Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.
@ednaabyudi8465
2 ай бұрын
😊
@justamwesiga18773 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi baba yangu wa kiroho..pia Mungu akupe maisha marefu zaidi
@martinakyoo148 Жыл бұрын
Bwana Yesu azidi kukutumia kwa utukufu wake Mzee wetu Mch Mose's Magembe ,siku zote jumbe zako zinanibariki.
@irenemunuo17103 жыл бұрын
Mungu akupe miaka mingi ya huduma mtumshi wa Mungu. Mungu azidi kukutumia katika shamba lake.
@jimmyfund15023 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu zaidi ili tujifunze zaidi kwako.
@agnesspaul18669 ай бұрын
❤❤❤❤nimeamini watu mkiwa na hofu ya Mungu mnafanana Mungu awe nawe baba
@elizabethmgassa72437 ай бұрын
Mungu akubariki sana baba yangu mpendwa..unaisema kweli tena unakemea kabisa.barikiwa sana baba.
@micamathew25953 жыл бұрын
Bwana Mungu atutie nguvu jmn!!! Nimeguswa sana na mahubiri ya huyu mchungaji!! Jmn Bwana Yesu asifiwe sana
@gloryurio12133 жыл бұрын
This is a true servant of God, Mzee Mungu akupe nguvu
@hansondaniel-nb2jn Жыл бұрын
Nampenda sana huyu mzee mungu amuweke hai
@fredrickbaijukya28002 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu ili uzidi kufundisha Neno la kweli maana kanisa limeishajichanganya.
@prosperprosper31923 жыл бұрын
Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏
@cristianoprincegabrielles3951 Жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi Wa Mungu aliye Juu..... Bwana Yesu akutendee Mema Baba Mchungaji Magembe
@siboniobubinga45233 жыл бұрын
Ni mm peke angu namuona ....kafanana Na marehemu Mengi au daaah.,..Ujumbe mzur saaana Be blessed😍
@linahselestina6025
3 жыл бұрын
Hata mimi naona hvy
@venancemwanya42122 жыл бұрын
Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.
@juliussabuni2033
2 жыл бұрын
Mzee Magembe uko wap I? Nataka kujifunza kwako
@annamwaipopo94853 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana kwa neno lako Mungu akupe maisha marefu na akubariki mchungaji wetu
@user-ts1bi7gc8i6 ай бұрын
God bless u preacher for the preaching you provide,
@christsontarimo58033 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia..., Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro) "Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..." Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu. Isaya 59:1 -2
@graytonndamgoba48059 ай бұрын
There is authority in this man when he speaks.Haleluja
@rosehaule6765Ай бұрын
Mungu ni mwema nyakati zote❤
@bobnassa61513 жыл бұрын
Am not Christian but this pastor is truly touch my heart, Glory to God & we are all brothers & sisters 🙏
@this.is.aaliya7395
3 жыл бұрын
May the Lord touch you soul in Jesus Name and may the Holy spirit réveil himself in you bless you brother
@monicabh1668
2 жыл бұрын
I pray for you brother one day Our living God will touch your soul 🙏🙏🙏
@sammymasinde373
2 жыл бұрын
Okoka brother
@harrietkiden7808
Жыл бұрын
Brother Bob Nassa, may the Holy spirit continue to touch your heart and get more revelation
@imangunjaimangunja
Жыл бұрын
@@monicabh1668 0l
@VeronicaMacha-pl3xt6 ай бұрын
Piga kazi babaaa wewe ni katika wachache mnaotulisha maziwa yasiyoghoshiwa Mungu akubarik🙏🙏🙏
@hilgathjoshua88043 жыл бұрын
Akiri zimeisha hata ufahamu wa kuazima hakuna 😊😊😊 Barikiwa mchungaji 👏👏👏👏
@user-uw2fx9ch7p5 ай бұрын
Asante baba iyo ndio injili apaswa buhubiliwa na watu wote
@mossesezekiel78625 ай бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU sema tupone! Heleluya Bwana YESU asifiwe sanaa
@raphaeldaud5323 жыл бұрын
Karibu kwenye mkutano wa injili unakaoaza tarehe 20-12-2020 hadi tarehe 03-01-2021 kanisa la TAG Majumbasita kwa mchungaji Magembe. Wote mnakaribishwa
@lightnesskantu523
3 жыл бұрын
Ahsante.Nabarikiwa sana na huyu mtumishi yuko wazi na injili ya motomoto isiyogoshiwa.Mungu aendelee kumtunza azidi kuliamsha kanisa la leo na la hapo mwanzo.
