Hivi mna uhakika Joel nanauka ni mtu wa kawaida?????? Kama ni mtu wa kawaida basi mungu kampendelea sana 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎄🎊🎊🎊🎊
@adventinahevaristo9558
3 ай бұрын
Nani kasema wakawaida😅huyu n malaika mbona mwenye vityu vyake
@cesiliamaneno95662 ай бұрын
Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
@shukranjulius95266 ай бұрын
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
@joelnanauka
6 ай бұрын
Hongera sana sana, Pole kwa mapito magumu na hongera kwa ujasiri wa kuchukua hatua. Keep it up, Mungu aendelee kukupigania.
@priscusaugust7251
6 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@petrosamwel2528
5 ай бұрын
Hellow sir@@joelnanauka
@sikituukololo11616 ай бұрын
51:42 Ninachokipata kwenye speech zako kinanipa nguvu sana. Mungu akubariki maana nimebadirika na kujifunza mengi.
@eliastanda98256 ай бұрын
Joel Joel Joel nmekuita Mara tatu saut yako Ni mwangaza mungu ambaliki mama ako🌟🌟🌟
@joelnanauka
6 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏🙏
@embmacrofinance26953 ай бұрын
Huyu ndo mentor wangu kitambo,,ndo kanifanya nafanikiwa...huyu jamaa anapaswa...akupe maisha marefu sna
@zuwenayusuph38138 күн бұрын
Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie
@user-oe2vl4zm6m2 ай бұрын
Joel Joel Joel you're special one nadhan inabidi serikali ikupe heshima inayo stahili
@user-uu6ei1ys3k4 ай бұрын
Yani wewe Joel ulizariwa kwa ajiri yetu naamini kila anaekufatilia lazimaaaaa atoke atua hi nakupanda atua nyingine Mungu akubariki sanaaa❤❤❤
@wisdomofbooks69055 ай бұрын
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
@monicakauky89142 ай бұрын
Hata mimi nilishawahi kukataliwa,lakini sasa niko vizuri sana.
@bina25574 күн бұрын
Kaka Joel Nanauka you're the best in my life you're my mentor
@FransiscaJoseph-bg6vl3 ай бұрын
God bless you, it's very powerful speech
@pikanaauntzuu14666 ай бұрын
Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
@joelnanauka
6 ай бұрын
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
@lutherngoma1270
6 ай бұрын
Mamboo
@pikanaauntzuu1466
6 ай бұрын
@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
@pikanaauntzuu1466
6 ай бұрын
@@lutherngoma1270poa
@eddahhawa7471
6 ай бұрын
Mashaallah 😘🦋
@salhakyande3905Ай бұрын
Joel! Nice having u
@user-jq1ny9lx4e6 ай бұрын
Historia ya familia yangu na historia yangu huwa kila siku nikiifikiria inanifanya niiue kweli Mungu anaishi
@user-ni3mk5xu2v6 ай бұрын
Akuna mafanikio mazuri kama Yale uliambiawa Ayawezekani barikiwa sna kaka joel
@user-xt5vs7cm2k16 күн бұрын
Mungu akupe maisha malefu sana
@davielubuyih-yh7sxАй бұрын
Mungu akubariki sana kaka Joel certified life coach.
@NicksonKihindo-yn5ir4 ай бұрын
Bro Tokea nianze kukufuatilia January 24 hii Maisha yangu yamebadilika Sana MUNGU akupe Maisha malefu kwa lengo LA kukomboa hiki kizazi Amen
@realemma2312
3 ай бұрын
Tuko wengi tunao mfatilia Kwa mwaka 2024
@user-um6oj8ci9i17 күн бұрын
Mimi nikijana ila nimejifunza vitu vingi sana kwako Joel nanauka na nitaendelea kujifunza❤❤
@bonifaceferdinand5666 ай бұрын
Asante kaka kwa elimu bora na maarifa unayotupatia,mungu akupe maisha marefu,kwani elimu unayotupatia huwezi kuipata sehemu nyingine bali ni kwako tu.
