwa mkuu????? Maana unaoji mpaka mtu anajikuta ametubu zambi bilakujuwa aseee
@lucyjeremia13816 ай бұрын
Ni huzuni Sana Tanzania yangu 😢😢😢😢😢kila kona ni kilio dhuruma imetawala
@nishaabdula5015
5 ай бұрын
Yn ni haibu nchi ya hamani tunajulikana dunia nzima lkn ndan ya mchi akuna hamani imejaa zuruma tupu
@user-kp3ii4et3v6 ай бұрын
Nawapata vizuri nikiwa dar. Tanzania
@Muuzambuzi6 ай бұрын
Makonda oeeeeeee big up sana.
@salimalaquimane30776 ай бұрын
Kwan sheria ai ruhusu wwe kua rais toka alivyo kufa JPM ckuwah kua na matumain 🎉
@johnbernad39906 ай бұрын
Wizala ya ardhi inashida sana yaani imejaa zurma sana nyambafu sana hawa
@thieryniyonkuru50236 ай бұрын
Da mama Mkuu wa mkao huyo, hajui mkono wake wa kulia wala wa kushoto.🙆😂🤷♂️
@ilynpayne74916 ай бұрын
Kusema kweli watendaji wa serikali huwa hawana msaada kwa wananchi😢
@user-uo8xw9kr4b
6 ай бұрын
Tena wanadharau ukiwa maskin wanahis huna haki hat yakuishi ni majinga sana.
Maghufuli left a great legacy, he set the pace and I'm glad seeing this going on after his death. Initially I thought it was during the lifetime of president Maghufuli but seeing the poster of Mama Samia behind assured me that she's truly followed the footsteps of her predecessor. But please I wish Mama Samia too went round to directly listen to her people's problems like Maghufuli did. Thank you Tanzania and Tanzanians for your uzalendo and being true to your country. God bless Tanzania
@user-nv4li8of1s6 ай бұрын
Hii nchi watu wanaonewa wengi asa Kwan viongoz wengine wanalala tu
@laylayl51666 ай бұрын
Dunia simama nishuke wanawake muogopeni mungu nyie
@emanuelgella82016 ай бұрын
Kunayo muda viongozi wanao wateuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wanapsswa kijitathmini sana, hivi kwa jins mkuu wa mkoa alivyo anza kuongea kwa jazba na kwa mkwara utafikiri ni kweli jamaa hana haki, kumbe ni kujihami,, waweke watu sahihi jamani kwenye hizi nafasi za uamuzi
@daudisaimon74666 ай бұрын
Huwezi miliki leseni bila kulipa watu fidia za maeneo husika
@lucaschipanga44666 ай бұрын
Makonda kaka ukovizuri mungu tuuu akuride honja zingine mariza hapo hapo tuone mfano
@HamadiMgaluka-ld7hv6 ай бұрын
tunataka viongozi kama mh makonda. mama kamaitawapendeza mpeni kitengo Ally Happy nae ni mzuri kwenye kazi
@ashangonyani79896 ай бұрын
ALI HAPI! ALI HAPI! ALI HAPI! Mama mkumbuke huyu kijana mzalendo na jasiri kama Makonda.
@denisyohana8104
5 ай бұрын
nimemmic sana ALI HAPI ,asant MAKONDA
@MtegekiKaijage6 ай бұрын
Kwani shinyanga si kuna uchawi wanasubili nini kuroga hawa watu kuanzia muwekezaji, mkuu wa mkoa na afsa/kamishna wa ardhi
@denismnubi7001
6 ай бұрын
Nimepda hiii
@Obasaniyo
6 ай бұрын
Hahahahahaha😅😅😅
@chomasongidion6047
5 ай бұрын
Mefari tayari huyo mwwkezaji
@rivadodeniss1960
2 ай бұрын
😂😂😂
@laylayl51666 ай бұрын
Huyo mama mmmmhhh
@isaacmambwe65476 ай бұрын
Tanzania yangu shikamooooooo
@rosesilio9008Ай бұрын
Da ila hii nchi ni ngumu watu wanaonewa wanadhulumiwa hatari
@costantinochibago97686 ай бұрын
Tungepata watumishi japo 10 kama mh.p makonda kwenye taifa letu tungeishi kama wafalume Mungu akulinde sana maana hhhh
@SAIDSAID-zb8xr6 ай бұрын
Hawa viongozi wanateuliwa kwa vigezo gani Yani mkuu wa mkoa mzima anakuja na hoja hazieleweki hii nchi ngumu Sana
@Obasaniyo
6 ай бұрын
Mimi kanishangaza. Huyo hawezi kuwa mtetezi wa wanyonge
@martinisadru98996 ай бұрын
Huyo mkuu wa mkoa anaonekani ni m'babe sana, atakua mkorofi sana, anaweza kumpiga makofi huyo jamaa, baada ya mwenezi kutoka hapo.
