ROHO YA UMASIKINI - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Roho ya umaskini haikuzuii KUNENA kwa lugha, lakini itahakikisha kwenye eneo la fedha hausogei.
Kilichomfanya huyu mtu atoke kwenye makaburi ni kwa sababu ya uwepo wa Yesu, Ulimuhamisha kutoka sehemu ya mauti aliyokaa muda mrefu.
Kuna watu kwenye ulimwengu wa roho wamehamishwa na kuwekwa kwenye location(maeneo) ambapo wakiwa kwenye hayo maeneo chochote wanachokifanya KINAKUFA.
Shetani ili afanye uharibifu kwako huhakikisha kwanza amekuweka kwenye eneo ambalo anapata access na wewe wakati wowote akihitaji, vilevile huhakikisha wale ambao ni msaada kwako anakutenga nao.Ndio maana kuna aina fulani ya watu kila wakija karibu na wewe ndani yako kunainuka tabia ambazo hata hujui zimetoka wapi..kiburi, hasira iliyopitiliza,majivuno n.k na kipindi watu hawa wakiondoka unarudi katika hali yako ya kawaida.Na watu wengi jambo hili limewatesa sana kwa sababu hawajui chanzo ni nini.
Ukiwa kwenye eneo la namna hiyo kila atakaye kuja kwenye maisha yako ana tatizo kama lako,na ndio maana wewe na rafiki yako wote mnapitia changamoto zinazofanana.
#PastorSunbella#RohoYa#Umasikini

Пікірлер: 106

  • @sumathedony8245
    @sumathedony82452 жыл бұрын

    Mimi ni mwislam ila nakufatilia sana pastor

  • @maryphilimon3277

    @maryphilimon3277

    2 жыл бұрын

    Karibu Yesu anaweza na wala habagui mkiri tu na umwamini

  • @apostleeliyaj.milanzi5339

    @apostleeliyaj.milanzi5339

    2 жыл бұрын

    Barikiwa Sana Yesu anakupenda sana

  • @floraahdrea1729
    @floraahdrea17292 жыл бұрын

    Nakataa roho ya umaskini kwa jina la Yesu Amen.

  • @BenitaAli-o8x
    @BenitaAli-o8x26 күн бұрын

    Amen sana 🙌 mimi niliaza kukufatilia leo pastor maumbiri yako naielewa sana na inatia moyo wakusonga mbele.

  • @dottoanselmo8420
    @dottoanselmo84202 жыл бұрын

    Mafundisho yako ni mazuri mtumishi wa mungu na yanagusa Sana maisha yetu.Nataman sku moja nipate mda wa kufika kanisani kwako kujifunza na kupata maombi namuomba mungu ajalie Hilo litimie.

  • @jacksonsimon4453
    @jacksonsimon44532 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu napenda sana mahubiri yako Mungu akubariki

  • @baenimuhimafabrice
    @baenimuhimafabriceАй бұрын

    Nakataa roho za umaskini katika maisha yangu kuanzia sasa ivi katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja kila kilisho shikilia hata uchumi wangu na kazi yangu katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja Amen Amen Amen Amen

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU, napenda sana masomo yako,mimi heaven nachukia sana umasikini,kwetu ni mimi peke yangu nimesoma,na MUNGU akanisaidia nikapata kazi,nikamshukuru MUNGU nitawasomesha wadogo zangu,lakini sasa huku kazini nimekua wa madeni,naweza hesabu laki 3,naweka juu ya meza ofisini kufumba na kufumbua sizioni, ntatafuta hadi kwenye viatu sizipati, nimekua mtumwa wa madeni na mimi ni cashier.

  • @user-vc8he3gf4m
    @user-vc8he3gf4m5 ай бұрын

    Eewee Roho ya umasikini skiaaa mimi na familia yangu kuanzia leoo Sasa ivi ni matajri Tena wakubwa wala syo masikini Tena katka Jina LA YESU KRISTO alie Hai eee MUNGU sikiaa maombi yangu na dua zangu nautoaa mwili na moyo wangu kuwa dhabihu Hai kwako nitumiee vile upendavyo ktka Jina LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU AMENI

  • @mildredwekesa5844
    @mildredwekesa58442 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi kwa somo ,amen nmepata somo kabisa

  • @petermunuo1657
    @petermunuo16572 жыл бұрын

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @MagdalenaMsoma-us8qv
    @MagdalenaMsoma-us8qv3 ай бұрын