@raphaeldaud532
3 жыл бұрын
@@lightnesskantu523 Amen.. Usikose kufika kwenye mkutano. Ubarikiwe sana
@charlesgasper22433 жыл бұрын
Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!
@alfredmwangi9640 Жыл бұрын
Powerful n practical, oh God revive us again !
@VioletMbezi6 ай бұрын
Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai
@mayelegeneral
3 ай бұрын
Mzee ubarikiwe na munguwetu
@mosesndahani2433 жыл бұрын
Huyu kwahakika ni nabii wa kanisa la leo. Mungu akupe neema zaidi
@nominetjacob81375 ай бұрын
BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu
@richardesther67383 жыл бұрын
Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen, ntafanya hivyo
@cresensiankwera17768 ай бұрын
Nimebarikiwa Sana na mahubiri ya baba mchungaji🙏🙏🙏👏👏
@aganzemukongomani2723 жыл бұрын
Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.
@mediavumbi92439 ай бұрын
Asante sana muchungaji kwa Neno,umenirudisha kwa misingi ya Neno la Mungu, ubarikiwe sana
@simonwanyama7493 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu,mimi ni simon toka kenya
@nemaodhiambo72743 жыл бұрын
Powerful message We all need repentance
@tutuyamononi51853 жыл бұрын
Glory to God Bishop welcome Kenya
@rosendanshau26743 жыл бұрын
We mch ulikuwa wapi wewe na mafundisho yako mazuri Mungu akutumie kuponya makanisa yya kipentecoste jamani Mungu atuponye nakupenda baba chapa neno
@willisonrushenza7427
3 жыл бұрын
Nakuelewa mtumishi wa mungu hakika weee ni mtumishi wa mungu aliye hai Amina sana
@ellymaz2187
3 жыл бұрын
@@willisonrushenza7427 Mungu aliyehai huandikwa kwa herufi zote kubwa au ya kwanza. Ukiandika herufi ndogo kama ulivyoandika ujue unazungumzia mizimu. Ubarikiwe
@IREENNTIJE5 ай бұрын
Asante baba ubarikuwe mno hiyo ndiyo injili ya wa TAG
@vailethjovinali28043 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni azidi kukulinda baba yangu
@nickodemsimchimba5943 жыл бұрын
Nimetokea kumpenda Sana huyu Baba,ana neno la kweli moyoni! Amembeba Mungu alie hai!
@titogood3002
3 жыл бұрын
Amina
@valentinandukuvalentinandu4779
3 жыл бұрын
true
@jamsonjasson7591
6 ай бұрын
Wewe umesema amembeba MUNGU ila sio MUNGU,,
@WilsonNiwagila-fh7pu
6 ай бұрын
Anasema ukweli. Tuhubiri NENO Sio maneno. Tujue historia yetu, Tutambue wakati huu Mungu anataka tufanye nini Na Maadalizi ya kesho no yapi?
@adennashon
5 ай бұрын
Mungu akutunze na kukuongeza miaka.
@jacquelineb36433 жыл бұрын
Mungu akubariki akuongeze Miaka mzee naitaji kuokoka umeguza Maisha yangu
@leonardliberath2664
3 жыл бұрын
Ubarikiwe unaweza ukaja kanisan kwake,karibu
@jacquelineb3643
3 жыл бұрын
Niko kenya ameguza maisha yangu sana
@AbedinegoSteven10 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉
@AbedinegoSteven
10 ай бұрын
Asante sana
@janetnzai98663 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba akupe maisha marefu uzidi kuokoa nafsi za watoto wa Mungu
@sumaKaya-rd7ms
Жыл бұрын
L
@mazongholabaraka65753 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wake Mungu.
@olimpasteven19683 жыл бұрын
hizi ndo injili Mungu atusaidie sana
@user-mm3no1lj6c8 ай бұрын
Nakukubali Babu umepewa jukumu hilo la kuwalea wanao na sisi wajukuu kiroho na tutambue tunalo lifanya THANKS MY GRANDFATHER kwa kazi nzuri mungu azidi kukutia nguvu kutufungua tuzidi kujua mengi na kujilinda na lidunia la ajabu hili MUNGU AKUTIE NGUVU KIROHO NA KIMEILI
@YoungsHilary-xd2ml7 ай бұрын
Nimebarikiwa sana ,Asante Mtumishi wa Mungu
@user-zy4nh5jj4z7 ай бұрын
Ubariki wewe ndio Mzee unazeeka na pamoja na Yesu barikiwa sana
@ChazaraEsmael25 күн бұрын
Mungu akupe ufunuo zaidi yahapo
@BaloziAron-ff1ly2 ай бұрын
I'm blessed sana Mungu akubariki sana
@winnyrocha13612 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana mchungaji karibu Kenya tunahitaji hii injili ya ukweli
@LevocatusMwaisumo-qe8ge Жыл бұрын
Ubarikiwe BABA MCHUNGAJI
@michaelalfonce63403 жыл бұрын
TAG ikiwa mtapuuza ufunuo wa huyu mzee mtakwisha maana Mungu amemweka kwa makusudi kuzungumza bila unafiki wala uoga mana hayuko TAG kwa maslahi binafsi.
