MCHUNGAJI MOSES KULOLA SALA ZA MAREHEMU HAZIKUPELEKI MBINGUNI

Dodoma

Пікірлер: 392

  • @josephmakau6515
    @josephmakau65157 жыл бұрын

    You will remain to be father to many Tanzanians.

  • @beneditokabisa

    @beneditokabisa

    6 жыл бұрын

    kwa kwel kaka makau

  • @paulelias3194

    @paulelias3194

    2 жыл бұрын

    Huyu mzee huwa ananibariki sana mpaka naona hahibu tushirikishane neno

  • @remimaterutv9139
    @remimaterutv91395 жыл бұрын

    Hallelujah. Hi ndio injili ya kweli,habari njema kwa wore,waaminio na wasioamini.Kuujenga Ufalme wa Mungu

  • @bernardmsanga2735
    @bernardmsanga27357 жыл бұрын

    naamini siku yaja nami nitahubiri injili ya amani injili ya kweli injili isiyo ya kuchakachuliwa injili isiyo na upendeleo injili ya kweli yenye lengo madhubuti ya watu kufika mbinguni nakupenda Sana Bishop Moses Kulala naamini Tutaja onana mbinguni Kwa Bwana wetu Yesu Kristo Mungu nijaalie niishi maisha matakatifu yenye kukupendeza wewe Ni ihubiri kweli yako Ameen

  • @deborahelias943

    @deborahelias943

    6 жыл бұрын

    BERNARD MSANGA Amen

  • @naftaljacob6311

    @naftaljacob6311

    6 жыл бұрын

    BERNARD MSANGA jaman wokovu nilazma naftari kabeja

  • @naftaljacob6311

    @naftaljacob6311

    6 жыл бұрын

    BERNARD MSANGA Natamani kuwa nahuduma kama hii mungu nisaidie

  • @changarawemichael5397

    @changarawemichael5397

    6 жыл бұрын

    Injili isiyo ghoshiwa

  • @emmanuelfario9897

    @emmanuelfario9897

    6 жыл бұрын

    +Naftal Jacob neno Mungu laandikwa kwa Herufi kubwa

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack4186 жыл бұрын

    Huyu alikuwa NABII wa kweli hawa wengine wanaigiza huyu ni mfano wa kuigwa ndugu zangu

  • @bigirimanasamson2064

    @bigirimanasamson2064

    5 жыл бұрын

    kwa kweli nibajifunza mengi hakika huyu alikuwa mtumishi wa Mungu

  • @japhetkyando1023
    @japhetkyando10237 жыл бұрын

    TUPATE WAPI WACHUNGAJI SERIOS HIVII... lakini bwana yesu atatenda tenaa

  • @billtheadviser894

    @billtheadviser894

    7 жыл бұрын

    mbona yupo japhet!!! kwani humjui mtoto wake wa kiroho prophet hebron??

  • @japhetkyando1023

    @japhetkyando1023

    7 жыл бұрын

    huyu wa arusha! bado sana na kulola hawapend manabii na mitume alikua anawapinga sana angalia hata katunzi na daniel kulola vile wako

  • @bernardmsanga2735

    @bernardmsanga2735

    7 жыл бұрын

    Mungu akusaidie atuinulie watumishi wasio jikweza Kama huyu mtumishi wake alivyo kuwa

  • @mamatuishi-mamatuondoke8822

    @mamatuishi-mamatuondoke8822

    7 жыл бұрын

    Japhet Kyando 'Karne hii hakuna mchungaji kama huyu ndugu'Na kama wapo bac me siwajui

  • @emmanuelpascal3324

    @emmanuelpascal3324

    5 жыл бұрын

    Aliye wa Mungu humsikiliza Mungu.. Nimebarikiwa na neno hili na hakuna atakaye inuka mwenyewe injili serious kama BMK

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael83817 жыл бұрын

    Injili ikemeayo uovu.....ooooh I want to praise Jesus! Just him for This man, Halleluya!

