MCH DANIEL MGOGO - UNAFIKI (OFFICIAL VIDEO)

MCH DANIEL MGOGO - UNAFIKI (OFFICIAL VIDEO)
Mahubiri, Preaching, Eliona Kimaro, KKKT, KKKT Kariokoo, KKKT Kijitonyama, Messages, kkkt, eliona kimaro, daniel mgogo, mch eliona kimaro, rev eliona kimaro, mch daniel mgogo, sermons, teaching, preaching, kkkt kariokoo, kkkt kijitonyama, tanzania, bongo, ujumbe, neno, personal growth, lutheran church

Пікірлер: 341

  • @mariethamarietha3527
    @mariethamarietha35274 жыл бұрын

    Nakupenda sana baba yangu wa kiroho mungu akupe maisha marefu

  • @muzaliaandre6686
    @muzaliaandre66864 жыл бұрын

    Shalom mtumishi wa Mungu iyi ni Injili inayo itajika kwa nyakati izi zamwisho mola akutiy nguvu maombi yangu nikwamba umupendeze Mungu anipe roho yako mara dufu ,ninakiu yakubadilika nakuubiri Injili inayojaa uzima namna hii,k Dieu vous bénisse abondamment chere prédicateur

  • @MwaiElyne

    @MwaiElyne

    Жыл бұрын

    Mungu akutimize haja ya roho yako,,,iwapo utamtumikia Kwa kweli 🙏😊

  • @barakagaby7615
    @barakagaby76155 жыл бұрын

    Pastor hakika injil ya Yesu ndo hii, siyo pokea pesa/nyumba /gar na kadhalika Mungu akuinue zaid pastor I love you more because you doing the perfect things

  • @DavidNjemeti
    @DavidNjemeti10 күн бұрын

    Mchungaji akubariki Mungu wa mbinguni

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын

    Wapewape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao👏👏asante mchungaji huwa unawapa za uso.hiyo ndio injili sio kubembelezana

  • @arolaruhutha8542
    @arolaruhutha85425 жыл бұрын

    Nafarijika na mafundisho ya Mchungaji huyu, napata injiri kamilikamili(complite) ila naomba mtengeneze mahubiri haya ili tuweze kuyapata hata kwenye flash au CD. au yapatikane kwa wauza moves or CDs. Mungu wa Mbinguni awabaliki kwa huduma nzuri.

  • @sadelickkihongosi8248
    @sadelickkihongosi82485 жыл бұрын

    ubarikiwe sana Mchungaji Mgogo hayo ndiyo mafundisho yanayohitjika kwetu.

  • @cathyrayz7374
    @cathyrayz73744 жыл бұрын

    Ndugu wa wote😂😂. Mungu azidi kukutetea mtumishi Najifunza vitu vingi toka kwako

  • @amisarurangira5268
    @amisarurangira52683 жыл бұрын

    Muchungaji mungu akubariki Sana tena Sana nimebarikiwa sana mungu akuongeze nguvu kwa kazi unayoifanya!!

  • @maidafrancis45
    @maidafrancis455 жыл бұрын

    😁😁😁🤗hutaki nyama na supu usile😁😁barikiwa sana

  • @upendosanga1409

    @upendosanga1409

    3 жыл бұрын

    Ma l

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba60185 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana dady.... ASIKIAYE NA AFAHAM NENO AMBALO ROHO AYAAMBIA MAKANISA... AMEN

  • @leahmshana3514
    @leahmshana35145 жыл бұрын

    yaan wachungaji, watumishi, mapadre na mashehe wangekuwa wasema ukweli hivi watu wangebadilika

  • @doricemulera9927

    @doricemulera9927

    5 жыл бұрын

    leah mshana u

  • @naomibenjamini2088

    @naomibenjamini2088

    5 жыл бұрын

    wanasema ukweli sema watu wanaingia kwenye nyumba na mahali pa ibada kimazoea ndio maana awaguswi usishangae hata hapo wapo wasio sikia na kuishi

  • @giliadgodfriend8006

    @giliadgodfriend8006

    5 жыл бұрын

    Amina

  • @omarymoses7256

    @omarymoses7256

    4 жыл бұрын

    Akika Mungu atupe wachungakama awa

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 жыл бұрын

    Powerful people like Pastor Mugogo. Big up Pastor.

