#Shajara ya Babbie Kabae inamleta kwako Tony Kapola, mmoja ya watumishi wa Mungu waliojizolea ufuasi mkubwa miongoni mwa vijana
Жүктеу.....
Пікірлер: 97
@JoelKakizibaJK11 күн бұрын
People are enrolled with envy to close your potentials but for real Mr Tony he has something and a call too. 🔥🔥
@Happie146 ай бұрын
Church is not a place for perfect people, it's a place for perfecting people👏👏👏
@aureliayuktankabebwa5066
6 ай бұрын
👏🏽💯
@reginamarwa86366 ай бұрын
Baba paroko Ton...wa parokia ya Mkuyuni.......safi sanaaa
@BritneyCheyo-jo9nf6 ай бұрын
The only thing 😌pastor Tony anafanya , the correct and straight answers ila ..this mtangazaj has to learn sthng on this man..
@lukizatv6 ай бұрын
Tony ,You have simplified the gospel and made it more relevant to me .
@israelngapona42256 ай бұрын
Very good and Critical reasoning… Nadhani mtangazaji angekuwa mwamini(Mkristo) kipindi kingekuwa cha tofauti zaidiii
@mageebwire9226 ай бұрын
Critical thinking, how he builds his arguments, and the deep knowledge he has on what he talks about makes me want to learn from him more. Baby, thanks for the interview. There were rooms for more questions and speculation.
@salomemrembo74826 ай бұрын
.P.T big up mchungaji wangu wa mtandao..nakufatiliya mdo..God Azidi kukutumiya..allways uko Top .God .Akulinde 🙏🇰🇪
@JacksonCostar5 ай бұрын
Amen barikiwa baba.Tunajifunza hekima kubwa kutoka kwako.MUNGU akutunze sana❤❤
@kisukarikinapona35766 ай бұрын
Pastor Tony Kapola you have rocked it! Yesu uinuliwe Juu Sanaa wewe utupaye Akili kuliko wakufunzi wetu. Hii Akili ya Kristo ndani yako nimeipenda
@OnlyRuky6 ай бұрын
Ahhahahahahaa he's very smart hakuna swali lililokosa jibu. Babay K next time try to be extra kwa wageni wengine🪓
@ennymziray6 ай бұрын
Akili Kubwa Sana PT Mungu Ambarikia🙏🙏
@pemaleganya91946 ай бұрын
Hii imeenda kabisa PT. Akili nyingi sana
@paulkamete29474 ай бұрын
Oooh Pastor waoooooh! I met Charles Kababu in Arusha he is a good preacher
@ambelecheyo56676 ай бұрын
Pastor You so clever through holy spirit.
@enemtv46376 ай бұрын
Woow this guy straigt from god annointed one full of wisdom and brain god bless you pastor tony keep on rocking your part to hit and kill the devil in all spheres of our life your contribution is biiiiiigeer thanks lord for having you
@BlessingSapali3 ай бұрын
Swilla removes better people on the earth❤
@user-mu7ge1ky7u6 ай бұрын
Mtanganzanji hata Hana la kuulizaa...arudi masomo 🙏
@ukweli255
6 ай бұрын
Mtangazaji huyu nahisi humjui kabisa
@salumlehani3952
6 ай бұрын
Ila kweli, alitakiwa amstudy sana
@magrethmichael7344
6 ай бұрын
Angehojiwa na Christian ,Kuna maswali yangeulizwa zaidi.
@magrethmichael7344
6 ай бұрын
Angehojiwa na Christian ,Kuna maswali yangeulizwa zaidi.