@jescaandrew8029
3 жыл бұрын
Real but Mungu aturehemu tu hatuna namna
@pallangyoemmanuel1633
3 жыл бұрын
Aminaaaaa
@stanleymathias7877
3 жыл бұрын
Kweli
@bombolucas2925
3 жыл бұрын
Amen
@SabinaEzekiel-vb5nh2 ай бұрын
Amina, nampenda sana mchungaji huyu, Mungu ampe maisha marefu.
@edomkyamba39882 жыл бұрын
Ubarikiwe
@kalumbugideon41592 жыл бұрын
The best people from God....
@pirminmatumizi5464 Жыл бұрын
Mchungaji, naandika tu sijui hata kama unaweza kunijibu. Kuna wimbi la watumishi wa Mungu manabii wanaodai kukutana ana kwa ana na Bwana Yesu na akawafunulia mambo ya mbinguni na kuzimu. Wanatushirikisha mambo mengi kuhusiana na maono/mafunuo waliyopata. Moja ya mambo wanayotuambia Bwana Yesu aliwatuma kuonya kuhusu Wanawake kujipamba, kwamba, wanawake wanaojipamba (kuvaa vitu bandia kama wigi, kucha, kope; kujichubua rangi ya ngozi, heleni, bangiri, shanga, n.k.) kamwe hawatoingia katika Ufalme wa Mbinguni. Nawaona baadhi ya wanawake unaowahubiri hapo wapo hivyo. Jambo hili limekaaje Kiongozi wangu.
@salvinahassan8778
Жыл бұрын
Wokovu ni process,. Kufika mbinguni ni Neema, kukamilia ni pale safari yake imefika mwisho, kanisa ni sehemu ya uponyaji, Kila mtu ana siku yake
@salvinahassan8778
Жыл бұрын
Kujua kama mafunuo Yao ni kweli au sio kweli, yapime kwenye biblia
@emmylema5911
11 ай бұрын
Soma biblia maana unabii unapimwa kwa neno la Mungu
@user-kv7hq5mb6m
10 ай бұрын
Mimi ni msabato,lakini nilikuwa najipamba tu,lakini nikawa sikuwi rohoni,nashuku tu,Kisha nikaanza kuota ndoto zakulala nawanaume nisiowajua naninaowajua,nimeombewa sana,nimefunga sana,lakini nilikuwa sifunguliwi,Hadi nipo kwenye mfungo naingiliwa kimwili nakula vyakula ndotoni,nikamlilia mungu sana,nikamuomba anionyeshe mlango ni Upi unaoingiza uharibifu kwangu,siku Moja nikalala,nikaona maono,jini lilinitokea limejipodoa kama wanawake wakawaida,napafyumu limepaka vipodozi nilivyokuwa navyo ndani,likataka kunigandamiza kitandani,nikakemea likapotea,nikamuuliza mungu ,akaniambia ndo huo mlango,nikaamka asbh nikatubu,nikavichoma VYOTE,nikanyoa nywele,nikafunguliwa bila hata maombi,,nikaamini,vipodozi nimlango wauharibifu mkubwa sana,usijifananishe namtu yeyote hata kama nimtumishi ,thamani Yako anajua mungu tu,wengine hujui wanamaagano gani
@user-kv7hq5mb6m
10 ай бұрын
Ndugu,ninao ushuhuda wavipodozi,vimenitesa sana,Hadi nilipoviacha,viliniua kiroho kabisa
@joemunyasya79583 жыл бұрын
Nimependa xana mafunzo yako Rev .moses magembe am revived already fire is burning in me may the Lord keep u and bless u pastor
@user-xi8ce3ld5f25 күн бұрын
Amen mbalikiwe mchungaji
@rizikitito30243 жыл бұрын
Anaongea kama kulola Mungu akubariki baba unahubir injili ya kweli
@betuelnyandala40182 ай бұрын
Barikiwa mtumishi magembe
@noelmbosa2736 Жыл бұрын
Amina baba wapo watumishi wasiojua wajibu wao ni majungu tu madhabahuni hawajui ni ofisi ya Mungu madhabahu!inashangaza sana nimekuelewa sana baba.!
