REV. DR. ELIONA KIMARO: USHENZI WA PROFESA KWA WANAFUNZI WA KIKE CHUO KIKUU
Жүктеу.....
Пікірлер: 55
@nangatv9218 Жыл бұрын
Yesu alimwambia Thomas mwenye mashaka heri mtu yule anaeamini na hajaona, Thomas alimuona Yesu na alijua atakufa na kufufuka na hakuamini bado kama Yesu kweli kafufuka mpaka alipomshika na alama za misumari, mimi nimemuona Yesu, nimemuona Mungu kwenye maisha yangu, Naamini!!!
@siphaelmbise3175 Жыл бұрын
barikiwa sana mchungaji ni kweli apandacho mtu ndicho atakachovuna
@geofreytimoth8084 Жыл бұрын
Mungu akuzidishiye nguvu tunabarikiwa na mafunzo baba.
@esmilykipele4008 Жыл бұрын
What??? I need grace here to forgive such a man . Hapa nahitaji ombi hilo mchungaji Niokolewe na yule muovu🙏🙏
@faustinahugo9621 Жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏 unachosema nasikia 😭 Mungu utuokoe na yule mwovu 🙏
@amoogaza6825 Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Mungu akubariki baba. Umenifunza jambo
@davidkawesa3594
Mungu aturehemu sana dhambi ya baba ni kiboko
@edwardpeter8569 Жыл бұрын
Good lesson, goes around comes around, tuwe makini kwa nafasi zetu.
@macklinakabyazi3036 Жыл бұрын
Napenda mifano YA huyu mtumishi wa Mungu.
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Asante kwa kisa hivhi amvacho kina mafundisho mazuri.
@zawadipaul4857 Жыл бұрын
Bwana Yesu kumbuka rehema, uovu wa Wazazi usiwapate watoto 🙏
@user-bj2sl5cp1w
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏🙏
@audaxbizimana8084 Жыл бұрын
Mungu atusaidie Vyeo hivi na lecturers wetu kwa kweli inatia uchungu
@juslenkavira6961 Жыл бұрын
Ubarikiwe baba yangu kwa mafudisho Mungu azidi kukubariki na akupe mwisho muzuri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@tinasteve5181 Жыл бұрын
Uuuuuuiiiiii 🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭 ya duniani naogopa sana
@neemalaurent9836 Жыл бұрын
Amina,barikiwa sana
@jacquelinesemu1347 Жыл бұрын
Watoto wanateseka kwa dhambi za wazazi wao.
@gideonking5404 Жыл бұрын
Nakupenda Mtu wa MUNGU 🙏
@paulsabe3917 Жыл бұрын
Mimi huwa nashangaa sana.Mama mkaanga mihogo hana chochote;Watoto wake wanakuwa profesa.Lakini profesa anashindwa kurise hata mtoto mmoja kuwa profesa.Kumbe haya mambo yanachangia.Mungu atunusuru na haya maovu.
Пікірлер: 55
Yesu alimwambia Thomas mwenye mashaka heri mtu yule anaeamini na hajaona, Thomas alimuona Yesu na alijua atakufa na kufufuka na hakuamini bado kama Yesu kweli kafufuka mpaka alipomshika na alama za misumari, mimi nimemuona Yesu, nimemuona Mungu kwenye maisha yangu, Naamini!!!
barikiwa sana mchungaji ni kweli apandacho mtu ndicho atakachovuna
Mungu akuzidishiye nguvu tunabarikiwa na mafunzo baba.
What??? I need grace here to forgive such a man . Hapa nahitaji ombi hilo mchungaji Niokolewe na yule muovu🙏🙏
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏 unachosema nasikia 😭 Mungu utuokoe na yule mwovu 🙏
Asante kwa mafundisho
Mungu akubariki baba. Umenifunza jambo
Mungu aturehemu sana dhambi ya baba ni kiboko
Good lesson, goes around comes around, tuwe makini kwa nafasi zetu.
Napenda mifano YA huyu mtumishi wa Mungu.
Asante kwa kisa hivhi amvacho kina mafundisho mazuri.
Bwana Yesu kumbuka rehema, uovu wa Wazazi usiwapate watoto 🙏
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏🙏
Mungu atusaidie Vyeo hivi na lecturers wetu kwa kweli inatia uchungu
Ubarikiwe baba yangu kwa mafudisho Mungu azidi kukubariki na akupe mwisho muzuri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Uuuuuuiiiiii 🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭 ya duniani naogopa sana
Amina,barikiwa sana
Watoto wanateseka kwa dhambi za wazazi wao.
Nakupenda Mtu wa MUNGU 🙏
Mimi huwa nashangaa sana.Mama mkaanga mihogo hana chochote;Watoto wake wanakuwa profesa.Lakini profesa anashindwa kurise hata mtoto mmoja kuwa profesa.Kumbe haya mambo yanachangia.Mungu atunusuru na haya maovu.