Hifadhi Moyo Wa Ibada | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro
Жүктеу.....
Пікірлер: 10
@estherlemburismollel5901
Mchungaji Mungu akuheshimishe kwa kufanya kazi ya Mungu kwa ushujaa. Kuna sababu nyingi sana ya waumini kukatishwa tamaa ya ibada, kwa mtazamo wangu 1. Kukosa magundisho ya kweli kuhusu umuhimu wa ibada 2. Kukatishwa tamaa na watu hata watumishi 3. Shetani kutaka kuondoa mbegu ya ki- Mungu liyopandwa ndani ya mtu kwenye eneo la ibada. Hayo ni baadhi tu. Na hii yote ni kwa ajili ya kukosa maarifa juu ya ibada. Mungu atusaidie
@denisipaulo7785
Asante Baba na mimi niliwai kutana na hali iyo ni miaka 3 sijaingia kanisani.nakufwatilia wewe tu sasa jpili nakuja kusali
@annamgesi951
Asante baba hata mm nilisha wahi kukwazika kwenye kanisa ninalo sali mpaka nilikata tamaa kabisa nilipigwa na mama mchungaji akaseme eti natoka na mchungaji niliumia sana nililia sna ila sikukataa tamaa na sikuacha kusali mpaka sasa 🙏🙏🙏
@kemwamubrian1578
Amen
@adriennedahal-adamson2812
AMEN
@aliciaprojestus2336
Mungu atusaidie nimesali leo baada ya miaka 2 nilikuwa nafuatilia ibada online lakini leo nimesema Hapana
Пікірлер: 10
Mchungaji Mungu akuheshimishe kwa kufanya kazi ya Mungu kwa ushujaa. Kuna sababu nyingi sana ya waumini kukatishwa tamaa ya ibada, kwa mtazamo wangu 1. Kukosa magundisho ya kweli kuhusu umuhimu wa ibada 2. Kukatishwa tamaa na watu hata watumishi 3. Shetani kutaka kuondoa mbegu ya ki- Mungu liyopandwa ndani ya mtu kwenye eneo la ibada. Hayo ni baadhi tu. Na hii yote ni kwa ajili ya kukosa maarifa juu ya ibada. Mungu atusaidie
Asante Baba na mimi niliwai kutana na hali iyo ni miaka 3 sijaingia kanisani.nakufwatilia wewe tu sasa jpili nakuja kusali
Asante baba hata mm nilisha wahi kukwazika kwenye kanisa ninalo sali mpaka nilikata tamaa kabisa nilipigwa na mama mchungaji akaseme eti natoka na mchungaji niliumia sana nililia sna ila sikukataa tamaa na sikuacha kusali mpaka sasa 🙏🙏🙏
Amen
AMEN
Mungu atusaidie nimesali leo baada ya miaka 2 nilikuwa nafuatilia ibada online lakini leo nimesema Hapana
Bado mume wangu baba qnahitaji neema
Aaaaaaaamen