    Ameen Pastor

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb7 ай бұрын

    Baba naomba niombee mungu aniwezeshe kujenga nyumba hivi nina miaka hamsina tatu naishi kwenye nyumba ya kupanga We mungu nisaidie niondolee riho ya umaskini

  • @user-lf2bw5wp5r
    @user-lf2bw5wp5r7 ай бұрын

    Nimekuelewa sana mtumishi MUNGU akubariki mno, naona kama unayazungumzia maisha yangu hapo yaani MUNGU anisaidie

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Daddy 😪❣️Una nibariki sana😪😪Ahsante YESU WANGU

  • @francisshekifu8020
    @francisshekifu8020 Жыл бұрын

    Jina la bw. Yesu lihimidiwe! Ni mfuatiliaji makini wa mafundisho yako! Mungu akubariki.

  • @miriammuller2845
    @miriammuller28452 жыл бұрын

    Muchungaji, ubarikiwe Sana, hili Somo limeniguza, naomba uniweke kwa maombi, ili Roho ya umasikini iniondokehe, na nipate location mpya nimeishi miaka mingi sana hapa , sioni nyuma Wala nyuma Mungu anifungulie kupitia kwa maombi yako na nitakushukuru,Amen

  • @meriajshxx3223
    @meriajshxx32232 жыл бұрын

    AMENI na roho ya umaskini initoke katika jina la YESU

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith20072 жыл бұрын

    your teachings bless me alot Mungu akupe kibali uje na Mbeya

  • @abbasouko3143

    @abbasouko3143

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @RizikiKarisa-u7m
    @RizikiKarisa-u7mАй бұрын

    Be bless pastor

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Жыл бұрын

    😭😭😭😭roho ya umaskini na mapooza hebu achilia familia yangu katika jina la yesu kristo wa nazareth aliye hai 😊

  • @markmwau8387
    @markmwau83872 жыл бұрын

    kama ukoo wetu hakuna mtu hata mmoja aliwahi fanikiwa...kama vile Mungu aishivyo nimekataa kuwa muhathiriwa kwa Jina La Yesu aliye hai

  • @miriammuller2845

    @miriammuller2845

    2 жыл бұрын

    Sioni nyuma Wala mbele

  • @justingeorge2451
    @justingeorge245111 ай бұрын

    roho ya Umaskini iachie familia yangu katika jina la YESU KRISTO WANAZARETI ALIYE HAI

  • @suzaynalusambo7083
    @suzaynalusambo70832 жыл бұрын

    amen mtumish...mungu aniondolee roho ya umaskin kwa jina yesu

  • @jacintasyombua7512
    @jacintasyombua75122 жыл бұрын

    Amen Amen barikiwa sana man of God 🙏🙏

  • @silvatondayizeyendayizeye7874
    @silvatondayizeyendayizeye78742 жыл бұрын

    Nawafuata 100%nikiwa Burundi Mubalikiwe sana pasta Sanbella nimesaidiwa sana

  • @victorishunga2893
    @victorishunga28932 жыл бұрын

    Barikiwa napokea kitu kipya kunamahali ananivusha

  • @calorinemwoga2638
    @calorinemwoga2638 Жыл бұрын

    Asante nashukuru Kwa mafundisho yako pastor sanbela

  • @breakingnewstz8396
    @breakingnewstz83965 ай бұрын

    Roho ya umaskini niache Mimi na familia yangu kwa Damu ya Yesu na kwa Jina la Yesu

  • @paulmwangi294
    @paulmwangi294 Жыл бұрын

    Amen mtumishi wa mungu.

  • @BizimanaInnocent-gv4kz
    @BizimanaInnocent-gv4kz3 ай бұрын

    Heee yesu unirehemu, kweli mkono wakuume umefunguliwa ila wa koshoto umefungwa

  • @christinesavai884
    @christinesavai8842 жыл бұрын

    Amen

  • @NicholausMtawa
    @NicholausMtawa Жыл бұрын

    Be blessed Kyando

  • @peteroyando1627
    @peteroyando16272 жыл бұрын

    Iam being blessed.

