ROHO ZINAZOZUIA ONGEZEKO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Ni mapenzi ya Mungu mtu afanikiwe na aongezeke katika kila eneo ila kinachoturudisha nyuma ni hila za shetani. Nguvu za giza hazina shida na hapo ulipo ila tu unapojaribu kuongezeka na kukua ndo vita vinainuka ili tu usifikie ongezeko ambalo Mungu amelikusudia kwenye Maisha yako.
Fuatilia somo hili na masomo mengine upokee baraka.
#sunbellakyando
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
Пікірлер: 34
Nabarikiwa kupitia maubili yako
Amen mtumishi waMungu. Naomba sauti kidogo iongezwe naMungu wambinguni aendelee kuwabariki
Mungu nisaidie
Aiseeee
Amina, mtumish
Amina
Amen Baba.Mungu na azidi kukutumia na kukupaka mafuta mabichi kila siku iitwapo leo.
Eee Mungu tusaidia
Ubarikiwe mtumishi wamungu somo limeingia
mtumishi Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri inanibariki sana
Mungu nimwema mtumishi wa Mungu mimi napenda kushuhudia kuhusu somo hili toka mwanzo mpaka mwisho ulivyo anza kuomba nili ona kitu chenye nguvu kikiwa ndani yangu na mikono yangu ili kuwa ina vibration sana napia ulivyo sema tushike kichwa nili cheuwa saana na kupiga kichwa changu kwa nguvu baada ya ulivyo maliza kuomba nili ona mwili mwepesi sana namini Mungu ame nifungua
@El9a
2 жыл бұрын
Kama hayo yametokea kwa kufuatilia Online ni muhimu kufika ibadani physically. Mungu ni mwaminifu na mapenzi yake ni kutufungua... Utukufu kwa Mungu... Mungu Aliyehai azidishe mafuta yake mabichi kwa Mtumishi wake Mnyenyekevu Pastor Sunbella. Binafsi simwiti mtu mnyenyekevu bure. This Man of God is really Humble...
@victorymwasa5356
2 жыл бұрын
@@El9a hivi baada ya dodoma anaelekea wapi
Best Pastor ever. Mungu azidi kukutumia
@kaanansiatemba3415
2 жыл бұрын
Sauti ni ndogo
Somo limenigusa, nabarikiwa
Kusema kweli mtumishi wa Mungu Niko na roho ya umaskini, naomba uniombee sana
Mtumishi Nina hitaji kuonana na Wewe ana kwa ana nipo tayari kuja hata huko dar kwani ndani yangu nashuhudiwa kuwa Wewe Mungu atakutumia Wewe kunivusha mahali nilipokwama tangu 2016 nimeomba na kufunga kwa muda mrefu ndipo Mungu akanionesha wakati na mahali maisha yangu yalipo fungwa na kuharibiwa miaka ishirini iliyopita. Naomba kusaidiwa nipo kigoma.
Amen 🙏🙏🙏
Napenda sana mafundisho yako mtumishi wa Mungu.
Mungu ametubariki sanaa kwa kupitia wewe Sunbella.
Asante mutumishi Kwa neno zuri
Amen 🙏
Ubarkiwe sana
Ameeeeeen..
AMEN
Amen
Naomba 😭😭😭😭😭😭😭maombi tafadhali, biashara nafanya, lakini wakati unapo wadia ili nipate faida yangu hapo ndipo shida huniandama, wadeni, stock iliyobakia his shida kuuza!!!!....Leo naomba tafadhali Mtumishi wa Mungu nikumbuke...Niko Kenya, mjini Nairobi
Nikumbuke Mungu
Exactly,,,,,,Man of God,,,,,,Be blessed forever dad 🙏🙏🙏
Kutoka 1:8-12
Kutoka 1:15-16
Lini utakuwa Dodoma nije Mtumishi hili somo limenihisu
Amina