Mimi Ninaomba m.awasiliano na mchungaji kyando tafadhali nisaidieni
@josephmallya552519 сағат бұрын
❤🎉
@kahambuesperance2 күн бұрын
iyi mahubiri kabisa njo Maisha yangu mimi Mungu anirudishe nafasi yangu
@tivabaruti9163 күн бұрын
Mwendelezo wa hili somo
@BENJAMINKatembo-h4l4 күн бұрын
Naomba namba ya sanmbella niko kenye
@shelimussa4 күн бұрын
Amen 🙏
@ibrahimambilikilemalema19567 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@ExseviaSamwel8 күн бұрын
Amin amin pastor 🙏🙏🙏🙏
@IsakaKiyalo-s3v8 күн бұрын
Amina mungu akazidi kukutumia kwa viwango zaidi ubarikiwe mtumishi wa mungu napokea baraka kwa jina la yesu kristo mwana wa mungu Alie hai
@MnyabiGang10 күн бұрын
Nimeipenda hii❤❤❤
@user-ip7et6ue9p10 күн бұрын
Asante Yesu 😭🙏🏻
@jacquelinewaweru608610 күн бұрын
Amen
@justinemagige143910 күн бұрын
Amen
@faudhiasalum727910 күн бұрын
Amen 😢yes daddy
@HalimaJuma-b1c10 күн бұрын
Amen ubarikiwe baba
@jamesmwakyusa977210 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@nanyoraireuben880712 күн бұрын
Nampenda sana pia jmn,,mafundisho j5 jion Sasa 11,,na ijumaa muda huohuo,,jmapl asubuh Sasa 3 jumamosi Sasa Tano fagiafagia,,na Kuna ibada ya lango,,alfajir Kuna mapambazuko kila siku Sasa 9:30
@billjeremiahmaiwe12 күн бұрын
Mafundisho ya huyu Baba ni nguvu ya kiungu iliyopo nyuma yake. Nakuombea sana Pastor.
Bishop umefanyika mbaraka katika maisha yangu, masomo yako naimani yatafanya mabadiliko makubwa huu mwaka 2024 ndio nimeanza kukufatilia. Ubarikiwe sana
@highnessmlaki175414 күн бұрын
Am really blessed MUNGU akuzidishe pastor
@raysjames177615 күн бұрын
Kupitia ushuhuda huu naimani kaka yangu atapona palalize
@NeemaNjile915 күн бұрын
Amen
@NeemaNjile915 күн бұрын
Amen
@NeemaNjile915 күн бұрын
Amen
@TusaKiblaga-vp9jg15 күн бұрын
Ameen mtumishi unajua kutufunza
@ChachaFrancis-r8e15 күн бұрын
Amina
@AnnaMwanandenje15 күн бұрын
👏🙏
@petermutua383816 күн бұрын
Kweli
@furahamwasila16 күн бұрын
Sema ni muhimu sana mjitahidi kutuwekea updates nyingi hasa hapa youtube hasa kwa sisi tuliyopo mbali hili huduma ya neno la Mungu itufikie kwa wakati ni muhimu sana. imagine tunakaa wiki nzima hadi wiki mbili atupati neno la uzima dah fanyieni kazi hili na MUNGU atawabariki masomo yaje kwa wakati yan bandika bandua tuzidi kujifunza. MUNGU AWABARIKI.
@pastormwamlima801418 күн бұрын
God bless man of God
@stephanosospeter170919 күн бұрын
Asante sana Mungu akubariki
@ErneusNdunguru-gu5hf19 күн бұрын
mnatubariki Sana, MUNGU awabariki kwa maarifa ya neno la MUNGU mnayo achilia
@weahfeint340621 күн бұрын
Umefundisha vizuri kuhusu meditation lakini hauja rejea kwenye biblia kuhusu iyo meditation.
@Neema-wy4mh22 күн бұрын
Mungu turehemu NA utukomboe
@furahamwasila23 күн бұрын
Amina
@furahamwasila23 күн бұрын
Amina
@furahamwasila23 күн бұрын
Amen
@ronaldokyando71723 күн бұрын
Amen Amen 🙏
@Neema-wy4mh23 күн бұрын
Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi. Mungu nirehemu nimepata ufahamu sasa ntaanza upya una kusudi namm kunipa somo hili. ❤
@EuphrasiaNtawatawa24 күн бұрын
Powerful man of God thank you 🙏 my Lord Jesus 🙏
@geraldmayunga141124 күн бұрын
Nadhani ni meditation ni SoMo Muhimu sana kwa mwanadamu..Pastor ikikupendeza tafuta Nafasi na taarifa za kutosha kuhusu jambo hili uweze tupa maarifa zaidi..