  • @LydiatumusifuCinyabuguma
    @LydiatumusifuCinyabuguma3 ай бұрын

    Mungu atupe nasi wachungaji kama wewe,ili duniya yote iba dilike, nashukurusana baba.

  • @farajagordon4847
    @farajagordon48475 жыл бұрын

    Ukweli unatuweka huru saana, aliyekufa katika Yesu atafufuka naye, asante Mchungaji.

  • @lizzyshayo209
    @lizzyshayo2094 жыл бұрын

    “Walionizalishaaa wamenikimbiaaa ...,mchungajiii umenichekesha

  • @kelvinwilliam3595
    @kelvinwilliam35953 жыл бұрын

    Hapo nakubali pastor mungu akupee neema zaid uzidi kutuchambua kabisa

  • @vumiliambogela7436
    @vumiliambogela7436 Жыл бұрын

    Mungu akubariki mchungaji

  • @rogathejosephat9872
    @rogathejosephat98725 жыл бұрын

    Baba umeniacha hoi na nyimbo ninazipenda kweli .kumbe nimechemka

  • @jonaskabonda741

    @jonaskabonda741

    5 жыл бұрын

    Hahahaaaa

  • @florakijole447
    @florakijole4475 жыл бұрын

    Nampenda sana huyu mtumishi. Unafiki unamaliza makanisa na watumishi

  • @talumbamtopa2706
    @talumbamtopa27064 жыл бұрын

    Ubarikiwe baba unatoa nondo nzuri na unawagusa watu wengi Sana wenye shida mbalimbali

  • @gracealexander5309
    @gracealexander53095 жыл бұрын

    Kweli.mtumishi mtu mnafiki ni mbaya sana mtumishi waambiye wapone

  • @neemamussa7866
    @neemamussa78665 жыл бұрын

    kwakweli acheni Mungu aitwe Mungu. barikiwa sana mchungaji Daniel Mgogo

  • @12nkima53

    @12nkima53

    5 жыл бұрын

    Msema kweli mpenzi wa Mungu. Hii ndio Live!! Asante mtumishi.

  • @neemamussa7866

    @neemamussa7866

    5 жыл бұрын

    +Ernest Mnzava amina

  • @nestogwau3221

    @nestogwau3221

    3 жыл бұрын

    Améen sana

  • @justusmbulishi5735
    @justusmbulishi57355 жыл бұрын

    True pastor. Listening from Kenya.

  • @jamesmalya2214

    @jamesmalya2214

    5 жыл бұрын

    amina mchungaji

  • @augustinemtatiro9780

    @augustinemtatiro9780

    4 жыл бұрын

    Mungu azidi kukubariki mushy bulk

  • @robertmwangamila9832
    @robertmwangamila98325 жыл бұрын

    Hakika wokovu ni talanta iliyo njema na ya thamani sana

  • @charlesluhwago5529
    @charlesluhwago55295 жыл бұрын

    Huyu mputi nampenda na mahubiri yake yana ukweli mtupu kuhusu maisha ya watu na Mungu

  • @elishamnkondy832
    @elishamnkondy8323 жыл бұрын

    Barikiwa sanaaaaa

  • @winnykhakali2048
    @winnykhakali20483 жыл бұрын

    Mchungaji nashukuru kwa mahubiri yako lakini kuwa watu wako gerezani na wako huru na wengine Hawayuko gerezani lakini Hawayuko huru

  • @ikwetajunior945
    @ikwetajunior9455 жыл бұрын

    Hahahaaaa amina barikiwa mtumishi wa Mungu, walio nizalishaaaa wamenikimbiaaaa.

  • @bethmziray690
    @bethmziray6905 жыл бұрын

    Mnafiki ni zaidi ya muuaji, Amina mtumishi

  • @winfridacharles8414

    @winfridacharles8414

    5 жыл бұрын

    hahahaha walonizalisha😀😀😀😀

  • @hoseaanthony5746

    @hoseaanthony5746

    5 жыл бұрын

    beth mziray 0

  • @leoncembata4203
    @leoncembata42035 жыл бұрын

    Nakupenda sana mchungaji...tunahitaji mafundisho kama haya sio mafundisho ya kufalijiana...

