ALIYENYANG'ANYWA BANGO na POLISI AMLIPUA OCD - ''ALIKUJA na KITENGE USIKU na ASKARI WENYE SILAHA''

ALIYENYANG'ANYWA BANGO na POLISI AMLIPUA OCD - ''ALIKUJA na KITENGE USIKU na ASKARI WENYE SILAHA''
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 349

  • @catherinenenula7450
    @catherinenenula74505 ай бұрын

    Eti anamacho makubwa mweupe anakutisha eti ee🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 hii nchi tunacheka kama mazuri

  • @syliveriuszaverius2347

    @syliveriuszaverius2347

    Ай бұрын

    😂😂😂 yaani tutacheka sana lound hii

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo27945 ай бұрын

    makonda popote ulipo mungu akubariki akuepushe na maofu ya dunia akujalie mema saidi 🎉🎉❤❤❤

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe41186 ай бұрын

    Huyu jamaa ni kichwa sana.MUNGU Akulinde makonda.endelea kuwapigania wananchi kwa moyo huo huo

  • @saimonjohnsumley9198

    @saimonjohnsumley9198

    5 ай бұрын

    Kwani hao police Mali ya nani? Au ni Mali ya CDM? Acheni maigizo

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert41796 ай бұрын

    MAKONDA MUNGU AKAWE MBELE KATIKA KAZI ZAKO AKUPUSHE NA MABAYA YOTE ❤❤❤❤❤❤❤

  • @evelyinipaja7022

    @evelyinipaja7022

    6 ай бұрын

    Amen.

  • @kapesekapese7167
    @kapesekapese71676 ай бұрын

    Namuona Hayati Magufuli ndani ya Paul Makonda, big up brother. Komboa wanyonge kaka.

  • @ShadrackKapange

    @ShadrackKapange

    Ай бұрын

    Lakini kweli na mm nikimuona makonda nakua kama nimemuona magufuli (from Malawi)❤❤

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa72435 ай бұрын

    Huyo police muongo anasema hapajui.hrf liko ndani ya kambi tumueleweje?

  • @omaryduruduru2719

    @omaryduruduru2719

    4 ай бұрын

    Hilo lidada dawa yake ni Looo

  • @IsaayJohn
    @IsaayJohn6 ай бұрын

    Mungu wangu! Mhe makonda tuokoe na dhuluma hizi za viongozi wasiowaadilifu na wenye kutumia madaraka yao kunyanyasa wananchi!

  • @sosmakanya4901

    @sosmakanya4901

    6 ай бұрын

    Usanii mwingi Anaibua mambo na kuyatelekeza fustilia uone

  • @user-kn6iv2sm8b
    @user-kn6iv2sm8b6 ай бұрын

    Makonda ni mwamba kam miamba wengine likes nyingi kama unamuelewa makonda

  • @mamachris6811
    @mamachris68116 ай бұрын

    Ila Polisi wengi wanaonaga Nchi hii yao

  • @user-hd9so1et5k

    @user-hd9so1et5k

    3 ай бұрын

    Kama vile 🇰🇪

  • @batilda4920
    @batilda49205 ай бұрын

    Ndio maana wamemnyang'anya Bango wanajua makosa Yao hawa maskari wanyanyasaji Sana hawa dhulmat Sana.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51926 ай бұрын

    Uonevu umeibuka hatar Sana polis wajiangalie

  • @ChansaElie

    @ChansaElie

    12 күн бұрын

    Hasante

  • @user-nl5no3ep5v
    @user-nl5no3ep5v5 ай бұрын

    Nakuombea unafanya nzuri Mungu akufanye uwe Rais

  • @israelimarco6465
    @israelimarco64655 ай бұрын

    Mungu akusaidie kaka makonda Mungu akufinike adui asikuone

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp5 ай бұрын

    Ulifika kwake ? Nyumba hiyo aliyojenga inapakana na Polisi? Na kama ndiyo basi ulifika

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah62376 ай бұрын

    Tutajionea sanaa na sarakasi nyingi Kwa watendaji wa serikali.

