Kuwa Makini Nani Unamuoa | Kuuweza Wakati Ujao | Pastor Tony Kapola

Музыка

Je, unamfahamu mtu unaetarajia kumuoa au unaenda tu na maisha? Tega sikio upate neno kuhusu hili swala.
Connect with Pastor Tony Osborn Ministries:
Facebook: / pastortonykapola
Instagram: / pastortonyosborn
Contacts (Mawasiliano): +255 713 702 187
Offerings (Sadaka): +255 762 153 539 (ANTHONY KAPOLA)

Пікірлер: 225

  • @eliasiravuga7539
    @eliasiravuga75393 ай бұрын

    A tired mind can't make a good decision,,, 📖💯🇨🇩

  • @babyjacob3122
    @babyjacob31224 ай бұрын

    Jamani huyu baba ANAFUNDISHA 🙌🙌Tushindwe tu kubadilika ila PT Baba kwenye mafundisho tu UUNATUFUNDISHA❤❤

  • @Dominant97

    @Dominant97

    3 ай бұрын

    Exactly

  • @user-zp5oo9gf1r

    @user-zp5oo9gf1r

    2 ай бұрын

    Someni biblia😂😂😂 nd mtajua ukweli yesu aliotak ufundishwe hawafundishi bali mnapenda life experiences

  • @otarurosie

    @otarurosie

    Ай бұрын

    Sana

  • @KELVINKUBINGWA
    @KELVINKUBINGWA3 ай бұрын

    Congratulations kwako mtumishi Umenibadilisha sehem kubwa sana ya maisha yangu

  • @Zena-eu6tr
    @Zena-eu6trАй бұрын

    Pastor,,am grateful at least you made me learn how to forgive,my heart isn't heavy,,

  • @JescahMnanka
    @JescahMnanka7 күн бұрын

    MUNGU akuweke sana mtumishi wa MUNGU unatutoa gizani mnoo much blessed

  • @shadrackmballah80
    @shadrackmballah807 күн бұрын

    I think huyu Pastor, ni moja kati ya watumishi bora hapa Tanzania. Mungu akubariki sana mtumishi.🙏

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela58713 ай бұрын

    Ila kiongozi ila kwa sisi ambao atujapata neema naaka kalugha tunateseka alafu chakula kitamu kweli weka kabint kakutafsiri utumie kiswahili ndugu, Mungu tusaidie ombi letu lifike

  • @GloryPeter-xc4ph
    @GloryPeter-xc4ph4 ай бұрын

    Mungu nisaidie kweli kweli nipate ubavu wangu sahihi

  • @barakaedom3828

    @barakaedom3828

    4 ай бұрын

    Amen

  • @paulsylvester7877

    @paulsylvester7877

    4 ай бұрын

    Endelea kusali

  • @barakafifi1607

    @barakafifi1607

    4 ай бұрын

    G uko peke yako

  • @williamreuben4866

    @williamreuben4866

    2 ай бұрын

    Okey

  • @joycenanjala2262
    @joycenanjala22624 ай бұрын

    Asante YESU kwa mafindisho kazuri, hakika PT bwana Mungu na akuzidishie Neema pamoja na familia yako

  • @daudlazaro8276
    @daudlazaro82764 ай бұрын

    Yaaani mifano yote ni mm, everything was for me 😮 then I WILL PRAY SIR

  • @AshaAmosi
    @AshaAmosiАй бұрын

    Asha amosi mtumishi unafundisha sana rakini punguza kigereza maana watu wengene hawajui kigereza unafundisha vizuri watoto wetu mungu akubariki sana

  • @mobilebeats3086
    @mobilebeats30864 ай бұрын

    Pastor una watu wengi wanakufuatilia niwa nchi yako pia weka mkalimani unatumia sana lugha ya kingereza na kwa wengine hawaelew japo wengine tunaelewa ila wengine wanatamani kusikia nini unahibiri lakin kwahajili ya lugha ya kingereza wanapata shida

