Mtumishi wa MUNGU IPM, Hongera sana kwa neno lako na umejua sana kuelezea hii ni biashara ya watu. Asiyejua haya yote, atafute na asome kitabu cha aliyefanya mamboo hayo ya kuuza mafuta,maji,vitanbaa, udongo, hela za mapepo , n.k anaitwa Makhado Ramabulana, na kitabu chake kinaitwa Church Mafia. Soma utaelewa ni kitabu kizuri.
@augenmagabila3081
13 күн бұрын
Kitabu kipo Mtandaoni yaani soft copy bure.
@obedimunguachiza843413 күн бұрын
Mbarikiwa Mwakipesile, hata mwisho ataeleweka kwa,njia yakumbinga uovu. Big up Mbarikiwa Mwakipesile wetu.
@BlessedAnne-fh6lk13 күн бұрын
Asifiwe Yesu Prophet..Mungu akubariki Sana Kwa kusema ukweli..hayo nimeoyaona Mimi..unasema ukweli mtubu.🎉
@justinemisigaro147112 күн бұрын
Hapo IPM nakuunga mkono kabisa Mungu akulinde na kukujaza ujasiri zaidi damu ya Yesu kristo ikufunike
@FelisterMunissy13 күн бұрын
Ubarikiwe sana sana kwa kuliona hilo hawa watu wanatumia nguvu za giza mwish wanaua watu mungu akupe maisha marefu sana
@LINNAHPATER18 сағат бұрын
Yaani umenifunguwa sana baba Mungu akubariki eweeee baba muumba wa mbinguni Akulinde jaman Mungu baba mlinde IPM
@DINANCHAGWA8 күн бұрын
Kuhusu Kafara ya Wanyama mtumishi wa Mungu nakushaur kwamba iliishia msalabani kama unasoma maandiko vzr Yesu alpokata roho Pazia la hekalu lilikatika katikati kumanisha upatanisho wetu na Mungu ni kupitia damu ya mwana wa Mungu. Wanyama,biashara,mazao,na vngne vpo tu kwa ajili ya kutolea zaka na sadaka na syo vingnevyo. Mungu wa mbinguni awape uwelewa
@npiperito19
14 сағат бұрын
Inamana walio kuwa wanatoa kafara Au sadaka ya wanyama walikiwa awantii mwenyezi mungu? Acha kuzarau agano la kale. Ayo yote ni mapendekezo ya mwenyewe.
@rajabukiza485115 күн бұрын
Aiseee asant mtumishii umenifungua macho kuhusu kafaraa asnte saana❤
@johnsonkategela47914 күн бұрын
Daah brother umeongea facts ambazo wanufaika zitawauma sana! Watu wamepigwa na vitu vizito mpaka wanakuwa mazuzu Kwa kuamini vitu badala ya Mungu. Yaani huo mchanha ungewasaidia Israel na Palestina waache kuuwana. Asante Kwa upelmbuzi yakinifu
@alexandermilanzi9860
13 күн бұрын
Hakuna cha dear brother yy mwenyewe mpigie tu!..... Ameshauza mafuta huyu tena yeye 5000-10000 kama sijakosea nimesahau tu gharama lakini
@hashimchaoga9566
11 сағат бұрын
Sasa nae ni prophet gani kama si biashara tu. Prophet wa mwisho ni Muhammad basi. Wala maprophet wenyewe hawakufanya hivyo
@hashimchaoga9566
11 сағат бұрын
Anaelewa kur ani na mtume Muhammad alimtambua Issa na alisema kwamba yeye ndie prophet wa mwisho iweje yeye nae awe prophet? Si ni uongo? Muongo si mtu wa motoni? Huyu kaenda ukristo ameona kuna wadanganywa kirahisi na kujiongezea kipato. Hupati waislam wa kuwadanganya kirahisi. Sidhani kama anaombea watu bure na hachukui sadaka na kuzitumia yeye
@hashimchaoga9566
11 сағат бұрын
Ana nini cha ziada hadi nae ajitawadhe uprophet? Kuna Yule wa Nigeria Joshua kumbe alikua na maovu kibao na wengi tu ni hivyo hivyo kudanganya tu na kujitajirisha
@user-pg9dv9vo8p13 күн бұрын
Fact kabisa Leo umeongea ukweli
@tielyelibariki89584 күн бұрын
Endelea kutubishia sisi tunapiga hela Kwa hayo maji mafuta KAZI iendelea ❤❤❤Arise and Shine Juu tunakukaribisha Jpil
@grationgabriel490410 күн бұрын
I appreciate your research is alright IPM, may God defend you always, and go ahead.
@FlorensiaMkombozi-et1ts14 күн бұрын
Nakuombea Mungu akulinde Mungu akusimamie na Mungu akupe ngu ya neno lake takatifu
@nanubob196912 күн бұрын
kweli nimevutiwa na mazungumzo yako! Ninatamani sana uwe mwokovu genuine! Ubarikiwe!!!
@ImaniTinda-h6x11 сағат бұрын
Neno lako ni zuri lakin apo kwenye kafara mchungaji sijaelewa Bado, nachojua mm kafara kafara ya dam ya yesu ilimaliza hakunaga mnyama au fahari inayoweza ondoa dhambi (damu ya yesu yatosha) amen
@FrankBororo-dk1fv14 күн бұрын
Penye mzoga ndipo wakutanikapo ndege waitwao tai,brother. Ni kweli watu wanainuka kiuchumi baada ya upako na ndomana wanaweza kuhudhuria mara zote hizo na kutoa sadaka hizo mara zote hizo. Umati mnaouona kwa watumishi hao maisha yao yamebadilika na ndomana wanakua na uwezo wa kutoa kila wakati. Hawajaaminishwa,wanaona matokeo ndomana wanaendelea kwenda. Inashangaza kuona mtumishi wa Mungu anapoona miujiza anasema ni nguvu za giza! Hii tafsiri yake ni kwamba wanaamini shetani ndo mwenye miujiza mikubwa na sio Mungu. Mungu wao ana mipaka na matendo ya miujiza. Watu wameinuka kiuchumi sana na wao wenyewe ni mashahidi ndomana anaweza hata kutoa 50,000 kila wiki na alikua hata 2,000 hawezi kutoa. Watu wanakwenda ili kazi zao zifunguliwe na sio hawafanyi kazi,huo ni upotoshaji.
