MCH.DANIEL MGOGO - MCHUNGAJI UNAAGIZA POMBE ,KUMBE UNAYEMWAGIZA MSHILIKA WAKO
#Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
Пікірлер: 129
mie ni muislam ila huyu mchungaji ni mfano wa kuigwa na wachungaji wote, mafundisho yake anafundisha hadi wasiokuwa wakristo, binafsi namuelewa sana MGOGO
@farajamhenzi9037
3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sanaa mtumishi ni me barikiwa saana
@zakiarama9909
3 жыл бұрын
Pamoja sana
@datiuskaroly7571
3 жыл бұрын
ubarikiwe
@barakawabuge5285
2 жыл бұрын
Naam hata mimi hunifundisha.. Mtu muhammad (s. A. W) alisema kuna wakristo na mayahudi wazuri... Mfano najashi
@jamilakelota6033
2 жыл бұрын
Fact
Ubalikiwe mch
Bwana Yesu apewe sifa, tunashukuru Sana mafunzo ya dharura tunaiyoipokea
Ubarikiwe sana baba mchungaji nikweli kabisa
mtumish Amen kwel unayo sem naumen fumbua sasa asnt mtumish mungu asid kukup upeo wakutufundish sisi kondoo wako
amina na mm namuerewa san mungu awe naye na ampe miaka 20000000000000
Ni kweli baba nikikumbuka mapito niliyopitia Mungu mwenyewe anajua kwa sababu yeye ndo aliyenipigania; Asante Jehova shama kutupa Mchugaji mgogo.
Hongera sana Mtumishi usiogope mawe.
Mafundisho aya Yana tujenga saaana. Mungu akubariki baba. Nakufata, nikiwa Congo
Nime kufuatia sana mchunguji,mahubiri yako yapo tofauti sana wewengine,waleee mahubiri yao ni yamaari
Asante ubarikiwe maana najua utafanya wanaume wengi
Mungu akupee maoni zaidi na zaidi mchungaji
Kweli muchungaji ingekuwepo kipimo sijiwi ingekuwaje kweli Mungu atuhulumie
Napenda mahubiri yako pastor 🙏❤️
@apolinayusuf3838
3 жыл бұрын
11q11
Mwenyezi Mungu awabariki
Kupitia mahubiri yko wengi wanaponywa, wanaosema husomi maandiko wanakuonea wivu Achana nao, piga kaz baba songa mbeleeee
AMINA barikiwa Sana mchungaji
Ameen mchungaji mungu akubariki na akuinue zaidi
Hongera sana kwa hili neno.
Amen ubarikiwe mtumishi
Ama Kwa kweli neno hili ni la kweli kabisa. Mungu atusaidie
ubarikiwe pastor
Ubarikiwe mtumishi injili yako ya ukweli mtupu sema tupone
Hongera pastor 🙏
Amen Barikiwa sana Mchungaji
🤣🤣🤣🤣🤣Amen Amen Kwa neno barikiwa Sana mtumishi 🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki baba
God bless u
Barikiwa
Mchungaji mungu akubariki sana
Amen amen
Lovely message.long live pastor
Barikiwa mchungaji
Eti Kama mdoli😁😁😁😁😁😁😁😁💃💃💃
Yes bshop Daniel mgogo nakbal Sana mahubili yako bless
Hyo lnjili kali sana
Uko sawa kabisa mtumishi 😁😁😁
@andrewalute3085
2 жыл бұрын
Yes my friend
mgogo nijje
Kweli kabisa
ubarikiwe sana baba
Una maubir mazuri nakufatiliag san
Nakuelewa sana mchungaji 🤣🤣
Yan upo sahihi ata mm niseme ukwel wa mungu nilikua ivo ivo lkn ss kwasababu yako nimebadilika yani nasema kwel yamungu kasoro tu kumuamsha asubui lkn mengine nimo na nungu anisamehe.
Barikiwa Mchungaji
Waaaaaa!!!ukweli kabisaa unasema,, maji moto ya kuoga hahaha kweli mchungaji
Hahaaaaaa pasha moto mzee
Baba umetisha sana
Mmmmh mgogo umebarikiwa kiukweli
Nimeipenda iyoo
Mungu akuinue
Ni kweli
Ameni mchungaji
Nimekuelewa baba
Ndio kweli
Tuwe na yesu
Amena 🙏🙏🙏
Be blessed for this msg
Ameeen
Haminaaaaa
Sema tupone
Safi sana
Nipo Canada ila wanga nakufatilia sana Mungu akubariki
@jacklinelucas3021
3 жыл бұрын
Barikiwa sana maana nishida ulijuaje ?mwanaume nishida yan mwanamke unachoka sana sana yan huku mtoto analia anataka kunyonya baba nae nitegee net mara muda mwingine umeandaa chakura mezani anakwambia nipakulie ×punguza kingi sana ninawishe yan ss unachoka huku umepa nguo ataaza kuzitimua mojahd nyingine hoo hii sijaipenda ulinunuaje? Yan tunatabu
Kabisa nikweli baba muchungaji
Jmn wanaume wanatunyanyasa sana Tukwila na Mumbai
😅 barikiwa
S sifaeli Junio
❤️❤️
Apo sasa
Sasa Kama maisha ya doa ni hivi nitaoa
😂😂😂😂huyu mchungaji
Wanaume hapa wametulia kimyaaaaaaa!!!
Mahubiri yako bishop yatosha umehubiri ukweli kabisaaa
Hapa Mchungaji, umetupiga goal kumi bila. Lakini heri akuambiaye kweli ukakasirika kuliko rafiki anaye kudanganya na ukapotea miondoko
Nikweli mchungaji
@andrewalute3085
2 жыл бұрын
Yes
Waongo ao
🙏🙏🙏
Ndio
Dah mulemule
👍👍👍✊
Natamani nifike kanisan kwako
Ile hekima uko nayo pastor si ya kawaida
Uwambiye wale wa baba walisha tutesa wala hawajuwe kuomba msamaa kama wamekosa
Mgogo sijui nikununulie soda??? Hujawai kukosea
@naomymaraanaomy1752
3 жыл бұрын
Amina sana mchungaji umekua wa baraka sana kwangu aki umeponya moyo wangu🙏🙏🙏
Emeeeeeeeee.....n
Jamani hahaha
That's my pastor 😂😂😂
Michezonbc
Indian movies
@yustakasingila4356
3 жыл бұрын
Ubalikiwe mtumishi
Nakuelewa baba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@annageorge7712
3 жыл бұрын
Mchngaji naomba uniombee
😀😀😀😂
WhatsApp
😂😂😂😂😂😂
Waambie tu baba ili usije ukaulizwa kwa nini uliona ukanyamaza
@ellypoul2952
3 жыл бұрын
Hahahaha
R
😜😜😜😜😜😜
Jkhk
@magrethchipalo7221
3 жыл бұрын
Amina baba nakuelewa sana
🤣🤣😁😁😁😁😁
Hivi huyu mchungaji yuko Kenya au tz?
@AbdulAbdul-pr9qe
3 жыл бұрын
ni wa TZ ila huwa anaenda hadi Kenya kufanya mahubiri
@muhumuzaerenest1947
3 жыл бұрын
Tz
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