KWANINI HAVITOKEI KWA WAKATI (I) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Mathayo 25:1-12
Kuna aina mbili za wanawali katika hii mistari.
(a)Wanawali wapumbavu
(a)Wanawali werevu
Wanawali wapumbavu ni wale ambao hawakubeba mafuta ya ziada,na wale werevu ni ambao waliobeba mafuta ya ziada.
Wanawali wapumbavu hawakubeba mafuta ya ziada kwa sababu walipiga hesabu ya muda ambao bwana arusi atafika na muda harusi itatumia yale mafuta waliyobeba yangewatosha.Kwahiyo hawa wanawali hawakuwa na kosa.
Wanawali werevu hata kama walijua muda ambao bwana arusi atakuja na harusi itatumia,walijiandaa kwa lolote na ndio maana wakabeba mafuta ya ziada.
Kitu cha kwanza kutokea ni bwana arusi kukawia,hii inamaanisha kuna kitu kilitokea kikamchelewesha kufika.Na ukimuuliza atakupa sababu ya kimwili kabisa.Bwana arusi anaingia kwenye matatizo kwa sababu kuna watu ambao amewaalika ambao shetani hataki wafanikiwe.Kuna vita ambazo tunapigana sio kwa sababu shetani ana shida na sisi bali watu ambao tumewaingiza kwenye maisha yetu.Unapigwa wewe kwa sababu msaada ambao unataka kuwapelekea shetani hataki msaada uwafikie.
Kitu cha pili wanawali wakalala usingizi.Neno linasema wakasinzia wote.
Ukisinzia unaanza kutokufahamu kile kinachoendelea katika eneo ambalo una changamoto(unazubaishwa).Unaweza kujua kabisa hilo eneo una shida lakini hufanyi chochote kutoka kwenye hiyo shida.
Ukishatoka kwenye kusinzia unafuata hatua ya kulala.Ukifikia hatua hii unaweza kuwa kanisani na somo linalofundishwa linakuhusu kabisa,lakini kila ukisikiliza unamuona mtu mwingine unayemjua kuwa hilo somo linamhusu na hujioni wewe.
Ukifika hatua hii jua umelala kabisa.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
Пікірлер: 26
Amen Amen nazidi kufunguliwa Kwa hizi jumbe zako Mtumishi wa MUNGU uishi maisha marefu uzidi kutufungua zaidi
Ubarikiwe baba Mungu akutunze sanaa❤
Nakupenda sana baba yangu..🙏🙏🙏 Mafundisho yako yana nijenga.. Ubarikiwe zaidi na Mungu..
Amina amina mtumishi
Amen mtumishi barikiwa sana
Thank
Asante kwa ufahamu huu
Mungu akubariki sana baba, umekuwa daraja kubwa kwangu kupitia masomo yako ninayofuatilia na hili somo limeniongeza sana.
Asante sana kwa masomo mazuri ila naomba unieleweshe huu mstari unachanganya wengi. Amina KUMBUKUMBU LA TORATI 22:5 Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako.
Kwakelii ni tusubirii kwa Yesu
Upo vizuri mtumishi wa mungu ubarikiwe sana na beans yesu
Amen 🙏 mtumishi kwa hili somo umenifungua macho yangu ya kiroho 🙇♀️
Nakuelewaga Mimi had basi
This series has been a blessing to me to understand the massage 'coz it's been horrible histories of my life thank God for I've got the answer thank you for sharing
Nimependa sana hili somo
Mungu atusaidie
Amen ameeeen🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Be blessed Pastor, what a powerful revelation.
@carolinengondo2698
2 жыл бұрын
Pastor nimebarikiwa.I reside in Kenya 🇰🇪. Pray for me,my marriage, and my workplace. I need a break through.
You open my eyes man of God...be blessed
neno limenitia nguvu zaidi
@mariamsiwale9636
2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mungu akubaliki
Mafundusho mazuri yamenipa kuelewa maana ya mameno ya Mungu nimepata kitu.
Mh
@doreengaspar6772
Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
Mungu atusaidie