@MzubaloJuniorАй бұрын
❤❤❤❤ Mungu akupe maisha malefu baba
@thomasisimkonda50722 жыл бұрын
Asante pastor Kwa kunena kweli
@gesusgegangphray76893 жыл бұрын
true man from God ..blve him .he is from Father.
@tobeymershal41543 жыл бұрын
spirit ya moses kulola inaongea ndani ya huyu mtumishi hata sauti ni ya kulola. barikiwa sana.
@frankizack3401
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@mariagodwin104
3 жыл бұрын
Kwel
@happinessmkombwemkombwe8677
3 жыл бұрын
Sema anaongea lafudhi ya kisukuma,pia kulola pia alikua msukuma🎶🎶
@sadockchengula5542
2 жыл бұрын
Sana. Servant wasio na kwere
@shabanimbwambo72975 ай бұрын
Asante sana mwinjilishi umegusa sehem sahihi
@gracepalex74543 жыл бұрын
Wewe ni mtumishi wa kweli kila neno lako linagusa mioyo .... Mungu akupe miaka mingi
@PETERNKUFYA5 ай бұрын
Baba Mungu akubariki sana unafundisha sijapata kuona
@HadijaZabroni-pu1lt5 ай бұрын
Asante sana baba hapana
@victorwilbard25853 жыл бұрын
Asante sana kwa mahubiri mazuri. Nimefarijika sana kumuona Baba yangu Mch.Urassa.
@gabrielisack77863 жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana anenaye yaliyo moyoni na yatokayo kwa Mungu.
@barakakidugutu944
3 жыл бұрын
Hivi watumishi imeona hizo ishara za vidore anavyovionesha Huyu mzee?
@marykibwana94133 жыл бұрын
Barikiwa baba, Mungu aendelee kukutumia kanisa lipone. Gonga like kama unakubali maneno yangu.
@absalimlufyagile4974
3 жыл бұрын
Hongela sana kwa mafundisho mazuri ambayo ni hadimu sana kwa kizazi Cha leo
@isaacmolllah9451
3 жыл бұрын
Nakubaliki
@beatricewanjiku4078
Жыл бұрын
wambie ukweli barikiwa mhungaji
@EmmyLungwe-pi1oi
Жыл бұрын
, God bless you pastor
@mamacherie2103
9 ай бұрын
@@isaacmolllah9451😮😮99y😮😮😮 33:28
@simonwanyama7493 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe sana.kanisa lisidhani haya mafundisho ni mzaa tu.Huyu mtu ni wa mungu na anayonena ni ukweli,kanisa la christo lina maneno bali neno na nguvu hazipo.
@mariagabba8401
3 жыл бұрын
Mungu Tunaemuabudu Ni Wa Herufi Kubwa M siyo m herufi ndogo
@kagiyerose86043 жыл бұрын
Mungu akubariki mchunaji Magembe kwa Neno la kweli, Neema ya mungu izidi juu yako kuendelea kulinena neno la kweli kwa ujasiri.
@sospeterkedmonchitema8 ай бұрын
Mungu ni mwema sana👏
@jameskenzedex3 жыл бұрын
Praise be the name of God I just came across with this clip when was looking for a true word of may God keep u burning 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 the Gospel am blessed..... N kweli mchungaji
@joycenniragira13273 жыл бұрын
Baba,mungu akubariki ,mungu akutume,uje America ukahubiri, maana watu waliotoka Africa wamefikahuku America wakajifanya ndiyowenyewe,please naomba number ya huyo mchungaji asante sana
@owenmwakirassa8690
3 жыл бұрын
+255715283819
@beatricegeorge15153 жыл бұрын
Na barikiwa na neno lako baba be blessed Sana
@husnashaban13732 жыл бұрын
Ubarikiwe baba mgembe kwa injili
@claudianyangasi2066 ай бұрын
❤❤ hongera sana mtumishi
@lucasbunuma98243 жыл бұрын
Hili ndilo Neno LA Bwana....kanisa linahitaji kweli ya Mungu.
@user-pk4qj7ed4w8 ай бұрын
Amina baba endelea kutusahihisha maanake Kuna waumin hatujui tumetoka wapi. Mungu akubarik baba
@AmosWangese-mk9yy5 ай бұрын
Thank you pastor be blessed
@auntdorah91413 жыл бұрын
Amina mtumishi.... Mungu azidi kukutunza
@charitymwema66049 ай бұрын
This is the man of God who was my friends mentor the late Peter and he went to be with Lord while serving God. Thank you man of God.
