MCH :HANANJA AMTOLEA UVIVU NABII KIBOKO YA WACHAWI SIRI ZA KUTOA MAPEPO
Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
Жүктеу.....
Пікірлер: 430
@mayungahima19872 күн бұрын
Mungu anaye watetezi waneno lake lisilogoshiwa, injiri ya Yesu halisi. Mungu akutunze vyema mch HANANJA.
@FabiolaAntony-up7ih6 күн бұрын
Asante Mungu kwa zawadi hii, mwalimu mkweli.neema ya Mungu ikulinde Hananja
@user-bn9iw1lw8f
2 күн бұрын
Amina mtumishi
@saiditwalibu52449 күн бұрын
Huyu Mzee ukiwa na akili huru utamuelewa vzr sana,
@musajonas9397
2 күн бұрын
that's point
@EmmanuelYohanaMbembela3 сағат бұрын
Hakika huu ni nyakati za mwisho lazima tuwe makini sana na injili za siku hizi Mungu wa Mbinguni akutunze sana Mchungaji Hananja lazima kweli ya Mungu isemwe👏
@user-zi9ug9tn6m2 күн бұрын
Mchungaji Hananja Mungu akutunze kwakweli,unaugusa moyo wangu ❤😢
@user-cg1hc7yt3v2 күн бұрын
Nakupenda sana mzee wangu unakili za kuzaliwa awakuwezi wachungaji wote tanzania apa
@chandeyusufu95709 күн бұрын
Wallah baba nakukubali wewe ni msema kweli mwenye kuchukia na achukie mtumishi wa mungu itakuwaje ajichubue ao ndio welewale
@Machozihussen-er8cp5 күн бұрын
Huyu mch ana mawe mazito sana 'majabali' powerful speech kuna kipindi utafurahi utacheka kuna kipindi anaisisimua akili INSHORT namuelewa sana
@RaymondMumba-k1lКүн бұрын
Mungu akupe mwisho mwema Baba upo sahihi sana
@injilinjeyakutazakanisa12 күн бұрын
Barikiwa, nakuelewa Mchungaji. Nadhani Elimu pia azingatiwe, isiwe wito tu! nadhani tatizo lingine ni hili. Serekali izingatie haya
@fanuelkatoto891311 күн бұрын
Mungu akuzidishie hekima mtumishi ili tupate mafundisho yako yanayotujenga kiimani. 🙏🏽
@Yassinseleman13 күн бұрын
Nilikua na role model wa kisiasa wawili tz lowassa na maalim seiph sasa na baba hananja ni role model wangu kwenye kusema kweli nakupenda baba
@charlesyotham797710 күн бұрын
Huyu Baba anaongea kweli tupu mkijuwa kweli nayo kweli itakuweka huru
@shiracque852412 күн бұрын
Ubarikiwe mwalimu BABA mchungaji
@sarahkinyashi621311 күн бұрын
Ninachojua nikukupenda tu mchungaji wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-hb8iv7jz9c12 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu hananja.
@YorandaBonephasКүн бұрын
Mungu akubaliki sema ukweli walausijali mungu yuponawe hawakuwezi
Nakuombea kwa mungu uwe na maisha maref sanaa nakupenda san BABA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@eliaskabila110610 күн бұрын
Mchungaji Hananja unasema kweli kabisa Mungu akubariki sana uishi maisha marefu uendelee kutufunza
@zengomikomangwa926414 күн бұрын
Nakuelewa sana Mch Hananja. Asiekuelewa hasikilizi vizuri. Hongera kwa kuwa muwazi.
@user-wy4yn2xi3n8 күн бұрын
Mchungaji Hongera Sana upo Vizuri. Nimependa sana mahubiri yako ya MUNGU ni mazuri. Ameeeen MUNGU AKULINDE MIAKA MINGI.