@titusmuriithi11085 ай бұрын
Tony ,umenifuza mengi siku yajua kwa wahubiri wengi, uko sawa sana na ubarikiwe sana, Niko Kenya
@NottyMremy6 ай бұрын
Jesus is Glorified,honoured , praised and exalted from his speaking. May God keep you man of God🙏
@user-lr9bg2bq3t6 ай бұрын
Pastor Tony honestly umeniliza Leo baada ya kusikia sauti yako ktk shajara. God be with U.. God is Good; All the Time God is Good. Mtangazaji hongera sn ...God Job. Pastor Tony neno lako la x-mas hasa last msg imekusa mtima wangu. Mungu atulinde. Amen
@patricioussafari42646 ай бұрын
The fact that he answers relating to the scriptures...God is more glorified through him
@user-pc4wm5rb9x6 ай бұрын
correct pastor ryoba alikua anajua kuishi na watu,
@payovelahjames47786 ай бұрын
Nice interview...Hallelujah, Glory to Jesus!
@user-lr9bg2bq3t6 ай бұрын
Ur good Pastor Tony...u preach what we deserve to eat bro. Good Bless You
@catherinejustine53026 ай бұрын
Amen hongera pastor wetu
@veronicakatembwa6 ай бұрын
Wooow thats my pastor❤
@MekiThomas-18406 ай бұрын
Almighty God is so great.
@ezrayavanijosias6 ай бұрын
Big conscious man of God.🙏🙏
@marycharles37496 ай бұрын
Babe please jaaamani naomba urudie hii interview haujaitendea haki hasa kwenye maswahili hiyo mtu anamambo mengi sana ya kutufunza ukiachana na uchungaji tu
@alex_vincent6 ай бұрын
Hallelujah
@Ment24036 ай бұрын
Amen 🙏🏾 Pastor
@jasmeenmakassy-fs9mf6 ай бұрын
masha allah ❤
@gracekasambala47126 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki na kukuinua pastor Tony.
@oneonetv53796 ай бұрын
Amen!
@AmmyAlly-gm8rv6 ай бұрын
Waoow!❤
@edinaedwin394822 күн бұрын
🙏
@producertondo73166 ай бұрын
Bro unajibu maswal very technical ur so generous
@akilimasyogamo12426 ай бұрын
Mungu azidi kukujalia kulijua neno lake Naam lizid kukuponya
@elizabethjustice5206 ай бұрын
Yesu alikuwa na ghorofa ufukweni
@Miss_Lee3356 ай бұрын
Full of Knowledge 💯😍
@philipinashine8376 ай бұрын
Amen
@tukuswigaikasu52275 ай бұрын
This pastor is smart upstairs
@piliibrahim40576 ай бұрын
God is good all the time
@catherinejustine53026 ай бұрын
Amen 👏👏👏👏
@devothafredrick6 ай бұрын
Waooo
@reginamarwa86366 ай бұрын
Kweli kabisaaaa unasikiluzwa na wazee na wanakupenda sana
@marysuper90386 ай бұрын
❤
@speciozambuta69756 ай бұрын
thats ma pastor
@EvalineT606 ай бұрын
So unprofessional , she keeps repeating herself
@veeJesus6 ай бұрын
Woow Thats my Pastor❤
@user-pb2fc6gi2f6 ай бұрын
Good
@lovegodwine78686 ай бұрын
Barikiwa pastor una akili sana....alitakiwa kuhojiwa na mkristo tena born again.
@titusmuriithi11085 ай бұрын
Mchungaji mwenye kibali, ukihubiri Mimi na jamii yangu tuna barikiwa
@atuenemsalilwa25486 ай бұрын
Nakufurahia sana mtumishi wa Mungu
@leaherasto9296 ай бұрын
Mtangazaji umetuangusha huna maswali kabisa
@levinawhite67865 ай бұрын
Akili kubwaaaaa mnooo
@allanjohn7193 ай бұрын
Pr ungemjibu TU kuwa YESU ni zaidi ya hizo private jet yeye ni anatupa kuwa mabilionea mm mtu wa MUNGU namwamini yesu nitakupa ushuhuda siku zijazo mm ni bilionea kwa jina la YESU
@johnsosy31286 ай бұрын
Mtangazaji anashindwa kuhoji kwasababu akilini mwake anamchukulia poa sana jamaa na kumuona kama mtu maarufutu alietoboa mitandaini, kiasi kwamba anashindwa kuona reality ya Umuhimu wahuyu mtu kwajamii. She is not serious
@gilliansiara33246 ай бұрын
Mahubiru hapa,technic talking let see the end will just....