@edwinmbunda6709
12 күн бұрын
Hakuna kitu kama hicho, wengi ni choka Mbaya
@Imaniamockgmail
8 күн бұрын
Umeongea umemalza Kila kitu Asante !binafsi nimeielewa point Yako 👏👏👏🙌♥️🙏
@victorngimbwa555815 күн бұрын
Hujafanya utafiti ,Mungu akusaidie.waliofanikiwa Ni wengi mno.Na nani alikwambia wanaotoa mafuta wanawambia watu wasifanye KAZI.Jifunze bila Hila utajua Nini kinaendelea .Petro alipovua usiku kucha asipate samaki,shida ilikuwa Nini, na kwanini alipoambiwa na Yesu atupe nyavu alipata samaki wengi mpaka akaita watu kumsaidia.Yapo mambo mengi yanayozuia watu kufanikiwa licha ya kufanya KAZI kwa bidii.Mwombe Mungu atakufungua macho.asilimia kubwa ya wanaofanya KAZI kwa bidii ndio hafanikiwi wanapata mlo TU
@Petitejollie
15 күн бұрын
Endelea kubeba mafuta kwenye pochi kuna siku utatajirika 😂😂😂
@vicentamandus6149
13 күн бұрын
Yesu mwenyewe alimkuta petro akiwa anafanya kazi😂
@Imaniamockgmail
8 күн бұрын
👏👏👏🙌♥️🙏
@alwatanalgilgilan-y307811 күн бұрын
Hongera kiongozi kwenye uislamu pia yupo tapeli mmoja aitwa Dokta S
@user-rn8lm2nc5i7 күн бұрын
Nakubalisana mtumishi Ipm Mungu akupenguvu Naitwa Alex kutokeya canada
@user-bp5pq9to9e11 күн бұрын
Uko sahihi, MUNGU akulinde Amina
@RobartNgwembe-m3h2 күн бұрын
Mtumishi naamini ujumbe umefika, na usirudi nyuma katika hili mungu akupe nguvu
@saidiathuman-og6bc15 күн бұрын
Nikweli lakini hata wew hauna imani kabiza aloo sikukubali kabisa
Some times ifike mahali watumishi wa Mungu mfocus na mambo yenu jmn kma mwenzio ana karama amekuzid basi mshukur Mungu kila mtu ana karama yake kma huna uwezo basi acha wanatoa muujiza watoe Mungu ndo hakimu wa kweli
@vicentpantaleo5837
7 күн бұрын
Karama gani alafu sisi tushakuwa kama manyumbu iyo ni siri yao hakuna karama yoyote kaka amka
@davidkawesa3594
6 күн бұрын
Ushaliwa
@Jacksonswai68513 күн бұрын
Mungu atusaidie mwisho watimia yan binadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa
@user-im7vi2yf2d15 күн бұрын
Nilikuwa nakuchukia Sana ipm, kutokana na yale uliyokuwa unayasuport, na binafsi niliona kitu kikubwa kwako lakini mpaka Sasa ukibadilisha tu kidogo, ntakapokuja dar, ntakuja kusalia kanisan kwako.
@BENEDICTMwanga10 күн бұрын
Ipm mbona wewe unauza maji na mafuta unaonana na watu kwa pesa broo au umeacha umemrudia mungu kaka
@asmanikahungu71717 күн бұрын
Kafara ya mu Christo ni Yesu ikisema myama sioni sawa île damu ilio mwangika musalabani inamana gani.
@FrancisMliga-pp7cp15 күн бұрын
Sema me ulinipiga lakimbili Mtumishi na hivo mbona na wewe huwa unauza kichupa Cha Asali kidogooo unasema hiyo Asali umeionbea ina Nguvu flani ya Mafanikio hicho kichupa Cha Asali unauza elf kumi
@rebecayenda6780
15 күн бұрын
😂kafulia kaanza kujisahaulisha
@harmonylogisticszimbabweli3294
10 күн бұрын
Afanye kazi ya mungu wake sio kukosoa wenzio. Kila mtu anaufunuo wake.
@Imaniamockgmail
8 күн бұрын
@rebecayen😂😂😂😂😅Yani Rebecca yen umenifanya nicheke mpaka mawazo yamepotea duu Asante🙏jamani sisi binadamu tunakazida6780
@SanyuMoses-vp3dw15 күн бұрын
God bless you it's true brother
@mtumishiraymond200113 күн бұрын
Amina, Umeongea ukweli na umefunguwa watu macho
@agnesspaul186612 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤apo niko nacwewe Ubarikiwe mnooo
@user-cp1uo3lb7w10 сағат бұрын
Ubarikiwe sana baba yesu atakulinda
@user-gt4rp4bo8y9 күн бұрын
Mungu atusaidie sana ww mwenyewe hueleweki unasema tuuze sigara ktk biashara zetu je ni sawa?
@user-jt7lb9ct7pМинут бұрын
Tatizo watu wana tamaa ya Pesa tu au kua tajiri
@emmanuelpeter56869 күн бұрын
Lalini mimi sitaki unafiki wewe IPM c uliwahi kuwauzia wafanya biashara na wafanya kazi mafuta ulikua unasema ni mafuta ya dhahabu we hukua mwongo acha unafiki wivu tu umekujaa
@estomihijohn601310 сағат бұрын
Haleluyaaaaaaaa! To The BLESSED MOST HIGHER HOLY ALMIGHTY MIGHTY IN THE BLESSED YAHWEH TETRA GRAMA ATON HOLY ZODIAC HOLY DIVINE KIND OF MATRIX GOING IN THE UNIVERSE WAY OF DOING MIRACLES FOR INTERLECTUAL HOLY SPIRIT ENLIGHTENMENT THAT SMILE VERY WELL ORDERING THE STEPS OF OUR FEET, Going Before us Making the croocked places Straight Breacking the gates of brass, Cutting in Sunder the bars of iron To Give Us the TREASURES OF DARKNESS, THE RICHES OF HIDDEN IN THE SECRET PLACES For Us to Know The Holy DIVINE KIND OF MATRIX GOING IN THE UNIVERSE WAY OF DOING MIRACLES Of " IS RA EL ". Haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa!
@AyubuJkechegwaКүн бұрын
MUNGU akulinde mtumishi
@user-cy4xf1eu3q15 күн бұрын
Kivuli cha Agano la kale ...kiliwakilisha watu kutoa kafara za wanyama ...ila kwa kufa kwake Yesu sisi sote tumesamehewa
@zaidiissa3714
15 күн бұрын
Endeleatu kufanya zambi na uzidijuamini umesamehewa utajua hauajua lakini siku yamwisho utasaga meno
@Shalom2018
15 күн бұрын
Ni kweli kwenye Agano jipya Yesu alikufa pale msalabani na damu yake imetukombo tena inafanya kazi mpaka sasa,hatuhitajiki kutumia tena damu za wanyama,tuanaweza kutumia damu ya Yesu Kristo kwa kuitamka,hayo mambo ya kafara ya kuchunja wanyama na watu yapo kwa shetani.
@farajis3dtech306
15 күн бұрын
Fanya zambi ukijua umesamehewa maana ya kila mtu na msalaba wake naona huijui jichanganye ukifanya zambi utajua baadae
@MrMwadila
14 күн бұрын
Waebrania 10:1-4”Basi torati, kwa kuwa ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi wakati wo wote kuwakamilisha wakaribiao. 2 Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha kusafishwa mara moja, wasingejiona tena kuwa na dhambi? 3 Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka. 4 Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.”
@AfricaQueen
13 күн бұрын
@@farajis3dtech306wacha asime ukweli 🫵🏾
@josephinesagumo12 күн бұрын
Hizo bei ni za kwako, hakuna bei kama hizo, meamposa maji na mafuta elfu moja moja
@SaugoNdemo-tx4le
6 күн бұрын
Anayatoa wapi??