@eunicekiilu7485
Күн бұрын
Aminaaaaaaaaàh 🙌 barikiwa cna mutumishi wa mungu
@vieloontz6 күн бұрын
Viva mzee....huyu ni mchungaji sasa, Mungu akubariki sana
@VERONICASEGESELAКүн бұрын
Injili ya kweli siku hizi haina wafuasi wengi na watu wengi wamepotea kwa kutokuzingatia maarifa ya neno la Mungu .asante Mchungaji kwa kukazia ukweli ulivyo
@@maalimhamad1297ww mwenyewe kafiri!! Tafuta hela punguza makasiriko! Kwanii asimsifie kama kaongea point. Acha udini Mungu ni mmoja
@user-ec4br4pd3o
9 күн бұрын
Acha wivu@@maalimhamad1297
@brightonvictorkimsehyeon7892
9 күн бұрын
@@maalimhamad1297acha makasiriko mbwa ww rubbish
@stanleymwaselela1849
8 күн бұрын
@@maalimhamad1297haulazishwi kuja huku au kufuatilia page hii wewe ndio kafiri muda wote unafuatilia mambo ya mwanga tu wewe uchawi unakusumbua
@user-sw2nu4qd2x2 күн бұрын
Nakuombea sana mzeee udumu maanaa hawa masharu wanaaribia wenginee wenye witi
@godfreymhina623611 күн бұрын
Mchg kwakweli BWANA akubaliki sana amekuweka kwa kusudi huo ndio ukweli, Mwenye kuelewa ataelewa lakini huo unaoeleza ndio ukweli kwenye kizazi cha ukaidi.
@hamisikamanda99333 күн бұрын
Vizuri havidumu tunajua,,, ila mungu tuachie huyu basi jamaniii Dah!!
@user-zp5qj3ym5x9 күн бұрын
Mm ni muislamu ila uyu mzee namuelewa sana na pia napenda kumfuatilia kwenye vipindi vyake Mungu akueke mchunguji Ananja
@kilimaentertainment1687
8 күн бұрын
Mimi pia ni Islamic ila huyu ni mwislamu Mungu anentumia upande huo wasipotee yaani Yuko real real real hababaji safi sana
@fumotv7914
2 күн бұрын
@@kilimaentertainment1687ukiona mtu anawasema wengne ndo muislam? Kabla ulikua unamjua?
@devotaminga93524 сағат бұрын
Mungu akutunze mwl mwema msema kweli wa nyakati za mwisho🙏🙌
@devotaminga93524 сағат бұрын
Mungu anao watu Mungu anajivunia wewe akiangalia kanisa lilivyo kengeuka ila akikuangalia wewe anajivunia sanaa 🙌🙏
@user-kq7kn7gh6l14 күн бұрын
Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba
@wanguwangu3418 сағат бұрын
Hananja ni mtumishi halisi wa MUNGU, barikiwa sana
@rahabnkya82768 күн бұрын
PASTOR HANANJA ASANTE. KODI NI MUHIMU. CAKE, MAJI, MAFUTA, LESO CHUMVI, NKVIKO MADHABAHUNI GHARAMA VIMEOMBEWA KUAKISI UPONYAJI AU MALI UTAJIRI. TUNASHUKURU KWA MAELEZO YAKO PENGINE YANA UKWELI NDANI YAKE. KWAMBA HAMNA WIZI HAPO SIYO. AMEEN. 😊
@mmakajunior306316 сағат бұрын
Mungu nimwem mchugaji hananja nimuekawazi hiiimeenda❤🎉
@foundationforcommunityhope73279 күн бұрын
Hongera Sana mtumishi...unasema ukweli kabisaaa.
@EVANSOUMA-k5h9 күн бұрын
Mungu akuzidishie roho mtakatifu Baba mchungaji
@paulmnyanyi703913 сағат бұрын
Huyu mzee yuko vzr sana. na wengi wetu wanapotoshwa kwasababu Hawasomi Neno la Mungu na kutotaka kujua.
@michaelkibiki33098 күн бұрын
Navutiwa sana na Huyu mchungaji anajitahidi sana kusema ukweli.Mungu ambariki sana
@winfridmsuha13033 күн бұрын
Uyu mchungaji anajua sana ata akipewa mkoa au wilaya anaweza kuongoza vizuri
@ramadhaninyangasa727510 күн бұрын
Ni katika wachungaji wachache sana!! Wakweli
@Nicaonlinetv73243 күн бұрын
Ni mara chache sana kukuta post ina maoni ya aina moja. Comment zote zinaongea lugha moja kumkubali Mchungaji Hananja. Hakika lipo jambo la kujifunza hapa.