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew64917 жыл бұрын

    Yesu Kristo Nna kupenda. kweliiii Yesu nimuweza. alimtumia Askofu kwa viwango vikubwa sana. Hata kwangu Yesu nitumie upendavyo

  • @morosign4489

    @morosign4489

    7 жыл бұрын

    daaaah aminaa

  • @sikujuahassan3983

    @sikujuahassan3983

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma45465 жыл бұрын

    hakika huyu alikuwa mtumishi wa Mungu 25/01/2019

  • @johnkushoka1031
    @johnkushoka10317 жыл бұрын

    nakumbuka mbali ilikuwa 2002 nikiwa form two Dodoma mchungaji alikuwa anahubiri maeneo ya maili mbili amen

  • @khatibujumakhatibu8458

    @khatibujumakhatibu8458

    6 жыл бұрын

    Adelina stephano, Haya ndio mahubiri yanayotakiwa kuhubiriwa sio unakuta mchungaji anahubiri mambo ya mwilini tu.

  • @joycegama3019
    @joycegama30196 жыл бұрын

    Tunakukumbuka babu yetu kwa kazi nzito ulioifanya

  • @neemaemanuel5689
    @neemaemanuel56895 жыл бұрын

    tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu anakaa ndani yake

  • @nelsonsalumuclovis753

    @nelsonsalumuclovis753

    3 жыл бұрын

    Mungu anafanya kazi kila siku

  • @michaelevarist5518
    @michaelevarist55185 жыл бұрын

    Anae sikiliza maubili haya mwaka huu 2018 gonga like tujuwanee

  • @bigessokamonjo6988

    @bigessokamonjo6988

    5 жыл бұрын

    Michael Evarist mungu mwema sana

  • @michaelevarist5518

    @michaelevarist5518

    5 жыл бұрын

    @@bigessokamonjo6988 akika nimwema siku zotee

  • @diananjerengo6953

    @diananjerengo6953

    5 жыл бұрын

    amen

  • @user-nd8km4kb3t

    @user-nd8km4kb3t

    9 ай бұрын

    Nimeielewa hiyo

  • @elinazimsuya1725

    @elinazimsuya1725

    8 ай бұрын

    Me nasikiliza leo Mwaka2023 October 14

  • @nubaevaristnubha135
    @nubaevaristnubha1357 жыл бұрын

    sifa na utukufu kwa Mwenyezi Mungu kwa maisha ya mzee huyu , Amen.

  • @annakitundu8494

    @annakitundu8494

    7 жыл бұрын

    mungu. akulinde huko mbinguni akuvishe. taji. milele

  • @wenderoserie1538

    @wenderoserie1538

    6 жыл бұрын

    Amen

  • @rosemarymtanga6983

    @rosemarymtanga6983

    5 жыл бұрын

    Utukufu kwa Bwana kwa kujitoa kumtumikianMungu aliye hai kwa ajilinya watanzania

  • @rosemarymtanga6983

    @rosemarymtanga6983

    5 жыл бұрын

    Injili hii ya ya matendo na siku za mwisho wa dunia iendelee kwa watumishi waliompokea zamu kutoka kwa huyu mzee.

  • @carenmunisi7587

    @carenmunisi7587

    5 жыл бұрын

    Mungu akutunze.

  • @loserianlaizer7662
    @loserianlaizer76626 жыл бұрын

    Hakika nimekutana na neno la Mungu ,injili ya kweli,Bwana Yesu tusaidie,mtumishi M Kulola alitufundisha sana uwanja wa Unga Limited Arusha

  • @veredinachacha6464

    @veredinachacha6464

    6 жыл бұрын

    hakika mungu alimtumia kulola kwaviwango vikubwa nikumbuke namm bwana

  • @floramsacky3929

    @floramsacky3929

    6 жыл бұрын

    Jamani jamani nulikuepo umenikumbusha mbali

  • @chricenciakanogole1570

    @chricenciakanogole1570

    5 жыл бұрын

    mungu tusaidie

  • @erastobias4671

    @erastobias4671

    5 жыл бұрын

    Loserian Laizer

  • @lamecklameck8921

    @lamecklameck8921

    5 жыл бұрын

    Sina la kuongeza hapo ila napaswa tu kulekebisha maisha yangu mana nimechomwa sana ndan ya moyo wangu.ee mungu nisaidie kumalza salama kabla aijaja ile mbaya

  • @dr.djshigongo4927
    @dr.djshigongo49275 жыл бұрын

    Nakutizama KZread babu yangu 2019

  • @jovianusmusimo5652
    @jovianusmusimo56527 жыл бұрын

    Mungu akubariki baba yetu mpendwa tunakukumbuka sana hajainuka mtumishi kama wewe tanzania hii Mungu akuripe taji yako huko uliko

