MWL.CHRISTOPHER MWAKASEGE: KUVAMIWA KWA ISRAEL NI ISHARA.
TAMBUA NYAKATI KIROHO ILI UWEZE KUJUA KINACHOENDELEA KIROHO KATIKA NYAKATI HIZO. Semina Ya Neno La Mungu Iringa, Day 1 2023.
Жүктеу.....
Пікірлер: 172
@samwelikimaro78028 ай бұрын
Mungu akuzingire kwa kuta za moto we we na huduma yako na nyumba yako.amina. we love u.master
@user-ws4ks2dg9e8 ай бұрын
Mungu akutie mafuta mabichi uzidi kustawi kama mtende
@selestiniasenga8 ай бұрын
Mwalimu wetu ktk kanisa la tanzania ni hzina kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
@MaselinaMkwenda-us4ch8 ай бұрын
Mungu mtunze mtoto wako huyu mtumishi Mwakasege
@joyjackson2588 ай бұрын
Mwl Mungu azidi kukupaka mafuta na akupe mafunuo makubwa zaidi . Ukweli tunapokea elimu ya mafunuo🙏🙏🙌
@faustinconrad25548 ай бұрын
Ahsante Mungu kwa sababu ya mtumishi huyu
@awezayekyando22038 ай бұрын
Mungu mbariki mtumishi huyu ambaye ni hazina kubwa kwa taifa letu la Tanzania
@rosemuhandoofficial5676
8 ай бұрын
Kwakweli
@ainealazaro7321
8 ай бұрын
Tena ni hazina kwel kweli we proud to him
@pascalnicolaus6986
8 ай бұрын
Mungu wa mbingu na nchi atuongezee watumishi wa kweli namna hii na kutupunguzia mitume na manabii wa uongo wanaoongezeka kila iitwapo leo.Ameen.
@bonifacebochela4717
8 ай бұрын
Amina
@nicolasnzema08
8 ай бұрын
KUTAMBUA NYAKATI Luka anaandika hiv “Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa nchi na mbingu; imekuwaje, basi, kuwa hamjui kutambua MAJIRA haya?” - Lk 12:56 Mathayo pia anaandika “Akajibu, akawaambia, [Kukiwa jioni, mwasema, Kutakuwa na kianga; kwa maana mbingu ni nyekundu. Na asubuhi, mwasema, Leo kutakuwa na dhoruba; kwa maana mbingu ni nyekundu, tena kumetanda. Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa mbingu; lakini, je! ISHARA za zamani hizi hamwezi kuzitambua?]” - Mt 16:2-3 Hapa tunaona majira ni sawasawa na ishara Ishara ni nin bas ? kwa muktaza wa kutambua nyakati# Ishara kwa kiswahiliiii sanifu ni dalili au alamaaa au muujiza unatoka kwa Mungu inategemea mukatza wakati unasoma Neno la Mungu ! Ishara imetumika mara 52 katika bibilia ya kigiriki hivyo ni neno lililotumika sana na mara ya kwanza imetajwa katika Mwanzo 1: 14 ona “Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;” - Mwa 1:14 HAPA ISHARA KAMA KIELEEZO CHA KUELEZEA JAMBO LA KIROHO Maneno dalili na majira ni tofasiri ya SUV ukiweka kwatika lugha ya asilia yan KJV unaona sign and season Genesis 1:14 And God said, Let there be lights in the firmament of the heaven to divide the day from the night; and let them be for SIGN, and for SEASON, and for days, and years: KJV SIGN-->ISHARA AU DALILI AU ALAMA SEASON--> MAJIRA Nukuu ni nying katika bibilia kuhusu ishara nimepitapita mpk kuchukua mistari miwili “Mungu naye akishuhudu pamoja nao kwa ISHARA na ajabu na nguvu za namna nyingi, na kwa magawanyo ya Roho Mtakatifu, kama alivyopenda mwenyewe.” - Ebr 2:4 HAPA ISHARA KAMA Muujiza unatoka kwa Mungu inategemea mukatza wakati unasoma Neno la Mungu ! Lakini MUUJIZA AU ISHARA INATAKIWA IMFUNUE KRISTO ILI WATU WAAMINI ona Petro alivyofunuliwa kuhusu muujiza “Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali, saa tisa. Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu.” - Mdo 3:1-2 “Akamshika mkono wa kuume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu.” - Mdo 3:7 Muujiza au sihara “Hata Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utauwa wetu sisi?” - Mdo 3:12 Petro anahubiri kupitiaaa muujiza ili watu wamuamini Kristo “Na kwa imani katika jina lake, jina lake limemtia nguvu mtu huyu mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele yenu ninyi nyote. Basi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda.” - Mdo 3:16-17 Bad mahubiri “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana;” - Mdo 3:19 Alafu aya ya 19 anaawaambia WATUBU ili wapate BURUDISHO AKA ROHO WA MUNGU NDANI YAO KUMBUKA ROHO ALIKUWA AMESHAACHILIWA YEYEOTE ALIYE AMINI KUFA NA KUFUFUKA KWA YESU ANAPATA ROHO WAKE YESU HOJA UNATAMBUAJE ISHARA KWA NAMNA YA ROHO AMBAYO MTUMISHII MWAKASEGE AMEISEMA? Ni kwa njia ya kuamini tu ukiona hutambui mambo ya rohoni ni ishara pia sisi n watu wa mwilini aka watoto wachanga katika imani Ndo maan paulo anaandika hiv “Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.” - 1 Kor 2:13 Kwaiyo siku utakayo amini ndiyo utapokea Roho ya Mungu nawe utawezaaa KUJUA ISHARA NA MAJIRA KIROHO! Ijapokuwa saaa ya wokovu ni sasa hiv Ona “(Kwa maana asema, Wakati uliokubalika nalikusikia, Siku ya wokovu nalikusaidia; tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndiyo sasa.)” - 2 Kor 6:2
@sayunimnyone-gy1pu8 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu Wewe ni zawadi kubwa Kyla Tz
@suzannagibai2138 ай бұрын
MTU wa Mungu . barikiwa.