@frankdickson148010 күн бұрын
Pastor Unasema kweli Mungu akutunze
@georgemtewele765612 күн бұрын
Kama umesoma biblia toka mwanzo mpaka Ufunuo, hongera na Kama bado na huna mda komaa kiroho kwa kumsikiliza Hananja sugu wa imani isiyo goshiwa
@user-zr1wl5zk4i2 күн бұрын
Huyu nae muhunitu hapo anayasema baada ya kustaafu mbona kpindi hicho hakuyasema!
@musajonas93972 күн бұрын
uko sawa ubarikiwe sana pastor watu wamependa kudanganywa ila nakuelewa sana Barikiwa
@felisterjoshuamollel393025 минут бұрын
😢😢madhabahu imegeuzwa duka watozwe kodi🎉
@edmundnkarangu13414 күн бұрын
Heavy point WALIPE KODI
@HappyCrescentMoon-oy1yp3 күн бұрын
Nakubari sana huyu mzee
@SalumSevingi10 күн бұрын
Mwenyz Mungu akulinde.
@RABECAJAILOSКүн бұрын
Ubarikiwe mch.hananja unaongea kweli tupu baba
@vailethudson27716 күн бұрын
hahahah Mungu sio shemeji yako,,,hakika nakuelewaga sana Mtumishi
@devotaminga93524 сағат бұрын
Harafu utashangaa jumbe kama hiziii zilizotawaliwa na ukweli hazipostiwi na media ila wale wapotoshaji wanapewa kipaumbele sanaa Mungu lisaidie kanisa lako mkumbuke huyu Baba umpe ulinzi🙏
@abdallahchande29132 күн бұрын
mim nnamaoni mawili,🙏 kwnze namfurahia sana huyu mzee maana anajitahidi kuwaambia ukweli watu wanaomnyenye asiye mungu, ili wamuamini mungu wa kweli,, lapili hiyo tabia ya kuweka mziki watikati mtu anaongea tena vtu vya maana mnatuchanganya hatujui tusikilize nini , acheni habari ifike kama habari
@WigesaNyerere8 күн бұрын
Mchungaji Mungu akusimamie daima,unasalisha kanisa gani na wapi me nahtaji kurudi kanisani,maana nishaa Acha nasalia ndani tu,ila unafundsha neno mpka nafrahi
@wilfredjohn482910 күн бұрын
Amen nimekuelewa Baba yangu Mungu akubariki 😂😂😂😂 dawa ya deni ni kulipa jaman kwakweli umeongea ukweli kabisa watumishi wa Mungu huubiri Neno la Mungu yohana 8:32 Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru.....
@KahimanoMutwa10 күн бұрын
This is my father now ❤
@fredybanda286113 күн бұрын
Exactly servant of God
@kevindakbm70062 күн бұрын
Deni lilipwe nnae mda humu vp umeskia
@user-sp5vr7uo4w10 күн бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@worth_monkey11 күн бұрын
mungu akuweke mchungaji umeongea fact sana asee wabongoo wanaburuzwaaa
@user-ho7ci2fq1c10 күн бұрын
Exactly Man of GooD
@charlesnyanhanga438214 күн бұрын
Hakika mchungaji yesu mwenyewe alilipa kodi
@MzuandaMlali-x3r3 күн бұрын
Baba ni kweli kabisa
@phanuelemmanuel47436 күн бұрын
Mungu ni mwema siku zote ubarikiwe Sana Tena Sana mtumishi WA mungu barikiwa Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 hata muimbaji MUNISHI aliyaimba yote haya wimbo unatwa MAKANISA
@farijala113 күн бұрын
Huyu Mzee Huwa anaongea Uhalisiawanamna Mafundisho halisi ya Dini. Haya anayosea Ndani ya Uislamu ni Hivyo na ninaamini hata kwenye Ukristo ni Hivyo,Sema hawakosekanagi wanaotafuta Upenyo wa Kuelekea namna vichwa vyao vinavyotaka.
