Hifadhi Moyo Wa Ibada | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro

Пікірлер: 10

  • @estherlemburismollel5901
    @estherlemburismollel5901

    Mchungaji Mungu akuheshimishe kwa kufanya kazi ya Mungu kwa ushujaa. Kuna sababu nyingi sana ya waumini kukatishwa tamaa ya ibada, kwa mtazamo wangu 1. Kukosa magundisho ya kweli kuhusu umuhimu wa ibada 2. Kukatishwa tamaa na watu hata watumishi 3. Shetani kutaka kuondoa mbegu ya ki- Mungu liyopandwa ndani ya mtu kwenye eneo la ibada. Hayo ni baadhi tu. Na hii yote ni kwa ajili ya kukosa maarifa juu ya ibada. Mungu atusaidie

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785

    Asante Baba na mimi niliwai kutana na hali iyo ni miaka 3 sijaingia kanisani.nakufwatilia wewe tu sasa jpili nakuja kusali

  • @annamgesi951
    @annamgesi951

    Asante baba hata mm nilisha wahi kukwazika kwenye kanisa ninalo sali mpaka nilikata tamaa kabisa nilipigwa na mama mchungaji akaseme eti natoka na mchungaji niliumia sana nililia sna ila sikukataa tamaa na sikuacha kusali mpaka sasa 🙏🙏🙏

  • @kemwamubrian1578
    @kemwamubrian1578

    Amen

  • @adriennedahal-adamson2812
    @adriennedahal-adamson2812

    AMEN

  • @aliciaprojestus2336
    @aliciaprojestus2336

    Mungu atusaidie nimesali leo baada ya miaka 2 nilikuwa nafuatilia ibada online lakini leo nimesema Hapana

  • @SiliviaKusekwa
    @SiliviaKusekwa

    Bado mume wangu baba qnahitaji neema

  • @eunicekileo
    @eunicekileo

    Aaaaaaaamen