''NIITENI MBWA - SITOKI HAPA - MPIGIE CHONGOLO'' - MZEE MBELE ya MAKONDA AMLIPUA BOSI wa MADINI.,..

''NIITENI MBWA - SITOKI HAPA - MPIGIE CHONGOLO'' - MZEE MBELE ya MAKONDA AMLIPUA BOSI wa MADINI.,..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 180

  • @hafsahamadi8463
    @hafsahamadi84632 ай бұрын

    Nipo germany 🇩🇪 mm ni mtanzania nafatilia sana mijadala ya Mh makonda Mungu amlinde huyu kiongozi

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g2 ай бұрын

    Nafuatilia matukio mbali mbali kutoka Oman Kwakweli vocha yangu natumia kihalisia. Asant Mh Makonda barikiwa sana

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    2 ай бұрын

    Tanzania kuna uonevu mnoo😢

  • @pauloemanueli7485

    @pauloemanueli7485

    2 ай бұрын

    ❤❤❤​@@ilynpayne7491

  • @rubenprince8990

    @rubenprince8990

    2 ай бұрын

    ​@@ilynpayne7491 sheria hazitoshi ndo maana wananchi wanahangaishwa huku ulaya kuna sheria ngumu kila siku wakiona tatizo hapo hapo wabunge wanakaa chini wanapanga sheria mpya nchi za huku wanapanga sheria kila Mara lakini huku afrika nchi na wananchi wanaongozwa kwa maneno

  • @OmariMasenga-qp2bt

    @OmariMasenga-qp2bt

    Ай бұрын

    ​@@ilynpayne7491❤

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer87062 ай бұрын

    Kusema ukweli kabixa makonda upo sawa kabixa Mungu akulinde tu Baba

  • @user-mm4uy7cy9w
    @user-mm4uy7cy9w2 ай бұрын

    Allah umlinde raisi wetu kipenzi za mh makonda😷🤲🏻🤲🏻🤲🏻

  • @ngowibeatrice1701

    @ngowibeatrice1701

    2 ай бұрын

    Amen

  • @jacobsabore9822

    @jacobsabore9822

    Ай бұрын

    Amen sana

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28082 ай бұрын

    Makona anasimamia mkoa utafikili anasimamia Tanzania kwahiyo Tanzania wenye madini niwachache na wenye huluma na wananchi niwachache tungekua na viongozi kama hawa 10 nchi ingekua imefika mbali wengine wanajali matumbo yao respect sanaaa makonda🙏🙏🙏💯💯

  • @BazuuKanakarha

    @BazuuKanakarha

    Ай бұрын

    We sio makona anaitwa makonda🤣🤣

  • @imranhassan9994
    @imranhassan99942 ай бұрын

    🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟 ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani... ✍️ Ila mimi kutoka kwetu Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 MAKONDA na Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 Mama SAMIA Na Mungu Awalinde popote walipo...

  • @hadijamshimbula7616
    @hadijamshimbula76162 ай бұрын

    Najikuta nampenda huyu babaa MUNGU AMLINDE

  • @ttss7716
    @ttss77162 ай бұрын

    Mungu akulinde makonda me si mtanzania lakini mungu akupe jannat fridhaus inshallah 😢😢😢😢

  • @JamilaSaid-we7rk

    @JamilaSaid-we7rk

    2 ай бұрын

    Ww si Mtanzania ni wawapi

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82412 ай бұрын

    Mungu Mkuu Baba yetu wa Mbinguni, Upewe sifa na shukrani kwa kutupenda. sio kwamba sie ni wema lakini Wewe ni Mwema kwetu na Unatupendelea. Twakushukuru mno ZEE wetu wa mbinguni; Baba Utukuzwe kwa yote

  • @JamesMakuri-ik6gj
    @JamesMakuri-ik6gj2 ай бұрын

    Hakika,mungu hawatupi waja wake ..na maan kwamba mam piy hawatupi wanawe na ndy maaan akakuteua wew baba mak0nda kuwatibulia matatz0 na mig0g0r0 ya0.. AMINA SAN UBALIKIWE MAK0NDA PAUL🙏🙏🙏~=

  • @AyeshaAyesha-xr8fc
    @AyeshaAyesha-xr8fc2 ай бұрын

    Mungu azidi kuku saidia makondo unatusaidia sana

  • @user-uj9zn6mj5b
    @user-uj9zn6mj5b2 ай бұрын

    Mh. Makonda mwenyezi Mungu akubariki Mungu amekupa maono makubwa umenifundisha mema na mazuri kupitia uongozi wako wa kuwa na hofu ya Mungu kwa kutenda haki