@kanaelikanuya79198 ай бұрын
Mwalimu unafundisha unaeleweka kwa100% barikiwa sana mtumishi
@robertlameckbabuthegreat6838 ай бұрын
Mwl Wangu Mungu Akulinde na Kukutunza Zaidi, Mafundisho yako Kuna mqhali yamenitoa na najua yananipeleka sehemu Nzuri
@GraceRichard-rt1ovАй бұрын
Tunakupenda baba yetu mwl wetu, wewe ndio tunu ya taifa letu❤❤❤❤
@priskilayambazi47968 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza baba
@silaleopard72637 ай бұрын
Mwalimu wa dunia Uishii sana Teacher
@linashayo20688 ай бұрын
Utukufu kwa Mungu.
@UpendoDaudi-iq6hy8 ай бұрын
Mungu akutunze mlezi wetu ,,uishi siku nyingi zenye uheri
@mussarukigwa34538 ай бұрын
Kweli wewe ni Mwalimu kweli kweli MUNGU akubariki sana wewe na Uzao wako kwako Kistoke Kinyonge Amina
@esteryohan2908 ай бұрын
MUNGU aendelee kuwatunza mtumish
@EuniceMwanri-jw9py8 ай бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
@frankmosha58548 ай бұрын
Mungu analo kusudi ya sis kujua
@andrewlema66008 ай бұрын
Mungu akubariki
@dpmsauge23218 ай бұрын
Man of god
@gabrielygodfrey78158 ай бұрын
Somo la Nyakati na Majira amefundisha sana..Kuna jambo laja naamini
@faustaemmanuel1390
8 ай бұрын
😢😢dah mbn unaniogopesha
@ElisafishaMosse-gx5rj7 ай бұрын
Mungu akuinuwe sana
@eng.lazarongoro8 ай бұрын
Sema wazungu wametudanganya Sana walipotosha maandiko wakapachika Kataifa kao kakihuni
@user-ji8vs9bs2m5 ай бұрын
Mungu akubariki baba.
@benjamingaliatano72918 ай бұрын
Asante sana mwalimu.. kwa maarifa haya. Mungu wa mbinguni azidi kukubariki
@tinamwango7097 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@ZaitunMaji-fj3sq8 ай бұрын
This is deep revelation
@GodloveJames7 ай бұрын
To whom be glory for ever and ever. Amen.
@PauloHamza-fh8xg8 ай бұрын
Mungu akutunze mwl
@user-yu3kg6zl8q3 ай бұрын
Asante baba ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@GraceMethuselaNtwale8 ай бұрын
Huyu ni BABA wa kiroho Tanzania
@user-qe5oc2pe5n8 ай бұрын
Blessed more Mwlm wetu
@user-eg2yv2pn4z8 ай бұрын
Mungu baba wa mbunguni mbarikimtumishi umzidishie upako zaidi na zaidi
@trivoniakiwango35088 ай бұрын
Mungu akupe miaka mia ktk huduma hii ameeñi
@PascalPascual-rn6fx
8 ай бұрын
Amen
@johnmahu50608 ай бұрын
Ubarikiw na mungu mtumish umenitoa mahali
@rodjassebaseba79748 ай бұрын
Akika tunafarijika na maombi yako mtumishi barikiwa Sana🙏🙏
@user-pd1xl9ih4q8 ай бұрын
Mungu akupe kushiba miaka Baba, nafunguliwa sana na mafundisho yako.
@ArumeruMlili8 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi, kwa hakika nimebarikiwa sana!!!!
@user-qz4bk5zc8z7 ай бұрын
Mungu awabariki Mwl na Mama Mwakasege.
@tonneymadeit33697 ай бұрын
Baba baba Mungu akutangulie baba🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@abibumbota51608 ай бұрын
Mwakasege ni mwalimu anajua sana kutuelimisha akili zetu mbovu tunakua tunafeli lakin kama kutufundisha anafundisha
@anglestinailungu92527 ай бұрын
Mungu akubariki baba jicho la Tanzania
@kingcole608 ай бұрын
Barikiwa mwalimu
@danielkaaya71118 ай бұрын
Mtumishi wa moyo wangu Mungu akubariki
@YoelJmwaipungu-dn3ev8 ай бұрын
Nikweli kabisa huyu baba nihazina ya taifa
@user-iu5xi1dd9y7 ай бұрын
Hakika Mungu ni mwaminifu kwa waliomwishia
@johncat40387 ай бұрын
Mungu awe nawewe milele.
