MCH.DANIEL MGOGO - MCHUNGAJI UNAAGIZA POMBE ,KUMBE UNAYEMWAGIZA MSHILIKA WAKO

#Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...

Пікірлер: 129

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын

    mie ni muislam ila huyu mchungaji ni mfano wa kuigwa na wachungaji wote, mafundisho yake anafundisha hadi wasiokuwa wakristo, binafsi namuelewa sana MGOGO

  • @farajamhenzi9037

    @farajamhenzi9037

    3 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sanaa mtumishi ni me barikiwa saana

  • @zakiarama9909

    @zakiarama9909

    3 жыл бұрын

    Pamoja sana

  • @datiuskaroly7571

    @datiuskaroly7571

    3 жыл бұрын

    ubarikiwe

  • @barakawabuge5285

    @barakawabuge5285

    2 жыл бұрын

    Naam hata mimi hunifundisha.. Mtu muhammad (s. A. W) alisema kuna wakristo na mayahudi wazuri... Mfano najashi

  • @jamilakelota6033

    @jamilakelota6033

    2 жыл бұрын

    Fact

  • @amosbuzaniye2331
    @amosbuzaniye2331 Жыл бұрын

    Ubalikiwe mch

  • @asentusodhiambo9621
    @asentusodhiambo96213 жыл бұрын

    Bwana Yesu apewe sifa, tunashukuru Sana mafunzo ya dharura tunaiyoipokea

  • @kizandume3015
    @kizandume30154 ай бұрын

    Ubarikiwe sana baba mchungaji nikweli kabisa

  • @kevokipanya4808
    @kevokipanya48083 жыл бұрын

    mtumish Amen kwel unayo sem naumen fumbua sasa asnt mtumish mungu asid kukup upeo wakutufundish sisi kondoo wako

  • @marketphone6353
    @marketphone63534 жыл бұрын

    amina na mm namuerewa san mungu awe naye na ampe miaka 20000000000000

  • @brigithaassenga5191
    @brigithaassenga51913 жыл бұрын

    Ni kweli baba nikikumbuka mapito niliyopitia Mungu mwenyewe anajua kwa sababu yeye ndo aliyenipigania; Asante Jehova shama kutupa Mchugaji mgogo.

  • @catherineeliah8446
    @catherineeliah8446 Жыл бұрын

    Hongera sana Mtumishi usiogope mawe.

  • @sophiemulebinge3350
    @sophiemulebinge33503 жыл бұрын

    Mafundisho aya Yana tujenga saaana. Mungu akubariki baba. Nakufata, nikiwa Congo

  • @lucasleonard5290
    @lucasleonard52903 жыл бұрын

    Nime kufuatia sana mchunguji,mahubiri yako yapo tofauti sana wewengine,waleee mahubiri yao ni yamaari

  • @jaclinsimon9999
    @jaclinsimon9999 Жыл бұрын

    Asante ubarikiwe maana najua utafanya wanaume wengi

  • @esperancekavira8548
    @esperancekavira85482 жыл бұрын

    Mungu akupee maoni zaidi na zaidi mchungaji

  • @irenesimon9107
    @irenesimon91073 жыл бұрын

    Kweli muchungaji ingekuwepo kipimo sijiwi ingekuwaje kweli Mungu atuhulumie

  • @tituskhaemba654
    @tituskhaemba6543 жыл бұрын

    Napenda mahubiri yako pastor 🙏❤️

  • @apolinayusuf3838

    @apolinayusuf3838

    3 жыл бұрын

    11q11

  • @sengebasenga6665
    @sengebasenga66653 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu awabariki

  • @bahatimmependezamwanginda5202
    @bahatimmependezamwanginda52023 жыл бұрын

    Kupitia mahubiri yko wengi wanaponywa, wanaosema husomi maandiko wanakuonea wivu Achana nao, piga kaz baba songa mbeleeee

  • @celinahguru8326
    @celinahguru83263 жыл бұрын

    AMINA barikiwa Sana mchungaji

  • @annamrima5507
    @annamrima55074 жыл бұрын

    Ameen mchungaji mungu akubariki na akuinue zaidi

  • @martinenestory7829
    @martinenestory78293 жыл бұрын

    Hongera sana kwa hili neno.

  • @martinantary1174
    @martinantary11744 жыл бұрын

    Amen ubarikiwe mtumishi

  • @nyaxx38
    @nyaxx383 жыл бұрын

    Ama Kwa kweli neno hili ni la kweli kabisa. Mungu atusaidie

  • @dorcasmukhanji272
    @dorcasmukhanji2724 жыл бұрын

    ubarikiwe pastor

  • @anethkalokola5777
    @anethkalokola57772 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi injili yako ya ukweli mtupu sema tupone

  • @tituskhaemba654
    @tituskhaemba6543 жыл бұрын

    Hongera pastor 🙏

  • @frankruremesha1476
    @frankruremesha14763 жыл бұрын

    Amen Barikiwa sana Mchungaji

  • @beatricenjoki283
    @beatricenjoki2833 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣Amen Amen Kwa neno barikiwa Sana mtumishi 🙏🙏🙏🙏