@thomasraiton776010 күн бұрын
Na Kuna watu waliomba awafanyie muujiza akagoma kabisa
@panduafricangiant490213 күн бұрын
Hakuna miujiza katika mafanikio lakini kuna bahati katika juhudi pale mtaji unapokutana na fursa iyo ndo miujiza katika dunia halisi ila hii ya kisubiri kukemea mapepo utasubiri mafanikio mpaka unazeeka
@Ayyub_Semtawa
12 күн бұрын
Kijana una akili sana...,busara na hekima ya hali ya juu..Taifa lingekua na Vijana wengi wenye ukomavu wa uelewa huu..tungefika mbali sana Kiuchumi..ki hisia na kiimani
@funniestAxel
7 күн бұрын
hili jibu linaonesha uhalisia wa kilicho ndani ya kichwa, keep it up billionaire
@jacquelinelukambuzi50859 күн бұрын
Umeongea vizuri sana mchungaji Mungu akutunze
@LinosJohn-dp9xi11 күн бұрын
Hananjaa umesahau ndio maaana yesu alipindua meza za watu kwenye masinagogi yao
@Kuminamoja199514 күн бұрын
Kweli kabisa Hananja 🎉🎉
@DevotaMoshi4 күн бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji ukweli una ponya na utatuweka huru
@WAIMANIKAMWELA-lq4pm3 күн бұрын
Nakupenda Pastor balikiwa
@agnesandrew274210 күн бұрын
Barikiwa baba mchungaji ❤❤
@honorathampemba53928 күн бұрын
Pastor Umewatoa watu upofu wa Imani.
@user-mw5xs2wx8n10 күн бұрын
Dah afazali umesema bb mkorogo wa mwafula ni nyoko😂
@LudgerSanga6 күн бұрын
Hanaaa.....njaaaaaaaa. Naomba unifundishe na mm zaidi kua muwazi zaidi sana
@winfridalazaro2965 күн бұрын
Mungu aliyeziumba mbingu na nchi akulinde,aitunze afya Yako na azidi kukupa maarifa zaidi Ili watu wa Mungu wapone
@wanguwangu3418 сағат бұрын
Labda nimwambie kuwa huyu Kiboko wa wachawi siyo mtumishi wa Mungu Bali mtumishi wa shetani
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe6 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@Revocatusfeli23 сағат бұрын
Uko sahihi sana much onanja.
@rashidkassim783610 күн бұрын
Well said hananja
@user-tg5vq3zf1f10 күн бұрын
Ubarikiwe baba wa mungu
@elvismabena763013 күн бұрын
Fact Sana kiongozi
@user-ec4br4pd3o9 күн бұрын
❤❤❤mungu akubariki mchungaji
@imanimwandosya3705 күн бұрын
Mchungaji wewe ni mwalimu mzuri sana unatufungua akili wengi,
@lameckswai54842 күн бұрын
Barikiwa sana
@sep10pili20210 күн бұрын
Mungu akuinui bro
@rehemakaijage136410 күн бұрын
Mchungaji, unapatikana wapi? Natamani Semina / Ibada zako, ILI nifurahi, nicheke, niongeze hekima zitokanazo na NENO LA MUNGU UNALOFUNDISHA.
@HassanKanguwo-fy4cm7 күн бұрын
Mungu akubaliki xana Mchungaji unasema ukweli
@SelemaniMsofe8 күн бұрын
Mungu akubaliki sana TRA fatilieni msijizime data
@JordanJordanAlphonce3 күн бұрын
😂 Uyu mzee yupo vizuri anaongea point
@VascoJohn-rp1uc10 күн бұрын
Waooo mzee nimekubari interview hiii it is living one ❤
@camillasiwa650610 күн бұрын
big up mchungaji...tuko pamoja sanaaaaa....waambie hao wajinga wanaoliwa sadaka zao
@user-yv2qq7my7c4 күн бұрын
Sema baba mungu amewachagua mseme ukweli tumechoka kudanganywa
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur12 күн бұрын
Wafanyabiashara wa Tanzania uku wanakimbia kulipa kodi
@shaloom-it4qs9 күн бұрын
😂😂😂 eti watu wa imani nyingine wanakukamua usiondoke na chips zao loh! Huyu baba kiboko
Пікірлер: 430
Mungu anaye watetezi waneno lake lisilogoshiwa, injiri ya Yesu halisi. Mungu akutunze vyema mch HANANJA.