  • @MaicJelemela-ei4in
    @MaicJelemela-ei4in2 ай бұрын

    Utukufu kwa BWANA, MUNGU AKUBARIKI mtumishi

  • @laurentalfred4739
    @laurentalfred47397 жыл бұрын

    Kamanda aliekuwa na dhamira safi ktk kuipigania injili ya Yesu kristo. BWANA YESU AUKUMBUKE UTUMISHI WAKO NA AKULIPE KWA HAKI, PAMOJA NA MAPUNGUFU YA KIBINADAMU AMBAYO INAWEZAKANA ULIKUA NAYO LAKINI VITA ULIYOPIGANA INAISHI HATA SASA, BWANA YESU AKULIPE TU.

  • @doricedeucy5824
    @doricedeucy58244 жыл бұрын

    Alikua nabii wa ukweli huyu....can't stop watching his teachings

  • @gabriellaoketch4035
    @gabriellaoketch40356 жыл бұрын

    tutabaki kusikiza maubiri yako nabarikiwa nikiwa Nairobi Kenya.I receive blessings in Jesus name. God is mighty.

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture65995 жыл бұрын

    Neno la Bwana laishi Milele..... asante baba kutuonyesha njia.....

  • @konde24ful
    @konde24ful6 жыл бұрын

    Kiukweli Mtu wa Mungu waukwel hafi kamwe Dk askofu Kulola yupo hapa na anahubili kwani kupitiya mafunzo yake anaendeleza injili abalikiwe sana milele yote waitwao Watumishi niwengi lakini lakini wanao hubili neno la okovu wacace sana

  • @patrickmunisi44
    @patrickmunisi447 жыл бұрын

    Amen.Mungu nisaidie nitembee katika njia ya utakatifu,ili niwe na sifa ya kuiona ile njia kuu aliyoitaja nabii isaya(Isay 35;8)

  • @deustutu1162
    @deustutu11622 жыл бұрын

    Nimebarikiwa Mungu atufanyie mwisho mwema atusamehe dhambi zetu Amina

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3lАй бұрын

    Injiri ya sasa si kama ya uyu mtumish! Naona kama imejikip ktk michango sana!

  • @habilikasekwa3212
    @habilikasekwa32127 жыл бұрын

    Hakika mtumishi huyu alitumiwa na Mungu

  • @philbertluhunga7706
    @philbertluhunga77066 жыл бұрын

    Kuna mahubiri ya Moses akiwa Tabora na kigoma alisoma neno heri wenye moyo safi, nani anayo????

  • @LeonardEdward-fb2bn
    @LeonardEdward-fb2bn9 күн бұрын

    YESU NI BWANA NA MWAOKOZI WA MAISHA YANGU 🙏 2024 NOW BADO MAHURI YA MTUMISHI YAKO MOTO

  • @asifiwenicksonjob940
    @asifiwenicksonjob9406 жыл бұрын

    Neema ya bwana yesu iende pamoja nasi aturehemu cc wakosaji

  • @jeanettenashoni
    @jeanettenashoni7 ай бұрын

    Ambaye anasikiliza haya mahubili 2023 ajitokeze

  • @salomecharles4706

    @salomecharles4706

    3 ай бұрын

    Tupo

  • @anithakalist6194
    @anithakalist61945 жыл бұрын

    Jamani mungu akulaze mahali sahii akika ulikuwa real real pastor

  • @emmykyando9120
    @emmykyando91207 жыл бұрын

    ashukuriwe Mungu kwaaji ya mtumishi wake

  • @agnesangie3874

    @agnesangie3874

    7 жыл бұрын

    Emmy Kyando Amen Amen

  • @esterjuma5682
    @esterjuma56825 жыл бұрын

    Amen na barikiwaa sana na mafundisho yako baba yetu kulola mungu atuongoze ktk njiaa zetu👏❤❤

  • @francishoza7979
    @francishoza79797 жыл бұрын

    I love Jesus, rest in peace Dr kulola!

