REV. DR. ELIONA KIMARO: KUISHI KESHO I

IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING - 24 OCT 2023.
KICHWA CHA SOMO : KUENDELEA TOKA NGUVU HATA NGUVU.
'' FROM STRENGTH TO STRENGTH ''
Zaburi 84 : 7
7 Huendelea toka nguvu hata nguvu, Huonekana Sayuni kila mmoja mbele za Mungu.
UJUMBE WA LEO: KUISHI - KESHO
Warumi 8 : 18
Methali 31 : 25
Mwanzo 30 : 25 - 43
Warumi 8 : 18
18 Kwa maana nayahesabu mateso ya wakati huu wa sasa kuwa si kitu kama utukufu ule utakaofunuliwa kwetu.
Methali 31 : 25
25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.
Mwanzo 30 : 25 - 43
25 Ikawa Raheli alipomzaa Yusufu, Yakobo akamwambia Labani, Nipe ruhusa niende kwetu, na kwenye nchi yangu.
26 Nipe wake zangu na watoto wangu, niliokutumikia, niende zangu, maana umejua utumishi wangu niliokutumikia.
27 Labani akamwambia, Iwapo nimeona fadhili machoni pako, kaa, maana nimetambua ya kwamba Bwana amenibariki kwa ajili yako.
28 Akasema, Sema mshahara wako utakao, nami nitatoa.
29 Akamwambia, Umejua jinsi nilivyokutumikia, na jinsi wanyama wako walivyokuwa kwangu.
30 Maana mali yako ilikuwa haba kabla sijaja, nayo imezidi kuwa nyingi, Bwana akakubariki kila nilikokwenda. Basi sasa, nitaangalia lini mambo ya nyumba yangu mwenyewe?
31 Akamwuliza, Nikupe nini? Yakobo akasema, Usinipe kitu; ukinifanyia neno hili, nitalisha wanyama wako tena na kuwalinda.
32 Nitapita katika wanyama wako wote leo, na kutoa huko kila mnyama aliye na madoadoa na marakaraka, na kila mnyama mweusi katika hao kondoo, na aliye na marakaraka na madoadoa katika mbuzi; nao watakuwa mshahara wangu.
33 Na haki yangu itanishuhudia katika siku zijazo, utakapokuja kwa habari ya mshahara wangu ulioko kwako. Kila asiye madoadoa au marakaraka katika mbuzi, au asiye mweusi katika kondoo, akionekana kwangu, itahesabiwa kuwa ameibiwa.
34 Labani akasema, Tazama, na iwe hivi kama usemavyo.
35 Basi akatoa siku ile mbuzi waume walio na milia na madoadoa, na mbuzi wake walio na madoadoa na marakaraka, kila aliye na doa jeupe, na kondoo wote waliokuwa weusi, akawatia mikononi mwa wanawe.
36 Akajitenga na Yakobo mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akachunga wanyama wa Labani waliosalia.
37 Yakobo akatwaa fito za mlubna mbichi, na mlozi, na mwaramoni, akazibambua maganda, mistari myeupe ionekane ndani ya hizo fito.
38 Akazisimamisha fito hizo alizozibambua katika mabirika ya kunyweshea maji, pale walipokuja wanyama wanywe; wakachukua mimba walipokuja kunywa.
39 Wanyama wakapata mimba mbele ya hizo fito, wakazaa wanyama walio na milia, na madoadoa, na marakaraka.
40 Na Yakobo akawatenga wana-kondoo, akazielekeza nyuso za makundi zielekee wale waliokuwa na milia, na kila aliyekuwa mweusi katika wanyama wa Labani. Akaweka kando wanyama wake mwenyewe, wala hakuwachanganya pamoja na wanyama wa Labani.
41 Ikawa kila walipopata mimba wanyama wenye nguvu, Yakobo akaziweka zile fito mbele ya macho ya hao wanyama katika mabirika ili kwamba wachukue mimba kati ya zile fito,
42 lakini wanyama walipodhoofika hakuziweka zile fito. Basi wale dhaifu walikuwa wa Labani, na wenye nguvu walikuwa wa Yakobo.
43 Kwa hiyo mtu huyo akazidi mno, akawa na wanyama wengi, na vijakazi, na watumwa, na ngamia, na punda.
Mhubiri : Rev.Dr. Eliona Kimaro
Kwa maoni na ushauri:
Mch. kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Пікірлер: 41

  • @JonathanBwoma
    @JonathanBwoma6 ай бұрын

    Mtumishi ubarikiwe kwa mafundisho mazuri sana

  • @user-gc9wb2pv9mallya
    @user-gc9wb2pv9mallya4 ай бұрын

    Ee mungu nisaidiye niifikie kesho yangu na kuiyonaa Ameen 🙏🙏🙏🙏

  • @bethwamweru5291
    @bethwamweru52913 ай бұрын

    Asante mchungaji kwa haha mafunzo,watching from Kenya, GOD BLESS KEEP YOU, SHALOM

