MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: KIBIBLIA MWANAMKE NI NANI. [ 1 ]
SEMINA YA WANAWAKE DAR ES SALAAM 2017
Жүктеу.....
Пікірлер: 238
@lucialaurian73382 жыл бұрын
Hekima zako za Kimbingu ni NURU ni ombi langu kwa Mungu anijalie mke mwema na kusudio langu kupitia kwa Mungu ni kuijenga familia yangu yote katika misingi mitakatifu sana ya kiroho na kusudio langu ni kukiona kizazi changu kikiurithi ufalme wa Mungu, Mungu naomba utujalie HATMA iliyo njema maishani mwetu. Amen!
@hellenswai6673
2 жыл бұрын
📞🙏🙏🙏
@rehemaedward9494
Жыл бұрын
Hongera
@ombenidamson9679
Ай бұрын
ameni
@sarahfaida5648 Жыл бұрын
Hakika Mungu akutunze kwa ajili ya Nchi yangu na kwaajili yangu Baba Christopher wewe umefanyika taa ya Nchi yangu Tanzania, Hekima yako yapita viwango, naomba uniombee mwanao Sarah Faida usinisahau uingiapo kwa maombi Baba. 🤲🙏
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
Aasnte kwa neno. Mungu ana makusudi na maisha yetu wote Mungu tupe neema ya kukufahamu ili ututumie kwa kadri ya makusudi yako. Makusudi yako yaonekane kuanzia familua hadi Taifa na ulimwenguni pote jina lako litukuzwe na wake kwa waume na vizazi vyao. HALELUYA 🙏
@mariarashid4061
Жыл бұрын
Amen
@queeneva37092 жыл бұрын
Amina nimebarikiwa kujua nafasi ya mwanamke na nipo kujifinza zaidi nafasi amvayo Mungu ameweka kwa mwanamke. Amina mbarikiwe nyote Mwalimu mtumishi wa Mungu Mama na wanakamati wote Mungu aendelee kuwarumia katika viwango vya juu kwa utukufu wa jina lake.
@lovenessandrew91212 жыл бұрын
Nimekua mlimani Leo ni siku ya pili,dhamira yangu ni kuomba toba Kwa ajili yangu kama Mama,binti na mke,lakini sikua najua kifungu chochote cha kusimamia toba yangu zaidi ya Ezra 8:21...Leo kukutana na hili somo naamini liliandaliwa Kwa ajili yangu....holy spirit connect,thank you Jesus for your mercy and Grace!
@joyousjackson8352
2 жыл бұрын
Glory to God ,, hongera winner
@pendolangu7392 жыл бұрын
Amen,kila siku nafarijika ninaposikia neno la Mungu kwa kutumia kinywa chako Mungu azidi kukubariki
@godfreymaleshi91247 күн бұрын
Nabarikiwa sana na mafunzo yako mwalimu. Mungu wa mbiguni azidi kukutunza.
@mohoniajoseph90672 жыл бұрын
Asante sana Mwl. kwa kurejesha tena hili somo. Kuna siku nililitafuta hapa KZread ila sikuliona. Asante sana, somo hili linanibariki sana
@edithadaniel57512 жыл бұрын
MUNGU akupe afyaa bora ..Ili uweze kutupatia ujumbe kupitiaa wee. .amen amen ❤️🙏
@dreambig6093
2 жыл бұрын
Ni Mungu na sio mungu ndugu.
