SOMO MUNGU ASIPOKUJIBU MAOMBI YAKO MUULIZE NI KWA NINI 1

Пікірлер: 467

  • @clarambasha938
    @clarambasha9382 жыл бұрын

    Maombi yangu ni Mungu amuweke mwakasege miaka mingi sana kuna ambao tunakua kiroho na pia tunapata kiu zaidi ya kuutafuta uso wa Mungu tukimskiliza. Huyu baba Mungu amemchukua level zingne za kiroho. Yesu akupe miaka mingu MWALIMU

  • @goated3801

    @goated3801

    Жыл бұрын

    Manukwa kweli na kubadilika ama kukua ti mdomoni

  • @pikipiki_market

    @pikipiki_market

    Жыл бұрын

    AMEN

  • @salvatoryherman65

    @salvatoryherman65

    Жыл бұрын

    Ameniiii aleluya

  • @happyngonde2923

    @happyngonde2923

    6 ай бұрын

    Ninapopita ktka magumu, nikiisilikiiliza mafundisho ya mtumishi ya mwakasege napata nguvu mpya,🙏Mungu akutunze na afiche uhai wako ndani ya Damu ya YESU 🙏🙏

  • @mukambambale-df8hw

    @mukambambale-df8hw

    6 ай бұрын

    Mungu akupe mengine ya zaidi mwalimu

  • @VeryniceMosha-n7q
    @VeryniceMosha-n7q5 күн бұрын

    Barikiwa sana baba, hili somo lilinitoa mahali,niliomba miez sita bila majibu lakini siku niliposikia somo hili niliingia kwenye mfungo kumwuliza Mungu kulikoni na akanijibu siku ya tatu, akanipa sababu za maombi kukataliwa niliamka nikamshukuru Mungu na nikauona mkono wake siku ya Tano,. Baba Mungu akuweke

  • @betyanyas8780
    @betyanyas87802 жыл бұрын

    Somo hili hakika limenilenga mimi na maisha Yale ninayoishi, nateseka ktk ndoa hii, ni naomba Mungu ambadilishe mume wangu, awe mtu wa kumcha Mungu, as he kutumia miadarati, lakini sijajibiwa na Mungu baba yangu, nitamrudia na kilio na unyenyekevu, nimuulize kwani I hajanijibu maombi yangu na Sasa ni km miaka mitano hivi ya mateso ndani ya ndoa yangu. Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa neno hili, nimejifundisha mengi, barikiwa Sana. Amina... 🙏

  • @carinawolfram3280

    @carinawolfram3280

    2 жыл бұрын

    Usijali Mungu ni mwema atakutendea

  • @saraphinasalila9202

    @saraphinasalila9202

    Жыл бұрын

    Akika mungu atakusaidia usikate tamaa kuomb

  • @myahudiog

    @myahudiog

    8 ай бұрын

    Ww miaka mitano unateseka tu! Hii n mpya

  • @user-qz4bk5zc8z

    @user-qz4bk5zc8z

    8 ай бұрын

    Amen.

  • @heriethmoses7082
    @heriethmoses70823 жыл бұрын

    Somo limekuja wakati sahihi kwangu, Barikiwa sana mwalimu

  • @konsolatasabas4941

    @konsolatasabas4941

    2 жыл бұрын

    Balikiwa kwa somo zuli

  • @mwanaidimwanga21
    @mwanaidimwanga213 жыл бұрын

    Ameen...Ahsante Mungu kwa ajili ya utumish huu, na neno hili. Utupe neema baba ya kutokutazama matatizo yetu na ugumu wa maisha, bali utupe neema ya kuyaelewa na kuatamia maono uliyoyaachilia juu yetu. Uchungu, tabu, udhalimu, magumu yasitufanye tushindwe kuomba sawasawa na mapenzi na kulitimiza kusudi lako. Katika maisha yako ufalme wako uje.

  • @neemaenock6358

    @neemaenock6358

    2 жыл бұрын

    AMINA MUNGU ALIYEIANZISHA SAFARI YA MAISHA YETU ATUTETEE KWA DAMU YAKE YESU KRISTO TUNAMWAMINI ATATENDA TUSIKATE TAMAA

  • @mellissauwase5514
    @mellissauwase55142 жыл бұрын

    God bless you 🙏🏽 From 🇷🇼Rwanda

  • @magrethrupiah5057
    @magrethrupiah50573 жыл бұрын

    Somo zuri sana. Mungu anabaki kua Mungu nyakati zote. Hata kama hajanijibu vile nilivyo tamani, bado anabaki kua Mungu mwema. Somo hili limenibariki sana sana sana.

