''NIITENI MBWA - SITOKI HAPA - MPIGIE CHONGOLO'' - MZEE MBELE ya MAKONDA AMLIPUA BOSI wa MADINI.,..
''NIITENI MBWA - SITOKI HAPA - MPIGIE CHONGOLO'' - MZEE MBELE ya MAKONDA AMLIPUA BOSI wa MADINI.,..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 180
Nipo germany 🇩🇪 mm ni mtanzania nafatilia sana mijadala ya Mh makonda Mungu amlinde huyu kiongozi
Nafuatilia matukio mbali mbali kutoka Oman Kwakweli vocha yangu natumia kihalisia. Asant Mh Makonda barikiwa sana
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Tanzania kuna uonevu mnoo😢
@pauloemanueli7485
2 ай бұрын
❤❤❤@@ilynpayne7491
@rubenprince8990
2 ай бұрын
@@ilynpayne7491 sheria hazitoshi ndo maana wananchi wanahangaishwa huku ulaya kuna sheria ngumu kila siku wakiona tatizo hapo hapo wabunge wanakaa chini wanapanga sheria mpya nchi za huku wanapanga sheria kila Mara lakini huku afrika nchi na wananchi wanaongozwa kwa maneno
@OmariMasenga-qp2bt
Ай бұрын
@@ilynpayne7491❤
Kusema ukweli kabixa makonda upo sawa kabixa Mungu akulinde tu Baba
Allah umlinde raisi wetu kipenzi za mh makonda😷🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@ngowibeatrice1701
2 ай бұрын
Amen
@jacobsabore9822
Ай бұрын
Amen sana
Makona anasimamia mkoa utafikili anasimamia Tanzania kwahiyo Tanzania wenye madini niwachache na wenye huluma na wananchi niwachache tungekua na viongozi kama hawa 10 nchi ingekua imefika mbali wengine wanajali matumbo yao respect sanaaa makonda🙏🙏🙏💯💯
@BazuuKanakarha
Ай бұрын
We sio makona anaitwa makonda🤣🤣
🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟 ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani... ✍️ Ila mimi kutoka kwetu Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 MAKONDA na Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 Mama SAMIA Na Mungu Awalinde popote walipo...
Najikuta nampenda huyu babaa MUNGU AMLINDE
Mungu akulinde makonda me si mtanzania lakini mungu akupe jannat fridhaus inshallah 😢😢😢😢
@JamilaSaid-we7rk
2 ай бұрын
Ww si Mtanzania ni wawapi
Mungu Mkuu Baba yetu wa Mbinguni, Upewe sifa na shukrani kwa kutupenda. sio kwamba sie ni wema lakini Wewe ni Mwema kwetu na Unatupendelea. Twakushukuru mno ZEE wetu wa mbinguni; Baba Utukuzwe kwa yote
Hakika,mungu hawatupi waja wake ..na maan kwamba mam piy hawatupi wanawe na ndy maaan akakuteua wew baba mak0nda kuwatibulia matatz0 na mig0g0r0 ya0.. AMINA SAN UBALIKIWE MAK0NDA PAUL🙏🙏🙏~=
Mungu azidi kuku saidia makondo unatusaidia sana
Mh. Makonda mwenyezi Mungu akubariki Mungu amekupa maono makubwa umenifundisha mema na mazuri kupitia uongozi wako wa kuwa na hofu ya Mungu kwa kutenda haki
@leoniaolomi6779
2 ай бұрын
NATAMAN MH MAKONDA APELEKWE KILA MKOA JAMAN
Ndugu zangu, Ardhi imeshakua shida kweny nchi yetu. Tuweni makini sanaa .tunaweza kuamka sku 1 hii ardhi ya Tanzania ina Mgogoro yote
@golebenson4597
2 ай бұрын
Migogoro kila siku
@angellomarcel5677
2 ай бұрын
Hahaha
Ila Arusha du kwa wavamizi na matukio ua dhulma du nakumbuka shamba letu lilirudi kwa neema ya mungu na mkuu wa wilaya ya meru Jerry muro❤du tu nahitaji maombi sana arusha
@angellomarcel5677
2 ай бұрын
Muro naye alikuwa anafaa sana
Makonda be blessed you are Man of God
Allah akulinde makonda wetu namahasidi wanaotuonea wanyongee 😭😭😭😭😭😭🥰🥰🥰🥰🥰😘😘😘❤️❤️❤️
MH makonda Mungu akutunze Sana wewe ni jicho LA Yesu kwa wa Tanzania kwa neema ya mungu itakua
Makonda ata akilipwa pesa analipwa kihalali maana halali anashughulikia kelo za watu
Jamani kweli madudu yapo hivi Mungu atusaidie.Mungu amwinue Paul's Makonda kuwa Raisi ajae
Mheshimiwa makonda mafisadi sio wapo arusha tu hata mbeya wapo sana na maskini wanapata shida sana,mungu akubariki kwa kutetea wanyonge, gombea urais utachukua kula kama zote.
