JIFUNZE KUACHILIA WATU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Ойын-сауық
Kuna vitu vikubwa Mungu ameviweka ndani yako lakini unashangaa kuwa watu waliokuzunguka hawavioni,na hii wakati mwingine inakuumiza sana unapojua kuwa una uwezo mkubwa sana ndani yako wa kufanya vitu fulani lakini hakuna anayethamini.
Mungu anapoweka ukuu ndani yako huwa anakuwa ameandaa na watu watakaouona,na watu hao watakushika mkono na kukusogeza pale ambapo Mungu amekusudia ufike.
Kuna watu wakiweza kuona kitu kikubwa Mungu alichoweka ndani yako watatafuta kukiua,kwahiyo unapoona hawakioni mshukuru Mungu na uendelee kuomba kionekane mbele ya watu sahihi na kwa wakati sahihi.#PastorSunbella#Kuachilia#Watu
Пікірлер: 77
Mungu azidi kubariki mafundisho yako
Amen Bishop Sanbella 🙏..Nam nmejifunza kuachiaa watu.ktk moyo wangu..nataka nifikiye destiny ya maisha yangu...I wish nikujee Reality Christ..one day. Asante Sana kwa somo zuriii BABA.
Sitazama Bali nitaendelea mbele kwa jina la Yesu kristo.Aminaaa
Ameni mtumishii umenifungua kwa aya nayopitia mungu aingilie Kat
Mungu naomba unipe watu sahihi mungu atusaidie sanaa wapendwa
Asante, bishop Mungu akubariki Kwa mafundisha Haya Mazur, God bless you so much
The holy spirit has led me here. There is something having been praying for but today God has answered me. May His name be praised
The problem of youths being unemployed as been there since.Lets humble ourselves to our President to ask if he is able to stop this menace.We have many youths gratuating yearly and no one even a single President since has ever called the youths to discuss!...Kindly our President do something about this cause we,ve been promised by our Teachers, parents,society and the Nation in general about great jobs after Education.If youths problems cannot be addressed, it will reach a time they shall refuse also to school!...
BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU.
Amen..barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho haya mazuri..Mungu akubariki na ukuzidishie pale umepunguza Amen
Nabarikiwa na mahubiri yako mtumishi wa Mungu uzidi kuongezewa uwezo wa Roho Mtakatifu ili ufundishe mema kwa watumishi wa Mungu 🙏🙏🙏
Ameeen Mungu azidi kukubariki na kukuinua mno,umesema ukweli pastor
Amen Amen Amen
Ubarikiwe Pastor
Kweli huyu ni mungu anafanya.
Amen. Mafundisho Yako nayapenda sana mtumishi wa Mungu. Umebarikiwa sana.
Sunbelaa nakukubali sana ase
Haleluuya Mtumishi. Uko sahihi sana.
This preaching has really uplifted my life. Thank you Mchungaji
Wooow!!This man Ana Mungu.Anavyo fafanua biblia sasa
Am blessed with the powerful message may God bless you man of God,pst Favour Timothy tuned from Nairobi Kenya
Kweli pastor umeongea ubarikiwe sana
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amen, thank you Jesus for this revelation I tap on it all entirely days of my life as you continue to give life on me ❤❤❤❤🙏
Amina mtumish ubarikiwe
Mungu Akubariki
Ubarikiwee mtumishiii mafundishooo mazuriii sanaaaaa
Well said let them go 🚶♂️
Amen
Mungu akubariki snaaa past
Eimen
Amina Mungu akubariki sana
Love you daddy 💕
Amen 🙏🙏
Amen nimeachia
Am happy to hear from u pastor am blessed I have learned to release things
Amen Amen
Great preaching. I wish though, background music itolewe.
Amen dad
Amina baba
Nilikuwa hapa mwaka wa 2021 nikiwa na maumivu ya mausiano lakini hii message ilinifanya kupata ujasiri wa kuachia niliyempenda aende na Leo nina ndoa na mtoto imedumu miaka tatu sasa bila mavutano
@hopingtrust1284
Ай бұрын
Hongera sana😂
@doricusjulius9805
Ай бұрын
Jimepnd ushuhud wak
God bless you too much
🙏🙏
Barikiwe baba
Uyuuu baba ananibariki Sana🙏
@shamisahmed4806
5 ай бұрын
Anaebariki ni Mungu,yeye anafundisha tu mafundisho ambayo ukiyafuata utabarikiwa!
Powerful message
Najifunza saana
Ameen
@Jastus100
2 жыл бұрын
Una jina zuri
💯❤️
Hakika na kweli
Njinio
Amen Man of God
Mimi Laina faustine kutoka Bukoba nilikuwa naomba unisaidie nifanye nni ili baba angu aache pombe,Kama kuomba nimeomba lakn bad anakunywa
Barikiwa Sana pastor nimepata kitu Mungu akutumie zaidi
Mimi Laina faustine kutoka Bukoba nilikuwa naomba unisaidie nifanye nni ili baba angu aache pombe
Amen 🙏
🙏🙏🙏
Am Blessed 🙏🙏
God has made you for us .. ❤️
🤝🤝🤝
Mimi naitwa Laina faustine kutoka Bukoba nilikuwa naomba unisaidie nifanye nni ili baba angu aache pombe?
Muendelezo wa hili somo ??
@kakapeter9092
2 жыл бұрын
This is great
Amen
Nabarikiwa na mahubiri yako mtumishi wa Mungu uzidi kuongezewa uwezo wa Roho Mtakatifu ili ufundishe mema kwa watumishi wa Mungu🙏🙏🙏
Amen
Amen
Amen
@renatkinyolo9605
Жыл бұрын
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen