Fix You: Aina za Marafiki, jinsi ya kuwatambua wa kweli na wabaya, Joel Nanauka atakushangaza

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mEmKZ4E6L4xkFPbQ
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Пікірлер: 164

  • @judithjoseph976
    @judithjoseph976 Жыл бұрын

    Sis Irene kwa kweli Vipindi vyako VINAFUNDISHA SANA. Asante kwa kutuletea Brother Joel.

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Жыл бұрын

    Naludia kwambia Dada kamgisha na kupenda Sana umeniletea mwalimu nimeanza kumfatilia 2020 kanibadilisha vitu vingi marafiki,fetha na nithamu Hadi watu wanichukia nilio wambia tabia zao

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    Nafurahi kusikia hivyo, keep it up.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Жыл бұрын

    Kaka Joel nimekuelewa Sana Yan,,,Yani hapa mim nilipo ni Kwa baraka za mungu ,,na jinsi ninavyowafuatilia watu waliofanikiwa,Asante mungu,,Asante kaka Joel kwakuniongezea maarifa

  • @evancepillar3753
    @evancepillar3753 Жыл бұрын

    Najikuta kubarikiwa sana nikimsikiliza Joel Nanauka, I wish one day aje Tanga......Dada Irene Big up kwa kumuita huyu mtu hapo..naomba umuite tena kwa ajenda nyingine......DADA IRENE PLEASE PLEASE HUYU MTU PLEASE USIKOSE KUMUITA TENA ANAMADINI MENGI SANA

  • @albinagelege8967

    @albinagelege8967

    5 ай бұрын

    Hii irudiwee Da Irene❤

  • @evansedward5951

    @evansedward5951

    2 ай бұрын

    kaka uko vizuri nabarikiwa sana

  • @evodizzledezoo1114
    @evodizzledezoo1114 Жыл бұрын

    Joel you are the best . Thank you Irene for hosting him.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Жыл бұрын

    Wao kumbe Joel Ni rafiki yangu kilabsiku lazima nianze naMUNGU alafu Joel nanauka au Kris Mauki ndio watu wangu wa kwanza,Asante Ailin kuniletea Rafiki,

  • @salamisindimwo303
    @salamisindimwo303 Жыл бұрын

    kipindi kizuri, nimekipenda, shukran Mtangazaji,shukran Mgeni Mwalim Arthur, ahsante SnS...kuna kitu Arthur kaongelea nimependa mno, kwenye dakika ya 29 hadi dak ya 31...Nimependa mno nondo hiyo,msumari umeugonga kabisaaaaaaa::::::AhSaNtE

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Жыл бұрын

    Jamaa ana madini sana.story kama hizi tanzania hazina nafasi maana umbea na picha na video za uchi zimeteka akili za wengi.

  • @user-ro5qm1lh8g

    @user-ro5qm1lh8g

    3 ай бұрын

    😂😂😂

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Жыл бұрын

    Huyu MH. Joeli Nanauka Anamuchango Mkubwa SANA Tanzania na Dunia Nzima Asante SANA Pia Kwa Kutambua Mchango Wake Itakuwa Vizuri Muenderee Kutuandalia Vipi Vingine Zaidi Vizuri Ana Elimu Nzuri SANA Kwenye Na Wengine Wote Munao fanya Nao Vipindi Nawapenda SANA

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    Shukrani sana Baraka

  • @TzLughaYaAlama
    @TzLughaYaAlama3 ай бұрын

    Am very happy and happy niko blessed sana na elimu niliyopata Mungu azidi kuwabariki kwa vipindi vingine vizur vya kuelimisha

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona7163 Жыл бұрын

    Napenda sana kumsikiliza Joel kwenye masomo yake, pia namkubali sana kwa experience zenye anawapa watu wengine. Mungu azidi kumbari na Mungu anibariki na mimi.

  • @lahatimuga6836
    @lahatimuga6836 Жыл бұрын

    Joel is a very brilliant guy .

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    Thank you.