@edithadaniel5751
2 жыл бұрын
@@dreambig6093 ooh thanks alot it was typing error nimerekebishaa be be blessed 🙏❤️💙
@sarahlyimotv13802 жыл бұрын
Asante sana Mwl. Mwakasege kwa kurudisha hili somo tena. Kati ya masomo ambayo nilikua najikuta nasikiliza tena na tena na tena bila kuchoka 🙏🙏
@AgnesMichael-kw1ry2 ай бұрын
Mchungaj mungu akubaliki Santa naomba uniombee maisha yangu no magum Sana naitwa renad thomas
@janejacob14028 ай бұрын
Ee MUNGU wangu nakuomba unibari mimi na uzao wangu amen
@julianadavid26583 ай бұрын
Naomba Mungu anijaalie mwanaume niliyempata tuweze kufikia lengo letu la kufunga ndoa ...na Mungu azidi kuzidishia baraka katika familia yetu tumjuwe zaidi🙏🙏🙏🙏
@winammbuka2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana, haya mahubiri yananigusa na kunijenga na kunibariki pia " mwanamke tunaye muona kwa macho ni tofauti na yule aliyeumbwa na Mungu"
@BeatriceMathew-qy5lw12 күн бұрын
Kupitia mtumishi wa mungu tumbo langu likawe la watoto wenye baraka
@carolinejulius79772 жыл бұрын
Mungu anisadie kupata mme sahihi na nikawe mke mwema kama biblia inavyonitaka kuwa
@presidentofafrica.5038 Жыл бұрын
GENEOUS, MWAKASEGE KANIFUNZA KITU KIKUBWA SANA
@nasrasewando71522 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah Asante Yesu coz ni somo nililokuwa narihitaji sna
@ramadhanitchakubuta98422 жыл бұрын
Mzee Mungu akubariki wewe ni mwalimu kabisa ubarikiwe
@joshwapetro13072 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi..Huwa nafarijika sana kusikiliza mahubiri yako, Mung akulinde
@salahpeter57022 жыл бұрын
Yesu nipe ufahamu wa kusimama kama mwanamke
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
Asante sana MWALIMU kwa mafundisho Haya MUNGU anisaidie kuyaishi mafundisho Haya IN JESUS NAME (Zaburi 32:8, Isaya 55:6-11)
@ernestinayoeza81002 жыл бұрын
Umenifundisha. Kitu ambacho nillkuwa sikijui asante Sana nimeipata mwanga mkubwa sana
@angelapius37572 жыл бұрын
Ubarikiwe Mwalimu Mwakasege,, Hakika kila atakayesikia. Somo hili kuna vitu atajifunza. Mungu akupe Maisha marefu ili umtumikie zaidi na zaid
@user-jz5fp5hj7u3 ай бұрын
Ee Mungu ninakushukuru kwa ajili mtumishi wako naomba unipe neema ya kusikiliza na kuyafanyia kazi mafundisho yako kupitia mwalimu
@janemwakalebela4017 Жыл бұрын
Mungu afanye uwe mwalimu wangu na mungu akuongeze miaka zaid
@rechomethod82882 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia, zaidi sana,akupe.maisha🙏🙏🙏👏👏 Marefu,
@nicklasndabiyeho66502 жыл бұрын
Mwanzo sura ya 1 ni uumbaji wa rohoni na mwanzo 2 ni madhihirisho ya kilichoumbwa sura wa 1, ( kuletwa ktk uhalisia wa kimwili),
@japhetnyuma95615 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana tunakupenda sana maana umefanyika baraka kwetu Mungu akubariki pia akupe maisha marefu Baba hekima yako ni kubwa mno ili somo limenibariki sana
@glorianamatemu68569 ай бұрын
Ee mungu naomba utusaide tujue uumbaji wako na kusudi kwa wanawake na wanaume ili tusikinzane bali tuishi katika umoja kama kristo alivyo kusudia . Amen❤
@ireneizael6142 жыл бұрын
Mwalimu nashukuru kwa mafundisho yako naposikia mafundisho yako nafarijika Sana ubarikiwe
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Mungu huweka nadhiri za wateule wake toka tumboni mwa mama zao.
@stevemanganas.m14002 жыл бұрын
Mwanamke ni Kanisa kibiblia
@DonatienDunia Жыл бұрын
Kwakweli umeliongeza ujuzi katika hihi somo, Mwenyezi mungu atubariki pamojo naweye, Donatien DRC goma.
@muchokinancy83752 жыл бұрын
Amen ..Amen...,painful truth very unfortunate to men who don't understand the values in a woman.
@africane92522 жыл бұрын
Naomba Mungu anipe mkee mwema
@wandoamwambu81982 жыл бұрын
Amen, asante Mtumishi kwa ujumbe huu.
@clevinakwigizile1457 Жыл бұрын
Ni masomo ya kujenga sana. Mungu azidi kukibariki kipawa chake ndani yako Mwalimu.
@ahmedaeed66902 жыл бұрын
Mungu naomba unijaliye kujuwa nilivyo na kutambua neno na kunipatie mume mwema mwenye kumjuwa mungu ilituliee watt wetu hekima Amen
@annambezi62262 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana hapa hakika. Mwalimu MUNGU wa Mbinguni akubariki sana
@raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwa nanyi ee watumishi wake!♥️
@fridajamson1068Ай бұрын
Baba,, hakika UMENENA ...naomba uniweke katika maomb yako kama mwanao
@cloudiamartha58802 жыл бұрын
Amina Amina baba Mungu anisaidie nijijue mimi kama mwanamke ni nani na nibebe uhalisia wangu wa mwanamkee nisimame na familia yangu atakayonipa Mw Mungu kama mwanamke.
