Mch Moses Magembe - ISRAEL NA SIKU ZA MWISHO | MAKAMBAKO 07

Siku ya saba ya mkutano wa uponyaji na miujiza Makambako, chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: ISRAEL NA SIKU ZA MWISHO
Andiko: DANIEL 9:23-27
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 15.10.2023

Пікірлер: 85

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv88567 ай бұрын

    Jaman watumishi wa Mungu mkazane maana hatujui tunajitumbukiza tu.

  • @michaeljohn6136
    @michaeljohn61362 ай бұрын

    Namshukuru Bwana sana kwa kututunzia had leo uko hai,tunapata madini,Bwana akutunze.

  • @antoinetteirankunda739
    @antoinetteirankunda7392 ай бұрын

    Amina saana

  • @lawrencekamete2404
    @lawrencekamete24048 ай бұрын

    Amen, Mungu atupe neema ya Kutambua haya ili tusije kuachwa atakapo kuja Yesu. Bwana Yesu mimi.

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul186629 күн бұрын

    ❤❤❤ Aminaaaa

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba44138 ай бұрын

    Nimekuelewa sana mtumishi wa Mungu mahubili kama yako kipindi hichi yamekua adimu sana tulikuaga tunayapata kwa mzee kurola ambae ameshalala ktk bwana injili nyingi tunayohubiliwa kwa sasa ni yamafanikio zaidi sio ya kuwahubilia watu waache dhambi ni hatali sana

  • @huldamichael4445
    @huldamichael44456 ай бұрын

    Ooh mitambo inakata kata Jamani!!

  • @user-yx8uf8sz5l
    @user-yx8uf8sz5l8 ай бұрын

    Hongera sana baba askofu magembe,,,mrusha matangazo unakata sana jitahd kujua nini ttzo mahuburi mazuri sana Ila yanakatika katika.

  • @benedictormagembe6483

    @benedictormagembe6483

    8 ай бұрын

    Hofu nikubwa Sana duniani..

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv88567 ай бұрын

    Wale wanaoshabikia bila kuelewa, waache. Watapigania Waarabu badala ya Mungu.

  • @sylviaswai5102
    @sylviaswai51027 ай бұрын

    Amen, ubarikkiwe Baba mchungaji

  • @godfreymwenesho1770
    @godfreymwenesho17708 ай бұрын

    Namimi nimefatilia hotuba ya wazir Mkuu netanyah daa nilimeshaga Sana hiyo hotuba

  • @africatoeuropechurchtv8856

    @africatoeuropechurchtv8856

    7 ай бұрын

    Jamani tusaidieni nasi was vijijini haya Mambo hatuyaoni.

  • @celinaphysoo4919
    @celinaphysoo49198 ай бұрын

    Mungu nipe Neema

  • @makanisaomard1131
    @makanisaomard11317 ай бұрын

    Asante baba yesu anarudi kabisa

  • @janemwenda-ec2oh
    @janemwenda-ec2oh7 ай бұрын

    Njombe utakuja lini mtumishi

  • @LainethCosmas
    @LainethCosmas7 ай бұрын

    Bwana atukumbuke kuiishi kweli watumishi wa Mungu barikiwa sana Baba❤

  • @user-tr7tf4ez6s
    @user-tr7tf4ez6s8 ай бұрын

    Kamandaa wa Yesu barikiwa baba .hakika najisikia raha lazima dunia ijue

  • @peterkafipa6515
    @peterkafipa65158 ай бұрын

    Amina

  • @mbabaziwilson156
    @mbabaziwilson1567 ай бұрын

    Mungu akubaliki sana

  • @josephwema3198
    @josephwema31988 ай бұрын

    Mzee magembe nakukubali andaa na mjutano huku maeneo ya umisheni ngunguti vikindu mashariki

  • @lawrencekamete2404
    @lawrencekamete24048 ай бұрын

    Mungu awawezeshe mafundi mitambo kudhimiti kukatikakatika kwa mawasiliano, maana mambo anayoyahubiri Mch. wetu hayapaswi mtu kukosa hata kidogo. Mungu atoe mitambo mikubwa ili habari hii ifikie wengi kwa usahihi wote.

  • @WilifredLudovick-jk6rd
    @WilifredLudovick-jk6rd7 ай бұрын

    Aminaaaa baba

  • @philipocastuli8591
    @philipocastuli85918 ай бұрын

    Mchungaji Mungu akutunze kwakuwa na masomo mazuri uliyonayo maana wachungaji wengi hawajui hayo uliyonayo

  • @jeremiaemanuel5777
    @jeremiaemanuel57778 ай бұрын

    Amen mungu akubariki mtumishi magembe mungu azidi kukuinua zaidi mafundisho yako mazuri sanaaa karibu babati

  • @georgetedmund
    @georgetedmund8 ай бұрын

    Tuliopata neema ya kusikia mahubiri haya na tubadilike kwa kutengeneza maisha yetu pia kuwakumbusha wengine kuwa Yesu yu karibu sana, Yesu anarudi! Bwana atusaidie. Amina.