  • @getrudemalisa4350
    @getrudemalisa43502 жыл бұрын

    Amen, nimebarikiwa Sana mtumishi Mungu akubariki sana nilikata tamaa ili kwa neno hili naamini Mungu atafanya kitu juu yangu na familia yangu

  • @rugetakimath7428
    @rugetakimath7428 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Baba Kwa kusikiliza na kuitii sauti ya Mungu, Barikiwa milele

  • @marianajohn5415
    @marianajohn54152 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa somo hili kubwa sana kwenye maisha yangu. Limekuja kwa wakati sahihi sana . Asante Yesu wangu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @marianajulius5926
    @marianajulius59262 жыл бұрын

    Barikiwa sana baba,,,,Unatufundisha Mengi 🙏🏿Mungu wetu anajibu❤️

  • @lilianmkelewele7489
    @lilianmkelewele74893 жыл бұрын

    Asante mungu kwa kumtumia mtumishi wako maana nilipata hili neno nikiwa katka mazo magumu muno nami naomba unijibu maombi yangu juu yayale yote niliyoomba naamini kupitia neno lako takatifu napokea kwa jina la yesu kristo ameni mbalikiwe watumishi🙏🙏🙏🙏

  • @atbakpblessedfml2642
    @atbakpblessedfml26423 жыл бұрын

    Asante Roho Mtakatifu kwa kuachilia somo hili .Mungu .Mungu awabariki watumishi wake

  • @joycelanda8987
    @joycelanda89873 жыл бұрын

    Amina mtumushi ,najiambatanisha na madhabahu hii Mimi na familia yangu ,naomba Mungu anijibu sawa na haja za moyo wangu! Amen.

  • @upendoamani8164
    @upendoamani81642 жыл бұрын

    Neno la Mungu linaishi. Hili neno limenifungulia moyo wangu. Nimejua Kati ya kuomba na kulalamika. Mungu akubariki sana mtumishi. Nitaandika njozi🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @ruthuthomas2357
    @ruthuthomas23572 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha malefu mwalimu 🙏🙏🙏❤️

  • @thomaskibada7056
    @thomaskibada70563 жыл бұрын

    Ubarikiwe baba tunajvunia kua nawewe katka nchi yetu ya Tanzania

  • @jacksonjohn8497
    @jacksonjohn84972 жыл бұрын

    Bwana Yesu Asifiwe Nashukulu kwa hili Somo Nimemuomba Mungu kwa Mda Mlefu ila ajanijibu Natumia Somo hili Kumuuliza tena Mungu Wangu Nina imani Naye

  • @atuhaireakla3972
    @atuhaireakla39722 жыл бұрын

    For the first time kusikia hii massage nimekua nikisema kama nina uwezo wa kuuliza mungu maswali nigeweza

  • @mwldanielelibariki4524
    @mwldanielelibariki45243 жыл бұрын

    Ameeen baba Neema ya Mungu iendelee kuongezeka juu yako Mara dufu

  • @colethachaula592
    @colethachaula592 Жыл бұрын

    Hii ni kweli hata Mimi limenitokea kwenye maisha yangu, nina mdogo wangu anaumwa ninaomba mungu kupitia somo Hilo mungu amfungue apone ninaamini mungu anakwenda kunijibu Sasa.

  • @PendoPallangyo

    @PendoPallangyo

    Ай бұрын

    Nina Imani hata mm atanijibu

  • @monicapaul7863
    @monicapaul78633 жыл бұрын

    Amen Mungu nisaidie nitimize lile kusudi uliloniletea duniani nisiishie njiani

  • @winnermariah

    @winnermariah

    3 жыл бұрын

    AMEEEN 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eddyjuniortz2234

    @eddyjuniortz2234

    3 жыл бұрын

    Barikiwa

  • @stanleybuberwa232

    @stanleybuberwa232

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @josephmbogo4439
    @josephmbogo44393 жыл бұрын

    Asanre sana Mwalimu Mwakasege kwa kweli neno hili kwangu linanihusu kabisa Eee Mungu wangu nakuomba usinyamaze nikuombapo ombi langu

  • @magrethrupiah5057
    @magrethrupiah505711 ай бұрын

    Hili somo kila nikilisikiliza napata kitu kipya. Mungu anabakia kua Mungu hata kama hajajibu vile nilivyo tarajia. Yeye anampango mzuri sana na sisi wanadamu.