@joelnanauka
6 ай бұрын
Amen, ahsante sana kwa mrejesho🙏
@motiveperson1436 ай бұрын
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough. Thank you Joel 😊 this story made me cry. Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
@user-ep1ll6tq8x6 ай бұрын
Nimejifunza kitu kipya,asante sana
@user-ri3se1vj3i27 күн бұрын
Amen Mtumishi wa Yehova
@Du_boiz_MnyamaАй бұрын
Imeisha imeisha. Imeishaje😂😂😂
@simonrusigwa30246 ай бұрын
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
@maryjulius59236 ай бұрын
Hakika nimejikuta mpyaaaa baaada ya hili somo MUNGU wangu akutunze saaana kwaaajili ya utukufu wake
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
@user-wn3xk5kg8w6 ай бұрын
Umenifunza kuwa imara mungu akubariki sana bro
@mathewnguyaki6 ай бұрын
Asante sana mtumishi 🙏
@user-sc9ll5no3f6 ай бұрын
Kaka nakushukuru sana kwa mafundisho hakika wewe ni mtu wa mhimu sana kwangu hakika sijutii kukufatilia Mungu akubarik umenifundisha mengi
@blada_mich6 ай бұрын
Leo ndio nimepata bahati ya kusikiliza kiongoz wangu live 🙏🙏
@joelnanauka
6 ай бұрын
Nashukuru sana🙏
@priscusaugust7251
6 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@jameskileo529229 күн бұрын
POWERFUL MESSAGE (NAKUMBUKA KISA CHA SEVEN UP)
@abrahammwambije27696 ай бұрын
Kaka joeli uko vizuri Nina tamani kuwa kama wewe kwenye misimamo
@joelnanauka
6 ай бұрын
Tuendelee kujifunza🙏
@abrahammwambije2769
6 ай бұрын
@@joelnanauka amina
@abeldicken89496 ай бұрын
1:02 :57 "Kuwa na furaha ni maamzi yako wewe mwenyewe ". Nimeipenda.
@NsanzabahiziRehema6 ай бұрын
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
@NsanzabahiziRehema
6 ай бұрын
Shukhani Sana
@joelnanauka
4 ай бұрын
Hongera sana sanaaaaaa👏🏻👏🏻👏🏻
@susanolambo97232 ай бұрын
Funzo zuri sana ktk maisha. Jitahidi sana kuifikia new generation taifa litapona
@angelinamagambo87336 ай бұрын
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
@BeldinaAbuya-zr6qi5 ай бұрын
Asante umeinipa nguvu yaku songa mbele.
@michaelsafari
5 ай бұрын
Successful people always seek mentorship ,to me Mr Joel Nanauka you're my mentor
@zachariajacob65596 ай бұрын
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
@daudisausi620617 күн бұрын
thanks mkuu nimepata kitu sasa naweza kuendelea nilipoishia.
@langemwepesi6 ай бұрын
Chenye napenda zaidi nikuwa tunachambuliwa kwa lugha ya mama tunanauka vizuri kabisa mbali lugha za kigeni hongera sana mkuu.. ❤
@felixngwasi94696 ай бұрын
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
@TumainiChengula-dn5vxАй бұрын
Barikiwa kaka Mungu akuzidishie
@CECILIAMAGANGA-sk8md6 ай бұрын
Mungu azid kukubaliki
@joelnanauka
6 ай бұрын
Ameenn
@SaimonKazimoto-xt1zo6 ай бұрын
Nmeikuta hii leo live nmefurahi sana nipo pamoja na wewe kaka joel
@AgnessSosthenes21 күн бұрын
Daima sitakata tamaaa💪
@josephlazaro2536 ай бұрын
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
@user-jz4go4fm1i
5 ай бұрын
Good 👍
@thomasjoseph31786 ай бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri. Naamini hatma za wengi zimepata mwanga. Ubarikiwe sana Joel Nanauka
@mtumishiraymond2001Ай бұрын
Amina
@AdelinaKakese-ym9px6 ай бұрын
Asante sana ninavuka sasa
@kakawamashariki89786 ай бұрын
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
@joelnanauka
6 ай бұрын
Sawa sawa nashukuru sana, nimepokea pia na ushauri wako🙏
@allanjohn7196 ай бұрын
JOEL MUNGU AKUINUE SANA NA MAFANIKIO YAKUANDAE KWA AJILI YA KUSIMAMA KWA UPANDE WA MUNGU UWABARIKI WENGINE SANA
@saumumagazine-tc4cp6 ай бұрын
Mungu hakulinde Umenitoa mbali maneno yako ni zaidi ya faraja.
