MCH DANIEL MGOGO - UNAFIKI (OFFICIAL VIDEO)
MCH DANIEL MGOGO - UNAFIKI (OFFICIAL VIDEO)
Mahubiri, Preaching, Eliona Kimaro, KKKT, KKKT Kariokoo, KKKT Kijitonyama, Messages, kkkt, eliona kimaro, daniel mgogo, mch eliona kimaro, rev eliona kimaro, mch daniel mgogo, sermons, teaching, preaching, kkkt kariokoo, kkkt kijitonyama, tanzania, bongo, ujumbe, neno, personal growth, lutheran church
Пікірлер: 341
Nakupenda sana baba yangu wa kiroho mungu akupe maisha marefu
Shalom mtumishi wa Mungu iyi ni Injili inayo itajika kwa nyakati izi zamwisho mola akutiy nguvu maombi yangu nikwamba umupendeze Mungu anipe roho yako mara dufu ,ninakiu yakubadilika nakuubiri Injili inayojaa uzima namna hii,k Dieu vous bénisse abondamment chere prédicateur
@MwaiElyne
Жыл бұрын
Mungu akutimize haja ya roho yako,,,iwapo utamtumikia Kwa kweli 🙏😊
Pastor hakika injil ya Yesu ndo hii, siyo pokea pesa/nyumba /gar na kadhalika Mungu akuinue zaid pastor I love you more because you doing the perfect things
Mchungaji akubariki Mungu wa mbinguni
Wapewape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao👏👏asante mchungaji huwa unawapa za uso.hiyo ndio injili sio kubembelezana
Nafarijika na mafundisho ya Mchungaji huyu, napata injiri kamilikamili(complite) ila naomba mtengeneze mahubiri haya ili tuweze kuyapata hata kwenye flash au CD. au yapatikane kwa wauza moves or CDs. Mungu wa Mbinguni awabaliki kwa huduma nzuri.
ubarikiwe sana Mchungaji Mgogo hayo ndiyo mafundisho yanayohitjika kwetu.
Ndugu wa wote😂😂. Mungu azidi kukutetea mtumishi Najifunza vitu vingi toka kwako
Muchungaji mungu akubariki Sana tena Sana nimebarikiwa sana mungu akuongeze nguvu kwa kazi unayoifanya!!
😁😁😁🤗hutaki nyama na supu usile😁😁barikiwa sana
@upendosanga1409
3 жыл бұрын
Ma l
Ubarikiwe sana dady.... ASIKIAYE NA AFAHAM NENO AMBALO ROHO AYAAMBIA MAKANISA... AMEN
yaan wachungaji, watumishi, mapadre na mashehe wangekuwa wasema ukweli hivi watu wangebadilika
@doricemulera9927
5 жыл бұрын
leah mshana u
@naomibenjamini2088
5 жыл бұрын
wanasema ukweli sema watu wanaingia kwenye nyumba na mahali pa ibada kimazoea ndio maana awaguswi usishangae hata hapo wapo wasio sikia na kuishi
@giliadgodfriend8006
5 жыл бұрын
Amina
@omarymoses7256
4 жыл бұрын
Akika Mungu atupe wachungakama awa
Powerful people like Pastor Mugogo. Big up Pastor.
Mungu atupe nasi wachungaji kama wewe,ili duniya yote iba dilike, nashukurusana baba.
Ukweli unatuweka huru saana, aliyekufa katika Yesu atafufuka naye, asante Mchungaji.
“Walionizalishaaa wamenikimbiaaa ...,mchungajiii umenichekesha
Hapo nakubali pastor mungu akupee neema zaid uzidi kutuchambua kabisa
Mungu akubariki mchungaji
Baba umeniacha hoi na nyimbo ninazipenda kweli .kumbe nimechemka
@jonaskabonda741
5 жыл бұрын
Hahahaaaa
Nampenda sana huyu mtumishi. Unafiki unamaliza makanisa na watumishi
Ubarikiwe baba unatoa nondo nzuri na unawagusa watu wengi Sana wenye shida mbalimbali
Kweli.mtumishi mtu mnafiki ni mbaya sana mtumishi waambiye wapone
kwakweli acheni Mungu aitwe Mungu. barikiwa sana mchungaji Daniel Mgogo
@12nkima53
5 жыл бұрын
Msema kweli mpenzi wa Mungu. Hii ndio Live!! Asante mtumishi.
