Kaka Joel Nanauka mungu Akupe maisha marefu sana kaka mimi nipo japan lakini Unanifundisha mambo mengisana mwezi wa8 Nitakuja na nitajitaidi nikutafute 🙏🏿
@stellasoraya113825 күн бұрын
Nakuelewa sanaa Joel birthday mate wangu lazima nitembee kwenye vision zangu
@user-qv3eo5pb3g4 ай бұрын
Joel wewe umezid kunifanya niweze kupanga malengo na natarajia kuwa billionare inshaallah joel napenda kaz zako
@lampadshigonko3006
4 ай бұрын
🤣 🤣 🤣 billionaire?
@RUCKY_
4 ай бұрын
Huamni au usicheke huwezi kujua kesho ya mtu watu wana jipanga wewe@@lampadshigonko3006
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen 🙏
@nasruddinali9197
4 ай бұрын
Insha Allah
@InviolataNduye
Ай бұрын
Amen
@Tobejr23 күн бұрын
Every day i used to sharpen my life from your teachings,,,May our almighty God bless you.
@TumaSuda-oz5mn4 ай бұрын
Mumenitoa mbali sana kaka Nanauka sichoki kukufatilia zikipita siku tatu sijakusikiliza huwa nahisi kuumwa nilitaka kukata tamaa ukanipa moyo naiona kesho yangu nzuri kupitia speech zako Mungu akutunze and see you at the top
@AbdallahFahm3 ай бұрын
Msshallah unaupiga mwingi brother
@RosemaryMusa-eb2gpАй бұрын
Ahsante Sana, Mungu akubariki na azidi kukuinua viwango hadi viwango hakika umekuwa baraka.
@vanessasalema60873 ай бұрын
Noted.
@NaomyPoul4 ай бұрын
Kaka Joel usiwe unajificha jamani tumezoea kukuona ukiwa unafundisha pia Asante kwa somo zuri🎉🎉
@godfreygermanus4 ай бұрын
Wewe ndio maono yangu daaah
@HalimaAmadiАй бұрын
Mungu akupe maisha marefu kaka ❤
@ChantalNdayizeye-ol1re4 ай бұрын
Kwanza mimi,2026 lazima tukutane,,yan na changanyikiwa kabx,from burundi
@joelnanauka
4 ай бұрын
Tuombe uzima, Mungu atatufanikisha🙏
@tabithampinga46064 ай бұрын
Mimi nitakua nimeserve millions of money na ntafungua biashara ya pili mwez wA 12 trh 31 ntakuja hapa hapa serve my comment ....n this is possible due to the ebook of money formula najilipa sio tu 5% but 10% each day. Bless u bro.
@joelnanauka
4 ай бұрын
Big congratulations👏🏽👏🏽👏🏽 tunasubiria ushuhuda wako zaidi
@eugeniayaheze9324 ай бұрын
Barikiwa Sana Mr.J.N
@user-nj5tz7bw9v3 ай бұрын
Naamini Sanaa katika masomo haya nauhakika baada ya mda flani sitakua hapa nilipo Mana matokeo nayaona Mungu Akubariki🙏
@Grace001874 ай бұрын
Nafurahi coz today nimeamka mapema kumsikiliza bro wangu, now I have seen my self at the top
@joelnanauka
4 ай бұрын
Wow, hongera sanaa🙏
@user-mc7if8vy3j4 ай бұрын
Ahsante kaka ubarikiwe xana xana mungu azidi kukuinua.
