TENGENEZA URAFIKI NA WATU WENYE AKILI WATAKUJA KUKUSAIDIA BAADAE "PASTOR MGOGO
Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
KZread : Pastor Daniel Mgogo kzread.info/dron/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Пікірлер: 103
Mimi dereva kisomo Niko najo mbaka degree lakini kipato ja kwangu udereva , kwa kweli barabara watu husumbua kama wanyama .
@edwardmwilenga230
7 күн бұрын
Balikiwa mtishi
Sometimes unaongea tunawaza unaishi nasisi nyumbani kwetu. God continue to bless you and protect you pastor
yaan unajua kunifrahisha ww nisipokusikia naumwa nakupenda bureee ,mafundisho yako ni hatar wengi tumepona aminaaaaa❤❤❤❤❤❤
Thank you dad in the Christ it’s true 🙏🏽🙏🏽❤️❤️❤️😇
Mimi ni mwislam ila pastor napenda sana mafundisho yako ❤❤❤
Ubalikiwe sana tupo pamoja nawe uku Moçambique 🇲🇿🙏🙏🙏
Naomba namba,Nataka kutoa sadaka, maana ni itikio la Imani, nisikiapo Neno la Mungu naimarika sana
Tunashkuru sana mungu, kwasababu tunawewe mtandaoni
Thanks Prophet🙏
You are the prophet of God
Wewe ni mwalimu pia love u
Asante pastor mimi mwenyewe nafurahia hii mafundisho sana maana mimi huwa najeka mbaka mpavu sikafunjika asantw pastor habari tunaipata mungu akupe ujasiri zaidi
MWANADAMU kweli, TAABU kuishi na kiumbe hiki. Mwenyezi Mungu aondowe stress kwa WOTE wanaolemewa. Amina
Asante saana baba mgogo uweunasema yote
Kweli tuko wengi pastor asante Kwa mahu iri mazuri nakupenda Sana umenisaidia na kuniondoa Kwa hatari ya stress.mungu akubariki
Ujumbe halali kabisa
Ongela sana mtumishi
Ameen hakika kazi yako n njema kwa wengi
Mtumishi mungu azidi kukupa mahalifa hili tuzidi kujifuza
Thanks am touched
ubalikiwe na mungu kwaktufungua vichwa❤❤❤
Kwa kweli ubarikiwe Muchungaji na Mungu aku zidishie Mengi . Tuna ku Fuatilia direct in Canada.
Amen
Nakupenda pastr
Mwalimu wa kweli mungu akuzidishie
Asante saana baba yangu Mungu awabariki kweli uwe unasema wakome kwanza
Ubarikwe Pastor, safi sana
Thank u profet
Ubarikiwe sana mchungaji
Mchungaji mgogo nakukubali sana unanifundisha sana
Ubarikiwe Sana pastor ❤❤❤naipenda mahubiri Yako Leo nimejigunza ukiongea na wabovu utaku nawe ....🙏
Umenena paster
Thanks dady for message
Amina mtmish wa mungu kuhusu sadaka mungu atajitwalia utkufu wake
njoo arusha uda river watu waache dhambi jaman ni wagumu ,tunaomba ututembelee arusha usa river siku moja ni ombi tuuu❤❤❤❤❤
Paster wewe uko na mwito wa kufundisha ata kama unaubiri pia uko nakipawa cha mafunzo mzuri sana ubarikiwe sana umenifunza mambo mengi🤝
Nina barikiwa sana kwa somo Hizo, from Congo DRC 🇨🇩
Aimen
Kweli kabisa mutumishi barikiwa sana keep going ❤❤❤❤❤❤
Man of God you are speaking all the truth may God bless you so much.
Mtumishi ubarikiwe sana kwa utume mahubiri yako yanabariki sana
Asante baba kwa mafundisho venue busara ukweli mtupu...mungu akupanue zaidi
Baba wangu wa kiroho, mungu azidi kukulinda sana. Niko msumbiji❤
Amina kubwa sana pasta,yaani wewe ni mtu wa ajabu sana.Mungu akupe maisha marefu
Ubarikiwe mchungaji Amen .....kenyan
Mungu akubariki nabarikiwa sana na ujumbe zako.
Amen nabarikiwa sana na mafundisho yako ya neno la mungu❤
Nimerizika mchungaji🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇫
Asante sana tena sana.muchungaji kwa mafundisho. tuna kufuta tokeya bunia injini congo
Amen ubarikiwe mtumishi ❤❤❤
❤
Kwakweli mchungaji upo juu kwa kutuelimisha. Ubarikiwe sana.
Mungu akubariki sana
Ameeeen 🙏💯 God b😢 you pasta
Tunashukuru kweli nakpenda sanaaaaa !!!!
Amen Amen
God bless you pastor
Amen be blessed
Amen amen
Mtu ambaye Ako Kenya anaeza kutuma sadaka aje? Napenda sana kukuskiza ila sijawai toa sadaka Kwa kweli🥲
AMEN Ubarikiwe
Be blessed pastor👏👏your words helps me alot
Pastor hata kama nimekasirika najikuta nacheka😂tu juu ya mafundisho yako. Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Ndio kbs
Barikiwa pasta
Mch.umesema kweli kabisa!
Pasta Sisi wenye tuko mbali tunatowa Sana,jiga 2 Ni 4000fc, Congo
Amen balikiwa sana
Ata mimi nimesaidika Haki ila sijatoa sadaka 😂😂 Amen
Ameen postor
God bless 🙏 past
Nakukubali baba wanaokuchukia niwa chawi wandoa hawataki zipone
God bless you
Myaka ishilini uzoefu safi😢
Hakika pastor
Barikiwa sana
Ndio mgogo
Piya mimi nashukuru
iyo kweli wanao barikiwa ni wengi kuliko hao waliyo katika séminaire
Tunashukuru san pasta
Nimetasama Hadi mwisho,am from kenya
Tuna penda tutowe Sadaka Ila Ila ha tujuwe Tuta tuma namna gani, compte hatujuwe
Mungo ngo😂😂😂kweli
Towa number tutowe sadaka 😂😂😂😂😂😂
Ni kweli mwanaume hapendi kelele 😅😅😅
Pastor sadaka tunaweza kutoa ila tunawasiwasi wa kukufikia kwasababu ya matapeli mitandaoni
@Chilunda-dg4in
10 күн бұрын
Kabisaa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ww n mchungaj wakwel
mtumishi ubarikiwe tu japo sms hizi hazina pa kwenda
Paster mugogo na wewe nikali u nafugua kabisa
Eti unageuziwa kesi 😂😂😂
Hatawengine hawakufate. Sisi tutakufatilia mpaka
Mchungaji unaongea maisha tunayo yapitia kwenye ndoa zetu mungu akuinue zaidi
Ubwa mwizi 😂😂😂😂😂😂😂
Pst uweke MEPS yako
😂😂😂😂😂
Pasiter Rwanda tunakupenda wewe haufundishe mapokeyo uko naneno kabisa kazia hapo sema ukwer
🎉🎉🎉❤❤kzread.info/dash/bejne/foeLttl-j9yxhpM.html&feature=shared watumiye wengine tuchague baraka
❤
You are the prophet of God