REV. DR. ELIONA KIMARO: JUA THAMANI YA MUDA NA KUUTUMIA VIZURI

Nikiwa kama Mchungaji ninatamani sana uutumie ipasavyo muda ulio nao kuliko kuuchezea mwishowe yakawa majuto, na itakuwa 'too late' Tumia vizuri vizuri nafasi na kipato chako sasa, ujitahidi kuwekeza hii itakusaidia kwa maisha yako ya baadae.

Пікірлер: 12

  • @NiceMuro
    @NiceMuroАй бұрын

    Mungu naomba unisaidie niweze kujua kuhusu muda

  • @NiceMuro
    @NiceMuroАй бұрын

    Asante sana mtumishi Kwa kutukumbusha kuhusu muda

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470Ай бұрын

    Wakati huu ndio naanza kumwelewa huyu mchungaji. Mwenye masikio na asikie.

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j3 ай бұрын

    ❤mchungaji ukiwambia watu muda kuhusu muda na uvivu wa kazi na hatujali afya endelea kutukimbusha mchungaji

  • @elizabethalex6138
    @elizabethalex61382 ай бұрын

    Dah Mungu Nisaidie Roho Mtakatifu nisaidie Kristo Yesu Nisaidie Sema na mm Bwana Wangu niongoze Kristo Yesu

  • @eddamukandara3851
    @eddamukandara38512 ай бұрын

    Hakika Mchungaji umenena vema. Mungu akutunze

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto72123 ай бұрын

    Asante Mchungaji, unatusaidia sana

  • @childrengospelmissiontanza1474
    @childrengospelmissiontanza14743 ай бұрын

    Muda ni ghali.Maisha yangu yamevurugwa sana ila nina imani ya kuvuka katika yaliyonisibu.

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot3 ай бұрын

    Nikweli ndg Mchungaji umenena vema nchi yadhahabu haiwezi kununua nchi ya muda

  • @SelinaMchunguzi

    @SelinaMchunguzi

    2 ай бұрын

    Asante Mchungaji kwa Neno ,muda ni Mali .

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi3 ай бұрын

    Kabisa Mchungaji muda ni Mali ila hatujui kwamba muda haurudi

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan203 ай бұрын

    Kila kitu imefungwa kwenye muda, I'm working in gulf sijawahi chezea muda wangu hata kidogo juu najua niko hapa kwa muda.