ALIYENYANG'ANYWA BANGO na POLISI AMLIPUA OCD - ''ALIKUJA na KITENGE USIKU na ASKARI WENYE SILAHA''
ALIYENYANG'ANYWA BANGO na POLISI AMLIPUA OCD - ''ALIKUJA na KITENGE USIKU na ASKARI WENYE SILAHA''
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 349
Eti anamacho makubwa mweupe anakutisha eti ee🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 hii nchi tunacheka kama mazuri
@syliveriuszaverius2347
Ай бұрын
😂😂😂 yaani tutacheka sana lound hii
makonda popote ulipo mungu akubariki akuepushe na maofu ya dunia akujalie mema saidi 🎉🎉❤❤❤
Huyu jamaa ni kichwa sana.MUNGU Akulinde makonda.endelea kuwapigania wananchi kwa moyo huo huo
@saimonjohnsumley9198
5 ай бұрын
Kwani hao police Mali ya nani? Au ni Mali ya CDM? Acheni maigizo
MAKONDA MUNGU AKAWE MBELE KATIKA KAZI ZAKO AKUPUSHE NA MABAYA YOTE ❤❤❤❤❤❤❤
@evelyinipaja7022
6 ай бұрын
Amen.
Namuona Hayati Magufuli ndani ya Paul Makonda, big up brother. Komboa wanyonge kaka.
@ShadrackKapange
Ай бұрын
Lakini kweli na mm nikimuona makonda nakua kama nimemuona magufuli (from Malawi)❤❤
Huyo police muongo anasema hapajui.hrf liko ndani ya kambi tumueleweje?
@omaryduruduru2719
4 ай бұрын
Hilo lidada dawa yake ni Looo
Mungu wangu! Mhe makonda tuokoe na dhuluma hizi za viongozi wasiowaadilifu na wenye kutumia madaraka yao kunyanyasa wananchi!
@sosmakanya4901
6 ай бұрын
Usanii mwingi Anaibua mambo na kuyatelekeza fustilia uone
Makonda ni mwamba kam miamba wengine likes nyingi kama unamuelewa makonda
Ila Polisi wengi wanaonaga Nchi hii yao
@user-hd9so1et5k
3 ай бұрын
Kama vile 🇰🇪
Ndio maana wamemnyang'anya Bango wanajua makosa Yao hawa maskari wanyanyasaji Sana hawa dhulmat Sana.
Uonevu umeibuka hatar Sana polis wajiangalie
@ChansaElie
12 күн бұрын
Hasante
Nakuombea unafanya nzuri Mungu akufanye uwe Rais
Mungu akusaidie kaka makonda Mungu akufinike adui asikuone
Ulifika kwake ? Nyumba hiyo aliyojenga inapakana na Polisi? Na kama ndiyo basi ulifika
Tutajionea sanaa na sarakasi nyingi Kwa watendaji wa serikali.
Hii nchi polisi wanatakiwa wapigwe msasa wanaendesha kikoloni Kila sehemu malalamiko ya polisi tu
Kumyang'anya bango ni ushahidi tosha simamisha wote
Makonda nakuomba uvaege na buleti prufu maana maadui ni wengi hata hao askari wanaweza kukutumia sharp shooters wakakumaliza.
@rehemalusindengawa5186
5 ай бұрын
Kweli kabisaaa
Kwanini hao polisi wamemnyang'anya bango?
Mungu baba wa mbinguni mpe umri mrefu na afya njema.
Pumzika kwa amani anko magu hii ndo inchi aliyoiyacha watu wanafanya wanavyotaka kutokana na mamlaka yao😢😢
Polisi ndi majambazi mbwa sana
Sasa hapo tunachanganyikiwa maana hapajui kwake halafu tena anasema kajenga ndani ya kambi,...kivipi?...basi anapajua.
