REV. DR. ELIONA KIMARO: ZINAA ILIYOLETA UKAME, UKAUFU NA JANGWA WAKATI WA ELIYA
KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH
IBADA YA MORNING GLORY: THE SCHOOL OF HEALING
'HII NI KWARESMA:SIKU YA 9
23/ 02/ 2024
MADA:
NIDHAMU NI HATIMA
DISCIPLINE IS DESTINY
SOMO LA LEO: ZINAA ILIYOLETA UKAME, UKAUFU NA JANGWA WAKATI WA ELIYA
SEXUAL TRANSMISSION CURSE - STC
1 Wafalme 18 : 41 - 46
Habakuki 2 : 9 - 11
2 Wafalme 4 : 40 - 41
1 Wakoritho 6 : 18
NENO KUU:
"Zitafakarini njia zenu"
(Consider your ways)
Hagai 1:7
1 Wafalme 18 : 41 - 46
41 Naye Eliya akamwambia Ahabu, Haya! Inuka, ule, unywe; kwani pana sauti ya mvua tele.
42 Basi Ahabu akainuka ili ale na kunywa. Naye Eliya akapanda juu mpaka kilele cha Karmeli; akasujudu kifudifudi, akainama uso mpaka magotini.
43 Akamwambia mtumishi wake, Kwea sasa, utazame upande wa bahari. Akakwea, akatazama, na kusema, Hakuna kitu. Naye akanena, Enenda tena mara saba.
44 Ikawa mara ya saba akasema, Tazama, wingu linatoka katika bahari, nalo ni dogo kama mkono wa mtu. Akanena, Enenda, umwambie Ahabu, Tandika, ushuke, mvua isikuzuie.
45 Ikawa, muda si muda, mbingu zikawa nyeusi kwa mawingu na upepo, ikanyesha mvua nyingi. Ahabu akapanda garini, akaenda zake Yezreeli.
46 Mkono wa Bwana ulikuwa juu ya Eliya; akajikaza viuno, akapiga mbio mbele ya Ahabu mpaka kuiingia Yezreeli.
Habakuki 2 : 9 - 11
9 Ole wake yeye aipatiaye nyumba yake mapato mabaya, ili apate kukiweka kioto chake juu, apate kujiepusha na mkono wa uovu!
10 Wewe umeifanyia nyumba yako kusudi la aibu, kwa kukatilia mbali watu wengi, nawe umetenda dhambi juu ya roho yako.
11 Kwa maana jiwe litapiga kelele katika ukuta, nayo boriti katika miti italijibu.
2 Wafalme 4 : 40 - 41
40 Basi wakawapakulia hao watu ili wale. Ikawa, walipokuwa katika kula chakula, wakapiga kelele, wakasema, Mauti imo sufuriani, Ee mtu wa Mungu. Wala hawakuweza kula.
41 Lakini yeye akasema, Leteni unga. Naye akautupa ndani ya sufuria; akasema, Wapakulie watu, ili wale. Wala hakikuwamo kitu kibaya sufuriani.
1 Wakoritho 6 : 18
18 Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Пікірлер: 37
Mungu AKUBARIKI sana Baba DR. Eliona Kimaro. Umetugusa wengi na wengine tumebadilika mfano mkubwa.
Nimebarikiwa sana na somo la maarifa...Mungu nisaidie nishinde dhambi ya zinaa.
Mungu Akubariki sana,
Asante bretheren rev. Eliona Kimaro Bwana Mungu akutie nguvu am being reviled that Tanzania our country is redeemed by the holly blood of Jesus Christ Our savior
Mungu akubariki sana Baba Mchungaji Eliona Kimaro. Zaidi sana akulinde na kukuongoza ili watu wabaya wasije wakaharibu huduma yako. Mwenyezi Mungu na alinde wito wako na ailinde huduma yako. Amen. Amina. Amin
Ubarikiwe sana Mtumishi
Mungu naomba Neema yako pekee yanguu siwezi
@GOZBERTMTASINGWA
5 ай бұрын
Mimi nina tabia ya ujeuri na hasira na sipendi kuwa hivyo, nifanyeje?
God have mercy on me and my household,restore us once more and give us power to overcome sin
Amen 🙏 🙏
Praise God. Bwana nipe neema ya kubadilika hii kwaresma nisirudi nyuma tena kwa zinaa
Baba Eliona Mungu azidi kukupa hekima nabarikiwa sana na mafundisho yako
Sema tupone Baba. Hakika hii ni Kwaresma na Tunasimama na NIDHAMU. Ameeeeeeen
Ameeeen Mungu azidi kukubariki na Kukulinda Mtumishi 🙏🙏
Barikiwa Mtumishi wa Mungu very powerful
Asante na ubarikiwe sana mchungaji roho wa MUNGU awe juu Yako amina
Nimemuelewa mch. Vilivyo Mungu. Akubariki sana mch. Unasaidia sana kumtoa binadamu kwenye Giza Nene.
Baba Mungu wa huruma ninaomba unirehemu nimewa kahangia vatoto wangu zina baba unisamehe
Am the first to day karibuni kwa ibada🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante sana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ameen..
Ubarikiwe 🙌
Ameen
Mungu nionekanie nakuhitaji jehova
I understand you very much Pr
Balikiwa mtumishi
Ameen🙏🙏
Haya mahubiri kiukweli yafanyike ukombozi kwa ajili ya nchi yetu na vizazi vingi vilivyopotea Mungu wetu wa Mbinguni mimina roho ya mguso wa neno lako kwa kizazi cha Leo tuponeeeee tupone kwakweli!!?
Amen 🙏🙏
Sema Mtumishi kanisa lipone….
Eee Mungu nirehemu mimi, maana
😭😭😭
Amen namba yako jamani siipati mchungaji mwenye namba ya mchungaji yeyote anitumie
Piga kelele mtu wa Mungu uwahubiri watu makosa na dhambi zao Dunia ipone
Hapana usijihukumu hiyo ni tafsiri ya neno la Mungu cha msingi usizini Mungu hapendi Ila hapo kuhusu watoto Mungu anajua ....ndo maana Kuna jina la Yesu na damu ya Yesu inayotakasa Kama si hivyo laana za wazee wetu tusingetoboa
Ibilisi asisake namna hiyo jamani
Asante na ubarikiwe sana mchungaji roho wa MUNGU awe juu Yako amina