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280Ай бұрын

    Asante sana...kk.. Joel nimebarikiwa..sana.... hongera nimejifunza 🙏🙏

  • @egonitipa3636
    @egonitipa3636 Жыл бұрын

    ahsantee sana joel nanauka umeniongezea kitu kwenye kujenga urafiki na watu na kujua maana halisi ya urafiki

  • @amourmzeeali8464
    @amourmzeeali8464 Жыл бұрын

    Watu kama hawa ni muhumu sana wanatakiwa watafutiwe kipindi maalum ili watueleweshe zaidi

  • @giftwieland6322
    @giftwieland6322 Жыл бұрын

    Joel is so good 👍tunaomba tuletee Dr Elline v.d waminian

  • @mcchilo13

    @mcchilo13

    Жыл бұрын

    Namkubali sana pia

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw Жыл бұрын

    🎉 Asante sana ,nimejifunza kuhusu urafiki aina za marafiki, muda na sababu za kuendeleza urafiki au kuvunja urafiki.

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Жыл бұрын

    Point yangu jmn naona umeifanyia kazi big up Joel nanauka

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1029 күн бұрын

    Sikua nimeiona gonga like

  • @charitymwema6604
    @charitymwema66047 ай бұрын

    Thank you so muxh sijutii kwa mamuzi nililo fanya. Because leo hii sijui nigekuwa na maisha aina ngani. Its wise to make concreat decission. 52:13

  • @AbedyNalbert
    @AbedyNalbert5 ай бұрын

    Fikiria kama haya maarifa halafu ndo yaongoze nchi yetu!!!! Mungu akubariki sana kaka sina cha kusema ila naelewa sana mafundisho yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @daudifortunatus9576
    @daudifortunatus9576 Жыл бұрын

    Certified Life Coach Joel Nanauka 🙏

  • @user-cg6oj2nn5v
    @user-cg6oj2nn5vАй бұрын

    Thank you brother Joel na irene

  • @mourinebey_kenya7027
    @mourinebey_kenya7027 Жыл бұрын

    My Coach Joel Nauka Mungu ampe maisha marefu nimejifunza vingi sana kutoka kwake much love Joel ❤❤❤❤❤❤

  • @user-hr7bn8bm2l
    @user-hr7bn8bm2l6 ай бұрын

    Kipindi chenu kimenigusa moyo kbs! Nimeelewa tofauti ya marafiki!. Joe Nanauka Mwalimu aHodari wewe! Nilijifunza mengi zaidi. Una Ufahamu kuhusu mambo mengi kbs. Mungu akubariki. Niko nchini Rwanda.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Жыл бұрын

    I really like Nanauka namsikiliza sana na napenda anachokifanya,Hakika tumefixkika but hatujatosheka please mrudishe tena ❤

  • @anethjoseph355
    @anethjoseph355 Жыл бұрын

    MIMI URAFIKI ULINISHINDA NIMEKUBALI ENEO HILO NIMEFELI NA NINA AMANI

  • @InviolataNduye
    @InviolataNduyeАй бұрын

    Asantee sana mwalimu

  • @user-rf2zs6cu4x
    @user-rf2zs6cu4x4 ай бұрын

    MUNGU azidii kukutunza ,najifunza mengii brother Joel be blessed

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11548 ай бұрын

    Shukran sana brother joeli nanauka daaaa kuna kitu kikubwa sana umenipatia God bless you

  • @ashantkamtaule9886
    @ashantkamtaule98862 ай бұрын

    Asante sana kiongozi

  • @neemadaudisospeter8211
    @neemadaudisospeter8211 Жыл бұрын

    Mungu akubarikiiiiiii saaaana

  • @soccerarena1482
    @soccerarena1482 Жыл бұрын

    Tuna mtaka pia Eric shigongo master

  • @work24onme
    @work24onme8 ай бұрын

    Holy Spirit, Amen 🙏🏼 Asante sana kaka Joel, dada Irene na wahusika wote, 🙏🏼 ❤. TUPO PAMOJA!

  • @user-zr2vv9hc2o
    @user-zr2vv9hc2o3 ай бұрын

    Bro kweli wewe ni Zaidi ya mwalimu thanks so much

  • @AsungaSteven
    @AsungaSteven6 күн бұрын

    Jammaa yuko na madini mazuri sana.

