#PART1

#PART1: SIMULIZI ya KIJANA YASSIN ALIYESINGIZIWA KUMBAKA BOSS WAKE na KUFUNGWA JELA MIAKA 30....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 139

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Жыл бұрын

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @Sesy717

    @Sesy717

    9 ай бұрын

    O

  • @Sesy717

    @Sesy717

    9 ай бұрын

    😅

  • @SecretariatMihake

    @SecretariatMihake

    4 ай бұрын

  • @YohanaKitundu-dg5hs

    @YohanaKitundu-dg5hs

    3 ай бұрын

    Mal

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe47110 ай бұрын

    Watu Wana roho mbaya sana.. Wote walio shughurika kuwakandamiza watu kuanzia leo.. Naomba mungu andaa adhabu juu yao

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 Жыл бұрын

    Assalam aleikum, dua aliyoomba itamlipua siku moja, kwa sababu kamfanya mwenyezi mungu kuwa shahidi wa uongo wake

  • @user-cr7xy6tw5j
    @user-cr7xy6tw5j9 ай бұрын

    Duuuuuh pole sana mwanangu mombe mungu usikate tamaa kumuomba mungu kila siku muombe mungu

  • @user-uk7or9bd9x
    @user-uk7or9bd9x7 ай бұрын

    Pole sana na izi kazi selikali muwe nazo makini sana mana wengi wapo jela kwa kesi zakusingiziwa

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 Жыл бұрын

    Watoto wetu wa kiume wanapitia sana, Mungu awasaidie, nimeumia sana

  • @zawadimapumba7557
    @zawadimapumba75576 ай бұрын

    Enyi matajili msiwatese wafanyakazi wenu maliulizonazo ni uwezo mungu😂inaumiza sana

  • @WigiberthiMutahaba
    @WigiberthiMutahaba4 ай бұрын

    Pol xan kaka ang hao walio kufanyia hv watapew adhab na mwenyenz mung pole xan dady❤,,

  • @JumanneRashid-kr2nv
    @JumanneRashid-kr2nv10 ай бұрын

    Sio haki ata mungu apendi mtu mzima Ivo unabakwa vp mungu akulaani sana

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 Жыл бұрын

    Huyo mama ana dhambi kubwa sana,na wote wanaoshiriki dhambi hz mmelaaniw nyie na vizazi vyenu,maana mwenye pesa ananunua haki ila Mungu yupo hakimu wa haki.

  • @tumainimalulu7708

    @tumainimalulu7708

    4 ай бұрын

    Hii ni tabia ya wanawake sis hangi kwa hili. Ila natamani kuja kumfundisha adabu mwanamke mmoja.

  • @RashidThabite

    @RashidThabite

    4 ай бұрын

    Umetoa radhi nzito sana mama

  • @magrethmbangama1199

    @magrethmbangama1199

    3 ай бұрын

    @@RashidThabite inaumiza sana ndugu yangu vaa kiatu cha huyu ndugu ndo utajua aliumia kiasi gani,alikuwa kesha potea tayari

  • @Anoldi-yj7mf
    @Anoldi-yj7mf3 ай бұрын

    Muombe mungu sana maana hakuna kisicho na mwisho amini Mungu yupo majaribu nimtaji

  • @MohamedAly-zp3zh
    @MohamedAly-zp3zh6 ай бұрын

    Duniani watu wana mazonge Allah atufanyie wepesi, nimeshaona interview moja ya huyu jamaa kafanya Mbengo TV imeruka Julai, 2021 anajitambulisha kwa mtangazaji kuwa ni mzaliwa wa Bagamoyo Mapinga na alikua akiishi na huyo mama kinondoni... kwenye hii amezaliwa Kilwa na anaishi Chamazi inatia ukakasi kidogo kama mtu anataka kusadia lakini maelezo yako tofauti inatia shaka.