  • @beatricemangula6994

    @beatricemangula6994

    8 ай бұрын

    Ameni

  • @MussaMathayo-vy6qe

    @MussaMathayo-vy6qe

    8 ай бұрын

    nishauku yangu kumjua sana Mungu

  • @alphoncealmack9240

    @alphoncealmack9240

    7 ай бұрын

    ​@@MussaMathayo-vy6qe9.

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo1488 ай бұрын

    Bwana Yesu akubariki sana Pastor Moses Magembe Kwa ufafanuzi wa siku za mwisho. Nimebarikiwa sana

  • @OlivaJoachim
    @OlivaJoachim8 ай бұрын

    Mungu atupe Neema tusibaki dunian

  • @ishikawayoi
    @ishikawayoi8 ай бұрын

    Shule nyingi mno. Hongera sana babaa

  • @RehemaEmmanuel-wz3fo
    @RehemaEmmanuel-wz3fo8 ай бұрын

    Ameen, Mungu akutunze Baba

  • @SamFoodjr
    @SamFoodjr8 ай бұрын

    Mungu awabariii saan

  • @user-kv7hq5mb6m
    @user-kv7hq5mb6m8 ай бұрын

    Haya mahubiri kwasasa kanisani hayapo,wachungaji wamefungwa midomo,wamepofushwa macho hawaono,Mungu alinifunulia mlango wa rehema unakwenda kufungwa,

  • @Sifael-vp8vs
    @Sifael-vp8vs8 ай бұрын

    Ukweli mtupu ubarikiwe mtumishi

  • @edesaron9070
    @edesaron90706 ай бұрын

    Hakika sijawai juta tangu nilipo chagua kukusikiliza mtumishi wa MUNGU aliye hai🙏

  • @user-nw1uk1vr2q
    @user-nw1uk1vr2q8 ай бұрын

    Amen BARIKIWA sana pasta

  • @eliphaznkurunziza7405
    @eliphaznkurunziza74058 ай бұрын

    Amina Kweli Mungu asifiwe 1:16:19

  • @scholasticakariuki6775
    @scholasticakariuki67758 ай бұрын

    Amen

  • @floramahenge6224
    @floramahenge62248 ай бұрын

    Ubarikiwe Sana baba Mungu akutunze

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman83207 ай бұрын

    Kanda ya ziwa unakuja lini

  • @naikekangele7117
    @naikekangele71178 ай бұрын

    Mungu akubariki mch kwa kufundishs somo ilo

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa24998 ай бұрын

    Ubarikiwe sana Baba angu

  • @bernadetteshukuru9154
    @bernadetteshukuru91548 ай бұрын

    Amen amen 🇦🇺 ubarikiwe baba sema

  • @RebbyPaul-sn7jv
    @RebbyPaul-sn7jv8 ай бұрын

    Mungu aturehemu

  • @isdoryhenry-bh5kk
    @isdoryhenry-bh5kk8 ай бұрын

    Mzee mungu akutie nguvu

  • @user-dk9bz8kq3b
    @user-dk9bz8kq3b8 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Kwa mafundisho mazuri sana kwaajili ya kanisa la Bwana🙏

  • @nathanaelkhambaku4573

    @nathanaelkhambaku4573

    7 ай бұрын

    MUNGU akubariki sana mtumishi wa BWANA YESU

  • @priscaandjela574
    @priscaandjela5748 ай бұрын

    Amen mchungaji 🙏🏿🙏🏿

  • @user-rw5gn6zk1l
    @user-rw5gn6zk1l8 ай бұрын

    Mungu akubarki sana mzee wangu,na Mimi Mungu anipe neema ya kuihubir kwel

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind16098 ай бұрын

    Mh! Mbona unyakuo tena!! Any way, nimefurahi kusikia habari za kuna kwa Yesu zinahubiriwa hapa

  • @scholasticakariuki6775
    @scholasticakariuki67758 ай бұрын

    Wow true servant of Jesus +254

  • @luhamba6852
    @luhamba68528 ай бұрын

    Barikiwa Sana Baba

  • @hasanygodda9242
    @hasanygodda92428 ай бұрын

    🙏🙏

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari89248 ай бұрын

    UBARIKIWE ZAIDI 1 WAKORINTO 1:9🙏🙌🙌

  • @AthanasiNdujilo-bg1lz
    @AthanasiNdujilo-bg1lz6 ай бұрын

    Ee Mungu watu Kama hawa leo hii Aina ya MCH magembe wako wapi,

  • @EddyObadiah
    @EddyObadiah8 ай бұрын

    Ubarikiwe sana baba.Lakini, katika Biblia hatupati mahali popote unyakuo wa kwanza na wa pili au kurudi kwa Yesu mara ya kwanza na ya pili.Biblia inatuambia Yesu atakuja/ atarudi mara ya pili mara moja tu ambapo kutakuwa na unyakuo wa wazi.Hizi ni siku za mwisho, Roho wa Mungu atusaidie kuyaelewa maandiko.......Amina!!!!!😢😢❤❤

