YESU ANAFUFUA VILIVYO KUFA NA KUOZA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Ndugu wa Lazaro waliumizwa sana kwa kifo chake, Martha ndugu yake Lazaro ndiye alikua wa kwanza kupinga kupndolewa kwa jiwe kwasababu ya hali ya mwili wa Lazaro ndani ya kaburi.
Kuna nyakati Yesu hujitafutia mazingira ya kufufua vilivyokufa na vilivyo OZA.
Wakati mwingine unapopitia changamoto ngumu, unapaswa kufahamu Mungu anakuangalia kwa jicho la karibu sana. Kadri ambavyo mambo yanazidi kuwa magumu ndivyo ambavyo na yeye anazidi kuwa karibu zaidi. Anafanya kazi yake kimya kimya ndo maana ni rahisi kusema Mungu ameniacha.
#PastorSunbella#Kufufua#VilivyoKufa
Пікірлер: 84
Mtumishi karibu, njoo pia Kigoma ufungue watu waliofungwa, nahitaji sana maombi yako.
Amen Mtumishi wa Bwana. kumbe Tunahitaji tumaini tuu kwani Yesu anajichelewesha siku nyingine mbili mbele, Yes Bwana Tumekufa Yesu anasubiri tuoze . ametusikia maombi yetu ila anasubiri tuoze ili ajitwalie utukufu. AsanteYesu kwani unajua yanayotokea leo unajua yaliyotokea jana pia unajua yatakayotokea kesho Ehe Yesu tupe uvumilivu. Pamoja naye Bwana tusaidie
Asante sana Bwana YESU kwa ajili ya mtumishi huyu. Nabarikiwa sanaa🙏
Amina ubarikiwe Sana mtumishi sunBella ...Kwa ujumbe huu .. Kila kilichokufa kila.kilichooza Kwa Maisha ya watumishi Na kanisa la Mungu , Na hata kwa familia zao , VIKAFUFULIWE KWA JINA LA YESU ...
4days late, but HE is still on time. Very encouraging. Thank you🙏
Amina mchungaji napenda mahubiri yako naomba mungu afufue Maisha yangu afufue Maisha ya watoto wangu
Mahubiri yangu hayo mtumishi. Mungu ni in use tena.
Mungu hawezi kukusahau! Hawezi kuacha ujifie mwenyewe.. Barikiwa mtumishi
Ameni napokea kufufuliwa na yesu
Kuna kitu nimenoti roho mtakatifu yupo kwenye kanisa hili kabisa
@joycenuhu1566
2 жыл бұрын
Andika Roho Mtakatifu kwa herufi kubwa kumweshimu
Blessed pastor sunbella kyando 🙏
Ubarikiwe sana mutumishi
Barikiwa san mtumishi kazi yako ni njema 🙏
Hallelujah hallelujah thank you lord Jesus amen 🙏🏼
Mungu amekutuma kwa ajili yagu,touching message
Amina bado mungu yupo pamoja na Mimi baba nimekufa Ila sijaoza ninaomba usiniabishe
Aminaa mm nimkopeshaji mungu nisaidie
Amina maden hayatanimaliza mungu anaenda kunivusha
HAKIKA nabalikiwa na mafundisho yako safiii kabsa
Najua utajibu mungu wangu najua bado unaniwazia naomba univushee
Power of Holly Ghost at work.Thank you Jesus
Barikiwa baba yetu
Asante kwa ujumbe huu. Yesu fufua vilivyo kufa ndani Maisha yangu.
This is a very touching theme be blessed
Hallelujah glooory be to God powerful great message of encouragement
Asante kwa neno la Mungu, Yesu naomba ufufue vyote vilivyokufa ndani yangu, ninaomba nikiamini kwa jina lako Amen
Asante past mimi ni bonheur Niko🇨🇩 ninakua nafatilia mafundisho Kila muda , past nalikua natamani nipate numéro Yako il nipate maombezi, kutoka kwako kwasababu ninapenda nifunguliwe kwa vita ya familia
Nakushukuru mungu kwa sababu umenisikia🙏🙏🙏
Yes do to me Lord
MUNGU atahakikisha anakupa nafasi ya kuishi hata Kama mazingira hayaruhusu
Amen mtumishi barikiwa sana
Ee mungu naomba ukanivushe kwa ushindi haya madeni yanataka kunitoa roho baba naomba univushe
And Groly be to God
Amina sana
Amen Mtumishi
This is my msg thanks be to God
Amen
Niombee mtumishii nimechokaa mimi
Halelujah Halelujah
Amen Amen
Amina 👏
My word
Amen amen
Amina Amina
Hakika nimebarikiwa asante mtumishi mungu akurinde
AMINA 🎉
Amen 🙏
AMEN
Eh yesu wewe ambaye uhangaliyi umbali, naja mbele zako, maombi yangu kwako Mungu wewe usiye shindwa na cho chote ufufu kile kile kilicho kufa ambacho hadi leo kina niacha na manunguniko.
Amen🙏🙏
Hallelujah
Barikiwa
Ili uheshimiwe sana ni lazima udharaulike sana 🤲🤲🤲🤲🤲
Amina
MUNGU fufua kilichokufa ndani yangu
Shule hii nikubwa sana.
Kweli kabisaaaa ndio ubarikiwe unahaibika kweli kweli..
Kwetu kenya.. Hakika ufunuo kupitia hii ujumbe ni kamilifu.. Asanti.
Eh Mungu fanya jambo moja tu kwangu kufufuwa kilicho kufa ili ujitwaliye utukufu watu wamataifa wa hikoke kipitiya muujiza
Amen and amen🙏
❤
Im blessed
Amen ✊✊
Ameeen
Martha akaobdoe jiwe la madeni kwangu.. AMEN AMEN AMEN
Ameen🤲🤲🙏🙏
Amen🙏🙏🙏
Nimechoshwa na madeni jamani..
Kila eneo nimejaa maden
Amen
Eh yesu wewe ambaye uhangaliyi umbali, naja mbele zako, maombi yangu kwako Mungu wewe usiye shindwa na cho chote ufufu kile kile kilicho kufa ambacho hadi leo kina niacha na manunguniko.
AMEN
Amen 🙏
Hallelujah
Amen🙏🙏🙏
AMEN
Amen
Amen
Amen
AMEN
Amen