ROHO YA UMASIKINI - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Roho ya umaskini haikuzuii KUNENA kwa lugha, lakini itahakikisha kwenye eneo la fedha hausogei.
Kilichomfanya huyu mtu atoke kwenye makaburi ni kwa sababu ya uwepo wa Yesu, Ulimuhamisha kutoka sehemu ya mauti aliyokaa muda mrefu.
Kuna watu kwenye ulimwengu wa roho wamehamishwa na kuwekwa kwenye location(maeneo) ambapo wakiwa kwenye hayo maeneo chochote wanachokifanya KINAKUFA.
Shetani ili afanye uharibifu kwako huhakikisha kwanza amekuweka kwenye eneo ambalo anapata access na wewe wakati wowote akihitaji, vilevile huhakikisha wale ambao ni msaada kwako anakutenga nao.Ndio maana kuna aina fulani ya watu kila wakija karibu na wewe ndani yako kunainuka tabia ambazo hata hujui zimetoka wapi..kiburi, hasira iliyopitiliza,majivuno n.k na kipindi watu hawa wakiondoka unarudi katika hali yako ya kawaida.Na watu wengi jambo hili limewatesa sana kwa sababu hawajui chanzo ni nini.
Ukiwa kwenye eneo la namna hiyo kila atakaye kuja kwenye maisha yako ana tatizo kama lako,na ndio maana wewe na rafiki yako wote mnapitia changamoto zinazofanana.
#PastorSunbella#RohoYa#Umasikini
Пікірлер: 106
Mimi ni mwislam ila nakufatilia sana pastor
@maryphilimon3277
2 жыл бұрын
Karibu Yesu anaweza na wala habagui mkiri tu na umwamini
@apostleeliyaj.milanzi5339
2 жыл бұрын
Barikiwa Sana Yesu anakupenda sana
Nakataa roho ya umaskini kwa jina la Yesu Amen.
Amen sana 🙌 mimi niliaza kukufatilia leo pastor maumbiri yako naielewa sana na inatia moyo wakusonga mbele.
Mafundisho yako ni mazuri mtumishi wa mungu na yanagusa Sana maisha yetu.Nataman sku moja nipate mda wa kufika kanisani kwako kujifunza na kupata maombi namuomba mungu ajalie Hilo litimie.
Mtumishi wa Mungu napenda sana mahubiri yako Mungu akubariki
Nakataa roho za umaskini katika maisha yangu kuanzia sasa ivi katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja kila kilisho shikilia hata uchumi wangu na kazi yangu katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja Amen Amen Amen Amen
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU, napenda sana masomo yako,mimi heaven nachukia sana umasikini,kwetu ni mimi peke yangu nimesoma,na MUNGU akanisaidia nikapata kazi,nikamshukuru MUNGU nitawasomesha wadogo zangu,lakini sasa huku kazini nimekua wa madeni,naweza hesabu laki 3,naweka juu ya meza ofisini kufumba na kufumbua sizioni, ntatafuta hadi kwenye viatu sizipati, nimekua mtumwa wa madeni na mimi ni cashier.
Eewee Roho ya umasikini skiaaa mimi na familia yangu kuanzia leoo Sasa ivi ni matajri Tena wakubwa wala syo masikini Tena katka Jina LA YESU KRISTO alie Hai eee MUNGU sikiaa maombi yangu na dua zangu nautoaa mwili na moyo wangu kuwa dhabihu Hai kwako nitumiee vile upendavyo ktka Jina LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU AMENI
Asante sana mtumishi kwa somo ,amen nmepata somo kabisa
Amen mtumishi barikiwa sana
Ameen Pastor
Baba naomba niombee mungu aniwezeshe kujenga nyumba hivi nina miaka hamsina tatu naishi kwenye nyumba ya kupanga We mungu nisaidie niondolee riho ya umaskini
Nimekuelewa sana mtumishi MUNGU akubariki mno, naona kama unayazungumzia maisha yangu hapo yaani MUNGU anisaidie
Daddy 😪❣️Una nibariki sana😪😪Ahsante YESU WANGU
Jina la bw. Yesu lihimidiwe! Ni mfuatiliaji makini wa mafundisho yako! Mungu akubariki.
Muchungaji, ubarikiwe Sana, hili Somo limeniguza, naomba uniweke kwa maombi, ili Roho ya umasikini iniondokehe, na nipate location mpya nimeishi miaka mingi sana hapa , sioni nyuma Wala nyuma Mungu anifungulie kupitia kwa maombi yako na nitakushukuru,Amen
AMENI na roho ya umaskini initoke katika jina la YESU
your teachings bless me alot Mungu akupe kibali uje na Mbeya
@abbasouko3143
2 жыл бұрын
Amina
Be bless pastor
😭😭😭😭roho ya umaskini na mapooza hebu achilia familia yangu katika jina la yesu kristo wa nazareth aliye hai 😊
kama ukoo wetu hakuna mtu hata mmoja aliwahi fanikiwa...kama vile Mungu aishivyo nimekataa kuwa muhathiriwa kwa Jina La Yesu aliye hai
@miriammuller2845
2 жыл бұрын
Sioni nyuma Wala mbele
roho ya Umaskini iachie familia yangu katika jina la YESU KRISTO WANAZARETI ALIYE HAI
amen mtumish...mungu aniondolee roho ya umaskin kwa jina yesu
Amen Amen barikiwa sana man of God 🙏🙏
Nawafuata 100%nikiwa Burundi Mubalikiwe sana pasta Sanbella nimesaidiwa sana
Barikiwa napokea kitu kipya kunamahali ananivusha
Asante nashukuru Kwa mafundisho yako pastor sanbela
Roho ya umaskini niache Mimi na familia yangu kwa Damu ya Yesu na kwa Jina la Yesu
Amen mtumishi wa mungu.