  • @robertmaximilian3264

    @robertmaximilian3264

    4 ай бұрын

    Asante sana umesema nilichotaka kusema 🙏🙏🙏

  • @lodricklazaro1013

    @lodricklazaro1013

    4 ай бұрын

    Kweli kabisa hapo

  • @vickydan2869

    @vickydan2869

    4 ай бұрын

    Naomba uongee kwa sauti😢😢😢😢😢😢 jamani😢😢😢mpaka clipu zake nimekua navuka😢😢😢😢😢😢

  • @agneselias-po4fq
    @agneselias-po4fq3 ай бұрын

    Pastor your the best 💖 🥰 MAFUNDISHO yako yamenibadilisha nimepiga hatua na naendelea kujifunza Please Glory to God who bring you to this world 🌍🙏🙏💯

  • @haikananyaro285
    @haikananyaro2854 ай бұрын

    I just can't stop listening to you..... you always walk along my life mystery❤❤❤be blessed for such preaching

  • @evalynependo3824
    @evalynependo38244 ай бұрын

    Mungu nisaidie kisha unipeleke nguvu za maombi ili nimuombee mwanaume huyu, kama yupo sahihi,kwa jina la yesu ameeeeeeeennnnnn

  • @ramadhanimtiba834

    @ramadhanimtiba834

    4 ай бұрын

    Mambo

  • @evalynependo3824

    @evalynependo3824

    4 ай бұрын

    Poa sana vip zaleo ​@@ramadhanimtiba834

  • @user-dr2cs2zw4p

    @user-dr2cs2zw4p

    4 ай бұрын

    Amen

  • @GladnessSanare

    @GladnessSanare

    3 ай бұрын

    Amen mm pia na iwe hivyo kwang🙏

  • @user-pj1is6lw8m
    @user-pj1is6lw8m3 ай бұрын

    Thank you very much Pastor Tony Kapola due to your message to us be blessed pastor Amen.

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi20894 ай бұрын

    Natamani mtumishi ungelikuwa unatumia maneno ya kiingereza kwa nchi zinazo zungumza lugha hiyo, watu tunashindwa kukuelewa mzee. Tafadhali atukupangii lugha ya kutumia ila ni vyema unaongea na watu wa taifa gani. Asante!

  • @jovenatusstephen5958

    @jovenatusstephen5958

    4 ай бұрын

    Ukiona huelewi Maana yake hakuitwa kwa ajili yako

  • @jamesmwafongo1295

    @jamesmwafongo1295

    4 ай бұрын

    Lakin ametoa ushaur mzuri wew umejibu kwa kejeli hekima ni bora sanaaa

  • @user-dq4ws5ip9r

    @user-dq4ws5ip9r

    4 ай бұрын

    Kweli babisa aongee luga ya kwetu

  • @carolinederi5690

    @carolinederi5690

    4 ай бұрын

    You mean kue na translator au?

  • @robertmaximilian3264

    @robertmaximilian3264

    4 ай бұрын

    Kweli kaka bora angeweka mkaliman siyo wote wanaomfatilia manajua iyo lugha

  • @ShazymRahim
    @ShazymRahim17 күн бұрын

    Ubarikiwe baba

  • @zedkaz001
    @zedkaz0014 ай бұрын

    You have saved one soul today, amen

  • @suzanajilala2871
    @suzanajilala28714 ай бұрын

    Fundishaa kingereza au Kiswahil mtu wa Mungu fanya kama Roho mtakatifu anavyokuongoza na kukutumia Ni hivyo kama kuna mtu hajui lugha anapaswa kujifunza kwa maana huyu mtumishi anaongea kingereza na anatafsiri hapohapo sikiliza kwa utulivu utamwelewa mtumishi wa Mungu... Muache kukosoa watumishi wa Mungu kama unaongea na mtu wa kawaida. Sio sahihi unapaswa kutoa maoni wala sio kama kila mtu atakavyo Ila kwa hekima ya Mungu kama huelewi haya pita hiviiii......