  • @amosnzumbi-mu6vv
    @amosnzumbi-mu6vv Жыл бұрын

    Nakumbali Sanaa zaidi ya sanaaaa!!!!!!mtumishi

  • @mercynadia3140
    @mercynadia31402 жыл бұрын

    Amen and Amen Pastol ,ujumbe unabarikiii sanaa

  • @josephlazaro5406
    @josephlazaro5406 Жыл бұрын

    Mafundisho mazuri sana mtumishi na ni kweli ww ni mwalimu kweli kweli maana mwalimu sahihi lazima afundishe Kwa mafundisho yenye uhai ndani yake

  • @EmaOliva
    @EmaOliva Жыл бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @zachariashurura7226
    @zachariashurura72262 жыл бұрын

    Nakuelewa vizuri sana mtumishi , ila Kuna jambo la kufanya hapa....ì

  • @shemmunene4675
    @shemmunene46752 жыл бұрын

    Amen Amen 🙏🙏

  • @angelambondelo2836

    @angelambondelo2836

    Жыл бұрын

    Nakataa umaskini mim na family yangu natoka kwa jina la yeau

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Amen amen amen

  • @benignanindi7492
    @benignanindi74922 жыл бұрын

    Ameeen Yesu niponye

  • @lavendanekesa5404
    @lavendanekesa54042 жыл бұрын

    Amen mchungaji😭🙏🏾

  • @agnethahaule508
    @agnethahaule5082 жыл бұрын

    Pasto mafundisho yanagusa maisha yangu kabisa

  • @juliuskaliunga2879
    @juliuskaliunga28797 ай бұрын

    Nikweli man of God

  • @FurahaNgatena
    @FurahaNgatena2 ай бұрын

    Asifiwe yesu mm Huwa sipati kazi nikipata napata za ndani lkni hizo za ndan pia siwezi kudumu zako mwanzoni au baada ya mda Fulani nitapendwa sana ila akiweka Nia ya kunisaidia ataanza kupigwa kiuchumi gafla anaanza kunichukia 😢nikijiajiri sifanikiwi nikikaa kwenye biashara ya mtu hata wale wateja wake wanamuhama pastor I really need help

  • @oliversebastian3808
    @oliversebastian38082 жыл бұрын

    Roho ya umauti unitoke ndani ya kwa jina la Yesu

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 Жыл бұрын

    Yan somo hili ndio maisha ninayoyapitia kila nacho kifanya hakifiki mwisho Kiuchumi na maisha Mungu ajizihishe ndan ya maisha yangu

  • @dorisfabian4776

    @dorisfabian4776

    Жыл бұрын

    Naogopa Mimi naogopa niniii ndugu yangu Mungu atusaidie sana

  • @antybakary953

    @antybakary953

    26 күн бұрын

    hali inatisha sanaa 😢😢😢

  • @victorvicent6036
    @victorvicent6036 Жыл бұрын

    God bless you pastor

  • @user-uv6nx5mx1l
    @user-uv6nx5mx1l10 ай бұрын

    Ee mungu wangu isimamie famiria yangu itoke kwenye umasikin

  • @jeniphambinda2888
    @jeniphambinda28882 жыл бұрын

    Amina Mungu atusaidie Sana.

  • @user-uv6nx5mx1l
    @user-uv6nx5mx1l10 ай бұрын

    Nakataa rohoya umasikin

  • @edgerperes5950
    @edgerperes59502 жыл бұрын

    Hasee mafundisho mazuri Sana haya

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph466611 ай бұрын

    Asante Mungu

  • @malangoyaushindideliveranc969
    @malangoyaushindideliveranc969 Жыл бұрын

    AMINA mtumishi wa mungu

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma51432 жыл бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi.

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith20072 жыл бұрын

    pastor karibu sana na Mbeya pia

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Hallelujah hallelujah

  • @emmymtambo5974
    @emmymtambo59745 ай бұрын

    Yesu fanya jambo

  • @hugoncosmasmallya4661
    @hugoncosmasmallya46612 жыл бұрын

    Hugoni kutoka tanga... Barikiwa Mtumishi

  • @gemakaremela489
    @gemakaremela4892 жыл бұрын

    Ameen

  • @mercynadia3140
    @mercynadia31402 жыл бұрын

    Roho ya umaskini initoke in Jesus Name

  • @daviddulle8291
    @daviddulle829110 ай бұрын

    Nakataa roho ya umaskini maishan mwanguu

  • @victoriasezi2469
    @victoriasezi2469 Жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @moseschungu4002
    @moseschungu40022 жыл бұрын

    nimepend mafundisho yak nataman nije kanisan kwak sik moj kyando mwenzang

  • @rahelyusufu3661
    @rahelyusufu36612 жыл бұрын

    Ndio mchungaji nakuelewa sana nipo simiyu naitwa Rachal

  • @husnakibwana1859
    @husnakibwana18592 жыл бұрын

    Amen 🙏😭

  • @cutemamy9602
    @cutemamy96022 жыл бұрын

    Dah 😪😪Mungu Tusaidie hakikaa

  • @catherinekiondo955
    @catherinekiondo9554 ай бұрын

    Pasta naomba uniombee familia yetu tuweze kuolewa na kuowa tufike madhabahuni.