@user-jb5wb1mf7e4 ай бұрын
Mungu awenawe
@user-cd8rc5jp2i4 ай бұрын
Unajua mpaka unaboa Mungu akubariki❤❤❤🎉🎉
@user-sk8hw5bx1v2 ай бұрын
Umenijenga sana kaka
@dullahtechtz34223 ай бұрын
Amin kaka
@mwanaidihassan58682 ай бұрын
Somo Zuri sana bro, Bado napambana nipate clear vision
@sebastianmbazi28114 ай бұрын
Amen amen 🙏🙏
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ahsante sana sana🙏
@MANDALAS_LIFE_COACHING3 ай бұрын
Thanks brother Joel Nanauka you were born to help many
@user-xo2ct8ju1m3 ай бұрын
Elimu nzuri
@MjataHashimu4 ай бұрын
Hongera xana braza
@irakazaeriekim47534 ай бұрын
Amen
@Abdulrahmanhassan184 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu mwalimu, ila naomba hiyo sautu ya music inayosikika uibadilishe kama itakupendeza wazo hili, tafuta muziki mwingine mzuri maana sauti ikikutana na music nzuri somo au simuluzi inakuwa na ladha zaidi. Ahsante sana
@minaaminaa1781
4 ай бұрын
Akina sisi tuna enjoy zaidi tumuona hasa huwa nahisi nipo nae karibu akinipa advice
@user-ut7ul5bv6b
4 ай бұрын
Usichokijua ni kwamba mziki wowote ambao hauna sound ama vocal ni special kaajili ya kutuliza akili yako,Ufahamu wako na usiwaze mambo mengine..
@Abdulrahmanhassan18
4 ай бұрын
@@user-ut7ul5bv6b unaposoma au kumsikiliza mtu jaribu kwanza kuelewa ulicho kisoma au ulicho kisikia kabla hujajibu, soma ili uwelewe nasio usome ili ujibu
@japhethcharles57914 ай бұрын
Mungu akubaliki sana Mr Joel ,
@goldiegranted55014 ай бұрын
MAONO🔥🔥🔥🔥
@alexandermajula72684 ай бұрын
Akika unanijenga sana brother 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kuruthumukondo71494 ай бұрын
Thank u my brother ❤❤
@jasminerashidi27824 ай бұрын
Asante Sana mtumishi barikiwa mno
@rollahngimbwa69784 ай бұрын
Asante kaka joel, hkika nimejifunza kitu🙏🏽. Mwenyezi mng akutunze daima ufike mbali zaidi , akukirimie afya ilo imala sikhu zote. Balikiwa mnoo kaka Joel 🙏🏽🙏🏽
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏
@JanvierVenas-ro9us4 ай бұрын
uzudi barikiwa Kaka
@user-sk8hw5bx1v2 ай бұрын
Joel Nanauka ,, nakupenda sana kaka for real me binafsi umenikuwa life coach wangu katika maisha yangu
@irakazaeriekim47534 ай бұрын
Asante sana ❤
@pilichuli44494 ай бұрын
Barikiwa sana kaka joel
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen, ahsante sana🙏
@AmisiHassaniTygo4 ай бұрын
See you at the rop, you changed people's lives bro, God bless you
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
@kainibachungege34304 ай бұрын
Mungu Akubariki Sana ufikie viwango vikubwa kama vya akina Dr. Myles Munroe. Unaiwakilisha vema Sana nchi yetu ya Tanzania Hakika Tunajivunia Ume kuwa Masada Mkubwa Sana kwa nchi yetu na Dunia nzima kwa Ujumla. See you at the Top I❤ that.
@joelnanauka
4 ай бұрын
Nashukuru sana, na ahsante kwa dua njema🙏🙏
@Estermvungi-cl2zcАй бұрын
Mimi naomba mungu anijalie ning'ae kwenye biashara yangu
@mohdsaid59884 ай бұрын
Haya madini ya siku yatolewa siku hizi karibuni so valuable
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ahsante sana, nisaidie kushare🙏
@williamcosmas19864 ай бұрын
Nanauka wewe ni mwalimu wangu
@joelnanauka
4 ай бұрын
Nashukuru tuendelee kujifunza🙏
@Sanagu054 ай бұрын
Ahsant sana kaka Joel kwa upeo wako tunazidi kupata maarifa kupitia wewe, Mungu azidi kukubariki kwa yote
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
@user-yi6mp3mu7r4 ай бұрын
Ahsante kaka joel tunazidi kujinza🙏
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
@mosesjengela74254 ай бұрын
its my honour to meet you for more guidence❤❤
@joelnanauka
4 ай бұрын
Mungu atatusaidia tutaonana🙏
@macksemuyango61084 ай бұрын
This Morning Today kuna kitu kizuri nimejifunza toka kwako MWL WANGU JOEL NANAUKA....