Asante Mungu kwa zawadi hii, mwalimu mkweli.neema ya Mungu ikulinde Hananja
@user-bn9iw1lw8f
2 күн бұрын
Amina mtumishi
Huyu Mzee ukiwa na akili huru utamuelewa vzr sana,
@musajonas9397
2 күн бұрын
that's point
Hakika huu ni nyakati za mwisho lazima tuwe makini sana na injili za siku hizi Mungu wa Mbinguni akutunze sana Mchungaji Hananja lazima kweli ya Mungu isemwe👏
Mchungaji Hananja Mungu akutunze kwakweli,unaugusa moyo wangu ❤😢
Nakupenda sana mzee wangu unakili za kuzaliwa awakuwezi wachungaji wote tanzania apa
Wallah baba nakukubali wewe ni msema kweli mwenye kuchukia na achukie mtumishi wa mungu itakuwaje ajichubue ao ndio welewale
Huyu mch ana mawe mazito sana 'majabali' powerful speech kuna kipindi utafurahi utacheka kuna kipindi anaisisimua akili INSHORT namuelewa sana
Mungu akupe mwisho mwema Baba upo sahihi sana
Barikiwa, nakuelewa Mchungaji. Nadhani Elimu pia azingatiwe, isiwe wito tu! nadhani tatizo lingine ni hili. Serekali izingatie haya
Mungu akuzidishie hekima mtumishi ili tupate mafundisho yako yanayotujenga kiimani. 🙏🏽
Nilikua na role model wa kisiasa wawili tz lowassa na maalim seiph sasa na baba hananja ni role model wangu kwenye kusema kweli nakupenda baba
Huyu Baba anaongea kweli tupu mkijuwa kweli nayo kweli itakuweka huru
Ubarikiwe mwalimu BABA mchungaji
Ninachojua nikukupenda tu mchungaji wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akupe maisha marefu hananja.
Mungu akubaliki sema ukweli walausijali mungu yuponawe hawakuwezi
Kweli Mch.Hananja naomba nikupe maua zako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Nakuombea kwa mungu uwe na maisha maref sanaa nakupenda san BABA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mchungaji Hananja unasema kweli kabisa Mungu akubariki sana uishi maisha marefu uendelee kutufunza
Nakuelewa sana Mch Hananja. Asiekuelewa hasikilizi vizuri. Hongera kwa kuwa muwazi.
Mchungaji Hongera Sana upo Vizuri. Nimependa sana mahubiri yako ya MUNGU ni mazuri. Ameeeen MUNGU AKULINDE MIAKA MINGI.
@eunicekiilu7485
Күн бұрын
Aminaaaaaaaaàh 🙌 barikiwa cna mutumishi wa mungu
Viva mzee....huyu ni mchungaji sasa, Mungu akubariki sana
Injili ya kweli siku hizi haina wafuasi wengi na watu wengi wamepotea kwa kutokuzingatia maarifa ya neno la Mungu .asante Mchungaji kwa kukazia ukweli ulivyo
🤣🤣🤣😭 👏👏👏 Haleluya Mchungaji HANANJA Sema Ukweli,
Maashaallah Maashaallah Maashaallah ❤❤❤ Allah akufanyie wepesi mzee wangu I'm musilim
@maalimhamad1297
10 күн бұрын
Nawewe kafiri kama yeye
@israeluronu9958
9 күн бұрын
@@maalimhamad1297ww mwenyewe kafiri!! Tafuta hela punguza makasiriko! Kwanii asimsifie kama kaongea point. Acha udini Mungu ni mmoja
@user-ec4br4pd3o
9 күн бұрын
Acha wivu@@maalimhamad1297
@brightonvictorkimsehyeon7892
9 күн бұрын
@@maalimhamad1297acha makasiriko mbwa ww rubbish
@stanleymwaselela1849
8 күн бұрын
@@maalimhamad1297haulazishwi kuja huku au kufuatilia page hii wewe ndio kafiri muda wote unafuatilia mambo ya mwanga tu wewe uchawi unakusumbua
Nakuombea sana mzeee udumu maanaa hawa masharu wanaaribia wenginee wenye witi
Mchg kwakweli BWANA akubaliki sana amekuweka kwa kusudi huo ndio ukweli, Mwenye kuelewa ataelewa lakini huo unaoeleza ndio ukweli kwenye kizazi cha ukaidi.