@mrsdeborahurio3 жыл бұрын
Mungu akutumie Mtu wa Mungu!
@clementgondwe71163 жыл бұрын
Ila nikupongeze kwa sababu si yote unakosea bali,kuna mengine ni sahihi unayoyasema Mungu akubariki
@sammymasinde3732 жыл бұрын
God bless you for the wonderful massage
@missarepafra3973 Жыл бұрын
Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!
@daudiwiston54853 жыл бұрын
Injili kama hizi kwenye kizazi hiki zimekuwa adimu, hongera sana Baba Mch!
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa dhambi ZINATESA wahubili wa injili ya YESU NI adimu
@mathewelias74513 жыл бұрын
Kanisa la Mungu tuisikie sauti ya Mungu....
@erigysimzosha61273 жыл бұрын
My church pastor nakuelewa sana Baba mungu akubariki
@janethbalili9264
2 жыл бұрын
amina mungu tusaidie
@marthamahangula93273 жыл бұрын
AMEEN.hii ndiyo injiri iletayo Wokovu na Mifupa iwakayo moto safi saana Mtumishi wa MUNGU.Msema kweli siku zote hapendwi najua wapo wakuchukiao.
@user-xe8tq9bz6p7 ай бұрын
Asante baba kwa maneno maxito p
@lydiawanjiru5654 Жыл бұрын
Kweli Mungu amembakisha wa chunganji waukweli, Mungu wetu na azindi kumuinua, Amen
@edmundsilayo27363 жыл бұрын
Jamani naombeni namba za huyu pastor. Neno safi sanaaaaa. TAG take it serious na sisi wengine we have to work on it.
@josephgeorgematiku1064
3 жыл бұрын
MIMI NI JOSEPH GEORGE MATIKU NA HUYO MCHUNGAJI NI BABA YANGU WA KI-ROHO. SIMU YAKE NI VODA 0767283818 na TIGO NI 0715283819. BARIKIWA SANA SANA.
Пікірлер: 700
Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.
@ednaabyudi8465
2 ай бұрын
😊
Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi baba yangu wa kiroho..pia Mungu akupe maisha marefu zaidi
Bwana Yesu azidi kukutumia kwa utukufu wake Mzee wetu Mch Mose's Magembe ,siku zote jumbe zako zinanibariki.
Mungu akupe miaka mingi ya huduma mtumshi wa Mungu. Mungu azidi kukutumia katika shamba lake.
Mungu akupe maisha marefu zaidi ili tujifunze zaidi kwako.
❤❤❤❤nimeamini watu mkiwa na hofu ya Mungu mnafanana Mungu awe nawe baba
Mungu akubariki sana baba yangu mpendwa..unaisema kweli tena unakemea kabisa.barikiwa sana baba.
Bwana Mungu atutie nguvu jmn!!! Nimeguswa sana na mahubiri ya huyu mchungaji!! Jmn Bwana Yesu asifiwe sana
This is a true servant of God, Mzee Mungu akupe nguvu
Nampenda sana huyu mzee mungu amuweke hai
Mungu akupe maisha marefu ili uzidi kufundisha Neno la kweli maana kanisa limeishajichanganya.
Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏
Barikiwa Mtumishi Wa Mungu aliye Juu..... Bwana Yesu akutendee Mema Baba Mchungaji Magembe
Ni mm peke angu namuona ....kafanana Na marehemu Mengi au daaah.,..Ujumbe mzur saaana Be blessed😍
@linahselestina6025
3 жыл бұрын
Hata mimi naona hvy
Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.