@hamidamussa-sy4fm
Ай бұрын
CCM watamua
@hamidamussa-sy4fm
Ай бұрын
Kwani mbeya hawapo wakuu wa mikoa
@IsayaEmmanuel-fn5if
Ай бұрын
mungu ame shusha Neema Arusha makonda mungu akupe Neema🙏
Safi makonda endelea kutatua kero za wananch wako ndio tunataka viongoz nawengine wakuige Asante mungu akulinde
Makonda hataweza, wala hatamaliza. Tatizo ni mfumo, taasisi na watu kukosa dhamira na dini. WaTanzania walikuwa watu wazuri na wema sana katika Afrika Mashariki nzima. Hadi Azimio la Arusha 1967, lililohalalisha wizi na uporaji wa mali za watu. Laana ya tukio hilo ndiyo inayoendelea na ndiyo wizi na uporaji hivi sasa vimeshamiri na kuwa jambo la kawaida, tena unachukuliwa kuwa ni aina ya 'ujanja'. Si viongozi, si mwananchi wa kawaida, si mashehe,si wachungaji.... Nchi moja ya ajabu sana.
@barbarasara4033
2 ай бұрын
Asante Sana kuna uozo mwingi sana. System imeoza Wanatakiwa kufumua fumua la sivyo huu ujinga hautaisha
Makonda endelea na huo moyo Mungu atakupigania unawasaidia sana watu wenye shida
Next president in tanzania 2040
@sallynakey_tz
2 ай бұрын
2040 mbali sana mzeee 2030 tu
Bongo unaweza kupigwa na aliekupiga akiwahi polisi imekula kwako.. hii ndio inayotokea
hao jamaa ofisi ya madini wamedhulumu haki ya huyo mzee.
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Ni kawaida serikali ina watumishi wezi sana 😢
Hili jamaa la ofis ya madin ongo😅
Mzee Malulu DADEKI big up sana
@oscanyakunga
2 ай бұрын
Mniite umbwa sijui kafundishwa nanan?
Kazi hii ilipaswa kufanywa na Wanasheria, ni vile tuu nchi yetu ina watu wachache wenye utu na hofu ya Mungu, hususan wataalam..
Mwenyezi Mungu Akuzidishie maono hayo ya kusaidia Wananch
Global Tv mko vizuri kwenye content
Huyo jamaa wa madini anaonekana ni mwizi
Makondo noma sana aisee...mwamba anajua sana.. Mungu akujalie sana uhai. Kaz njema mkuu
Rushwa ni aduhi wa haki alisema nyerere
Ubarikiwe mheshimiwa MAKONDA,,kwa kusikiza kero za wanaichi
Kaka yangu makonda nakuombea kwa mungu nakufananisha na ile nyota iliotupa matumaini ya kutamani kuendelea kuishi mungu akubariki sana
Hi nchi hata ina fika mda mtu una ogopa kumiliki ardhi😢
Makonda uko vizuri, mungu akupemaisha malefu.
Duh! Watu wengi namna hii hawana imani na serikali!
Nimefurahia kukusikia Denis!huyu Denis kwanza ana akili Sana pia ni mtu mwenye kupenda haki ana huruma Sana ulituongezea kidato Cha kwanza Hadi Cha nne unastahili kazi hiyo!
Hii musee naongea km lebo na senteu😂😂😂😂
Makonda, Mungu akupe maisha marefu
Mungu akubariki makonda akuinue kwa viwango vya juu
Mimi nampenda sana makonda na ananitoa machozi Mungu Akufadhiri na uzao wako wote matendo haya yatakufuata
Nimehudhuria jioni nikasikiliza kiukweli inatia aibu kwa ccm, serikali na watendaji wake. Watanganyika wanateseka sana,hii ni sehemu tu ya mkoa lakini Kwa nchi nzima Hali ni mbaya. Watu tunapowaambia katiba mpya ni muhimu basi tuelewe. Haya mateso yote ni matokeo ya .fumbo mbovu unaopendwa na ccm. Kadiri watu wanavyokuwa na shida Kwa ccm ni fursa na mtaji wa kisiasa. Inafika ofisi za serikali au taasisi kama hospital unakuta daktari anachati ,unakwenda ofisi nyingine humkuti mtu. Tuna taifa la hovyo sana
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
Ni wachache tunaoelewa uongozi wa CCM ni janga la taifa letu katiba mpya ni sasa
@MACHOYATAI-jk6fu
2 ай бұрын
Umeona were nchi ya hoovyooo kuwahi kutokea mmeuza bandari zetu ZOOTE MUNGU atalipa
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
@@MACHOYATAI-jk6fu sio bandari tuu na mbuga zote migodi, Mt Kilimanjaro
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Yani ina sikitisha nchi hii😢
JANGO KESHADHULUMU TENA HUKO!! HUYO MZEE DHULUMA NDIO ALAMA YAKE YA UTAMBULISHO MAHALA POPOTE PALE.