  • @frankmshana1331
    @frankmshana13312 жыл бұрын

    GOD BLESS YOU TEACHERS

  • @El9a
    @El9a5 ай бұрын

    Huo mfano wa Mtumishi ambaye anafuatiliwa na roho ya umaskini umenitafakarisha sana 12:50

  • @silvatondayizeyendayizeye7874
    @silvatondayizeyendayizeye78742 жыл бұрын

    Nakata logo ya umasikini katika jina la Yesu

  • @venanceolomi7858
    @venanceolomi78582 жыл бұрын

    Najifunza Sana hakika napata nguvu

  • @yohanamayegi5861
    @yohanamayegi58612 жыл бұрын

    Amina

  • @aminakabuka8700
    @aminakabuka8700 Жыл бұрын

    Sijakata tamaa ila nimechoka sijui nn nifanyie YESU nisaidie wewe pekee unanijua nakujua maitaji yangu vyema sistaili ila nisaidie mwanao

  • @monicampokwa441
    @monicampokwa4412 жыл бұрын

    Ni kweli mtumishi

  • @user-vf3ql5og8g
    @user-vf3ql5og8g Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani76212 жыл бұрын

    Be blessed man of God

  • @petermwawa5769
    @petermwawa5769 Жыл бұрын

    WAKATI SAHIHI KABISA NILIKUWA NAJIULIZA SANA MAISHA YANGU YATAKUWAJE

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    🙌

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 Жыл бұрын

    Ukisikiliza kwa makini machozi 😭 lazima yakutoke 😭

  • @veronicaromwald8311
    @veronicaromwald8311 Жыл бұрын

    🙏🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    ❣️

  • @benjaminmutuku-vq2ur
    @benjaminmutuku-vq2ur Жыл бұрын

    So touching

  • @adelardrukara3518

    @adelardrukara3518

    Жыл бұрын

    Amen

  • @enoceruganga5435
    @enoceruganga54352 жыл бұрын

    Pastor nina kaka yangu amefungwa na roho hiyo kabisa naomba musaada plz

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu2 жыл бұрын

    Wadada wa Tanzanian wanapendeza mno. Nywele zimeshukwa poa na wako smart. Mumebarikiwa

  • @user-iq4oy6uz6y
    @user-iq4oy6uz6y4 ай бұрын

    Naomba location ya kanisa lenu

  • @user-hy9hh1zg4y
    @user-hy9hh1zg4y2 ай бұрын

    Naomba namba za huyu mtumishi...

  • @AdventinaNdyanabo
    @AdventinaNdyanabo3 ай бұрын

    Kanisa liko wapi?

  • @erickkisindja2670
    @erickkisindja26702 жыл бұрын

    Je mwalimu na pastor unaposoma,ufunuo:2:8:11,unajifunza nini?mafunzo mengine aitusaidii kitu

  • @pascaledward295
    @pascaledward2952 жыл бұрын

    Kyando nahitaji mawasiliano yako

  • @mankarichard5851
    @mankarichard58512 жыл бұрын

    Naomba kujua kanisani kwake naomba mtu yeyote anielekeze plz

  • @pastorsunbellakyando

    @pastorsunbellakyando

    2 жыл бұрын

    Kanisa lipo sinza mori mkabala na ofisini za Tamwa au karibu na bar ya lachaz, tumia namba hii kwa kutuma ujumbe whatsup kwa msaada zaidi 0657173322

  • @mankarichard5851

    @mankarichard5851

    2 жыл бұрын

    @@pastorsunbellakyando Nashukuru sana sana

  • @geoffreysimiyu7386
    @geoffreysimiyu73869 ай бұрын

    Amen

  • @oliversebastian3808
    @oliversebastian38082 жыл бұрын

    Amen Amen

  • @user-vl8uu1wb3j
    @user-vl8uu1wb3j Жыл бұрын

    Amen

  • @elizabethmwachiti7987
    @elizabethmwachiti79872 жыл бұрын

    Amen

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe44432 жыл бұрын

    Amen