@user-vj2jz8hp7t8 ай бұрын
Mungu akupe ujasiri, nguvu, uvumilivu nyakati zote baba angu
@juvencialusimbi82368 ай бұрын
Barikiwa mwalim
@noelmtumishi78957 ай бұрын
Amina
@marykisege26708 ай бұрын
Amen
@sesiliasebastian68678 ай бұрын
nmeumia sana kujua huu kweli kwa kucheleweshwa
@thomasa.kimwaga4161
8 ай бұрын
Kuna ukweli zaidi ya hiyo dada
@RamadhanMwinyimvua-ry8yp8 ай бұрын
Ahsante Sana Baba Kwa mafundisho mazuri, japo yanarushwa kipande kidogo tu hata hatufaidi vizuri.
@neemayared4165
8 ай бұрын
Fatilia uone live leo upendo TV
@ianmeta2177
8 ай бұрын
Tazama upande wa live utayapata yote... full ceremony.
@RamadhanMwinyimvua-ry8yp
8 ай бұрын
Tatizo nipo Huku nje ya nchi, na makanisa hakuna Kabisa huku omani ndo tabu, na upendo TV sina.
@adkajisi4536
8 ай бұрын
@@RamadhanMwinyimvua-ry8yp Dah Vipi ukiingilia upande wa u tube
@johnjacob5491
8 ай бұрын
@@RamadhanMwinyimvua-ry8yp ingia you tube andika mwakasege live hapo utapata full package
@winledlyimo35878 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi
@mikalaizer7198 ай бұрын
Asante sana baba
@EliasHamisi-uy7qo8 ай бұрын
MUNGU MLINDE MTUMISHI WAKO MAANA BADO TUNAITAJI AIFUNDISHE TANZANIA
@marthaayo49805 ай бұрын
Ameneeeee
@anandepallangyo41777 ай бұрын
Glory be to the LORD
@petermalema57027 ай бұрын
Glory To Jesus
@JoyceJoseph-sy1dr8 ай бұрын
Ni neeema tu ya Mungu
@McTabasam8 ай бұрын
Ameeen Barikiwa baba
@georgemushi18468 ай бұрын
Ee yesu nakusihi zidi kuonekana kwenye huduma yake
@febroniamsoma1788 ай бұрын
Baba kama Baba
@melisacake56408 ай бұрын
MUNGU tusaidie
@marthaayo49805 ай бұрын
Najiungamanisha n haya maombi
@user-gi3ix6fj1f8 ай бұрын
Watanzania tufungue mioyo nà roho zetu ziwe macho kukesha tupate kuyajua haya tuyasikiayo na kuyaona.
@thomastarimo8 ай бұрын
uyu mtumishi ndiyo alitakiwa awe rais wa nchi na nchi yenge kua na baraka za kutosha
@VicentKayagula8 ай бұрын
Bwana Yesu tusaidie sana
@saimonlaizer7 ай бұрын
God protect your privacy and your family😊
@ezekielezekiely84768 ай бұрын
Amina.
@ombenitukabilemo95408 ай бұрын
🎉🎉🎉
@bensonjohn96338 ай бұрын
Ukweli me bado kaniacha Njia panda. Labda Kama kuna Clip nyingine yenye Maelezo zaidi kuhusu hii Vita.
@SalehLoffy-kn6oh7 ай бұрын
Hao waisraeli hawawakubali wakristo na wanakupgeni vita lakn wakristo wengi hawasomi vitabu
@AbelsonGidion-vo1uj
6 ай бұрын
Wewe vunga Ivo ivo
@bukurunestory35408 ай бұрын
Aliyeelewa ni Kitu gani kinachiliwa anifundishe na mimi.
@eliudimasebo39997 ай бұрын
Wewe ndye unaongea ukweli ten sana sana unatafungua wengi tusio jua
@user-qn2cy3ih5e8 ай бұрын
Mbn mm nikiangalia inaishia katikati😢
@samwelrobeth7763
8 ай бұрын
Hicho Ni kipande kidogo tu chenye dakika 9.ukitaka fully nenda vidmate udowlod fully yenye Zaid ya saa moja
@marcelsylvestermasolwa2718 ай бұрын
Hapo ni akili tu ndio inatumika, hakuna kitu....
@christinakilla
8 ай бұрын
Ndio uwe nazo sasa
@raphaelmwamakimbula96428 ай бұрын
Aise!
@lucymsigwa4438 ай бұрын
Nashida na mwakasege nampataje😭😭
@miltonjohn9779
8 ай бұрын
Mtafute kwenye namba zake
@marymushi3806
8 ай бұрын
@@miltonjohn9779 namba yake ni ipi jamani huyu baba Mungu amuweke tuuu kiukweli
@gracemkono1199
8 ай бұрын
Nenda kwenye mikutano yake
@nereaigogo4442
8 ай бұрын
Fanya maombi ya kufunga na kuomba kwanza ili upate neema ya kumuona
@leverimlaki5667
8 ай бұрын
@@nereaigogo4442kwa nini hayo maombi ya kufunga na kuomba asifanye kwa ajili ya kukutana na Yesu, ambaye ndiye mwenye Mwakasege? Nadhani akikutana na Yesu atapata kikubwa zaidi.