@joelnanauka
6 ай бұрын
Ameen Ameen, nashukuru sana🙏
@priscarichard97196 ай бұрын
Suala la emotional toughness. Asante sana🙏🏽. Emotional situation ina affect hadi uvaaji na muonekano pia🙌🏽. Ubarikiwe mno Joel Nanauka
@joelnanauka
6 ай бұрын
Amen Amen, nashukuru sana
@Pendezabylydia6 ай бұрын
As long as I breathe I’ll never give up in my life 🙏
@joelnanauka
6 ай бұрын
No giving up💪🏼
@faridaamagese2234
4 ай бұрын
As long as breath I'll never give up in my life.
@dorothclement58594 ай бұрын
A wonderful being.. the heaven send guy.
@user-ly6cm6lp3h6 ай бұрын
Nashukuru sana mtumishi wa Mungu umebadilisha fikra na mawazo yangu na nmezidi kuwa jasiri🤍
@TudamsheB6 ай бұрын
Kweli mimi naona hivyo ,kuna jambo nalifanya nimelianza 2008 wakati nahitimu kidato cha nne hakuna alie niamini mpaka wakasema siko timamu 2016 nikaanza utekelezaji wengi pamoja na ndugu wakaproove maneno ya kuwa siko sawa , 2018 nikaanza kujenga wao wakashauli ninunue usafiri nikajibu moyoni hawaoni ila wataona 2022 nikaomesha utofauti wa maono wakanza kunikwepa nina ofice yangu wengi wananiona tofauti na wanatoa shuhuda na nimfano kwa kufauru kwa ninayo yafanya ( sasa nanauka nimemuona 2023 naona huyu ni mtu / mwalimu wangu tangu 2008 maana yote yaliyo nkuta ndo ansisitiza zaidi nikama ananiona nkiwa nasikiliza nakufuata joel mpaka ulipo unipokee ) yaani nimekusiliza 2023 tuu ume nitosha wewe
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ahsante sanaaaa
@user-wy6re9be2g6 ай бұрын
Thank you very much Mr Joel Nanauka... Umeletwa kwangu katika kipindi sahihi..,, Sijutii kabisa kuangalia Video hii mwanzo mwisho,, Nimejifunza mambo mengi na nimepata Nguvu ya kuendelea na Maisha ingawa nimepitia mambo mengi sana Mwaka huu ikiwemo kupoteza Mzazi, kufeli chuo, kupoteza mitaji katika uwekezaji.... But I believe One Day Mambo yatajipa tuu,, Mungu ni mwema and I'm grateful ninaishi 💪
@priscusaugust7251
6 ай бұрын
Pole sana
@charlesakomba81035 ай бұрын
kwakweli nimejifunza mengi sana kutoka kwako, Mungu akutanguliye katika safari hii, umetusaidiya wengi kwakweli
@Teacherdavidmasterclass10104 ай бұрын
Mungu akulinde kaka Joeli tunajifunza mengi kupitia wewe
@DaudiSwai6 ай бұрын
Umemaliza kila kitu Prof🙌🙌🙌🙌
@ndalahwashija62785 ай бұрын
Nimepata nguvu ya kusimama tena kwenye malengo Yangu kupitia somo hili hakika nimejifunza mambo Mengi Ubarikiwe sana Mwalimu
@tumainichanya32684 ай бұрын
Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi
@user-rl9tb6cg5h5 ай бұрын
Tunaweza semaa wewe nkama malaika hapa dunian kazi yako nkutoaa ukomashimonii kwenye frikaa finyuu i will never go down
@user-zl5mt6lk4n
5 ай бұрын
usikufuru
@isacklaizer67766 ай бұрын
Joel Arthur Nanauka...Top Academy safi, ila plan kufungua Chuo kabisa, ili hizi shule ziweze kuwa na mtaala rasmi, ambao hautakufa na kuondoka na wewe...Thanks for sharing this with us.