  • @mwanzajosephine468
    @mwanzajosephine4689 ай бұрын

    Ameeeen ,Mungu nipe neeema yakuzudi mno kila sekta niishi kesho yangu

  • @jastinnkya

    @jastinnkya

    9 ай бұрын

    Ameeen mungu semana watu wako

  • @lucykandie1109

    @lucykandie1109

    8 ай бұрын

    Amen

  • @calvinmaro9846
    @calvinmaro98469 ай бұрын

    Namuomba sana Mungu anisaidie niweze kuiishi kesho yangu

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa35942 ай бұрын

    Amina kubwa

  • @juliusedwadi
    @juliusedwadi2 ай бұрын

    👏👏👏Amina mungu akulinde

  • @janemyinga2575
    @janemyinga25752 ай бұрын

    Aminaaaa

  • @qatarrarre30
    @qatarrarre304 ай бұрын

    Ameeeeeeeeen in Jesus name 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @yunisadam8494
    @yunisadam84949 ай бұрын

    😭😭👋👋nitazidi mno Kwa jina la Yesu kirsto nazidiiiiiiiiioooo, Yesu nitazame

  • @bethwamweru5291
    @bethwamweru52913 ай бұрын

    Mungu nisadie nizidi no katika Jina la Yesu aliye hai

  • @user-es2ih4po5l
    @user-es2ih4po5l9 ай бұрын

    Neno la Mungu Lina nguvu ya kukuvusha katika changamoto unazokumbana nazo maishani

  • @user-qi4nl5hd5e
    @user-qi4nl5hd5e9 ай бұрын

    Amen Mchungaji,ila jamani Mimi natamani sana kuwasiliana na Mchungaji na sijui nakupataje Mimi Niko Arusha.

  • @user-mk1jw9rn3w
    @user-mk1jw9rn3w7 ай бұрын

    Nina barikiwa sana na jumbe zako kila wakati

  • @estergregory2833
    @estergregory28339 ай бұрын

    Ameen Mungu anipe neema ya kuzidi mnoo

  • @amanmmbando8413
    @amanmmbando84138 ай бұрын

    Ameeeen🙏🏾 Naamin nitazid mnooooooo👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @user-xp9mn2xw7k
    @user-xp9mn2xw7k9 ай бұрын

    Amen and Amen and Amen ❤❤

  • @ANODIUSPROJESTSEVELIN-vu9xt
    @ANODIUSPROJESTSEVELIN-vu9xt7 ай бұрын

    Ubarikiwe baba

  • @neemakiria4416
    @neemakiria44169 ай бұрын

    Amen Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa somo zuri

  • @IreneIsack-qp9ns
    @IreneIsack-qp9ns6 ай бұрын

    Amina

  • @happyiskaka
    @happyiskaka9 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ Barikiwa mno BABA YANGU

  • @deborakasambula7431
    @deborakasambula74319 ай бұрын

    Badilisha moyo wangu nianze kiishi kesho

  • @faustinamasaki480
    @faustinamasaki4809 ай бұрын

    Nitazidi mnooo katika jina la Yesu

  • @elinaikemuro9284
    @elinaikemuro92849 ай бұрын

    Ameeen...Barikiwa mtumishi kwa neno zuri

  • @abbymagospel6904
    @abbymagospel69049 ай бұрын

    Ubarikiwe baba mtumish 🙏🏿

  • @franksam8581
    @franksam85818 ай бұрын

    Amen

  • @siyamambali8832
    @siyamambali88328 ай бұрын

    Amen❤❤❤❤

  • @faustinamasaki480
    @faustinamasaki4809 ай бұрын

    Amina mchungaji

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon73439 ай бұрын

    Ameni, Tuishi sasa

  • @lydiatito609
    @lydiatito6098 ай бұрын

    AMEN

  • @marynangole3793
    @marynangole37939 ай бұрын

    Yes 👏👏👏 Aman 🙏

  • @samweldamian8098
    @samweldamian80989 ай бұрын

    Society of life. Amen.

  • @user-es2ih4po5l
    @user-es2ih4po5l9 ай бұрын

    Ukitaka kuishi maisha ya amani kwa mkristo ni nyumbani na kanisani

  • @EllyLema-xw6nm
    @EllyLema-xw6nm9 ай бұрын

    We mungu nami unipe neema ya kuzidi mno kama yakobo

  • @qatarrarre30
    @qatarrarre304 ай бұрын

    😅😅🙏🙏

  • @yunisadam8494
    @yunisadam84949 ай бұрын

    😭 Jesus hili ndilo haja ya moyo wangu ulivyonipatia hii kaz , usiniache tafadhari

  • @NiceMuro
    @NiceMuroАй бұрын

    EEE mungu nisaidie niweze kufunguka ufahamu wangu niweze kujua nifanye nini kwani sijui la KUFANYA BAADA ya kupata MATATIZO mengi ya kiavya

  • @furahamtweve4222
    @furahamtweve42229 ай бұрын

    Amen nmepokea

  • @GladyLinga-ks4qy

    @GladyLinga-ks4qy

    9 ай бұрын

    Aammmeeennniiii kuanzia Leo naishi kesho.barikiwa baba