@ramadhanrashidmthailand9553
5 ай бұрын
Aise namm nimeshangaa sana 😂
@cuthbertdongwe2477
5 ай бұрын
😂 labda anamaanisha hapajui kwakuwa anaamini pale walipobomoa sio kwake ni kwa polosi
@franknzowa22
5 ай бұрын
Sawa,...basi tuseme tu hivyo
Jamani jamani polisi mmepotoka hahahhaha😢😢😢
Hongera sana Baba kwa kutetea wanyonge ,Mungu akujalie afya njema Baba.
Magufuli atakumbukwa!!MAKONDA tunakupenda ❤
Huyo mama kasema hapajui kwake kwakuwa wao wanadai eneo ni la polisi ndio maana hakusema kuwa ni kwake, mwananchi yeye anaitwa kwake 😂😂😂
😂😂😂😂😂 sasa kama hapajui amejuaje kama amejenga ndani ya kambi?
@AllyGibu-cz2vo
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@JackobKyaro-zi7uj
5 ай бұрын
Wazo zuri 👏
@DottoKitambi
5 ай бұрын
Hapo sasa sijuh kwanini hajaulizwa
Hii ndo CCM sasa, achana na vyama vingne
Hahahaha police ina kambi sku hz 😅😅😅😅😅
Makonda mtetez wawanyonge karibu arusha kumenuka mungu akuangazie Nuru ya uso wake Amin🙏🙏
ASANTE SANA MAKONDA KWA KUFUATA NYAYO ZA BABA YAKO MAGU. MUNGU AKULINDE.
@marryfelician1426
5 ай бұрын
Na kwa nini Askari mkubwa hivyo unaongea uwongo Askari mzima
Huyo OCD hata sura yake inaonyesha ni katili
@FRANKKALANDA
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Hakuna democracy... In Tanzania 🇹🇿
Naona Yohana mbatizaji anatengeneza njia kwajili ya Mama!
Huyo mama ni jambazi kweli
Mmmmh huuu uamuzi wa Makonda Mungu anajua
Asante Makonda,nadhan mama samia umeona kwann watu wanahamia chadema kuna madudu mengi ktk chama chako
@Lodrickmwambene
5 ай бұрын
Hilo sio suluhisho ni kuwapa mikataba watumishi wa serekali wakishidwa hawapewi mikataba mipya
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Akiona
@khadjamhozya
2 ай бұрын
Et mama Samia ameona🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Truly President Maghufuli left a wonderful legacy.. And I have watched Mr Makonda since he was the R.C in Daressalam . President Samia appointed the right person to represent her for this job. I'm also very sure Mr Makonda will be a future Tanzanian president....
MAKUMAKONDA NYAYO ZA BABA❤❤❤
Namkubali sana mwamba yaani alimopita hayati Raisi Magufuli ndimo anamopita wananchi tunakukubali sanaaa na tunakutegemea Mungu akupe maisha marefu makonda
SASA WEWE NI MTU WA ARIDHI MAMA POLICE?. ACHENI UONEVU. YAANI KIFO CHA MAGUFULI JANAANI, KIMETUWEKA PABAYA SANAA. HATA MAPOLICE SASA WANAFANYA KAZI YA ARIDHI.
@robertphilip385
6 ай бұрын
Ccm ni wale wale hamnaga jipya
Hujaenda kwake naunasema alijenga ndani yakambi sindio nyumba aliyokuwa anaishi mkaibomoa? Ww mama vipi
@najmasalim-rg6ow
5 ай бұрын
Yani sijui kwann wamemuachia
@user-bi7gk7im4f
9 күн бұрын
Akili finyu,. Jambo la uongo halizami tumboni.Anajichanganya mwenyewe😊
Mungu akulinde Makonda🙏❤️❤️❤️❤️❤️
Nakukubari makonda piga kazi huo ndio uongozi Bora sio Bora kiongozi mungu atakulibda
Mungu kamrudisha Magufuli kwa njia ingine😢😢😢😢
Halafu nyie jeshi la polisi mnajidhalilisha.
