REV. DR. ELIONA KIMARO: UNAISHI KWA NENO AU KWA MANENO?
IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU 04/09/2022
SOMO : UNAISHI KWA NENO AU KWA MANENO?
Mathayo 12 : 33 - 37
33 Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwa maana kwa matunda yake mti hutambulikana.
34 Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.
35 Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya.
36 Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.
37 Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
Kwa maoni na ushauri:
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Email: rev.kimaroe1@gmail.com
Пікірлер: 143
Asante pst kimaro hakika ukiiijua kweli itakuweka huru nimebarikiwa na ujumbe huu
Mungu Mwenyezi natamani wapendwa Manteno wangesikiliza na kubadilika. Yesu Anarudi mara ya pili. Barikiwa, Linda na upewe hekima, maarifa na ufahamu zaidi kuisaidia dunia. Amina.
Ubarikuwe Baba Mchungaji Kimaro. Ulimwengu ungekuwa mahali pazuri zaidi pa kuishi aslimia 5 tu wangesikiliza neno hili. Mungu akupe maisha marefu umtimikie zaidi.
Amen, Amen nimejiungamanisha na ibada hii napokea ujumbe kwa jina la Yesu.
Hakika Ujumbe huu Mungu aliutanguliza Kwa Makusudi yake, barikiwa sana mchungaji Kimaro,akiba njema itakuheshimisha zaidi.
Somo zuri, namuomba Mungu nikutane na watu wema kama mimi kila mara ktk jina la yesu. Mtaufahamu mtu kwa matunda yake. Asante mchungaji Kimaro 🙏🏻🙏🏻👏🏽👏🏽🔥🔥💯
AMEN, barikiwa baba kugusa maisha yetu kila uchwao
MUNGU akubaliki 🎉🎉🙏 mchungaji kwa hili neno
Asante mungu kwa mutumishi wako uliye mutuma kwa ajili yetu endelea kumulinda na kumutetea
Ubarikiwe Mchungaji, kwa mafundisho mazuri
Mungu akutuze unainena kweli ubarikiwe sana
Amen Nimebalikiwa sana Naomba kuwa Mtu Mwema zaidi
Somo hili hata kama siku zimepita bado linafaa na leo Mungu atusaidie tutumie vizuri ndimi zetu,ubarikiwe baba Mungu akuinue
Asant Sana Baba Kwa neno zuri hili kwa Wakati Huu Hakiba njema Kwanzia Sasa na kwendelea nitaweka Hakiba ya Mema tu Mungu nisaidiee Katika kutenda Mema Na kutangaza nafasi nitakayo kuwa naipata nitangaze Mema Hakiba ya Mema 🙏
Amen Baba Mchungaji hakika Nimejifunza sana hapa. kuishi na neno
Ameen mtumish wa Mungj tunakuamini kwa neno nalimekaa
God is amazing, asante kwa kunibariki asubuhi hii.
Mtumishi wa mungu kwa neema yako uzidishiwe kibali zaidi na mungu ameenn.
Barikiwa sana baba mchungaji, ,,,,huu ujumbe umetufikia kwa njia inayostahili
Mungu akubariki sana sana Baba Mchungaji Kimaro. Hakika wewe ni wa wakati huu . Mungu alikusudia mwenyewe.
Mungu anaomba jitambulishe kwangu, Amina,... barikiwa sana mtumishi wa Mungu.🙏🙏
Amina mtumishi wa Mungu barikiwa san
Mungu akubariki sana
Nakupenda sanaa Mtumishi Mungu akuinue kwa viwango vikubwa Vya utukufu.
Amna mchngaj unanibarik xna nà Neno la uzma 🙏
Amen Amen ..hakika akiba haiozi .. ukitenda mema utalipwa mema.
For sure God 🙏🙏 bless you for this message is from God true you shalom 🙏🙏🙏
Amen Ubalikiwe sana Baba
Amen pastor....powerful message
Hallelujah hallelujah 🙏🙏 barikiwa mtumishi warm mungu Kwa mafunzo mema 👏👏wacha niishi Kwa NENO bali ci Kwa MANENO
@neemakelly7071
Жыл бұрын
Mungu akubariki Mchungaji, hakika umenibariki sana.
Ameeeen🙌🙌🙌 Mungu ajitambulishe.
