KUNA MTU ANATUMIA NYOTA YAKO PART 1

Пікірлер: 140

  • @user-cl3he4ps5e
    @user-cl3he4ps5e11 ай бұрын

    Safi sana.We love you so much Bishop.May God bless you

  • @beatricemwamini2044
    @beatricemwamini2044 Жыл бұрын

    Amina Kubwa! Naomba nyota yangu na ya mume wangu zilizo ibiwa na maadui wetu zirudishwe Kwa Damu Ya Mwana Kondoo Kristo Yesu.

  • @francismalera7863
    @francismalera78634 жыл бұрын

    Baba Gwajima Wanirudishie Nyota Yangu Leo Kwa Jina La Yesu Mimi Ni Mama Jamani Bwana Yesu Nitetee na Watoto Wangu

  • @marynduta9378

    @marynduta9378

    4 жыл бұрын

    Kwell mmi ni Mary kutoka Kenya nairundi kwa jina la yesu

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    3 жыл бұрын

    Amina Francis wajina Wa baba yangu kumbe ngwajima uyo kiboko nilikuwa namsikia wanamsifia

  • @davidmidunga7690
    @davidmidunga76905 жыл бұрын

    mtumishi wamungu,naitaji maombi yako ili nipate kurudishiwa nyota yangu yakazi nayandoa.nimeoa zaidi yawanawake watano nakila ninayefunga naye ndoa.hutoekatu baada yakazi yangu kuharibika.nimachungu sana kwakua wanapoondoka,hunibebea kila kitu kwanyumba.hadinina sasa ninaishi maisha ya kuchanganyikiwa.ninayo imani yote yanaenda kuisha kwa jina la yesu

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo80843 жыл бұрын

    kwa ufafanuzi wa mambo uko vizuri baba, hadi last adoptor anaelewa unachotaka kuelezea

  • @neemasemkuyu2999
    @neemasemkuyu2999 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana baba angu, Asante kwa neno linalohuisha mifupa mikavu

  • @nadegeotshudi8376
    @nadegeotshudi8376 Жыл бұрын

    Mutumishi wa Mungu unisamehe kuna siku nili kuhukumu nikizani kama nawewe una tumiya nguvu za ngiza kama wengine kumbi nili njidanganya nilipo kuona una fanya mukutano na mwengine Mutumishi wa Mungu baye nina juwa amemuasha Mungu akifanya kazi na shetani basi nilipo waona wote muki tumika pamonja nikakuhukumu nawewe bila kukuombeya niulize Mungu. Ila sasa nimesha juwa ukweli kuku husu wewe kama ni Mutumishi wa Mungu wa kweli nakuomba unisamehe na Mungu wambinguni ani samehe

  • @masterke536

    @masterke536

    10 ай бұрын

    Hata mimi nilikuwa simuamini huyu gwajima ila hivi sasa namwamini

  • @user-ir6en4hn8x

    @user-ir6en4hn8x

    9 ай бұрын

    Ubarikiwe na BWANA, Mungu wa mbinguni Akusamehe bure.

  • @Patience.67

    @Patience.67

    5 ай бұрын

    He is a true man of God

  • @rogatienmubyula2513
    @rogatienmubyula2513 Жыл бұрын

    Bwana Yesu Kristo aiangaze nyota yangu iwavute walio wengi kunijia. Amen

  • @user-dx4xi8xn5j
    @user-dx4xi8xn5j11 ай бұрын

    Mchungaji kuna mtu huniambia kila wakati nimpee nyota yangu na mimi huku maisha yangu haendelei tangu nimjue yeye .Maombi yangu kupitia Nabii wa Mungu naomba nyota yangu ikaweze kurudi katika jina la yesu.

  • @gracependo4438
    @gracependo44385 жыл бұрын

    🤦‍♀️😀!!EXCELENCE BABA ASKOFU GWAJIMA KUNA WATU WAMEZALIWA NA NYOTA KUTOKA KWA MUNGU ☝️🎁!!NIMESHUHUDIA HII !!KTK LIFE YANGU KTK UTABIRI WA KUJIRUDIA!! NA WATUMISHI MBALIMBALI TANGU NIKIWA BINTI NIMEBARIKIWA KAMA MALKIA WA MBINGUNI 🎁☝️⭐️LAKINI WATU AMBAOWAMEKUWA WAKIJARIBU KUROGA NYOTA ⭐️☝️🎁YANGU WAMEKUWA WAKI CATCH WILD 😜😨!!KUCHSNGANYIKIWA AKILI 😨!! 🤦‍♀️😀🙏GOD HEAVEN NETWORK IS NOT AVAILABLE!!TO AMAZING GRACE DAUGHTER OF GOD ☝️💃💪