@user-hq5qx1hu2x7 ай бұрын
Tuna uhakika gani kwamba wale wayahudi tunaowaona pale Israel ndo wale wayahudi wanaosemwa katika biblia
@thedriver.michael.39758 ай бұрын
Hili somo ni zito sana sidhani kama wanakuelewa ingawa wanakubali alafu unasema mwakasege unaongea nini
@pirminmatumizi54648 ай бұрын
To be honest, yule kijana Mbarikiwe anastahili kukinywea kikombe anachokunywa sasa; kumtukana Mtumishi wa Mungu kama huyu jamani 😢
@SalehLoffy-kn6oh7 ай бұрын
Mnasema Eti kuvamiwa kwa Israel wakati Yesu mwenyewe aliwafukuza na nyinyi mnaona wanauhalali wa kuishi nyny mambo yenu mengi mnampnga Yesu na Nabii Mussa aliwalaani aliwaapiza aliwaambia hawatapata Sehemu ya kuishi duniani watahangaika mpaka mwisho wa dunia
@GraceRichard-rt1ov
Ай бұрын
Bwana na akukee pepo wewe
@johnrizi59787 ай бұрын
Mimi huwa simwelewi.
@safinamsuva9972
6 ай бұрын
Ipo ck utaelewa
@luckymsomba48188 ай бұрын
Israel sio taifa la Mungu ni taifa la makafiri walio ikana iman watu wenye shingo ngumu walio laaniwa na Yesu mwenyewe.ss wakristo tusiofuatilia historia walishatudangaya kwamba ni taifa llilo barikiwa. hiyo ilikuwa zama za kale. wala sio kielelezo cha ukristo. ila usipo kuwa na ufaham utatekwa nao
@YothamuMusa-qr9sx
8 ай бұрын
Haswa ndio ukweli, Israeli ya leo sio lile taifa, bali Israeli ya Mungu Leo ni watu wote walio wanyenyekevu wazishikao sheria zake
@charlesngwembele45418 ай бұрын
Israel ipi hii ya magaidi
@MaulidLihendeko-zu4mv8 ай бұрын
Mmeanza kudanganywa
@davidnyambuche352
8 ай бұрын
Ni maandiko sio yeye
@HildaPaul-hm4jk
8 ай бұрын
Na ww kadanganywe kule kwenu
@MaulidLihendeko-zu4mv
8 ай бұрын
Kasome Hosea 4:6
@SophlaJackson-nt1nc
8 ай бұрын
@@HildaPaul-hm4jk 😂😂😂😂
@vincentcharles4385
8 ай бұрын
@@MaulidLihendeko-zu4mvKavae dela uwahi msikitini ukajifunze karate maana uwezo wako ni mdogo sana
@eng.lazarongoro8 ай бұрын
Wapalestina wanauliwa na Hawa wahuni wanaongozwa na marekani na uingereza mashetani wakubwa
@thelivingwordchannel90278 ай бұрын
Israel imekuwa ikivamiwa miaka mingi sana tangia warudi kwao 1948 na sidhani kama uvamizi wa juzi unamaana yote zaidi.Wakristo hawaoni israel wanavyoua watu wasio na hatia ila wao kila kukicha,"tunaiombea israel".Biblia inasema "Muombee adui yako mema wala msilaani" lakini wakristo wa kisasa badala ya kuombea anani kati ya palestina na israel wao ni kuombea israel tu.Waisrael wenyewe kwanza hawaupendi ukristo wanaona waafrika wanavyojipendekeza kwao.
@goalpost6753
8 ай бұрын
Mapenzi ya mungu SI mapenzi ya wanadamu na ni vigumu kuyajua mapenzi ya mungu kama huna roho mungu hata ayubu mateso yake yalikuwa yanakibali kutoka kwa bwana
@ianmeta2177
8 ай бұрын
Haya
@miltonjohn9779
8 ай бұрын
Soma bible vizr kaka.
@checkchannel3876
8 ай бұрын
Mambo ya rohoni yatambulikana kwa jinsi ya rohoni. Hamuwezi kumlazimisha huyu mtu aelewe ya rohoni kama yeye ni wa mwilini, hata akisoma biblia namna gani huyu hawezi elewa chochote! Atabaki hivyo hivyo mbishi. Kwa hiyo na yeye anapaswa kuombewa afunguliwe macho yake ya rohoni!
@rosemuhandoofficial5676
8 ай бұрын
Kwa kweli
@michaelgershon90778 ай бұрын
....lakini ule mwisho bado😂😂😂😂
@klauslusajo774
8 ай бұрын
Haijarish lkn ujumbe umeeleweka
@michaelgershon9077
8 ай бұрын
@@klauslusajo774 wewe ni wale unaua nyoka ukiamini ndio shetani wa edeni, hawa Israel hawamtambui huyo Yese, sijui unafahamu?
@joshuamtinangi69588 ай бұрын
Mchungaji, tupe ufafanuzi wa kawaida wa kifamilia kuhusu watu ambao asili Yao ni Baba moja ila Mama tofauti na Wana ugomvi wa muda mrefu. Mwarabu na Mwi Israel ni ndugu, watoto wa Abraham. Moja Mkristo mwingine Mwislam. Angalizo . MTU toka Misri na Israel kwamwe hawana vita Kwa sababu wanaoleana
@ulayaz8 ай бұрын
Lakini Israel haimjui yesu kwa namna ambavyo mnamjua na wala hawatumii agano jipya, hapa kuna tatizo la uelewa yaani walio wengi wanajua waisrael ni wakristo
@emanuelmargwe7087
8 ай бұрын
Akuna dini ya ukristo ndugu, Kuna wafuasi wa Kristo. Na ndani ya israel wako wafuasi wengi tu wa Yesu Kristo. Usiwe mjinga na kuenenda kibinadamu. Haya Mambo Ni ya kiroho na waislamu hawawezi kuelewa haya mpaka siku ya kiama
@barackbrysonramsey
8 ай бұрын
Dishi lako limeyumba. Kwani um3zungumzwa ukristo hapa
@HildaPaul-hm4jk
8 ай бұрын
Nani amekuambia utuwambie
@thelivingwordchannel9027
8 ай бұрын
@@emanuelmargwe7087 Kiroho wewe unakijua au umekalili tu?