@amanimanase879910 күн бұрын
Mchungaji nimekupenda sana
@Hamisi-uz9cj11 күн бұрын
Wewe kalia wivu sisi tunaendelea kupiga mafanikio yetu kupitia upako wetu arise and shine kazi iendelee
@joshuatituslusinde1260
11 күн бұрын
Umepotea kwasababu hujui maandiko
@joshuatituslusinde1260
11 күн бұрын
Mwapotea kwasababu hamjui maandiko
@LilyWeitz
10 күн бұрын
Wivu Tu 😅
@richardsiame8328
8 күн бұрын
Sio wazima nyie kunawivu hapo ,anaongea kweli tupu
@LilyWeitz
8 күн бұрын
@@richardsiame8328 kwa kuwa anekuwa mungu anahukumu watu au watumishi wengine yeye ni mungu au .kila mtu acheze kalata yake mwenyewe mambo ya watumishi wa mungu yeye inamuhusu nini.yeye kama kashidwa atulie au akalime vitunguu shamba
@alfredizabdieli622611 күн бұрын
Acha unamfki mtumish wapo wenye matatzo mengi na sio wote wanataka utajr
@DelilaRitte-sr9wr6 күн бұрын
Kweli mtumishi wa Mungu,, watumishi wengi wana wanyonyo sana ,, waumini waoo,, na wao kifanikiwaa waoo
@stanleynyakunga592611 күн бұрын
Barikiwa sana IPM
@GeorgeIgnatio3 күн бұрын
Watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa; Dunia imechangsnyikiwa Kwa kutafuta utsjiri mwishowa wanakutana na uharibifu. Mwivi haji; ila aibe na kuua na kuchinja na kuangamiza Bali Yesu alikuja Ili watu wawe na uzima Kisha wawe nao tele.
@GeorgeJohn-c5e2 күн бұрын
Mungu mtumie IPM aseme kweli,kweli inatuweka huru
@luismchayano47963 сағат бұрын
Brother,acha kupotosha watu. Kichaa anafurahisha kama si wako, maiti inanuka kama si yako.usipotoshe watu kama ww ni mtumishi wa Mungu basi huijui Biblia maana biblia yenyewe imeandika watakuja watumishi watakaotenda miujiza hata zaidi ya Yesu. Ww sio mchungaji ww mpiga dili tu. Binafsi sikuungi mkono kabisa. Utabaki ni hayohayo. Arise and shine kazi iendelee. Tunaiona nguvu ya maajabu tunapona na tupo nyumbani kwetu ww ongea yote.
@ElizabethNankoko7 күн бұрын
Mwenyezi Mungu atakulinda kaka msems kweli ni mpenzi wa Mungu
@josephlorri4317 күн бұрын
Hongera mtumishi..umenena ukweli. Mitume na manabii hawa ni matapeli watupu..nimelia kabisa kwa jinsi watu wa imani zote wanavyotapeliwa
@imanimkopi32716 сағат бұрын
Neema ya Mungu ni kubwa
@PAULMNYANYI13 күн бұрын
Ubarikiwe mchungaji ni heri useme ukweli ili wanadamu tupate kupona na jehanam ,Mungu atakulinda kwa ukweli wako ,hutazurika na chochote.
@BennyCrisanto15 күн бұрын
Apo sawa ipm .👏👏👏👏
@bishopmmbando53014 күн бұрын
Wewe unakosoa makosa na wew unafanya makosa makubwa zaidi.Unawaambia wafanye kazi ya Kuuza pombe,sigara na vilevi ili kupata Pesa. Kama umeamua KUNYOOKA,NYOOOKA NA NENO LA MUNGU SIO MAWAZO YAKO
@AfricaQueen
13 күн бұрын
🤣😂🤣Tutawatumbua Na moto unawasubiri anayosema ni kweli 🤝
@nsiamasawe457815 күн бұрын
Keki, chumvi, mafuta, maji na kitambaa ni biashara ya kichawi. Serikali inafahamu na imekaa kimya matapeli wanawaua watu kwa kuwaambia wasitumie dawa za hospitali wameponywa. Yatima wameongezeka kwa ajili ya vibaka waliyojificha kwenye dini.
@moseshaule586
13 күн бұрын
Unaposema biashara ya kichawi hapo umedanganya. Ulishasikia mchawi gani anatumia sabuni na mafuta na maji ya upako.
@nantaembanusurupia5674
12 күн бұрын
Wee ni uchawi tu hapo hamna kitu😮@@moseshaule586
@JoshuaMolen-oc3vi11 күн бұрын
ipm nakukubali San mungu akubalik lakn loho inaniuma San make nakupigia San SMU unisaidie lakin hopokei SMU yang
@fredrickkaaya628711 күн бұрын
Mtumishi hakuna mtume au nabii mwenye uwezo wa kuuzia watu Kwa maelfu vifaa vya kiroho kama unavyodanganya watu. Sikatai Kwamba Kuna wanaoigiza upako na wanajipatia pesa lakini si Kwa kiwango kikubwa kivile. Pia elewa Kwamba Kila nabii au mtume wa kweli lazima awe na ufunuo wake aliopewa na Mungu. Wewe ni vizuri ukashughulika na mambo yako uliyotumwa na Mungu wako. Sijui wewe ni mtumishi gani unayetumia usembe?
@abuhassan955215 күн бұрын
SIWEWE PIA JAMBAZI TU ULIUZA MAFUTA YA GOLD WAJINUNULIA MAGARI YA KIFAHARI WEWE NA BIBI YAKO
@lucaslupaso5824
13 күн бұрын
Amesahau
@paschalpaul3862
13 күн бұрын
@@lucaslupaso5824 alikuwa anafanya tafiti na hivyo amejiridhisha, na hivyo uwezi kuelewa jambo bila kwenda field, uwezi elewa uchawi bila kwenda kwa mchawi
@user-id1cg8ik1d
13 күн бұрын
@lucas😂😂😂😂😂😂😂😂lupaso5824
@user-gw1rc9bk5e4 күн бұрын
Ukweli kabisa mtumishi asiye fanya kazi asile,mtu ukaa masikini juu ya uvivu mfano wakati mko shuleni walimu wanawambia fanyeni bidii soma sana kila unacho soma kitakuja muthihani,kwa sababu wanafunzi wanajua kuna kuombewa asomi juu akiombewa majibu yanakuja kwa karatasi ako nayo mwishoe uanguka muthihani juu akuna kitu ako nacho cha kwandika,akuna siku utaombewa upate pesa kwa mfuko wako,utapata mali ukiyatafuta.