@falijiubamba41552 жыл бұрын
Ameen, ubarikiwe Sana Kwa ujumbe mtumishi
@neemalazaro8315 Жыл бұрын
Amina mtumishi Mungu ,na Mungu was mbinguni azidi kukutunza ila aebdelee kukutumia amina
@RhoidaMwalwayo3 ай бұрын
Asante mwl kwa somo zuri naomba mungu anipe mme mwema
@user-mx3of9bk4q10 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@mmkwenihira78262 жыл бұрын
Hallelujah 🧎♀️🙌🙌 Be blessed more Man of GOD .
@user-oe1gq7gq6c10 ай бұрын
Amen mtumishi wa Bwana Mungu aendelee kukutumia kulisha kondoo zake
@enockbrown73842 жыл бұрын
Asante sana mwalimu , nimeelewa hili fundisho kuhusu Mwanamke
@atukuzwefelix755 Жыл бұрын
Am blessed much Barikiwa teacher wangu
@elyseebembeleza14392 жыл бұрын
Shukrani kwa mafundisho mimi nipo. Congo Mungu. Akubriki
@lovergar38332 жыл бұрын
Asante sana mtumishi Mungu azidi kukubali san
@heritierba98682 жыл бұрын
Ubarikiwe sana, fundisho nzuri sana
@GladLapya9 ай бұрын
Naomba Mungu anipe mume bora atakaye dumisha amani katika familia yetu
@waelmsangi55032 жыл бұрын
Amen Mtumishi. Ninabarikiwa sana na mafundisho yako. Ninaweka familia yangu mikononi mwa Mungu. Mungu aendelee kuwa mwalimu katika maisha yetu yote.
@rachelpeter872 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa ufunuo huu
@ireneneypantaleo26022 жыл бұрын
Nimejifunza kitu Asante Mwalimu 👏🏾, Sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu.
@merryadam-re3tg Жыл бұрын
Mungu ayabariki maombi haya, yakawe baraka kwangu🙏
@ngwalumusobi44312 жыл бұрын
Mungu aendelee. Kukutumia zaidi na zaidi amen
@happinessmghase61672 жыл бұрын
Amen mwalimu Asant sana kwa mafunzo yako Mungu akubariki sanaa
@salahpeter57022 жыл бұрын
Asante yesu ninaamini utaniponya Mimi pamoja na Uzao. Wangu
@musakasingo5942 жыл бұрын
Mungu anafanya Mambo ambayo mwanadamu hajui kabisaaaaa.
@eduulowassa43472 жыл бұрын
Live long Mwl Christopher Mwakasege.
@rosefares1102 жыл бұрын
Amen yesu azidi kukutumia mwakasege
@RaphaelMagukulu3 ай бұрын
Baba mungu akuzidishie maishamarefu
@loveekileo93042 жыл бұрын
May God keep you daddy!! We love and pray for you 😍
@adolfinanjau2420
2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri. Mungu akubariki
@pendoshaban1010 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuwe barikiwa sana baba
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Mwanamke ni msaidizi sio kiongozi na kuongozwa na mwanamke ni sawa na kuongozwa na shetani. Mimi ni mjumbe wa agano duniani.
@AbigaeliphiliphoChacha
2 ай бұрын
Unakoseaaa sana brooo
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Mungu alikuwa anasema na Adamu na shetani alikuwa anasema na mwanamke. Hivyo kuongozwa na mwanamke ni sawa na kuongozwa na shetani.
@noelalutengano42972 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu...
@hashimjuma2854 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana kuna kitu nimepata
@ngwalumusobi44312 жыл бұрын
God bless you every time where you are
@Dmsiris52 жыл бұрын
God Bless You Pastor👏🏾
@colinehelmas6210
2 жыл бұрын
⁰
@agnesuwarugira4746
2 жыл бұрын
@@colinehelmas6210 r ww
@jacksonkahima4589
2 жыл бұрын
@@agnesuwarugira4746 111
@salahpeter57022 жыл бұрын
Gusa Tumbo langu gusa mtoto wangu nifungue bwana yesu
@joycelukumay49572 жыл бұрын
Asante Mtumishi 👏👏👏
@mrwandamrwanda37512 жыл бұрын
Asante Mwl mwakasege
@apolinabahati21682 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mwalimu 🙏🙏
@georgeatanas96422 жыл бұрын
Maisha bila Mungu na heshima kwa watu ni batili mtupu
@mwanwaamtumishi.jinalabwan15212 жыл бұрын
Amen. Mwalimu nimeelewa kabisa utofauti wa mwanamke wa kibiblia.