  • @mikaellucas8160

    @mikaellucas8160

    6 жыл бұрын

    sifa kwa mungu

  • @user-hj9lt8rr3e

    @user-hj9lt8rr3e

    Жыл бұрын

    ❤❤❤❤

  • @godwinuroki2592

    @godwinuroki2592

    9 ай бұрын

    Amen.Nakupenda sana.pumzika kwa amani mbinguni.taji yako iko

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture65995 жыл бұрын

    Umetupa njia baba kazi kwetu kuilinda ... kuitetea na kuishindania imani hadi mwisho..... nakaza mwendo...Mungu nisaidie nifike salama........

  • @simionimwakalonge7788

    @simionimwakalonge7788

    4 жыл бұрын

    nema juu ya neema

  • @evelyneernest8854
    @evelyneernest88545 жыл бұрын

    ASANTE SANA MUNGU TUHURUMIE SIYE SISI WATOTO WAKO TUSAMEHE SANA E MUNGU .... AMEN

  • @mazongholabarakabrux4267
    @mazongholabarakabrux42675 жыл бұрын

    Mungu tujalie, tumalize salama dunia isutudanganye, Mungu akubariki baba askofu Dr Moses Kulola

  • @neemamwalende9740
    @neemamwalende97407 жыл бұрын

    Asante baba kwa mahubiri yako ya kweli na kumutukuzaa mwanao wa kiroho mtume na nabii Hebron ambayee yupo ss ,Arusha-mushono.

  • @veronicamucharles6975

    @veronicamucharles6975

    6 жыл бұрын

    ameee kwa mafudisho mazuri asate kwa naibii Hebron akiwa arusha

  • @yohanakisusi2699

    @yohanakisusi2699

    5 жыл бұрын

    nakumbuka sengerema kwa wawa migombani by yohana samwel kisusi

  • @yohanakisusi2699

    @yohanakisusi2699

    5 жыл бұрын

    eagt musipo musipo mfuata na kumuenzi huyu mzee mtapata taabu sana

  • @fredrickmuia8855
    @fredrickmuia88556 жыл бұрын

    MUNGU nisaidie nikutii kama mtumishi huyu niongoze, sala zote nitakazo zileta mbele zako siziwe na kiburi Bali zikawe zakutoka ndani ya kilindi cha moyo wangu AMEN.

  • @dariapetro2205
    @dariapetro22056 жыл бұрын

    wakati wa siku zangu za kuishi duniani nitazifuata nyayo zako mzee Kulola ili niwe mtumishi mwema

  • @danielbasilwango4402
    @danielbasilwango44027 жыл бұрын

    sisi kwetu ni ku chukuru mungu kwa mtumishi wake Dr Moses Kolola ambayo alikuwa shuka wa injli kwa karne hiyi rest in peace

  • @tntz731

    @tntz731

    5 жыл бұрын

    Utukufu

  • @justinewilliam8581

    @justinewilliam8581

    5 жыл бұрын

    ameen

  • @piusnkwale
    @piusnkwale2 жыл бұрын

    Hii injili watumishi wengi leo hii wanaikwepa.dah yani Mungu uturehemu.

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro3042 Жыл бұрын

    Wapendwa tumuombe Mungu atuinulie wahubiri kama hawa, wanaofundisha kweli ya Mungu, wenye kutufundisha kweli kuhusu maisha ya baadaye ( maisha ya milele). Hero wafu wafao katika BWANA

  • @johnmumbe3872
    @johnmumbe38725 жыл бұрын

    Mungu nisaidie kuacha dhambi na kuishi maisha matakatifu mapenzi yako yatimie maishani mwangu Ee mungu nirehemu

  • @nosigwebuya5537
    @nosigwebuya55376 жыл бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi kutuletea Mahubiri ya baba yetu wa Kiroho kwa makanisa ya Tanzania, ombi langu, ni kukuomba jaribu kuweka angalau hotuba iwe ndefu kidogo.Maana sio wote wanao zlikiliza wapo TZ. ili wanunue DVD. Barikiwa sana!

  • @melaniendihokubwayo7389

    @melaniendihokubwayo7389

    5 жыл бұрын

    2083539888 i!993d387c066f02c6 I have

  • @madamsecysecy3237

    @madamsecysecy3237

    5 жыл бұрын

    Amen

  • @willygidion8226
    @willygidion82265 жыл бұрын

    mbegu uliyoipanda yazidi kumea, askofu aliyemjua Mungu ipasavyo, Tz tunajivunia

  • @euniceenock9869
    @euniceenock98696 жыл бұрын

    Mwanadamu anaweza kufa lakini neno LA Mungu halifi. Li hai tena ni upanga. Ahsante Yesu kwa kifo chako uliachilia neema ya mamlaka ndani yetu. Heshima na utukukufu zirudi kwako Mungu uliyehai.