Vizuri havidumu tunajua,,, ila mungu tuachie huyu basi jamaniii Dah!!
Mm ni muislamu ila uyu mzee namuelewa sana na pia napenda kumfuatilia kwenye vipindi vyake Mungu akueke mchunguji Ananja
@kilimaentertainment1687
8 күн бұрын
Mimi pia ni Islamic ila huyu ni mwislamu Mungu anentumia upande huo wasipotee yaani Yuko real real real hababaji safi sana
@fumotv7914
2 күн бұрын
@@kilimaentertainment1687ukiona mtu anawasema wengne ndo muislam? Kabla ulikua unamjua?
Mungu akutunze mwl mwema msema kweli wa nyakati za mwisho🙏🙌
Mungu anao watu Mungu anajivunia wewe akiangalia kanisa lilivyo kengeuka ila akikuangalia wewe anajivunia sanaa 🙌🙏
Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba
Hananja ni mtumishi halisi wa MUNGU, barikiwa sana
PASTOR HANANJA ASANTE. KODI NI MUHIMU. CAKE, MAJI, MAFUTA, LESO CHUMVI, NKVIKO MADHABAHUNI GHARAMA VIMEOMBEWA KUAKISI UPONYAJI AU MALI UTAJIRI. TUNASHUKURU KWA MAELEZO YAKO PENGINE YANA UKWELI NDANI YAKE. KWAMBA HAMNA WIZI HAPO SIYO. AMEEN. 😊
Mungu nimwem mchugaji hananja nimuekawazi hiiimeenda❤🎉
Hongera Sana mtumishi...unasema ukweli kabisaaa.
Mungu akuzidishie roho mtakatifu Baba mchungaji
Huyu mzee yuko vzr sana. na wengi wetu wanapotoshwa kwasababu Hawasomi Neno la Mungu na kutotaka kujua.
Navutiwa sana na Huyu mchungaji anajitahidi sana kusema ukweli.Mungu ambariki sana
Uyu mchungaji anajua sana ata akipewa mkoa au wilaya anaweza kuongoza vizuri
Ni katika wachungaji wachache sana!! Wakweli
Ni mara chache sana kukuta post ina maoni ya aina moja. Comment zote zinaongea lugha moja kumkubali Mchungaji Hananja. Hakika lipo jambo la kujifunza hapa.
Pastor Unasema kweli Mungu akutunze
Kama umesoma biblia toka mwanzo mpaka Ufunuo, hongera na Kama bado na huna mda komaa kiroho kwa kumsikiliza Hananja sugu wa imani isiyo goshiwa
Huyu nae muhunitu hapo anayasema baada ya kustaafu mbona kpindi hicho hakuyasema!
uko sawa ubarikiwe sana pastor watu wamependa kudanganywa ila nakuelewa sana Barikiwa
😢😢madhabahu imegeuzwa duka watozwe kodi🎉
Heavy point WALIPE KODI
Nakubari sana huyu mzee
Mwenyz Mungu akulinde.
Ubarikiwe mch.hananja unaongea kweli tupu baba
hahahah Mungu sio shemeji yako,,,hakika nakuelewaga sana Mtumishi
Harafu utashangaa jumbe kama hiziii zilizotawaliwa na ukweli hazipostiwi na media ila wale wapotoshaji wanapewa kipaumbele sanaa Mungu lisaidie kanisa lako mkumbuke huyu Baba umpe ulinzi🙏
mim nnamaoni mawili,🙏 kwnze namfurahia sana huyu mzee maana anajitahidi kuwaambia ukweli watu wanaomnyenye asiye mungu, ili wamuamini mungu wa kweli,, lapili hiyo tabia ya kuweka mziki watikati mtu anaongea tena vtu vya maana mnatuchanganya hatujui tusikilize nini , acheni habari ifike kama habari
Mchungaji Mungu akusimamie daima,unasalisha kanisa gani na wapi me nahtaji kurudi kanisani,maana nishaa Acha nasalia ndani tu,ila unafundsha neno mpka nafrahi
Amen nimekuelewa Baba yangu Mungu akubariki 😂😂😂😂 dawa ya deni ni kulipa jaman kwakweli umeongea ukweli kabisa watumishi wa Mungu huubiri Neno la Mungu yohana 8:32 Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru.....