@geofreymilinga29658 күн бұрын
Mwamposa anawatesa sana, Mbona yenu amuzungumzi kwani anawafata hao watu wanamfata wenyewe kwa matatizo yao wanafanikiwa wanaenda kushuhudia wanaongezeka wengine ndiomana wanafulika ww fanya tuone kama utafanikiwa na utauza hizo matilio
@UpendoChurch-u6c5 күн бұрын
Yesu akafa...sasa Kuna haja gani ya kununua vitabaa Na damu ya yesu imelipa yote
@user-rg1vs9mb8x7 күн бұрын
NI KWELI MCHUNGAJI BILA KAZI HAKUNA MAFANIKIO WAELEZE UKWELI MUNGU YU PAMOJA NAWE UBARIKIWE SANAAA
@CathelineMagawa13 күн бұрын
Uko vizuri mno Mungu azidi kukupa busara na hekima
@SmilingCityMap-xb9md7 күн бұрын
Umeongea kweli kabisa kufanya kazi ndio kanuni ya maisha kwa wanadamu lakini kaka huo uchungaji wako nina mashaka nao maana bibilia hailuhusu kuapa kwa namna yoyote ndio yetu iwe ndio sio yako iwe sio kuapa no hailuhusiwi
@BENEDICTMwanga10 күн бұрын
Mafuta yanakusaidia kuondoa vipingamizi kwenye maisha yako my be uchawi nguvu za Giza amefungwa Kila anacho Fanya afanikiwi kwahio mafuta yanamsaidia anacho kifanya afanikiwe
@rerisamba
8 күн бұрын
Kumbuka Mungu kama Mungu hahitaji kusaidiwA neno lake latosha je ukifa itakusaidia kuingia mbinguni
@JUBRANBULAYHl-yb4ke13 күн бұрын
Ubushakashatsi hamwe nisoko hamwe nabasaza Ntamuntu numwe, nyuma yawe, uri ghos, bityo tuzagororerwa guhumurizwa numuyaga Aho mubuntu bwanjye, Mana yanjye, nyereka ibitangaza byubushobozi bwawe, imbaraga, gukandamizwa , n'igitugu, yewe Mana Mana Mana, yewe Yahi Yaqiyam, Banyakubahwa Cyubahiro kandi benshi, ibi ni, kandi kubakuru b'ikuzimu, barasenze, bityo bazabe bamwe. Reka rero baryohe, ubushyuhe n'umwijima. Mana, hagarika abarenganya, abanyagitugu, n'abagome. Uyu muhengeri uraza hamwe nawe. Binjiye mu muriro , Nyagasani w'isi, kubera ubuhemu bwacu muri Palesitine, Gaza, Rafah, no mu bihugu byose bya Palesitine Bati: "Mwami wacu," watugejejeho ibi, byongera umubabaro we, kandi wikubye kabiri mu muriro baravuze bati: "Ikibazo ni iki kuri twe ko tutabona abagabo?" Twakundaga kubatekereza mu bantu babi gutongana hagati yabantu. Vuga uti: "Ndi umuburo gusa, kandi nta yindi mana ibaho uretse Allah, Umwe, Isumbabyose," mu ijuru no ku isi ndetse n'ibiri hagati yabo Oh, Nyirububasha, Kubabarira Mana, Amen, Mwami w'isi.☝☝🤲🤲☝☝
Mchungaji anaye hubiri kwa kunukuu vifungu vya quarani. Atutajie mstari kwenye Agano Jipya mtume aliye abudu kwa kutoa kafara ya wanyama. Na huyo reporter wa mchongo hana swali la msingi bali la kusupport ujinga!
@user-xl5xi1uq9z7 күн бұрын
Duu😢,prophet anamwita mwandishi broo , maneno ya kihuni hayo afu unajiita nabii , umeongea point ila nakuona na wale wale tu ,manabii wa uongo unawapondea wenzako ila wote ni walaji wa waumini
@SimonFire-ms2be13 күн бұрын
Waoooooooo Asante Sana Mtumishi
@user-xb5td1jl3u10 күн бұрын
Basi tena! Kafara lipi? Sikuamini kabisa- Hata kodi tunayotoa inamsaidia vipi raia mmojammoja? Acha unafiki mtupu
@LightJoshua3 күн бұрын
Yaan mim nilikuwa sikuaminigi, , lkn kwa hiki unachosema ni kweli kabisa coz nimepitia huko kiasi kwamba simwamini mtumishi yeyote
@user-zz9gr1vd9h5 күн бұрын
Hakalii wivu anawafungua wati macho wajue nini Mungu anasema siyo wivu kumbuka pia utafanikiwa lakini utaviacha hivo vote mtafute Mungu atakufanikisha mjue sana Mungu
@user-pu6pr5jt4n5 күн бұрын
DAKIKA ZA MWSHO KUTAKUJA MANABII WA UONGO😢😢😢😢 TWASUBIRI YESU ARUDI TU.ILA WAKRISTO DAH POLEN.KILA MMOJA NA KANISA LAKE
@AnociathaChuwa-cb5nk11 күн бұрын
MIMI NI MUUMINI NATUMIA MAFUTA CHUMVI NA VINGINEVYO SAWA NA NENO LA MUNGU NAFANYA KAZI NAMWABUDU MUNGU NASOMA NENO LA MUNGU NAISHIA NENO LA MUNGU
@npiperito1914 сағат бұрын
Wanyoche baba, mama yangu alitoka uku kwetu mosambique, akaja uko Tanzania kununua maji pamoja na mafuta ya upaka, kwa lengo yakuw tajiri, lakini mpaka sasa ata nauli yakujia tena uko TZ ana. Wachungaji walio jaa ni wala ruchwa wakisiasa.
@EstaDaffi-wg5cr13 күн бұрын
Wivu tu wa idadi ya wafuasi wa hao manabii wanawatu wengi sana.japo mimi simwamini hata moja ila nawewe kinachokutesavni mafanikio yako
@AnthonyRuben-fi7cc11 күн бұрын
Wewe mwenyewe muhuni nyie wote NI mbiz kasolo langi
@johnmhangi3155 күн бұрын
Mungu akulinde na ahsante kwa somo nzuri
@MordAlly-ng8jj13 күн бұрын
Huu ndio ukweli, ni wakati sasa serikali kubadilisha sheria kuanza kutoza kodi kwa wezi wa aina hii.
@AfricaQueen
13 күн бұрын
🤝🤝🤝
@stefanomasolwa897912 күн бұрын
Prophet IPM ubarikiwe sana kwa ukweli wako nafwatiliya kabisaa pia Na mimi nimewahi kununuwa shule ya Tanzania kwenye kanisa ya SUNGUYE na Mafuta ya upako sijaona hata kitu kufanyikiwa hahahaha Mungu tusamehee kweli
@husseinjosephitocho67545 күн бұрын
wanaotajilika ni wale wanaouza mafuta maji chumvi vitambaa na wanaokusanya sadaka awo wanatoboa mfano mwamposa lakini ambao awatotajilika na watakufa masikini kwa kukosa maarifa ni waumini na mazuzu wanaoamini kwa ujinga asa akina mama ambao ni wepesi wa kuamini kwa kukosa maarifa acha wanyonywe kwa ujinga wa kukosa maarifa mazuzu makubwa wanawake
@user-zz9gr1vd9h5 күн бұрын
Unasema ukweli watu wanapigwa bila kujua wanadanganywa isreli kuna nini kwanii uchawi huo kabisa wengine wanauza jui elg 50 wanawadanganya Damu ya Yesu
@nicodemshello16313 күн бұрын
Binadam akili ziko tofauti ndio maana hata kwenye mtihani Kuna wa kwanza na WA mwisho
@mosessiame788215 сағат бұрын
Injili yakikosi kazi Cha injili inakubalika kwa asilimia 100% bila kumsahau mbarikiwa
@NicholausSaid9 күн бұрын
Safi sana wewe ni Mtu wa Mungu Mungu akulinde Pastor
@user-yc7dk4vy7v12 күн бұрын
Facts bro I appreciate you.
@youngafricans73614 күн бұрын
Acha kufatilia watu ww siku zote Mungu akikuinua lazima uwone wivi uwo niwit wamugu acha muumie namutaa umia San ma'an amutaki kuami Mungu acha awe tajili Mungu akuuba masikin sisi wakilisto lazima tuwe matajili wewe kamuombe Mungu akup kibali. Nawew upate upako
@user-kb8wv6kg8g5 күн бұрын
Mambo hayo ni afadhali umwombe Mungu awakomeshe watu hao
@bonbuggatTV2 күн бұрын
Yesu ndio kafara ya mwisho
@user-gc1ez1yv4k12 күн бұрын
Makanisa yamekuwa silaha ya kuwaumiza wananchi.Inakuwaje mtu anakusanya 800M.Lkn hata Kodi halipi,uwizi huo
@KhalifaChuma6 күн бұрын
inshaallah Mungu Atakulinda Bro bora ukwli ukifa unanafac yko kwa Mungu
@GeorgeJohn-c5e2 күн бұрын
Mungu akubari, kweli inatuweka huru
@anithakolundeКүн бұрын
Mimi nakukubali Sana wewe pastor unaogea kweli nakuomba ufike kanisani KWANGU uhubiri
@user-yz3zi6ht3j6 күн бұрын
Sawa kabisa raisi lazima awe na uchungu asikae kimya
@DominikiChristian12 күн бұрын
Tuna jua ila mafuta nikama yesu alivyo pakwa mafuta ya bei mbaya na jule m mama wengi wana jatumia kwa jini ya kujilinda na maatui wa kidunia ila sio kwajili ya mafaniko
@BlessedAnne-fh6lk13 күн бұрын
Makanisa yametushida paka tunakaa Kwa nyumba zetu..unanishidwa umwamini Nani??