@beatricemkilya12962 жыл бұрын
Amen mtumishi🙏🏻😊
@racheljagero15472 жыл бұрын
Barikiwa sana baba
@danielkivuyo20522 жыл бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
@plumbingtanzaniaplumber75702 жыл бұрын
Hili neno kibiblia linanipa ukakasi sana
@bonifacemlemeta21512 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏 ameen. Ubarikiwe mtumishi
@hosianamsangi58822 жыл бұрын
amen mungu aendelee kukutumia
@margretokuku8220 Жыл бұрын
Barikiwa. Mtu. Wa. Mungu
@herriethabdallah5982 жыл бұрын
Mungu akubariki mno mtumishi
@nemboproductionsmr.shedrac4082 жыл бұрын
God blessyou Teacher
@rosemiyaga21452 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu 🙏
@user-so1fw5xd3y5 ай бұрын
Baba Mungu akutunze sana
@InesYohana2 ай бұрын
Barikiwa baba
@christinewomanoffaith54792 жыл бұрын
Ukisikiliza hili somo vzr ndo utaelewa kwann wanasema kufanikiwa kwa mwanaume kuna mwanamke nya yake, na kinyume chake pia! Wanawake tujitambue
Пікірлер: 238
Hekima zako za Kimbingu ni NURU ni ombi langu kwa Mungu anijalie mke mwema na kusudio langu kupitia kwa Mungu ni kuijenga familia yangu yote katika misingi mitakatifu sana ya kiroho na kusudio langu ni kukiona kizazi changu kikiurithi ufalme wa Mungu, Mungu naomba utujalie HATMA iliyo njema maishani mwetu. Amen!
@hellenswai6673
2 жыл бұрын
📞🙏🙏🙏
@rehemaedward9494
Жыл бұрын
Hongera
@ombenidamson9679
Ай бұрын
ameni
Hakika Mungu akutunze kwa ajili ya Nchi yangu na kwaajili yangu Baba Christopher wewe umefanyika taa ya Nchi yangu Tanzania, Hekima yako yapita viwango, naomba uniombee mwanao Sarah Faida usinisahau uingiapo kwa maombi Baba. 🤲🙏
Aasnte kwa neno. Mungu ana makusudi na maisha yetu wote Mungu tupe neema ya kukufahamu ili ututumie kwa kadri ya makusudi yako. Makusudi yako yaonekane kuanzia familua hadi Taifa na ulimwenguni pote jina lako litukuzwe na wake kwa waume na vizazi vyao. HALELUYA 🙏
@mariarashid4061
Жыл бұрын
Amen
Amina nimebarikiwa kujua nafasi ya mwanamke na nipo kujifinza zaidi nafasi amvayo Mungu ameweka kwa mwanamke. Amina mbarikiwe nyote Mwalimu mtumishi wa Mungu Mama na wanakamati wote Mungu aendelee kuwarumia katika viwango vya juu kwa utukufu wa jina lake.
Nimekua mlimani Leo ni siku ya pili,dhamira yangu ni kuomba toba Kwa ajili yangu kama Mama,binti na mke,lakini sikua najua kifungu chochote cha kusimamia toba yangu zaidi ya Ezra 8:21...Leo kukutana na hili somo naamini liliandaliwa Kwa ajili yangu....holy spirit connect,thank you Jesus for your mercy and Grace!
@joyousjackson8352
2 жыл бұрын
Glory to God ,, hongera winner
Amen,kila siku nafarijika ninaposikia neno la Mungu kwa kutumia kinywa chako Mungu azidi kukubariki
Nabarikiwa sana na mafunzo yako mwalimu. Mungu wa mbiguni azidi kukutunza.
Asante sana Mwl. kwa kurejesha tena hili somo. Kuna siku nililitafuta hapa KZread ila sikuliona. Asante sana, somo hili linanibariki sana
MUNGU akupe afyaa bora ..Ili uweze kutupatia ujumbe kupitiaa wee. .amen amen ❤️🙏
@dreambig6093
2 жыл бұрын
Ni Mungu na sio mungu ndugu.
