REV. DR. ELIONA KIMARO: ZITAFAKARI NJIA ZAKO

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH - IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING - 07/11/2023.
KICHWA CHA SOMO: KUSUDI LA KUWEPO"
"A SENSE OF PURPOSE"
NENO KUU
UNAFANYA NINI HAPA?
WHAT ARE YOU DOING HERE?
NYI - KYIKYI UWUTA IHA?
1 Wafalme 19 : 9
UNAFANYA NINI HAPA?
ZITAFAKARI NJIA ZAKO
Hagai 1 : 6
Isaya 55 : 8 - 13

Hagai 1 : 6
6 Mmepanda mbegu nyingi mkavuna kidogo; mnakula lakini hamshibi; mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji; mnajivika nguo lakini hapana aonaye moto; na yeye apataye mshahara apata mshahara ili kuutia katika mfuko uliotoboka-toboka.
Isaya 55 : 8 - 13

8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.
9 Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
10 Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.
12 Maana mtatoka kwa furaha, Mtaongozwa kwa amani; Mbele yenu milima na vilima vitatoa nyimbo; Na miti yote ya kondeni itapiga makofi.
13 Badala ya michongoma utamea msunobari, Na badala ya mibigili, mhadesi; Jambo hili litakuwa la kumpatia Bwana jina, Litakuwa ishara ya milele isiyokatiliwa mbali.

Mhubiri : Mch. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Пікірлер: 22

  • @Jackson-br2km
    @Jackson-br2km8 ай бұрын

    Africa will remain a beautiful place... Ugaibuni tabu sai baridi hakuna hata raha😢

  • @PriscarLawrence
    @PriscarLawrenceАй бұрын

    Asante Mtumishi kwa Neno,nimebarikiwa,na nimeponywa

  • @felistermoshi5852
    @felistermoshi58523 ай бұрын

    Asante Mchungaji. Neno limenibariki sana. Ubarikiwe

  • @lilianmuchoki1659
    @lilianmuchoki16594 ай бұрын

    Mungu awe nawe wakati wote

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82769 ай бұрын

    Mwaka wa kumi mfululizo. Mafungo ya siku 40! BARIKIWA MTUMISHI kwa kazi yako nzuri san.

  • @JUDITHAMONDI
    @JUDITHAMONDI8 ай бұрын

    Thank you servant of the most high, I believe that through the message i will never remain the same.

  • @doreentemba7833
    @doreentemba7833Ай бұрын

    😇🙏🏿

  • @user-ik5kz6gh7n
    @user-ik5kz6gh7n7 ай бұрын

    Ameni nauona ukuu wa mungu mbele yangu

  • @lucresacareen8332
    @lucresacareen83324 ай бұрын

    Baba Mungu azidi kukutunza kwaajili ya vizaz vingi hakika nabarikiwa sana na wewe nipo kwenye msiba mzito wa kaka yangu nimeshinda nasikiliza mafundisho yako kwa muda wa siku tatu aisee nimemuona Mungu

  • @lucresacareen8332

    @lucresacareen8332

    4 ай бұрын

    Mpaka naenda kuzika nasikiliza tuu ..naishi mbeya lakini mimi ni mkristo wako mwaminifu online ingawa mimi n moravian

  • @sylviaprotace8243
    @sylviaprotace82438 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma53067 ай бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @beatricemsele4844
    @beatricemsele48448 ай бұрын

    Nashukuru Kwa mahubiri mazuri mnooo

  • @user-xi7xg2tt5v
    @user-xi7xg2tt5v8 ай бұрын

    Mungu atuunganishe waumini wote katika mafungo haya❤

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82769 ай бұрын

    Nkyoki kuketana yaa! Nkiki kuuta iha! AMEN BARIKIWA Baba yetu.

  • @esterstephen7978
    @esterstephen79788 ай бұрын

    Amina

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey65038 ай бұрын

    Mndumii nar'umisho mbee. Kama Mungu hasikii maombi ya waliopoteza muelekeo ni nini kinawarudisha kwe mstari? Mwana mpotevu alirudi mwenyewe bila neema ya Ktisto? Je Mungu hakuona mateso yake ya kula na nguruwe na kumpa wazo la kurejea kwa baba yake? Inanitafakarisha Sana🙏

  • @perpetualugendo5230
    @perpetualugendo52308 ай бұрын

    Njii kuketana iya?

  • @wamadenzatv4174
    @wamadenzatv41748 ай бұрын

    Mchunga unauwez mzur wakufafanua vizur na kufundisha vizur

  • @lucianagodson437

    @lucianagodson437

    8 ай бұрын

    Kabisa hicho kipaji Mungu amembarikia vzry

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena33178 ай бұрын

    Samahani mnakata mapema atuombewi pia baraka atupokei najuingamanisha nikiwa Oman

  • @deborahissaya1601

    @deborahissaya1601

    8 ай бұрын

    Ubarikiwe sna amenaa