@mot.tvmsamvu6770
6 ай бұрын
hawa ndoo waaribifu ktk nchi hii hawajuo chochote kile
@user-go6xm3ef1o
5 ай бұрын
Angefukuzwa kaz akajifunze upendo na nidhamu Hawa awajawakiliwa na jua la maisha
Huyo mkuu anatumia jaziba hata mbele yako makonda je akuwa nawanyonge tu si kesi
@EmmanuelMwanza-ef9bf6 ай бұрын
Yani huyo mama anaongea kama vile anachambana na wanawake wenzake kwenye vikoba
@user-zi1gp6dc2q6 ай бұрын
Ilo limama linafika lishakula pesa limalaya likubwa ilo sura kama bundi
@evaristmbuya62206 ай бұрын
Ofisi za Umma zimejaa wala Rushwa na matapeli
@hamishassan67846 ай бұрын
ki ukweli nakiona kile kilichomfanya Mzee Magufulina hata sasa Mama Samia kukuteua Jamani Weye unaweza Mungu akuweke kiongozi wetu maaana sio kwa busara hizo ulizonazo
@issaabdallah76606 ай бұрын
Hawa watendaji mda mwingine huwa wanaichonganisha serikali na wananchi
Waandishi na wanahabar peleken hisia zetu kwa mama Samia kwamba Tunampenda sana Makonda tena apewe ulinzi mkal
@giftmusa65436 ай бұрын
Mie karatasi ya serikali sishiki wala sisomi sasa,mkuu wa wilaya ndio ataisoma😅
@neema-ee6qm
5 ай бұрын
😂😂😂😂s
@giftmusa6543
5 ай бұрын
@@neema-ee6qm hatari
@mihayokakwimba95246 ай бұрын
watu wa bara kwa uongozi wapo vzr❤
@bazarakimayenga3572
2 ай бұрын
Ni majembe
@mrrockboy95086 ай бұрын
Makonda baada ya mitano tena ya mama. Aki Mungu iposiku utaiyongoza ii nchi japo silaisi kazaa
@mariammalendeja370
6 ай бұрын
mitano ya nini tena tumpe makonda tu
@SaidHassan-wz1px6 ай бұрын
MAKONDA ANAFAA KUA WAZIRI MKUU
@user-wi8og3sv4j6 ай бұрын
Kuweka matumbo hofisini tu na kutumbua tu pesa ndowanaotia serekalihasarana wananchi
@adieldennis13165 ай бұрын
This man Makonda seem to be a good person,he speak well ,he communicate with common mwananchi with a lot of humility,To my opinion he has great future,but on the other hand am wondering how come there's rumours that he was involved on assassination attempt of Tundu Lisu.?
@Gamba816 ай бұрын
Huyu bwana kamuita raisi samiya wala siyo mama samia kimu mkazi atasaidiwa kweli
@aishaabrahaman9957
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@mwanaidimussa
5 ай бұрын
😂😂😂
@user-wi8og3sv4j6 ай бұрын
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta w
@nadiatanzania2 ай бұрын
I miss you daddy magufuli but nimefarijika kumona mwanao makonda amefuata nyayo zako😢
@user-zi1gp6dc2q6 ай бұрын
Jaman viongoz wa ccm mbn mna matatizo namnaiharibu ccm iv wachawi nyinyi bora makonda umeanza kazi yamungu
@doricecyprian72465 ай бұрын
Yani mwekezaji na hekari mia sita zote 600 na wananchi wanangaika😂😂
@user-wi8og3sv4j6 ай бұрын
Mnapokeza uongo tu watu mlioaminiwa na serika na wananchi
@user-oq3dd5xj9m5 ай бұрын
People fighting for the land. Land is listening to them whilst takes all the weight of human being when they walk and stand on it. BUT, when Land hit back and swallow human being, everyone is crying and forgot what they have done to the land before.