@hyasintajoseph25894 ай бұрын
Yaaan joel Mungu akubariki tu. Nimejifunza sana
@mohamedismail26626 ай бұрын
What a powerful presentation God bless you bro uwa natulia lisaa na zaidi kupata masomo yako hapa KZread
@user-by5tk4vi5h4 ай бұрын
Be blessed brother 🙏
@user-ib9lv7mx5z5 ай бұрын
Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha Am so excited to see One day i will meet you again if god wish
@marymkamwa37796 ай бұрын
Knowing you at my Fifties 😂nabaki kusema "It is never late"my success is in my mind. May God keep you for this generation.
@iamqacha
4 ай бұрын
Keep going no matter the age🙏
@AvelinaMossyАй бұрын
Ubalikiwe sana kaka,yananijenga sana mafundisho yako.
@merykyungai25515 ай бұрын
Nimejifunza kuto kukataa tamaa kusoma kwa shida Sasa Niko chuo kikuu nakufatilia sana more bless
@joelnanauka
4 ай бұрын
Songa mbeleeee
@user-tx9mq2tr6j28 күн бұрын
Mtumishi napitia hali mbaya nashindwa kufanyaa maamuzi nimekuwa muoga kila jambo nalikatia tamaa nashindwa fanya maamuzi nawezaa nikajua kuwaa nakosa nazdy amini nashindwa kujitoa kwenye hi hali cjui nifanyejee niludy kuwaa sawaa
@user-iz9ci4rs3d5 ай бұрын
Tunabarkiwa sana na elimu yako brother Mungu akupe maono zaid na zaid 🎉🎉🎉
@user-jh6jf2vr4o26 күн бұрын
Asante bro
@petermunuo16576 ай бұрын
Tuko pamoja sana kaka
@FrankManyilizu22 күн бұрын
Hii ndiyo elimu tunayotakiwa kupewa, sio kukalilishwa
@harunikayuni34tv6 ай бұрын
Hakika Nimejifunza Mambo Muhimu sanaaa Shukulani sanaa Mr Joel Nakufwatilia sanaa Kiongozi
@naylahobra2 ай бұрын
Unasaidia watu wengi kaka mungu akupe umri mrefu ❤nakupenda sana kaka angu unachanua sana akili yangu nilikua ni mtu wa kuogopa sana watu na kuyo kujiamin lakin kila siku nakua mpya kwa sababu yako ❤
@SamAbdalah
2 ай бұрын
Ni nzuri sana a elimu hiyo ulionanayo, lakn usije ukaacha, kwa maana Mungu anataka uwafungue wau watu wake ambao wako huru tayari.
@eliudikijuzi49096 ай бұрын
Thenx brother my GOD BLESS YOU
@user-ms7ch2dv9s6 ай бұрын
Hakika mungu akubariki mafunzo Yako yananifanya nipigie hatua Zaid ya Jana🤝💪
@maryblessedson2636Ай бұрын
Asante sana🙏
@AsiaAsia-sv6ok6 ай бұрын
Shukran kaka Joel Mungu akutunze kwa ajili yetu
@user-vp6dj9pm2x5 ай бұрын
GENEOUS JOEL......Kuna Hekima ya Mungu kwenye ubongo wako....... Iyo awareness sio ya kawaida.....
