REV. DR. ELIONA KIMARO: CHEO CHA KIMO CHA KRISTO (SAFARI ZA UKUAJI)

MORNING GLORY THE SCHOOL OF HEALING 09 AUGUST 2023
SOMO : CHEO CHA KIMO CHA KRISTO
(STANDARDS - VIWANGO)
SAFARI ZA UKUAJI
Mwanzo 13 : 14 - 18
Mwanzo 45 : 21 - 28
Mwanzo 47 : 7 - 12

Mwanzo 13 : 14 - 18
14 Bwana akamwambia Abramu, alipokwisha kutengana na Lutu, Inua sasa macho yako, ukatazame kutoka hapo ulipo, upande wa kaskazini, na wa kusini na wa mashariki na wa magharibi;
15 maana nchi hii yote uionayo, nitakupa wewe na uzao wako hata milele.
16 Na uzao wako nitaufanya uwe kama mavumbi ya nchi; hata mtu akiweza kuyahesabu mavumbi ya nchi, uzao wako nao utahesabika.
17 Ondoka, ukatembee katika nchi hii katika mapana yake, na marefu yake, maana nitakupa wewe nchi hiyo.
18 Basi Abramu akajongeza hema yake, akaja akakaa kwenye mialoni ya Mamre, nayo ni miti iliyoko Hebroni, akamjengea Bwana madhabahu huko.
Mwanzo 45 : 21 - 28
21 Ndivyo walivyofanya wana wa Israeli. Yusufu akawapa magari kama Farao alivyoamuru, akawapa na chakula cha njiani.
22 Akawapa kila mtu nguo za kubadili; lakini Benyamini, alimpa fedha mia tatu na mavazi matano ya kubadili.
23 Na babaye akampelekea kama hivi, punda kumi waliochukua mema ya Misri, na punda wake kumi waliochukua nafaka, na mikate, na chakula kwa babaye njiani.
24 Akaagana na ndugu zake, wakaenda zao; naye akawaambia, Msigombane njiani.
25 Wakatoka Misri, wakafika nchi ya Kanaani kwa Yakobo, baba yao.
26 Wakampasha habari, wakisema, Yusufu angali hai; naye ndiye mtawala katika nchi yote ya Misri. Moyo wake ukazimia, kwa sababu hakuwasadiki.
27 Wakamwambia maneno yote ya Yusufu, aliyowaambia; na alipoona magari aliyoyapeleka Yusufu, ili kumchukua, roho ya Yakobo baba yao ikafufuka.
28 Israeli akasema, Yatosha! Yusufu mwanangu angali hai; nitakwenda, nionane naye kabla sijafa.
Mwanzo 47 : 7 - 12
7 Yusufu akamleta Yakobo babaye ndani akamweka mbele ya Farao Yakobo akambariki Farao.
8 Farao akamwuliza Yakobo, Je! Siku za miaka ya maisha yako ni ngapi?
9 Yakobo akamjibu Farao, Siku za miaka ya kusafiri kwangu ni mia na thelathini; siku za miaka ya maisha yangu zimekuwa chache, tena za taabu, wala hazikufikilia siku za miaka ya maisha ya baba zangu katika siku za kusafiri kwao.
10 Yakobo akambariki Farao, akatoka mbele ya Farao.
11 Yusufu akawakalisha babaye na nduguze, na kuwapa milki katika nchi ya Misri, katika mahali pazuri pa nchi, katika nchi ya Ramesesi, kama Farao alivyoamuru.
12 Naye Yusufu akawalisha babaye na nduguze na nyumba yote ya babaye, kwa kadiri ya hesabu ya watoto wao.

Mhubiri : Rev.Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Пікірлер: 11

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro452311 ай бұрын

    AmeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeSamueliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ameeeeeeeeen

  • @BeathaSwai
    @BeathaSwai10 ай бұрын

    Barikiwaa Sanaa mchangaji Kwa maombi Kwa kwel

  • @joycemosha1898
    @joycemosha189811 ай бұрын

    Dr Eliona kimaro mahubiri yako duniani inafatiwa na waumini wengi sana ubarikiwe kwa mambo ya kiimani wtu wanao kuja tz kupona kwa imagine runakuombea

  • @jenifamoshi1219
    @jenifamoshi121910 ай бұрын

    nabarikiwa sana

  • @BeathaSwai
    @BeathaSwai10 ай бұрын

    Aminaaaaaaaaaa

  • @jenifamoshi1219
    @jenifamoshi121910 ай бұрын

    nabarikiwa sana 3:58

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya827610 ай бұрын

    Kweli huhitaji gari au ndege, panga safari hata kwa mguu mpaka ufikenunako taka. Nami naomba ili niweze kupanga safari za kiibada kanisani, kutembelea ndugu kuwapatia kakitu mkononi, kwani naamini hata wanangu mungu anawakutanisha na watu kakt safari zao wakikanyaga ardhi mpya mpya nisiyoweza kufika mm mama yao..wanabariki WOTE wanaokutana naonkwa mema. AMEN

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro452311 ай бұрын

    Man of God fundisha huyo Binti yako mamaJJLll haelewi kabisa for me

  • @roviykamage5423
    @roviykamage542311 ай бұрын

    Nabarikiwa na kukua kiimani

  • @bilechaasukulu992
    @bilechaasukulu99211 ай бұрын

    Amen

  • @bilechaasukulu992
    @bilechaasukulu99211 ай бұрын

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