  • @mohamedpinda544
    @mohamedpinda5445 ай бұрын

    Hii nchi polisi wanatakiwa wapigwe msasa wanaendesha kikoloni Kila sehemu malalamiko ya polisi tu

  • @user-cy3pl6yu8l
    @user-cy3pl6yu8l5 ай бұрын

    Kumyang'anya bango ni ushahidi tosha simamisha wote

  • @shuwanaliloka3816
    @shuwanaliloka38165 ай бұрын

    Makonda nakuomba uvaege na buleti prufu maana maadui ni wengi hata hao askari wanaweza kukutumia sharp shooters wakakumaliza.

  • @rehemalusindengawa5186

    @rehemalusindengawa5186

    5 ай бұрын

    Kweli kabisaaa

  • @shehanimzee9953
    @shehanimzee99535 ай бұрын

    Kwanini hao polisi wamemnyang'anya bango?

  • @stellamartin5106
    @stellamartin51065 ай бұрын

    Mungu baba wa mbinguni mpe umri mrefu na afya njema.

  • @user-fh8ep8hs5q
    @user-fh8ep8hs5q5 ай бұрын

    Pumzika kwa amani anko magu hii ndo inchi aliyoiyacha watu wanafanya wanavyotaka kutokana na mamlaka yao😢😢

  • @fatmaalhabs6939
    @fatmaalhabs69395 ай бұрын

    Polisi ndi majambazi mbwa sana

  • @franknzowa22
    @franknzowa226 ай бұрын

    Sasa hapo tunachanganyikiwa maana hapajui kwake halafu tena anasema kajenga ndani ya kambi,...kivipi?...basi anapajua.

  • @ramadhanrashidmthailand9553

    @ramadhanrashidmthailand9553

    5 ай бұрын

    Aise namm nimeshangaa sana 😂

  • @cuthbertdongwe2477

    @cuthbertdongwe2477

    5 ай бұрын

    😂 labda anamaanisha hapajui kwakuwa anaamini pale walipobomoa sio kwake ni kwa polosi

  • @franknzowa22

    @franknzowa22

    5 ай бұрын

    Sawa,...basi tuseme tu hivyo

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m5 ай бұрын

    Jamani jamani polisi mmepotoka hahahhaha😢😢😢

  • @inviolatamalifa6871
    @inviolatamalifa68715 ай бұрын

    Hongera sana Baba kwa kutetea wanyonge ,Mungu akujalie afya njema Baba.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert41796 ай бұрын

    Magufuli atakumbukwa!!MAKONDA tunakupenda ❤

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji36875 ай бұрын

    Huyo mama kasema hapajui kwake kwakuwa wao wanadai eneo ni la polisi ndio maana hakusema kuwa ni kwake, mwananchi yeye anaitwa kwake 😂😂😂

  • @josephkalwani
    @josephkalwani6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 sasa kama hapajui amejuaje kama amejenga ndani ya kambi?

  • @AllyGibu-cz2vo

    @AllyGibu-cz2vo

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @JackobKyaro-zi7uj

    @JackobKyaro-zi7uj

    5 ай бұрын

    Wazo zuri 👏

  • @DottoKitambi

    @DottoKitambi

    5 ай бұрын

    Hapo sasa sijuh kwanini hajaulizwa

  • @kahema_steven
    @kahema_steven5 ай бұрын

    Hii ndo CCM sasa, achana na vyama vingne

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel5395 ай бұрын

    Hahahaha police ina kambi sku hz 😅😅😅😅😅

  • @RehemaJonas-yj7ed
    @RehemaJonas-yj7ed2 ай бұрын

    Makonda mtetez wawanyonge karibu arusha kumenuka mungu akuangazie Nuru ya uso wake Amin🙏🙏

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76866 ай бұрын

    ASANTE SANA MAKONDA KWA KUFUATA NYAYO ZA BABA YAKO MAGU. MUNGU AKULINDE.