@favourkimaro5490
8 ай бұрын
Wafuasi wa Kristo ni israel wa kiroho. Haya mambo yamefichwa kwa watu wenye hekima ya kidunia. Hii ni siri (mystery)
@joshuanyamaiswe43278 ай бұрын
Ole wenu ninyi mnaoweka matumaini yenu kwa walimu wa uongo kama huyu.
@EliyaMagiya
8 ай бұрын
Funga kinywa chako kama umekosa la kuongea.
@EliyaMagiya
8 ай бұрын
Acha mtumishi ahubiri neno
@christinakilla
8 ай бұрын
Tafuta wa kwako wa kweli
@evelynekamukuru8246
8 ай бұрын
@@EliyaMagiyayaani tena akifunge haswa,hata kwa super glue,looooh
@joshuanyamaiswe4327
8 ай бұрын
@@christinakilla wapo wengii Isaya DANIEL, EZEKIEL, HOSEA ambae aliandika watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa ambao ndio nyinyi, YOHANA wa ufunuo kuna YEREMIA n.k
@rajabrajab35258 ай бұрын
Mchungaji inaonekana hujui hata historian israil haikuvamiwa ila wao ndio waliovamia ardhi ya Palestine na kuuwa millions za wapalestina na ujue hao unaowaita waisrail hawaikubali huo ukristo wako
@chrisogonivulstan414
8 ай бұрын
Umejibu kimwili na ndo tatizo
@frednandnsakuzi75848 ай бұрын
Wajinga wa kiimani ni wengi sana Afrika,yaani mtu unasimuliwa kitabu/novel na unakubaliana na anayekutafasiria kabisa?umasikini huu ni zaidi ya ukoma!!
@ritchiekings_ke59708 ай бұрын
The Bibilical Israel is not the same as the current Israel which was discovered in 1948. This current Israel came about after 'the great reset' read history. And read the bible in spirit.
Пікірлер: 172
Mungu akuzingire kwa kuta za moto we we na huduma yako na nyumba yako.amina. we love u.master
Mungu akutie mafuta mabichi uzidi kustawi kama mtende
Mwalimu wetu ktk kanisa la tanzania ni hzina kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Mungu mtunze mtoto wako huyu mtumishi Mwakasege
Mwl Mungu azidi kukupaka mafuta na akupe mafunuo makubwa zaidi . Ukweli tunapokea elimu ya mafunuo🙏🙏🙌
Ahsante Mungu kwa sababu ya mtumishi huyu
Mungu mbariki mtumishi huyu ambaye ni hazina kubwa kwa taifa letu la Tanzania
@rosemuhandoofficial5676
8 ай бұрын
Kwakweli
@ainealazaro7321
8 ай бұрын
Tena ni hazina kwel kweli we proud to him
@pascalnicolaus6986
8 ай бұрын
Mungu wa mbingu na nchi atuongezee watumishi wa kweli namna hii na kutupunguzia mitume na manabii wa uongo wanaoongezeka kila iitwapo leo.Ameen.
@bonifacebochela4717
8 ай бұрын
Amina
@nicolasnzema08
8 ай бұрын
KUTAMBUA NYAKATI Luka anaandika hiv “Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa nchi na mbingu; imekuwaje, basi, kuwa hamjui kutambua MAJIRA haya?” - Lk 12:56 Mathayo pia anaandika “Akajibu, akawaambia, [Kukiwa jioni, mwasema, Kutakuwa na kianga; kwa maana mbingu ni nyekundu. Na asubuhi, mwasema, Leo kutakuwa na dhoruba; kwa maana mbingu ni nyekundu, tena kumetanda. Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa mbingu; lakini, je! ISHARA za zamani hizi hamwezi kuzitambua?]” - Mt 16:2-3 Hapa tunaona majira ni sawasawa na ishara Ishara ni nin bas ? kwa muktaza wa kutambua nyakati# Ishara kwa kiswahiliiii sanifu ni dalili au alamaaa au muujiza unatoka kwa Mungu inategemea mukatza wakati unasoma Neno la Mungu ! Ishara imetumika mara 52 katika bibilia ya kigiriki hivyo ni neno lililotumika sana na mara ya kwanza imetajwa katika Mwanzo 1: 14 ona “Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;” - Mwa 1:14 HAPA ISHARA KAMA KIELEEZO CHA KUELEZEA JAMBO LA KIROHO Maneno dalili na majira ni tofasiri ya SUV ukiweka kwatika lugha ya asilia yan KJV unaona sign and season Genesis 1:14 And God said, Let there be lights in the firmament of the heaven to divide the day from the night; and let them be for SIGN, and for SEASON, and for days, and years: KJV SIGN-->ISHARA AU DALILI AU ALAMA SEASON--> MAJIRA Nukuu ni nying katika bibilia kuhusu ishara nimepitapita mpk kuchukua mistari miwili “Mungu naye akishuhudu pamoja nao kwa ISHARA na ajabu na nguvu za namna nyingi, na kwa magawanyo ya Roho Mtakatifu, kama alivyopenda mwenyewe.” - Ebr 2:4 HAPA ISHARA KAMA Muujiza unatoka kwa Mungu inategemea mukatza wakati unasoma Neno la Mungu ! Lakini MUUJIZA AU ISHARA INATAKIWA IMFUNUE KRISTO ILI WATU WAAMINI ona Petro alivyofunuliwa kuhusu muujiza “Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali, saa tisa. Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu.” - Mdo 3:1-2 “Akamshika mkono wa kuume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu.” - Mdo 3:7 Muujiza au sihara “Hata Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utauwa wetu sisi?” - Mdo 3:12 Petro anahubiri kupitiaaa muujiza ili watu wamuamini Kristo “Na kwa imani katika jina lake, jina lake limemtia nguvu mtu huyu mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele yenu ninyi nyote. Basi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda.” - Mdo 3:16-17 Bad mahubiri “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana;” - Mdo 3:19 Alafu aya ya 19 anaawaambia WATUBU ili wapate BURUDISHO AKA ROHO WA MUNGU NDANI YAO KUMBUKA ROHO ALIKUWA AMESHAACHILIWA YEYEOTE ALIYE AMINI KUFA NA KUFUFUKA KWA YESU ANAPATA ROHO WAKE YESU HOJA UNATAMBUAJE ISHARA KWA NAMNA YA ROHO AMBAYO MTUMISHII MWAKASEGE AMEISEMA? Ni kwa njia ya kuamini tu ukiona hutambui mambo ya rohoni ni ishara pia sisi n watu wa mwilini aka watoto wachanga katika imani Ndo maan paulo anaandika hiv “Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.” - 1 Kor 2:13 Kwaiyo siku utakayo amini ndiyo utapokea Roho ya Mungu nawe utawezaaa KUJUA ISHARA NA MAJIRA KIROHO! Ijapokuwa saaa ya wokovu ni sasa hiv Ona “(Kwa maana asema, Wakati uliokubalika nalikusikia, Siku ya wokovu nalikusaidia; tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndiyo sasa.)” - 2 Kor 6:2
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu Wewe ni zawadi kubwa Kyla Tz
MTU wa Mungu . barikiwa.
Mwalimu unafundisha unaeleweka kwa100% barikiwa sana mtumishi
Mwl Wangu Mungu Akulinde na Kukutunza Zaidi, Mafundisho yako Kuna mqhali yamenitoa na najua yananipeleka sehemu Nzuri
Tunakupenda baba yetu mwl wetu, wewe ndio tunu ya taifa letu❤❤❤❤
Mungu azidi kukutunza baba
Mwalimu wa dunia Uishii sana Teacher
Utukufu kwa Mungu.
Mungu akutunze mlezi wetu ,,uishi siku nyingi zenye uheri
Kweli wewe ni Mwalimu kweli kweli MUNGU akubariki sana wewe na Uzao wako kwako Kistoke Kinyonge Amina
MUNGU aendelee kuwatunza mtumish
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Mungu analo kusudi ya sis kujua
Mungu akubariki
Man of god
Somo la Nyakati na Majira amefundisha sana..Kuna jambo laja naamini
@faustaemmanuel1390
8 ай бұрын
😢😢dah mbn unaniogopesha
Mungu akuinuwe sana
Sema wazungu wametudanganya Sana walipotosha maandiko wakapachika Kataifa kao kakihuni
Mungu akubariki baba.
Asante sana mwalimu.. kwa maarifa haya. Mungu wa mbinguni azidi kukubariki
Mungu akubariki sana
This is deep revelation
To whom be glory for ever and ever. Amen.
Mungu akutunze mwl
Asante baba ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu ni BABA wa kiroho Tanzania
Blessed more Mwlm wetu
Mungu baba wa mbunguni mbarikimtumishi umzidishie upako zaidi na zaidi
Mungu akupe miaka mia ktk huduma hii ameeñi
@PascalPascual-rn6fx
8 ай бұрын
Amen
Ubarikiw na mungu mtumish umenitoa mahali
Akika tunafarijika na maombi yako mtumishi barikiwa Sana🙏🙏
Mungu akupe kushiba miaka Baba, nafunguliwa sana na mafundisho yako.
Barikiwa sana mtumishi, kwa hakika nimebarikiwa sana!!!!
Mungu awabariki Mwl na Mama Mwakasege.
Baba baba Mungu akutangulie baba🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mwakasege ni mwalimu anajua sana kutuelimisha akili zetu mbovu tunakua tunafeli lakin kama kutufundisha anafundisha
Mungu akubariki baba jicho la Tanzania
Barikiwa mwalimu
Mtumishi wa moyo wangu Mungu akubariki
Nikweli kabisa huyu baba nihazina ya taifa
Hakika Mungu ni mwaminifu kwa waliomwishia
Mungu awe nawewe milele.
Mungu akupe ujasiri, nguvu, uvumilivu nyakati zote baba angu
Barikiwa mwalim
Amina
Amen
nmeumia sana kujua huu kweli kwa kucheleweshwa
@thomasa.kimwaga4161
8 ай бұрын
Kuna ukweli zaidi ya hiyo dada
Ahsante Sana Baba Kwa mafundisho mazuri, japo yanarushwa kipande kidogo tu hata hatufaidi vizuri.
