ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA

Комедия

Пікірлер: 85

  • @Novath_dugange.LivingGod
    @Novath_dugange.LivingGod19 күн бұрын

    Mchekeshaji ambae unachekesha kila lika ya watu kwasababu uchekeshaji wako siyo wa kutukana appreciate bro

  • @dorahmushi-we6ts

    @dorahmushi-we6ts

    17 күн бұрын

    Kweli kabisa kuna yule mrefu mwembamba, jamani mh!! Cjui kalelewa wapi!!!

  • @agogomgagagigigogo
    @agogomgagagigigogo21 күн бұрын

    😂😂😂yaan kiukweli Eliud ndo comedian bora nchini japo watu wana mahaba na Leonardo hatukatai ni mambo ya nyota kuzidiana but huyu jamaa ni zaidi ,yaan kipindi kimeisha kwa yeye na mama tu bila kuja na alichokitunga huko na watu wamecheka kuanzia mwanzo mpaka mwisho😂😂😂

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts17 күн бұрын

    Wenye mama zao jamaniiii, Mungu azidi kuwatunzia, cku izi nimeona sana vijana wakijivunia mama zao.❤

  • @vitalesjoelkabonda1393
    @vitalesjoelkabonda139319 күн бұрын

    A very talented stand up comedian, hata hatumiii nguvu lakini watu wanavunja mbavu

  • @godfrey40255
    @godfrey4025520 күн бұрын

    bro unajua commedy hakika tena ya kistaalab salute kubwa

  • @partypatriez4871
    @partypatriez487121 күн бұрын

    Eliudi best comedy 😂😂

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba22 күн бұрын

    Mungu Akita kukupa akuandiiki baruwaaaa

  • @semanajmv
    @semanajmv21 күн бұрын

    Nani kama Mama. Umenikumbusha mama yangu, I owe her something

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv163218 сағат бұрын

    Eliudi anapenda sana manguo ya rangi ya kiini cha yai la kuku wa kienyeji😂😂

  • @BabrayKharfani
    @BabrayKharfani17 күн бұрын

    Umetisha sana kwanza kuikataa.nyimbo.ya.babalao yani nobody is perfect saruti sana bro hii.from.cap town Ina.mawakubalisana

  • @MteuleMabuku
    @MteuleMabuku20 күн бұрын

    Kiongozi SAM ELIUDI, Nakutafuta

  • @RynoFiree
    @RynoFiree21 күн бұрын

    Sauti inakua chini haisikiki vizur Kaka Eliud

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe14 күн бұрын

    Amen. Eliud wew the best and humble

  • @user-fm9gc5wt2c
    @user-fm9gc5wt2c21 күн бұрын

    Mungu akubarik sana kaka kwa Kaz nzur jaman❤❤❤❤

  • @user-iq7xj3gz5j
    @user-iq7xj3gz5j22 күн бұрын

    Like huwa mnafanyiaga nn haya nipeni na mimi

  • @user-wi2td1lv6e

    @user-wi2td1lv6e

    21 күн бұрын

    Uroho tu kuoga aaaaah 😁😁

  • @Bwiresimuliz

    @Bwiresimuliz

    6 күн бұрын

    kzread.info/dash/bejne/k6Js1q-Qor3QpsY.htmlsi=DsiBMortoyex1fi_

  • @MoreenMichaelmichael
    @MoreenMichaelmichael22 күн бұрын

    😂😂😂😂et mnacheka mama wa mwenzenu

  • @Shadia544
    @Shadia54422 күн бұрын

    😂😂😂😂😂Eliud jamaniii 😂😂😂walifu wakubwa 😂😂😂😂

  • @medeljoram5325
    @medeljoram532522 күн бұрын

    😂😂😂 💥💥💥💥 Unajua Saanaaaaaa! A blessed child 🎉

  • @erickdeogratias7718
    @erickdeogratias771821 күн бұрын

    Nani kama mama jamani l ❤ Mama anguu❤❤❤❤❤

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru874617 күн бұрын

    Sauti iko chini sana

  • @nathanmmasi3890
    @nathanmmasi389016 күн бұрын

    Uyu eliud Mungu anamuana mpumbavu kweli yani 😂😂😂😂😂

  • @Onesmoboyz
    @Onesmoboyz21 күн бұрын

    🎉🎉hii nzur sana 🎉❤

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts17 күн бұрын

    😂Anajiheshimu, anawaheshimu wasikilizaji wake wakubwa kwa wadogo, hatumii maneno machafu..kama yule, Mungu azidi kumuinua.

  • @DoraZacharia
    @DoraZacharia14 күн бұрын

    Daah mpaka nmelia sana kaka uko vzr jmn

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello16322 күн бұрын

    Umeonyesha Upendo mkubwa Kwa mama HONGERA KIJANA

  • @Elshadaiconsolateur
    @Elshadaiconsolateur22 күн бұрын

    Bwana mkubwa Eliud tuko pamoja huku DrCongo

  • @bukurufreddy28
    @bukurufreddy2822 күн бұрын

    Mze wa story za mama hahahahaa yani wwe tutakusikiya sanaaaa Kama kilasa angaliki hayi Mungu ampe Maisha marefu Mama yako ni big Bland Anajuwa linda Bland @Yere mmi nishabiki yenu wwe na mama😂😂😂😂😂

  • @jacqlinemaganiko5108
    @jacqlinemaganiko510820 күн бұрын

    wow!🥰

  • @janethmarealle3594
    @janethmarealle35948 күн бұрын

    Hadi raha

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael184621 күн бұрын

    Watanzani ka! Yaani hii ya kijanja hovi comments ni chache hivi haaa. GONGA LIKE NA GOTI LA MAMA hapa

