Fix You: Aina za Marafiki, jinsi ya kuwatambua wa kweli na wabaya, Joel Nanauka atakushangaza
Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mEmKZ4E6L4xkFPbQ
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Пікірлер: 164
Sis Irene kwa kweli Vipindi vyako VINAFUNDISHA SANA. Asante kwa kutuletea Brother Joel.
Naludia kwambia Dada kamgisha na kupenda Sana umeniletea mwalimu nimeanza kumfatilia 2020 kanibadilisha vitu vingi marafiki,fetha na nithamu Hadi watu wanichukia nilio wambia tabia zao
@joelnanauka
Жыл бұрын
Nafurahi kusikia hivyo, keep it up.
Kaka Joel nimekuelewa Sana Yan,,,Yani hapa mim nilipo ni Kwa baraka za mungu ,,na jinsi ninavyowafuatilia watu waliofanikiwa,Asante mungu,,Asante kaka Joel kwakuniongezea maarifa
Najikuta kubarikiwa sana nikimsikiliza Joel Nanauka, I wish one day aje Tanga......Dada Irene Big up kwa kumuita huyu mtu hapo..naomba umuite tena kwa ajenda nyingine......DADA IRENE PLEASE PLEASE HUYU MTU PLEASE USIKOSE KUMUITA TENA ANAMADINI MENGI SANA
@albinagelege8967
5 ай бұрын
Hii irudiwee Da Irene❤
@evansedward5951
2 ай бұрын
kaka uko vizuri nabarikiwa sana
Joel you are the best . Thank you Irene for hosting him.
Wao kumbe Joel Ni rafiki yangu kilabsiku lazima nianze naMUNGU alafu Joel nanauka au Kris Mauki ndio watu wangu wa kwanza,Asante Ailin kuniletea Rafiki,
kipindi kizuri, nimekipenda, shukran Mtangazaji,shukran Mgeni Mwalim Arthur, ahsante SnS...kuna kitu Arthur kaongelea nimependa mno, kwenye dakika ya 29 hadi dak ya 31...Nimependa mno nondo hiyo,msumari umeugonga kabisaaaaaaa::::::AhSaNtE
Jamaa ana madini sana.story kama hizi tanzania hazina nafasi maana umbea na picha na video za uchi zimeteka akili za wengi.
@user-ro5qm1lh8g
3 ай бұрын
😂😂😂
Huyu MH. Joeli Nanauka Anamuchango Mkubwa SANA Tanzania na Dunia Nzima Asante SANA Pia Kwa Kutambua Mchango Wake Itakuwa Vizuri Muenderee Kutuandalia Vipi Vingine Zaidi Vizuri Ana Elimu Nzuri SANA Kwenye Na Wengine Wote Munao fanya Nao Vipindi Nawapenda SANA
@joelnanauka
Жыл бұрын
Shukrani sana Baraka
Am very happy and happy niko blessed sana na elimu niliyopata Mungu azidi kuwabariki kwa vipindi vingine vizur vya kuelimisha
Napenda sana kumsikiliza Joel kwenye masomo yake, pia namkubali sana kwa experience zenye anawapa watu wengine. Mungu azidi kumbari na Mungu anibariki na mimi.
Joel is a very brilliant guy .
@joelnanauka
Жыл бұрын
Thank you.
Asante sana...kk.. Joel nimebarikiwa..sana.... hongera nimejifunza 🙏🙏
ahsantee sana joel nanauka umeniongezea kitu kwenye kujenga urafiki na watu na kujua maana halisi ya urafiki
Watu kama hawa ni muhumu sana wanatakiwa watafutiwe kipindi maalum ili watueleweshe zaidi
Joel is so good 👍tunaomba tuletee Dr Elline v.d waminian
@mcchilo13
Жыл бұрын
Namkubali sana pia
🎉 Asante sana ,nimejifunza kuhusu urafiki aina za marafiki, muda na sababu za kuendeleza urafiki au kuvunja urafiki.
Point yangu jmn naona umeifanyia kazi big up Joel nanauka
Sikua nimeiona gonga like
Thank you so muxh sijutii kwa mamuzi nililo fanya. Because leo hii sijui nigekuwa na maisha aina ngani. Its wise to make concreat decission. 52:13
Fikiria kama haya maarifa halafu ndo yaongoze nchi yetu!!!! Mungu akubariki sana kaka sina cha kusema ila naelewa sana mafundisho yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Certified Life Coach Joel Nanauka 🙏
Thank you brother Joel na irene
My Coach Joel Nauka Mungu ampe maisha marefu nimejifunza vingi sana kutoka kwake much love Joel ❤❤❤❤❤❤
Kipindi chenu kimenigusa moyo kbs! Nimeelewa tofauti ya marafiki!. Joe Nanauka Mwalimu aHodari wewe! Nilijifunza mengi zaidi. Una Ufahamu kuhusu mambo mengi kbs. Mungu akubariki. Niko nchini Rwanda.