@neemayared4165
8 ай бұрын
Fatilia uone live leo upendo TV
@ianmeta2177
8 ай бұрын
Tazama upande wa live utayapata yote... full ceremony.
@RamadhanMwinyimvua-ry8yp
8 ай бұрын
Tatizo nipo Huku nje ya nchi, na makanisa hakuna Kabisa huku omani ndo tabu, na upendo TV sina.
@adkajisi4536
8 ай бұрын
@@RamadhanMwinyimvua-ry8yp Dah Vipi ukiingilia upande wa u tube
@johnjacob5491
8 ай бұрын
@@RamadhanMwinyimvua-ry8yp ingia you tube andika mwakasege live hapo utapata full package
Mungu akutunze mtumishi
Asante sana baba
MUNGU MLINDE MTUMISHI WAKO MAANA BADO TUNAITAJI AIFUNDISHE TANZANIA
Ameneeeee
Glory be to the LORD
Glory To Jesus
Ni neeema tu ya Mungu
Ameeen Barikiwa baba
Ee yesu nakusihi zidi kuonekana kwenye huduma yake
Baba kama Baba
MUNGU tusaidie
Najiungamanisha n haya maombi
Watanzania tufungue mioyo nà roho zetu ziwe macho kukesha tupate kuyajua haya tuyasikiayo na kuyaona.
uyu mtumishi ndiyo alitakiwa awe rais wa nchi na nchi yenge kua na baraka za kutosha
Bwana Yesu tusaidie sana
God protect your privacy and your family😊
Amina.
🎉🎉🎉
Ukweli me bado kaniacha Njia panda. Labda Kama kuna Clip nyingine yenye Maelezo zaidi kuhusu hii Vita.
Hao waisraeli hawawakubali wakristo na wanakupgeni vita lakn wakristo wengi hawasomi vitabu
@AbelsonGidion-vo1uj
6 ай бұрын
Wewe vunga Ivo ivo
Aliyeelewa ni Kitu gani kinachiliwa anifundishe na mimi.
Wewe ndye unaongea ukweli ten sana sana unatafungua wengi tusio jua
Mbn mm nikiangalia inaishia katikati😢
@samwelrobeth7763
8 ай бұрын
Hicho Ni kipande kidogo tu chenye dakika 9.ukitaka fully nenda vidmate udowlod fully yenye Zaid ya saa moja
Hapo ni akili tu ndio inatumika, hakuna kitu....
@christinakilla
8 ай бұрын
Ndio uwe nazo sasa
Aise!
Nashida na mwakasege nampataje😭😭
@miltonjohn9779
8 ай бұрын
Mtafute kwenye namba zake
@marymushi3806
8 ай бұрын
@@miltonjohn9779 namba yake ni ipi jamani huyu baba Mungu amuweke tuuu kiukweli
@gracemkono1199
8 ай бұрын
Nenda kwenye mikutano yake
@nereaigogo4442
8 ай бұрын
Fanya maombi ya kufunga na kuomba kwanza ili upate neema ya kumuona
@leverimlaki5667
8 ай бұрын
@@nereaigogo4442kwa nini hayo maombi ya kufunga na kuomba asifanye kwa ajili ya kukutana na Yesu, ambaye ndiye mwenye Mwakasege? Nadhani akikutana na Yesu atapata kikubwa zaidi.
Tuna uhakika gani kwamba wale wayahudi tunaowaona pale Israel ndo wale wayahudi wanaosemwa katika biblia
Hili somo ni zito sana sidhani kama wanakuelewa ingawa wanakubali alafu unasema mwakasege unaongea nini
To be honest, yule kijana Mbarikiwe anastahili kukinywea kikombe anachokunywa sasa; kumtukana Mtumishi wa Mungu kama huyu jamani 😢
Mnasema Eti kuvamiwa kwa Israel wakati Yesu mwenyewe aliwafukuza na nyinyi mnaona wanauhalali wa kuishi nyny mambo yenu mengi mnampnga Yesu na Nabii Mussa aliwalaani aliwaapiza aliwaambia hawatapata Sehemu ya kuishi duniani watahangaika mpaka mwisho wa dunia
@GraceRichard-rt1ov
Ай бұрын
Bwana na akukee pepo wewe
Mimi huwa simwelewi.
@safinamsuva9972
6 ай бұрын
Ipo ck utaelewa
Israel sio taifa la Mungu ni taifa la makafiri walio ikana iman watu wenye shingo ngumu walio laaniwa na Yesu mwenyewe.ss wakristo tusiofuatilia historia walishatudangaya kwamba ni taifa llilo barikiwa. hiyo ilikuwa zama za kale. wala sio kielelezo cha ukristo. ila usipo kuwa na ufaham utatekwa nao
@YothamuMusa-qr9sx
8 ай бұрын
Haswa ndio ukweli, Israeli ya leo sio lile taifa, bali Israeli ya Mungu Leo ni watu wote walio wanyenyekevu wazishikao sheria zake
Israel ipi hii ya magaidi
Mmeanza kudanganywa
@davidnyambuche352
8 ай бұрын
Ni maandiko sio yeye
@HildaPaul-hm4jk
8 ай бұрын
Na ww kadanganywe kule kwenu
@MaulidLihendeko-zu4mv
8 ай бұрын
Kasome Hosea 4:6
@SophlaJackson-nt1nc
8 ай бұрын
@@HildaPaul-hm4jk 😂😂😂😂
@vincentcharles4385
8 ай бұрын
@@MaulidLihendeko-zu4mvKavae dela uwahi msikitini ukajifunze karate maana uwezo wako ni mdogo sana
Wapalestina wanauliwa na Hawa wahuni wanaongozwa na marekani na uingereza mashetani wakubwa
Israel imekuwa ikivamiwa miaka mingi sana tangia warudi kwao 1948 na sidhani kama uvamizi wa juzi unamaana yote zaidi.Wakristo hawaoni israel wanavyoua watu wasio na hatia ila wao kila kukicha,"tunaiombea israel".Biblia inasema "Muombee adui yako mema wala msilaani" lakini wakristo wa kisasa badala ya kuombea anani kati ya palestina na israel wao ni kuombea israel tu.Waisrael wenyewe kwanza hawaupendi ukristo wanaona waafrika wanavyojipendekeza kwao.