@geraldmayunga141124 күн бұрын
Joshua 1:8..it tell us why we should meditate on word of god...Pia Pastor amezungumzia issue ya kujifunza kuisikia sauti ya MUNGU jambo ambalo wa kristo waliowengi Bado hawajui jinsi gani Tupo ktk upande Mmoja tu wa Sisi kusema na MUNGU ila upande wa MUNGU kusema na sisi tuna shida hapo
@simonprosperity957324 күн бұрын
My pastor my Teacher hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu na nakupenda umenisaidia mengi kwa mafundisho yako unayoyatoa.
@graceoisso323825 күн бұрын
Amen, hakika mtumishi Sanbella ni mwalimu wa neno la MUNGU. MUNGU akubariki baba
@lidamudy284225 күн бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi
@YustinaMwita26 күн бұрын
Nimebalikiwa amen
@flobad.mhubiri26 күн бұрын
Amina baba.congo drc
@kayitarecharles699326 күн бұрын
Nagiunganisha na madhabahu ya upako wa Mungu ❤🇷🇼🙏🙌
Пікірлер
Mimi Ninaomba m.awasiliano na mchungaji kyando tafadhali nisaidieni
❤🎉
iyi mahubiri kabisa njo Maisha yangu mimi Mungu anirudishe nafasi yangu
Mwendelezo wa hili somo
Naomba namba ya sanmbella niko kenye
Amen 🙏
Barikiwa sana mtumishi
Amin amin pastor 🙏🙏🙏🙏
Amina mungu akazidi kukutumia kwa viwango zaidi ubarikiwe mtumishi wa mungu napokea baraka kwa jina la yesu kristo mwana wa mungu Alie hai
Nimeipenda hii❤❤❤
Asante Yesu 😭🙏🏻
Amen
Amen
Amen 😢yes daddy
Amen ubarikiwe baba
Ubarikiwe mtumishi
Nampenda sana pia jmn,,mafundisho j5 jion Sasa 11,,na ijumaa muda huohuo,,jmapl asubuh Sasa 3 jumamosi Sasa Tano fagiafagia,,na Kuna ibada ya lango,,alfajir Kuna mapambazuko kila siku Sasa 9:30
Mafundisho ya huyu Baba ni nguvu ya kiungu iliyopo nyuma yake. Nakuombea sana Pastor.
Anima MTUMISHI
Bwana Yesu Asifiwe Mtumishi nimependa mafundisho yako kusanyiko nilini??namafundisho nilini namuda gani Mtumishi???
Bishop umefanyika mbaraka katika maisha yangu, masomo yako naimani yatafanya mabadiliko makubwa huu mwaka 2024 ndio nimeanza kukufatilia. Ubarikiwe sana
Am really blessed MUNGU akuzidishe pastor
Kupitia ushuhuda huu naimani kaka yangu atapona palalize
Amen
Amen
Amen
Ameen mtumishi unajua kutufunza
Amina
👏🙏
Kweli
Sema ni muhimu sana mjitahidi kutuwekea updates nyingi hasa hapa youtube hasa kwa sisi tuliyopo mbali hili huduma ya neno la Mungu itufikie kwa wakati ni muhimu sana. imagine tunakaa wiki nzima hadi wiki mbili atupati neno la uzima dah fanyieni kazi hili na MUNGU atawabariki masomo yaje kwa wakati yan bandika bandua tuzidi kujifunza. MUNGU AWABARIKI.
God bless man of God
Asante sana Mungu akubariki
mnatubariki Sana, MUNGU awabariki kwa maarifa ya neno la MUNGU mnayo achilia
Umefundisha vizuri kuhusu meditation lakini hauja rejea kwenye biblia kuhusu iyo meditation.
Mungu turehemu NA utukomboe
Amina
Amina
Amen
Amen Amen 🙏
Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi. Mungu nirehemu nimepata ufahamu sasa ntaanza upya una kusudi namm kunipa somo hili. ❤
Powerful man of God thank you 🙏 my Lord Jesus 🙏
Nadhani ni meditation ni SoMo Muhimu sana kwa mwanadamu..Pastor ikikupendeza tafuta Nafasi na taarifa za kutosha kuhusu jambo hili uweze tupa maarifa zaidi..
Joshua 1:8..it tell us why we should meditate on word of god...Pia Pastor amezungumzia issue ya kujifunza kuisikia sauti ya MUNGU jambo ambalo wa kristo waliowengi Bado hawajui jinsi gani Tupo ktk upande Mmoja tu wa Sisi kusema na MUNGU ila upande wa MUNGU kusema na sisi tuna shida hapo
My pastor my Teacher hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu na nakupenda umenisaidia mengi kwa mafundisho yako unayoyatoa.
Amen, hakika mtumishi Sanbella ni mwalimu wa neno la MUNGU. MUNGU akubariki baba
Ubarikiwe sana mutumishi
Nimebalikiwa amen
Amina baba.congo drc
Nagiunganisha na madhabahu ya upako wa Mungu ❤🇷🇼🙏🙌