  • @kwangukazungu8299
    @kwangukazungu82993 жыл бұрын

    Baba Mungu akubariki sana, umenigusa yaani naona Mungu kanyamaza lkn Asante kwa somo niendelee kuomba

  • @egnardamaicy3456
    @egnardamaicy34563 жыл бұрын

    Kwa mara ya kwanza roho mtakatifu amenisemesha nimeamka nikiwa nimevunjika moyo sana sioni nuru nikawa naskia tu fungua KZread nafungua nakutana na neno hili tena nikiwa mtu wa kwanza kabisa😭

  • @yeshuasweapon4384

    @yeshuasweapon4384

    3 жыл бұрын

    Daah...Amina mtumishi

  • @fauctinejohnacy8716

    @fauctinejohnacy8716

    3 жыл бұрын

    Amina sana

  • @victoriajoseph6488

    @victoriajoseph6488

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @swesschao3095

    @swesschao3095

    3 жыл бұрын

    MUNGU ATUSAIDIE!!!

  • @godblessnelson37

    @godblessnelson37

    2 жыл бұрын

    Usial Mungu atakudumia

  • @dalmasnyaribo7543
    @dalmasnyaribo75433 жыл бұрын

    Somo hili nimelifikia kupitia mtandao na limenipa moyo Sana kua Kuna siku MUNGU atanijipu maombi yangu na kunifungulia milango hili niwatimizie mama pajoma na Babu wangu ndoto yangu itimie katika jina la mungu wangu amen

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo72743 жыл бұрын

    Ahsante Baba na Mama Mwakasege na team nzima ya mana ministry

  • @lilianmyinga4578
    @lilianmyinga45783 жыл бұрын

    Haleluya haleluya! Groly to god groly jina la bwana libarikiwe mno. Na mungu akupe maisha maisha marefu na yenye heri pamoja na uzao wa nyumba yako

  • @evelyneishengoma1600

    @evelyneishengoma1600

    2 жыл бұрын

    Barikiwa mwalim

  • @betreaceparali9725
    @betreaceparali9725 Жыл бұрын

    Mungu mtie Ng v mtumishi aendelee kutufundisha tusaidie kuelewa mungu nisaidie nijue kupambanua njozi au maono

  • @geendaki7678
    @geendaki76783 жыл бұрын

    Nakupenda Baba Mtumishi wa Mungu kila siku nakuombea Bwana akutie nguvu huduma hii bado tunaihitaji Sana na Kuna siku nimekuona katika ndoto ukiwa katika mto flani unabatiza nami nilikuwako huko

  • @sarahmarishay6938
    @sarahmarishay69382 жыл бұрын

    Ameeeeen mtumushi hili somo lako limekuwa dawa kwangu Mungu kajibu mpaka NASHANGAA kwakwwli ubarikiwe Sana sana mwalinu Mwakasege🙏🙏🙏

  • @mercygodia4084
    @mercygodia40843 жыл бұрын

    God please hear my cry. I trust in you.

  • @joshuakapungu938
    @joshuakapungu9382 жыл бұрын

    Ee Mwenyezi Mungu hili somo nimelipata leo ila litanifungulia yote ninayoomba kila siku na Mungu atanyamaza tena sasa ni zamu yangu kujibiwa maombi yangu baba

  • @user-ct3jq3qv7j
    @user-ct3jq3qv7j2 ай бұрын

    ubarikiwe mtumishi wa mungu namungu akupe maisha marefu

  • @rebeccabraison8357
    @rebeccabraison8357 Жыл бұрын

    Asnte sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili nimepata kitu kikubwa sana Yesu akubaliki sana

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia13813 жыл бұрын

    Asante mtumishi wa Mungu hili neno limekuja wakati sahii kwangu Ee Mungu usinyamaze nikuombapo 🙏🙏🙏

  • @lazaroulomi1854
    @lazaroulomi18542 жыл бұрын

    Barikiwa Mwl ,,Somo zuri sana sana.