  • @janemuthoni7307
    @janemuthoni7307 Жыл бұрын

    Mimi nilipewa urembo Sana lakini nyota ya ndoa anty yangu na uncle yangu waliimba lakini kutoka Leo nyota yangu itarudi katika Jina LA yesu kristo 🙏🙏

  • @isaiahtui1539
    @isaiahtui15392 жыл бұрын

    2021 watching

  • @teresamokeira4042
    @teresamokeira4042 Жыл бұрын

    Mtumishi, Mungu akuongezee nguvu ya kuokoa na kuwaondoa toka mikono ya wachawi

  • @kapendabdm4777
    @kapendabdm47772 жыл бұрын

    Asante Sana prophète nimesikiavi zurisana amen

  • @nginamugwe846
    @nginamugwe8465 ай бұрын

    Nyota yangu njoooo kwa jina la YESU Njoooooo

  • @jemaaloyce8096
    @jemaaloyce80962 жыл бұрын

    Amen

  • @sureboyofficial6473
    @sureboyofficial64732 жыл бұрын

    BASI WAZUNGU WANACHUKUA NYOTA ZETU

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 Жыл бұрын

    Uko vizuri Askofu

  • @EllyJacksonAkyoo-op7jc
    @EllyJacksonAkyoo-op7jc11 ай бұрын

    Nataka nyota yangu lrudi kwa jina la yesu

  • @pereskisimba4312
    @pereskisimba4312 Жыл бұрын

    Asante kabisa mchungaji kwa hilo🙏

  • @mecktemba8937
    @mecktemba89375 жыл бұрын

    Baba unanibariki sana,... Unanifafanulia neno linaniingia kwenye mishipa ya ufahamu wa moyo

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana155911 ай бұрын

    Wakristo nao ni wacawi wanajificha kwenye kanisani kwa siri. Hiyo ni w kweli Mchungaji

  • @josephboniface7506
    @josephboniface75062 жыл бұрын

    Since Day# One Gwajima# ahsanteh.🙏🏿

  • @beatricemwamini2044
    @beatricemwamini2044 Жыл бұрын

    Amen.

  • @jescalucas8744
    @jescalucas87446 жыл бұрын

    baba asante nimekuelewa na ninakufatilia sana naomba unikumbuke kwenye maombi mke wangu anasumbuliwa na ugonjwa wa majano anaishiwa damu mara kwa mara baba sema neno tu atakuwa sawa anaitwa jeska Lucas

  • @hezekiajacob6903
    @hezekiajacob6903 Жыл бұрын

    May God bless bishop J.Gwajima.

  • @rithersospeterkati7957
    @rithersospeterkati79572 жыл бұрын

    Amen Amen Baba.

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Sisi tulikuwa tunasoma na Daniel yeye alikuwa anaongoza, tu a kafaulu paka akaja fanya Kazi bank

  • @josephboniface7506
    @josephboniface75062 жыл бұрын

    Gwajima# My Father...!!!@" Really loving you"🙏🏿

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Ndio wengine safar tu Mara America Mara china

  • @gracependo4438
    @gracependo44385 жыл бұрын

    🤦‍♀️😀💪💪💪💪..LET THE TRUTH MADE EVERYONE FREE!!WAMBIE UKWERI BABA GWAJIMA!!

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis135210 ай бұрын

    Ameeeen ameeen

  • @alicegatumu5362
    @alicegatumu53622 жыл бұрын

    Nauniombe meno inauma

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis135210 ай бұрын

    Ameeeen,baba umechaguliwa Kwa kazi hii maalum

  • @annajustine5104
    @annajustine51044 жыл бұрын

    Bishop natamani sana uje huku Arusha kwenye viwanja vy Relini

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Ndio somo linaniusu mimi kachukuwa kwel nyota yangu mtu live kachukuwa Maji ya mikono yangu kaogea roho imeniuma

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse15109 ай бұрын

    Nyota yangu iludi kirahisi kwa jina la yesu

  • @veronicamsigwa5046
    @veronicamsigwa50462 жыл бұрын

    Napoke nyota yangu kulud kwajina LA yesu nabalikiwa saan naitwa vero kutoka buza naitaj msaada wako zaid