@goalpost6753
8 ай бұрын
Mapenzi ya mungu SI mapenzi ya wanadamu na ni vigumu kuyajua mapenzi ya mungu kama huna roho mungu hata ayubu mateso yake yalikuwa yanakibali kutoka kwa bwana
@ianmeta2177
8 ай бұрын
Haya
@miltonjohn9779
8 ай бұрын
Soma bible vizr kaka.
@checkchannel3876
8 ай бұрын
Mambo ya rohoni yatambulikana kwa jinsi ya rohoni. Hamuwezi kumlazimisha huyu mtu aelewe ya rohoni kama yeye ni wa mwilini, hata akisoma biblia namna gani huyu hawezi elewa chochote! Atabaki hivyo hivyo mbishi. Kwa hiyo na yeye anapaswa kuombewa afunguliwe macho yake ya rohoni!
@rosemuhandoofficial5676
8 ай бұрын
Kwa kweli
....lakini ule mwisho bado😂😂😂😂
@klauslusajo774
8 ай бұрын
Haijarish lkn ujumbe umeeleweka
@michaelgershon9077
8 ай бұрын
@@klauslusajo774 wewe ni wale unaua nyoka ukiamini ndio shetani wa edeni, hawa Israel hawamtambui huyo Yese, sijui unafahamu?
Mchungaji, tupe ufafanuzi wa kawaida wa kifamilia kuhusu watu ambao asili Yao ni Baba moja ila Mama tofauti na Wana ugomvi wa muda mrefu. Mwarabu na Mwi Israel ni ndugu, watoto wa Abraham. Moja Mkristo mwingine Mwislam. Angalizo . MTU toka Misri na Israel kwamwe hawana vita Kwa sababu wanaoleana
Lakini Israel haimjui yesu kwa namna ambavyo mnamjua na wala hawatumii agano jipya, hapa kuna tatizo la uelewa yaani walio wengi wanajua waisrael ni wakristo
@emanuelmargwe7087
8 ай бұрын
Akuna dini ya ukristo ndugu, Kuna wafuasi wa Kristo. Na ndani ya israel wako wafuasi wengi tu wa Yesu Kristo. Usiwe mjinga na kuenenda kibinadamu. Haya Mambo Ni ya kiroho na waislamu hawawezi kuelewa haya mpaka siku ya kiama
@barackbrysonramsey
8 ай бұрын
Dishi lako limeyumba. Kwani um3zungumzwa ukristo hapa
@HildaPaul-hm4jk
8 ай бұрын
Nani amekuambia utuwambie
@thelivingwordchannel9027
8 ай бұрын
@@emanuelmargwe7087 Kiroho wewe unakijua au umekalili tu?
@favourkimaro5490
8 ай бұрын
Wafuasi wa Kristo ni israel wa kiroho. Haya mambo yamefichwa kwa watu wenye hekima ya kidunia. Hii ni siri (mystery)
Ole wenu ninyi mnaoweka matumaini yenu kwa walimu wa uongo kama huyu.
@EliyaMagiya
8 ай бұрын
Funga kinywa chako kama umekosa la kuongea.
@EliyaMagiya
8 ай бұрын
Acha mtumishi ahubiri neno
@christinakilla
8 ай бұрын
Tafuta wa kwako wa kweli
@evelynekamukuru8246
8 ай бұрын
@@EliyaMagiyayaani tena akifunge haswa,hata kwa super glue,looooh
@joshuanyamaiswe4327
8 ай бұрын
@@christinakilla wapo wengii Isaya DANIEL, EZEKIEL, HOSEA ambae aliandika watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa ambao ndio nyinyi, YOHANA wa ufunuo kuna YEREMIA n.k
Mchungaji inaonekana hujui hata historian israil haikuvamiwa ila wao ndio waliovamia ardhi ya Palestine na kuuwa millions za wapalestina na ujue hao unaowaita waisrail hawaikubali huo ukristo wako
@chrisogonivulstan414
8 ай бұрын
Umejibu kimwili na ndo tatizo
Wajinga wa kiimani ni wengi sana Afrika,yaani mtu unasimuliwa kitabu/novel na unakubaliana na anayekutafasiria kabisa?umasikini huu ni zaidi ya ukoma!!
The Bibilical Israel is not the same as the current Israel which was discovered in 1948. This current Israel came about after 'the great reset' read history. And read the bible in spirit.
Mungu akubariki
Amina