Ccm itang'olewa madarakani na wateuliwa wake yani ccm inateua wawakilishi wenye nia ovu na chama sasa mfano huyo mkuu wa mkoa na huyo kamishina hawajawahi kufika kwenye eneo na wala hawalijui harafu wanakomaa kumtetea muwekezaji kwa maana hiyo tayari walishapewa hongo
@jamesmgimba74036 ай бұрын
Muwekezaji anamikikishwaje eneo la mtu bila fidia kwa mwenye eneo?
@user-wi8og3sv4j6 ай бұрын
Kwanini akae ofisini tu?
@banguha6 ай бұрын
Uyu mama na miwani yake kama fundi maget ameanza kwa mbwembwe za umuogopi Mungu utadhan yeye anamuogopa muone gaun lake kama mwanafunz wa chekechea
@johnbernad3990
6 ай бұрын
Sikutemea kucheka usiku huu wa manane 😂😂😂😂
@emmanuelmayunga1518
6 ай бұрын
😂😂 na hilo tumbo Lake sasa
@fatumamilimo7336
6 ай бұрын
😂😂😂😂niacheee
@martinisadru9899
6 ай бұрын
@emmanuelmayunga1518 usimseme vibaya Kwa uumbwaji, maana hakuomba, Bali mseme Kwa mabaya aliyonayo kutoka moyoni mwake.
@seifkulwa3346
6 ай бұрын
Huyu mama hamna kitu!
@fidelismwakanyamale67876 ай бұрын
Shinyanga ni shida huyu mkuu wa mkoa ni tabu tupu
@mihayokakwimba95246 ай бұрын
raisi 2025 huyu anatufaa
@AmosJuma-wp2pe5 ай бұрын
Makonda bona kama unataka nikupe kula nyingi naomba ugombe chochotee
@JophasJohn-oh8zu
5 ай бұрын
Huyu mwamba akigombea kiti cha urais Asubuh na mapema yaani anashinda na hana mpinzani kabisa
@juchaonline40846 ай бұрын
Mi ningependa inch iongozwe na Wasukuma 😂😂
@barakamachard1944
6 ай бұрын
Wasukuma wako vizuri
@Anna-jl2ie
6 ай бұрын
asaante makonda
@makulanangale7186
6 ай бұрын
Wasukuma wengi roho safi
@ngusamalegi4577
6 ай бұрын
Haswaaaa😅😅
@dorcaskidoti249
5 ай бұрын
Yaani Nawapenda sana Wasukuma hawapend ubabaifu
@esthermwikali54032 ай бұрын
Mimi ni mkenya Rakini makonde achopanya ana mwenzake mungu akulinde na akupatie maisha marefu
@ErickPaziaАй бұрын
Wewe ni kiongozi mzuri usiogope jitie moyo mkuu na mungu atakuwezesha❤
@billgussy60996 ай бұрын
dhuluma zime jaa sana hii nchi
@user-wi8og3sv4j6 ай бұрын
Kwani kati ya raisi na mwekezaji nani mwenye amri kwenye ardhi?
@shijamakoye65446 ай бұрын
Daaah yani jamaa wanatatua mgogoro bila kufika field aiseee hii ajabu sana
@user-jz7td8kb6n6 ай бұрын
Makonda akijakugombea urais 2030 atapita
@gibsonjosephat6352
6 ай бұрын
Ukionesha kiherehere cha uongozi hutoboi. Wanapita wengine.