  • @susanlune240
    @susanlune2405 жыл бұрын

    Barikiwa sana Mtumishi Wa Mungu ,Mungu azidi kuteua watu wake wakuhubiri ukweli dunia ipone

  • @jeniphermtenda7477
    @jeniphermtenda74775 жыл бұрын

    😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 MUNGU akubariki sana mchungaji wangu

  • @lydianyenza4810

    @lydianyenza4810

    5 жыл бұрын

    Amen

  • @monicahwanjiku5304
    @monicahwanjiku53045 жыл бұрын

    I love your sermons you bless my soul man Of God. Barikiwa sana

  • @maombitv4118
    @maombitv41185 жыл бұрын

    mchungaji kweli unatoboa direct sio watumishi wengi wanaweza kufanya hivi

  • @marymusangi5568
    @marymusangi55683 жыл бұрын

    Ubarikiwe mchungazi sana unanibari kila waka🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪

  • @josephinakosma3107
    @josephinakosma3107 Жыл бұрын

    Mchungaji mungu akubarik Yan maubiri yako Niya ukweli

  • @joycejumaa7181
    @joycejumaa71815 жыл бұрын

    Amen! Mungu akuondolee roho za unafiki penda Sana mafudisho barikiwa mtumishi wa mungu

  • @lilyjimmy4029
    @lilyjimmy40295 жыл бұрын

    Kweli kabisa baba mungu akubariki saana kwa kusema ukweli

  • @heryboeog7431
    @heryboeog74313 жыл бұрын

    Mugu akubariki sana mchungaji kwa huduma yako njema

  • @princesslaurian1758
    @princesslaurian17585 жыл бұрын

    kweli kabisa mchungaji wanafiki wasingekuwa makanisani ingekuwa raha sana. Mungu azidi kukuinua

  • @edithamwanitu4136
    @edithamwanitu41364 жыл бұрын

    Unanipa raha sana mchungaji mgogo ,mung akuweke daima , endelea kusema tupone,barikiwa sana

  • @leontinematumaini5273
    @leontinematumaini52735 жыл бұрын

    Hallelujah hosanna i just love this m'en of God

  • @lalilamaingu9426
    @lalilamaingu94265 жыл бұрын

    mnaishi wapangaji 2 kwenye nyumba moja oooh Mchungaji sema watu tupone

  • @pstmosesmaina8158
    @pstmosesmaina81584 жыл бұрын

    Papa habari ndio hiyo. Hakuna injili nyingine Baba hubiri

  • @ceciliamary1554
    @ceciliamary15543 жыл бұрын

    Ameeen pastor listening from kenya napenda mahubiri yako sana🙏🙏

  • @abbymwangoka9473
    @abbymwangoka94733 жыл бұрын

    Mungu akubaliki

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu20835 жыл бұрын

    Nipendacho kwa mahubili ya huyu ndugu anaongea ukweli unaowahusu watu mitani na kwenye nyumba za ibada.kuhubili siyo kulemba lemba watu,ni vyema kuwaambia ukweli walionao ili wabadilike

  • @jonaskabonda741

    @jonaskabonda741

    5 жыл бұрын

    Anasema ukweli mchungu

  • @joshuajohn8515

    @joshuajohn8515

    5 жыл бұрын

    Yes abarikiwe

  • @rahmambweso9135

    @rahmambweso9135

    5 жыл бұрын

    Ni kweli kabisaa . Alafu hafichi kitu . Nmkubali sn

  • @princesprosper8052

    @princesprosper8052

    5 жыл бұрын

    george massebu

  • @wycliffeiboshe3052
    @wycliffeiboshe30523 жыл бұрын

    Ujumbe wa kusisimua mno...

  • @kingaugus1514
    @kingaugus15145 жыл бұрын

    Haaa nice and massage brought home

  • @patrickmusyoka3544
    @patrickmusyoka35444 жыл бұрын

    barikiwa mtumishi kwa ilo neno la mungu

  • @lindagrace1597
    @lindagrace1597 Жыл бұрын

    Ninapo skia maneno ya mcungaji 'nafarijika sana ''asante sana

  • @gladyschiri3641
    @gladyschiri36415 жыл бұрын

    wah!. .nampenda huyu anahubiri ukweli mtubu 👏👏

  • @dismasmtui729

    @dismasmtui729

    5 жыл бұрын

    Kuokokaaaa,kuokokaaaa,nimechekaaa kama mazuri,barikiwa mtumishi.