  • @leoniaolomi6779

    @leoniaolomi6779

    2 ай бұрын

    NATAMAN MH MAKONDA APELEKWE KILA MKOA JAMAN

  • @geey7893
    @geey78932 ай бұрын

    Ndugu zangu, Ardhi imeshakua shida kweny nchi yetu. Tuweni makini sanaa .tunaweza kuamka sku 1 hii ardhi ya Tanzania ina Mgogoro yote

  • @golebenson4597

    @golebenson4597

    2 ай бұрын

    Migogoro kila siku

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    2 ай бұрын

    Hahaha

  • @lilyshayo761
    @lilyshayo7612 ай бұрын

    Ila Arusha du kwa wavamizi na matukio ua dhulma du nakumbuka shamba letu lilirudi kwa neema ya mungu na mkuu wa wilaya ya meru Jerry muro❤du tu nahitaji maombi sana arusha

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    2 ай бұрын

    Muro naye alikuwa anafaa sana

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s2 ай бұрын

    Makonda be blessed you are Man of God

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei11332 ай бұрын

    Allah akulinde makonda wetu namahasidi wanaotuonea wanyongee 😭😭😭😭😭😭🥰🥰🥰🥰🥰😘😘😘❤️❤️❤️

  • @OscarGregorymosha
    @OscarGregorymosha2 ай бұрын

    MH makonda Mungu akutunze Sana wewe ni jicho LA Yesu kwa wa Tanzania kwa neema ya mungu itakua

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fmАй бұрын

    Makonda ata akilipwa pesa analipwa kihalali maana halali anashughulikia kelo za watu

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd2 ай бұрын

    Jamani kweli madudu yapo hivi Mungu atusaidie.Mungu amwinue Paul's Makonda kuwa Raisi ajae

  • @RuceMwinuka
    @RuceMwinuka2 ай бұрын

    Mheshimiwa makonda mafisadi sio wapo arusha tu hata mbeya wapo sana na maskini wanapata shida sana,mungu akubariki kwa kutetea wanyonge, gombea urais utachukua kula kama zote.

  • @hamidamussa-sy4fm

    @hamidamussa-sy4fm

    Ай бұрын

    CCM watamua

  • @hamidamussa-sy4fm

    @hamidamussa-sy4fm

    Ай бұрын

    Kwani mbeya hawapo wakuu wa mikoa

  • @IsayaEmmanuel-fn5if

    @IsayaEmmanuel-fn5if

    Ай бұрын

    mungu ame shusha Neema Arusha makonda mungu akupe Neema🙏

  • @RamadhaniIddy-zo7xt
    @RamadhaniIddy-zo7xt2 ай бұрын

    Safi makonda endelea kutatua kero za wananch wako ndio tunataka viongoz nawengine wakuige Asante mungu akulinde

  • @Nedjadist
    @Nedjadist2 ай бұрын

    Makonda hataweza, wala hatamaliza. Tatizo ni mfumo, taasisi na watu kukosa dhamira na dini. WaTanzania walikuwa watu wazuri na wema sana katika Afrika Mashariki nzima. Hadi Azimio la Arusha 1967, lililohalalisha wizi na uporaji wa mali za watu. Laana ya tukio hilo ndiyo inayoendelea na ndiyo wizi na uporaji hivi sasa vimeshamiri na kuwa jambo la kawaida, tena unachukuliwa kuwa ni aina ya 'ujanja'. Si viongozi, si mwananchi wa kawaida, si mashehe,si wachungaji.... Nchi moja ya ajabu sana.

  • @barbarasara4033

    @barbarasara4033

    2 ай бұрын

    Asante Sana kuna uozo mwingi sana. System imeoza Wanatakiwa kufumua fumua la sivyo huu ujinga hautaisha

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo99822 ай бұрын

    Makonda endelea na huo moyo Mungu atakupigania unawasaidia sana watu wenye shida

  • @lonjinoedward3539
    @lonjinoedward35392 ай бұрын

    Next president in tanzania 2040

  • @sallynakey_tz

    @sallynakey_tz

    2 ай бұрын

    2040 mbali sana mzeee 2030 tu

  • @rakastv3558
    @rakastv35582 ай бұрын

    Bongo unaweza kupigwa na aliekupiga akiwahi polisi imekula kwako.. hii ndio inayotokea

  • @mussamussa9446
    @mussamussa94462 ай бұрын

    hao jamaa ofisi ya madini wamedhulumu haki ya huyo mzee.