@edithadaniel5751
2 жыл бұрын
@@dreambig6093 ooh thanks alot it was typing error nimerekebishaa be be blessed 🙏❤️💙
Asante sana Mwl. Mwakasege kwa kurudisha hili somo tena. Kati ya masomo ambayo nilikua najikuta nasikiliza tena na tena na tena bila kuchoka 🙏🙏
Mchungaj mungu akubaliki Santa naomba uniombee maisha yangu no magum Sana naitwa renad thomas
Ee MUNGU wangu nakuomba unibari mimi na uzao wangu amen
Naomba Mungu anijaalie mwanaume niliyempata tuweze kufikia lengo letu la kufunga ndoa ...na Mungu azidi kuzidishia baraka katika familia yetu tumjuwe zaidi🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana, haya mahubiri yananigusa na kunijenga na kunibariki pia " mwanamke tunaye muona kwa macho ni tofauti na yule aliyeumbwa na Mungu"
Kupitia mtumishi wa mungu tumbo langu likawe la watoto wenye baraka
Mungu anisadie kupata mme sahihi na nikawe mke mwema kama biblia inavyonitaka kuwa
GENEOUS, MWAKASEGE KANIFUNZA KITU KIKUBWA SANA
Hallelujah hallelujah hallelujah Asante Yesu coz ni somo nililokuwa narihitaji sna
Mzee Mungu akubariki wewe ni mwalimu kabisa ubarikiwe
Mungu akubariki sana mtumishi..Huwa nafarijika sana kusikiliza mahubiri yako, Mung akulinde
Yesu nipe ufahamu wa kusimama kama mwanamke
Asante sana MWALIMU kwa mafundisho Haya MUNGU anisaidie kuyaishi mafundisho Haya IN JESUS NAME (Zaburi 32:8, Isaya 55:6-11)
Umenifundisha. Kitu ambacho nillkuwa sikijui asante Sana nimeipata mwanga mkubwa sana
Ubarikiwe Mwalimu Mwakasege,, Hakika kila atakayesikia. Somo hili kuna vitu atajifunza. Mungu akupe Maisha marefu ili umtumikie zaidi na zaid
Ee Mungu ninakushukuru kwa ajili mtumishi wako naomba unipe neema ya kusikiliza na kuyafanyia kazi mafundisho yako kupitia mwalimu
Mungu afanye uwe mwalimu wangu na mungu akuongeze miaka zaid
Mungu azidi kukutumia, zaidi sana,akupe.maisha🙏🙏🙏👏👏 Marefu,
Mwanzo sura ya 1 ni uumbaji wa rohoni na mwanzo 2 ni madhihirisho ya kilichoumbwa sura wa 1, ( kuletwa ktk uhalisia wa kimwili),
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana tunakupenda sana maana umefanyika baraka kwetu Mungu akubariki pia akupe maisha marefu Baba hekima yako ni kubwa mno ili somo limenibariki sana
Ee mungu naomba utusaide tujue uumbaji wako na kusudi kwa wanawake na wanaume ili tusikinzane bali tuishi katika umoja kama kristo alivyo kusudia . Amen❤
Mwalimu nashukuru kwa mafundisho yako naposikia mafundisho yako nafarijika Sana ubarikiwe
Mungu huweka nadhiri za wateule wake toka tumboni mwa mama zao.
Mwanamke ni Kanisa kibiblia
Kwakweli umeliongeza ujuzi katika hihi somo, Mwenyezi mungu atubariki pamojo naweye, Donatien DRC goma.
Amen ..Amen...,painful truth very unfortunate to men who don't understand the values in a woman.
Naomba Mungu anipe mkee mwema
Amen, asante Mtumishi kwa ujumbe huu.
Ni masomo ya kujenga sana. Mungu azidi kukibariki kipawa chake ndani yako Mwalimu.
Mungu naomba unijaliye kujuwa nilivyo na kutambua neno na kunipatie mume mwema mwenye kumjuwa mungu ilituliee watt wetu hekima Amen
Nimejifunza kitu kikubwa sana hapa hakika. Mwalimu MUNGU wa Mbinguni akubariki sana
Mungu aendelee kuwa nanyi ee watumishi wake!♥️
Baba,, hakika UMENENA ...naomba uniweke katika maomb yako kama mwanao
Amina Amina baba Mungu anisaidie nijijue mimi kama mwanamke ni nani na nibebe uhalisia wangu wa mwanamkee nisimame na familia yangu atakayonipa Mw Mungu kama mwanamke.