@angellomarcel5677
2 ай бұрын
Duh kumbe ndo zake..?
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Duh,ni nani huyo 🤔
Hahahahahaha Makonda bana eti utafikiwa tu we chochea maombi hahahahaha
Daaah! Inachekesha ila inahuzunisha sana😂😂😂😭😭😭
Rais wetu jaman kugundua arusha kuna shida. Aongezewe miaka mingi ,, makonda oye
Msichana wa Mzee malulu. Uko vizuri
Mh,, MAKONDA Mungu akulinde
Big up sana
Akika mungu awenawe makonds
Mh Makonda unastahili kushika wadhifa wa Waziri Mkuu ili utaratibu wako wa kutatua kero za wanachi wanyonge na wapiga kura na walipa kodi ufanyike nchi nzima kwa usimamizi wako wa karibu!
Chuma kama Makonda ni vichache sana duniani na hua wanapigwa vita kubwa na wasio penda haki Wenyezi Mungu akufunike kwa mwavuli wake wa ulinzi tunakuombea sanaa.
Kweli Arusha ni nchi nyingine aseee 😂
Makonda umechelewa sana kuja Arusha kaka
Na mimi namuombea raisi wetu Mungu amlinde,Na Mungu wangu asisimiache Makonda bila ulinzi wa kiugu,ni mtu aliekosekana kwa mda Arusha,sasa ni wakati wa Bwana na Bwana akatende sawa sawa na mapenzi yake
Nipo INDIA ila nafuatilia sana mikutano ya makonda Mungu amlinde
JUNGLE MASTER😂😂😂mtu mbadi...makonda anaijua vyema hiyo lebo
Makonda pole na kazi ya huko Arusha ss Wana Kilimanjaro tuna kuombaukaribie huku tembo Wana tutesa sana watu wamemaliziwa mazao yao watu wa kufa njaa
Namuona rais wa 2035 kwa mbaliii✊✊✊anaitwa makonda mtetezi wa wanyonge
@hamidamussa-sy4fm
Ай бұрын
Hapati wala hapewi
@user-gi2sf9sm8t
Ай бұрын
@@hamidamussa-sy4fm niamin mim mzee
Jamaa wa madini kaongea chapu kabla ya makonda hajafika
@irenebeatus9481
2 ай бұрын
😅😅😅
Chongolo akisema mimi iko ongo niite mimi umbwa😂😂
Jungle master 😎😎
Hivi hizi kero mbona nyingine ni za Kisheria kwanini kwanini baadhi ya zisipelekwe mahakamani?
Wanaka kumdhulumu huyu mzee makonda usikubali 😢
We unayesimamia nawe chenga tu
Hongereni wana Arusha
Mnapotaka msaada wa kisheria msitilie uongo ndani yake...mtajikuta mnaumia zaidi😊
Me uwa nikiona hizi mada za makonda me ulia kila siku😢😢😢😢yani myonge ana haki lakini kwako ndo ana pata haki😢
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Wanyonge wana teseka sana nchi hii😢😢
Matatizo ya Watz hatamalizwa na Makonda wala Raisi au Waziri, bali KATIBA BORA NA SHERIA IMARA, chini ya MIHIMILI HURU.
Matatizo hayo sio tu arusha yapo na mafisa wa morogoro
Da napendasana kufatlia vkaovyakonawananch kakamunguakusimamie huondouongoz saf
Huyu kaimu nae ni walewale
Nimeamini bila makonda Hamna msuruhishi hapo
Kumbe uongozi ni kazi
Tunakutakia maisha mwema makonda yenye baraka tele usichoke kusikiliza kero za wananchi
Corruption toomuch
Kilahatua Dua kk WA, TANZANIA TUNAKUOMBEA KK
uyo mama hapo nyuma ni mbegu nzuri jmn 🐒
Nimeanza kukubali makonda apo kweli umeanza kufata haki kwa watu wanao onewa Tz
🙏
NataMani makonda Aje morogoro
Mhe mkuu wa mkoa makonda nakuombea uendelee kutenda haki
Hizo system za kuhamisha ni kawaida sana
Muheshimiwa umevaa gwanda
Hao wa madini ndio tabia yao
Mzee Monabani 💯
Huu ndiyo utapeli wa nchi hii Wenye pesa anapewa kwenye manufaa
Hii issue nilitaka sana kauli ya RC Makonda ila alitoka cjui kwa nini
Kazi anaiweza makonda
Watanzania mko swa
Mabwana Shauri wangerejeshwa na huyu bwana awe mkurugenzi wa idara hiyo mpya. Vinginevyo RC hatafanya kazi yake ofisini.
Sawa
uyumwamba independent sana tumpate mkoa wa rukwa uyomba nakuelewaga sana
Uhuni umefanyika kupokonya hiyo mzee
Huko mahakama hazifanyi kazi na mahakimu mnajisikiaje?
Utakuwa President wa Tanzania
Mh makonda gombea ubunge arusha ukomboe arusha yetu