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    2 ай бұрын

    Ni kawaida serikali ina watumishi wezi sana 😢

  • @MsafiriZakayo-pu5bx
    @MsafiriZakayo-pu5bx2 ай бұрын

    Hili jamaa la ofis ya madin ongo😅

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56772 ай бұрын

    Mzee Malulu DADEKI big up sana

  • @oscanyakunga

    @oscanyakunga

    2 ай бұрын

    Mniite umbwa sijui kafundishwa nanan?

  • @Darian2550
    @Darian25502 ай бұрын

    Kazi hii ilipaswa kufanywa na Wanasheria, ni vile tuu nchi yetu ina watu wachache wenye utu na hofu ya Mungu, hususan wataalam..

  • @LudovickBatiho
    @LudovickBatiho2 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu Akuzidishie maono hayo ya kusaidia Wananch

  • @eng.kivuyo12
    @eng.kivuyo122 ай бұрын

    Global Tv mko vizuri kwenye content

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael52 ай бұрын

    Huyo jamaa wa madini anaonekana ni mwizi

  • @sethyotham
    @sethyothamАй бұрын

    Makondo noma sana aisee...mwamba anajua sana.. Mungu akujalie sana uhai. Kaz njema mkuu

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo11432 ай бұрын

    Rushwa ni aduhi wa haki alisema nyerere

  • @joycemwango943
    @joycemwango9432 ай бұрын

    Ubarikiwe mheshimiwa MAKONDA,,kwa kusikiza kero za wanaichi

  • @DiniMwambashi
    @DiniMwambashi2 ай бұрын

    Kaka yangu makonda nakuombea kwa mungu nakufananisha na ile nyota iliotupa matumaini ya kutamani kuendelea kuishi mungu akubariki sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74912 ай бұрын

    Hi nchi hata ina fika mda mtu una ogopa kumiliki ardhi😢

  • @omarypanga4064
    @omarypanga4064Ай бұрын

    Makonda uko vizuri, mungu akupemaisha malefu.

  • @Nedjadist
    @Nedjadist2 ай бұрын

    Duh! Watu wengi namna hii hawana imani na serikali!

  • @leonidaluwago6796
    @leonidaluwago67962 ай бұрын

    Nimefurahia kukusikia Denis!huyu Denis kwanza ana akili Sana pia ni mtu mwenye kupenda haki ana huruma Sana ulituongezea kidato Cha kwanza Hadi Cha nne unastahili kazi hiyo!

  • @alinadee8207
    @alinadee82072 ай бұрын

    Hii musee naongea km lebo na senteu😂😂😂😂

  • @nurumligo4862
    @nurumligo48622 ай бұрын

    Makonda, Mungu akupe maisha marefu

  • @RuceMwinuka
    @RuceMwinuka2 ай бұрын

    Mungu akubariki makonda akuinue kwa viwango vya juu

  • @user-xx9tc7uv3c
    @user-xx9tc7uv3cАй бұрын

    Mimi nampenda sana makonda na ananitoa machozi Mungu Akufadhiri na uzao wako wote matendo haya yatakufuata

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka89912 ай бұрын

    Nimehudhuria jioni nikasikiliza kiukweli inatia aibu kwa ccm, serikali na watendaji wake. Watanganyika wanateseka sana,hii ni sehemu tu ya mkoa lakini Kwa nchi nzima Hali ni mbaya. Watu tunapowaambia katiba mpya ni muhimu basi tuelewe. Haya mateso yote ni matokeo ya .fumbo mbovu unaopendwa na ccm. Kadiri watu wanavyokuwa na shida Kwa ccm ni fursa na mtaji wa kisiasa. Inafika ofisi za serikali au taasisi kama hospital unakuta daktari anachati ,unakwenda ofisi nyingine humkuti mtu. Tuna taifa la hovyo sana

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    2 ай бұрын

    Ni wachache tunaoelewa uongozi wa CCM ni janga la taifa letu katiba mpya ni sasa

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    2 ай бұрын

    Umeona were nchi ya hoovyooo kuwahi kutokea mmeuza bandari zetu ZOOTE MUNGU atalipa

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    2 ай бұрын

    @@MACHOYATAI-jk6fu sio bandari tuu na mbuga zote migodi, Mt Kilimanjaro

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    2 ай бұрын

    Yani ina sikitisha nchi hii😢

  • @mussaissa6796
    @mussaissa67962 ай бұрын

    JANGO KESHADHULUMU TENA HUKO!! HUYO MZEE DHULUMA NDIO ALAMA YAKE YA UTAMBULISHO MAHALA POPOTE PALE.

