KUWA NA FEDHA NYINGI BILA MUNGU NI USHIRIKINA NA ZINAGEUKA KUWA SUMU" PASTOR MGOGO
Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
KZread : Pastor Daniel Mgogo kzread.info/dron/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Пікірлер: 44
Nakupenda sana kwa mahubiri yako askofu mwenyezi MUNGU akulinde milele na milele Amina
Kweli kabisa mchungaji 🇰🇪
Asante baba hayo yako kwangu baba
Iz Siku Dunia inaitaji Batu kama weye Balikiwa Baba🙌🙌🙌 Nakuomba Uje BURUNDI tunakwiitajii Kalibuu
Amina 🙏🙏🙏🙏 mtume
Hii ni kweli kabisa, ndio maana wengi hupenda injili za kubarikiwa wala sio za kuutafuta ufalme
@nicodemuskamanza2137
2 жыл бұрын
Ufalme wa Mungu namaanisha
@annannie349
2 жыл бұрын
True. Wengi hutaka Baraka Na Maisha mema Ila hawatak kuongea kuhusu kutafta ufalme Wa Mungu
Amen mtumishi, msema kweli hupingwa na wengi, ibada zako znamafumbo ambayo inahitaj roho mtakatifu kuzifumbua, ubarikiwe sana🙏🙏🙏🙏
Iyo kweli kbs pasteur
Mungu akupe Bingunii Iz suku Biko nguvu kupata Mutumishii Wa kusema Ukweli kama Weyeeee
Yeeesssssss
Sema baba tupone 🇳🇦🇳🇦🇳🇦
Huo ni ukweki mtupu mtumishi wa Mungu...endelea kutubariki kwa neno la Mungu na uzidishiwe zaidi.Mie ni Victor Kiage kutoka Kenya.
Amen
Ameeeeeeeeeen
Ameeeee3
Barikiwe pastor mungu amekutuma utambie ukwer mungu akubariki
Mungu akubaliki Sana kwa mafundisho mazuri pastor
@happinessmtawala855
2 жыл бұрын
Amen Amen Amen 🙏
Pastor kweli uliitwa na Mungu niambie ukweli na mwisho ni muone Mungu be blessed to sana from Kenya 🇰🇪
Wapo baba
Ameni, mtumishi
Ameeeeeeeeeeeen
Ameeeeeeeeeeeeeeen
May God deal with our inner person as he blesses us with physical blessings
Amen mchungaji wangu wa ukweli
Haya mafundisho yanavunja mifupa yanafanya hata uparalyse Mungu akubariki sana mtumishi
Pasta ni kweli kabisa Mungu akumbariki sana kwakuturekebisha
Asante kwa somo, Mungu akubariki. Nafata nikiwa Drc
Umenifungua macho
Be blessed man of God ukweli wambie baba 100% umenena
Oooohhhh Alleluaaaaaaa Alleluaaaaaaa Alleluaaaaaaa Mungu atusadie
Balikiwa mtumishi wa mungu nakupaya 5/5 🙏🙏
Napenda mahubiri yako mchungaji.
AMEN
Amen 🙏🏾 Pastor
Amen 🙏
Watu hawapendi ukweli lkn ukweli usemwe watching from Kenya napenda mahuniri yako bure
@mathiasnzabanita9416
2 жыл бұрын
Asante sana kwa lisala yako
Hauna sera Mzee. Mwamposa Ni mtumishi Tu ajasema kwamba yy Ni Mungu haujamsikia vizur
Nikupimwa kabisa
Unani patia pastor 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Amen