NYOTA YAKO INAKUTAMBULISHA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

HESABU 24:17
17.Namwona, lakini si sasa;
Namtazama, lakini si karibu;
Nyota itatokea katika Yakobo
Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli;
Nayo itazipiga-piga pembe za Moabu,
Na kuwavunja-vunja wana wote wa ghasia
MATHAYO 1:1-16
1 Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu.
2 Abrahamu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;
3 Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;
4Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;
5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;
6 Yese akamzaa mfalme Daudi.
Daudi akamzaa Sulemani kwa yule mke wa Uria;
7 Sulemani akamzaa Rehoboamu; Rehoboamu akamzaa Abiya; Abiya akamzaa Asa;
8Asa akamzaa Yehoshafati; Yehoshafati akamzaa Yoramu; Yoramu akamzaa Uzia;
9 Uzia akamzaa Yothamu; Yothamu akamzaa Ahazi; Ahazi akamzaa Hezekia; 10Hezekia akamzaa Manase; Manase akamzaa Amoni; Amoni akamzaa Yosia;
11 Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake, wakati wa ule uhamisho wa Babeli.
12 Na baada ya ule uhamisho wa Babeli, Yekonia akamzaa Shealtieli; Shealtieli akamzaa Zerubabeli;
13Zerubabeli akamzaa Abihudi; Abihudi akamzaa Eliakimu; Eliakimu akamzaa Azori;
14Azori akamzaa Sadoki; Sadoki akamzaa Akimu; Akimu akamzaa Eliudi; 15Eliudi akamzaa Eleazari; Eleazari akamzaa Matani; Matani akamzaa Yakobo;
16 Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.

Пікірлер: 9

  • @furahamwasila5687
    @furahamwasila568719 сағат бұрын

    Amina

  • @paulinemuthoki7851
    @paulinemuthoki785121 күн бұрын

    Amen ,na omba nyota ya ngu iniongoze,,, kenya

  • @GabrielWafula-nl7ul
    @GabrielWafula-nl7ul22 күн бұрын

    Amen Amen Amen AmenAmen AmenAmenAmen

  • @murjiibrahim5932
    @murjiibrahim593221 күн бұрын

    Amen

  • @davidshindo1810
    @davidshindo181021 күн бұрын

    Nikitaka kumuona huyu mchungaji nanifanyeje? Mimi natoka Kenya.

  • @Marcus-wv2lf

    @Marcus-wv2lf

    21 күн бұрын

    Kumuona uombe sana Roho Mtakatifu; maana hata mimi huwa sijui hao anaosema anaonana huwa sielewi wanamuona vipi.

  • @martinakemunto7785

    @martinakemunto7785

    18 күн бұрын

    Ukifaulu niambie anakuja Kenya July nikijua niwapi nitakuambia ujatibu

  • @godfreykapufy386
    @godfreykapufy38622 күн бұрын

    Amen

  • @shedracksanginoe5450
    @shedracksanginoe545023 күн бұрын

    Amen