REV. DR. ELIONA KIMARO: JIEPUSHE NA KIGEUGEU
KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH - IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING - 15/11/2023.
KICHWA CHA SOMO: KUSUDI LA KUWEPO"
"A SENSE OF PURPOSE"
NENO KUU
UNAFANYA NINI HAPA?
WHAT ARE YOU DOING HERE?
NYI - KYIKYI UWUTA IHA?
1 Wafalme 19 : 9
UNAFANYA NINI HAPA?
NENDA KWENYE KIWANGO CHAKO
FROM TEST TO TESTIMONY
( JIEPUSHE NA KIGEUGEU )
Mithali 24 : 21
Malaki 3 : 6
2 Wakorintho 1 : 17
Zaburi 51 : 10
Mithali 24 : 21
21 Mwanangu, mche Bwana, na mfalme; Wala usishirikiane na wenye kigeugeu;
Malaki 3 : 6
6 Kwa kuwa mimi, Bwana, sina kigeugeu; ndio maana ninyi hamkuangamizwa, enyi wana wa Yakobo.
2 Wakorintho 1 : 17
17 Basi, nilipokusudia hayo, je! Nalitumia kigeugeu? Au hayo niyakusudiayo, nayakusudia kwa jinsi ya mwili kwamba iwe hivi kwangu, kusema Ndiyo, ndiyo, na Siyo, siyo?
Zaburi 51 : 10
10 Ee Mungu, uniumbie moyo safi, Uifanye upya roho iliyotulia ndani yangu
Mhubiri : Rev. Dkt. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga
Simu: +255 713 553 443
KZread: Kijitonyama Lutheran church
Barua Pepe: Kijitonyamalutheran@gmail.com
Пікірлер: 22
Msomi kamili Dr.Kimaro,mwalimu bora,very humble. Tunakupenda sana 🇺🇸🌎🇺🇲
@JoviethPastory-fd9tk
6 ай бұрын
Yaan sijui niongee nn juu ya mahubir yako ninayoyasikiliza kweli mungu ana watu wake duniani anaowatumia nawe ukiwemo baba mchungaji
Mungu akubariki Kimaro wangu.ninakukubali sana.neno unalofundisha linanibariki sana.ubarikiweeee.
I appreciate your teaching also made my life born again in Jesus Christ, you are a real prophet from God thank you so much may the Lord give you good health to spread the gospel
Ubarikiwe Sana mtumishi kwa neno lililo hai.
Mungu akubariki saaana
Mungu akubariki mchungaji umesaidia maisha yangu pa kubwa
axnt can mchaga mwenzang mung akulinde
Amen
Nimeelewa sana sana kuhusu kigeugeu barikiwa sana 🙏
Asante Mungu umenihudumia Leo,nimeielewa Sana.
Ubarikiwe snmchiugaji kimario
Kanyoo indobirita tine
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amina
Inakuwa mwalimu ukistaafu unaanzisha gereji,😂😂😂
Pastor Kimaro, wewe Ni Kati ya wachungaji Bora Tanzania, maana unamadini yaliotofauti na wengine, umependwa kutoka mbinguni mpaka duniani, ashindanaye na wewe hakika Ana shindana na aliye ju. Mimi pia Ni Kati ya wanaokukubari kwa viwango vya ju. Hakika unalo neno la kuiponya nchi, wengi wao maarifa mengi walio nayo.
@Judy-dy4zt
7 ай бұрын
Hakika
Somo limenijenga limeniinua kiwango cha imani
Gat tleh dirieee?
Hakika kwa kupitia mapito ya kunikatisha tamaa ndipo nilitambua huyu mtumishi,na toka nimeanza kufuatilia vipindi vyako mtumishi Kimaro sijajutia na nimezidi kuona uwepo wa Mungu katika maisha na uchumi wangu Mungu akubariki sana wewe na familia yako na mama Shayo. Mndumii awaringye mfirii yoose
Mchungaji mm kwanzia Leo naachana na maswala ya kilimo siokwangu Asante Sana umenisaidia kitu