  • @AishaOmary-fl8qo
    @AishaOmary-fl8qo4 ай бұрын

    Mwenye kusubiri yupo na mungu Allah akufungulie rizki zako kaka

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo53204 ай бұрын

    Yani mpaka nashindwa niandike Nini,Ila Mungu ni hakimu wa haki,pole sana

  • @user-gu6wg6jp5n
    @user-gu6wg6jp5n9 ай бұрын

    Najuta mimi kusikiliza huu mkasa😭😭😭😭roho inaniuma jaman me watoto wangu wakiume tupu daah😭😭😭pole sanaa home boy Mungu ni mwema

  • @KiZoMidundo

    @KiZoMidundo

    9 ай бұрын

    Inasiktsha

  • @user-ip7rq4ro9w
    @user-ip7rq4ro9w6 ай бұрын

    Pole sana kk 'ngumu ile natokeya congo gm

  • @allandavid870
    @allandavid870 Жыл бұрын

    Global mnahitaji kuji evaluate story zenu, most of the time mnaleta story zenye kutia shaka sana kama hii. Maelezo anayotoa anajichanganya sana

  • @globaltv_online

    @globaltv_online

    Жыл бұрын

    Inatia shaka kwa maelezo yapi? Isitoshe hujasikiliza part two, unafikia conclusion story inatia shaka kwa kigezo kipi?

  • @aisharamadhani1948

    @aisharamadhani1948

    Жыл бұрын

    Siku hizi kuna story za kutungwa ili kupata watazamaji au wafatiliaji wa vipindi vyao so chakuambiwa changanya na zako

  • @herberthatibu8439
    @herberthatibu8439 Жыл бұрын

    Hii story inatia mashaka sana, kwanza polisi siyo rahisi kukuweka ndani wakati mlalamikaji hayupo, eti unapelekwa kituoni na watu wengine mlalamikaji atakuja kesho.

  • @likimaro6

    @likimaro6

    Жыл бұрын

    Polisi ya nchi gani unazungumzia? Ulisikiliza ripoti ya Tume ya Haki Jinai majuzi?

  • @abdallahmwanga5792

    @abdallahmwanga5792

    Жыл бұрын

    Hayaja kukuta ndugu yangu,ipo siku utajionea mwenyewe... Huyo dogo namjuwa na amepata shida sana kutokana na kifungo hicho,nimemshuhudia huyo dogo akiwa jela...

  • @sayeedbinazan
    @sayeedbinazan4 ай бұрын

    Ila yote tisa, Vitimbi vya wanawake ni vikubwa sana. Anaweza Akakusingizia kitu na dunia nzima ikaamini.Mungu Awaongoze Ndugu zetu hawa.

  • @VeronicaMarsel
    @VeronicaMarsel7 ай бұрын

    Pole Sana chaliingu mungu atalipa

  • @WitnessMmlamba-zx7lc
    @WitnessMmlamba-zx7lc5 ай бұрын

    Pole sana

  • @user-ux2xo5sl3c
    @user-ux2xo5sl3c10 ай бұрын

    Mungu amlaani huyo. Afanyae dhambi bia kumuogopa mungu

  • @AdrianNtarambe
    @AdrianNtarambe3 ай бұрын

    Aisee

  • @user-fl3tj2tp3e
    @user-fl3tj2tp3e11 ай бұрын

    Duuuh hyo mama mungu anamuona ipo cku2 mungu atakulipa

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa3 ай бұрын

    Pole sana mdogo wangu

  • @user-bg2rp2gd3t
    @user-bg2rp2gd3t4 ай бұрын

    Pole sana mwenyenzim atamlahani huyo mama

  • @B-horbir
    @B-horbir11 ай бұрын

    B-horbir from DRC Congo but muzaliwa wa dar , Tanzania,mimi naona yule mwanamuke hakutakakumulipa kijana pesa aliona afanye mpango iliashie

  • @user-tb3hb6cm2s

    @user-tb3hb6cm2s

    10 ай бұрын

    Hello, uko Drc sehemu gani please

  • @utaani1

    @utaani1

    7 ай бұрын

    Ndio hata mimi nadhani ni hivyo hakutaka amlipe akaona apange uwongo huo

  • @annafredinandmatandiko8438

    @annafredinandmatandiko8438

    6 ай бұрын

    Yes

  • @Ibrahim21784
    @Ibrahim2178411 ай бұрын

    eh 🇰🇪 Kenya watu wana soma bakaaa from 4 na hakuna kazi

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 Жыл бұрын

    Yaani hapa ndio unapojua kabisa hizi dini zililetwa kwa ajili ya watu kupiga hela tu mtu anahapia hadi na msahafu kwa mambo ya uongo tena bila kuogopa