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842Ай бұрын

    Ee,Mungu umtazame huyu mtumishi wako ukamtendee mema sana sku zote za maisha yake utukufu wako ukawe pamoja nae nyakati zote, nampenda sana mtumishi wako huyu, Ee Bwana Mungu muumba mbingu na nchi wewe ulie alfa na omega axante kwa chombo chako hiki ❤

  • @mackrinapeter4417
    @mackrinapeter44173 жыл бұрын

    Mungu naomba usinyamaze..naomba ujibu maombi yangu usinyamaze Baba

  • @sammywanje2686
    @sammywanje26863 жыл бұрын

    Kweli somo hili limenigusa sana,, ee MUNGU nihurumie na unisikie ombi langu,, mtumishi wa MUNGU asante kwa fundisho hili, nimelipokea kwa imani,,, BWANA YESU ASIFIWE

  • @InesYohana
    @InesYohana2 ай бұрын

    Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mafundisho Yako🙏

  • @doricekajuna6185
    @doricekajuna61852 жыл бұрын

    Asante Mtumish wa MUNGU kwa kutufundisha kutokata tamaaa. Tuendelee kumuomba Mungu.

  • @tulalumbashaibu8970
    @tulalumbashaibu89703 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika nilivurugika mno ila kwa neno hili ninaona nuru tena

  • @LSA-23
    @LSA-233 жыл бұрын

    Mtumishi kuna mahubiri fulani niliwahi kiwa nayo nikayapoteza..yanahusu maombi ya kuzunguka kama babeli na kumwaga damu ya Yesu iliyotoka sehemu zote za mwili wake. Nayahitaji sana mtumishi.naomba nielekezwe mahali hata kama ni CD ninunue

  • @sarahlyimotv1380
    @sarahlyimotv13803 жыл бұрын

    It worth listening and listening and listening again 🙏🙏 Mungu akubariki Baba 🙏🙏

  • @happydaniel4351

    @happydaniel4351

    2 жыл бұрын

    Mungu akubariki mtumishi asante kwa mafundisho yako mazuri yananivusha sana

  • @elizabethmrema1620

    @elizabethmrema1620

    Жыл бұрын

    😍

  • @jackimulisamulisa6896
    @jackimulisamulisa68962 жыл бұрын

    Amen mtumishi mimi nayitwa judi naomba uniombe mimi na mtoto wangu maisha yetu magu sana kuna wakati mimi nakatatama ya maisha naomba utuombe

  • @judithngasa1370
    @judithngasa13703 жыл бұрын

    Hallelujah Hallelujah sifa kwa Bwana azidi kukupa maono Mtumishi wa Mungu aliye hai.

  • @asteriankwera2295

    @asteriankwera2295

    2 жыл бұрын

    Hallelujah

  • @qndassuofficially913
    @qndassuofficially9132 жыл бұрын

    Amen🙏👏🏻👏🏻👏🏻barikiwa sana mutumishi , hakika nimebarikiwa sana hakika bwana unaweza na ninaamini utajibu sawasawa na mapenzi yako 🙏🙏

  • @helenakulliani1670
    @helenakulliani16703 жыл бұрын

    Asante mtumishi wa mungu kwa Somo.sifa na utukufu Ni kwa mungu aliye juu.amina.

  • @bundallachaba3120
    @bundallachaba31203 жыл бұрын

    Hili somo ni zuri sana nimelitafuta mno sijalipata liwekeni lote watu wajifunze

  • @lameckdaudi1925
    @lameckdaudi1925 Жыл бұрын

    Ninamtukuza Mungu kwa ajili yako my Spiritual Father through you my eyes open and thirsty of seeking God increase in me Glory be to God. Mungu akutunze baba na azidi kukuimarisha.Amen

  • @enriqueganywamulume3681
    @enriqueganywamulume36813 жыл бұрын

    Tuna shukuru Mungu kwa maano hii ya kurusha tena solo ili , tume barikiwa tena tume pata kitu tena , ilpendeze Mungu kumu discute tena na tena na ku mbariki mtumishi wake. Kama kuna kipindi cha kufata tafazali mwalimu ita tu saidiya

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile38424 ай бұрын

    Mweee Mungu huyu ni waajabu, Mungu akuongezee miaka mingi uishi mtumishi, barikiwa sana baba.