@bilid412811 күн бұрын
😂😂😂😂 hapo kwenye unyayo wa yesu 🙌🙌🙌
@HatibuEMwamboneke-g7c8 сағат бұрын
100% well said!!
@user-ip2we5uc7n6 күн бұрын
UMEWAPA MAKAVU, WAJINGA HUWA WANALIWA SANA HIZO PESA , WANANYONYWA KWELIKWELI
@upendofredrick89889 күн бұрын
Asante mtumishi,mwenye masikio haambiwi sikia
@reginaaloyce405513 күн бұрын
Wewe ujapewa hayo mafunuo kaka waache waliopewa wafanye kazi zao, Mungu mwenyew aliwatifautisha Kwa karama na vipawa, ndo mana cyo wote ni wachungaji wengine ni Manabii, wengine Waalimu, wengine ni wainjilisti Kila mtu afanye kazi kulingana na nafasi yake na alichotumwa kufanya, wewe ujapewa kazi hyo, uwezi kujua misingi yake acha kupotisha uma kaka
Пікірлер: 587
Mtumishi wa MUNGU IPM, Hongera sana kwa neno lako na umejua sana kuelezea hii ni biashara ya watu. Asiyejua haya yote, atafute na asome kitabu cha aliyefanya mamboo hayo ya kuuza mafuta,maji,vitanbaa, udongo, hela za mapepo , n.k anaitwa Makhado Ramabulana, na kitabu chake kinaitwa Church Mafia. Soma utaelewa ni kitabu kizuri.
@augenmagabila3081
13 күн бұрын
Kitabu kipo Mtandaoni yaani soft copy bure.
Mbarikiwa Mwakipesile, hata mwisho ataeleweka kwa,njia yakumbinga uovu. Big up Mbarikiwa Mwakipesile wetu.
Asifiwe Yesu Prophet..Mungu akubariki Sana Kwa kusema ukweli..hayo nimeoyaona Mimi..unasema ukweli mtubu.🎉
Hapo IPM nakuunga mkono kabisa Mungu akulinde na kukujaza ujasiri zaidi damu ya Yesu kristo ikufunike
Ubarikiwe sana sana kwa kuliona hilo hawa watu wanatumia nguvu za giza mwish wanaua watu mungu akupe maisha marefu sana
Yaani umenifunguwa sana baba Mungu akubariki eweeee baba muumba wa mbinguni Akulinde jaman Mungu baba mlinde IPM
Kuhusu Kafara ya Wanyama mtumishi wa Mungu nakushaur kwamba iliishia msalabani kama unasoma maandiko vzr Yesu alpokata roho Pazia la hekalu lilikatika katikati kumanisha upatanisho wetu na Mungu ni kupitia damu ya mwana wa Mungu. Wanyama,biashara,mazao,na vngne vpo tu kwa ajili ya kutolea zaka na sadaka na syo vingnevyo. Mungu wa mbinguni awape uwelewa
@npiperito19
14 сағат бұрын
Inamana walio kuwa wanatoa kafara Au sadaka ya wanyama walikiwa awantii mwenyezi mungu? Acha kuzarau agano la kale. Ayo yote ni mapendekezo ya mwenyewe.
Aiseee asant mtumishii umenifungua macho kuhusu kafaraa asnte saana❤
Daah brother umeongea facts ambazo wanufaika zitawauma sana! Watu wamepigwa na vitu vizito mpaka wanakuwa mazuzu Kwa kuamini vitu badala ya Mungu. Yaani huo mchanha ungewasaidia Israel na Palestina waache kuuwana. Asante Kwa upelmbuzi yakinifu
@alexandermilanzi9860
13 күн бұрын
Hakuna cha dear brother yy mwenyewe mpigie tu!..... Ameshauza mafuta huyu tena yeye 5000-10000 kama sijakosea nimesahau tu gharama lakini
@hashimchaoga9566
11 сағат бұрын
Sasa nae ni prophet gani kama si biashara tu. Prophet wa mwisho ni Muhammad basi. Wala maprophet wenyewe hawakufanya hivyo
@hashimchaoga9566
11 сағат бұрын
Anaelewa kur ani na mtume Muhammad alimtambua Issa na alisema kwamba yeye ndie prophet wa mwisho iweje yeye nae awe prophet? Si ni uongo? Muongo si mtu wa motoni? Huyu kaenda ukristo ameona kuna wadanganywa kirahisi na kujiongezea kipato. Hupati waislam wa kuwadanganya kirahisi. Sidhani kama anaombea watu bure na hachukui sadaka na kuzitumia yeye
@hashimchaoga9566
11 сағат бұрын
Ana nini cha ziada hadi nae ajitawadhe uprophet? Kuna Yule wa Nigeria Joshua kumbe alikua na maovu kibao na wengi tu ni hivyo hivyo kudanganya tu na kujitajirisha
Fact kabisa Leo umeongea ukweli
Endelea kutubishia sisi tunapiga hela Kwa hayo maji mafuta KAZI iendelea ❤❤❤Arise and Shine Juu tunakukaribisha Jpil
I appreciate your research is alright IPM, may God defend you always, and go ahead.
Nakuombea Mungu akulinde Mungu akusimamie na Mungu akupe ngu ya neno lake takatifu
kweli nimevutiwa na mazungumzo yako! Ninatamani sana uwe mwokovu genuine! Ubarikiwe!!!
Neno lako ni zuri lakin apo kwenye kafara mchungaji sijaelewa Bado, nachojua mm kafara kafara ya dam ya yesu ilimaliza hakunaga mnyama au fahari inayoweza ondoa dhambi (damu ya yesu yatosha) amen
Penye mzoga ndipo wakutanikapo ndege waitwao tai,brother. Ni kweli watu wanainuka kiuchumi baada ya upako na ndomana wanaweza kuhudhuria mara zote hizo na kutoa sadaka hizo mara zote hizo. Umati mnaouona kwa watumishi hao maisha yao yamebadilika na ndomana wanakua na uwezo wa kutoa kila wakati. Hawajaaminishwa,wanaona matokeo ndomana wanaendelea kwenda. Inashangaza kuona mtumishi wa Mungu anapoona miujiza anasema ni nguvu za giza! Hii tafsiri yake ni kwamba wanaamini shetani ndo mwenye miujiza mikubwa na sio Mungu. Mungu wao ana mipaka na matendo ya miujiza. Watu wameinuka kiuchumi sana na wao wenyewe ni mashahidi ndomana anaweza hata kutoa 50,000 kila wiki na alikua hata 2,000 hawezi kutoa. Watu wanakwenda ili kazi zao zifunguliwe na sio hawafanyi kazi,huo ni upotoshaji.