@neemamussa7866
5 жыл бұрын
+Ernest Mnzava amina
@nestogwau3221
3 жыл бұрын
Améen sana
True pastor. Listening from Kenya.
@jamesmalya2214
5 жыл бұрын
amina mchungaji
@augustinemtatiro9780
4 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki mushy bulk
Hakika wokovu ni talanta iliyo njema na ya thamani sana
Huyu mputi nampenda na mahubiri yake yana ukweli mtupu kuhusu maisha ya watu na Mungu
Barikiwa sanaaaaa
Mchungaji nashukuru kwa mahubiri yako lakini kuwa watu wako gerezani na wako huru na wengine Hawayuko gerezani lakini Hawayuko huru
Hahahaaaa amina barikiwa mtumishi wa Mungu, walio nizalishaaaa wamenikimbiaaaa.
Mnafiki ni zaidi ya muuaji, Amina mtumishi
@winfridacharles8414
5 жыл бұрын
hahahaha walonizalisha😀😀😀😀
@hoseaanthony5746
5 жыл бұрын
beth mziray 0
Nakupenda sana mchungaji...tunahitaji mafundisho kama haya sio mafundisho ya kufalijiana...
Barikiwa sana Mtumishi Wa Mungu ,Mungu azidi kuteua watu wake wakuhubiri ukweli dunia ipone
😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 MUNGU akubariki sana mchungaji wangu
@lydianyenza4810
5 жыл бұрын
Amen
I love your sermons you bless my soul man Of God. Barikiwa sana
mchungaji kweli unatoboa direct sio watumishi wengi wanaweza kufanya hivi
Ubarikiwe mchungazi sana unanibari kila waka🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Mchungaji mungu akubarik Yan maubiri yako Niya ukweli
Amen! Mungu akuondolee roho za unafiki penda Sana mafudisho barikiwa mtumishi wa mungu
Kweli kabisa baba mungu akubariki saana kwa kusema ukweli
Mugu akubariki sana mchungaji kwa huduma yako njema
kweli kabisa mchungaji wanafiki wasingekuwa makanisani ingekuwa raha sana. Mungu azidi kukuinua
Unanipa raha sana mchungaji mgogo ,mung akuweke daima , endelea kusema tupone,barikiwa sana
Hallelujah hosanna i just love this m'en of God
mnaishi wapangaji 2 kwenye nyumba moja oooh Mchungaji sema watu tupone
Papa habari ndio hiyo. Hakuna injili nyingine Baba hubiri
Ameeen pastor listening from kenya napenda mahubiri yako sana🙏🙏
Mungu akubaliki
Nipendacho kwa mahubili ya huyu ndugu anaongea ukweli unaowahusu watu mitani na kwenye nyumba za ibada.kuhubili siyo kulemba lemba watu,ni vyema kuwaambia ukweli walionao ili wabadilike
@jonaskabonda741
5 жыл бұрын
Anasema ukweli mchungu
@joshuajohn8515
5 жыл бұрын
Yes abarikiwe
@rahmambweso9135
5 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa . Alafu hafichi kitu . Nmkubali sn
@princesprosper8052
5 жыл бұрын
george massebu
Ujumbe wa kusisimua mno...
Haaa nice and massage brought home
barikiwa mtumishi kwa ilo neno la mungu
Ninapo skia maneno ya mcungaji 'nafarijika sana ''asante sana
wah!. .nampenda huyu anahubiri ukweli mtubu 👏👏
@dismasmtui729
5 жыл бұрын
Kuokokaaaa,kuokokaaaa,nimechekaaa kama mazuri,barikiwa mtumishi.