  • @evangatima3377
    @evangatima33772 жыл бұрын

    Mungu akubariki baba

  • @lekiajuvenary9080
    @lekiajuvenary90802 жыл бұрын

    God bless u

  • @christinadaud4538
    @christinadaud45382 жыл бұрын

    Barikiwa

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo79204 жыл бұрын

    Mchungaji mungu akubariki sana

  • @lanisterchuga4068
    @lanisterchuga40682 жыл бұрын

    Amen amen

  • @everlinsalano97
    @everlinsalano972 жыл бұрын

    Lovely message.long live pastor

  • @robaisitatishow1607
    @robaisitatishow16074 жыл бұрын

    Barikiwa mchungaji

  • @mwajumahmkali9557
    @mwajumahmkali95573 жыл бұрын

    Eti Kama mdoli😁😁😁😁😁😁😁😁💃💃💃

  • @eliasmsese7694
    @eliasmsese76944 жыл бұрын

    Yes bshop Daniel mgogo nakbal Sana mahubili yako bless

  • @ruthmulei9977
    @ruthmulei99773 жыл бұрын

    Hyo lnjili kali sana

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua88044 жыл бұрын

    Uko sawa kabisa mtumishi 😁😁😁

  • @andrewalute3085

    @andrewalute3085

    2 жыл бұрын

    Yes my friend

  • @lameckhansuliteremuka4493
    @lameckhansuliteremuka44932 жыл бұрын

    mgogo nijje

  • @MuhindoMurabazi
    @MuhindoMurabazi2 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @emmanuelineuwizeye3097
    @emmanuelineuwizeye30972 жыл бұрын

    ubarikiwe sana baba

  • @abdulijumaa496
    @abdulijumaa4962 жыл бұрын

    Una maubir mazuri nakufatiliag san

  • @salomemunuo1883
    @salomemunuo18834 жыл бұрын

    Nakuelewa sana mchungaji 🤣🤣

  • @focuseric4109
    @focuseric41093 жыл бұрын

    Yan upo sahihi ata mm niseme ukwel wa mungu nilikua ivo ivo lkn ss kwasababu yako nimebadilika yani nasema kwel yamungu kasoro tu kumuamsha asubui lkn mengine nimo na nungu anisamehe.

  • @irenemakokha7615
    @irenemakokha76153 жыл бұрын

    Barikiwa Mchungaji

  • @irinewafula1557
    @irinewafula15573 жыл бұрын

    Waaaaaa!!!ukweli kabisaa unasema,, maji moto ya kuoga hahaha kweli mchungaji

  • @selestinebiyake3838
    @selestinebiyake38382 жыл бұрын

    Hahaaaaaa pasha moto mzee

  • @fideskalalu341
    @fideskalalu3413 жыл бұрын

    Baba umetisha sana

  • @djmanywele7252
    @djmanywele72523 жыл бұрын

    Mmmmh mgogo umebarikiwa kiukweli

  • @mathewandrew3761
    @mathewandrew37613 жыл бұрын

    Nimeipenda iyoo

  • @ebadimyenda2739
    @ebadimyenda27393 жыл бұрын

    Mungu akuinue

  • @Petro757
    @Petro757 Жыл бұрын

    Ni kweli

  • @hildamasonda3243
    @hildamasonda32433 жыл бұрын

    Ameni mchungaji

  • @magrethndambo7684
    @magrethndambo76843 жыл бұрын

    Nimekuelewa baba

  • @elizabethchalesi2829
    @elizabethchalesi28292 жыл бұрын

    Ndio kweli

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Tuwe na yesu

  • @amanindiyogi2167
    @amanindiyogi21672 жыл бұрын

    Amena 🙏🙏🙏

  • @agneswaitherero4053
    @agneswaitherero40533 жыл бұрын

    Be blessed for this msg

  • @vemchannel2018
    @vemchannel20182 жыл бұрын

    Ameeen

  • @sumadavid3240
    @sumadavid32402 жыл бұрын

    Haminaaaaa

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi97464 жыл бұрын

    Sema tupone

  • @wagisimasabahi1533
    @wagisimasabahi15333 жыл бұрын

    Safi sana

  • @lubungaetienealmasi1059
    @lubungaetienealmasi10593 жыл бұрын

    Nipo Canada ila wanga nakufatilia sana Mungu akubariki

  • @jacklinelucas3021

    @jacklinelucas3021

    3 жыл бұрын

    Barikiwa sana maana nishida ulijuaje ?mwanaume nishida yan mwanamke unachoka sana sana yan huku mtoto analia anataka kunyonya baba nae nitegee net mara muda mwingine umeandaa chakura mezani anakwambia nipakulie ×punguza kingi sana ninawishe yan ss unachoka huku umepa nguo ataaza kuzitimua mojahd nyingine hoo hii sijaipenda ulinunuaje? Yan tunatabu