  • @marryfelician1426

    @marryfelician1426

    5 ай бұрын

    Na kwa nini Askari mkubwa hivyo unaongea uwongo Askari mzima

  • @user-rj9fh5qh9k
    @user-rj9fh5qh9k6 ай бұрын

    Huyo OCD hata sura yake inaonyesha ni katili

  • @FRANKKALANDA

    @FRANKKALANDA

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge67946 ай бұрын

    Hakuna democracy... In Tanzania 🇹🇿

  • @sofiaantonioantonio7265
    @sofiaantonioantonio72655 ай бұрын

    Naona Yohana mbatizaji anatengeneza njia kwajili ya Mama!

  • @user-mz7qw9ij1i
    @user-mz7qw9ij1i5 ай бұрын

    Huyo mama ni jambazi kweli

  • @yohanamdemu9232
    @yohanamdemu92325 ай бұрын

    Mmmmh huuu uamuzi wa Makonda Mungu anajua

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54035 ай бұрын

    Asante Makonda,nadhan mama samia umeona kwann watu wanahamia chadema kuna madudu mengi ktk chama chako

  • @Lodrickmwambene

    @Lodrickmwambene

    5 ай бұрын

    Hilo sio suluhisho ni kuwapa mikataba watumishi wa serekali wakishidwa hawapewi mikataba mipya

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    2 ай бұрын

    Akiona

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    2 ай бұрын

    Et mama Samia ameona🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s4 ай бұрын

    Truly President Maghufuli left a wonderful legacy.. And I have watched Mr Makonda since he was the R.C in Daressalam . President Samia appointed the right person to represent her for this job. I'm also very sure Mr Makonda will be a future Tanzanian president....

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40545 ай бұрын

    MAKUMAKONDA NYAYO ZA BABA❤❤❤

  • @willeyluoga6465
    @willeyluoga64659 күн бұрын

    Namkubali sana mwamba yaani alimopita hayati Raisi Magufuli ndimo anamopita wananchi tunakukubali sanaaa na tunakutegemea Mungu akupe maisha marefu makonda

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76866 ай бұрын

    SASA WEWE NI MTU WA ARIDHI MAMA POLICE?. ACHENI UONEVU. YAANI KIFO CHA MAGUFULI JANAANI, KIMETUWEKA PABAYA SANAA. HATA MAPOLICE SASA WANAFANYA KAZI YA ARIDHI.

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    6 ай бұрын

    Ccm ni wale wale hamnaga jipya

  • @aisharamdan8358
    @aisharamdan83585 ай бұрын

    Hujaenda kwake naunasema alijenga ndani yakambi sindio nyumba aliyokuwa anaishi mkaibomoa? Ww mama vipi

  • @najmasalim-rg6ow

    @najmasalim-rg6ow

    5 ай бұрын

    Yani sijui kwann wamemuachia

  • @user-bi7gk7im4f

    @user-bi7gk7im4f

    9 күн бұрын

    Akili finyu,. Jambo la uongo halizami tumboni.Anajichanganya mwenyewe😊

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus70685 ай бұрын

    Mungu akulinde Makonda🙏❤️❤️❤️❤️❤️

  • @IssaSenza-m7h
    @IssaSenza-m7h3 күн бұрын

    Nakukubari makonda piga kazi huo ndio uongozi Bora sio Bora kiongozi mungu atakulibda

  • @vagashappnecy4850
    @vagashappnecy48505 ай бұрын

    Mungu kamrudisha Magufuli kwa njia ingine😢😢😢😢

  • @ombenimunisi6311
    @ombenimunisi63115 ай бұрын

    Halafu nyie jeshi la polisi mnajidhalilisha.