  • @DastanMapunda-qr8iv
    @DastanMapunda-qr8iv9 ай бұрын

    Nashukuru Kwa mafundisho yenye nguvu Za Mungu wa Kweli Amen! RPC

  • @tmscb9725
    @tmscb97255 жыл бұрын

    Asante kwa mafundisho mazuri . Mungu akutiye nguvu Baba muchungaji.

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41592 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu aliye hai hata Sasa ni hai..

  • @samwelombeni6850
    @samwelombeni68507 жыл бұрын

    Halleluya! Jaman nampenda sana huyu Baba, yaan kweli Mungu alikuwa anamtumia wala hapana mfano wake katika wakati huu! I need more naombeni kuzipata!

  • @gabrielmushi3378

    @gabrielmushi3378

    6 жыл бұрын

    mpira inglandi

  • @alicethoyathoya1773

    @alicethoyathoya1773

    6 жыл бұрын

    Amen kama baba yetu Hebron

  • @deboraadam4962

    @deboraadam4962

    5 жыл бұрын

    hebroni hamfikii huyu baba wee hata kidgo angekuepe hadi saiv duu

  • @OmanOman-iq1wj

    @OmanOman-iq1wj

    5 жыл бұрын

    +Alice Thoya Thoya kweli kabisa hujakosea mimi kama nimebadilika kutoka katika dhambi ni sababu ya kumfuata prophet Hebron kweny you tube afu natamani nikamuone live.... Mungu azidi kum'bariki na kumvika nguvu mpyia ... amiina!

  • @OmanOman-iq1wj

    @OmanOman-iq1wj

    5 жыл бұрын

    +Debora Adam 😃😃😃 wote ni wenye nguvu za injili ya kweli wote mimi nawakubali maana wameniokoa kwa kweli na nnatamani siku moja nikatoe ushuhuda kanisani kwa baba Hebron....

  • @dayanamichael4305
    @dayanamichael43055 жыл бұрын

    injili isiyo kuwa na mawaa yesu tusaidie kukujua zaidi baba yesu aendelee kukupumzisha na kukupa furaha ya milele Asante kwa neno linalo jenga mioyo yetu mpaka sasa

  • @marysusuma3837
    @marysusuma38377 жыл бұрын

    Tunakukumbuka baba yetu tumeimiss injilì ya namba hii.

  • @thomassenga2526

    @thomassenga2526

    2 жыл бұрын

    Hawa ndoo walikuwa wachungaji wa kweli

  • @givenmphokymwaipasi1049
    @givenmphokymwaipasi10495 жыл бұрын

    What a beautiful inspiring this man of God is awesome

  • @yudestilumanywa3620
    @yudestilumanywa36207 жыл бұрын

    Mungu zidi kuinua watu muhimu kama hawa ili injili izidi kusonga mbele

  • @yusuphjumashaka9238

    @yusuphjumashaka9238

    5 жыл бұрын

    Yudes Tilumanywa upo mtumishi

  • @yusuphjumashaka9238

    @yusuphjumashaka9238

    5 жыл бұрын

    mara ya kwaza kuhudumu kwenye mkutano wa Mzee tulienda kwenye maombi ya wiki Moja mlimani dah sitaisahau ata SIKU ya mazishi yake nilikuwepo uwanjani kirumba nakumbuka ulipigwa wimbo na mchungaji abihudi mishori nililia sana

  • @reganpaul8542
    @reganpaul85427 жыл бұрын

    roho ya baba kulola ipate kibali Machoni pa Mungu Baba

  • @evalineakuku590

    @evalineakuku590

    5 жыл бұрын

    Huyu yuko mbinguni

  • @rehemakalipa7494
    @rehemakalipa74947 жыл бұрын

    yooooooooo,tutakukumbuka askofu wetuuu klora

  • @johnmhoja6878
    @johnmhoja68787 жыл бұрын

    safi baba sio kama vijana wako akina jilala shinyanga kazi kutamani wanawake tu si kweli oberd jilala

  • @user-ls2nq2eq3l

    @user-ls2nq2eq3l

    Ай бұрын

    Yupo sehem gan uyo

  • @charleskanyanga4777
    @charleskanyanga47773 жыл бұрын

    God I'm thirsty for this grace,grace for Holiness.