  • @kadiihanjari710
    @kadiihanjari7103 жыл бұрын

    Kabisa nikweli baba muchungaji

  • @irenemacha7457
    @irenemacha74574 жыл бұрын

    Jmn wanaume wanatunyanyasa sana Tukwila na Mumbai

  • @jacksonchiwalanga4817
    @jacksonchiwalanga48173 жыл бұрын

    😅 barikiwa

  • @sifaeliyesayamakala7483
    @sifaeliyesayamakala74832 жыл бұрын

    S sifaeli Junio

  • @benadetaalbati6612
    @benadetaalbati66123 жыл бұрын

    ❤️❤️

  • @peterkatwale1794
    @peterkatwale17942 жыл бұрын

    Apo sasa

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 Жыл бұрын

    Sasa Kama maisha ya doa ni hivi nitaoa

  • @seng2511
    @seng2511 Жыл бұрын

    😂😂😂😂huyu mchungaji

  • @ankogeorge8972
    @ankogeorge89724 жыл бұрын

    Wanaume hapa wametulia kimyaaaaaaa!!!

  • @hanningtonedagwa8636
    @hanningtonedagwa86364 жыл бұрын

    Mahubiri yako bishop yatosha umehubiri ukweli kabisaaa

  • @koshnmjomba3702
    @koshnmjomba37023 жыл бұрын

    Hapa Mchungaji, umetupiga goal kumi bila. Lakini heri akuambiaye kweli ukakasirika kuliko rafiki anaye kudanganya na ukapotea miondoko

  • @bujucommedys2920
    @bujucommedys29202 жыл бұрын

    Nikweli mchungaji

  • @andrewalute3085

    @andrewalute3085

    2 жыл бұрын

    Yes

  • @mathisjosefu2350
    @mathisjosefu23503 жыл бұрын

    Waongo ao

  • @pillydenis8211
    @pillydenis82112 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @elizabethchalesi2829
    @elizabethchalesi28292 жыл бұрын

    Ndio

  • @zabibusaid1473
    @zabibusaid14733 жыл бұрын

    Dah mulemule

  • @godb8111
    @godb81113 жыл бұрын

    👍👍👍✊

  • @sifaeliyesayamakala7483
    @sifaeliyesayamakala74832 жыл бұрын

    Natamani nifike kanisan kwako

  • @christinekituyi9826
    @christinekituyi98262 жыл бұрын

    Ile hekima uko nayo pastor si ya kawaida

  • @josephineabedi8100
    @josephineabedi81003 жыл бұрын

    Uwambiye wale wa baba walisha tutesa wala hawajuwe kuomba msamaa kama wamekosa

  • @irenemacha7457
    @irenemacha74574 жыл бұрын

    Mgogo sijui nikununulie soda??? Hujawai kukosea

  • @naomymaraanaomy1752

    @naomymaraanaomy1752

    3 жыл бұрын

    Amina sana mchungaji umekua wa baraka sana kwangu aki umeponya moyo wangu🙏🙏🙏

  • @SirdickOmondi
    @SirdickOmondi4 жыл бұрын

    Emeeeeeeeee.....n

  • @mathewandrew3761
    @mathewandrew37613 жыл бұрын

    Jamani hahaha

  • @annemwande6807
    @annemwande68074 жыл бұрын

    That's my pastor 😂😂😂

  • @fadhililyenje1332
    @fadhililyenje13322 жыл бұрын

    Michezonbc

  • @moseschacha4417
    @moseschacha44173 жыл бұрын

    Indian movies

  • @yustakasingila4356

    @yustakasingila4356

    3 жыл бұрын

    Ubalikiwe mtumishi

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi51963 жыл бұрын

    Nakuelewa baba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @annageorge7712

    @annageorge7712

    3 жыл бұрын

    Mchngaji naomba uniombee

  • @kennyken4215
    @kennyken42154 жыл бұрын

    😀😀😀😂

  • @priscammassy6725
    @priscammassy67252 жыл бұрын

    WhatsApp

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi97464 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20584 жыл бұрын

    Waambie tu baba ili usije ukaulizwa kwa nini uliona ukanyamaza

  • @ellypoul2952

    @ellypoul2952

    3 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @phylisnyamburagatua1596
    @phylisnyamburagatua15963 жыл бұрын

    R

  • @mathewandrew3761
    @mathewandrew37613 жыл бұрын

    😜😜😜😜😜😜

  • @pendomatiku1655
    @pendomatiku16553 жыл бұрын

    Jkhk

  • @magrethchipalo7221

    @magrethchipalo7221

    3 жыл бұрын

    Amina baba nakuelewa sana

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 жыл бұрын

    🤣🤣😁😁😁😁😁

  • @sharonke7442
    @sharonke74423 жыл бұрын

    Hivi huyu mchungaji yuko Kenya au tz?

  • @AbdulAbdul-pr9qe

    @AbdulAbdul-pr9qe

    3 жыл бұрын

    ni wa TZ ila huwa anaenda hadi Kenya kufanya mahubiri

  • @muhumuzaerenest1947

    @muhumuzaerenest1947

    3 жыл бұрын

    Tz

  • @albeleenalberto158
    @albeleenalberto1583 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @muhumuzaerenest1947
    @muhumuzaerenest19473 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