  • @barnabasjames2293

    @barnabasjames2293

    Жыл бұрын

    Aminaa

  • @davidmidunga7690
    @davidmidunga76905 жыл бұрын

    shetani hana mamlaka.yesu nipiganie nipatekurejeshewa nyota yangu

  • @masterke536
    @masterke53610 ай бұрын

    Ni kweli mchungaji wangu nakupenda sana

  • @annienanjala8593
    @annienanjala85936 жыл бұрын

    ubarikiwe mchungaji umenifunza mambo yenye sikuwa, laana za familia, kuvunja laana za udogo, kanisa langu, huwa wanasema hakuna uchawi, lkn Mimi najua kuna uchawi, aki mungu akubariki sana, nko Nairobi

  • @AlexisCongera-so4mi
    @AlexisCongera-so4mi9 ай бұрын

    Bwana wangu Yesu Kristo aiangaze nyota yangu na wanaoitafuta wakauriwe mbari

  • @emmahmunyao158
    @emmahmunyao1586 жыл бұрын

    Amen Baba Gwajima I get you loud and clear and my star is coming back to me from where it had been taken in Jesus mighty name

  • @annmukai1367

    @annmukai1367

    5 жыл бұрын

    Amen amen baba gwajima, nashukuru mungu nyota yaku imerudi kwa jina la yesu

  • @lydiamakenge5613

    @lydiamakenge5613

    Жыл бұрын

    Mungu afungue nyota yangu amen warudishe uwezo niliopewa namungu

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Kumbe nowa ndo nuu

  • @mfalmekingaluvik3535
    @mfalmekingaluvik35357 жыл бұрын

    Surely God has given unto you a revelation that uncontestable in all dimension and without it, I would have lived and died in ignorance. May the Lord God continue to use you and bless you mightily.

  • @mektridadeogratias7512
    @mektridadeogratias75124 жыл бұрын

    Nyota yangu ludi kwa jina la yesu

  • @lynnfavour4335
    @lynnfavour43353 жыл бұрын

    Amen Bishop asante kwa fundisho nzuri ila nitarudishaje nyota yangu maana nimefanya kazi kwa mda mrefu lakini sijafanya maendeleo na pesa napokea lakini zapotea tu sioni jinsi zinatumika naomba maombi yako

  • @Soni-lt6oi
    @Soni-lt6oi28 күн бұрын

    Amen 🙏

  • @ashrafhashim1882
    @ashrafhashim18824 жыл бұрын

    mim Niko na matatizo,hayo cna raha nilikua mwislamu nikawa mkristo maneno pia Yana Nipa moyo

  • @jossyngumbi1916
    @jossyngumbi19164 жыл бұрын

    Nyota yangu imeonekana kwa jina la Jesu Ameeen asante Baba Barikiwa

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Namba Zako mchungaj

  • @EllyJacksonAkyoo-op7jc
    @EllyJacksonAkyoo-op7jc11 ай бұрын

    Mtumishi arusha tumekumisi jamani

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Nimeibiwa majuzi sijui kama itakuwa wameanza kuitumia

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын

    Masharki ya Kati watu wake ndo walikuwa wanaongoza kwa maasi na ndo maaana mitume wengi walitokea huko

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis135210 ай бұрын

    Namfuata huko huko alipo

  • @edinahkemuntomainya6551
    @edinahkemuntomainya65513 жыл бұрын

    Nyota yangu itarudi Leo kwa jina la yesu

  • @vailethsamwel883
    @vailethsamwel8834 жыл бұрын

    mbeya unakuja lini jamani

  • @radsonkarithkagwa8206
    @radsonkarithkagwa82064 жыл бұрын

    Pastor live long.

  • @sharifatabook4697
    @sharifatabook46974 жыл бұрын

    Mungu nikumbuke hii kifungo ya zamaaani Mungu aishikie maombi yangu

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Baba ngwajima watu wanakupenda sana

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Ndio utawala, pia kwentu ipo ndugu zetu wengi viongoz paka agostino Ramazan na maaskofu wapo John Ramazan wengi. Nyota ya uomgoz hata mimi ninayo

  • @lazaruskevo3599
    @lazaruskevo35992 жыл бұрын

    Ameen Ameen Halleluuuyha

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam58325 жыл бұрын

    Naitaka nyota yangu kwa Jina la yesu Amen

  • @alicegatumu5362
    @alicegatumu53622 жыл бұрын

    Miombee nirikuwa nakasi na sai Sina kitu nauombee mtoto ana fugana kivua niombee nivate fesa

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Kaka yangu na yeye walimchukulia angekuwa mbal

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Ndio akil ya darasan haviusian wanasemaga, hivyo

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Shangaz zangu hivyo hivyo wana nyota ya kutafuta, pesa

  • @berthachacky797
    @berthachacky7976 жыл бұрын

    ahsante sana Kwa somo zuri,barikiwa Sanaa mtoto wa Mungu.