  • @leamukamusoni6239
    @leamukamusoni62392 жыл бұрын

    Nashukuru kwaneno ilii linanifaya nipigeatuwa nimuhulizemungu kwanini aujibu amen ubarikiwe ddy

  • @siscahadassah4233
    @siscahadassah42333 жыл бұрын

    Somo hili limenifungua sana macho,nimegundua nilikuwa siombi ila nalalamika..naomba msaada kama tutaweza kulipata hili somo lote

  • @TulasupaSanga
    @TulasupaSanga6 ай бұрын

    Asante mwalimu wangu Mungu naomba nisaidie njozi niliyo iyota mara kwa itimie aminaa 🙏🏿 🙏🏿🙏🏿

  • @paskazimakigo-bc7ju
    @paskazimakigo-bc7ju4 ай бұрын

    Mwakasege Mungu akutunze vyema hakika tunabarikiwa

  • @naomyndaya7800
    @naomyndaya78003 жыл бұрын

    Barikiwa mutu wa mungu, na kufata sana nikiwa RDC, mara kwa mara ninapo kufata nibarikiwa saaana, na kwa hilo naomba Mungu afunguwe njozi zangu. Ili ni shuudiye ukubwa wa mokozi. Barikiwa baba

  • @atuganilemwakyusa1701
    @atuganilemwakyusa17013 жыл бұрын

    Amen,Mungu akubariki sana.naendelea kujifunza mtumishi.

  • @jessy2404
    @jessy2404 Жыл бұрын

    Mungu nikumbuke mali niko maisha sirahisi emungu pigana na madui zangu na wale wanao nipiga vita🙏

  • @furbenj7405
    @furbenj74052 жыл бұрын

    Amen my Father nitazidi kumkumbusha Mungu

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp6 ай бұрын

    Aminaa ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho mm pia ninashida na ndoa yangu mara ninaomba mara naacha lkn ubarikiwe hivi nitaomba c tokata tamaa

  • @rovicsimon1981
    @rovicsimon19812 жыл бұрын

    Amen,nashukru saaana kwa SoMo hili

  • @FulliJohnPaul
    @FulliJohnPaul2 ай бұрын

    Ameen ubarikiwe mwalimu wa neno la Mungu

  • @frankchiwango1300
    @frankchiwango13002 жыл бұрын

    Amen

  • @julietkimigho8500
    @julietkimigho8500 Жыл бұрын

    Amen poster be blessed in the name of Jesus christ

  • @rodawlson8040
    @rodawlson80403 жыл бұрын

    Ameen Asante sana mwalimu Mungu akulinde na kukufunika pia

  • @upendotemba4061
    @upendotemba40613 жыл бұрын

    Haleluya mtumishi Mungu akutunze Tunapata ufahamu

  • @chipetapeter6804
    @chipetapeter68042 ай бұрын

    Amina baba naomba maombi yako ziniachie roho ya madeni

  • @oliverabrahamoliverabraham3011
    @oliverabrahamoliverabraham30112 жыл бұрын

    Asante kwa mafundisho mazuri baba

  • @victoriamahenge9001
    @victoriamahenge90013 жыл бұрын

    Asnte kwa somo zuri baba yangu nimeelewa nakupata nikiwa mby ubarikiwe

  • @user-ky5vh7uu8i
    @user-ky5vh7uu8i10 ай бұрын

    Ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU umetutia moyo na kutokukata tamaa naomba MUNGU ajibu maombi yangu Amina

  • @seebs1156
    @seebs11563 жыл бұрын

    Ameni mtumishi wa Mungu neno hili limenijia mda muafaka kwangu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rahelsamson7692
    @rahelsamson76922 жыл бұрын

    Amina Baba Mungu aendelee kuwatunza na kuwapa kibali

  • @alainmizo4694
    @alainmizo4694 Жыл бұрын

    Jambo hili limekuwa moja kati ya ombi langu la evey day kana kwamba Mungu anipe kipawa chako mzazi wangu wa kiroho.nakufua toka D.R.Congo tume barikiwa saaaaaaaaaaaana kupitiya mafundisho yako babangu.naami kupitiya haya ninayo yapokea kutoka kwako...Mungu atanipa majibu kwa swali yangu.Mungu akubariki sana baba na piya abariki watakatifu wote kwa jumla

  • @haroldmartin4612
    @haroldmartin46123 жыл бұрын

    Amen, nimebarikiwa sana. Mungu akubariki na kukupa maisha marefu tufundishwe na Roho wa Mungu kupitia wewe.