  • @user-eg4hk9pg5o
    @user-eg4hk9pg5o6 ай бұрын

    Mungu akutangulie Kila utakapo kanyaga mguu wako Mweshimiwa Makonda

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola6 ай бұрын

    Hao waliokimbia na bango ,unge wasweka ndani hapohapo

  • @muhammednassor690
    @muhammednassor6906 ай бұрын

    Ndugu yangu unajipa tabu kumpiga kelele kwa viongozi ndugu mshukuru huko unakoelekea litakukuta jambo ujute viongozi hao wanalindana, rabda alifuatilie makonda mwenyewe

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino1305 ай бұрын

    Hii Nchi ina mambo ! Sometimes Sana'a za ccm zinachosha kuzisikiliza --- maana tumeanza kuzisikia toka tukiwa watoto,mpaka tunazeeka sasa,hakuna chochote kinachobadilika -- ugumu wa maisha unazidi kuongezeka -- mfumuko wa bei ndio huo,vitu havishikiki -- umeme unakatika toka miaka ya 70 mpaka Leo,haujawahi kuwa stable -- migogoro ya ardhi imesambaa every where Nchini -- pamoja na rasilimali lukuki alizotubariki Mungu,lakini umaskini kwa wa Tz unazidi kutamalaki ---ajira hakuna " Inauma moyo "

  • @djbaddest1220

    @djbaddest1220

    5 ай бұрын

    Nchi zilizoendelea zote ajira sio kpaumbele kabxa watu wanajiajr 🙏

  • @kahema_steven

    @kahema_steven

    5 ай бұрын

    Umeandika nn sasa hicho 😅

  • @djbaddest1220

    @djbaddest1220

    5 ай бұрын

    @@kahema_steven tulza mbul

  • @mitundafmoni7699
    @mitundafmoni76995 ай бұрын

    hii nchi imejaa dhulma wallah kias tusiende mbele😊

  • @petermboje5839
    @petermboje58395 ай бұрын

    Unaita nyumba za watu kibanda fala askar

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias97526 ай бұрын

    Maigizo tu,, keroooooooo keroooooooo,, tunajenga nchi ya namna gani hiii???

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    5 ай бұрын

    Watu hawafanyi kazi zao vizur labda akujue au uwe na hela ndio utapat huduma nzur ktk ofisi zao ni mtihan mkubwa.

  • @user-ij9pk5zu2x

    @user-ij9pk5zu2x

    5 ай бұрын

    Ulitakajee ndugu

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula75726 ай бұрын

    Dogo makonda anajitengenezea NJIA YA KUWA raise siku za MBELE

  • @saidunikanju6410
    @saidunikanju64106 ай бұрын

    Hupajui kwake mbona unasema kajenga kwenye eneo lapolici?

  • @user-zs2dc3kq8g

    @user-zs2dc3kq8g

    5 ай бұрын

    Shangaa na wewe wanapenda kujitoa fahamu kweli

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa6 күн бұрын

    Jeshi la police kuweni na huruma kwa wananchi pia mumuogope mungu tambueni cheo ni dhamana muheshimiwa makonda msaidie huyo baba

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel5395 ай бұрын

    Mh.mengine uwe unamaliza hapo hapo police ni tatzo sehem zote unaleta iman kwa chama sasa❤❤❤❤❤

  • @alastridamichael5685
    @alastridamichael56855 ай бұрын

    Hongela sana makonda kwakutusaidia sana kelo zetu nimekupenda sana umebadili Kwa manguvulu Fanya kazi baba nimekupenda bule baba angu kwakazi nzuli unayofa nya mungu akubalikisana

  • @user-uq3vx9oq4y
    @user-uq3vx9oq4y4 ай бұрын

    Mpaka machozi😢😢😢 mungu akulinde mweshimiwa makonda

  • @dorotheasamwel8071
    @dorotheasamwel80715 ай бұрын

    Big up OCD... raia anaingiaje kambini na kujenga kibanda afu asifukuzwe.. ebu tofautisha kibanda na nyumba ya kuishi... tusijibu kwa preshaaa... ocd safi sanaaa... umejibu kwa kujiamini...na kwa uhakikaaaa... BANGO SASA BAAANGOOO