  • @imaniamani7671
    @imaniamani76715 жыл бұрын

    Nakumiss sana baba.watumishi mliomheshimisha Mungu dunia nzima inamheshim Mungu

  • @mosseszyherizonic2584
    @mosseszyherizonic25846 жыл бұрын

    Eeeh YESU KRISTO nitie nguvu nimalize mwendo salama....

  • @nancyenock5601
    @nancyenock56013 ай бұрын

    Huyu Mtu ni neno La Mungu kweli

  • @emmanuelpascal3324
    @emmanuelpascal33246 жыл бұрын

    I really likes Dr. & Bishop Moses Kulola's Priches

  • @janemichael9671
    @janemichael96712 жыл бұрын

    Ubalikiwe mtumish wa Mungu, hakika unafungua miyoyo yetu balikiwe sana

  • @martinmpendwamartinmpendwa8081
    @martinmpendwamartinmpendwa80815 жыл бұрын

    JAMANI WAKO WAP WANAOTAMANI KUTUMIKA KAMA BABA KULOLA

  • @samwelisiza8437
    @samwelisiza843711 ай бұрын

    Wow, was so amazing gospel 🔥

  • @franciskushokad5676
    @franciskushokad56764 жыл бұрын

    Anasema aendaye kwa Kristo awe na sura ya Kristo.Je una sura ya Kristo ndani?Amen!!!

  • @geofreymollel6973
    @geofreymollel69733 жыл бұрын

    Amen baba Mungu akup maisha ya furaha uko mbinguni

  • @eliyaleonard137
    @eliyaleonard1376 жыл бұрын

    Natamani niweshujaa kama mtumishiwa mungu moses kilola ee mungu nisaidi nifike mbinguni. kama alivyofika babu yangu kulola.

  • @yusufumwanawadaudi4670
    @yusufumwanawadaudi46704 жыл бұрын

    Huyu mzee MUNGU alimtumia kwa viwango vikubwa sana, Ee YESU nisaidie na mimi BABA

  • @franciskushokad5676
    @franciskushokad56764 жыл бұрын

    Amen!!Huwezi kwenda Mbinguni kwa kusaliwa kwenye kaburi.

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 Жыл бұрын

    Nilikupenda sana baba nilibahatika sana kuhudhuria mikutano uliyohubiri, real love you my dad r.i.p

  • @wilbardmussa8232
    @wilbardmussa82327 жыл бұрын

    Ama kweli huyu Baba Dr Moses Mahubiri yake yalikuwa hayajachakachulia tofauti sana na akina Gwajima, Mzee wa upako, Kakobe, Lwakatare, Baba God n.k.ndo muhimu sana kuhubiri injili ya kwaya

  • @JAZZ_VIBES

    @JAZZ_VIBES

    5 жыл бұрын

    Amina rip askofu

  • @maryjustapeter5430
    @maryjustapeter54306 жыл бұрын

    Mungu wasaidiye watumishi wako kuhubiri injiri ya kweri kama Baba yetu uyu, wengi wamebakia kuhubri mahubiri ya mafanikio ya pesa tu hakuna mahubiri ya kusababisha watu watubu uovu wao.

  • @akleynziku7739
    @akleynziku77397 жыл бұрын

    kulola mbarikiwa wa bwana

  • @user-fq3bf4cd1s
    @user-fq3bf4cd1s Жыл бұрын

    Hakika huyu ndio alikuwa mtumishi wa mungu wengine kudai sadaka napesa wakiubiri

  • @MSILUTV1994
    @MSILUTV19945 жыл бұрын

    Kama Unaipenda Hii Video Naomba Usiache Kusubcribe sasa hivi Kwenye Hii Channel Kwenye Hiyo Alama Nyekundu Bonyeza Hapo halafu Bonyeza Alama ya Kelele.