  • @lucymahiza9145
    @lucymahiza91453 жыл бұрын

    Aminaaaaaa nitaimba nyimbo nkimaanisha 🙏

  • @ElizabethMjila
    @ElizabethMjila15 күн бұрын

    Amina mtumishi

  • @adelaidapaulo5184
    @adelaidapaulo51845 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana muchungaji. Napenda sana maneno yako. kupitia neno lako tumepona

  • @elizabernard5823
    @elizabernard58233 жыл бұрын

    Mungu akubariki unanyoshaga hupindishagi tuambie

  • @mumyraphine5790
    @mumyraphine57905 жыл бұрын

    Ahaaaaa mashavu kama maandazi hakika mchungaji napenda sana mahubiri yako

  • @kigoyeruth5946
    @kigoyeruth59465 жыл бұрын

    Amina, amina, mchungaji, barikiwa na Bwana.

  • @michaelrambo6207
    @michaelrambo62075 жыл бұрын

    jaman wachungaj Kama Hawa ndo tunawataka

  • @graceally4616

    @graceally4616

    3 жыл бұрын

    Hahahaaaaa, walionizalisha wamekimbia, hapa napo nimejifunza kitu , mch Mungu akubariki sana,

  • @midiansimon6970
    @midiansimon69705 жыл бұрын

    Amina baba sema akupingae neo yumo baba sema

  • @marienizigiyimana7348

    @marienizigiyimana7348

    5 жыл бұрын

    Wambiyeee

  • @elizabethrobert6024
    @elizabethrobert60245 жыл бұрын

    Walonizalisha wamenikimbia mwanaume na suruali yako 😀😀😀mchungaji kiboko

  • @fikirijuma1414

    @fikirijuma1414

    5 жыл бұрын

    Nishida

  • @etonabintu

    @etonabintu

    5 жыл бұрын

    Hahhahahaa nimecheka sana

  • @rockykambale6432
    @rockykambale64323 жыл бұрын

    Aksante pastaa

  • @madeleinemb6727
    @madeleinemb67275 жыл бұрын

    Aksanti muchungaji, mungu akubariki

  • @fredymbilinyi7429
    @fredymbilinyi74295 жыл бұрын

    Haaa hapo Kweli waokoke hawa .ubishi wanini washarika MCHUNGAJI kaokoka

  • @paulinedamian2929

    @paulinedamian2929

    5 жыл бұрын

    Barikiwa

  • @lovenessmoses1616
    @lovenessmoses16165 жыл бұрын

    Ubarikiweeeeeeee sana.. yaan walioko chini yako wananajifunza mengi.... daaaaa wanafaidi sana

  • @MMUNGAHOSEA
    @MMUNGAHOSEA5 жыл бұрын

    Hallelujah hallelujah Hallelujah God Bless you pastor Daniel

  • @harunamagige5049
    @harunamagige50495 жыл бұрын

    Fact, God bless you abundantly.

  • @albinishirima6981
    @albinishirima69815 жыл бұрын

    Amen umesema kweli nashukuru kwa mafundisho yako

  • @sabongetz4676
    @sabongetz46765 жыл бұрын

    yani unafiki ni mbaya kabisa ubarikiwe mtumishi

  • @user-uw8uv9bz3y
    @user-uw8uv9bz3y14 күн бұрын

    Amen mungu 🙏🙏🙏

  • @estherboke782
    @estherboke7824 жыл бұрын

    Oooh my God eti wanaume wanaimba eti walionishalisha😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 barikiwa mchungaji🌹

  • @arubalydia224
    @arubalydia2245 жыл бұрын

    Napenda sana injili ya upako kama hii, sio kupapasa ...barikiwa sana

  • @jacklinejack7274

    @jacklinejack7274

    5 жыл бұрын

    asante

  • @saralema9353
    @saralema93535 жыл бұрын

    Hongera Pastor hubiri kweli

  • @hajimisanango8929
    @hajimisanango89295 жыл бұрын

    Mch, Mgogo, Mch, Mitimingi Shekh, Kipozeo Hawafichi kitu

  • @rayanaokoit766

    @rayanaokoit766

    3 жыл бұрын

    Na pastor elisha muliri

  • @King-Jack-ryan
    @King-Jack-ryan5 жыл бұрын

    Hahahah happy pastor this real am a Kenyan watching from Morocco woooow this is good hahaha