I really like Nanauka namsikiliza sana na napenda anachokifanya,Hakika tumefixkika but hatujatosheka please mrudishe tena ❤
MIMI URAFIKI ULINISHINDA NIMEKUBALI ENEO HILO NIMEFELI NA NINA AMANI
Asantee sana mwalimu
MUNGU azidii kukutunza ,najifunza mengii brother Joel be blessed
Shukran sana brother joeli nanauka daaaa kuna kitu kikubwa sana umenipatia God bless you
Asante sana kiongozi
Mungu akubarikiiiiiii saaaana
Tuna mtaka pia Eric shigongo master
Holy Spirit, Amen 🙏🏼 Asante sana kaka Joel, dada Irene na wahusika wote, 🙏🏼 ❤. TUPO PAMOJA!
Bro kweli wewe ni Zaidi ya mwalimu thanks so much
Jammaa yuko na madini mazuri sana.
Toxic people ni watu wabaya Sana ,,,wanakutesa mnoooo but kila ukitaka kuondoka unashindwa kuondoka ,,hasa kwenye ndoa za siku hizi duuh,, MUNGU aingilie Kati✍️
MUNGU azidi kuibariki huduma yako ,ili huduma ambayo MUNGU amekupa izidi kuwafikia watu wengi🙏🇹🇿
More than a teacher thanks bro for the speech
@joelnanauka
Жыл бұрын
Ahsante sana
True meaning of life coach 🔥🔥
Always my mentor Joel
Asante kwa kuongeza kitu kwenye ubongo wangu
Ubarikiwe sana najifunza mengi kupitia wewe na umebadirisha maisha yangu
Asante sana mental wngu ubarikiwe sana
Thank you very much Joel and mtangazaji,
Asanteni sana, naona napata faida kubwa sana.
Shukrani sana, Irene kwa kipind kizuri sana❤
Asante kwa shule tamu sn mwalimu,nimejifunza kitu.
Daaah we joel bhn n level nyingne kabisaa wala usifananishwe na watu wengine, wengine watafanya kwa nafas yao lkn kumfikia Joel bado sana
Asante dada Irene nmefurahi Sanaa jamaniii
congratulations be blessed more
safi sana sns! vipindi vyenu vina elimisha sana💯
Thanks for this interview ur answering my question
Safi sana ktk kipindi kizuri kwa mwaka huu ni kuwa hapo mjengoni na kaka Joel nanauka, coZ nabalikiwa sana kupitia yeye Mungu amjalie maisha marefu sana
Asantee,Sana nimejfunza mengi,ambyo sikuyakujua🙏♥️
Joel Mungu akulinde mafundisho ni mazuri sana.
Asante sana ni mtumishi muhimu sana
Hello.Asante mwanahabari kutuletea mwalimu Nanauka nahitaji kitabu chake nitakipataje
Nilikua nasubiri sana kumuona kaka Joel nanauka ❤❤❤❤asante sana
Asante sana
Kunamtu kanibia tu juzi et kanitoa mbali duh nkashangaa sana inamaana anamzidi adi Mungu alie niumba yaani ndoa iziii 😊😅😅😅
Asante nimepata kitu
Asante mwalim
U are so smart
Cogratulation to it im apretiet on it
Thank God for this
Kaka Joel Arthur Nanauka❤❤❤
This guy is more than teacher 👏👏👏
@joelnanauka
Жыл бұрын
Shukrani sana Dayana
It is totally true.
Nimepata faida kubwa sana mbarikiwe
Bro Joel big up ulicho kizungunza ni ukweli mtupku god bless you ma brother
thanks so much you changed my life
nawafatiliya kutoka bunia Congo drc
Leo upo na comrades ❤
Dada kamugisha mim natendwagwa na marafiki huwa najitoa mpak napitiliza mwishowe wananiumiza nakutaman nisiwe nao kwenye maisha yangu .unenifundisha kitu
Shukrani inategemea mnaongea nini nikujenga ama ni kubomoa , ukweli ni kwamba marafiki lazima uchague ............
🎉🎉🎉 Asante sanaaaa
Facts 🤝
Somo zuri mbarikiwe
Uyu Mwamba Hatari Sana
Joel namukubali Sana
Mwalim mzur sana amekuw mbarak mkubwa kwangu
Aiseeee Joel ni mmoja tu ❤❤❤❤
@agnesspaul1866
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@agnesspaul1866
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
Joel nanauka Brother uko good nimekuelewa kaka
Aje tena big up kamgisha
Mm nashukuru kumsikia huyo mwalimu mzuri sana najifunza mengi juu yake
Sijui niseme nini hongera Sana kwa kumleta Joel
Exactly bro Joel.
MashaAllah sema hili jamaa genius sana
Intelligent man.
Alhmdulillah🙏🙏
Brother your so deep endelea kutupa madini tupate kudiscover what do we have especially in part of friends to we have and their impacts
Be blessed sanaaaaa
Asante sana 🙏
@violethndowo-fr3rc
Жыл бұрын
Asantee sana kakaaang Joel huwa naelewa sana ushaur na maneno yako inshallah MUNGU azid kukupa maisha marefu
U n asema ukweli sana.😊
Namkubali sana Joel Nanauka
Yupo so practical, hana hadithi za uongo. Namkubali sana.
Mimi ni rafik mzur sana wa Joel napemda sana kulisha ubongo wangu kila anachofundisha
God job jamani
Good lesson brother you have fact God bless you 🙏