Mtumishi mungu akupe maisha marefu tunakuelewa Sana baba
Ame Amen my big Daddy Mungu akutumze daima ufanye sawa na mapenz yake aliyekuita
The voice of Faith
Mungu atusaidie sana kubadilika na kuliishi Neno la Mungu
God bless you pastor
AMEN.this is what I needed to hear today.may the lord bless you mchungaji
Kweli kabisa pastor amen 🙏👏
Professor of Faith
Nimebarikiwa sana mtumishi waMungu
Asante mtumishi kwa mafundisho mazuri mungu akubariki sana
Ubarikiwe sana mchungaji kwa neno zuri linalo Jenga Asante
Amen and amen 🙏🏼🙏🏼
Ùbarikiwe sana mchungaji umetoa neno
Asante mchungaji
Amen na ubarikiwe Mchungaji
Mtu mwema ktk akiba njema kila wakati 💕💕❤️❤️
Umenibariki sana, mungu akuweke.
Amina
@maryjohn6224
2 ай бұрын
Amen Baba. Ndiyo yametawala ulimwengu Wa sasa. Nimebarikiwa mno na kuendelea kujifunza.
Ameen Ubarikiwe👏🏼
Shukrani Pst, umenibariki, umenifunza mimi kama Mama🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nimebarikiwa Sana na neno hili kutoka kwa Mungu kupitia wewe mtumishi wake
Mungu akubariki mch,,nimebarikiwa na ujumbe wa Neno la la Mungu,.
Mtumishi Amina sana kwa mafundisho mazuri
Amen sana, mchungaji wangu
Sitasikiliza maneno ya watu waliopendekeza tuhamishwe watahamishwa wao kwa jina la Yesu 🙏🙏
@neemalaurent9836
10 ай бұрын
👍
Utukufu kwa mungu
Mungu akubariki 🙏🙏🙏
Wema auozi 🔥🔥. Amina, amina
Kea kweli baba mungu anakutumia ubatikiwe
Amen 🙏 🙏 🙏
Asante sana sanaaa
Mungu ni msemaji wangu wa mwisho 🙏🙏
My dear Hospital
Amen
Ameeen 🙏🙏
Nakuelewa sana baba mtumishi
Amen amen
Amen amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu nisaidiee kuishi kwa neno lako
Hakika Mungu wangu atajitambulisha kwangu kwenye hii mauti ninayoahangaika nayo hapa ofisini
Amina sana
Amina Baba 🙏🏽🙏🏽
@lugendopius1231
Жыл бұрын
Mungu akubari mchungaji inaeleweka sana na utumishi wako unatubiriki sana huku mtandaoni
Mungu ni mwema
Haleluyaaa
Ubarikiwe sana Mchungaji kwa neno zuri na mahubiri mazuri.
@remiaskisaka674
Жыл бұрын
Neno zuri
Mungu atusaidie kutenda mema
Amen pastor Mungu akubariki sana from today sitasikiza maneno ya watu,
@cornelgwarda3849
Жыл бұрын
Amen💜💜💜
Nitasikiza neno la Mungu na si maneno ya wanaadamu.
Barikiwa baba
Baba mimi napenda kusiliza neno lamungu ubarikiwe
Mungu wangu ni saidie nikuwe mtu Wa Neno,sio Wa maneno.
Hakika mchungaji kimaro mafundisho yako yanaubariki moyo wangu
Sawa kabisa.....
Amen ubarikiwe sana.
@addymamba1716
Жыл бұрын
Aminaaaa
Ameen.
Naombeni msaada mniunganishe na huyu pastor
Mchungaji nimekuelewa MUNGU wa mbinguni akupe maisha marefu vizazi vilivyopotoka vipate kupona
I get it
This message is very powerful, I have been helped, God bless you pastor
Mungo azidi kukuinua mutumishi wa mungu
❤
Nimependa Santa mafundisho yako
Natamani hii clip isambazwe kwa viongozi wetu wote!!
Ameni
Amina hakika wanadamu wanamaneno lakini MUNGU analoneno...,
Umenigusa!!
Asante kwa neno mch kwali mimi ni muhaga kwa maneno mbaya nimewatendea mema lkn wananilipa mabsys
Bitter truth
Ni Kwelii kabisaa 🙏🏻🙏🏻🙏🏻