4 SEHEMU YA MSALABA WA YESU KUKUONDOA KATIKA UMASKINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || TANGA
Semina ya Neno la Mungu Tanga Mjini || Day 4 || Tarehe 06 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
0752 888 847
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Пікірлер: 40
Mbarikiwe watumishi wa mungu kwa maombi yenu mungu ameniponya juzi nilitoa hitaji kuumwa n kiuno n miguu sahi mm n mzima Sina n utukufu zimrudi mwenyenzi mungu
Sifa na utukufu ni zako Mungu baba kwa ajili ya mtumishi uliemnyanyua juu Amen
Baba asnte, baba leo nikuangalia you tube haupo babà moyo wangu unahaingaika kwasababu sjapata neno baba ulisema upo leo singida , naomba mungu akupe maisha malefu naya milele, naomba mungu anisamehe dhambi zangu zote bwana natamani nami nirithi uzima wa milele👏👏👏👏👏👏
Amina urikiwe Sana mtumishi wa mungu barikiwa Sana na mahubiri yako haya Kama nilikuwa na umwa ukiniambia shika mahali panapo Uma napokea uponyaji mungu awabariki Sana mama na baba pamoja na tem yako tote mungu awe pamoja nanyi katika kutenda kazi take ameni
Hatutafedheeka Kamwe Yesu ni mshindi🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Asante Mungu- kwa neema hii ya Mwakasege na Mama na jop nzima la Mana, Utukufu wote apewe YESU
Pokea sifa na utukufu Mungu wetu, endelea kuwatunza watumishi wa Mungu kwa ajili yetu
Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa mafundiyo yako
Ubarikiwe sn mtumishi wa Mungu na team yako
Hakika Yesu ndye kimbilio letu Mungu akutunze na timu zima mana
Mungu akubariki baba kwa neno
Ubarikiwe sana Mtumishi,mwlm kwa masomo yako mazuri,Mungu asikupungkie wew na uzao wako na familia yako kwa ujumla,hakika ww umechaguliwa na umeitwa,napokea mabadiliko mapya mazuri katikaa maisha yangu,kupitia semina ya neno la Mungu kila madhababu inayopigana na mimi kunizuia nisifike kwenye neema yngu, kuanzia shetani lianze kupiga kelele na kufa nikapokee baraka zangu kwa jina la yesu kristo kupitia ibada hii,amen
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Yesu ni mzurii nyiye Katikati ya maombi jino ghafla lilinyamaza KIMYAA
Ubarikiwe sana mwalimu kwa maneno yako mzuri yenye uponyaji MUNGU azidi kukutumia zaidi
Mungu ww unaweza,naona umetenda tena kwetu,hakika mimi ni mshindi kila saa,shetani hana mamlaka na mimi
Ubarikiwe baba 😍
Asante Yesu maana umetuona ss wazazi na watoto wetu.
Asante mtumishi wa Mungu, tunabarikiwa sana.❤
Asante mtumishi wa Mungu, tunabarikiwa sana.
Ubarikiwe sana baba kwakweli mie napona sana mungu akutunze
MALIMBUKO INAKUPA MFUMO WA KUWEKA AKIBA ✓✓✓✓✓✓✓✓ MITHALI3:9-10 Ndani ya malimbuko Kuna upako na uwezesho wa kuweka akiba. Akiba Ni mfumo wa kimatumizi. Kuweka akiba Ni mfumo,,Ni kitu Cha kiroho,,. ❤❤❤ Kuna tatizo la kiuchumi linakuja ambalo litaleta mabadiliko ya kimfumo na litabadilisha Fikra na mahusiano. ❤❤❤❤ Wito Ni kuweka akiba katika vile vidogo tulivyonavo.
@leticiawillnthon9312
2 күн бұрын
Amina Mtumishi 🙏
amina napokea kwajina ra yesu
Barikiwa mtumishi.
Amen man of GOD
Amenaaaa jmn kwa iman napokea maomb ya leo
neema ya mungu
Mungu wa rehema ,na aturehemu sisi pamoja na watoto wetu.Amen. Mbarikiwe watumishi wa Mungu kwa kazi yake.❤🙏🙏🙏
🎉
ameeeeeeeee baba
Nabarikiwa sana Mungu akuinue zaidi mwl mwakasenge ..japo shetani ananijaribu kila mara kukwepa mafundisho yako kwa jina la yesu nitashinda..
@achiboldkundasaingowi7375
2 күн бұрын
Amen, zidi kubarikiwa
Tupo pamoja babayetu
Amina baba, mungu akupe maisha malefu
Ruvuma😢
Ubarikiwe baba 😍