  • @petermanala6138

    @petermanala6138

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂kumbe na wewe umetumia majibu ya hekima😢😢😢😢

  • @FrankMushi-cs5js

    @FrankMushi-cs5js

    3 ай бұрын

    Wewe mwenyewe una hekima yeyote mpumbavu tu😂

  • @user-xq6le2nu6h

    @user-xq6le2nu6h

    3 ай бұрын

    Haaaaa pumbavuten daa😂😂​@@FrankMushi-cs5js

  • @user-xe8fn7gt6w
    @user-xe8fn7gt6w4 ай бұрын

    Kweli kabisa kingereza kingi basi bola Uwe na mkaliman kama unapenda kuongea lugha ngeni

  • @inosensiaologa5946
    @inosensiaologa59462 ай бұрын

    may God protect you pastor..🙏 for lessons

  • @theresiaambroce7280
    @theresiaambroce72804 ай бұрын

    Hallelujah! Ahsante Mungu kwa kukupa kibali hiki kikubwa namna hiii unasaidia wengi

  • @eliasiravuga7539
    @eliasiravuga75394 ай бұрын

    Amen Amen Amen, Ubarikiwe sana Pastor TK,, iyo ni kweli kabisa,, maombi, malombi,,, 📖🕊️❤️

  • @Bushman000
    @Bushman0004 ай бұрын

    Mungu azidi kukubariki sana Pastor, kwa kuitumia vyema talanta aliyokupaa.

  • @Magdalena-tz7uk
    @Magdalena-tz7uk4 ай бұрын

    Mungu alibariki sana tumbo ulilotoka

  • @meikoking
    @meikoking4 ай бұрын

    Mungu akuweke sana uendelee kutufundisha hii mambo ❤❤❤❤❤❤ Mtumish wa Bwana Ahsante

  • @hellynabrie5286
    @hellynabrie52864 ай бұрын

    Nikweli kila mtumishi amepewa watu wakuongea nao lkn uyu pastor kingereza kingi Sana watu wanatamn kumskliza lkn daah 😢English tupu

  • @Rosetemba97

    @Rosetemba97

    4 ай бұрын

    Ni kwasababu dunia nzima inamsikiliza ....ndo maana anachanganya kuna watu pia hawajui kiswahili

  • @lilasuliman552

    @lilasuliman552

    4 ай бұрын

    Alafu wanaomsikiliza nahisi wote ni wasomi

  • @neemaryan9947

    @neemaryan9947

    4 ай бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi naomba uweke mkalmani ili Neema hii iwafikie watu wengi zaidi ulimwenguni Ubarikiwe na Bwana

  • @veronicankhwazi7954

    @veronicankhwazi7954

    4 ай бұрын

    Yuko kimataifa zaidi sio tu tz

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole74414 ай бұрын

    TRUTH TO BE TOLD ❤...STRAIGHT FORWARD

  • @user-nl3qo3sp7y
    @user-nl3qo3sp7y4 ай бұрын

    I will pray for it for my future family my God help me and make fulfill my purpose

  • @dorcasmukami7032
    @dorcasmukami70322 ай бұрын

    Napenda mafundizo yako ....barikiwa mtumishi wa mungu

  • @KadengeKazungu-pf6yi
    @KadengeKazungu-pf6yi4 ай бұрын

    Congratulations Pastor you talk the truth

  • @FaridaMuhamed-is6xg
    @FaridaMuhamed-is6xg3 ай бұрын

    Ama kwa hakika Mimi nimebarikiwa kuwa na PT Kama wewe najiona ni mwenye bahati mnooooo mafundisho yako yananiongoza na kunifanyia nijue ninapo kwenda barikiwa Sana

  • @trickeredbayaza7901
    @trickeredbayaza79014 ай бұрын

    Announced man of God always listening in from Kenya

  • @MaboyiSimba
    @MaboyiSimba3 ай бұрын

    Uko sahihi mtumishi kuhusu swala la lugha mbona liko sawa kuchanyanga lugha sio shida !! Mtumishi endelea kutoka madini

  • @godfreycosmas604
    @godfreycosmas6044 ай бұрын

    Thank pastor Tony I understand you what am tooking so appreciate you

  • @hellynabrie5286
    @hellynabrie52864 ай бұрын

    Uyu pastor apelekwe nchi nyingne sasa kingereza tupu jaman

  • @heavenlight5084

    @heavenlight5084

    4 ай бұрын

    😂😂😂

  • @makenakiki946

    @makenakiki946

    4 ай бұрын

    God has increased his audience, pray for him and the message.