  • @eddyjunior2881
    @eddyjunior2881 Жыл бұрын

    Toxic people ni watu wabaya Sana ,,,wanakutesa mnoooo but kila ukitaka kuondoka unashindwa kuondoka ,,hasa kwenye ndoa za siku hizi duuh,, MUNGU aingilie Kati✍️

  • @user-bv3xj4pz5y
    @user-bv3xj4pz5y5 ай бұрын

    MUNGU azidi kuibariki huduma yako ,ili huduma ambayo MUNGU amekupa izidi kuwafikia watu wengi🙏🇹🇿

  • @Summertechtz
    @Summertechtz Жыл бұрын

    More than a teacher thanks bro for the speech

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    Ahsante sana

  • @williamssadala377
    @williamssadala377 Жыл бұрын

    True meaning of life coach 🔥🔥

  • @Ontwe
    @Ontwe Жыл бұрын

    Always my mentor Joel

  • @selestinegeorge6335
    @selestinegeorge6335 Жыл бұрын

    Asante kwa kuongeza kitu kwenye ubongo wangu

  • @bethaniayanga2724
    @bethaniayanga27248 ай бұрын

    Ubarikiwe sana najifunza mengi kupitia wewe na umebadirisha maisha yangu

  • @user-px6ho3dp8j
    @user-px6ho3dp8j2 ай бұрын

    Asante sana mental wngu ubarikiwe sana

  • @doreenkimbe971
    @doreenkimbe97110 ай бұрын

    Thank you very much Joel and mtangazaji,

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Жыл бұрын

    Asanteni sana, naona napata faida kubwa sana.

  • @isakariemanuel9524
    @isakariemanuel9524 Жыл бұрын

    Shukrani sana, Irene kwa kipind kizuri sana❤

  • @fadhilaalphonce3093
    @fadhilaalphonce30935 ай бұрын

    Asante kwa shule tamu sn mwalimu,nimejifunza kitu.

  • @saimonsingaile
    @saimonsingaile Жыл бұрын

    Daaah we joel bhn n level nyingne kabisaa wala usifananishwe na watu wengine, wengine watafanya kwa nafas yao lkn kumfikia Joel bado sana

  • @gracemichael191
    @gracemichael191 Жыл бұрын

    Asante dada Irene nmefurahi Sanaa jamaniii

  • @elizabethcharles-vb7wq
    @elizabethcharles-vb7wq Жыл бұрын

    congratulations be blessed more

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Жыл бұрын

    safi sana sns! vipindi vyenu vina elimisha sana💯

  • @jacksonsambuo960
    @jacksonsambuo960 Жыл бұрын

    Thanks for this interview ur answering my question

  • @gerraldgready8051
    @gerraldgready8051 Жыл бұрын

    Safi sana ktk kipindi kizuri kwa mwaka huu ni kuwa hapo mjengoni na kaka Joel nanauka, coZ nabalikiwa sana kupitia yeye Mungu amjalie maisha marefu sana

  • @pendophilipo131
    @pendophilipo1315 ай бұрын

    Asantee,Sana nimejfunza mengi,ambyo sikuyakujua🙏♥️

  • @user-cq6rf7xn6l
    @user-cq6rf7xn6l3 ай бұрын

    Joel Mungu akulinde mafundisho ni mazuri sana.

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Жыл бұрын

    Asante sana ni mtumishi muhimu sana

  • @FloraNdabali
    @FloraNdabali5 ай бұрын

    Hello.Asante mwanahabari kutuletea mwalimu Nanauka nahitaji kitabu chake nitakipataje

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Жыл бұрын

    Nilikua nasubiri sana kumuona kaka Joel nanauka ❤❤❤❤asante sana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Asante sana

  • @Busweluhardware
    @Busweluhardware Жыл бұрын

    Kunamtu kanibia tu juzi et kanitoa mbali duh nkashangaa sana inamaana anamzidi adi Mungu alie niumba yaani ndoa iziii 😊😅😅😅

  • @eliamartine4720
    @eliamartine4720 Жыл бұрын

    Asante nimepata kitu

  • @amirinsabimana9561
    @amirinsabimana9561 Жыл бұрын

    Asante mwalim

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya960 Жыл бұрын

    U are so smart

  • @SuleimanMuhammed-dp8rn
    @SuleimanMuhammed-dp8rn Жыл бұрын

    Cogratulation to it im apretiet on it

  • @qngodmary3714
    @qngodmary37149 ай бұрын

    Thank God for this

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 Жыл бұрын

    Kaka Joel Arthur Nanauka❤❤❤

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Жыл бұрын

    This guy is more than teacher 👏👏👏

  • @joelnanauka

    @joelnanauka

    Жыл бұрын

    Shukrani sana Dayana

  • @user-xh5wn4sr3r
    @user-xh5wn4sr3r3 ай бұрын

    It is totally true.