  • @alex_vincent
    @alex_vincent8 ай бұрын

    Hallelujah

  • @denisbongore3098
    @denisbongore30988 ай бұрын

    Somo n nzuri lkn fundi mitambo EE Mungu naomba unipe Neema ya kuhubiri kwa hzi nyakati za mwisho

  • @sidimasha6626
    @sidimasha66268 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @user-kv7hq5mb6m
    @user-kv7hq5mb6m8 ай бұрын

    Asante kwa uamsho mkubwa sana kwangu,sijui huyu mchungaji anapatikana wapi, hii ni hazina,wachungaji wakizazi chetu wanahubiri mafanikio tu,sijui huo uchumi watauwekeza wapi dunia inakwenda kuwekewa vikwazo,hizo biashara watazifanya wapi,kila mahali patasukwasukwa

  • @jovitakamagana2991

    @jovitakamagana2991

    7 ай бұрын

    Anapatikana go'ngolamboto majumba sita. Dar es salaam

  • @marcodavid4183
    @marcodavid41838 ай бұрын

    🙏🙏🙏❤❤.

  • @paulinerupia61
    @paulinerupia618 ай бұрын

    Ameen

  • @user-ms2ng8nh7n
    @user-ms2ng8nh7n8 ай бұрын

    Be blessed father

  • @user-fh8po1qj8l
    @user-fh8po1qj8l8 ай бұрын

    Amen Rev.Moses.God bless you

  • @akothchristine4752
    @akothchristine47528 ай бұрын

    Glory glory hallelujah

  • @elisanteshambula2882
    @elisanteshambula28828 ай бұрын

    Amen Hallelujah!

  • @adelajoseph127
    @adelajoseph1278 ай бұрын

    Ameni

  • @remmyalfred6736
    @remmyalfred67367 ай бұрын

    🔥🔥🔥🙌🙌👏

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay22083 ай бұрын

    Hii ndio injili halisi

  • @TabitherGakii-dt5kl
    @TabitherGakii-dt5kl3 ай бұрын

    Amiña

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv88567 ай бұрын

    Jamani sis wa vijijini tufanyeje?Mbona Injili za namna hii tangu tuhubiriwe zaman yalipotea?

  • @oscardosantos4202
    @oscardosantos42028 ай бұрын

    Mahubiri mazuri sana ila video inakatakata sana

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa24998 ай бұрын

    Mafundi mitambo mnatufanyia nni sasa kwani mmekueje siku hizi mitambo inakatakata.

  • @edmundngongi5455
    @edmundngongi54558 ай бұрын

    Mzee wangu mungu akubariki sana kwa somo hili

  • @berthasalim1313

    @berthasalim1313

    8 ай бұрын

    Ll

  • @fikirimguye4461

    @fikirimguye4461

    8 ай бұрын

    Mungu aendelee kumtumia mch watu wengi wapate hili neno

  • @dismasamani383
    @dismasamani3832 ай бұрын

    @Rev Moses, nimefuatilia mafundisho hayo, lakini kuna kagiza fulani: Mpinga Kristo anasimama baada ya Kanisa kunyakulia ao Kanisa linanyakuliwa baada ya Mpinga Kristo kufanya kazi yake, dhiki ya Yakobo inatokea na mapigo 7 yanatokea? Weka sawa kwenye chat na kuweka mafungo ya Biblia. Kwa ufahamu wangu, Watu wa Mungu waliosalia, wanabaki kupitia taabu zote hizo mpaka wakati ule watakapo muona Yesu akirudi, huku wabaya wakiwa wanapigwa hizo pigo 7 za Ufunuo. Mnyama wa Ufunuo 13 anafanya kazi, kuwawinda Wateule, wanamshinda, mpaka wakati Yesu anarudi, hakuna kunyakuliwa kwa siri. Karibu Mtu wa Mungu kwa kujadili, @Rev Moses

  • @user-su6yd2lt5f
    @user-su6yd2lt5f8 ай бұрын

    Palestrina uwataji, acha ubinafsi was dini

  • @africatoeuropechurchtv8856

    @africatoeuropechurchtv8856

    7 ай бұрын

    Palestina Mungu awasaidie kuelewa unabii.

  • @scholasticakariuki6775
    @scholasticakariuki67758 ай бұрын

    Amen

  • @fikirikiwike4909
    @fikirikiwike49098 ай бұрын

    Amen