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
User anapita bila kupinga
@aaa64sa13
6 ай бұрын
Kabisaaaaa🎉
@raymondkaria1451Ай бұрын
Huku ndiko kurudishiwa vilivyoliwa na madumadu na tunutu na parare Bwana Yesu asifiwe Katibu mwenezi,, Mungu akulinde
@user-wg2gd2nl6c
Ай бұрын
Amina
@chomasongidion60475 ай бұрын
Mkuu wa mkoa aondoke hana mahusiyano mazuri na watu,tazama qnavyozomewa
@user-wi8og3sv4j6 ай бұрын
Mwenezi sikupendi lakini leo maswali yako kwa hao wahuni nimeayakubali had unanishawishi nianze kukuba sera zako
@SayyidAhmadBaalawy5 ай бұрын
Huyo Mama Muongo Hasemi Ukweli! Mweke Sawa
@issakwisamwasanjobe5416 ай бұрын
Rc WA aina hiyo ajitathimini au chama kimtathimini
@ROSEENOCK-l3j19 күн бұрын
Nakupenda sana baba Mungu akutunze na akukinge na kila jambo baya
@user-ze6lx9ng6s5 ай бұрын
Hawa wa serikali ni wezi Sana,viva makonda,
@AminaRamadhani-gx8yr6 ай бұрын
Mimi nahisi kama wagombea wanatengenezewa mazingira ya kuombea kura, mana katibu anamaliza kwakutoa pesa na kukabidhiwa kwa wanyanyasaji walewale,
@bwagizoselemani84346 ай бұрын
Daah hii nnch inamajanga Sana kwakwel sijui tutafanya nn kila siku majanga viongoz wetu changamoto
@user-wi8og3sv4j6 ай бұрын
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta wa
@EliasMalendeja26 күн бұрын
Mungu akubariki sana jembe makonda na jembe la ilinga mungu awalinde
@tumainimwaifunga38846 ай бұрын
Hadi raha
@ishipalemypasco2567
6 ай бұрын
Ngoja nikae niagize na soda 😂😂😂
@madinajamada91805 ай бұрын
Dhuruma sio nzuri tuogope allah tutaulizwa siku ya mwisho
@christinewomanoffaith54795 ай бұрын
Kwahiyo kwann msiwaonyeshe hizo ekari? Mnawatetea wawekezaji?
@samweltv20646 ай бұрын
Kuna haja ya vijana wote wa kanda ya ziwa tulioko mikoani kuludi nyumbani naona sasa kuna ujanja ujanja sana kwa hawa viongozi wanaokuja wasiokuwa na uchungu na sisi kwa sababu sio kwao.
@AminaRamadhani-gx8yr6 ай бұрын
Mbona anateteka, waziri mwenye dhamana apeleke takukuru uovu mwngi atauona
@user-lh8uc4re6oАй бұрын
Baba pambana tupo pamoja mungu atakusimamia Mimi msukuma mweupe nuu tabu turio pamoja
@josephmaroa6365 ай бұрын
Makonda wewe ni kivuli cha Mzee hayati John pombe Magufuli pale alipolala anatabasamu hongera kiongozi
@juliusmogaka27355 ай бұрын
I wish for this man to be the next Tz president
@annakapolondo7771
5 ай бұрын
Me too
@rosesilio9008Ай бұрын
Camera man unavyommulika huyo mdaiwa huyo mzee ni noma mzee anavyoshangaa jaman kanyoosha shingo hiyo😂😂😂🤣🤣🤣
@FilbertKalembe-fy4oq6 ай бұрын
Hapo umewakuna watanzania mugufuri oyeeeeeee
@EmanuelMusa-qp5jeАй бұрын
Mungu akulinde makonda upo sahihi kibisa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kissakayuni7676 ай бұрын
Mhe. Makonda Mungu akubariki sana kutujali maskini .halafu anasema angalia mbele kwa wananchi sio kwangu.
