REV. DR. ELIONA KIMARO: JIEPUSHE NA KIGEUGEU

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH - IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING - 15/11/2023.
KICHWA CHA SOMO: KUSUDI LA KUWEPO"
"A SENSE OF PURPOSE"
NENO KUU
UNAFANYA NINI HAPA?
WHAT ARE YOU DOING HERE?
NYI - KYIKYI UWUTA IHA?
1 Wafalme 19 : 9
UNAFANYA NINI HAPA?
NENDA KWENYE KIWANGO CHAKO
FROM TEST TO TESTIMONY
( JIEPUSHE NA KIGEUGEU )
Mithali 24 : 21
Malaki 3 : 6
2 Wakorintho 1 : 17
Zaburi 51 : 10

Mithali 24 : 21

21 Mwanangu, mche Bwana, na mfalme; Wala usishirikiane na wenye kigeugeu;
Malaki 3 : 6
6 Kwa kuwa mimi, Bwana, sina kigeugeu; ndio maana ninyi hamkuangamizwa, enyi wana wa Yakobo.
2 Wakorintho 1 : 17
17 Basi, nilipokusudia hayo, je! Nalitumia kigeugeu? Au hayo niyakusudiayo, nayakusudia kwa jinsi ya mwili kwamba iwe hivi kwangu, kusema Ndiyo, ndiyo, na Siyo, siyo?
Zaburi 51 : 10
10 Ee Mungu, uniumbie moyo safi, Uifanye upya roho iliyotulia ndani yangu
Mhubiri : Rev. Dkt. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga
Simu: +255 713 553 443
KZread: Kijitonyama Lutheran church
Barua Pepe: Kijitonyamalutheran@gmail.com

Пікірлер: 22

  • @Millie-q6x
    @Millie-q6x7 ай бұрын

    Msomi kamili Dr.Kimaro,mwalimu bora,very humble. Tunakupenda sana 🇺🇸🌎🇺🇲

  • @JoviethPastory-fd9tk

    @JoviethPastory-fd9tk

    6 ай бұрын

    Yaan sijui niongee nn juu ya mahubir yako ninayoyasikiliza kweli mungu ana watu wake duniani anaowatumia nawe ukiwemo baba mchungaji

  • @vumiliaandrea400
    @vumiliaandrea4007 ай бұрын

    Mungu akubariki Kimaro wangu.ninakukubali sana.neno unalofundisha linanibariki sana.ubarikiweeee.

  • @jaredombati2876
    @jaredombati28767 ай бұрын

    I appreciate your teaching also made my life born again in Jesus Christ, you are a real prophet from God thank you so much may the Lord give you good health to spread the gospel

  • @mrsurassa4690
    @mrsurassa46907 ай бұрын

    Ubarikiwe Sana mtumishi kwa neno lililo hai.

  • @ruciawinchislaus9424
    @ruciawinchislaus94242 ай бұрын

    Mungu akubariki saaana

  • @lucykandie1109
    @lucykandie11097 ай бұрын

    Mungu akubariki mchungaji umesaidia maisha yangu pa kubwa

  • @user-th5xz1fg5t
    @user-th5xz1fg5t7 ай бұрын

    axnt can mchaga mwenzang mung akulinde

  • @kiwangochristian67
    @kiwangochristian675 ай бұрын

    Amen

  • @user-xd7oz7kp4p
    @user-xd7oz7kp4p7 ай бұрын

    Nimeelewa sana sana kuhusu kigeugeu barikiwa sana 🙏

  • @annamazengo975
    @annamazengo9757 ай бұрын

    Asante Mungu umenihudumia Leo,nimeielewa Sana.

  • @valentine467
    @valentine4677 ай бұрын

    Ubarikiwe snmchiugaji kimario

  • @estherlemburismollel5901
    @estherlemburismollel59016 ай бұрын

    Kanyoo indobirita tine

  • @catherinegimbika1545
    @catherinegimbika15457 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lakiagreen2930
    @lakiagreen29307 ай бұрын

    Amina

  • @annamazengo975
    @annamazengo9757 ай бұрын

    Inakuwa mwalimu ukistaafu unaanzisha gereji,😂😂😂

  • @emmanuelmwakyoma5746
    @emmanuelmwakyoma57467 ай бұрын

    Pastor Kimaro, wewe Ni Kati ya wachungaji Bora Tanzania, maana unamadini yaliotofauti na wengine, umependwa kutoka mbinguni mpaka duniani, ashindanaye na wewe hakika Ana shindana na aliye ju. Mimi pia Ni Kati ya wanaokukubari kwa viwango vya ju. Hakika unalo neno la kuiponya nchi, wengi wao maarifa mengi walio nayo.

  • @Judy-dy4zt

    @Judy-dy4zt

    7 ай бұрын

    Hakika

  • @amosziro7054
    @amosziro70546 ай бұрын

    Somo limenijenga limeniinua kiwango cha imani

  • @ammimateo8163
    @ammimateo81637 ай бұрын

    Gat tleh dirieee?

  • @stansiauisso5441
    @stansiauisso54417 ай бұрын

    Hakika kwa kupitia mapito ya kunikatisha tamaa ndipo nilitambua huyu mtumishi,na toka nimeanza kufuatilia vipindi vyako mtumishi Kimaro sijajutia na nimezidi kuona uwepo wa Mungu katika maisha na uchumi wangu Mungu akubariki sana wewe na familia yako na mama Shayo. Mndumii awaringye mfirii yoose

  • @elianzammari1421
    @elianzammari14214 ай бұрын

    Mchungaji mm kwanzia Leo naachana na maswala ya kilimo siokwangu Asante Sana umenisaidia kitu

Келесі