@edwinmbunda6709
12 күн бұрын
Hakuna kitu kama hicho, wengi ni choka Mbaya
@Imaniamockgmail
8 күн бұрын
Umeongea umemalza Kila kitu Asante !binafsi nimeielewa point Yako 👏👏👏🙌♥️🙏
Hujafanya utafiti ,Mungu akusaidie.waliofanikiwa Ni wengi mno.Na nani alikwambia wanaotoa mafuta wanawambia watu wasifanye KAZI.Jifunze bila Hila utajua Nini kinaendelea .Petro alipovua usiku kucha asipate samaki,shida ilikuwa Nini, na kwanini alipoambiwa na Yesu atupe nyavu alipata samaki wengi mpaka akaita watu kumsaidia.Yapo mambo mengi yanayozuia watu kufanikiwa licha ya kufanya KAZI kwa bidii.Mwombe Mungu atakufungua macho.asilimia kubwa ya wanaofanya KAZI kwa bidii ndio hafanikiwi wanapata mlo TU
@Petitejollie
15 күн бұрын
Endelea kubeba mafuta kwenye pochi kuna siku utatajirika 😂😂😂
@vicentamandus6149
13 күн бұрын
Yesu mwenyewe alimkuta petro akiwa anafanya kazi😂
@Imaniamockgmail
8 күн бұрын
👏👏👏🙌♥️🙏
Hongera kiongozi kwenye uislamu pia yupo tapeli mmoja aitwa Dokta S
Nakubalisana mtumishi Ipm Mungu akupenguvu Naitwa Alex kutokeya canada
Uko sahihi, MUNGU akulinde Amina
Mtumishi naamini ujumbe umefika, na usirudi nyuma katika hili mungu akupe nguvu
Nikweli lakini hata wew hauna imani kabiza aloo sikukubali kabisa
@user-nb6yh2bn9y
14 күн бұрын
Nikweli nilishetani tosha tuu 😢😢😢
@Kalunirashidi
14 күн бұрын
Tatizo ndio lo Iman ndio itakukomesha
@EstaDaffi-wg5cr
13 күн бұрын
Hata yeye so salm japo anayoongea ni kweli.
@janealbert7901
13 күн бұрын
Waacheni wabongo wajinga sana. Watapigwa mpk wanyooke
@emmanuellukololo4427
11 күн бұрын
Mtu kusema kweli ni shetan? @@user-nb6yh2bn9y
Some times ifike mahali watumishi wa Mungu mfocus na mambo yenu jmn kma mwenzio ana karama amekuzid basi mshukur Mungu kila mtu ana karama yake kma huna uwezo basi acha wanatoa muujiza watoe Mungu ndo hakimu wa kweli
@vicentpantaleo5837
7 күн бұрын
Karama gani alafu sisi tushakuwa kama manyumbu iyo ni siri yao hakuna karama yoyote kaka amka
@davidkawesa3594
6 күн бұрын
Ushaliwa
Mungu atusaidie mwisho watimia yan binadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa
Nilikuwa nakuchukia Sana ipm, kutokana na yale uliyokuwa unayasuport, na binafsi niliona kitu kikubwa kwako lakini mpaka Sasa ukibadilisha tu kidogo, ntakapokuja dar, ntakuja kusalia kanisan kwako.
Ipm mbona wewe unauza maji na mafuta unaonana na watu kwa pesa broo au umeacha umemrudia mungu kaka
Kafara ya mu Christo ni Yesu ikisema myama sioni sawa île damu ilio mwangika musalabani inamana gani.
Sema me ulinipiga lakimbili Mtumishi na hivo mbona na wewe huwa unauza kichupa Cha Asali kidogooo unasema hiyo Asali umeionbea ina Nguvu flani ya Mafanikio hicho kichupa Cha Asali unauza elf kumi
@rebecayenda6780
15 күн бұрын
😂kafulia kaanza kujisahaulisha
@harmonylogisticszimbabweli3294
10 күн бұрын
Afanye kazi ya mungu wake sio kukosoa wenzio. Kila mtu anaufunuo wake.
@Imaniamockgmail
8 күн бұрын
@rebecayen😂😂😂😂😅Yani Rebecca yen umenifanya nicheke mpaka mawazo yamepotea duu Asante🙏jamani sisi binadamu tunakazida6780
God bless you it's true brother
Amina, Umeongea ukweli na umefunguwa watu macho
❤❤❤❤❤❤apo niko nacwewe Ubarikiwe mnooo
Ubarikiwe sana baba yesu atakulinda
Mungu atusaidie sana ww mwenyewe hueleweki unasema tuuze sigara ktk biashara zetu je ni sawa?
Tatizo watu wana tamaa ya Pesa tu au kua tajiri
Lalini mimi sitaki unafiki wewe IPM c uliwahi kuwauzia wafanya biashara na wafanya kazi mafuta ulikua unasema ni mafuta ya dhahabu we hukua mwongo acha unafiki wivu tu umekujaa
Haleluyaaaaaaaa! To The BLESSED MOST HIGHER HOLY ALMIGHTY MIGHTY IN THE BLESSED YAHWEH TETRA GRAMA ATON HOLY ZODIAC HOLY DIVINE KIND OF MATRIX GOING IN THE UNIVERSE WAY OF DOING MIRACLES FOR INTERLECTUAL HOLY SPIRIT ENLIGHTENMENT THAT SMILE VERY WELL ORDERING THE STEPS OF OUR FEET, Going Before us Making the croocked places Straight Breacking the gates of brass, Cutting in Sunder the bars of iron To Give Us the TREASURES OF DARKNESS, THE RICHES OF HIDDEN IN THE SECRET PLACES For Us to Know The Holy DIVINE KIND OF MATRIX GOING IN THE UNIVERSE WAY OF DOING MIRACLES Of " IS RA EL ". Haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa!
MUNGU akulinde mtumishi
Kivuli cha Agano la kale ...kiliwakilisha watu kutoa kafara za wanyama ...ila kwa kufa kwake Yesu sisi sote tumesamehewa
@zaidiissa3714
15 күн бұрын
Endeleatu kufanya zambi na uzidijuamini umesamehewa utajua hauajua lakini siku yamwisho utasaga meno
@Shalom2018
15 күн бұрын
Ni kweli kwenye Agano jipya Yesu alikufa pale msalabani na damu yake imetukombo tena inafanya kazi mpaka sasa,hatuhitajiki kutumia tena damu za wanyama,tuanaweza kutumia damu ya Yesu Kristo kwa kuitamka,hayo mambo ya kafara ya kuchunja wanyama na watu yapo kwa shetani.
@farajis3dtech306
15 күн бұрын
Fanya zambi ukijua umesamehewa maana ya kila mtu na msalaba wake naona huijui jichanganye ukifanya zambi utajua baadae
@MrMwadila
14 күн бұрын
Waebrania 10:1-4”Basi torati, kwa kuwa ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi wakati wo wote kuwakamilisha wakaribiao. 2 Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha kusafishwa mara moja, wasingejiona tena kuwa na dhambi? 3 Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka. 4 Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.”
@AfricaQueen
13 күн бұрын
@@farajis3dtech306wacha asime ukweli 🫵🏾
Hizo bei ni za kwako, hakuna bei kama hizo, meamposa maji na mafuta elfu moja moja
@SaugoNdemo-tx4le
6 күн бұрын
Anayatoa wapi??