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
@mastaplan6 ай бұрын
Baada ya kutazama hili darasa kwa saa 1:03 :06 nimekuja ku-comment Much respect bro Joel
@siriyamafanikiokatikamaish13326 ай бұрын
TUko pamoja Kaka mungu akubariki kwa SoMo zuri
@joelnanauka
6 ай бұрын
Ameen Ameen ahsante sana
@ThereziaDanielKajuna6 ай бұрын
Mungu akutunze vyema mwalim wetu
@mathewjiday1906 ай бұрын
Ahsante kwa mafundisho mzuri yamenikomaza since day one nakufatilia💯💯
@selemanmasau20966 ай бұрын
Ni kwa neema tu.Mungu akubariki.
@LucyMwasu6 ай бұрын
Asante ndugu yangu kwa mafundisho mazuri Sana Mungu akubariki
@user-jq1ny9lx4e6 ай бұрын
Siku moja nitaisimulia kwa ulimwengu mzima
@NimaNima-dh6zzАй бұрын
😂 mimi nawaambia familia yangu kwamba mimi ni tajir wanacheka na kunikosoa lkn nawaambia nyie subilini na napambana kweli kwel na kumuomba mungu kile ninacho kitaka na nina lmani nitakuwa boss lady soon watanisalimia kwa heshima never give up
@HusnaSultan-rm9fq5 ай бұрын
Joel..nitakuja kutoa ushuuhuda live 💪💪❤❤barikiwa kaka
@user-er1lz3cj1d6 ай бұрын
Thanks broo 🙏🙏 nimepata kitu kitakacho nitoa sehemu moja kwenda sehemu nyingine❤️❤️
@user-es5fg9bh5c3 ай бұрын
Ameenn yan i was stressed ila wow am ok
@ramadhanimtozeni80306 ай бұрын
What a powerful presentation! May God bless you.
@norberthamlowe23634 ай бұрын
Asante professor. Very pure words. Filled by wisdom. Live long brother. As a society, we need your teachings. Keep going!
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ahsanteeee
@kelyjames54526 ай бұрын
Kakaaa nimeenjoy sanaa somo lako kaka ,Mungu akubalik sana kaka Joel na akupe Afya Njema ❤❤❤❤
Пікірлер: 279
Hivi mna uhakika Joel nanauka ni mtu wa kawaida?????? Kama ni mtu wa kawaida basi mungu kampendelea sana 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎄🎊🎊🎊🎊
@adventinahevaristo9558
3 ай бұрын
Nani kasema wakawaida😅huyu n malaika mbona mwenye vityu vyake
Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
@joelnanauka
6 ай бұрын
Hongera sana sana, Pole kwa mapito magumu na hongera kwa ujasiri wa kuchukua hatua. Keep it up, Mungu aendelee kukupigania.
@priscusaugust7251
6 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@petrosamwel2528
5 ай бұрын
Hellow sir@@joelnanauka
51:42 Ninachokipata kwenye speech zako kinanipa nguvu sana. Mungu akubariki maana nimebadirika na kujifunza mengi.
Joel Joel Joel nmekuita Mara tatu saut yako Ni mwangaza mungu ambaliki mama ako🌟🌟🌟
@joelnanauka
6 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏🙏
Huyu ndo mentor wangu kitambo,,ndo kanifanya nafanikiwa...huyu jamaa anapaswa...akupe maisha marefu sna
Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie
Joel Joel Joel you're special one nadhan inabidi serikali ikupe heshima inayo stahili
Yani wewe Joel ulizariwa kwa ajiri yetu naamini kila anaekufatilia lazimaaaaa atoke atua hi nakupanda atua nyingine Mungu akubariki sanaaa❤❤❤
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
Hata mimi nilishawahi kukataliwa,lakini sasa niko vizuri sana.