  • @Iampanther_
    @Iampanther_21 күн бұрын

    Kuangalia show za eliud😂🎉it’s worth it

  • @getrudezawadi184
    @getrudezawadi18421 күн бұрын

    mnafanana sana

  • @NuruNgolle
    @NuruNgolle19 күн бұрын

    Mungu usimusche kakaangu ndio nguzo yako.kumbuka nilikuandikia toka mko kugombaniana no

  • @mineflower_01
    @mineflower_0116 күн бұрын

    Mnacheka mama wawenzenu😂😂

  • @festusbokoro1615
    @festusbokoro161522 күн бұрын

    Kama hutaki kutoa Hela Siri ni Moja tu uchukue video ama ucheke Sana

  • @israeluronu9958
    @israeluronu995822 күн бұрын

    Mnafanana hadi kucheka jmn😂😂😂 raha sana

  • @theogeorge3773
    @theogeorge377314 күн бұрын

    K.K.K -Kyimo Kijiji Kitulivu

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani682820 күн бұрын

    Mimi ilo busuu lakoo tuuuu😂😂

  • @richardsesa7494
    @richardsesa749418 күн бұрын

    Eliud kilasiku tunamwona mama je baba yukowap

  • @craty_01
    @craty_0119 күн бұрын

    Daaah Rest In Peace mama

  • @more_hundreds_TV
    @more_hundreds_TV22 күн бұрын

    Nipateee likeee namm

  • @gideongerald2846
    @gideongerald284621 күн бұрын

    👍👍👍

  • @jaxjaxon8838
    @jaxjaxon883819 күн бұрын

    Eti analia😢

  • @elikindomondo3569
    @elikindomondo356921 күн бұрын

    kaka eliudi una tuuwa mwaka huu dah

  • @JacksonRungwe
    @JacksonRungwe22 күн бұрын

    Like zangu jamani leo nimekuwa wa kwanza

  • @RooneyYohana

    @RooneyYohana

    22 күн бұрын

    Yaan eliud hahahhaha tunakupenda

  • @JasinthaAlex
    @JasinthaAlex16 күн бұрын

    🔥🔥🔥

  • @EdwinMedson
    @EdwinMedson17 күн бұрын

    If you have mother do samething for her

  • @franccoz94
    @franccoz9420 күн бұрын

    Eliud😂

  • @TetekoOg
    @TetekoOg21 күн бұрын

    Eliudi we bro unajua natak ck Moja niwe kama ww

  • @user-pf3zc6kv5q
    @user-pf3zc6kv5q21 күн бұрын

    eliuid mbavu zangu😂😂😂

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa279022 күн бұрын

    Naona kaona dawa ya mkopo

  • @Ellybeny
    @Ellybeny22 күн бұрын

    😅😅😅😅 ❤❤❤❤

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z22 күн бұрын

    mi sijasikia nisiwe mnafiki

  • @UwimanaRabia-q3v
    @UwimanaRabia-q3v21 күн бұрын

    😂😂😂

  • @edsonisrael8996
    @edsonisrael899621 күн бұрын

    Nunueni camera yenye HD mnaboaa

  • @benshark3212

    @benshark3212

    21 күн бұрын

    Hata wakodishe tu

  • @mineflower_01

    @mineflower_01

    16 күн бұрын

    Nunua simu nzuri bby😂😂

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d22 күн бұрын

    😅😅😅😅

  • @irenekarume1470
    @irenekarume147020 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @adamsanga-g8x
    @adamsanga-g8x13 күн бұрын

    Aa,

  • @masangalitz
    @masangalitz19 күн бұрын

    WEWE MUUNI HAPO NDIO UNACHEKESHA HIVYOOO 😁😁😁😁😁😁

  • @noahmadali7150
    @noahmadali715021 күн бұрын

    Sauti mbovu video quality mbovu shida nn cjui

  • @Kher__

    @Kher__

    20 күн бұрын

    Kwani nyie mnatumia simu gani?

  • @Kher__

    @Kher__

    20 күн бұрын

    Labda simu zenu

  • @noahmadali7150

    @noahmadali7150

    20 күн бұрын

    Kher uko ulimwengu gan ndg

  • @mineflower_01

    @mineflower_01

    16 күн бұрын

    Simu Yako bby😂😂😂

  • @kahenatz3594
    @kahenatz359422 күн бұрын

    Sadaka buku unatunza comedian 100,000

  • @geofreyexaut5862

    @geofreyexaut5862

    22 күн бұрын

    Uwezi kutuchagulia moyo wa mtu

  • @geofreyexaut5862

    @geofreyexaut5862

    22 күн бұрын

    Wako wanaopeleka 100000 kanisani home watoto awana chakula

  • @JohnMadusa

    @JohnMadusa

    22 күн бұрын

    Hahahhahahahah ukwel mtupu

  • @more_hundreds_TV

    @more_hundreds_TV

    22 күн бұрын

    Ww unatoa tsh ngap

  • @anuaryyusuph9705

    @anuaryyusuph9705

    22 күн бұрын

    hiyo sadaka haina kikomo hata mia inafaa pia komed chochote ulicho nacho sasa hivi manbii mmekua fek we mpaka airin woya ety ni pasta hizo sadaka atatoa nani na watu wanajua ni mpigaji au anaigiza ili apate pesa

  • @FazohMedia
    @FazohMedia22 күн бұрын

    Sauti ipo chini sana

  • @luluray2115
    @luluray211522 күн бұрын

    😂😂😂

  • @kesphaanyitike7751
    @kesphaanyitike775122 күн бұрын

    😂😂😂

Келесі