KWA WALE AMBAO WANAONA MAHUBIRI YANGU WANAYAITA COMEDY MAJIBU YAKE HAYA HAPA
Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
KZread : Pastor Daniel Mgogo kzread.info/dron/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Пікірлер: 8
Asante sana tunabarikiwa Sanaa na mahubirii hayo
Amen
Mimi bwana huyu pastor uwaga ananibariki saana nikiw Burundi
Mimi nilibarikiw Pastor Mgogo alivyosema kwamba kabra yakufanya ndoa,wapimwe vipimo byote bila kusahau vipimo vya kicwani maanayake vya Akili,kwakuamanisha kwamba huyu anastahiri kujenga namwenzake?nilimfatilia nikiw Burundi Aisé tunamfurahiya sana huyo iko N'a Mungu ndani
Miminabenda.mjungaji.anaupirivisuri....
Huyu mchungaji mwache. Yeye husema ukweli ukubali ukatae ni kwako.
Pombe siyo nzuri lakini kunywa si zambi. Hata kuna chakula ni kibaya. Ulevi ndiyo una katazwa kwa biblia ama kumpa ndugu yako pombe kwa niya y’a ku mharibu.
Amen