Пікірлер: 491
Naposikia haya namkumbuka hayati magufuli aliko mungu amuraze pema makonda big up sana magufuli wa pili anakuja
@khadjamhozya
2 ай бұрын
anakuja arakini😭😭😭 arakini uhhhmmmmmm😭😭😭😭😭
Makonda mungu akuweke sana mimi nakuahidi mungu atakusimamia na endelea ktk hilo
Hamna mkuu wa mkoa hapo huyo mama yupo upande wa wawekezaji si aseme tu na Hana mpango wa kusaidia wananch
Muheshimiwa Makonda! Nakufurahia sana! Bado namuomba Mungu akulinde na macho ya husda
Fanya kazi baba makonda uko Safi unaweza ukawa kiongozi bora sana brother
Mh. Makonda ni chuma cha pua....he is a man of the peple
Makonda you reminded me Magufuli good job ❤❤❤❤
@selemanimchana3598
5 ай бұрын
He fight for the next election 2025, haya maisha bhana Mimi nimechill tu
@lilianeerica3318
5 ай бұрын
@@selemanimchana3598Akichaguliwa na akafanya hivi ndipo tutajua kwamba ni mzuri ama mbaya
Mm nazani makonda baada ya mama ufate wewe kuwa Raisi.
Mama Asante sana, Mungu akupe umri mrefu Kwa kumrejesha Makonda. Msamehe na kumkumbuka Tena katika ufalme wako, ALI HAPI na SABAYA. 🙏🙏
Walipoona Magufuli amekufa amemdhulumu huyo Mkuu wa Mkoa
@Obasaniyo
6 ай бұрын
Mkuu wa mkoa hovyo kabisa. Anajifanya anahasira.
Ama kweli makonda nimekukubali upo vizuri kaka piga kazi
Eti muogope mungu yaan limekaa Limama linawatetea wawekezaji linaumiza wananchi wake sa sijui linawaongoza wawekezaji au wananchi
@JophasJohn-oh8zu
5 ай бұрын
Si kapewa hela mbwa huyu mama
@user-eu6ql9zl7n
2 ай бұрын
Ana mgao wake Kwa wawekezaji
Bado Kuna Mt anaitwa ALLY HAPPY apewe nafasi mchapa Kaz kweli naye, wakiunganishwa na huyu mwamba itakuwa
@josephineokama2200
6 ай бұрын
kwel kabisa yaani ni watu ninaowatamani jumlisha sabaya nchi ingekua mwake
@hopehealthcs3294
5 ай бұрын
Wow true
@aishaabrahaman9957
5 ай бұрын
Yulee yupo busy na ukulima abaki tuuuh uko uko
@user-zr1mk3xd2x
5 ай бұрын
Anhaa! Kaka umemsahau LENGAI OLE SABAYA! Na yeye arudi serikalini
@abdulmelele7322
5 ай бұрын
Ally Hapi mwamba namkubali sana mrangi yule ni kichwa kwel kwel
Kwa nini wanateuliwa watu hovyo namna hii nivigezo gani wanatumia kuteua watu wa hovyo, mkuu wa mkoa anadiriki kutishia wanainchi kweli
@boniphacewambura1427
6 ай бұрын
Ndio maana mm huwa huwa sipend hizi nafasi za kutwuliwa maa hawana hofu na wananchi wao huwa wanahofu na aliyewateuwa
Mr makonda Alla akupe umuri uendelee hivohibo kuwasaidia wananchi ❤
Wewe mwanamke huna haya hata kuzungumza uongo humuogopi mungu.
Mueshimiwa makonda Alha akulinde Na Kila adui CCM oyeeee
Mkuu mkuu shikamoo uzidi kubarikiwa aseee kwanzia leo nimeamini mungu nimkubwa sana ivi ayayote unayaoteshwa mkuu????? Maana unaoji mpaka mtu anajikuta ametubu zambi bilakujuwa aseee
Ni huzuni Sana Tanzania yangu 😢😢😢😢😢kila kona ni kilio dhuruma imetawala
@nishaabdula5015
5 ай бұрын
Yn ni haibu nchi ya hamani tunajulikana dunia nzima lkn ndan ya mchi akuna hamani imejaa zuruma tupu
Nawapata vizuri nikiwa dar. Tanzania
Makonda oeeeeeee big up sana.
Kwan sheria ai ruhusu wwe kua rais toka alivyo kufa JPM ckuwah kua na matumain 🎉
Wizala ya ardhi inashida sana yaani imejaa zurma sana nyambafu sana hawa
Da mama Mkuu wa mkao huyo, hajui mkono wake wa kulia wala wa kushoto.🙆😂🤷♂️
Kusema kweli watendaji wa serikali huwa hawana msaada kwa wananchi😢
@user-uo8xw9kr4b
6 ай бұрын
Tena wanadharau ukiwa maskin wanahis huna haki hat yakuishi ni majinga sana.
@FredrickOlotu-u8n
18 күн бұрын
Jamani mungu amoaze mgufuri rushwa ilikomeshwa makonda tunakuomba uje morogor jamani uwi!
Maghufuli left a great legacy, he set the pace and I'm glad seeing this going on after his death. Initially I thought it was during the lifetime of president Maghufuli but seeing the poster of Mama Samia behind assured me that she's truly followed the footsteps of her predecessor. But please I wish Mama Samia too went round to directly listen to her people's problems like Maghufuli did. Thank you Tanzania and Tanzanians for your uzalendo and being true to your country. God bless Tanzania
Hii nchi watu wanaonewa wengi asa Kwan viongoz wengine wanalala tu
Dunia simama nishuke wanawake muogopeni mungu nyie
Kunayo muda viongozi wanao wateuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wanapsswa kijitathmini sana, hivi kwa jins mkuu wa mkoa alivyo anza kuongea kwa jazba na kwa mkwara utafikiri ni kweli jamaa hana haki, kumbe ni kujihami,, waweke watu sahihi jamani kwenye hizi nafasi za uamuzi
Huwezi miliki leseni bila kulipa watu fidia za maeneo husika
Makonda kaka ukovizuri mungu tuuu akuride honja zingine mariza hapo hapo tuone mfano
tunataka viongozi kama mh makonda. mama kamaitawapendeza mpeni kitengo Ally Happy nae ni mzuri kwenye kazi
ALI HAPI! ALI HAPI! ALI HAPI! Mama mkumbuke huyu kijana mzalendo na jasiri kama Makonda.
@denisyohana8104
5 ай бұрын
nimemmic sana ALI HAPI ,asant MAKONDA
Kwani shinyanga si kuna uchawi wanasubili nini kuroga hawa watu kuanzia muwekezaji, mkuu wa mkoa na afsa/kamishna wa ardhi
@denismnubi7001
6 ай бұрын
Nimepda hiii
@Obasaniyo
6 ай бұрын
Hahahahahaha😅😅😅
@chomasongidion6047
5 ай бұрын
Mefari tayari huyo mwwkezaji
@rivadodeniss1960
2 ай бұрын
😂😂😂
Huyo mama mmmmhhh
Tanzania yangu shikamooooooo
Da ila hii nchi ni ngumu watu wanaonewa wanadhulumiwa hatari
Tungepata watumishi japo 10 kama mh.p makonda kwenye taifa letu tungeishi kama wafalume Mungu akulinde sana maana hhhh
Hawa viongozi wanateuliwa kwa vigezo gani Yani mkuu wa mkoa mzima anakuja na hoja hazieleweki hii nchi ngumu Sana
@Obasaniyo
6 ай бұрын
Mimi kanishangaza. Huyo hawezi kuwa mtetezi wa wanyonge
Huyo mkuu wa mkoa anaonekani ni m'babe sana, atakua mkorofi sana, anaweza kumpiga makofi huyo jamaa, baada ya mwenezi kutoka hapo.
@mot.tvmsamvu6770
6 ай бұрын
hawa ndoo waaribifu ktk nchi hii hawajuo chochote kile
@user-go6xm3ef1o
5 ай бұрын
Angefukuzwa kaz akajifunze upendo na nidhamu Hawa awajawakiliwa na jua la maisha
@jackiefredrick586
5 ай бұрын
@@user-go6xm3ef1oafukuzwe na nani
@user-ei2ud7gh5h
24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂kwamba mwenezi akitoka jamaa anakipigo😂😂😂😂imebidi nicheke
Nakufuatilia sana Comrade Makonda najifunza mengi
Huyo mkuu anatumia jaziba hata mbele yako makonda je akuwa nawanyonge tu si kesi
Yani huyo mama anaongea kama vile anachambana na wanawake wenzake kwenye vikoba
Ilo limama linafika lishakula pesa limalaya likubwa ilo sura kama bundi
Ofisi za Umma zimejaa wala Rushwa na matapeli
ki ukweli nakiona kile kilichomfanya Mzee Magufulina hata sasa Mama Samia kukuteua Jamani Weye unaweza Mungu akuweke kiongozi wetu maaana sio kwa busara hizo ulizonazo
Hawa watendaji mda mwingine huwa wanaichonganisha serikali na wananchi
Mwenezi ruhusu waoneshe karatasi zao ndomuse serekali sikuzi inatoa mihuri feki?
