Mch Moses Magembe - ISRAEL NA SIKU ZA MWISHO | MAKAMBAKO 07
Siku ya saba ya mkutano wa uponyaji na miujiza Makambako, chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: ISRAEL NA SIKU ZA MWISHO
Andiko: DANIEL 9:23-27
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 15.10.2023
Siku ya saba ya mkutano wa uponyaji na miujiza Makambako, chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: ISRAEL NA SIKU ZA MWISHO
Andiko: DANIEL 9:23-27
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 15.10.2023
Пікірлер: 85
Jaman watumishi wa Mungu mkazane maana hatujui tunajitumbukiza tu.
Namshukuru Bwana sana kwa kututunzia had leo uko hai,tunapata madini,Bwana akutunze.
Amina saana
Amen, Mungu atupe neema ya Kutambua haya ili tusije kuachwa atakapo kuja Yesu. Bwana Yesu mimi.
❤❤❤ Aminaaaa
Nimekuelewa sana mtumishi wa Mungu mahubili kama yako kipindi hichi yamekua adimu sana tulikuaga tunayapata kwa mzee kurola ambae ameshalala ktk bwana injili nyingi tunayohubiliwa kwa sasa ni yamafanikio zaidi sio ya kuwahubilia watu waache dhambi ni hatali sana
Ooh mitambo inakata kata Jamani!!
Hongera sana baba askofu magembe,,,mrusha matangazo unakata sana jitahd kujua nini ttzo mahuburi mazuri sana Ila yanakatika katika.
@benedictormagembe6483
8 ай бұрын
Hofu nikubwa Sana duniani..
Wale wanaoshabikia bila kuelewa, waache. Watapigania Waarabu badala ya Mungu.
Amen, ubarikkiwe Baba mchungaji
Namimi nimefatilia hotuba ya wazir Mkuu netanyah daa nilimeshaga Sana hiyo hotuba
@africatoeuropechurchtv8856
7 ай бұрын
Jamani tusaidieni nasi was vijijini haya Mambo hatuyaoni.
Mungu nipe Neema
Asante baba yesu anarudi kabisa
Njombe utakuja lini mtumishi
Bwana atukumbuke kuiishi kweli watumishi wa Mungu barikiwa sana Baba❤
Kamandaa wa Yesu barikiwa baba .hakika najisikia raha lazima dunia ijue
Amina
Mungu akubaliki sana
Mzee magembe nakukubali andaa na mjutano huku maeneo ya umisheni ngunguti vikindu mashariki
Mungu awawezeshe mafundi mitambo kudhimiti kukatikakatika kwa mawasiliano, maana mambo anayoyahubiri Mch. wetu hayapaswi mtu kukosa hata kidogo. Mungu atoe mitambo mikubwa ili habari hii ifikie wengi kwa usahihi wote.
Aminaaaa baba
Mchungaji Mungu akutunze kwakuwa na masomo mazuri uliyonayo maana wachungaji wengi hawajui hayo uliyonayo
Amen mungu akubariki mtumishi magembe mungu azidi kukuinua zaidi mafundisho yako mazuri sanaaa karibu babati
Tuliopata neema ya kusikia mahubiri haya na tubadilike kwa kutengeneza maisha yetu pia kuwakumbusha wengine kuwa Yesu yu karibu sana, Yesu anarudi! Bwana atusaidie. Amina.
@beatricemangula6994
8 ай бұрын
Ameni
@MussaMathayo-vy6qe
8 ай бұрын
nishauku yangu kumjua sana Mungu
@alphoncealmack9240
7 ай бұрын
@@MussaMathayo-vy6qe9.
