TAMBUA CHANZO CHA TATIZO UNALOPITIA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Mungu anasema "mimi nami nimeliona jambo hili" Maana yake kuna kitu anataka|alitaka kufanya.
Kitu ambacho Mungu alikua anazungumzia ilikua ni kwa habari ya nyumba ambayo ilibeba jina lake, kilichokua kinamshangaza ni nyumba yake kubeba vitu visivyofaa.
Ni rahisi watu kuona tatizo lakini sio rahisi kujua CHANZO cha tatizo.Popote zinapokuwepo nguvu za giza, zinakua zimepewa "assignment" ambayo pia inakua imefungwa kwenye muda, kwa kadri ambavyo ZINAFANIKIWA ndivyo ambavyo zinazidi kupata nguvu.Haipaswi kupuuzia nguvu za giza.
#PastorSunbellaKyando#Chanzo#ChaTatizo
Пікірлер: 45
Nipo pamoja na ww Mchungaji nakuelewa sana Bwana YESU kristo asifiweeee ameeeeee
Naomba msiwe mnakata sehem ya maombi, huwa yanatusaidia sana
Wow wow Nimependa sana mpaka mwisho long life i wish you Baba wa kiroho
Asantee, naomba unisaidie kwa maana nimeomba toba na rehemu nilipojua Chanzo cha ninayo yapitia ni uasi
Ameen, naomba na maombi muwe mnatuwekea ni muhim sana
Amina baba nikweli tumekua tukipitia mapito mbali mbali ambayo kwa namna moja au nyingine inakuaga nivigumu sana kuelewa nini chanzo cha yote hayo ila Mungu uja pale akili ya kibinadamu ikishindwa . Mungu nijibu yesu nijibu amini amini
mafundisho yako kweli yanatufungua wengi mungu azid kkpa mafunuo zaid na maisha marefu pya
kila kilichomezwa katika maisha yangu Kimetapikwa kwa Jina la YESU I connect my life with this service in Jesus name
@salomemueni100
2 жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN
Naomba pastor niombe sina kasi ninashita niko kenya pastor nina amini mungu pastor 😭😭😭😭
I'm blessed by the servant of God.
Praise the Lord 🙏♥️
Ameen baba wa kiroho🙏🙏
Amina👏👏🙏
Amen Amen
Asanteeee nimebalikiwa sana
Amen Amen🙏🏿🙏🏿
@5h_cockpit187
2 жыл бұрын
Glory to GOD
Amina 🙏🙏🙏🙏
Amen amen
Ameen
I command my enemies to vomit what they av swallowed from My life
Amen
AMINA MWANA WA MUNGU. NAPOKEA
Amen mtumishi barikiwa sana
AMEN AMEN AMEN..
Wow
Tunaomba na maombi
Amina mrumishi wa mungu bado nina kiu ya kuonana na wewe nafanyaje?
@pastorsunbellakyando
2 жыл бұрын
Tumia namba hii 0657173322 tuma sms.
@joycesanga6951
2 жыл бұрын
Asante
@asnetojoel6778
2 жыл бұрын
Leta za Whatsapp
@me__reen2440
2 жыл бұрын
@@pastorsunbellakyando shalom baba samahan uliniambia nikutumiye sms lakin hadileo huja nijibu naomba unijibu
@pastorsunbellakyando
2 жыл бұрын
@@me__reen2440 Tuma kwa samba hii 0657173322
nilikua nasubiri maombezi yake
@mbokastivin5443
2 жыл бұрын
Amen barikiwa sana
Kanisa liko wap?
@pastorsunbellakyando
2 жыл бұрын
Kanisa lipo sinza mori mkabala na Tamwa
@makanijosephine6443
2 жыл бұрын
@@pastorsunbellakyando PASTOR UNANISAIDIA SANA KIROHO NINA MATATIZO YA KIFAMILIA CHUNGU NZIMA NATAFUTA NAULI I WILL COME ONE DAY UNANISAIDIA NIENDELEE KUW ANA MATUMAINI
@makanijosephine6443
2 жыл бұрын
ROHO YA UMASKINI NIKIPATA PESA HAIFANYI CHOCHOTE , FAMILIA YANGU YOTE KILA MMOJA ANA MATATIZO WE NEED PRAYERS
@makanijosephine6443
2 жыл бұрын
NAULI TU NDO SINA NATAMANI SANA NIKUONE MTUMISHI WA MUNGU UNANIINUA SANA MTUMISHI
Amen
Amen Amen