Waandishi na wanahabar peleken hisia zetu kwa mama Samia kwamba Tunampenda sana Makonda tena apewe ulinzi mkal
Mie karatasi ya serikali sishiki wala sisomi sasa,mkuu wa wilaya ndio ataisoma😅
@neema-ee6qm
5 ай бұрын
😂😂😂😂s
@giftmusa6543
5 ай бұрын
@@neema-ee6qm hatari
watu wa bara kwa uongozi wapo vzr❤
@bazarakimayenga3572
2 ай бұрын
Ni majembe
Makonda baada ya mitano tena ya mama. Aki Mungu iposiku utaiyongoza ii nchi japo silaisi kazaa
@mariammalendeja370
6 ай бұрын
mitano ya nini tena tumpe makonda tu
MAKONDA ANAFAA KUA WAZIRI MKUU
Kuweka matumbo hofisini tu na kutumbua tu pesa ndowanaotia serekalihasarana wananchi
This man Makonda seem to be a good person,he speak well ,he communicate with common mwananchi with a lot of humility,To my opinion he has great future,but on the other hand am wondering how come there's rumours that he was involved on assassination attempt of Tundu Lisu.?
Huyu bwana kamuita raisi samiya wala siyo mama samia kimu mkazi atasaidiwa kweli
@aishaabrahaman9957
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@mwanaidimussa
5 ай бұрын
😂😂😂
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta w
I miss you daddy magufuli but nimefarijika kumona mwanao makonda amefuata nyayo zako😢
Jaman viongoz wa ccm mbn mna matatizo namnaiharibu ccm iv wachawi nyinyi bora makonda umeanza kazi yamungu
Yani mwekezaji na hekari mia sita zote 600 na wananchi wanangaika😂😂
Mnapokeza uongo tu watu mlioaminiwa na serika na wananchi
People fighting for the land. Land is listening to them whilst takes all the weight of human being when they walk and stand on it. BUT, when Land hit back and swallow human being, everyone is crying and forgot what they have done to the land before.
@user-uk9vm5jn9d
5 ай бұрын
Mheshimiwa makonda tusaidie mloganzira kibamba tusaidie tusaidie tusaidie
@selemanimchana3598
5 ай бұрын
🙏👊👊
@selemanimchana3598
5 ай бұрын
Deeply fact user🎉
Acha uwongo mama karatas kazipata wapi
Ccm itang'olewa madarakani na wateuliwa wake yani ccm inateua wawakilishi wenye nia ovu na chama sasa mfano huyo mkuu wa mkoa na huyo kamishina hawajawahi kufika kwenye eneo na wala hawalijui harafu wanakomaa kumtetea muwekezaji kwa maana hiyo tayari walishapewa hongo
Muwekezaji anamikikishwaje eneo la mtu bila fidia kwa mwenye eneo?
Kwanini akae ofisini tu?
Uyu mama na miwani yake kama fundi maget ameanza kwa mbwembwe za umuogopi Mungu utadhan yeye anamuogopa muone gaun lake kama mwanafunz wa chekechea
@johnbernad3990
6 ай бұрын
Sikutemea kucheka usiku huu wa manane 😂😂😂😂
@emmanuelmayunga1518
6 ай бұрын
😂😂 na hilo tumbo Lake sasa
@fatumamilimo7336
6 ай бұрын
😂😂😂😂niacheee
@martinisadru9899
6 ай бұрын
@emmanuelmayunga1518 usimseme vibaya Kwa uumbwaji, maana hakuomba, Bali mseme Kwa mabaya aliyonayo kutoka moyoni mwake.
@seifkulwa3346
6 ай бұрын
Huyu mama hamna kitu!