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa54543 жыл бұрын

    Mtumishi. Mungu Mimi huwa nabarikiwa Sana na mahibiri yako mungu akutumie kama apendavyo yeye

  • @neemamunisi2053
    @neemamunisi20532 жыл бұрын

    Amen... Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu

  • @reymasenya6450
    @reymasenya64503 жыл бұрын

    Asante Mungu Mm Naomba Ufunue Njozi Zangu

  • @rachelmshana6555
    @rachelmshana6555 Жыл бұрын

    Amina nitaendelea kuomba mpaka pale Mungu wangu atakojibu, sitanyamaza.

  • @alleoo273
    @alleoo2732 жыл бұрын

    Barikiwa baba leo nimesukumwa kukusikiliza nanimejifunza kumkumbusha Mungu maana hua nalalamika sn badala ya kuomba

  • @peacebukambu2603
    @peacebukambu26032 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa kunikutanisha na hili neno maana ni leo tu ndo nilikuwa najiuliza mimi kama mimi 🙏🙏🙏be blessed mtumishi wa Mungu

  • @wemaemmanuel5148
    @wemaemmanuel51482 жыл бұрын

    Mwl. May God bless you indeed 🙏

  • @bakunduwukizebenithe7888
    @bakunduwukizebenithe7888 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sanna mcungaji nimejifunza kitu❤

  • @agneslema1783
    @agneslema17832 жыл бұрын

    Nilichokifunza hatutakiwi kulalamika, Kama Mungu hajatujibu maombi yetu Bali tumuulize

  • @hellendeus7809
    @hellendeus78093 жыл бұрын

    Ameen mwalimu..... Nakuombea saana roho mtakatifu awe na wewe Kila dakika na Kila hatua

  • @DsmAccounts1
    @DsmAccounts14 ай бұрын

    Ameni Mtumishi,Mwenyenzi Mungu akubariki sana

  • @AmaniDavid-ju7mb
    @AmaniDavid-ju7mb Жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa nauliza ratiba ya semia mwenzi huu anaye jua anisaidie asante

  • @diwenagoodiani8087
    @diwenagoodiani8087 Жыл бұрын

    Ubalikiwe na mungu akuzishie. Kipawa chako

  • @Yasintamaiko
    @YasintamaikoАй бұрын

    Badoo hujamaliza kazi ya Mungu hapa duniani Baba

  • @angelamgale3228
    @angelamgale32283 жыл бұрын

    Ni kweli Mtumishi, MUNGU anisaidie nione vision ya wanangu

  • @roidaalphonceyou2227
    @roidaalphonceyou22272 жыл бұрын

    Asante kwa neno la MUNGU mtumishi wa MUNGU heshima utukufu na mrudishia MUNGU kwaajili ya utumishi huu Amina

  • @catrachannel7935
    @catrachannel79353 жыл бұрын

    Amen! Mungu apewe sifa, Asante mtumishi wa Mungu

  • @yusuphmwaigomole3104
    @yusuphmwaigomole31042 жыл бұрын

    Inafundisha sana Mungu aendelee kukupa maisha marefu

  • @Regnard999
    @Regnard99911 ай бұрын

    Nimepitia changamoto ya (twice rejection) katika taasisi moja kubwa sana ya elimu hapa Tanzania. Nilienda interview ya kwanza wakaniambia wataniita. Walikaa kimya mwaka mzima baadaye wakanipigia simu niende interview ya pili. Nimefanya interview ya pili kwa mafanikio makubwa lakini waliendelea kukaa kimya mpaka leo. Naendelea kumuuliza Mungu "kwa nini wako kimya." Mungu nitie nguvu na subira ya njozi yangu. Amina

  • @emmanuelmollel7027
    @emmanuelmollel7027 Жыл бұрын

    Asante Sana kwa somo kwani tumefunguliwa MUNGU akubariki Sana mwalim

  • @user-cl6wy6rl6o
    @user-cl6wy6rl6o10 ай бұрын

    God bless you Pastor

  • @sabratally7688
    @sabratally7688 Жыл бұрын

    Kunajambo lilikuwa likinitesa niliomba niliomba sana Lkn ckujibiwa nilipata wazo kumuuliza mungu nashukur alinijibu na kitabu Cha wathesolanike 5-10-17 nikapata nguvu yakusonga mbele japo nilikuwa nimechoka sana

  • @user-il2dd6uo2u
    @user-il2dd6uo2u10 ай бұрын

    Mungu ambariki mwl huyu anajua kufundisha