Mungu akutangulie Kila utakapo kanyaga mguu wako Mweshimiwa Makonda
Hao waliokimbia na bango ,unge wasweka ndani hapohapo
Ndugu yangu unajipa tabu kumpiga kelele kwa viongozi ndugu mshukuru huko unakoelekea litakukuta jambo ujute viongozi hao wanalindana, rabda alifuatilie makonda mwenyewe
Hii Nchi ina mambo ! Sometimes Sana'a za ccm zinachosha kuzisikiliza --- maana tumeanza kuzisikia toka tukiwa watoto,mpaka tunazeeka sasa,hakuna chochote kinachobadilika -- ugumu wa maisha unazidi kuongezeka -- mfumuko wa bei ndio huo,vitu havishikiki -- umeme unakatika toka miaka ya 70 mpaka Leo,haujawahi kuwa stable -- migogoro ya ardhi imesambaa every where Nchini -- pamoja na rasilimali lukuki alizotubariki Mungu,lakini umaskini kwa wa Tz unazidi kutamalaki ---ajira hakuna " Inauma moyo "
@djbaddest1220
5 ай бұрын
Nchi zilizoendelea zote ajira sio kpaumbele kabxa watu wanajiajr 🙏
@kahema_steven
5 ай бұрын
Umeandika nn sasa hicho 😅
@djbaddest1220
5 ай бұрын
@@kahema_steven tulza mbul
hii nchi imejaa dhulma wallah kias tusiende mbele😊
Unaita nyumba za watu kibanda fala askar
Maigizo tu,, keroooooooo keroooooooo,, tunajenga nchi ya namna gani hiii???
@user-uo8xw9kr4b
5 ай бұрын
Watu hawafanyi kazi zao vizur labda akujue au uwe na hela ndio utapat huduma nzur ktk ofisi zao ni mtihan mkubwa.
@user-ij9pk5zu2x
5 ай бұрын
Ulitakajee ndugu
Dogo makonda anajitengenezea NJIA YA KUWA raise siku za MBELE
Hupajui kwake mbona unasema kajenga kwenye eneo lapolici?
@user-zs2dc3kq8g
5 ай бұрын
Shangaa na wewe wanapenda kujitoa fahamu kweli
Jeshi la police kuweni na huruma kwa wananchi pia mumuogope mungu tambueni cheo ni dhamana muheshimiwa makonda msaidie huyo baba
Mh.mengine uwe unamaliza hapo hapo police ni tatzo sehem zote unaleta iman kwa chama sasa❤❤❤❤❤
Hongela sana makonda kwakutusaidia sana kelo zetu nimekupenda sana umebadili Kwa manguvulu Fanya kazi baba nimekupenda bule baba angu kwakazi nzuli unayofa nya mungu akubalikisana
Mpaka machozi😢😢😢 mungu akulinde mweshimiwa makonda
Big up OCD... raia anaingiaje kambini na kujenga kibanda afu asifukuzwe.. ebu tofautisha kibanda na nyumba ya kuishi... tusijibu kwa preshaaa... ocd safi sanaaa... umejibu kwa kujiamini...na kwa uhakikaaaa... BANGO SASA BAAANGOOO
@swahibually8349
5 ай бұрын
Mjomba hueleweki,kama kweli huyo OCD ni mkweli,imewezekanaje Mtu ajenge Mpaka amalize awe anaishi,hao polisi walikua wapi?Na kama KESI IPO mahakamanni,iweje wasisubiri Maelekezo ya Mahakama? OCD ameenda kufanya nini Usiku huko nyumbani kwa muhusika? Kwanini wamnyang'anye Bango ?kwa Akili ya kawaida Inaonyesha kwamba, Askari walijua KOSA lao,na hapo washaingia Doa.Hapo subiri kifuatacho?Mapolisi wengi ni Majambazi waliosajiliwa na kukabidhiwa Silaha na Serikali,.
Hongera makinda kwa hilo msaidie huyo mwananchi na wengine wanaodhulumiwa
Wahamishwe hao polisi watamuua
@Zainab_salat
6 ай бұрын
Kweli ndo zao hao
@TM-zs3rm
5 ай бұрын
Wafukuzwe kazi na wawajibishwe. Wafungwe.
