Kuwa Makini Nani Unamuoa | Kuuweza Wakati Ujao | Pastor Tony Kapola
Музыка
Je, unamfahamu mtu unaetarajia kumuoa au unaenda tu na maisha? Tega sikio upate neno kuhusu hili swala.
Connect with Pastor Tony Osborn Ministries:
Facebook: / pastortonykapola
Instagram: / pastortonyosborn
Contacts (Mawasiliano): +255 713 702 187
Offerings (Sadaka): +255 762 153 539 (ANTHONY KAPOLA)
Пікірлер: 225
A tired mind can't make a good decision,,, 📖💯🇨🇩
Jamani huyu baba ANAFUNDISHA 🙌🙌Tushindwe tu kubadilika ila PT Baba kwenye mafundisho tu UUNATUFUNDISHA❤❤
@Dominant97
3 ай бұрын
Exactly
@user-zp5oo9gf1r
2 ай бұрын
Someni biblia😂😂😂 nd mtajua ukweli yesu aliotak ufundishwe hawafundishi bali mnapenda life experiences
@otarurosie
Ай бұрын
Sana
Congratulations kwako mtumishi Umenibadilisha sehem kubwa sana ya maisha yangu
Pastor,,am grateful at least you made me learn how to forgive,my heart isn't heavy,,
MUNGU akuweke sana mtumishi wa MUNGU unatutoa gizani mnoo much blessed
I think huyu Pastor, ni moja kati ya watumishi bora hapa Tanzania. Mungu akubariki sana mtumishi.🙏
Ila kiongozi ila kwa sisi ambao atujapata neema naaka kalugha tunateseka alafu chakula kitamu kweli weka kabint kakutafsiri utumie kiswahili ndugu, Mungu tusaidie ombi letu lifike
Mungu nisaidie kweli kweli nipate ubavu wangu sahihi
@barakaedom3828
4 ай бұрын
Amen
@paulsylvester7877
4 ай бұрын
Endelea kusali
@barakafifi1607
4 ай бұрын
G uko peke yako
@williamreuben4866
2 ай бұрын
Okey
Asante YESU kwa mafindisho kazuri, hakika PT bwana Mungu na akuzidishie Neema pamoja na familia yako
Yaaani mifano yote ni mm, everything was for me 😮 then I WILL PRAY SIR
Asha amosi mtumishi unafundisha sana rakini punguza kigereza maana watu wengene hawajui kigereza unafundisha vizuri watoto wetu mungu akubariki sana
Pastor una watu wengi wanakufuatilia niwa nchi yako pia weka mkalimani unatumia sana lugha ya kingereza na kwa wengine hawaelew japo wengine tunaelewa ila wengine wanatamani kusikia nini unahibiri lakin kwahajili ya lugha ya kingereza wanapata shida
@robertmaximilian3264
4 ай бұрын
Asante sana umesema nilichotaka kusema 🙏🙏🙏
@lodricklazaro1013
4 ай бұрын
Kweli kabisa hapo
@vickydan2869
4 ай бұрын
Naomba uongee kwa sauti😢😢😢😢😢😢 jamani😢😢😢mpaka clipu zake nimekua navuka😢😢😢😢😢😢
Pastor your the best 💖 🥰 MAFUNDISHO yako yamenibadilisha nimepiga hatua na naendelea kujifunza Please Glory to God who bring you to this world 🌍🙏🙏💯
I just can't stop listening to you..... you always walk along my life mystery❤❤❤be blessed for such preaching
Mungu nisaidie kisha unipeleke nguvu za maombi ili nimuombee mwanaume huyu, kama yupo sahihi,kwa jina la yesu ameeeeeeeennnnnn
@ramadhanimtiba834
4 ай бұрын
Mambo
@evalynependo3824
4 ай бұрын
Poa sana vip zaleo @@ramadhanimtiba834
@user-dr2cs2zw4p
4 ай бұрын
Amen
@GladnessSanare
3 ай бұрын
Amen mm pia na iwe hivyo kwang🙏
Thank you very much Pastor Tony Kapola due to your message to us be blessed pastor Amen.
