NYOTA YANGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Mwanzo 37:9-10
9 .Akaota tena ndoto nyingine, akawaambia ndugu zake, akasema, Angalieni, nimeota ndoto nyingine; na tazama, jua na mwezi na nyota kumi na moja zikaniinamia.
10.Akawaambia baba yake na ndugu zake; baba yake akamkemea akamwambia, Ni ndoto gani hii uliyoiota? Je! Mimi na mama yako na ndugu zako tutakuja tukusujudie mpaka chini? 11 Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.

Пікірлер: 2

  • @furahamwasila5687
    @furahamwasila568721 сағат бұрын

    Amina

  • @jamesfanuel4595
    @jamesfanuel459525 күн бұрын

    Amina MUNGU Katika Jina la YESU Kristo wa Nazareth alie hai Atukuzwe ni SoMo zuri Sana YESU Kristo akutunze Pastor