@juliussabuni2033
2 жыл бұрын
Mzee Magembe uko wap I? Nataka kujifunza kwako
Nimebarikiwa sana kwa neno lako Mungu akupe maisha marefu na akubariki mchungaji wetu
God bless u preacher for the preaching you provide,
Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia..., Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro) "Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..." Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu. Isaya 59:1 -2
There is authority in this man when he speaks.Haleluja
Mungu ni mwema nyakati zote❤
Am not Christian but this pastor is truly touch my heart, Glory to God & we are all brothers & sisters 🙏
@this.is.aaliya7395
3 жыл бұрын
May the Lord touch you soul in Jesus Name and may the Holy spirit réveil himself in you bless you brother
@monicabh1668
2 жыл бұрын
I pray for you brother one day Our living God will touch your soul 🙏🙏🙏
@sammymasinde373
2 жыл бұрын
Okoka brother
@harrietkiden7808
Жыл бұрын
Brother Bob Nassa, may the Holy spirit continue to touch your heart and get more revelation
@imangunjaimangunja
Жыл бұрын
@@monicabh1668 0l
Piga kazi babaaa wewe ni katika wachache mnaotulisha maziwa yasiyoghoshiwa Mungu akubarik🙏🙏🙏
Akiri zimeisha hata ufahamu wa kuazima hakuna 😊😊😊 Barikiwa mchungaji 👏👏👏👏
Asante baba iyo ndio injili apaswa buhubiliwa na watu wote
Amina mtumishi wa MUNGU sema tupone! Heleluya Bwana YESU asifiwe sanaa
Karibu kwenye mkutano wa injili unakaoaza tarehe 20-12-2020 hadi tarehe 03-01-2021 kanisa la TAG Majumbasita kwa mchungaji Magembe. Wote mnakaribishwa
@lightnesskantu523
3 жыл бұрын
Ahsante.Nabarikiwa sana na huyu mtumishi yuko wazi na injili ya motomoto isiyogoshiwa.Mungu aendelee kumtunza azidi kuliamsha kanisa la leo na la hapo mwanzo.
@raphaeldaud532
3 жыл бұрын
@@lightnesskantu523 Amen.. Usikose kufika kwenye mkutano. Ubarikiwe sana
Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!
Powerful n practical, oh God revive us again !
Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai
@mayelegeneral
3 ай бұрын
Mzee ubarikiwe na munguwetu
Huyu kwahakika ni nabii wa kanisa la leo. Mungu akupe neema zaidi
BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu
Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen, ntafanya hivyo
Nimebarikiwa Sana na mahubiri ya baba mchungaji🙏🙏🙏👏👏
Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.
Asante sana muchungaji kwa Neno,umenirudisha kwa misingi ya Neno la Mungu, ubarikiwe sana
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu,mimi ni simon toka kenya
Powerful message We all need repentance
Glory to God Bishop welcome Kenya
We mch ulikuwa wapi wewe na mafundisho yako mazuri Mungu akutumie kuponya makanisa yya kipentecoste jamani Mungu atuponye nakupenda baba chapa neno
@willisonrushenza7427
3 жыл бұрын
Nakuelewa mtumishi wa mungu hakika weee ni mtumishi wa mungu aliye hai Amina sana
@ellymaz2187
3 жыл бұрын
@@willisonrushenza7427 Mungu aliyehai huandikwa kwa herufi zote kubwa au ya kwanza. Ukiandika herufi ndogo kama ulivyoandika ujue unazungumzia mizimu. Ubarikiwe
Asante baba ubarikuwe mno hiyo ndiyo injili ya wa TAG
Mungu wa mbinguni azidi kukulinda baba yangu
Nimetokea kumpenda Sana huyu Baba,ana neno la kweli moyoni! Amembeba Mungu alie hai!
@titogood3002
3 жыл бұрын
Amina
@valentinandukuvalentinandu4779
3 жыл бұрын
true
@jamsonjasson7591
6 ай бұрын
Wewe umesema amembeba MUNGU ila sio MUNGU,,
@WilsonNiwagila-fh7pu
6 ай бұрын
Anasema ukweli. Tuhubiri NENO Sio maneno. Tujue historia yetu, Tutambue wakati huu Mungu anataka tufanye nini Na Maadalizi ya kesho no yapi?
@adennashon
5 ай бұрын
Mungu akutunze na kukuongeza miaka.
Mungu akubariki akuongeze Miaka mzee naitaji kuokoka umeguza Maisha yangu
@leonardliberath2664
3 жыл бұрын
Ubarikiwe unaweza ukaja kanisan kwake,karibu
@jacquelineb3643
3 жыл бұрын
Niko kenya ameguza maisha yangu sana
Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉
@AbedinegoSteven
10 ай бұрын
Asante sana
Mungu akubariki Baba akupe maisha marefu uzidi kuokoa nafsi za watoto wa Mungu
@sumaKaya-rd7ms
Жыл бұрын
L
Mungu akubariki mtumishi wake Mungu.
hizi ndo injili Mungu atusaidie sana
Nakukubali Babu umepewa jukumu hilo la kuwalea wanao na sisi wajukuu kiroho na tutambue tunalo lifanya THANKS MY GRANDFATHER kwa kazi nzuri mungu azidi kukutia nguvu kutufungua tuzidi kujua mengi na kujilinda na lidunia la ajabu hili MUNGU AKUTIE NGUVU KIROHO NA KIMEILI
Nimebarikiwa sana ,Asante Mtumishi wa Mungu
Ubariki wewe ndio Mzee unazeeka na pamoja na Yesu barikiwa sana
Mungu akupe ufunuo zaidi yahapo
I'm blessed sana Mungu akubariki sana
Ujumbe mzuri sana mchungaji karibu Kenya tunahitaji hii injili ya ukweli
Ubarikiwe BABA MCHUNGAJI
TAG ikiwa mtapuuza ufunuo wa huyu mzee mtakwisha maana Mungu amemweka kwa makusudi kuzungumza bila unafiki wala uoga mana hayuko TAG kwa maslahi binafsi.