  • @SenteuNaserian
    @SenteuNaserian2 ай бұрын

    Wow Really love your sermon......... Thank you so much Pastor

  • @ashercinematic7080
    @ashercinematic70804 ай бұрын

    Masomo yako mazuri sana, na natufundisha mambo ya vizazi kabisa, ila nakuomba utumie kiswahili, tunapata shida maneno mengine kuyaelewa

  • @EmmanuelBurton-kt1wk
    @EmmanuelBurton-kt1wk2 ай бұрын

    Mafundisho ni mazur sana shida ni lugha jitahidi kutumia Kiswahili na sisi tukuelewe vizur

  • @haikaellyngajilo7768
    @haikaellyngajilo77683 ай бұрын

    Alway on my pray ..Mungu akutunze pastor 😇

  • @ernestnoely848
    @ernestnoely8483 ай бұрын

    Powerfully word

  • @work24onme
    @work24onme4 ай бұрын

    Holy Spirit of God Amen 🙏🏼. PT, hata sisi wanawake tuwe makini nani anatuoa. PANDE ZOTE MBILI KUWA MWILI 1 na Vizazi hivi vya Kidigital na sio Analog, Shidaleee , cheche ndani zitaripuwa nyumba, 🤔. Eee Mwenyezi Mungu, Neema yako, Amen 🙏🏼

  • @rosemarykimario2880
    @rosemarykimario28804 ай бұрын

    Ahsante baba Mungu anisaidie nipate mwanaume sahihi kwenye maisha yangu

  • @thomastomas9730

    @thomastomas9730

    3 ай бұрын

    amen

  • @MagrethErnest-ge2yq
    @MagrethErnest-ge2yq4 ай бұрын

    Barikiwa sana pastor

  • @user-mf9uy1gk5c
    @user-mf9uy1gk5cАй бұрын

    Sois abondement béni 🙏🏼!

  • @PytchenMbala-yz8qn
    @PytchenMbala-yz8qn4 ай бұрын

    Baba pastor punguza kingereza sisi wengine hatujasoma,lakin tuna haki ya kupaata mafundisho

  • @user-dr2cs2zw4p

    @user-dr2cs2zw4p

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂 si babaako alikuwambia nenda shule ukaona madaftari mazitoo? Ukaenda misele yako saii unamlaum tony

  • @gracemkami1343

    @gracemkami1343

    4 ай бұрын

    Mungut akubaliki msomi na wanao pia wasome sana ili uje kujua Nini maana ya DUNIA​@@user-dr2cs2zw4p

  • @happynescostat7420

    @happynescostat7420

    4 ай бұрын

    Kama tungesoma wote Nani angelima? Vidole avilingani,🎉

  • @robertmaximilian3264

    @robertmaximilian3264

    4 ай бұрын

    Nimeona watu wengi wanabeza watu tunaolalamika kingereza kingi siyo kwamba atujuhi kuongea ila tunaangalia na watu wengne wasiyo ijua iyo lugha basi kama anaoushauli wetu siyo sahihi basi aweke mkaliman ili watu wengne pia wapate neema ya kuskiliza

  • @petermanala6138

    @petermanala6138

    4 ай бұрын

    ​@@happynescostat7420😂😂😂😂😂Asante Kwa jibu Hilo ukute hata yy haelew lugha

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi47464 ай бұрын

    😅Kama Kingereza Kinamzingua Mswahili wa Gezaulole Wekeni Mkalimani. Roho Mtakatifu aliye Ndani ya Huyu Pastor anaflow English.

  • @user-vl3fv8du1r

    @user-vl3fv8du1r

    2 ай бұрын

    Umetisha

  • @bikoolaizer2737
    @bikoolaizer27374 ай бұрын

    Amen amen amen

  • @user-ul4cv4vy2z
    @user-ul4cv4vy2z3 ай бұрын

    Mtumishi bwana akuongezee neema kubwa. Kwa mafundisho yako.

  • @user-ul4cv4vy2z

    @user-ul4cv4vy2z

    3 ай бұрын

    Barikiwa sana

  • @seraphineally9739
    @seraphineally97394 ай бұрын

    Mungu nisaidie nipate mume sahihi

  • @ZOMBIE-bf6yg

    @ZOMBIE-bf6yg

    Ай бұрын

    Ndio mm mungu amenituma kwako😂

  • @jamesmwashinga
    @jamesmwashinga3 ай бұрын

    Sifa na utukufu apewe BWANA YESU

  • @user-fp1gd4lf8b
    @user-fp1gd4lf8b3 ай бұрын

    My sister was living him lakini kwa ajili ya vingereza mingi anaanzaga vuka publications zake.