@levinawhite67865 ай бұрын
Huyu mtumishi na kuelewa kinomaaaa
@emmylaizer65816 ай бұрын
Huyu dada jaman anaulizaa nin??mbona mmmhy maswali haya kiru
@joycegadi96304 ай бұрын
KWANI MTANGAZAJI TATIZO NI NINI MHUBIRI KUWA NA MALI ; Mbona wapo Wengi sanaaa wahubiri hawana mali.??
@Motalent6 ай бұрын
Pastor in town 😢😢😢
@jimmymasomhe25555 ай бұрын
Tulikuwa na industrial age ambayo ilikuwa na mazingira yake na namna ya kuwasiliana na level of technology pia .... But now tuko Kwa information age, na advanced technologies vitu ambavyo vinaweza kumsaidia Sana MTU kusikika Kwa urahisi kama akihitaji.... So don't ignore the power of social media kukufanya ufike ulipofika pastor....
@user-je2cr9su8q6 ай бұрын
Halafu unaacha kumuonya mwanamke kavaa suruali kweli?
@user-ic8od4el4c6 ай бұрын
Secular media lazima muwe mnaweka watu waliokoka kuinterview wahubr mungewa tumia kina huruma au kapiga and other born again there kongole
@sirnunda37586 ай бұрын
Wewe ni muongo ukisoma Wakorintho 9:8 Neno linasema maana tuimeijua neema ya Bwana Yesu Kristo jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yetu,ingawa alikuwa tajiri ili sisi tupate kuwa matajiri kwa umaskini wake.Kwa hiyo huyu jamaa anadanganya.Ndiyo maana ya Injili ya msalaba Yesu Kristo alikuja kama asiye weza kuwawezesha wasio weza waweze,Aliteswa na kutemewa mate ili wewe usidharaulike,Pamoja na ukweli kwamba alikuwa Mungu ange amuru malaika wampiganie hakuna ambaye angemgusa,etc.Nyie watumishi wachumia tumbo ambao mnatumia loop holes za watu kutokulijua neno la Mungu kuwapiga hela.Kuna tofauti ya kuwa muhubiri na motivation speaker wa neno la Mungu.Mtume Paulo anasema sikuja kuwahubiria hekima za kibinadamu bali neno lenye nguvu ya Roho Mtakatifu.
@lutelute3798
6 ай бұрын
Kumbe ww una ku motivate 😂 utateseka sana ndugu
@songotz7538
6 ай бұрын
Mbona makasiriko mengi mzee
@VailethSamwel-us2bh
6 ай бұрын
Mbona umetuandkia gazeti ndugu😁😂 unaonekana unahasira sana pole
@olivermfinanga9387
6 ай бұрын
Pole san bro ndy hvo Mungu kamuinua ww unayejua neno Zaid yke endelea kuchomwa jua😂
@sirnunda3758
6 ай бұрын
@@olivermfinanga9387 Mimi siamini kwenye kujua neno ndiyo mtaji wa kuanzisha huduma na kuwaibia manyumbu kama wewe ambao ni sombasomba hamna upeo wa kudadisi neno kama Waberoya
@clarencekasati29376 ай бұрын
Not satisfied with pastor ton answers because to some extent he lied
@evelinepeter3457
6 ай бұрын
Mmmh ???
@sirnunda3758
6 ай бұрын
True but unfortunately he has met with group of people who knows nothing about scriptures
Пікірлер: 97
People are enrolled with envy to close your potentials but for real Mr Tony he has something and a call too. 🔥🔥
Church is not a place for perfect people, it's a place for perfecting people👏👏👏
@aureliayuktankabebwa5066
6 ай бұрын
👏🏽💯
Baba paroko Ton...wa parokia ya Mkuyuni.......safi sanaaa
The only thing 😌pastor Tony anafanya , the correct and straight answers ila ..this mtangazaj has to learn sthng on this man..