This is my father now ❤
Exactly servant of God
Deni lilipwe nnae mda humu vp umeskia
Ubarikiwe sana mchungaji
mungu akuweke mchungaji umeongea fact sana asee wabongoo wanaburuzwaaa
Exactly Man of GooD
Hakika mchungaji yesu mwenyewe alilipa kodi
Baba ni kweli kabisa
Mungu ni mwema siku zote ubarikiwe Sana Tena Sana mtumishi WA mungu barikiwa Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 hata muimbaji MUNISHI aliyaimba yote haya wimbo unatwa MAKANISA
Huyu Mzee Huwa anaongea Uhalisiawanamna Mafundisho halisi ya Dini. Haya anayosea Ndani ya Uislamu ni Hivyo na ninaamini hata kwenye Ukristo ni Hivyo,Sema hawakosekanagi wanaotafuta Upenyo wa Kuelekea namna vichwa vyao vinavyotaka.
Na Kuna watu waliomba awafanyie muujiza akagoma kabisa
Hakuna miujiza katika mafanikio lakini kuna bahati katika juhudi pale mtaji unapokutana na fursa iyo ndo miujiza katika dunia halisi ila hii ya kisubiri kukemea mapepo utasubiri mafanikio mpaka unazeeka
@Ayyub_Semtawa
12 күн бұрын
Kijana una akili sana...,busara na hekima ya hali ya juu..Taifa lingekua na Vijana wengi wenye ukomavu wa uelewa huu..tungefika mbali sana Kiuchumi..ki hisia na kiimani
@funniestAxel
7 күн бұрын
hili jibu linaonesha uhalisia wa kilicho ndani ya kichwa, keep it up billionaire
Umeongea vizuri sana mchungaji Mungu akutunze
Hananjaa umesahau ndio maaana yesu alipindua meza za watu kwenye masinagogi yao
Kweli kabisa Hananja 🎉🎉
Ubarikiwe sana mchungaji ukweli una ponya na utatuweka huru
Nakupenda Pastor balikiwa
Barikiwa baba mchungaji ❤❤
Pastor Umewatoa watu upofu wa Imani.
Dah afazali umesema bb mkorogo wa mwafula ni nyoko😂
Hanaaa.....njaaaaaaaa. Naomba unifundishe na mm zaidi kua muwazi zaidi sana
Mungu aliyeziumba mbingu na nchi akulinde,aitunze afya Yako na azidi kukupa maarifa zaidi Ili watu wa Mungu wapone
Labda nimwambie kuwa huyu Kiboko wa wachawi siyo mtumishi wa Mungu Bali mtumishi wa shetani
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Uko sahihi sana much onanja.
Well said hananja
Ubarikiwe baba wa mungu
Fact Sana kiongozi
❤❤❤mungu akubariki mchungaji
Mchungaji wewe ni mwalimu mzuri sana unatufungua akili wengi,
Barikiwa sana
Mungu akuinui bro
Mchungaji, unapatikana wapi? Natamani Semina / Ibada zako, ILI nifurahi, nicheke, niongeze hekima zitokanazo na NENO LA MUNGU UNALOFUNDISHA.
Mungu akubaliki xana Mchungaji unasema ukweli
Mungu akubaliki sana TRA fatilieni msijizime data
😂 Uyu mzee yupo vizuri anaongea point
Waooo mzee nimekubari interview hiii it is living one ❤
big up mchungaji...tuko pamoja sanaaaaa....waambie hao wajinga wanaoliwa sadaka zao
Sema baba mungu amewachagua mseme ukweli tumechoka kudanganywa
Wafanyabiashara wa Tanzania uku wanakimbia kulipa kodi
😂😂😂 eti watu wa imani nyingine wanakukamua usiondoke na chips zao loh! Huyu baba kiboko
Ubarikiwe mtumishi
Mungu akutunze mchungaji