Muhesimiwa msaidie huyo baba kwa nn wamechukua bango lake
Jamani Dunia inamambo uyo anajifanya apajui nyumbani kwawalio mzilum tena
Nimemuona mama kama alitaka kugombea mic au sijaangalia vizuri
Huyo askari anajiamini nini mpaka afanye hivyo mbele ya Mwenezi wetu
Mh. Makonda una uhakika kuhusu udhulumati wa ardhi. Kama unavyosema "Mungu hataki dhulma" 😢Hii ni kweli?
Kaka makonda mungu akupe maisha marefu na Imani ya mungu saidia wenye shida na fukuza hao wafujaji
Rushwa umerejea Tena,daaaah hii nchi imekithiri uozo
Aiseee Makonda nakuomba uje mkoa Kagera jamani madudu tumeyajaza hapa njoo utuondolee
Hakika umejitoa sadaka kwa ajili yutu so niwajibu wetu kukuombea kila aina ya dua ili haki ipatikane good job kaka
Kwa janja janja hii ya kuwaona wanaosema kweli hana haki ya kuishi na kusingiziwa makesi ya ovyo hiyo haikubaliki kabisa!! Kesi za ubambikaji!!
Huyo ocd apigwe chini, kala sana rushwa hadi katuna hivo, dah
Inachekesha taarifa hii.
Daaah, njaa mbaya sana
Hao wanaostakiwa na anaemshtakia ni haohao sasa itakuaje mahindi yasiliwe kesi ya mahindi nyani na tumbil Chama hakisemi uongo tangu kampeni hadi matokeo ya uchaguzi kwa mabomu
Tushindwa Kujua Hapa, Niserikali Inaongoza Au Nichama????
Tunamuomba mama Samia,anachokifanya Makonda ni faraja kwa Wana Arusha so kama naye anapenda kuungana na Wana Arusha ampatie ulinzi mh.Makonda
jaman sio kila police ni njema mapolice wengine ni wabaya san
Kuna kitu hapo hakiko sawa Lzm busara itumike Makonda Mungu aendelee kukuweka naamini Utaendelea kuvumbua mengi hata mengine tusiyoyatatajia ,Chama kipo kazini
Makonda piga kazi mungu atakulinda
OCD huyo afukuzwe kazi bila mafao akakae na mme wake nyumbani
@Mary-fs4mc
5 ай бұрын
😂😂😂 uwiiii umefikiria nini ndugu yangu
@mussakimaro5588
5 ай бұрын
@@Mary-fs4mc hawatendei haki watu kuwaonea tu
Matias tunataka bango letu
Nchi ina taab sn Mungu tusaidie
Hongera karibu mwenezi kwa ufatiaji
Kwa kweli alikuwa anatusaidia saaana wananchi, atafutwe mwingine basi kama huyu.
Hii ndiyo sera za ccm mwaka huu tutaona mengi
Makonda hongera kwa kazi ngum na yenye weledi
Dada uyo jambazi tu police gani uyo sura yenyewe jambazi
Makonda viongozi wa serikali kuweni makini na tendeni haki dunia tunapita
Rais samia asante kumleta makonda mwaaaaaa nimejiskia raha sanaaaa jmni adi nimeria kwa frahaa sanaaa😂😂
😂😂😂 akikwangalia macho yanatishaaa
Mawazo ya mvuta bangi kwanini asiwe Raisi 2030
Nani atashirikiana na polisi kutoa taarifa kwa hali hii? Kulindana bila kujali
Mungu akutangulie makonda
Polisi ninyi polisi jamani kuna kesho yako na mungu
Huyo askari anajua tu nyumba ya huyo jamaa kisa waeimbomoa anaanza kusema hajui ata kwake
Kama hujui ulijuaje kama lilenieneo polisi
Makonda oyee huyo polisi ana jivuna sana anaonekana anajidai ana kinga