  • @rajabungatanda630

    @rajabungatanda630

    11 ай бұрын

    Swala la mtu kuogopa ni jambo jengine na ukweli wa dini ni kitu kingine Kushika msahafu na kuapia kwa jambo la uongo uo ni uamuzi wa mtu Lkn mungu ameahidi kumlipa yule atayeapia uongo "Kwahiyo uyo mama asubiri kitachomkuta "Lkn pia jiulize kama unashangaa uyu mama kushika msahafu ndomana unahisi dini zimeletwa Jiulize kwani vituo vya polisi vimewekwa kwaajili gani ? Jee wahalifu awajui kama vituo vya polisi na mahakama Vipo kwaajili ya wahalifu? Kwanini watu wanafanya uhalifu bila woga wakati wanajua ukifanya uhalifu unakamatwa ? Kwahiyo uyo mama anajua kama mungu yupo lkn ni mhalifu wa kiimani anamcheza shere mungu Inshaallwah kama kweli amefanya hivo atalipwa tu

  • @user-zd5gd5qd2i
    @user-zd5gd5qd2i7 ай бұрын

    Pole sana kijana

  • @UswegeRichard
    @UswegeRichard10 ай бұрын

    Dah huyu jamaa nilimsikiliza kwenye radio free afrika kipindii cha sintosahau😢😢 dah huyu jamaa kapitia maisha magumu saana❤❤sema mwanangu usikate TAMAAA MUNGU ANAENDELEA KUKU PIGANIA

  • @PAUlWEKESA-de6tb
    @PAUlWEKESA-de6tb9 ай бұрын

    Pole sana brother yangu

  • @BARIKIELMICHAEL-fc7oh
    @BARIKIELMICHAEL-fc7oh3 ай бұрын

    Pole sana kaka

  • @user-qs1ii7vq7w
    @user-qs1ii7vq7w5 ай бұрын

    Pole Sana kijana!

  • @user-in9cg4pw4o
    @user-in9cg4pw4o5 ай бұрын

    Daaah pore sana dogo uyo mama ata azibiwa tu na mungu apa apa duniani

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed339010 ай бұрын

    Dhuluma Kubwaaaaa hii mshitakie Mungu atakulipa. Police wamekula pesa sheria wamchukuwe yule Mama akapimwe nawe upimwe. Wamsoka yote hayo

  • @user-vf8rq5ux6m
    @user-vf8rq5ux6m8 ай бұрын

    Pole

  • @user-hc2hb8yi6s
    @user-hc2hb8yi6s9 ай бұрын

    Polle kaka lla mungu hajaribiw jibu atapata

  • @user-lq9cy3il4o
    @user-lq9cy3il4o8 ай бұрын

    Da! Pole

  • @JeanIradukunda-qw6eb
    @JeanIradukunda-qw6eb2 ай бұрын

    Pore sana kaka yangu

  • @ESTERMKALI

    @ESTERMKALI

    2 ай бұрын

    3:11

  • @BenardRamadhan
    @BenardRamadhan9 ай бұрын

    Pole san

  • @user-wb2by4pw9f
    @user-wb2by4pw9f5 ай бұрын

    Pole san kaka

  • @user-cm9uc4fv2n
    @user-cm9uc4fv2n10 ай бұрын

    Pole sana uyo mam ana matitz

  • @ondb.tv593
    @ondb.tv5939 ай бұрын

    Mungu atakulipia hapa hapa duniani.

  • @sinyoritamoha1629
    @sinyoritamoha1629 Жыл бұрын

    Wamatumbi Wapole sana, hawawezi kufanya ujinga, huyo mama yatamkuta makubwa. Nimejiskia vibaya mno, Ila hao wanaoita mchumba nimecheka😂

  • @rubenimajura
    @rubenimajura Жыл бұрын

    Pole kaka

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray741610 ай бұрын

    pole saaana dogo .

  • @user-yp2wk1ic5o
    @user-yp2wk1ic5o7 ай бұрын

    pole sàn

  • @frankndiga6122
    @frankndiga612211 ай бұрын

    Hiyocm nitaipataje nijulishe

  • @frankjulius12
    @frankjulius12 Жыл бұрын

    Part 2 ikowap

  • @tumainimalulu7708
    @tumainimalulu77084 ай бұрын

    Hivi MUNGU yupo? Kwanini wanyonge na wasio na fedha hudhulumiwa haki zao bila kumwaibisha adhulumuye haki. Mtu anaswali na anasali na anashika kitabu cha Mungu anaapa uongo na Mungu yupo kimya. Hapana kuna kitu natafuta nifanye utafiti kuhusu dini hizi tulizoletewa na wageni.