  • @siasia5469
    @siasia5469 Жыл бұрын

    Nimepata faida kubwa sana mbarikiwe

  • @EmmanuelLudovick-qo7nc
    @EmmanuelLudovick-qo7nc Жыл бұрын

    Bro Joel big up ulicho kizungunza ni ukweli mtupku god bless you ma brother

  • @sameagle7689
    @sameagle76896 ай бұрын

    thanks so much you changed my life

  • @user-kt3zw8bv9b
    @user-kt3zw8bv9b4 ай бұрын

    nawafatiliya kutoka bunia Congo drc

  • @leilaassey1726
    @leilaassey1726 Жыл бұрын

    Leo upo na comrades ❤

  • @aliceSamson-de6br
    @aliceSamson-de6br Жыл бұрын

    Dada kamugisha mim natendwagwa na marafiki huwa najitoa mpak napitiliza mwishowe wananiumiza nakutaman nisiwe nao kwenye maisha yangu .unenifundisha kitu

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 Жыл бұрын

    Shukrani inategemea mnaongea nini nikujenga ama ni kubomoa , ukweli ni kwamba marafiki lazima uchague ............

  • @utukufujgwalupama1554
    @utukufujgwalupama15549 ай бұрын

    🎉🎉🎉 Asante sanaaaa

  • @othmanabubakar6630
    @othmanabubakar6630 Жыл бұрын

    Facts 🤝

  • @simpilumboma4760
    @simpilumboma4760 Жыл бұрын

    Somo zuri mbarikiwe

  • @deodatusmziwanda9009
    @deodatusmziwanda9009 Жыл бұрын

    Uyu Mwamba Hatari Sana

  • @festogeorgekwakala4146
    @festogeorgekwakala4146 Жыл бұрын

    Joel namukubali Sana

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054 Жыл бұрын

    Mwalim mzur sana amekuw mbarak mkubwa kwangu

  • @linakyando5749
    @linakyando5749 Жыл бұрын

    Aiseeee Joel ni mmoja tu ❤❤❤❤

  • @agnesspaul1866

    @agnesspaul1866

    Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @agnesspaul1866

    @agnesspaul1866

    Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @SaimonpaulAubas2plumbing
    @SaimonpaulAubas2plumbing3 ай бұрын

    Joel nanauka Brother uko good nimekuelewa kaka

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Жыл бұрын

    Aje tena big up kamgisha

  • @user-jg3rc7pz9p
    @user-jg3rc7pz9p8 ай бұрын

    Mm nashukuru kumsikia huyo mwalimu mzuri sana najifunza mengi juu yake

  • @dikodikson559
    @dikodikson559 Жыл бұрын

    Sijui niseme nini hongera Sana kwa kumleta Joel

  • @daudikusenta6199
    @daudikusenta61999 ай бұрын

    Exactly bro Joel.

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Жыл бұрын

    MashaAllah sema hili jamaa genius sana

  • @GabrielFanuel
    @GabrielFanuel7 ай бұрын

    Intelligent man.

  • @shemsairakoze7884
    @shemsairakoze78848 ай бұрын

    Alhmdulillah🙏🙏

  • @user-gu6bl9tc3x
    @user-gu6bl9tc3x4 ай бұрын

    Brother your so deep endelea kutupa madini tupate kudiscover what do we have especially in part of friends to we have and their impacts

  • @user-nw7jw5gt9h
    @user-nw7jw5gt9h27 күн бұрын

    Be blessed sanaaaaa

  • @irakozegracia183
    @irakozegracia183 Жыл бұрын

    Asante sana 🙏

  • @violethndowo-fr3rc

    @violethndowo-fr3rc

    Жыл бұрын

    Asantee sana kakaaang Joel huwa naelewa sana ushaur na maneno yako inshallah MUNGU azid kukupa maisha marefu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Жыл бұрын

    U n asema ukweli sana.😊

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika62208 ай бұрын

    Namkubali sana Joel Nanauka

  • @hellenmwasalwiba6555
    @hellenmwasalwiba6555 Жыл бұрын

    Yupo so practical, hana hadithi za uongo. Namkubali sana.

  • @eliethaudax9360
    @eliethaudax93609 ай бұрын

    Mimi ni rafik mzur sana wa Joel napemda sana kulisha ubongo wangu kila anachofundisha

  • @ingabireritha3740
    @ingabireritha3740 Жыл бұрын

    God job jamani

  • @nkugwasimon2301
    @nkugwasimon2301 Жыл бұрын

    Good lesson brother you have fact God bless you 🙏