4 SEHEMU YA MSALABA WA YESU KUKUONDOA KATIKA UMASKINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || TANGA

Semina ya Neno la Mungu Tanga Mjini || Day 4 || Tarehe 06 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
0752 888 847
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Пікірлер: 40

  • @user-yk1gl8qw1v
    @user-yk1gl8qw1v5 күн бұрын

    Mbarikiwe watumishi wa mungu kwa maombi yenu mungu ameniponya juzi nilitoa hitaji kuumwa n kiuno n miguu sahi mm n mzima Sina n utukufu zimrudi mwenyenzi mungu

  • @JoshuaDavid-et7em
    @JoshuaDavid-et7em5 күн бұрын

    Sifa na utukufu ni zako Mungu baba kwa ajili ya mtumishi uliemnyanyua juu Amen

  • @user-fu8ie4sq8c
    @user-fu8ie4sq8cКүн бұрын

    Baba asnte, baba leo nikuangalia you tube haupo babà moyo wangu unahaingaika kwasababu sjapata neno baba ulisema upo leo singida , naomba mungu akupe maisha malefu naya milele, naomba mungu anisamehe dhambi zangu zote bwana natamani nami nirithi uzima wa milele👏👏👏👏👏👏

  • @Abdallahsalehe-j2x
    @Abdallahsalehe-j2x4 күн бұрын

    Amina urikiwe Sana mtumishi wa mungu barikiwa Sana na mahubiri yako haya Kama nilikuwa na umwa ukiniambia shika mahali panapo Uma napokea uponyaji mungu awabariki Sana mama na baba pamoja na tem yako tote mungu awe pamoja nanyi katika kutenda kazi take ameni

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo42925 күн бұрын

    Hatutafedheeka Kamwe Yesu ni mshindi🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @MariaFashion-yt9cl
    @MariaFashion-yt9cl4 күн бұрын

    Asante Mungu- kwa neema hii ya Mwakasege na Mama na jop nzima la Mana, Utukufu wote apewe YESU

  • @gracesuguta
    @gracesuguta4 күн бұрын

    Pokea sifa na utukufu Mungu wetu, endelea kuwatunza watumishi wa Mungu kwa ajili yetu

  • @AnitherFideri
    @AnitherFideri2 күн бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa mafundiyo yako

  • @rehemamwamundela2717
    @rehemamwamundela27174 күн бұрын

    Ubarikiwe sn mtumishi wa Mungu na team yako

  • @vickyedward
    @vickyedward2 күн бұрын

    Hakika Yesu ndye kimbilio letu Mungu akutunze na timu zima mana

  • @MaryNassoro
    @MaryNassoro5 күн бұрын

    Mungu akubariki baba kwa neno

  • @gracerishandumilema278
    @gracerishandumilema2785 күн бұрын

    Ubarikiwe sana Mtumishi,mwlm kwa masomo yako mazuri,Mungu asikupungkie wew na uzao wako na familia yako kwa ujumla,hakika ww umechaguliwa na umeitwa,napokea mabadiliko mapya mazuri katikaa maisha yangu,kupitia semina ya neno la Mungu kila madhababu inayopigana na mimi kunizuia nisifike kwenye neema yngu, kuanzia shetani lianze kupiga kelele na kufa nikapokee baraka zangu kwa jina la yesu kristo kupitia ibada hii,amen

  • @user-di1my8cf8v
    @user-di1my8cf8v4 күн бұрын

    Amina ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba66705 күн бұрын

    Yesu ni mzurii nyiye Katikati ya maombi jino ghafla lilinyamaza KIMYAA

  • @NaomiAlex-ih5sw
    @NaomiAlex-ih5sw5 күн бұрын

    Ubarikiwe sana mwalimu kwa maneno yako mzuri yenye uponyaji MUNGU azidi kukutumia zaidi

  • @gracerishandumilema278
    @gracerishandumilema2785 күн бұрын

    Mungu ww unaweza,naona umetenda tena kwetu,hakika mimi ni mshindi kila saa,shetani hana mamlaka na mimi

  • @soledad0016
    @soledad00165 күн бұрын

    Ubarikiwe baba 😍

  • @teddymhenga3006
    @teddymhenga30065 күн бұрын

    Asante Yesu maana umetuona ss wazazi na watoto wetu.

  • @LilianKileo-g4w
    @LilianKileo-g4w5 күн бұрын

    Asante mtumishi wa Mungu, tunabarikiwa sana.❤

  • @LilianKileo-g4w
    @LilianKileo-g4w5 күн бұрын

    Asante mtumishi wa Mungu, tunabarikiwa sana.

  • @user-sn9lh6gv7t
    @user-sn9lh6gv7t5 күн бұрын

    Ubarikiwe sana baba kwakweli mie napona sana mungu akutunze

  • @jaquilinemihambo9602
    @jaquilinemihambo96024 күн бұрын

    MALIMBUKO INAKUPA MFUMO WA KUWEKA AKIBA ✓✓✓✓✓✓✓✓ MITHALI3:9-10 Ndani ya malimbuko Kuna upako na uwezesho wa kuweka akiba. Akiba Ni mfumo wa kimatumizi. Kuweka akiba Ni mfumo,,Ni kitu Cha kiroho,,. ❤❤❤ Kuna tatizo la kiuchumi linakuja ambalo litaleta mabadiliko ya kimfumo na litabadilisha Fikra na mahusiano. ❤❤❤❤ Wito Ni kuweka akiba katika vile vidogo tulivyonavo.

  • @leticiawillnthon9312

    @leticiawillnthon9312

    2 күн бұрын

    Amina Mtumishi 🙏

  • @nawikemwasamboma5510
    @nawikemwasamboma55105 күн бұрын

    amina napokea kwajina ra yesu

  • @MonicaMfinanga
    @MonicaMfinanga5 күн бұрын

    Barikiwa mtumishi.

  • @AbelyAb
    @AbelyAb5 күн бұрын

    Amen man of GOD

  • @MarthaMollel-jc5kf
    @MarthaMollel-jc5kf5 күн бұрын

    Amenaaaa jmn kwa iman napokea maomb ya leo

  • @LangaeliUrio
    @LangaeliUrio5 күн бұрын

    neema ya mungu

  • @ElizabethMakwaia
    @ElizabethMakwaia5 күн бұрын

    Mungu wa rehema ,na aturehemu sisi pamoja na watoto wetu.Amen. Mbarikiwe watumishi wa Mungu kwa kazi yake.❤🙏🙏🙏

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula96425 күн бұрын

    🎉

  • @nawikemwasamboma5510
    @nawikemwasamboma55105 күн бұрын

    ameeeeeeeee baba

  • @DinnaRossana
    @DinnaRossana5 күн бұрын

    Nabarikiwa sana Mungu akuinue zaidi mwl mwakasenge ..japo shetani ananijaribu kila mara kukwepa mafundisho yako kwa jina la yesu nitashinda..

  • @achiboldkundasaingowi7375

    @achiboldkundasaingowi7375

    2 күн бұрын

    Amen, zidi kubarikiwa

  • @user-sn9lh6gv7t
    @user-sn9lh6gv7t5 күн бұрын

    Tupo pamoja babayetu

  • @user-fu8ie4sq8c
    @user-fu8ie4sq8c5 күн бұрын

    Amina baba, mungu akupe maisha malefu

  • @helen_dawai
    @helen_dawai4 күн бұрын

    Ruvuma😢

  • @soledad0016
    @soledad00165 күн бұрын

    Ubarikiwe baba 😍

Келесі