Shinyanga ni shida huyu mkuu wa mkoa ni tabu tupu
raisi 2025 huyu anatufaa
Makonda bona kama unataka nikupe kula nyingi naomba ugombe chochotee
@JophasJohn-oh8zu
5 ай бұрын
Huyu mwamba akigombea kiti cha urais Asubuh na mapema yaani anashinda na hana mpinzani kabisa
Mi ningependa inch iongozwe na Wasukuma 😂😂
@barakamachard1944
6 ай бұрын
Wasukuma wako vizuri
@Anna-jl2ie
6 ай бұрын
asaante makonda
@makulanangale7186
6 ай бұрын
Wasukuma wengi roho safi
@ngusamalegi4577
6 ай бұрын
Haswaaaa😅😅
@dorcaskidoti249
5 ай бұрын
Yaani Nawapenda sana Wasukuma hawapend ubabaifu
Mimi ni mkenya Rakini makonde achopanya ana mwenzake mungu akulinde na akupatie maisha marefu
Wewe ni kiongozi mzuri usiogope jitie moyo mkuu na mungu atakuwezesha❤
dhuluma zime jaa sana hii nchi
Kwani kati ya raisi na mwekezaji nani mwenye amri kwenye ardhi?
Daaah yani jamaa wanatatua mgogoro bila kufika field aiseee hii ajabu sana
Makonda akijakugombea urais 2030 atapita
@gibsonjosephat6352
6 ай бұрын
Ukionesha kiherehere cha uongozi hutoboi. Wanapita wengine.
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
User anapita bila kupinga
@aaa64sa13
6 ай бұрын
Kabisaaaaa🎉
Huku ndiko kurudishiwa vilivyoliwa na madumadu na tunutu na parare Bwana Yesu asifiwe Katibu mwenezi,, Mungu akulinde
@user-wg2gd2nl6c
Ай бұрын
Amina
Mkuu wa mkoa aondoke hana mahusiyano mazuri na watu,tazama qnavyozomewa
Mwenezi sikupendi lakini leo maswali yako kwa hao wahuni nimeayakubali had unanishawishi nianze kukuba sera zako
Huyo Mama Muongo Hasemi Ukweli! Mweke Sawa
Rc WA aina hiyo ajitathimini au chama kimtathimini
Nakupenda sana baba Mungu akutunze na akukinge na kila jambo baya
Hawa wa serikali ni wezi Sana,viva makonda,
Mimi nahisi kama wagombea wanatengenezewa mazingira ya kuombea kura, mana katibu anamaliza kwakutoa pesa na kukabidhiwa kwa wanyanyasaji walewale,
Daah hii nnch inamajanga Sana kwakwel sijui tutafanya nn kila siku majanga viongoz wetu changamoto
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta wa
Mungu akubariki sana jembe makonda na jembe la ilinga mungu awalinde
Hadi raha
@ishipalemypasco2567
6 ай бұрын
Ngoja nikae niagize na soda 😂😂😂
Dhuruma sio nzuri tuogope allah tutaulizwa siku ya mwisho
Kwahiyo kwann msiwaonyeshe hizo ekari? Mnawatetea wawekezaji?
Kuna haja ya vijana wote wa kanda ya ziwa tulioko mikoani kuludi nyumbani naona sasa kuna ujanja ujanja sana kwa hawa viongozi wanaokuja wasiokuwa na uchungu na sisi kwa sababu sio kwao.
Mbona anateteka, waziri mwenye dhamana apeleke takukuru uovu mwngi atauona
Baba pambana tupo pamoja mungu atakusimamia Mimi msukuma mweupe nuu tabu turio pamoja
Makonda wewe ni kivuli cha Mzee hayati John pombe Magufuli pale alipolala anatabasamu hongera kiongozi
I wish for this man to be the next Tz president
@annakapolondo7771
5 ай бұрын
Me too
Camera man unavyommulika huyo mdaiwa huyo mzee ni noma mzee anavyoshangaa jaman kanyoosha shingo hiyo😂😂😂🤣🤣🤣
Hapo umewakuna watanzania mugufuri oyeeeeeee
Mungu akulinde makonda upo sahihi kibisa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mhe. Makonda Mungu akubariki sana kutujali maskini .halafu anasema angalia mbele kwa wananchi sio kwangu.