  • @swahibually8349

    @swahibually8349

    5 ай бұрын

    Mjomba hueleweki,kama kweli huyo OCD ni mkweli,imewezekanaje Mtu ajenge Mpaka amalize awe anaishi,hao polisi walikua wapi?Na kama KESI IPO mahakamanni,iweje wasisubiri Maelekezo ya Mahakama? OCD ameenda kufanya nini Usiku huko nyumbani kwa muhusika? Kwanini wamnyang'anye Bango ?kwa Akili ya kawaida Inaonyesha kwamba, Askari walijua KOSA lao,na hapo washaingia Doa.Hapo subiri kifuatacho?Mapolisi wengi ni Majambazi waliosajiliwa na kukabidhiwa Silaha na Serikali,.

  • @user-xu2mh9zx1n
    @user-xu2mh9zx1n6 ай бұрын

    Hongera makinda kwa hilo msaidie huyo mwananchi na wengine wanaodhulumiwa

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga38846 ай бұрын

    Wahamishwe hao polisi watamuua

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    6 ай бұрын

    Kweli ndo zao hao

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    5 ай бұрын

    Wafukuzwe kazi na wawajibishwe. Wafungwe.

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa6 күн бұрын

    Muhesimiwa msaidie huyo baba kwa nn wamechukua bango lake

  • @user-rs8gi7cu5k
    @user-rs8gi7cu5k5 ай бұрын

    Jamani Dunia inamambo uyo anajifanya apajui nyumbani kwawalio mzilum tena

  • @husseinallysuleiman4657
    @husseinallysuleiman46575 ай бұрын

    Nimemuona mama kama alitaka kugombea mic au sijaangalia vizuri

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya65975 ай бұрын

    Huyo askari anajiamini nini mpaka afanye hivyo mbele ya Mwenezi wetu

  • @aishaothman7807
    @aishaothman78074 ай бұрын

    Mh. Makonda una uhakika kuhusu udhulumati wa ardhi. Kama unavyosema "Mungu hataki dhulma" 😢Hii ni kweli?

  • @user-gb7xp5ph4v
    @user-gb7xp5ph4v5 ай бұрын

    Kaka makonda mungu akupe maisha marefu na Imani ya mungu saidia wenye shida na fukuza hao wafujaji

  • @katotoGenius-ml9ve
    @katotoGenius-ml9ve5 ай бұрын

    Rushwa umerejea Tena,daaaah hii nchi imekithiri uozo

  • @syliveriuszaverius2347
    @syliveriuszaverius2347Ай бұрын

    Aiseee Makonda nakuomba uje mkoa Kagera jamani madudu tumeyajaza hapa njoo utuondolee

  • @chidomobile9546
    @chidomobile95465 ай бұрын

    Hakika umejitoa sadaka kwa ajili yutu so niwajibu wetu kukuombea kila aina ya dua ili haki ipatikane good job kaka

  • @user-es5hj7dj5i
    @user-es5hj7dj5i3 ай бұрын

    Kwa janja janja hii ya kuwaona wanaosema kweli hana haki ya kuishi na kusingiziwa makesi ya ovyo hiyo haikubaliki kabisa!! Kesi za ubambikaji!!

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh85772 ай бұрын

    Huyo ocd apigwe chini, kala sana rushwa hadi katuna hivo, dah

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.32976 ай бұрын

    Inachekesha taarifa hii.

  • @lossarungira965
    @lossarungira9656 ай бұрын

    Daaah, njaa mbaya sana

  • @frankjohn8706
    @frankjohn870624 күн бұрын

    Hao wanaostakiwa na anaemshtakia ni haohao sasa itakuaje mahindi yasiliwe kesi ya mahindi nyani na tumbil Chama hakisemi uongo tangu kampeni hadi matokeo ya uchaguzi kwa mabomu

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy5 ай бұрын

    Tushindwa Kujua Hapa, Niserikali Inaongoza Au Nichama????