Natamani mtumishi ungelikuwa unatumia maneno ya kiingereza kwa nchi zinazo zungumza lugha hiyo, watu tunashindwa kukuelewa mzee. Tafadhali atukupangii lugha ya kutumia ila ni vyema unaongea na watu wa taifa gani. Asante!
@jovenatusstephen5958
4 ай бұрын
Ukiona huelewi Maana yake hakuitwa kwa ajili yako
@jamesmwafongo1295
4 ай бұрын
Lakin ametoa ushaur mzuri wew umejibu kwa kejeli hekima ni bora sanaaa
@user-dq4ws5ip9r
4 ай бұрын
Kweli babisa aongee luga ya kwetu
@carolinederi5690
4 ай бұрын
You mean kue na translator au?
@robertmaximilian3264
4 ай бұрын
Kweli kaka bora angeweka mkaliman siyo wote wanaomfatilia manajua iyo lugha
Ubarikiwe baba
You have saved one soul today, amen
Fundishaa kingereza au Kiswahil mtu wa Mungu fanya kama Roho mtakatifu anavyokuongoza na kukutumia Ni hivyo kama kuna mtu hajui lugha anapaswa kujifunza kwa maana huyu mtumishi anaongea kingereza na anatafsiri hapohapo sikiliza kwa utulivu utamwelewa mtumishi wa Mungu... Muache kukosoa watumishi wa Mungu kama unaongea na mtu wa kawaida. Sio sahihi unapaswa kutoa maoni wala sio kama kila mtu atakavyo Ila kwa hekima ya Mungu kama huelewi haya pita hiviiii......
@petermanala6138
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kumbe na wewe umetumia majibu ya hekima😢😢😢😢
@FrankMushi-cs5js
3 ай бұрын
Wewe mwenyewe una hekima yeyote mpumbavu tu😂
@user-xq6le2nu6h
3 ай бұрын
Haaaaa pumbavuten daa😂😂@@FrankMushi-cs5js
Kweli kabisa kingereza kingi basi bola Uwe na mkaliman kama unapenda kuongea lugha ngeni
may God protect you pastor..🙏 for lessons
Hallelujah! Ahsante Mungu kwa kukupa kibali hiki kikubwa namna hiii unasaidia wengi
Amen Amen Amen, Ubarikiwe sana Pastor TK,, iyo ni kweli kabisa,, maombi, malombi,,, 📖🕊️❤️
Mungu azidi kukubariki sana Pastor, kwa kuitumia vyema talanta aliyokupaa.
Mungu alibariki sana tumbo ulilotoka
Mungu akuweke sana uendelee kutufundisha hii mambo ❤❤❤❤❤❤ Mtumish wa Bwana Ahsante
Nikweli kila mtumishi amepewa watu wakuongea nao lkn uyu pastor kingereza kingi Sana watu wanatamn kumskliza lkn daah 😢English tupu
@Rosetemba97
4 ай бұрын
Ni kwasababu dunia nzima inamsikiliza ....ndo maana anachanganya kuna watu pia hawajui kiswahili
@lilasuliman552
4 ай бұрын
Alafu wanaomsikiliza nahisi wote ni wasomi
@neemaryan9947
4 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi naomba uweke mkalmani ili Neema hii iwafikie watu wengi zaidi ulimwenguni Ubarikiwe na Bwana
@veronicankhwazi7954
4 ай бұрын
Yuko kimataifa zaidi sio tu tz
TRUTH TO BE TOLD ❤...STRAIGHT FORWARD
I will pray for it for my future family my God help me and make fulfill my purpose
Napenda mafundizo yako ....barikiwa mtumishi wa mungu
Congratulations Pastor you talk the truth
Ama kwa hakika Mimi nimebarikiwa kuwa na PT Kama wewe najiona ni mwenye bahati mnooooo mafundisho yako yananiongoza na kunifanyia nijue ninapo kwenda barikiwa Sana
Announced man of God always listening in from Kenya
Uko sahihi mtumishi kuhusu swala la lugha mbona liko sawa kuchanyanga lugha sio shida !! Mtumishi endelea kutoka madini
Thank pastor Tony I understand you what am tooking so appreciate you
Uyu pastor apelekwe nchi nyingne sasa kingereza tupu jaman
@heavenlight5084
4 ай бұрын
😂😂😂
@makenakiki946
4 ай бұрын
God has increased his audience, pray for him and the message.