@jescaandrew8029
3 жыл бұрын
Real but Mungu aturehemu tu hatuna namna
@pallangyoemmanuel1633
3 жыл бұрын
Aminaaaaa
@stanleymathias7877
3 жыл бұрын
Kweli
@bombolucas2925
3 жыл бұрын
Amen
Amina, nampenda sana mchungaji huyu, Mungu ampe maisha marefu.
Ubarikiwe
The best people from God....
Mchungaji, naandika tu sijui hata kama unaweza kunijibu. Kuna wimbi la watumishi wa Mungu manabii wanaodai kukutana ana kwa ana na Bwana Yesu na akawafunulia mambo ya mbinguni na kuzimu. Wanatushirikisha mambo mengi kuhusiana na maono/mafunuo waliyopata. Moja ya mambo wanayotuambia Bwana Yesu aliwatuma kuonya kuhusu Wanawake kujipamba, kwamba, wanawake wanaojipamba (kuvaa vitu bandia kama wigi, kucha, kope; kujichubua rangi ya ngozi, heleni, bangiri, shanga, n.k.) kamwe hawatoingia katika Ufalme wa Mbinguni. Nawaona baadhi ya wanawake unaowahubiri hapo wapo hivyo. Jambo hili limekaaje Kiongozi wangu.
@salvinahassan8778
Жыл бұрын
Wokovu ni process,. Kufika mbinguni ni Neema, kukamilia ni pale safari yake imefika mwisho, kanisa ni sehemu ya uponyaji, Kila mtu ana siku yake
@salvinahassan8778
Жыл бұрын
Kujua kama mafunuo Yao ni kweli au sio kweli, yapime kwenye biblia
@emmylema5911
11 ай бұрын
Soma biblia maana unabii unapimwa kwa neno la Mungu
@user-kv7hq5mb6m
10 ай бұрын
Mimi ni msabato,lakini nilikuwa najipamba tu,lakini nikawa sikuwi rohoni,nashuku tu,Kisha nikaanza kuota ndoto zakulala nawanaume nisiowajua naninaowajua,nimeombewa sana,nimefunga sana,lakini nilikuwa sifunguliwi,Hadi nipo kwenye mfungo naingiliwa kimwili nakula vyakula ndotoni,nikamlilia mungu sana,nikamuomba anionyeshe mlango ni Upi unaoingiza uharibifu kwangu,siku Moja nikalala,nikaona maono,jini lilinitokea limejipodoa kama wanawake wakawaida,napafyumu limepaka vipodozi nilivyokuwa navyo ndani,likataka kunigandamiza kitandani,nikakemea likapotea,nikamuuliza mungu ,akaniambia ndo huo mlango,nikaamka asbh nikatubu,nikavichoma VYOTE,nikanyoa nywele,nikafunguliwa bila hata maombi,,nikaamini,vipodozi nimlango wauharibifu mkubwa sana,usijifananishe namtu yeyote hata kama nimtumishi ,thamani Yako anajua mungu tu,wengine hujui wanamaagano gani
@user-kv7hq5mb6m
10 ай бұрын
Ndugu,ninao ushuhuda wavipodozi,vimenitesa sana,Hadi nilipoviacha,viliniua kiroho kabisa
Nimependa xana mafunzo yako Rev .moses magembe am revived already fire is burning in me may the Lord keep u and bless u pastor
Amen mbalikiwe mchungaji
Anaongea kama kulola Mungu akubariki baba unahubir injili ya kweli
Barikiwa mtumishi magembe
Amina baba wapo watumishi wasiojua wajibu wao ni majungu tu madhabahuni hawajui ni ofisi ya Mungu madhabahu!inashangaza sana nimekuelewa sana baba.!
❤❤❤❤ Mungu akupe maisha malefu baba
Asante pastor Kwa kunena kweli
true man from God ..blve him .he is from Father.
spirit ya moses kulola inaongea ndani ya huyu mtumishi hata sauti ni ya kulola. barikiwa sana.