@joelnanauka
4 ай бұрын
Nashukuru sana tuendelee kujifunza🙏
@ViviKitchen234 ай бұрын
See me at the top Ahsante kaka joel Mungu akulinde❤❤❤❤❤
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameeen🙏🙏🙏
@johnjames-pw1dp4 ай бұрын
Gud message Bro 👍
@user-gb1hn5ml8y4 ай бұрын
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante limenifikia
@joelnanauka
4 ай бұрын
Hongera sana sanaa🙏
@officialColB-yx4kr3 ай бұрын
Amen amen❤ Joel nanauka
@tukaesanatu27544 ай бұрын
Amen baba,mungu akubariki
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen ahsante sana sana
@niriacatering1724 ай бұрын
Shukrani sana
@bonifaceferdinand5664 ай бұрын
Bora ukose macho lakini uwe na maono.
@user-jx7nr7ll3x4 ай бұрын
❤❤❤
@raymondsulemansuleman4854 ай бұрын
KAZIYAKO NI NJEMAMNO,, NASHAURI VITABU UVITOE VIIIIINGI VISAMBAZE KATIKA NCHIYETU MAARIFAHAYA YATAINUA WATANZANIA WEENGI
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen nitajitahidi kufanya hivyo🙏🙏
@RICHARDWAUSA-ep4xe4 ай бұрын
❤
@user-lt3fx1tl4z4 ай бұрын
Thanks bro
@user-xc4tm5ho4h4 ай бұрын
Asante
@victor_silvanus104 ай бұрын
💪🏿
@Calvin-xc2fs4 ай бұрын
🎉
@amanilwila11853 ай бұрын
Vizuri brother nanauka.. But ningependa uwe unakuja na bonus ya online books ktk kila video ambazo tunaweza kuwa tunalipia.. GOD bless you
@anoldjose77934 ай бұрын
Bro Nanauka unajua adi unakela Any way mungu aendelee kukuweka ili uendelee kutuelimisha
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ahsante sana sana🙏🙏
@EDMUNDSOSPETER4 ай бұрын
#See me at the top
@mombasatv19944 ай бұрын
Saa nyingine nenda direct kwa mada wengine bundle ni za shida kk mm nakubali sanaa lkn siku hizi kambe watufunza kingereza sio km pale mwanzo ulikuwa good coach lkn umekuwa postor na translation umesawai km ww life coach
@tabithampinga46064 ай бұрын
Watu wenye malengo na wenye ndoto ngumu Yan ukiwaza kwa akili ya kawaida unaona kabisa it's impossible Ila tunaforce mpaka ijulikane, gonga like hapa and let's see each other at the top
@joelnanauka
4 ай бұрын
See You At The Top
@joycemushi49163 ай бұрын
Broo nawitaji wa ebook of money formula nitapataje?❤
Пікірлер: 101
Kaka Joel Nanauka mungu Akupe maisha marefu sana kaka mimi nipo japan lakini Unanifundisha mambo mengisana mwezi wa8 Nitakuja na nitajitaidi nikutafute 🙏🏿
Nakuelewa sanaa Joel birthday mate wangu lazima nitembee kwenye vision zangu
Joel wewe umezid kunifanya niweze kupanga malengo na natarajia kuwa billionare inshaallah joel napenda kaz zako
@lampadshigonko3006
4 ай бұрын
🤣 🤣 🤣 billionaire?