  • @Davidgeorge-xq8me
    @Davidgeorge-xq8me3 ай бұрын

    Pastor jamani anafundisha,abarikiwe na MUNGU Halafu wanaodadai anaongea kiingereza sana ni vizuri ili wajifunzie humohumo.

  • @evalynependo3824
    @evalynependo38244 ай бұрын

    Hallelujah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @jastinnkya
    @jastinnkya4 ай бұрын

    Amin sana mtumishi wa mungu akubariki sana

  • @yusuphmipawa6340
    @yusuphmipawa63404 ай бұрын

    Kafundishe wazungu

  • @genzisolutions9104
    @genzisolutions91044 ай бұрын

    Ameen

  • @Brightnessyohana
    @Brightnessyohana4 ай бұрын

    Hallelujah 🙏🏿

  • @amosibilingi4299
    @amosibilingi42994 ай бұрын

    Don't say jump, say skip

  • @dorcaskaka2085
    @dorcaskaka20854 ай бұрын

    Glory to God 🎉🎉🎉🎉

  • @jumarajab5316
    @jumarajab53164 ай бұрын

    hivi hawa inamaaana mambo yao yamenyooka hawanaga changamoto

  • @kizitowalukwe1501
    @kizitowalukwe15014 ай бұрын

    Pastor please am going through a family curse that has ruined my life and am struggling right now pls pray 4me am from Kenya

  • @dorcasmukami7032

    @dorcasmukami7032

    2 ай бұрын

    Pia Niko Kenya...Je unaeza Kua wajua jinsi ya kutumia hizo number zao?

  • @Selfia-ru4wu
    @Selfia-ru4wu3 ай бұрын

    Aki pastor please pray for us to get the right partner 🙏

  • @MinisterRaphaelMwamu
    @MinisterRaphaelMwamuАй бұрын

    Hapo kasema Mtumishi

  • @adrianokubila8374
    @adrianokubila83742 ай бұрын

    Mtumishi tumia kiswahili mi kingereza sikijui

  • @PeterSimbeya-hd7gs
    @PeterSimbeya-hd7gs3 ай бұрын

    Power wisdom ever heard

  • @user-nm9mk7fz1l
    @user-nm9mk7fz1l4 ай бұрын

    Naomba upunguze kingereza pls paster

  • @frankstarstz470
    @frankstarstz4708 күн бұрын

    Ngeli kaka langueg tatizo

  • @sophiamarwa4067
    @sophiamarwa40674 ай бұрын

    Asante pastor 🙏

  • @user-jd1yo1ve6u
    @user-jd1yo1ve6u3 ай бұрын

    Yan napenda sana mafundish yako san

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi79544 ай бұрын

    Tunakuelewa vzur sn

  • @user-ss8mn8wu5r
    @user-ss8mn8wu5r4 ай бұрын

    Napenda mahibiri lakini lugha ya kiingereza si ndo mtihani

  • @sammychansa1797
    @sammychansa17974 ай бұрын

    Unahubir Kwl kbs ila lugha itakushusha baba

  • @abelharris6175

    @abelharris6175

    3 ай бұрын

    Haitamshusha.

  • @bplugins81
    @bplugins813 ай бұрын

    Kingereza kingi Aisee

  • @brayankimambo5125
    @brayankimambo51254 ай бұрын

    Pasta tunapenda sana mafundisho yako lakini wengine hatuelewi kingereza hivyo tunaomba ufundishe kwa lugha ya kiswahili

  • @user-jg3ry4wb7i

    @user-jg3ry4wb7i

    3 ай бұрын

    Umande wengi mliukimbia asee

  • @chimgegeema5533
    @chimgegeema55333 ай бұрын

    Kweli pasta weka na mkalimani natamani kukusikliza sielewi kabisa

  • @bonychitanda6410
    @bonychitanda64103 ай бұрын

    Hivi huyu mchungaji wateja wake ni wanajua kingereza sana au.