Ameen, ubarikiwe Sana Kwa ujumbe mtumishi
Amina mtumishi Mungu ,na Mungu was mbinguni azidi kukutunza ila aebdelee kukutumia amina
Asante mwl kwa somo zuri naomba mungu anipe mme mwema
Ubarikiwe mtumishi
Hallelujah 🧎♀️🙌🙌 Be blessed more Man of GOD .
Amen mtumishi wa Bwana Mungu aendelee kukutumia kulisha kondoo zake
Asante sana mwalimu , nimeelewa hili fundisho kuhusu Mwanamke
Am blessed much Barikiwa teacher wangu
Shukrani kwa mafundisho mimi nipo. Congo Mungu. Akubriki
Asante sana mtumishi Mungu azidi kukubali san
Ubarikiwe sana, fundisho nzuri sana
Naomba Mungu anipe mume bora atakaye dumisha amani katika familia yetu
Amen Mtumishi. Ninabarikiwa sana na mafundisho yako. Ninaweka familia yangu mikononi mwa Mungu. Mungu aendelee kuwa mwalimu katika maisha yetu yote.
Asante mtumishi wa Mungu kwa ufunuo huu
Nimejifunza kitu Asante Mwalimu 👏🏾, Sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu.
Mungu ayabariki maombi haya, yakawe baraka kwangu🙏
Mungu aendelee. Kukutumia zaidi na zaidi amen
Amen mwalimu Asant sana kwa mafunzo yako Mungu akubariki sanaa
Asante yesu ninaamini utaniponya Mimi pamoja na Uzao. Wangu
Mungu anafanya Mambo ambayo mwanadamu hajui kabisaaaaa.
Live long Mwl Christopher Mwakasege.
Amen yesu azidi kukutumia mwakasege
Baba mungu akuzidishie maishamarefu
May God keep you daddy!! We love and pray for you 😍
@adolfinanjau2420
2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri. Mungu akubariki
Mwenyezi mungu akuwe barikiwa sana baba
Mwanamke ni msaidizi sio kiongozi na kuongozwa na mwanamke ni sawa na kuongozwa na shetani. Mimi ni mjumbe wa agano duniani.
@AbigaeliphiliphoChacha
2 ай бұрын
Unakoseaaa sana brooo
Mungu alikuwa anasema na Adamu na shetani alikuwa anasema na mwanamke. Hivyo kuongozwa na mwanamke ni sawa na kuongozwa na shetani.
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu...
Mungu akubariki sana kuna kitu nimepata
God bless you every time where you are
God Bless You Pastor👏🏾
@colinehelmas6210
2 жыл бұрын
⁰
@agnesuwarugira4746
2 жыл бұрын
@@colinehelmas6210 r ww
@jacksonkahima4589
2 жыл бұрын
@@agnesuwarugira4746 111
Gusa Tumbo langu gusa mtoto wangu nifungue bwana yesu
Asante Mtumishi 👏👏👏
Asante Mwl mwakasege
Mungu akubariki sana mwalimu 🙏🙏
Maisha bila Mungu na heshima kwa watu ni batili mtupu
Amen. Mwalimu nimeelewa kabisa utofauti wa mwanamke wa kibiblia.
Amen mtumishi🙏🏻😊
Barikiwa sana baba
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
Hili neno kibiblia linanipa ukakasi sana
🙏🙏🙏🙏 ameen. Ubarikiwe mtumishi
amen mungu aendelee kukutumia
Barikiwa. Mtu. Wa. Mungu
Mungu akubariki mno mtumishi
God blessyou Teacher
Amen mtumishi wa Mungu 🙏
Baba Mungu akutunze sana
Barikiwa baba
Ukisikiliza hili somo vzr ndo utaelewa kwann wanasema kufanikiwa kwa mwanaume kuna mwanamke nya yake, na kinyume chake pia! Wanawake tujitambue
Mungu akubariki baba yetu
Mungu akubariki sana.
Amina Amina tna Amina 👏
Amina mtumishi kwa somo zuri
Mungu azidi kukuinua Mtumishi
Amen mtumishi wa Mungu
Asante mtumishi