  • @mashakamagonze2655

    @mashakamagonze2655

    5 жыл бұрын

    MSILU TV MUNGU Wangu nabalikiwa n neono lako Amina

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko60493 жыл бұрын

    Hiyo Injili kuisikia ni Mara chache sana

  • @georgeeesamwesongo5985
    @georgeeesamwesongo59855 жыл бұрын

    Asante Yesu kW mtumishi wako haleluyaaaa

  • @mosessospeter7995
    @mosessospeter79957 жыл бұрын

    hakika mungu alitoa mti wenye matunda adimu sana,

  • @nelsonsalumuclovis753

    @nelsonsalumuclovis753

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @user-jx1pe9hc1f
    @user-jx1pe9hc1f Жыл бұрын

    Baba yangu wa kiroho Daima nakukumbuka

  • @kimararunguosee6313
    @kimararunguosee63133 жыл бұрын

    Haleluya Haleluya Haleluya Mtumishi wa mungu tuta kuona mbinguni Umefanya yote kwa wakati wako

  • @nicholauspatrick5953
    @nicholauspatrick59537 жыл бұрын

    hii ndio injili ya kweli

  • @barakastanel5944

    @barakastanel5944

    5 жыл бұрын

    ubalikiwe Sana mutumishi

  • @fredianniyo4558
    @fredianniyo45587 жыл бұрын

    Amen amen mille na milele tutashangilia

  • @simonfimbo8126

    @simonfimbo8126

    7 жыл бұрын

    Fredian Niyo

  • @ElishaKasekwa-vo2eg
    @ElishaKasekwa-vo2eg24 күн бұрын

    2024❤❤

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3lАй бұрын

    Tunaobarikiwa na aya muhubir mwaka 2024 tujuane.

  • @ezekieljoseph421
    @ezekieljoseph4212 жыл бұрын

    Amina mtumishi

  • @mcosuonickminene9307
    @mcosuonickminene93077 жыл бұрын

    rest in peace baba askofu

  • @silyvestermpemba2153
    @silyvestermpemba21533 жыл бұрын

    Naomba mwenye kufahamu Kati ya Moses kulola na Moses Magembe Ni ndugu?

  • @jicholafursa7058
    @jicholafursa70587 жыл бұрын

    Hallelujah to the lamb of God!!

  • @mamatuishi-mamatuondoke8822

    @mamatuishi-mamatuondoke8822

    7 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani moses

  • @nehemiaapaul2237

    @nehemiaapaul2237

    7 жыл бұрын

    wapi

  • @edwardsiame799

    @edwardsiame799

    5 жыл бұрын

    Dibam tz hallelujah

  • @agnesylyelu6395
    @agnesylyelu63952 жыл бұрын

    Jamani kweli ukiskiliza mahubiri haya ndipo napoamini aliye was Mungu anajulikana kwa matendo tu

  • @officialsethmwaigomole.1155
    @officialsethmwaigomole.11555 жыл бұрын

    Mungu atusaidie vijana tuenende katika unyoodu na kifkia viwango vya imani katika kumtegemea mungu

  • @jonesgeorge3152
    @jonesgeorge31525 жыл бұрын

    Najua upo kwa baba Mzee wangu.tutakukumbuka daima

  • @patrickmkandi2899
    @patrickmkandi289929 күн бұрын

    Injili yako itaishi milele na milele

  • @givenmphokymwaipasi1049
    @givenmphokymwaipasi10495 жыл бұрын

    He the real man of God what a powerful words

  • @sarahishimwe3024
    @sarahishimwe30246 жыл бұрын

    Mungu akulase pema peponi

  • @patrickmulwa3082
    @patrickmulwa30826 жыл бұрын

    mahubiri ya mchungaji moses kulola yana bariki sana u barikiwe

  • @salomecharles4706
    @salomecharles47063 ай бұрын

    Amen

  • @yvesnzunguri2446
    @yvesnzunguri24466 жыл бұрын

    Baba wambinguni nisayidiye niweze kuubili kama uwu mzee wetu amen

  • @onesmomsalilwa114

    @onesmomsalilwa114

    5 жыл бұрын

    Yves Nzunguri I would like to invite you at Silali Tz there is a branch of Pentecost's shilo and you will enjoy a real &truth gospal word,just consult the site you will hear alot of it.

  • @philiposahani7854
    @philiposahani78546 жыл бұрын

    Eeeeeee baba wa mbinguni nitazame mwanao ,,,,,nayatamani saaana mapito ya mtumishi wako kulola ,,,,,nitie nguvu baba angu wa mbinguni natamaniiiiiiiiiii

Келесі