@RUCKY_
4 ай бұрын
Huamni au usicheke huwezi kujua kesho ya mtu watu wana jipanga wewe@@lampadshigonko3006
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen 🙏
@nasruddinali9197
4 ай бұрын
Insha Allah
@InviolataNduye
Ай бұрын
Amen
Every day i used to sharpen my life from your teachings,,,May our almighty God bless you.
Mumenitoa mbali sana kaka Nanauka sichoki kukufatilia zikipita siku tatu sijakusikiliza huwa nahisi kuumwa nilitaka kukata tamaa ukanipa moyo naiona kesho yangu nzuri kupitia speech zako Mungu akutunze and see you at the top
Msshallah unaupiga mwingi brother
Ahsante Sana, Mungu akubariki na azidi kukuinua viwango hadi viwango hakika umekuwa baraka.
Noted.
Kaka Joel usiwe unajificha jamani tumezoea kukuona ukiwa unafundisha pia Asante kwa somo zuri🎉🎉
Wewe ndio maono yangu daaah
Mungu akupe maisha marefu kaka ❤
Kwanza mimi,2026 lazima tukutane,,yan na changanyikiwa kabx,from burundi
@joelnanauka
4 ай бұрын
Tuombe uzima, Mungu atatufanikisha🙏
Mimi nitakua nimeserve millions of money na ntafungua biashara ya pili mwez wA 12 trh 31 ntakuja hapa hapa serve my comment ....n this is possible due to the ebook of money formula najilipa sio tu 5% but 10% each day. Bless u bro.
@joelnanauka
4 ай бұрын
Big congratulations👏🏽👏🏽👏🏽 tunasubiria ushuhuda wako zaidi
Barikiwa Sana Mr.J.N
Naamini Sanaa katika masomo haya nauhakika baada ya mda flani sitakua hapa nilipo Mana matokeo nayaona Mungu Akubariki🙏
Nafurahi coz today nimeamka mapema kumsikiliza bro wangu, now I have seen my self at the top
@joelnanauka
4 ай бұрын
Wow, hongera sanaa🙏
Ahsante kaka ubarikiwe xana xana mungu azidi kukuinua.
Mungu awenawe
Unajua mpaka unaboa Mungu akubariki❤❤❤🎉🎉
Umenijenga sana kaka
Amin kaka
Somo Zuri sana bro, Bado napambana nipate clear vision
Amen amen 🙏🙏
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ahsante sana sana🙏
Thanks brother Joel Nanauka you were born to help many
Elimu nzuri
Hongera xana braza
Amen
Ahsante sana kwa elimu mwalimu, ila naomba hiyo sautu ya music inayosikika uibadilishe kama itakupendeza wazo hili, tafuta muziki mwingine mzuri maana sauti ikikutana na music nzuri somo au simuluzi inakuwa na ladha zaidi. Ahsante sana
@minaaminaa1781
4 ай бұрын
Akina sisi tuna enjoy zaidi tumuona hasa huwa nahisi nipo nae karibu akinipa advice
@user-ut7ul5bv6b
4 ай бұрын
Usichokijua ni kwamba mziki wowote ambao hauna sound ama vocal ni special kaajili ya kutuliza akili yako,Ufahamu wako na usiwaze mambo mengine..