  • @BraysonKileo

    @BraysonKileo

    4 ай бұрын

    Daah MUNGU atamwonekanaye

  • @abdiazizmohamed444

    @abdiazizmohamed444

    4 ай бұрын

    Kwenye interview ingine anasema hapakua na godoto

  • @abdiazizmohamed444

    @abdiazizmohamed444

    4 ай бұрын

    Yamini ni muongo Kwenye interview ingine amesema vingine hapa anasema vingine

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Жыл бұрын

    Kumbukeni WANAWAKE LEO WZNATAKA KEDI NAPESA

  • @juliuskibaso1976

    @juliuskibaso1976

    6 ай бұрын

    pole sn

  • @OscarOuma-ho6hl
    @OscarOuma-ho6hl7 ай бұрын

    Wangepima na kuwa na uhakika kutoka kwa daktari

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial217 Жыл бұрын

    Polle sana Kijana

  • @user-ji6vg2vq4p
    @user-ji6vg2vq4p8 ай бұрын

    Pore sana

  • @josephatpius5594
    @josephatpius559411 ай бұрын

    Uyo mama in Katie sana kamwalibia maisha kijana

  • @JohnsonMpweza
    @JohnsonMpwezaАй бұрын

    😢

  • @user-kg2mw1jl2h
    @user-kg2mw1jl2h9 ай бұрын

    Pel❤

  • @VeronicaMilinga
    @VeronicaMilinga2 ай бұрын

    Yanga usajil 19:02

  • @safnosmosha
    @safnosmosha Жыл бұрын

    So sad

  • @ramadhanmzagira7831
    @ramadhanmzagira783111 ай бұрын

    kamakweli basi makosa yalianza kituo chapolis inatakiwa alie bakwa awepo ili akapimwe kama kafanikisha jambo ilo nasio aende peke yake anaenda na polic wakike

  • @JohnKapwaga
    @JohnKapwaga8 ай бұрын

    Hahaha jaman hugo mama balaa pole sana mwanaume mwenzangu MUNGU ni mwema hata akina YUSUF walitiwa gerezn na ikawa Waziristan,

  • @user-lq9cy3il4o

    @user-lq9cy3il4o

    8 ай бұрын

    Da; hatar

  • @Teddygeorge-ub7su

    @Teddygeorge-ub7su

    6 ай бұрын

    Pesa inawafikisha watu pababaya huyu mama mungu amlaani ingewezekana hii Kes ingeanza upya afu imgeukie Yani mungu amlaani Saba mara sabini!!!!!!!

  • @aboually2472
    @aboually24724 ай бұрын

    Maturubai hyo

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp Жыл бұрын

    Siku kumi na9 ya nini jamani wakati sheria ni kuka police ni maa saa 24 tu

  • @user-rg9ny6ll8o

    @user-rg9ny6ll8o

    8 ай бұрын

    .

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe47110 ай бұрын

    Wewe dada au mama uliye mkandamiza huyu jamaa.. Rana yako hitakuwa mbaya sana kwasababu, huyu jamaa imesha kuwa doha kwake

  • @user-rg9ny6ll8o
    @user-rg9ny6ll8o8 ай бұрын

    Bv

  • @AbdiSekarani
    @AbdiSekarani3 ай бұрын

    😊😊😊😊😊😊❤😅😊

  • @user-nv6rz3kd5p
    @user-nv6rz3kd5p5 ай бұрын

    Walioko jela wengi wao hawana makosa?