  • @getrudaleonard8323
    @getrudaleonard83234 ай бұрын

    Kaka kaka kaka naimani ntafika mbali kukufwatilia we unaukweli mkubwa na Akili kubwa unayo,,,Tk

  • @VeronicaNtabo-ol3xd
    @VeronicaNtabo-ol3xd4 ай бұрын

    Amen

  • @EssauChauya
    @EssauChauya4 ай бұрын

    Mchungaji nakuelewa sana mafundisho yako tena napenda mnoo kukufatilia,,,, lakini sasa KINGELEZA KINGI MNOO UNAWEKA ,,, MANENO MENGI YANANIPITA NAKUWA NI MTU WA KUUNGAUNGA MANENO ILI NIPATE SENTESI NA NIIPATIE MAANA.

  • @vickydan2869

    @vickydan2869

    4 ай бұрын

    😢😢😢😢😢 jamani mimi😢😢😢mwambieni jamani😢😢😢😢

  • @victoriskiwango6770
    @victoriskiwango67702 ай бұрын

    Imeingia hiyoo had kweny Moyo

  • @edwardisingo3286
    @edwardisingo32864 ай бұрын

    Nimependa biti❤

  • @georgedavid8358

    @georgedavid8358

    4 ай бұрын

    😂

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi72404 ай бұрын

    Barikiwa sana

  • @floramakwi-vg4en
    @floramakwi-vg4en4 ай бұрын

    Amina

  • @davidmutinda952
    @davidmutinda9523 ай бұрын

    Hii Kali wow

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc4 ай бұрын

    Hahahahaaa kuzimia tenaaaa nimevunjika mbavu

  • @salima2658
    @salima26584 ай бұрын

    Kingeleza sasa ungekiacha

  • @analupia
    @analupia4 ай бұрын

    Mtumishi daaaa hata.mm.nilimwota.mume.wangu ananikimbia.kumbe.sio sahihi kwangu..maana.hata.nguo.za.watoto.hanunui

  • @georgedavid8358

    @georgedavid8358

    4 ай бұрын

    😂😂

  • @oprahpelle2531

    @oprahpelle2531

    3 ай бұрын

    OMBA MAMBO MENGINE NIYEYE AMEFUNGWA AU WEWE UMEFUNGWA ILI USIHUDUMIWE AU KUTHAMINIWA

  • @rithaferdinand3738
    @rithaferdinand37384 ай бұрын

    Kingereza chako kinanifurahishaga sn et every time I see big chest i am vurugward😂😂😂😂na your mind is tawanyward😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaah napenda sn kukuckiliza we mchungaji 🙌🙌🙌

  • @KareenSojo-ue1db
    @KareenSojo-ue1db4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂kuzimia peke yako😂😂😂 pastor umetuwezaa

  • @nkwabison
    @nkwabison4 ай бұрын

    ☑️🔝

  • @user-gh3zf4ow4c
    @user-gh3zf4ow4cАй бұрын

    Kiswahili na kingereza

  • @erickjohnglobal1536
    @erickjohnglobal15362 ай бұрын

    ✍️😇

  • @joasyeliya2481
    @joasyeliya24813 ай бұрын

    😂😂😂💪💪💪real men talk

  • @vitusvedastus3781
    @vitusvedastus37814 ай бұрын

    Uko vzur sana bro but ENGLISH Nyigi sana wengine ni ngum kkuelewa

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js3 ай бұрын

    Au ndo tumesha PATA elaa tumesaau luga yetuuu

  • @abelharris6175

    @abelharris6175

    3 ай бұрын

    Hupati hata point moja kwa anachoongea? Lugha sio issue. Issue ni content unayoipata kwenye fundisho.

  • @AnnaAyubu-cm9mv
    @AnnaAyubu-cm9mv3 ай бұрын

    Tumia lugha ya Taifa letu kama unahudumia wa Tanzania

  • @bightmind.tv1
    @bightmind.tv14 ай бұрын

    am vurugwadi

  • @tullymwakipesile2077
    @tullymwakipesile20774 ай бұрын

    For someone I know; alifunga na kuomba for the same case”relationship”. Siku ya mwisho ya mfungo aliona/aliota yupo nje ya nyumba yake amezungukwa na kono kono wengi sana wale wasiokuwa na jumba juu, then wakawa wanabadilika taratibu kuwa chura….. Very weird.

Келесі