  • @saimonmanyerezi7169
    @saimonmanyerezi7169Ай бұрын

    Tunamuomba mama Samia,anachokifanya Makonda ni faraja kwa Wana Arusha so kama naye anapenda kuungana na Wana Arusha ampatie ulinzi mh.Makonda

  • @PauloMathayo-ql8cl
    @PauloMathayo-ql8cl2 ай бұрын

    jaman sio kila police ni njema mapolice wengine ni wabaya san

  • @jumakiwande2441
    @jumakiwande24416 ай бұрын

    Kuna kitu hapo hakiko sawa Lzm busara itumike Makonda Mungu aendelee kukuweka naamini Utaendelea kuvumbua mengi hata mengine tusiyoyatatajia ,Chama kipo kazini

  • @JoelMuro-dr1sf
    @JoelMuro-dr1sfАй бұрын

    Makonda piga kazi mungu atakulinda

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro55885 ай бұрын

    OCD huyo afukuzwe kazi bila mafao akakae na mme wake nyumbani

  • @Mary-fs4mc

    @Mary-fs4mc

    5 ай бұрын

    😂😂😂 uwiiii umefikiria nini ndugu yangu

  • @mussakimaro5588

    @mussakimaro5588

    5 ай бұрын

    @@Mary-fs4mc hawatendei haki watu kuwaonea tu

  • @user-ie7lu5wn5y
    @user-ie7lu5wn5y6 ай бұрын

    Matias tunataka bango letu

  • @radhiaally4872
    @radhiaally48725 ай бұрын

    Nchi ina taab sn Mungu tusaidie

  • @user-tj7bj8kv8m
    @user-tj7bj8kv8m5 ай бұрын

    Hongera karibu mwenezi kwa ufatiaji

  • @KennethNgoleka-fh5mi
    @KennethNgoleka-fh5mi3 ай бұрын

    Kwa kweli alikuwa anatusaidia saaana wananchi, atafutwe mwingine basi kama huyu.

  • @yonasaimoni1302
    @yonasaimoni13026 ай бұрын

    Hii ndiyo sera za ccm mwaka huu tutaona mengi

  • @WilliamMlangi
    @WilliamMlangi4 ай бұрын

    Makonda hongera kwa kazi ngum na yenye weledi

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas65165 ай бұрын

    Dada uyo jambazi tu police gani uyo sura yenyewe jambazi

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333Күн бұрын

    Makonda viongozi wa serikali kuweni makini na tendeni haki dunia tunapita

  • @TatuMasudy
    @TatuMasudy3 ай бұрын

    Rais samia asante kumleta makonda mwaaaaaa nimejiskia raha sanaaaa jmni adi nimeria kwa frahaa sanaaa😂😂

  • @FridaMmari
    @FridaMmari6 күн бұрын

    😂😂😂 akikwangalia macho yanatishaaa

  • @user-wb9gy2xx3p
    @user-wb9gy2xx3p6 ай бұрын

    Mawazo ya mvuta bangi kwanini asiwe Raisi 2030

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l6 ай бұрын

    Nani atashirikiana na polisi kutoa taarifa kwa hali hii? Kulindana bila kujali

  • @KassimJabu
    @KassimJabu10 күн бұрын

    Mungu akutangulie makonda

  • @DavidEmilian-hq9xm
    @DavidEmilian-hq9xm5 ай бұрын

    Polisi ninyi polisi jamani kuna kesho yako na mungu

  • @WilliamMlangi
    @WilliamMlangi4 ай бұрын

    Huyo askari anajua tu nyumba ya huyo jamaa kisa waeimbomoa anaanza kusema hajui ata kwake

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb6 ай бұрын

    Kama hujui ulijuaje kama lilenieneo polisi

  • @omaryduruduru2719
    @omaryduruduru27194 ай бұрын

    Makonda oyee huyo polisi ana jivuna sana anaonekana anajidai ana kinga

Келесі