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    2 ай бұрын

    Duh kumbe ndo zake..?

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    Ай бұрын

    Duh,ni nani huyo 🤔

  • @joycehaule9717
    @joycehaule97172 ай бұрын

    Hahahahahaha Makonda bana eti utafikiwa tu we chochea maombi hahahahaha

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki60412 ай бұрын

    Daaah! Inachekesha ila inahuzunisha sana😂😂😂😭😭😭

  • @CathyMathias-bx4ft
    @CathyMathias-bx4ft2 ай бұрын

    Rais wetu jaman kugundua arusha kuna shida. Aongezewe miaka mingi ,, makonda oye

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985Ай бұрын

    Msichana wa Mzee malulu. Uko vizuri

  • @joycemwango943
    @joycemwango9432 ай бұрын

    Mh,, MAKONDA Mungu akulinde

  • @josephkanut6368
    @josephkanut63682 ай бұрын

    Big up sana

  • @MaryFrancis-mz6zs
    @MaryFrancis-mz6zsАй бұрын

    Akika mungu awenawe makonds

  • @user-pn5gv7ix3g
    @user-pn5gv7ix3g2 ай бұрын

    Mh Makonda unastahili kushika wadhifa wa Waziri Mkuu ili utaratibu wako wa kutatua kero za wanachi wanyonge na wapiga kura na walipa kodi ufanyike nchi nzima kwa usimamizi wako wa karibu!

  • @evelynchitambo4728
    @evelynchitambo47282 ай бұрын

    Chuma kama Makonda ni vichache sana duniani na hua wanapigwa vita kubwa na wasio penda haki Wenyezi Mungu akufunike kwa mwavuli wake wa ulinzi tunakuombea sanaa.

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba11982 ай бұрын

    Kweli Arusha ni nchi nyingine aseee 😂

  • @AmedeusiMassawe-hb7rj
    @AmedeusiMassawe-hb7rj2 ай бұрын

    Makonda umechelewa sana kuja Arusha kaka

  • @BilhaLaizer
    @BilhaLaizerАй бұрын

    Na mimi namuombea raisi wetu Mungu amlinde,Na Mungu wangu asisimiache Makonda bila ulinzi wa kiugu,ni mtu aliekosekana kwa mda Arusha,sasa ni wakati wa Bwana na Bwana akatende sawa sawa na mapenzi yake

  • @michaelyusuph9143
    @michaelyusuph9143Ай бұрын

    Nipo INDIA ila nafuatilia sana mikutano ya makonda Mungu amlinde

  • @mohdymuddy-464
    @mohdymuddy-464Ай бұрын

    JUNGLE MASTER😂😂😂mtu mbadi...makonda anaijua vyema hiyo lebo

  • @SmilingCabezonFish-eg9lo
    @SmilingCabezonFish-eg9lo19 күн бұрын

    Makonda pole na kazi ya huko Arusha ss Wana Kilimanjaro tuna kuombaukaribie huku tembo Wana tutesa sana watu wamemaliziwa mazao yao watu wa kufa njaa

  • @user-gi2sf9sm8t
    @user-gi2sf9sm8t2 ай бұрын

    Namuona rais wa 2035 kwa mbaliii✊✊✊anaitwa makonda mtetezi wa wanyonge

  • @hamidamussa-sy4fm

    @hamidamussa-sy4fm

    Ай бұрын

    Hapati wala hapewi

  • @user-gi2sf9sm8t

    @user-gi2sf9sm8t

    Ай бұрын

    @@hamidamussa-sy4fm niamin mim mzee

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3132 ай бұрын

    Jamaa wa madini kaongea chapu kabla ya makonda hajafika

  • @irenebeatus9481

    @irenebeatus9481

    2 ай бұрын

    😅😅😅

  • @mohdymuddy-464
    @mohdymuddy-464Ай бұрын

    Chongolo akisema mimi iko ongo niite mimi umbwa😂😂

  • @justice607
    @justice6072 ай бұрын

    Jungle master 😎😎

  • @user-ub1xk6yz6l
    @user-ub1xk6yz6lАй бұрын

    Hivi hizi kero mbona nyingine ni za Kisheria kwanini kwanini baadhi ya zisipelekwe mahakamani?

