MATESO YATOKANAYO NA VIFUNGO VYA FAMILIA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Zekaria 1:18 -21
Nami nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, pembe nne. Nami nikamwuliza yule malaika aliyesema nami, Nini hizi? Naye akanijibu, Hizi ndizo pembe zilizowatawanya watu wa Yuda, na Israeli, na Yerusalemu. Kisha BWANA akanionyesha wafua chuma wanne. Ndipo nikauliza Hawa wanakuja kufanya nini? Akasema kwamba, Hizi ndizo pembe zilizowatawanya watu wa Yuda, hata ikawa hakuna mtu aliyeinua kichwa chake; lakini hawa wamekuja kuzifukuza, kuziangusha pembe za mataifa, walioinua pembe yao juu ya nchi ya Yuda, ili kuwatawanya watu wake.
Katika Yuda hakuna mtu aliyekuwa anaweza kuinua kichwa chake( kukua &kuongezeka) kwa sababu ya zile pembe.
Hili jambo unaweza kuliona hata kwenye maisha ya kawaida. Kuna familia zinaweza kufika sehemu fulani (kimafanikio) lakini haziwezi kuvuka sehemu fulani.
Mtu atachukua mkopo, atapata ushauri mzuri lakini utakuta mwenzake aliyepewa ushauri kama wa kwake anafanikiwa lakini yeye hata ajitahidi vipi hawezi kufanikiwa.
Kwanini? - Kwasababu vita ya mwenzake sio kama vita yake. Mwenzake hakuna pembe iliyosimama kuhakikisha maisha yake hayaendi lakini yeye kuna pembe ambayo inahakikisha familia, ukoo wake HAUSOGEI.
Kabla hujaumia kuwa kwanini HAUSOGEI mbali na jitihada unazoweka tafuta kujua ni kwanini/nini kinakuzuia kusogea.
#PastorSunbella Kyando#Vifungo#Familia

Пікірлер: 41

  • @joycekaje8755
    @joycekaje87552 жыл бұрын

    Asante Pastor Sanbella, Mungu akupe maisha marefu utufungue. Nafuata mahubiri yako nikiwa Netherlands 🇳🇱, Nabarikiwa, najitambua ninastahili maombi ya namna gani,ili kufikia makusudi ya Mungu

  • @salomemueni100
    @salomemueni1002 жыл бұрын

    Kwetu kenya.. Nashukuru kujielewa baada ya kukusikiliza kwa huu ujumbe zacharia 1..pembe ambayo imetesa maisha yangu nimeigudua..hatua nitachukua.. Asanti. AMEN

  • @marcoroman3195

    @marcoroman3195

    Жыл бұрын

    Amina pastor be blessed always

  • @joshuamutua3727
    @joshuamutua37272 жыл бұрын

    I like the instrumental background ... God bless you media pple.... We are much blessed by this revalation

  • @ntulisuzan897
    @ntulisuzan897 Жыл бұрын

    Asante Yesu Kwa Ufunuo unaouleta kipitia mtumishi wako nimebarikiwa🙏

  • @anethpalangyo6319
    @anethpalangyo6319 Жыл бұрын

    Mungu azidi kuachilia mafuta zaidi juu Yako,viwango vya kukutumia viongezeke zaidi,umekuwa baraka sana kwangu

  • @superb1344
    @superb13442 жыл бұрын

    Mtumishi ni kama umetumwa kwa ajili yangu

  • @charleskwiyukwa9186
    @charleskwiyukwa91862 жыл бұрын

    Mungu azidi kukulinda mtumishi Sunbella

  • @marrysauli8455

    @marrysauli8455

    2 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu!!!!

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 Жыл бұрын

    Mungu nataka umponye Claudius na maswaibu YALIYO mkuta, Mungu AMTENDEE na Damu ya Yesu ikanene mema

  • @revinachingole6708
    @revinachingole6708 Жыл бұрын

    Ni mimi akii Neema ya Mungu tu Pastor Sunbella ni mim nimechoka 24 years niko na madeni sijawahi kuonaa na saiv navo kwambia siko nyumbani watu zaid ya 20 hata sielew pesa zimeenda wap nimegomban na family nzima jamii inajua inavonichukulia sielew

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Ahsante daddy najifunza 🙌😢soma zuri sana tena kwa vitendo 🙌

  • @amostinga770
    @amostinga770 Жыл бұрын

    Namshukuru mungu katika magumu yangu najiona ndani ya mafundisho haya sawa naiman yatakwisha

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 Жыл бұрын

    Danu yako Y ESU INENE MEMA🙏🙏🙏

  • @holydanlow3291
    @holydanlow3291 Жыл бұрын

    Amen karibu mombasa mtumishi wa mungu

  • @pastorsamwelilusambo3517
    @pastorsamwelilusambo3517 Жыл бұрын

    Amina

  • @maribaisack2097
    @maribaisack20976 ай бұрын

    Dah yani huyu ni mm kabisa yani 😢😢😢😢Mungu nisaidie

  • @mahalawanamahalawana4019
    @mahalawanamahalawana40196 ай бұрын

    Barikiwa sana mtumishi ❤

  • @chengeson
    @chengeson Жыл бұрын

    Mungu atusaidie tuna pitia mengi bila kujua chazno kilianzia wa

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un9 ай бұрын

    Amina ubarikiwe

  • @christinamuherbwa4813
    @christinamuherbwa48132 жыл бұрын

    Nayasubiri kwa moyo wangu mafundisho haya yamesaidiya sana spiritual life yangu nakuitambua vita ya familia yangu

  • @gaudensiagodwin3152
    @gaudensiagodwin31522 жыл бұрын

    Amen mtumishi…tunaomba uje na mwanza

  • @nehemiahsima1389
    @nehemiahsima13892 жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Жыл бұрын

    Mtumishi unayagusa maisha yangu

  • @zakayomungai
    @zakayomungai2 жыл бұрын

    Neno la busara kwangu kujua mambo ya kiroho na vifungo

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Жыл бұрын

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @user-yf9dd4rl8v
    @user-yf9dd4rl8v6 ай бұрын

    Amen

  • @mapenziluwa8061
    @mapenziluwa8061 Жыл бұрын

    Mungu ni mkuu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Amen amen amen

  • @victorvicent6036
    @victorvicent6036 Жыл бұрын

    God bless you

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 Жыл бұрын

    Duh umezungumza kitu kimoja kikubwaa sana..

  • @bennamuchau6487
    @bennamuchau64872 жыл бұрын

    Waiting

  • @FurahaSaidi
    @FurahaSaidi Жыл бұрын

    Furaha

  • @fionaalice9509
    @fionaalice95092 жыл бұрын

    Huyu ni mimi kabisa,ilifunzu ni langu kabisa

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын

    Nina ushuhuda yaani napenda kukopa Sana hata bila sababu ya msingi na napenda kuuza rasilimali zangu na kuanza upya baadae najuta Sana , kwani nalipa madeni lakini kwa shida Sana na nikikopa nakosa Amani hata kama yule MTU hanidai cha kushangaza nikimkopesha mtu hanilipi na tunaishia kugombana

  • @kknlghfblblanakere5946
    @kknlghfblblanakere5946 Жыл бұрын

    Kwetu ziko zote nne pastor nsaidie kuomba umasikini, ndoa Elim etc plz mtumishi nsaidie ukweli nmefungwa nfungue pastor

  • @bestinamaro7645
    @bestinamaro76452 жыл бұрын

    Icho kimlio kingepungua kidogo wakati unaubiri

  • @enockmwasuluka8998
    @enockmwasuluka8998 Жыл бұрын

    Naomba namba ya mtumishi Sunbela pls

  • @mankarichard5851
    @mankarichard58512 жыл бұрын

    Please naomba mnilocate kanisan kwake

  • @sammyglady1341

    @sammyglady1341

    Жыл бұрын

    Sinza mori

  • @elizabethmwachiti7987
    @elizabethmwachiti79872 жыл бұрын

    Amina

Келесі