REV. DR. ELIONA KIMARO: JUA THAMANI YA MUDA NA KUUTUMIA VIZURI
Nikiwa kama Mchungaji ninatamani sana uutumie ipasavyo muda ulio nao kuliko kuuchezea mwishowe yakawa majuto, na itakuwa 'too late' Tumia vizuri vizuri nafasi na kipato chako sasa, ujitahidi kuwekeza hii itakusaidia kwa maisha yako ya baadae.
Пікірлер: 12
Mungu naomba unisaidie niweze kujua kuhusu muda
Asante sana mtumishi Kwa kutukumbusha kuhusu muda
Wakati huu ndio naanza kumwelewa huyu mchungaji. Mwenye masikio na asikie.
❤mchungaji ukiwambia watu muda kuhusu muda na uvivu wa kazi na hatujali afya endelea kutukimbusha mchungaji
Dah Mungu Nisaidie Roho Mtakatifu nisaidie Kristo Yesu Nisaidie Sema na mm Bwana Wangu niongoze Kristo Yesu
Hakika Mchungaji umenena vema. Mungu akutunze
Asante Mchungaji, unatusaidia sana
Muda ni ghali.Maisha yangu yamevurugwa sana ila nina imani ya kuvuka katika yaliyonisibu.
Nikweli ndg Mchungaji umenena vema nchi yadhahabu haiwezi kununua nchi ya muda
@SelinaMchunguzi
2 ай бұрын
Asante Mchungaji kwa Neno ,muda ni Mali .
Kabisa Mchungaji muda ni Mali ila hatujui kwamba muda haurudi
Kila kitu imefungwa kwenye muda, I'm working in gulf sijawahi chezea muda wangu hata kidogo juu najua niko hapa kwa muda.