  • @user-ol9qh9ro7o
    @user-ol9qh9ro7o8 ай бұрын

    Iike

  • @user-yl3be9ix4y
    @user-yl3be9ix4y3 ай бұрын

    Mbona uhujasema kama hajakulipa miezi yotehiyo

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og Жыл бұрын

    Malipo dunian apa apa mwanang kaza loo2

  • @user-mp5uq2mb8u
    @user-mp5uq2mb8u9 ай бұрын

    Mambo vp pole

  • @user-ol9qh9ro7o
    @user-ol9qh9ro7o8 ай бұрын

    Like

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray741610 ай бұрын

    ha ha ha eti Mama yako umemuacha kijijini

  • @WarwinuKaremeri
    @WarwinuKaremeri3 ай бұрын

    Huyo mama ni shetani

  • @user-qg8wl2gi2o
    @user-qg8wl2gi2o6 ай бұрын

    Mabos wengi wakion hawan Hela ya kumlipa mfanyakaz Wana msingizia mabay

  • @JamesKisabo
    @JamesKisabo5 ай бұрын

    Hata mm lazima nibake kwahali hyo

  • @AredFered
    @AredFered8 ай бұрын

    Dah wafanyakaz kaz tunayo

  • @SalehSalum-ri1jn
    @SalehSalum-ri1jn4 ай бұрын

    Loho inauma

  • @SellahMohamed-it7dg
    @SellahMohamed-it7dg7 ай бұрын

    Pore Mwanang San

  • @user-us3sv3pp1t
    @user-us3sv3pp1t9 ай бұрын

    Mh inauma

  • @frankndiga6122
    @frankndiga612211 ай бұрын

    Kweli huyo mama siobinadamu walahanahofuya MUNGU

  • @user-su9lf4lb2v
    @user-su9lf4lb2v9 ай бұрын

    Mungu.atasimama.nao Inshalla.watoto.wote

  • @josphatokongi3361

    @josphatokongi3361

    6 ай бұрын

    God have plan to him

  • @cosmasibundala
    @cosmasibundala4 ай бұрын

    Mambo vp

  • @JumaLichombo-ev9zi
    @JumaLichombo-ev9zi8 ай бұрын

    Duuh hyo mam ni hatar pole mwamba

  • @ferguslyagoda4049
    @ferguslyagoda4049 Жыл бұрын

    Hii ni kiki?

  • @LadslausKyandoh-ru1il
    @LadslausKyandoh-ru1il10 ай бұрын

    Ooe

  • @user-fi7zr2xy3m
    @user-fi7zr2xy3m6 ай бұрын

    Adi ufanyi ivo shida nini, kwa mtoto wa watu

  • @user-ss9nr1ol1d
    @user-ss9nr1ol1d9 ай бұрын

    Mama uyo ni muchawi kabisaha.uyo.kijana.mtoto.alimubakaje.serkali.yenu.aichunguzi.kitu.mimi.ni.mu.congo.mani.uyomama.wanipe.yeye.nimubake.kabisahaaa.onamakalio.yake.kubwa.kama.makalio.ya.tembo.mungu.ahatakuwaja.katika.dunia.iyi

  • @user-tq7xj5tr3k
    @user-tq7xj5tr3k9 ай бұрын

    Sipowa

  • @JamesAndrew-xs5bt
    @JamesAndrew-xs5bt7 ай бұрын

    Sema tatizo mabos wengine wanashoboka.

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Жыл бұрын

    Same Yasin kule Mbengo tv kasema mzaliwa wa Bagamoyo, huku mzaliwa wa Kilwa same story same person?

  • @fatumajumanne198

    @fatumajumanne198

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @alasigoodluck9608

    @alasigoodluck9608

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂 hii ni Tanzania broh

  • @user-no2ug6td1c
    @user-no2ug6td1c9 ай бұрын

    mama huyo hatauona ufleme wambingu kabisa

  • @JumaCharura
    @JumaCharura10 ай бұрын

    Dah pol San wem s wot

  • @MulugaKajana
    @MulugaKajanaАй бұрын

    nataka nyimbo za din

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah18879 ай бұрын

    Ufanye uchunguzi ulipwe fidia

  • @frenkamosi-sz1gr
    @frenkamosi-sz1gr12 күн бұрын

    Mwana mama uyo aritaka🍌. 😂😂

  • @ramadhanimaganga8068
    @ramadhanimaganga8068 Жыл бұрын

    Sio kweli muongo huo mi namjua vizuri

  • @evensiachitanda5299

    @evensiachitanda5299

    Жыл бұрын

    Pole sana

  • @NassirMagosso

    @NassirMagosso

    Жыл бұрын

    Ss mkwel nan

  • @fatumajumanne198

    @fatumajumanne198

    Жыл бұрын

    Ukweli n upi Sasa?

  • @ayoubjaphet709

    @ayoubjaphet709

    11 ай бұрын

    😂😂du

  • @idrissamohamed1100

    @idrissamohamed1100

    11 ай бұрын

    Unamjuaje?

  • @user-dm5hq4jf1s
    @user-dm5hq4jf1s11 ай бұрын

    Pole sana

  • @Shimboy-hl4eg
    @Shimboy-hl4eg10 ай бұрын

    Pole bhana hizo changamoto za maisha tu.

  • @KsmTv-yl5fy

    @KsmTv-yl5fy

    9 ай бұрын

    Pole sana Kaa ,

Келесі