Mchungaji nimekupenda sana
Wewe kalia wivu sisi tunaendelea kupiga mafanikio yetu kupitia upako wetu arise and shine kazi iendelee
@joshuatituslusinde1260
11 күн бұрын
Umepotea kwasababu hujui maandiko
@joshuatituslusinde1260
11 күн бұрын
Mwapotea kwasababu hamjui maandiko
@LilyWeitz
10 күн бұрын
Wivu Tu 😅
@richardsiame8328
8 күн бұрын
Sio wazima nyie kunawivu hapo ,anaongea kweli tupu
@LilyWeitz
8 күн бұрын
@@richardsiame8328 kwa kuwa anekuwa mungu anahukumu watu au watumishi wengine yeye ni mungu au .kila mtu acheze kalata yake mwenyewe mambo ya watumishi wa mungu yeye inamuhusu nini.yeye kama kashidwa atulie au akalime vitunguu shamba
Acha unamfki mtumish wapo wenye matatzo mengi na sio wote wanataka utajr
Kweli mtumishi wa Mungu,, watumishi wengi wana wanyonyo sana ,, waumini waoo,, na wao kifanikiwaa waoo
Barikiwa sana IPM
Watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa; Dunia imechangsnyikiwa Kwa kutafuta utsjiri mwishowa wanakutana na uharibifu. Mwivi haji; ila aibe na kuua na kuchinja na kuangamiza Bali Yesu alikuja Ili watu wawe na uzima Kisha wawe nao tele.
Mungu mtumie IPM aseme kweli,kweli inatuweka huru
Brother,acha kupotosha watu. Kichaa anafurahisha kama si wako, maiti inanuka kama si yako.usipotoshe watu kama ww ni mtumishi wa Mungu basi huijui Biblia maana biblia yenyewe imeandika watakuja watumishi watakaotenda miujiza hata zaidi ya Yesu. Ww sio mchungaji ww mpiga dili tu. Binafsi sikuungi mkono kabisa. Utabaki ni hayohayo. Arise and shine kazi iendelee. Tunaiona nguvu ya maajabu tunapona na tupo nyumbani kwetu ww ongea yote.
Mwenyezi Mungu atakulinda kaka msems kweli ni mpenzi wa Mungu
Hongera mtumishi..umenena ukweli. Mitume na manabii hawa ni matapeli watupu..nimelia kabisa kwa jinsi watu wa imani zote wanavyotapeliwa
Neema ya Mungu ni kubwa
Ubarikiwe mchungaji ni heri useme ukweli ili wanadamu tupate kupona na jehanam ,Mungu atakulinda kwa ukweli wako ,hutazurika na chochote.
Apo sawa ipm .👏👏👏👏
Wewe unakosoa makosa na wew unafanya makosa makubwa zaidi.Unawaambia wafanye kazi ya Kuuza pombe,sigara na vilevi ili kupata Pesa. Kama umeamua KUNYOOKA,NYOOOKA NA NENO LA MUNGU SIO MAWAZO YAKO
@AfricaQueen
13 күн бұрын
🤣😂🤣Tutawatumbua Na moto unawasubiri anayosema ni kweli 🤝
Keki, chumvi, mafuta, maji na kitambaa ni biashara ya kichawi. Serikali inafahamu na imekaa kimya matapeli wanawaua watu kwa kuwaambia wasitumie dawa za hospitali wameponywa. Yatima wameongezeka kwa ajili ya vibaka waliyojificha kwenye dini.
@moseshaule586
13 күн бұрын
Unaposema biashara ya kichawi hapo umedanganya. Ulishasikia mchawi gani anatumia sabuni na mafuta na maji ya upako.
@nantaembanusurupia5674
12 күн бұрын
Wee ni uchawi tu hapo hamna kitu😮@@moseshaule586
ipm nakukubali San mungu akubalik lakn loho inaniuma San make nakupigia San SMU unisaidie lakin hopokei SMU yang
Mtumishi hakuna mtume au nabii mwenye uwezo wa kuuzia watu Kwa maelfu vifaa vya kiroho kama unavyodanganya watu. Sikatai Kwamba Kuna wanaoigiza upako na wanajipatia pesa lakini si Kwa kiwango kikubwa kivile. Pia elewa Kwamba Kila nabii au mtume wa kweli lazima awe na ufunuo wake aliopewa na Mungu. Wewe ni vizuri ukashughulika na mambo yako uliyotumwa na Mungu wako. Sijui wewe ni mtumishi gani unayetumia usembe?
SIWEWE PIA JAMBAZI TU ULIUZA MAFUTA YA GOLD WAJINUNULIA MAGARI YA KIFAHARI WEWE NA BIBI YAKO
@lucaslupaso5824
13 күн бұрын
Amesahau
@paschalpaul3862
13 күн бұрын
@@lucaslupaso5824 alikuwa anafanya tafiti na hivyo amejiridhisha, na hivyo uwezi kuelewa jambo bila kwenda field, uwezi elewa uchawi bila kwenda kwa mchawi
@user-id1cg8ik1d
13 күн бұрын
@lucas😂😂😂😂😂😂😂😂lupaso5824
Ukweli kabisa mtumishi asiye fanya kazi asile,mtu ukaa masikini juu ya uvivu mfano wakati mko shuleni walimu wanawambia fanyeni bidii soma sana kila unacho soma kitakuja muthihani,kwa sababu wanafunzi wanajua kuna kuombewa asomi juu akiombewa majibu yanakuja kwa karatasi ako nayo mwishoe uanguka muthihani juu akuna kitu ako nacho cha kwandika,akuna siku utaombewa upate pesa kwa mfuko wako,utapata mali ukiyatafuta.
Mwamposa anawatesa sana, Mbona yenu amuzungumzi kwani anawafata hao watu wanamfata wenyewe kwa matatizo yao wanafanikiwa wanaenda kushuhudia wanaongezeka wengine ndiomana wanafulika ww fanya tuone kama utafanikiwa na utauza hizo matilio
Yesu akafa...sasa Kuna haja gani ya kununua vitabaa Na damu ya yesu imelipa yote
NI KWELI MCHUNGAJI BILA KAZI HAKUNA MAFANIKIO WAELEZE UKWELI MUNGU YU PAMOJA NAWE UBARIKIWE SANAAA
Uko vizuri mno Mungu azidi kukupa busara na hekima
Umeongea kweli kabisa kufanya kazi ndio kanuni ya maisha kwa wanadamu lakini kaka huo uchungaji wako nina mashaka nao maana bibilia hailuhusu kuapa kwa namna yoyote ndio yetu iwe ndio sio yako iwe sio kuapa no hailuhusiwi
Mafuta yanakusaidia kuondoa vipingamizi kwenye maisha yako my be uchawi nguvu za Giza amefungwa Kila anacho Fanya afanikiwi kwahio mafuta yanamsaidia anacho kifanya afanikiwe
@rerisamba
8 күн бұрын
Kumbuka Mungu kama Mungu hahitaji kusaidiwA neno lake latosha je ukifa itakusaidia kuingia mbinguni
Ubushakashatsi hamwe nisoko hamwe nabasaza Ntamuntu numwe, nyuma yawe, uri ghos, bityo tuzagororerwa guhumurizwa numuyaga Aho mubuntu bwanjye, Mana yanjye, nyereka ibitangaza byubushobozi bwawe, imbaraga, gukandamizwa , n'igitugu, yewe Mana Mana Mana, yewe Yahi Yaqiyam, Banyakubahwa Cyubahiro kandi benshi, ibi ni, kandi kubakuru b'ikuzimu, barasenze, bityo bazabe bamwe. Reka rero baryohe, ubushyuhe n'umwijima. Mana, hagarika abarenganya, abanyagitugu, n'abagome. Uyu muhengeri uraza hamwe nawe. Binjiye mu muriro , Nyagasani w'isi, kubera ubuhemu bwacu muri Palesitine, Gaza, Rafah, no mu bihugu byose bya Palesitine Bati: "Mwami wacu," watugejejeho ibi, byongera umubabaro we, kandi wikubye kabiri mu muriro baravuze bati: "Ikibazo ni iki kuri twe ko tutabona abagabo?" Twakundaga kubatekereza mu bantu babi gutongana hagati yabantu. Vuga uti: "Ndi umuburo gusa, kandi nta yindi mana ibaho uretse Allah, Umwe, Isumbabyose," mu ijuru no ku isi ndetse n'ibiri hagati yabo Oh, Nyirububasha, Kubabarira Mana, Amen, Mwami w'isi.☝☝🤲🤲☝☝
@IreneAlphonce-zi3if
8 күн бұрын
Acha. Umbea wakutega. Masikio kwa. Watumishi. Wenzio. Mbona. Kwa. Waganga. Wa kienyeji. Wanapeleka. Vingapi? Fanya. Yako. We. Prophet. Wa. Kuzim. Wewe.