Wow Really love your sermon......... Thank you so much Pastor
Masomo yako mazuri sana, na natufundisha mambo ya vizazi kabisa, ila nakuomba utumie kiswahili, tunapata shida maneno mengine kuyaelewa
Mafundisho ni mazur sana shida ni lugha jitahidi kutumia Kiswahili na sisi tukuelewe vizur
Alway on my pray ..Mungu akutunze pastor 😇
Powerfully word
Holy Spirit of God Amen 🙏🏼. PT, hata sisi wanawake tuwe makini nani anatuoa. PANDE ZOTE MBILI KUWA MWILI 1 na Vizazi hivi vya Kidigital na sio Analog, Shidaleee , cheche ndani zitaripuwa nyumba, 🤔. Eee Mwenyezi Mungu, Neema yako, Amen 🙏🏼
Ahsante baba Mungu anisaidie nipate mwanaume sahihi kwenye maisha yangu
@thomastomas9730
3 ай бұрын
amen
Barikiwa sana pastor
Sois abondement béni 🙏🏼!
Baba pastor punguza kingereza sisi wengine hatujasoma,lakin tuna haki ya kupaata mafundisho
@user-dr2cs2zw4p
4 ай бұрын
😂😂😂😂 si babaako alikuwambia nenda shule ukaona madaftari mazitoo? Ukaenda misele yako saii unamlaum tony
@gracemkami1343
4 ай бұрын
Mungut akubaliki msomi na wanao pia wasome sana ili uje kujua Nini maana ya DUNIA@@user-dr2cs2zw4p
@happynescostat7420
4 ай бұрын
Kama tungesoma wote Nani angelima? Vidole avilingani,🎉
@robertmaximilian3264
4 ай бұрын
Nimeona watu wengi wanabeza watu tunaolalamika kingereza kingi siyo kwamba atujuhi kuongea ila tunaangalia na watu wengne wasiyo ijua iyo lugha basi kama anaoushauli wetu siyo sahihi basi aweke mkaliman ili watu wengne pia wapate neema ya kuskiliza
@petermanala6138
4 ай бұрын
@@happynescostat7420😂😂😂😂😂Asante Kwa jibu Hilo ukute hata yy haelew lugha
😅Kama Kingereza Kinamzingua Mswahili wa Gezaulole Wekeni Mkalimani. Roho Mtakatifu aliye Ndani ya Huyu Pastor anaflow English.
@user-vl3fv8du1r
2 ай бұрын
Umetisha
Amen amen amen
Mtumishi bwana akuongezee neema kubwa. Kwa mafundisho yako.
@user-ul4cv4vy2z
3 ай бұрын
Barikiwa sana
Mungu nisaidie nipate mume sahihi
@ZOMBIE-bf6yg
Ай бұрын
Ndio mm mungu amenituma kwako😂
Sifa na utukufu apewe BWANA YESU
My sister was living him lakini kwa ajili ya vingereza mingi anaanzaga vuka publications zake.
Pastor jamani anafundisha,abarikiwe na MUNGU Halafu wanaodadai anaongea kiingereza sana ni vizuri ili wajifunzie humohumo.