Kaka Joel Nanauka you're the best in my life you're my mentor
God bless you, it's very powerful speech
Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
@joelnanauka
6 ай бұрын
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
@lutherngoma1270
6 ай бұрын
Mamboo
@pikanaauntzuu1466
6 ай бұрын
@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
@pikanaauntzuu1466
6 ай бұрын
@@lutherngoma1270poa
@eddahhawa7471
6 ай бұрын
Mashaallah 😘🦋
Joel! Nice having u
Historia ya familia yangu na historia yangu huwa kila siku nikiifikiria inanifanya niiue kweli Mungu anaishi
Akuna mafanikio mazuri kama Yale uliambiawa Ayawezekani barikiwa sna kaka joel
Mungu akupe maisha malefu sana
Mungu akubariki sana kaka Joel certified life coach.
Bro Tokea nianze kukufuatilia January 24 hii Maisha yangu yamebadilika Sana MUNGU akupe Maisha malefu kwa lengo LA kukomboa hiki kizazi Amen
@realemma2312
3 ай бұрын
Tuko wengi tunao mfatilia Kwa mwaka 2024
Mimi nikijana ila nimejifunza vitu vingi sana kwako Joel nanauka na nitaendelea kujifunza❤❤
Asante kaka kwa elimu bora na maarifa unayotupatia,mungu akupe maisha marefu,kwani elimu unayotupatia huwezi kuipata sehemu nyingine bali ni kwako tu.
@joelnanauka
6 ай бұрын
Amen, ahsante sana kwa mrejesho🙏
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough. Thank you Joel 😊 this story made me cry. Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
Nimejifunza kitu kipya,asante sana
Amen Mtumishi wa Yehova
Imeisha imeisha. Imeishaje😂😂😂
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
Hakika nimejikuta mpyaaaa baaada ya hili somo MUNGU wangu akutunze saaana kwaaajili ya utukufu wake
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
Umenifunza kuwa imara mungu akubariki sana bro
Asante sana mtumishi 🙏
Kaka nakushukuru sana kwa mafundisho hakika wewe ni mtu wa mhimu sana kwangu hakika sijutii kukufatilia Mungu akubarik umenifundisha mengi
Leo ndio nimepata bahati ya kusikiliza kiongoz wangu live 🙏🙏
@joelnanauka
6 ай бұрын
Nashukuru sana🙏
@priscusaugust7251
6 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
POWERFUL MESSAGE (NAKUMBUKA KISA CHA SEVEN UP)
Kaka joeli uko vizuri Nina tamani kuwa kama wewe kwenye misimamo
@joelnanauka
6 ай бұрын
Tuendelee kujifunza🙏
@abrahammwambije2769
6 ай бұрын
@@joelnanauka amina
1:02 :57 "Kuwa na furaha ni maamzi yako wewe mwenyewe ". Nimeipenda.
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
@NsanzabahiziRehema
6 ай бұрын
Shukhani Sana
@joelnanauka
4 ай бұрын
Hongera sana sanaaaaaa👏🏻👏🏻👏🏻
Funzo zuri sana ktk maisha. Jitahidi sana kuifikia new generation taifa litapona
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
Asante umeinipa nguvu yaku songa mbele.
@michaelsafari
5 ай бұрын
Successful people always seek mentorship ,to me Mr Joel Nanauka you're my mentor
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
thanks mkuu nimepata kitu sasa naweza kuendelea nilipoishia.