Mchungaji anaye hubiri kwa kunukuu vifungu vya quarani. Atutajie mstari kwenye Agano Jipya mtume aliye abudu kwa kutoa kafara ya wanyama. Na huyo reporter wa mchongo hana swali la msingi bali la kusupport ujinga!
Duu😢,prophet anamwita mwandishi broo , maneno ya kihuni hayo afu unajiita nabii , umeongea point ila nakuona na wale wale tu ,manabii wa uongo unawapondea wenzako ila wote ni walaji wa waumini
Waoooooooo Asante Sana Mtumishi
Basi tena! Kafara lipi? Sikuamini kabisa- Hata kodi tunayotoa inamsaidia vipi raia mmojammoja? Acha unafiki mtupu
Yaan mim nilikuwa sikuaminigi, , lkn kwa hiki unachosema ni kweli kabisa coz nimepitia huko kiasi kwamba simwamini mtumishi yeyote
Hakalii wivu anawafungua wati macho wajue nini Mungu anasema siyo wivu kumbuka pia utafanikiwa lakini utaviacha hivo vote mtafute Mungu atakufanikisha mjue sana Mungu
DAKIKA ZA MWSHO KUTAKUJA MANABII WA UONGO😢😢😢😢 TWASUBIRI YESU ARUDI TU.ILA WAKRISTO DAH POLEN.KILA MMOJA NA KANISA LAKE
MIMI NI MUUMINI NATUMIA MAFUTA CHUMVI NA VINGINEVYO SAWA NA NENO LA MUNGU NAFANYA KAZI NAMWABUDU MUNGU NASOMA NENO LA MUNGU NAISHIA NENO LA MUNGU
Wanyoche baba, mama yangu alitoka uku kwetu mosambique, akaja uko Tanzania kununua maji pamoja na mafuta ya upaka, kwa lengo yakuw tajiri, lakini mpaka sasa ata nauli yakujia tena uko TZ ana. Wachungaji walio jaa ni wala ruchwa wakisiasa.
Wivu tu wa idadi ya wafuasi wa hao manabii wanawatu wengi sana.japo mimi simwamini hata moja ila nawewe kinachokutesavni mafanikio yako
Wewe mwenyewe muhuni nyie wote NI mbiz kasolo langi
Mungu akulinde na ahsante kwa somo nzuri
Huu ndio ukweli, ni wakati sasa serikali kubadilisha sheria kuanza kutoza kodi kwa wezi wa aina hii.
@AfricaQueen
13 күн бұрын
🤝🤝🤝
Prophet IPM ubarikiwe sana kwa ukweli wako nafwatiliya kabisaa pia Na mimi nimewahi kununuwa shule ya Tanzania kwenye kanisa ya SUNGUYE na Mafuta ya upako sijaona hata kitu kufanyikiwa hahahaha Mungu tusamehee kweli
wanaotajilika ni wale wanaouza mafuta maji chumvi vitambaa na wanaokusanya sadaka awo wanatoboa mfano mwamposa lakini ambao awatotajilika na watakufa masikini kwa kukosa maarifa ni waumini na mazuzu wanaoamini kwa ujinga asa akina mama ambao ni wepesi wa kuamini kwa kukosa maarifa acha wanyonywe kwa ujinga wa kukosa maarifa mazuzu makubwa wanawake
Unasema ukweli watu wanapigwa bila kujua wanadanganywa isreli kuna nini kwanii uchawi huo kabisa wengine wanauza jui elg 50 wanawadanganya Damu ya Yesu
Binadam akili ziko tofauti ndio maana hata kwenye mtihani Kuna wa kwanza na WA mwisho
Injili yakikosi kazi Cha injili inakubalika kwa asilimia 100% bila kumsahau mbarikiwa
Safi sana wewe ni Mtu wa Mungu Mungu akulinde Pastor
Facts bro I appreciate you.
Acha kufatilia watu ww siku zote Mungu akikuinua lazima uwone wivi uwo niwit wamugu acha muumie namutaa umia San ma'an amutaki kuami Mungu acha awe tajili Mungu akuuba masikin sisi wakilisto lazima tuwe matajili wewe kamuombe Mungu akup kibali. Nawew upate upako
Mambo hayo ni afadhali umwombe Mungu awakomeshe watu hao
Yesu ndio kafara ya mwisho
Makanisa yamekuwa silaha ya kuwaumiza wananchi.Inakuwaje mtu anakusanya 800M.Lkn hata Kodi halipi,uwizi huo
inshaallah Mungu Atakulinda Bro bora ukwli ukifa unanafac yko kwa Mungu
Mungu akubari, kweli inatuweka huru
Mimi nakukubali Sana wewe pastor unaogea kweli nakuomba ufike kanisani KWANGU uhubiri
Sawa kabisa raisi lazima awe na uchungu asikae kimya
Tuna jua ila mafuta nikama yesu alivyo pakwa mafuta ya bei mbaya na jule m mama wengi wana jatumia kwa jini ya kujilinda na maatui wa kidunia ila sio kwajili ya mafaniko
Makanisa yametushida paka tunakaa Kwa nyumba zetu..unanishidwa umwamini Nani??
😂😂😂😂 hapo kwenye unyayo wa yesu 🙌🙌🙌
100% well said!!
UMEWAPA MAKAVU, WAJINGA HUWA WANALIWA SANA HIZO PESA , WANANYONYWA KWELIKWELI
Asante mtumishi,mwenye masikio haambiwi sikia
Wewe ujapewa hayo mafunuo kaka waache waliopewa wafanye kazi zao, Mungu mwenyew aliwatifautisha Kwa karama na vipawa, ndo mana cyo wote ni wachungaji wengine ni Manabii, wengine Waalimu, wengine ni wainjilisti Kila mtu afanye kazi kulingana na nafasi yake na alichotumwa kufanya, wewe ujapewa kazi hyo, uwezi kujua misingi yake acha kupotisha uma kaka
@BobgIsmail
6 күн бұрын
Wewe huna akili hujitambui jitafakaru