  • @daudimwanyonga460

    @daudimwanyonga460

    6 жыл бұрын

    amina sema tupone baba asikofu

  • @florencendatila9183

    @florencendatila9183

    5 жыл бұрын

    Amina

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Yupo hapa, baba kaja Leo alioniibia

  • @emanuelandronicus2574
    @emanuelandronicus25742 жыл бұрын

    Somo hili ni sensitive sana baba nakuelewa sana na umeniponya sana kwa somo hili

  • @EllyJacksonAkyoo-op7jc
    @EllyJacksonAkyoo-op7jc10 ай бұрын

    Warudishe nyota yangu naza watoto wangu kwa jina la yesu

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice76805 жыл бұрын

    Mungu nikumbuke mwanao

  • @josephjulio6112
    @josephjulio61123 жыл бұрын

    Neno linaingia Hadi kwenye damu

  • @festoerasto5673
    @festoerasto56735 жыл бұрын

    Kama kila mtu ana nyota yake ni kwanini ,mtu asitumie ile ya kwake kufanikiwa ,

  • @goodneighbour1280

    @goodneighbour1280

    Жыл бұрын

    Kuna watu wanataka nyota za elimu ila hawanq

  • @EllyJacksonAkyoo-op7jc
    @EllyJacksonAkyoo-op7jc11 ай бұрын

    Ameeeeeeeeen

  • @francismalera7863
    @francismalera78634 жыл бұрын

    Wapigwe huko huko!!!!!!! kwa Jina la Yesu

  • @petrowaya9749
    @petrowaya97498 жыл бұрын

    be blessed alot

  • @farajakiula4162
    @farajakiula41622 жыл бұрын

    Amina amina

  • @tumainipallangyo776
    @tumainipallangyo7765 жыл бұрын

    Ubarikiwe baba

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Kwel mchungaj nimeligunduwa hilo uku kutokana na mazingira nilipo muda sijaenda kanisan na ndo mana nilikuwa nataka Kuja, na biblia

  • @chalesnguyaine9991
    @chalesnguyaine99914 жыл бұрын

    Kakobe ndo anapinga nyota mikufu

  • @erickkabila2615
    @erickkabila26152 жыл бұрын

    Mchungaji mimi na kufuata hapa Congo RDC nataka namba ya ko ili nipate kukupigiya ubarikiwe

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Ndio mimi napendwa kila napoenda, na nasaidiwa yani nilipewa nyota kali sana uyo Aliyeiba ameona

  • @JOHN-ut6ej
    @JOHN-ut6ej4 жыл бұрын

    I mean

  • @helenotieno8483
    @helenotieno84833 жыл бұрын

    Hallelujah

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina58067 жыл бұрын

    Amen Dady that true God bless you! I am blessing too.

  • @elieereka8744

    @elieereka8744

    5 жыл бұрын

    Is your dady?

  • @elieereka8744

    @elieereka8744

    5 жыл бұрын

    Rhina Regina is your dady

  • @prospermlelwa849
    @prospermlelwa849 Жыл бұрын

    Moyo wangu Kwa dhati naomba emwenyezi mpe gwajima nafasi ya urais,amen

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse15109 ай бұрын

    Ameeeeniii baba

  • @annmukai1367
    @annmukai13675 жыл бұрын

    Asnte mtumishi wa mungu,niombea Sana kwitu Kuna laana waichana atuolewi Mimi kabisa najua ni nyota lakini imeimbiwa na mama mkumwa

  • @chengeson

    @chengeson

    Жыл бұрын

    Pokea

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Ndio kila mtu Ana nyota yake nalijuwa hilo wanasemaga hivyo

  • @annahayasanday7174
    @annahayasanday71744 жыл бұрын

    Ameeeen

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Na ni mchapa kazi mimi na kaka yangu

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Ni kwel kipawa wanaita

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis135210 ай бұрын

    Mchawi haruki leo

  • @gracebwora2899
    @gracebwora28995 жыл бұрын

    Warudishe nyota yangu na ya watoto warudishe katika jina la yesu

  • @Patience.67
    @Patience.675 ай бұрын

    Asante baba

  • @lolguy-x9n
    @lolguy-x9n5 жыл бұрын

    mazito haya. hayaeleweki haya. kama kukalia chapati za mapenzi

  • @JOHN-ut6ej
    @JOHN-ut6ej4 жыл бұрын

    aleluya

  • @cecymndeme9728
    @cecymndeme97283 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🏼

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Watu ni wengi