Aminaaaaaa nitaimba nyimbo nkimaanisha 🙏
Amina mtumishi
Mungu akubariki Sana muchungaji. Napenda sana maneno yako. kupitia neno lako tumepona
Mungu akubariki unanyoshaga hupindishagi tuambie
Ahaaaaa mashavu kama maandazi hakika mchungaji napenda sana mahubiri yako
Amina, amina, mchungaji, barikiwa na Bwana.
jaman wachungaj Kama Hawa ndo tunawataka
@graceally4616
3 жыл бұрын
Hahahaaaaa, walionizalisha wamekimbia, hapa napo nimejifunza kitu , mch Mungu akubariki sana,
Amina baba sema akupingae neo yumo baba sema
@marienizigiyimana7348
5 жыл бұрын
Wambiyeee
Walonizalisha wamenikimbia mwanaume na suruali yako 😀😀😀mchungaji kiboko
@fikirijuma1414
5 жыл бұрын
Nishida
@etonabintu
5 жыл бұрын
Hahhahahaa nimecheka sana
Aksante pastaa
Aksanti muchungaji, mungu akubariki
Haaa hapo Kweli waokoke hawa .ubishi wanini washarika MCHUNGAJI kaokoka
@paulinedamian2929
5 жыл бұрын
Barikiwa
Ubarikiweeeeeeee sana.. yaan walioko chini yako wananajifunza mengi.... daaaaa wanafaidi sana
Hallelujah hallelujah Hallelujah God Bless you pastor Daniel
Fact, God bless you abundantly.
Amen umesema kweli nashukuru kwa mafundisho yako
yani unafiki ni mbaya kabisa ubarikiwe mtumishi
Amen mungu 🙏🙏🙏
Oooh my God eti wanaume wanaimba eti walionishalisha😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 barikiwa mchungaji🌹
Napenda sana injili ya upako kama hii, sio kupapasa ...barikiwa sana
@jacklinejack7274
5 жыл бұрын
asante
Hongera Pastor hubiri kweli
Mch, Mgogo, Mch, Mitimingi Shekh, Kipozeo Hawafichi kitu
@rayanaokoit766
3 жыл бұрын
Na pastor elisha muliri
Hahahah happy pastor this real am a Kenyan watching from Morocco woooow this is good hahaha
@lizzyshayo209
4 жыл бұрын
Terry Joel too good yaaani
Hallelujah Ameeeeeeeen you have nailed it Mtumishi
Hakika wewe ni mwinjiljti na unahubili kweli ambayo ipo mpaka sasa
We baba YESU akutunze kwa kweli
Mchungaji yupo vizuri sana
Jamani nina harusi ya mdogo wangu inakuja. Umenikuna mchungaji jmn na vinywaji tumeisha lipia 🙈🙈🙈
@papilumona1896
5 жыл бұрын
Haaaaaaaaaaa hapo sasa
@eugeniakimath3072
5 жыл бұрын
Hahaaaaa huyu mchungaj kiboko
mch mgogo weeni mwanzo mwisho hakuna kubanda2 sitret
Ukueli kabisa mchungaji nyibo zingine azituhusu hahaha true pastor
Ameen barikiwa mtumishi wa mungu
Nimecheka sanaa Sema baba tupone n ukwel mtup🙏🙏
Mimi ni muislam ila nakupendaga sn maubiri yko 7bu yananifurahishaga sn. Kkkkkk. Eti supu khaaa umeniacha hoi. Naona km umenitaja mimi nimecheka mpk basi. Wee ni kiboko kkkkkk
Wachungaji muna mambo mengi
hahahahaha nabarikiwa sana na mahubiri yako
Ukweli ndiyo huyo tufanyie kazi
@chachaisaka8492
3 жыл бұрын
Nmekuelewabb
Pasua jipu mchungaji n Mngu akupe nguvu napenda Sana mahubiri yako
du umeningusa sana mungu akubariki
Ubarikiwe sana mungu akuweke
Waaah Rev Daniel mgogo habari iko chonjo
Ubarikiwe sana mchungaji
Heheeee.... Walionizalisha, wamenikimbia, Bwana nipe uvumilivu..
point mchungaj mungu akutie nguvu na akupake mafuta matakatifu
Aaaah aah aah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Amen
Ameen BABA barikiwa
Kenya tupoo! Tuache unafiki hapa ni penyewe
Amen sema yote mchungaji.