Heee yesu unirehemu, kweli mkono wakuume umefunguliwa ila wa koshoto umefungwa
Amen
Be blessed Kyando
Iam being blessed.
Nakumbali Sanaa zaidi ya sanaaaa!!!!!!mtumishi
Amen and Amen Pastol ,ujumbe unabarikiii sanaa
Mafundisho mazuri sana mtumishi na ni kweli ww ni mwalimu kweli kweli maana mwalimu sahihi lazima afundishe Kwa mafundisho yenye uhai ndani yake
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Nakuelewa vizuri sana mtumishi , ila Kuna jambo la kufanya hapa....ì
Amen Amen 🙏🙏
@angelambondelo2836
Жыл бұрын
Nakataa umaskini mim na family yangu natoka kwa jina la yeau
Amen amen amen
Ameeen Yesu niponye
Amen mchungaji😭🙏🏾
Pasto mafundisho yanagusa maisha yangu kabisa
Nikweli man of God
Asifiwe yesu mm Huwa sipati kazi nikipata napata za ndani lkni hizo za ndan pia siwezi kudumu zako mwanzoni au baada ya mda Fulani nitapendwa sana ila akiweka Nia ya kunisaidia ataanza kupigwa kiuchumi gafla anaanza kunichukia 😢nikijiajiri sifanikiwi nikikaa kwenye biashara ya mtu hata wale wateja wake wanamuhama pastor I really need help
Roho ya umauti unitoke ndani ya kwa jina la Yesu
Yan somo hili ndio maisha ninayoyapitia kila nacho kifanya hakifiki mwisho Kiuchumi na maisha Mungu ajizihishe ndan ya maisha yangu
@dorisfabian4776
Жыл бұрын
Naogopa Mimi naogopa niniii ndugu yangu Mungu atusaidie sana
@antybakary953
26 күн бұрын
hali inatisha sanaa 😢😢😢
God bless you pastor
Ee mungu wangu isimamie famiria yangu itoke kwenye umasikin
Amina Mungu atusaidie Sana.
Nakataa rohoya umasikin
Hasee mafundisho mazuri Sana haya
Asante Mungu
AMINA mtumishi wa mungu
Ubarikiwe Mtumishi.
pastor karibu sana na Mbeya pia
Hallelujah hallelujah
Yesu fanya jambo
Hugoni kutoka tanga... Barikiwa Mtumishi
Ameen
Roho ya umaskini initoke in Jesus Name
Nakataa roho ya umaskini maishan mwanguu
Amen 🙏🙏🙏
nimepend mafundisho yak nataman nije kanisan kwak sik moj kyando mwenzang
Ndio mchungaji nakuelewa sana nipo simiyu naitwa Rachal
Amen 🙏😭
Dah 😪😪Mungu Tusaidie hakikaa
Pasta naomba uniombee familia yetu tuweze kuolewa na kuowa tufike madhabahuni.
GOD BLESS YOU TEACHERS
Huo mfano wa Mtumishi ambaye anafuatiliwa na roho ya umaskini umenitafakarisha sana 12:50
Nakata logo ya umasikini katika jina la Yesu
Najifunza Sana hakika napata nguvu
Amina
Sijakata tamaa ila nimechoka sijui nn nifanyie YESU nisaidie wewe pekee unanijua nakujua maitaji yangu vyema sistaili ila nisaidie mwanao
Ni kweli mtumishi
🙏🙏🙏
Be blessed man of God
WAKATI SAHIHI KABISA NILIKUWA NAJIULIZA SANA MAISHA YANGU YATAKUWAJE
🙌
Ukisikiliza kwa makini machozi 😭 lazima yakutoke 😭
🙏🙏
❣️
So touching
@adelardrukara3518
Жыл бұрын
Amen
Pastor nina kaka yangu amefungwa na roho hiyo kabisa naomba musaada plz
Wadada wa Tanzanian wanapendeza mno. Nywele zimeshukwa poa na wako smart. Mumebarikiwa
Naomba location ya kanisa lenu
Naomba namba za huyu mtumishi...
Kanisa liko wapi?
Je mwalimu na pastor unaposoma,ufunuo:2:8:11,unajifunza nini?mafunzo mengine aitusaidii kitu
Kyando nahitaji mawasiliano yako
Naomba kujua kanisani kwake naomba mtu yeyote anielekeze plz
@pastorsunbellakyando
2 жыл бұрын
Kanisa lipo sinza mori mkabala na ofisini za Tamwa au karibu na bar ya lachaz, tumia namba hii kwa kutuma ujumbe whatsup kwa msaada zaidi 0657173322
@mankarichard5851
2 жыл бұрын
@@pastorsunbellakyando Nashukuru sana sana
Amen
Amen Amen
Amen
Amen
Amen