@Abdulrahmanhassan18
4 ай бұрын
@@user-ut7ul5bv6b unaposoma au kumsikiliza mtu jaribu kwanza kuelewa ulicho kisoma au ulicho kisikia kabla hujajibu, soma ili uwelewe nasio usome ili ujibu
Mungu akubaliki sana Mr Joel ,
MAONO🔥🔥🔥🔥
Akika unanijenga sana brother 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Thank u my brother ❤❤
Asante Sana mtumishi barikiwa mno
Asante kaka joel, hkika nimejifunza kitu🙏🏽. Mwenyezi mng akutunze daima ufike mbali zaidi , akukirimie afya ilo imala sikhu zote. Balikiwa mnoo kaka Joel 🙏🏽🙏🏽
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏
uzudi barikiwa Kaka
Joel Nanauka ,, nakupenda sana kaka for real me binafsi umenikuwa life coach wangu katika maisha yangu
Asante sana ❤
Barikiwa sana kaka joel
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen, ahsante sana🙏
See you at the rop, you changed people's lives bro, God bless you
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
Mungu Akubariki Sana ufikie viwango vikubwa kama vya akina Dr. Myles Munroe. Unaiwakilisha vema Sana nchi yetu ya Tanzania Hakika Tunajivunia Ume kuwa Masada Mkubwa Sana kwa nchi yetu na Dunia nzima kwa Ujumla. See you at the Top I❤ that.
@joelnanauka
4 ай бұрын
Nashukuru sana, na ahsante kwa dua njema🙏🙏
Mimi naomba mungu anijalie ning'ae kwenye biashara yangu
Haya madini ya siku yatolewa siku hizi karibuni so valuable
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ahsante sana, nisaidie kushare🙏
Nanauka wewe ni mwalimu wangu
@joelnanauka
4 ай бұрын
Nashukuru tuendelee kujifunza🙏
Ahsant sana kaka Joel kwa upeo wako tunazidi kupata maarifa kupitia wewe, Mungu azidi kukubariki kwa yote
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
Ahsante kaka joel tunazidi kujinza🙏
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
its my honour to meet you for more guidence❤❤
@joelnanauka
4 ай бұрын
Mungu atatusaidia tutaonana🙏
This Morning Today kuna kitu kizuri nimejifunza toka kwako MWL WANGU JOEL NANAUKA....
@joelnanauka
4 ай бұрын
Nashukuru sana tuendelee kujifunza🙏
See me at the top Ahsante kaka joel Mungu akulinde❤❤❤❤❤
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameeen🙏🙏🙏
Gud message Bro 👍
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante limenifikia
@joelnanauka
4 ай бұрын
Hongera sana sanaa🙏
Amen amen❤ Joel nanauka
Amen baba,mungu akubariki
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen ahsante sana sana
Shukrani sana
Bora ukose macho lakini uwe na maono.
❤❤❤
KAZIYAKO NI NJEMAMNO,, NASHAURI VITABU UVITOE VIIIIINGI VISAMBAZE KATIKA NCHIYETU MAARIFAHAYA YATAINUA WATANZANIA WEENGI
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen nitajitahidi kufanya hivyo🙏🙏
❤
Thanks bro
Asante
💪🏿
🎉
Vizuri brother nanauka.. But ningependa uwe unakuja na bonus ya online books ktk kila video ambazo tunaweza kuwa tunalipia.. GOD bless you
Bro Nanauka unajua adi unakela Any way mungu aendelee kukuweka ili uendelee kutuelimisha
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ahsante sana sana🙏🙏
#See me at the top
Saa nyingine nenda direct kwa mada wengine bundle ni za shida kk mm nakubali sanaa lkn siku hizi kambe watufunza kingereza sio km pale mwanzo ulikuwa good coach lkn umekuwa postor na translation umesawai km ww life coach
Watu wenye malengo na wenye ndoto ngumu Yan ukiwaza kwa akili ya kawaida unaona kabisa it's impossible Ila tunaforce mpaka ijulikane, gonga like hapa and let's see each other at the top
@joelnanauka
4 ай бұрын
See You At The Top
Broo nawitaji wa ebook of money formula nitapataje?❤
Umenifanya nimfaham Helen Keller
Bro mimi changamoto yangu naomba uniphundixhe jisi yakutengeza bajeti
@DoriceSanga
2 ай бұрын
Kuna video ipo KZread namna yakupanga bajet na kitabu chat money formula tafuta vyote hvo vitakusaidia...
Hivi mtu ambae hana maino je afanye nini awe na maono?