Hallelujah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amin sana mtumishi wa mungu akubariki sana
Kafundishe wazungu
Ameen
Hallelujah 🙏🏿
Don't say jump, say skip
Glory to God 🎉🎉🎉🎉
hivi hawa inamaaana mambo yao yamenyooka hawanaga changamoto
Pastor please am going through a family curse that has ruined my life and am struggling right now pls pray 4me am from Kenya
@dorcasmukami7032
2 ай бұрын
Pia Niko Kenya...Je unaeza Kua wajua jinsi ya kutumia hizo number zao?
Aki pastor please pray for us to get the right partner 🙏
Hapo kasema Mtumishi
Mtumishi tumia kiswahili mi kingereza sikijui
Power wisdom ever heard
Naomba upunguze kingereza pls paster
Ngeli kaka langueg tatizo
Asante pastor 🙏
Yan napenda sana mafundish yako san
Tunakuelewa vzur sn
Napenda mahibiri lakini lugha ya kiingereza si ndo mtihani
Unahubir Kwl kbs ila lugha itakushusha baba
@abelharris6175
3 ай бұрын
Haitamshusha.
Kingereza kingi Aisee
Pasta tunapenda sana mafundisho yako lakini wengine hatuelewi kingereza hivyo tunaomba ufundishe kwa lugha ya kiswahili
@user-jg3ry4wb7i
3 ай бұрын
Umande wengi mliukimbia asee
Kweli pasta weka na mkalimani natamani kukusikliza sielewi kabisa
Hivi huyu mchungaji wateja wake ni wanajua kingereza sana au.
Kaka kaka kaka naimani ntafika mbali kukufwatilia we unaukweli mkubwa na Akili kubwa unayo,,,Tk
Amen
Mchungaji nakuelewa sana mafundisho yako tena napenda mnoo kukufatilia,,,, lakini sasa KINGELEZA KINGI MNOO UNAWEKA ,,, MANENO MENGI YANANIPITA NAKUWA NI MTU WA KUUNGAUNGA MANENO ILI NIPATE SENTESI NA NIIPATIE MAANA.
@vickydan2869
4 ай бұрын
😢😢😢😢😢 jamani mimi😢😢😢mwambieni jamani😢😢😢😢
Imeingia hiyoo had kweny Moyo
Nimependa biti❤
@georgedavid8358
4 ай бұрын
😂
Barikiwa sana
Amina
Hii Kali wow
Hahahahaaa kuzimia tenaaaa nimevunjika mbavu
Kingeleza sasa ungekiacha
Mtumishi daaaa hata.mm.nilimwota.mume.wangu ananikimbia.kumbe.sio sahihi kwangu..maana.hata.nguo.za.watoto.hanunui
@georgedavid8358
4 ай бұрын
😂😂
@oprahpelle2531
3 ай бұрын
OMBA MAMBO MENGINE NIYEYE AMEFUNGWA AU WEWE UMEFUNGWA ILI USIHUDUMIWE AU KUTHAMINIWA
Kingereza chako kinanifurahishaga sn et every time I see big chest i am vurugward😂😂😂😂na your mind is tawanyward😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaah napenda sn kukuckiliza we mchungaji 🙌🙌🙌
😂😂😂😂😂😂😂😂kuzimia peke yako😂😂😂 pastor umetuwezaa
☑️🔝
Kiswahili na kingereza
✍️😇
😂😂😂💪💪💪real men talk
Uko vzur sana bro but ENGLISH Nyigi sana wengine ni ngum kkuelewa
Au ndo tumesha PATA elaa tumesaau luga yetuuu
@abelharris6175
3 ай бұрын
Hupati hata point moja kwa anachoongea? Lugha sio issue. Issue ni content unayoipata kwenye fundisho.
Tumia lugha ya Taifa letu kama unahudumia wa Tanzania
am vurugwadi
For someone I know; alifunga na kuomba for the same case”relationship”. Siku ya mwisho ya mfungo aliona/aliota yupo nje ya nyumba yake amezungukwa na kono kono wengi sana wale wasiokuwa na jumba juu, then wakawa wanabadilika taratibu kuwa chura….. Very weird.