Chenye napenda zaidi nikuwa tunachambuliwa kwa lugha ya mama tunanauka vizuri kabisa mbali lugha za kigeni hongera sana mkuu.. ❤
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
Barikiwa kaka Mungu akuzidishie
Mungu azid kukubaliki
@joelnanauka
6 ай бұрын
Ameenn
Nmeikuta hii leo live nmefurahi sana nipo pamoja na wewe kaka joel
Daima sitakata tamaaa💪
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
@user-jz4go4fm1i
5 ай бұрын
Good 👍
Asante sana kwa mafundisho mazuri. Naamini hatma za wengi zimepata mwanga. Ubarikiwe sana Joel Nanauka
Amina
Asante sana ninavuka sasa
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
@joelnanauka
6 ай бұрын
Sawa sawa nashukuru sana, nimepokea pia na ushauri wako🙏
JOEL MUNGU AKUINUE SANA NA MAFANIKIO YAKUANDAE KWA AJILI YA KUSIMAMA KWA UPANDE WA MUNGU UWABARIKI WENGINE SANA
Mungu hakulinde Umenitoa mbali maneno yako ni zaidi ya faraja.
@joelnanauka
6 ай бұрын
Ameen Ameen, nashukuru sana🙏
Suala la emotional toughness. Asante sana🙏🏽. Emotional situation ina affect hadi uvaaji na muonekano pia🙌🏽. Ubarikiwe mno Joel Nanauka
@joelnanauka
6 ай бұрын
Amen Amen, nashukuru sana
As long as I breathe I’ll never give up in my life 🙏
@joelnanauka
6 ай бұрын
No giving up💪🏼
@faridaamagese2234
4 ай бұрын
As long as breath I'll never give up in my life.
A wonderful being.. the heaven send guy.
Nashukuru sana mtumishi wa Mungu umebadilisha fikra na mawazo yangu na nmezidi kuwa jasiri🤍
Kweli mimi naona hivyo ,kuna jambo nalifanya nimelianza 2008 wakati nahitimu kidato cha nne hakuna alie niamini mpaka wakasema siko timamu 2016 nikaanza utekelezaji wengi pamoja na ndugu wakaproove maneno ya kuwa siko sawa , 2018 nikaanza kujenga wao wakashauli ninunue usafiri nikajibu moyoni hawaoni ila wataona 2022 nikaomesha utofauti wa maono wakanza kunikwepa nina ofice yangu wengi wananiona tofauti na wanatoa shuhuda na nimfano kwa kufauru kwa ninayo yafanya ( sasa nanauka nimemuona 2023 naona huyu ni mtu / mwalimu wangu tangu 2008 maana yote yaliyo nkuta ndo ansisitiza zaidi nikama ananiona nkiwa nasikiliza nakufuata joel mpaka ulipo unipokee ) yaani nimekusiliza 2023 tuu ume nitosha wewe
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ahsante sanaaaa
Thank you very much Mr Joel Nanauka... Umeletwa kwangu katika kipindi sahihi..,, Sijutii kabisa kuangalia Video hii mwanzo mwisho,, Nimejifunza mambo mengi na nimepata Nguvu ya kuendelea na Maisha ingawa nimepitia mambo mengi sana Mwaka huu ikiwemo kupoteza Mzazi, kufeli chuo, kupoteza mitaji katika uwekezaji.... But I believe One Day Mambo yatajipa tuu,, Mungu ni mwema and I'm grateful ninaishi 💪
@priscusaugust7251
6 ай бұрын
Pole sana
kwakweli nimejifunza mengi sana kutoka kwako, Mungu akutanguliye katika safari hii, umetusaidiya wengi kwakweli
Mungu akulinde kaka Joeli tunajifunza mengi kupitia wewe
Umemaliza kila kitu Prof🙌🙌🙌🙌
Nimepata nguvu ya kusimama tena kwenye malengo Yangu kupitia somo hili hakika nimejifunza mambo Mengi Ubarikiwe sana Mwalimu
Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi
Tunaweza semaa wewe nkama malaika hapa dunian kazi yako nkutoaa ukomashimonii kwenye frikaa finyuu i will never go down
@user-zl5mt6lk4n
5 ай бұрын
usikufuru
Joel Arthur Nanauka...Top Academy safi, ila plan kufungua Chuo kabisa, ili hizi shule ziweze kuwa na mtaala rasmi, ambao hautakufa na kuondoka na wewe...Thanks for sharing this with us.
