NYOTA YANGU SEMINA |DAY ONE | - PASTOR SUNBELLA KYANDO
KANISA LA REALITY OF CHRIST CHURCH (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist
Пікірлер: 27
Amen Amen hallelujah baba, Mungu akubariki mnoo kwa huu ufunuo na ufahamu wa kiroho, kuna mengi nimejifunza baba.
Ubarikiwe sana
Amen🙏
Kwa kweli Mtumishi wewe ni mwalimu.Unayoeleza nimepata maarifa
God bless you papaa
Amen namshukuru Mungu kwa ufunuo huu naendelea kuhudumiwa kwa viwango vya tofauti
🙏AMEN💞THANK YOU LORD JESUS💞GLORY TO GOD💞AMEN🙏
Mucungaji niko Rwanda nakupenda bararikiwa sana
Amina amina
Stay blessed pastor
Amen
Part 2 of this message, please about prayer
🙏🙏🙏🔥🔥🔥
I really wish to talk to you in person.😢
❤
Mungu garisha nyota yangu
@elizabethaineah8861
Ай бұрын
Mungu ngarisha nyota yangu
Hallelujah🙏Sifa na utukufu vyote namrudishia Bwana Yesu🙌mana ni yeye Peke yake anaestahili🙌 Asante sana Mtumishi kwa mafundisho yako!!!Mungu azidi kukubariki kwa Jina ka Yesu naomba Amen🙏🙏🙏
Ameni
Bwana Yesu asifiwe.Sijui simu yang ndio huwa shida.Ama ni mimi pekeangu hu experience hii shida.Sauti yako huwa chini sana shughulikia volume ya sauti
@williamsofia7372
Ай бұрын
Simu akoo.. Mimi nampata vyemaa
@RobertGwelela-zq2fr
Ай бұрын
Labda ni simu yako maana hata Mimi nampata vema kabisa.
@lucyshedrack189
Ай бұрын
Ni cm yko anasikika poa sana
Leo pasta na challenge Moja kumvua kanzu lengo lilikuwa ni kupaka damu ili wakamdanganye baba yake kuwa amekufa. Pili kumtupa kwenye shimo halikuwa na maji, kama yalikuwemo na yakakauka kwa ajili ya Yusufu Biblia ingesema hivyo. Kwahiyo dungu walijua kidogo ila roho mbaya dhidi ya mafanikio ya mdogo wao ndiyo ilikuwa imewajaa
Pp
Ubarikiwe mtumishi