  • @lizzyshayo209

    @lizzyshayo209

    4 жыл бұрын

    Terry Joel too good yaaani

  • @damarisfavour5799
    @damarisfavour57995 жыл бұрын

    Hallelujah Ameeeeeeeen you have nailed it Mtumishi

  • @tvamanifoundation1998
    @tvamanifoundation19985 жыл бұрын

    Hakika wewe ni mwinjiljti na unahubili kweli ambayo ipo mpaka sasa

  • @graceyessaya9188
    @graceyessaya91885 жыл бұрын

    We baba YESU akutunze kwa kweli

  • @tinamwashilindi6807
    @tinamwashilindi68075 жыл бұрын

    Mchungaji yupo vizuri sana

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93035 жыл бұрын

    Jamani nina harusi ya mdogo wangu inakuja. Umenikuna mchungaji jmn na vinywaji tumeisha lipia 🙈🙈🙈

  • @papilumona1896

    @papilumona1896

    5 жыл бұрын

    Haaaaaaaaaaa hapo sasa

  • @eugeniakimath3072

    @eugeniakimath3072

    5 жыл бұрын

    Hahaaaaa huyu mchungaj kiboko

  • @bonifacekidawi6535
    @bonifacekidawi65355 жыл бұрын

    mch mgogo weeni mwanzo mwisho hakuna kubanda2 sitret

  • @judygathoni5861
    @judygathoni58615 жыл бұрын

    Ukueli kabisa mchungaji nyibo zingine azituhusu hahaha true pastor

  • @japhetemoru8782
    @japhetemoru87824 жыл бұрын

    Ameen barikiwa mtumishi wa mungu

  • @tawoostanzania9602
    @tawoostanzania96025 жыл бұрын

    Nimecheka sanaa Sema baba tupone n ukwel mtup🙏🙏

  • @rahmambweso9135
    @rahmambweso91355 жыл бұрын

    Mimi ni muislam ila nakupendaga sn maubiri yko 7bu yananifurahishaga sn. Kkkkkk. Eti supu khaaa umeniacha hoi. Naona km umenitaja mimi nimecheka mpk basi. Wee ni kiboko kkkkkk

  • @ethan20207
    @ethan202073 жыл бұрын

    Wachungaji muna mambo mengi

  • @anneleonard260
    @anneleonard2605 жыл бұрын

    hahahahaha nabarikiwa sana na mahubiri yako

  • @chimwanakasanda3952
    @chimwanakasanda39525 жыл бұрын

    Ukweli ndiyo huyo tufanyie kazi

  • @chachaisaka8492

    @chachaisaka8492

    3 жыл бұрын

    Nmekuelewabb

  • @susanwakesho9133
    @susanwakesho91335 жыл бұрын

    Pasua jipu mchungaji n Mngu akupe nguvu napenda Sana mahubiri yako

  • @wrghkjdghklljg3819
    @wrghkjdghklljg38195 жыл бұрын

    du umeningusa sana mungu akubariki

  • @jamilaezekiel6174
    @jamilaezekiel61743 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mungu akuweke

  • @George_maina-777
    @George_maina-7775 жыл бұрын

    Waaah Rev Daniel mgogo habari iko chonjo

  • @sakwelanyanginywa9644
    @sakwelanyanginywa96445 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @rnesetter2023
    @rnesetter20235 жыл бұрын

    Heheeee.... Walionizalisha, wamenikimbia, Bwana nipe uvumilivu..

  • @marietaturuka5228
    @marietaturuka52285 жыл бұрын

    point mchungaj mungu akutie nguvu na akupake mafuta matakatifu

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys45812 жыл бұрын

    Aaaah aah aah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Amen

  • @rachelmwaki7454
    @rachelmwaki74545 жыл бұрын

    Ameen BABA barikiwa

  • @chimwanakasanda3952
    @chimwanakasanda39525 жыл бұрын

    Kenya tupoo! Tuache unafiki hapa ni penyewe

  • @harunyusuf4229
    @harunyusuf42294 жыл бұрын

    Amen sema yote mchungaji.