Bwana Yesu akubariki sana Pastor Moses Magembe Kwa ufafanuzi wa siku za mwisho. Nimebarikiwa sana
Mungu atupe Neema tusibaki dunian
Shule nyingi mno. Hongera sana babaa
Ameen, Mungu akutunze Baba
Mungu awabariii saan
Haya mahubiri kwasasa kanisani hayapo,wachungaji wamefungwa midomo,wamepofushwa macho hawaono,Mungu alinifunulia mlango wa rehema unakwenda kufungwa,
Ukweli mtupu ubarikiwe mtumishi
Hakika sijawai juta tangu nilipo chagua kukusikiliza mtumishi wa MUNGU aliye hai🙏
Amen BARIKIWA sana pasta
Amina Kweli Mungu asifiwe 1:16:19
Amen
Ubarikiwe Sana baba Mungu akutunze
Kanda ya ziwa unakuja lini
Mungu akubariki mch kwa kufundishs somo ilo
Ubarikiwe sana Baba angu
Amen amen 🇦🇺 ubarikiwe baba sema
Mungu aturehemu
Mzee mungu akutie nguvu
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Kwa mafundisho mazuri sana kwaajili ya kanisa la Bwana🙏
@nathanaelkhambaku4573
7 ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi wa BWANA YESU
Amen mchungaji 🙏🏿🙏🏿
Mungu akubarki sana mzee wangu,na Mimi Mungu anipe neema ya kuihubir kwel
Mh! Mbona unyakuo tena!! Any way, nimefurahi kusikia habari za kuna kwa Yesu zinahubiriwa hapa
Wow true servant of Jesus +254
Barikiwa Sana Baba
🙏🙏
UBARIKIWE ZAIDI 1 WAKORINTO 1:9🙏🙌🙌
Ee Mungu watu Kama hawa leo hii Aina ya MCH magembe wako wapi,
Ubarikiwe sana baba.Lakini, katika Biblia hatupati mahali popote unyakuo wa kwanza na wa pili au kurudi kwa Yesu mara ya kwanza na ya pili.Biblia inatuambia Yesu atakuja/ atarudi mara ya pili mara moja tu ambapo kutakuwa na unyakuo wa wazi.Hizi ni siku za mwisho, Roho wa Mungu atusaidie kuyaelewa maandiko.......Amina!!!!!😢😢❤❤
Hallelujah
Somo n nzuri lkn fundi mitambo EE Mungu naomba unipe Neema ya kuhubiri kwa hzi nyakati za mwisho
Amen 🙏
Asante kwa uamsho mkubwa sana kwangu,sijui huyu mchungaji anapatikana wapi, hii ni hazina,wachungaji wakizazi chetu wanahubiri mafanikio tu,sijui huo uchumi watauwekeza wapi dunia inakwenda kuwekewa vikwazo,hizo biashara watazifanya wapi,kila mahali patasukwasukwa
@jovitakamagana2991
7 ай бұрын
Anapatikana go'ngolamboto majumba sita. Dar es salaam
🙏🙏🙏❤❤.
Ameen
Be blessed father
Amen Rev.Moses.God bless you
Glory glory hallelujah
Amen Hallelujah!
Ameni
🔥🔥🔥🙌🙌👏
Hii ndio injili halisi
Amiña
Jamani sis wa vijijini tufanyeje?Mbona Injili za namna hii tangu tuhubiriwe zaman yalipotea?
Mahubiri mazuri sana ila video inakatakata sana
Mafundi mitambo mnatufanyia nni sasa kwani mmekueje siku hizi mitambo inakatakata.
Mzee wangu mungu akubariki sana kwa somo hili
@berthasalim1313
8 ай бұрын
Ll
@fikirimguye4461
8 ай бұрын
Mungu aendelee kumtumia mch watu wengi wapate hili neno
@Rev Moses, nimefuatilia mafundisho hayo, lakini kuna kagiza fulani: Mpinga Kristo anasimama baada ya Kanisa kunyakulia ao Kanisa linanyakuliwa baada ya Mpinga Kristo kufanya kazi yake, dhiki ya Yakobo inatokea na mapigo 7 yanatokea? Weka sawa kwenye chat na kuweka mafungo ya Biblia. Kwa ufahamu wangu, Watu wa Mungu waliosalia, wanabaki kupitia taabu zote hizo mpaka wakati ule watakapo muona Yesu akirudi, huku wabaya wakiwa wanapigwa hizo pigo 7 za Ufunuo. Mnyama wa Ufunuo 13 anafanya kazi, kuwawinda Wateule, wanamshinda, mpaka wakati Yesu anarudi, hakuna kunyakuliwa kwa siri. Karibu Mtu wa Mungu kwa kujadili, @Rev Moses
Palestrina uwataji, acha ubinafsi was dini
@africatoeuropechurchtv8856
7 ай бұрын
Palestina Mungu awasaidie kuelewa unabii.
Amen
Amen