@frankizack3401
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@mariagodwin104
3 жыл бұрын
Kwel
@happinessmkombwemkombwe8677
3 жыл бұрын
Sema anaongea lafudhi ya kisukuma,pia kulola pia alikua msukuma🎶🎶
@sadockchengula5542
2 жыл бұрын
Sana. Servant wasio na kwere
Asante sana mwinjilishi umegusa sehem sahihi
Wewe ni mtumishi wa kweli kila neno lako linagusa mioyo .... Mungu akupe miaka mingi
Baba Mungu akubariki sana unafundisha sijapata kuona
Asante sana baba hapana
Asante sana kwa mahubiri mazuri. Nimefarijika sana kumuona Baba yangu Mch.Urassa.
Mtumishi wa Bwana anenaye yaliyo moyoni na yatokayo kwa Mungu.
@barakakidugutu944
3 жыл бұрын
Hivi watumishi imeona hizo ishara za vidore anavyovionesha Huyu mzee?
Barikiwa baba, Mungu aendelee kukutumia kanisa lipone. Gonga like kama unakubali maneno yangu.
@absalimlufyagile4974
3 жыл бұрын
Hongela sana kwa mafundisho mazuri ambayo ni hadimu sana kwa kizazi Cha leo
@isaacmolllah9451
3 жыл бұрын
Nakubaliki
@beatricewanjiku4078
Жыл бұрын
wambie ukweli barikiwa mhungaji
@EmmyLungwe-pi1oi
Жыл бұрын
, God bless you pastor
@mamacherie2103
9 ай бұрын
@@isaacmolllah9451😮😮99y😮😮😮 33:28
Bwana yesu asifiwe sana.kanisa lisidhani haya mafundisho ni mzaa tu.Huyu mtu ni wa mungu na anayonena ni ukweli,kanisa la christo lina maneno bali neno na nguvu hazipo.
@mariagabba8401
3 жыл бұрын
Mungu Tunaemuabudu Ni Wa Herufi Kubwa M siyo m herufi ndogo
Mungu akubariki mchunaji Magembe kwa Neno la kweli, Neema ya mungu izidi juu yako kuendelea kulinena neno la kweli kwa ujasiri.
Mungu ni mwema sana👏
Praise be the name of God I just came across with this clip when was looking for a true word of may God keep u burning 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 the Gospel am blessed..... N kweli mchungaji
Baba,mungu akubariki ,mungu akutume,uje America ukahubiri, maana watu waliotoka Africa wamefikahuku America wakajifanya ndiyowenyewe,please naomba number ya huyo mchungaji asante sana
@owenmwakirassa8690
3 жыл бұрын
+255715283819
Na barikiwa na neno lako baba be blessed Sana
Ubarikiwe baba mgembe kwa injili
❤❤ hongera sana mtumishi
Hili ndilo Neno LA Bwana....kanisa linahitaji kweli ya Mungu.
Amina baba endelea kutusahihisha maanake Kuna waumin hatujui tumetoka wapi. Mungu akubarik baba
Thank you pastor be blessed
Amina mtumishi.... Mungu azidi kukutunza
This is the man of God who was my friends mentor the late Peter and he went to be with Lord while serving God. Thank you man of God.
Mungu akutumie Mtu wa Mungu!
Ila nikupongeze kwa sababu si yote unakosea bali,kuna mengine ni sahihi unayoyasema Mungu akubariki
God bless you for the wonderful massage
Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!
Injili kama hizi kwenye kizazi hiki zimekuwa adimu, hongera sana Baba Mch!
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa dhambi ZINATESA wahubili wa injili ya YESU NI adimu
Kanisa la Mungu tuisikie sauti ya Mungu....
My church pastor nakuelewa sana Baba mungu akubariki
@janethbalili9264
2 жыл бұрын
amina mungu tusaidie
AMEEN.hii ndiyo injiri iletayo Wokovu na Mifupa iwakayo moto safi saana Mtumishi wa MUNGU.Msema kweli siku zote hapendwi najua wapo wakuchukiao.
Asante baba kwa maneno maxito p
Kweli Mungu amembakisha wa chunganji waukweli, Mungu wetu na azindi kumuinua, Amen
Jamani naombeni namba za huyu pastor. Neno safi sanaaaaa. TAG take it serious na sisi wengine we have to work on it.
@josephgeorgematiku1064
3 жыл бұрын
MIMI NI JOSEPH GEORGE MATIKU NA HUYO MCHUNGAJI NI BABA YANGU WA KI-ROHO. SIMU YAKE NI VODA 0767283818 na TIGO NI 0715283819. BARIKIWA SANA SANA.
Barikiwa Sana kweli kabisa linaangamiia