  • @ttss7716
    @ttss77162 ай бұрын

    Wanaka kumdhulumu huyu mzee makonda usikubali 😢

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg2 ай бұрын

    We unayesimamia nawe chenga tu

  • @user-kw5pb9dd7p
    @user-kw5pb9dd7p2 ай бұрын

    Hongereni wana Arusha

  • @mohdymuddy-464
    @mohdymuddy-464Ай бұрын

    Mnapotaka msaada wa kisheria msitilie uongo ndani yake...mtajikuta mnaumia zaidi😊

  • @ttss7716
    @ttss77162 ай бұрын

    Me uwa nikiona hizi mada za makonda me ulia kila siku😢😢😢😢yani myonge ana haki lakini kwako ndo ana pata haki😢

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    2 ай бұрын

    Wanyonge wana teseka sana nchi hii😢😢

  • @partonmosha8433
    @partonmosha84332 ай бұрын

    Matatizo ya Watz hatamalizwa na Makonda wala Raisi au Waziri, bali KATIBA BORA NA SHERIA IMARA, chini ya MIHIMILI HURU.

  • @user-ju5ee1gx2w
    @user-ju5ee1gx2w2 ай бұрын

    Matatizo hayo sio tu arusha yapo na mafisa wa morogoro

  • @MbwanaMbaga
    @MbwanaMbaga12 күн бұрын

    Da napendasana kufatlia vkaovyakonawananch kakamunguakusimamie huondouongoz saf

  • @petrojacob6070
    @petrojacob60702 ай бұрын

    Huyu kaimu nae ni walewale

  • @habarinamatukio6148
    @habarinamatukio6148Ай бұрын

    Nimeamini bila makonda Hamna msuruhishi hapo

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol2 ай бұрын

    Kumbe uongozi ni kazi

  • @ElizabethSalu
    @ElizabethSalu2 ай бұрын

    Tunakutakia maisha mwema makonda yenye baraka tele usichoke kusikiliza kero za wananchi

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo11432 ай бұрын

    Corruption toomuch

  • @kassimyusuph9470
    @kassimyusuph94702 ай бұрын

    Kilahatua Dua kk WA, TANZANIA TUNAKUOMBEA KK

  • @waamuzimedia
    @waamuzimediaАй бұрын

    uyo mama hapo nyuma ni mbegu nzuri jmn 🐒

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq2 ай бұрын

    Nimeanza kukubali makonda apo kweli umeanza kufata haki kwa watu wanao onewa Tz

  • @amosmahona433
    @amosmahona4332 ай бұрын

    🙏

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jzАй бұрын

    NataMani makonda Aje morogoro

  • @Bulayampuya
    @BulayampuyaАй бұрын

    Mhe mkuu wa mkoa makonda nakuombea uendelee kutenda haki

  • @japhetnziku3917
    @japhetnziku39172 ай бұрын

    Hizo system za kuhamisha ni kawaida sana

  • @deodathrobertquacker3879
    @deodathrobertquacker38792 ай бұрын

    Muheshimiwa umevaa gwanda

  • @user-xh9ko2cs1r
    @user-xh9ko2cs1r2 ай бұрын

    Hao wa madini ndio tabia yao

  • @NchambiMaduhu
    @NchambiMaduhu2 ай бұрын

    Mzee Monabani 💯

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza38932 ай бұрын

    Huu ndiyo utapeli wa nchi hii Wenye pesa anapewa kwenye manufaa

  • @nayopamlimbatv1382
    @nayopamlimbatv13822 ай бұрын

    Hii issue nilitaka sana kauli ya RC Makonda ila alitoka cjui kwa nini

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu45242 ай бұрын

    Kazi anaiweza makonda

  • @JumaOnyancha-se8lu
    @JumaOnyancha-se8luАй бұрын

    Watanzania mko swa

  • @petersilas4234
    @petersilas42342 ай бұрын

    Mabwana Shauri wangerejeshwa na huyu bwana awe mkurugenzi wa idara hiyo mpya. Vinginevyo RC hatafanya kazi yake ofisini.

  • @user-tz8yn9uf2k
    @user-tz8yn9uf2k2 ай бұрын

    Sawa

  • @jofreyjulias3745
    @jofreyjulias37452 ай бұрын

    uyumwamba independent sana tumpate mkoa wa rukwa uyomba nakuelewaga sana

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza38932 ай бұрын

    Uhuni umefanyika kupokonya hiyo mzee

  • @barakamwangama9109
    @barakamwangama91092 ай бұрын

    Huko mahakama hazifanyi kazi na mahakimu mnajisikiaje?

  • @hermenegildempawenayo279
    @hermenegildempawenayo2792 ай бұрын

    Utakuwa President wa Tanzania

  • @user-py3eg7xt5e
    @user-py3eg7xt5eАй бұрын

    Mh makonda gombea ubunge arusha ukomboe arusha yetu

Келесі