Tony ,You have simplified the gospel and made it more relevant to me .
Very good and Critical reasoning… Nadhani mtangazaji angekuwa mwamini(Mkristo) kipindi kingekuwa cha tofauti zaidiii
Critical thinking, how he builds his arguments, and the deep knowledge he has on what he talks about makes me want to learn from him more. Baby, thanks for the interview. There were rooms for more questions and speculation.
.P.T big up mchungaji wangu wa mtandao..nakufatiliya mdo..God Azidi kukutumiya..allways uko Top .God .Akulinde 🙏🇰🇪
Amen barikiwa baba.Tunajifunza hekima kubwa kutoka kwako.MUNGU akutunze sana❤❤
Pastor Tony Kapola you have rocked it! Yesu uinuliwe Juu Sanaa wewe utupaye Akili kuliko wakufunzi wetu. Hii Akili ya Kristo ndani yako nimeipenda
Ahhahahahahaa he's very smart hakuna swali lililokosa jibu. Babay K next time try to be extra kwa wageni wengine🪓
Akili Kubwa Sana PT Mungu Ambarikia🙏🙏
Hii imeenda kabisa PT. Akili nyingi sana
Oooh Pastor waoooooh! I met Charles Kababu in Arusha he is a good preacher
Pastor You so clever through holy spirit.
Woow this guy straigt from god annointed one full of wisdom and brain god bless you pastor tony keep on rocking your part to hit and kill the devil in all spheres of our life your contribution is biiiiiigeer thanks lord for having you
Swilla removes better people on the earth❤
Mtanganzanji hata Hana la kuulizaa...arudi masomo 🙏
@ukweli255
6 ай бұрын
Mtangazaji huyu nahisi humjui kabisa
@salumlehani3952
6 ай бұрын
Ila kweli, alitakiwa amstudy sana
@magrethmichael7344
6 ай бұрын
Angehojiwa na Christian ,Kuna maswali yangeulizwa zaidi.
@magrethmichael7344
6 ай бұрын
Angehojiwa na Christian ,Kuna maswali yangeulizwa zaidi.
Tony ,umenifuza mengi siku yajua kwa wahubiri wengi, uko sawa sana na ubarikiwe sana, Niko Kenya
Jesus is Glorified,honoured , praised and exalted from his speaking. May God keep you man of God🙏
Pastor Tony honestly umeniliza Leo baada ya kusikia sauti yako ktk shajara. God be with U.. God is Good; All the Time God is Good. Mtangazaji hongera sn ...God Job. Pastor Tony neno lako la x-mas hasa last msg imekusa mtima wangu. Mungu atulinde. Amen
The fact that he answers relating to the scriptures...God is more glorified through him
correct pastor ryoba alikua anajua kuishi na watu,
Nice interview...Hallelujah, Glory to Jesus!
Ur good Pastor Tony...u preach what we deserve to eat bro. Good Bless You
Amen hongera pastor wetu
Wooow thats my pastor❤
Almighty God is so great.
Big conscious man of God.🙏🙏
Babe please jaaamani naomba urudie hii interview haujaitendea haki hasa kwenye maswahili hiyo mtu anamambo mengi sana ya kutufunza ukiachana na uchungaji tu
Hallelujah
Amen 🙏🏾 Pastor
masha allah ❤
Mungu azidi kukubariki na kukuinua pastor Tony.
Amen!
Waoow!❤
🙏
Bro unajibu maswal very technical ur so generous
Mungu azidi kukujalia kulijua neno lake Naam lizid kukuponya
Yesu alikuwa na ghorofa ufukweni
Full of Knowledge 💯😍
Amen
This pastor is smart upstairs
God is good all the time
Amen 👏👏👏👏
Waooo
Kweli kabisaaaa unasikiluzwa na wazee na wanakupenda sana
❤
thats ma pastor
So unprofessional , she keeps repeating herself
Woow Thats my Pastor❤
Good
Barikiwa pastor una akili sana....alitakiwa kuhojiwa na mkristo tena born again.
Mchungaji mwenye kibali, ukihubiri Mimi na jamii yangu tuna barikiwa
Nakufurahia sana mtumishi wa Mungu
Mtangazaji umetuangusha huna maswali kabisa
Akili kubwaaaaa mnooo
Pr ungemjibu TU kuwa YESU ni zaidi ya hizo private jet yeye ni anatupa kuwa mabilionea mm mtu wa MUNGU namwamini yesu nitakupa ushuhuda siku zijazo mm ni bilionea kwa jina la YESU
Mtangazaji anashindwa kuhoji kwasababu akilini mwake anamchukulia poa sana jamaa na kumuona kama mtu maarufutu alietoboa mitandaini, kiasi kwamba anashindwa kuona reality ya Umuhimu wahuyu mtu kwajamii. She is not serious
Mahubiru hapa,technic talking let see the end will just....
Huyu mtumishi na kuelewa kinomaaaa
Huyu dada jaman anaulizaa nin??mbona mmmhy maswali haya kiru
KWANI MTANGAZAJI TATIZO NI NINI MHUBIRI KUWA NA MALI ; Mbona wapo Wengi sanaaa wahubiri hawana mali.??
Pastor in town 😢😢😢
Tulikuwa na industrial age ambayo ilikuwa na mazingira yake na namna ya kuwasiliana na level of technology pia .... But now tuko Kwa information age, na advanced technologies vitu ambavyo vinaweza kumsaidia Sana MTU kusikika Kwa urahisi kama akihitaji.... So don't ignore the power of social media kukufanya ufike ulipofika pastor....
Halafu unaacha kumuonya mwanamke kavaa suruali kweli?
Secular media lazima muwe mnaweka watu waliokoka kuinterview wahubr mungewa tumia kina huruma au kapiga and other born again there kongole
Wewe ni muongo ukisoma Wakorintho 9:8 Neno linasema maana tuimeijua neema ya Bwana Yesu Kristo jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yetu,ingawa alikuwa tajiri ili sisi tupate kuwa matajiri kwa umaskini wake.Kwa hiyo huyu jamaa anadanganya.Ndiyo maana ya Injili ya msalaba Yesu Kristo alikuja kama asiye weza kuwawezesha wasio weza waweze,Aliteswa na kutemewa mate ili wewe usidharaulike,Pamoja na ukweli kwamba alikuwa Mungu ange amuru malaika wampiganie hakuna ambaye angemgusa,etc.Nyie watumishi wachumia tumbo ambao mnatumia loop holes za watu kutokulijua neno la Mungu kuwapiga hela.Kuna tofauti ya kuwa muhubiri na motivation speaker wa neno la Mungu.Mtume Paulo anasema sikuja kuwahubiria hekima za kibinadamu bali neno lenye nguvu ya Roho Mtakatifu.
@lutelute3798
6 ай бұрын
Kumbe ww una ku motivate 😂 utateseka sana ndugu
@songotz7538
6 ай бұрын
Mbona makasiriko mengi mzee
@VailethSamwel-us2bh
6 ай бұрын
Mbona umetuandkia gazeti ndugu😁😂 unaonekana unahasira sana pole
@olivermfinanga9387
6 ай бұрын
Pole san bro ndy hvo Mungu kamuinua ww unayejua neno Zaid yke endelea kuchomwa jua😂
@sirnunda3758
6 ай бұрын
@@olivermfinanga9387 Mimi siamini kwenye kujua neno ndiyo mtaji wa kuanzisha huduma na kuwaibia manyumbu kama wewe ambao ni sombasomba hamna upeo wa kudadisi neno kama Waberoya
Not satisfied with pastor ton answers because to some extent he lied
@evelinepeter3457
6 ай бұрын
Mmmh ???
@sirnunda3758
6 ай бұрын
True but unfortunately he has met with group of people who knows nothing about scriptures
@VailethSamwel-us2bh
6 ай бұрын
Ww unaleta ukuaji tu kwendraaa
Good
Amen!