Yaaan joel Mungu akubariki tu. Nimejifunza sana
What a powerful presentation God bless you bro uwa natulia lisaa na zaidi kupata masomo yako hapa KZread
Be blessed brother 🙏
Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha Am so excited to see One day i will meet you again if god wish
Knowing you at my Fifties 😂nabaki kusema "It is never late"my success is in my mind. May God keep you for this generation.
@iamqacha
4 ай бұрын
Keep going no matter the age🙏
Ubalikiwe sana kaka,yananijenga sana mafundisho yako.
Nimejifunza kuto kukataa tamaa kusoma kwa shida Sasa Niko chuo kikuu nakufatilia sana more bless
@joelnanauka
4 ай бұрын
Songa mbeleeee
Mtumishi napitia hali mbaya nashindwa kufanyaa maamuzi nimekuwa muoga kila jambo nalikatia tamaa nashindwa fanya maamuzi nawezaa nikajua kuwaa nakosa nazdy amini nashindwa kujitoa kwenye hi hali cjui nifanyejee niludy kuwaa sawaa
Tunabarkiwa sana na elimu yako brother Mungu akupe maono zaid na zaid 🎉🎉🎉
Asante bro
Tuko pamoja sana kaka
Hii ndiyo elimu tunayotakiwa kupewa, sio kukalilishwa
Hakika Nimejifunza Mambo Muhimu sanaaa Shukulani sanaa Mr Joel Nakufwatilia sanaa Kiongozi
Unasaidia watu wengi kaka mungu akupe umri mrefu ❤nakupenda sana kaka angu unachanua sana akili yangu nilikua ni mtu wa kuogopa sana watu na kuyo kujiamin lakin kila siku nakua mpya kwa sababu yako ❤
@SamAbdalah
2 ай бұрын
Ni nzuri sana a elimu hiyo ulionanayo, lakn usije ukaacha, kwa maana Mungu anataka uwafungue wau watu wake ambao wako huru tayari.
Thenx brother my GOD BLESS YOU
Hakika mungu akubariki mafunzo Yako yananifanya nipigie hatua Zaid ya Jana🤝💪
Asante sana🙏
Shukran kaka Joel Mungu akutunze kwa ajili yetu
GENEOUS JOEL......Kuna Hekima ya Mungu kwenye ubongo wako....... Iyo awareness sio ya kawaida.....
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
Baada ya kutazama hili darasa kwa saa 1:03 :06 nimekuja ku-comment Much respect bro Joel
TUko pamoja Kaka mungu akubariki kwa SoMo zuri
@joelnanauka
6 ай бұрын
Ameen Ameen ahsante sana
Mungu akutunze vyema mwalim wetu
Ahsante kwa mafundisho mzuri yamenikomaza since day one nakufatilia💯💯
Ni kwa neema tu.Mungu akubariki.
Asante ndugu yangu kwa mafundisho mazuri Sana Mungu akubariki
Siku moja nitaisimulia kwa ulimwengu mzima
😂 mimi nawaambia familia yangu kwamba mimi ni tajir wanacheka na kunikosoa lkn nawaambia nyie subilini na napambana kweli kwel na kumuomba mungu kile ninacho kitaka na nina lmani nitakuwa boss lady soon watanisalimia kwa heshima never give up
Joel..nitakuja kutoa ushuuhuda live 💪💪❤❤barikiwa kaka
Thanks broo 🙏🙏 nimepata kitu kitakacho nitoa sehemu moja kwenda sehemu nyingine❤️❤️
Ameenn yan i was stressed ila wow am ok
What a powerful presentation! May God bless you.
Asante professor. Very pure words. Filled by wisdom. Live long brother. As a society, we need your teachings. Keep going!
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ahsanteeee
Kakaaa nimeenjoy sanaa somo lako kaka ,Mungu akubalik sana kaka Joel na akupe Afya Njema ❤❤❤❤