ROHO ZINAZOZUIA ONGEZEKO - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Ni mapenzi ya Mungu mtu afanikiwe na aongezeke katika kila eneo ila kinachoturudisha nyuma ni hila za shetani. Nguvu za giza hazina shida na hapo ulipo ila tu unapojaribu kuongezeka na kukua ndo vita vinainuka ili tu usifikie ongezeko ambalo Mungu amelikusudia kwenye Maisha yako.
Fuatilia somo hili na masomo mengine upokee baraka.
#sunbellakyando
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz

Пікірлер: 34

  • @alexrodrick9435
    @alexrodrick94353 ай бұрын

    Nabarikiwa kupitia maubili yako

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe44432 жыл бұрын

    Amen mtumishi waMungu. Naomba sauti kidogo iongezwe naMungu wambinguni aendelee kuwabariki

  • @JosephineMaendaenda-dy5yu
    @JosephineMaendaenda-dy5yu6 ай бұрын

    Mungu nisaidie

  • @esthermwaigwisya1775
    @esthermwaigwisya17755 ай бұрын

    Aiseeee

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un4 ай бұрын

    Amina, mtumish

  • @Neema-nx1qk
    @Neema-nx1qk9 ай бұрын

    Amina

  • @carolfelix3075
    @carolfelix30752 жыл бұрын

    Amen Baba.Mungu na azidi kukutumia na kukupaka mafuta mabichi kila siku iitwapo leo.

  • @ndanuemmanuel1483
    @ndanuemmanuel1483 Жыл бұрын

    Eee Mungu tusaidia

  • @rulemihayo2333
    @rulemihayo2333 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wamungu somo limeingia

  • @naomiedward6293
    @naomiedward6293 Жыл бұрын

    mtumishi Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri inanibariki sana

  • @lukaantony5360
    @lukaantony53602 жыл бұрын

    Mungu nimwema mtumishi wa Mungu mimi napenda kushuhudia kuhusu somo hili toka mwanzo mpaka mwisho ulivyo anza kuomba nili ona kitu chenye nguvu kikiwa ndani yangu na mikono yangu ili kuwa ina vibration sana napia ulivyo sema tushike kichwa nili cheuwa saana na kupiga kichwa changu kwa nguvu baada ya ulivyo maliza kuomba nili ona mwili mwepesi sana namini Mungu ame nifungua

  • @El9a

    @El9a

    2 жыл бұрын

    Kama hayo yametokea kwa kufuatilia Online ni muhimu kufika ibadani physically. Mungu ni mwaminifu na mapenzi yake ni kutufungua... Utukufu kwa Mungu... Mungu Aliyehai azidishe mafuta yake mabichi kwa Mtumishi wake Mnyenyekevu Pastor Sunbella. Binafsi simwiti mtu mnyenyekevu bure. This Man of God is really Humble...

  • @victorymwasa5356

    @victorymwasa5356

    2 жыл бұрын

    @@El9a hivi baada ya dodoma anaelekea wapi

  • @delishbby8542
    @delishbby85422 жыл бұрын

    Best Pastor ever. Mungu azidi kukutumia

  • @kaanansiatemba3415

    @kaanansiatemba3415

    2 жыл бұрын

    Sauti ni ndogo

  • @angelinakafui1353
    @angelinakafui13532 жыл бұрын

    Somo limenigusa, nabarikiwa

  • @mwaumark4372
    @mwaumark43722 жыл бұрын

    Kusema kweli mtumishi wa Mungu Niko na roho ya umaskini, naomba uniombee sana

  • @happnesskitumbo5713
    @happnesskitumbo57136 ай бұрын

    Mtumishi Nina hitaji kuonana na Wewe ana kwa ana nipo tayari kuja hata huko dar kwani ndani yangu nashuhudiwa kuwa Wewe Mungu atakutumia Wewe kunivusha mahali nilipokwama tangu 2016 nimeomba na kufunga kwa muda mrefu ndipo Mungu akanionesha wakati na mahali maisha yangu yalipo fungwa na kuharibiwa miaka ishirini iliyopita. Naomba kusaidiwa nipo kigoma.

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph46662 жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @amosjblack9614
    @amosjblack96142 жыл бұрын

    Napenda sana mafundisho yako mtumishi wa Mungu.

  • @reisedyy4910
    @reisedyy49102 жыл бұрын

    Mungu ametubariki sanaa kwa kupitia wewe Sunbella.

  • @gwimilajames1167
    @gwimilajames11672 жыл бұрын

    Asante mutumishi Kwa neno zuri

  • @lucyhaule5779
    @lucyhaule5779 Жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @faridachaula8157
    @faridachaula81572 жыл бұрын

    Ubarkiwe sana

  • @rihannabellion5636
    @rihannabellion56362 жыл бұрын

    Ameeeeeen..

  • @El9a
    @El9a2 жыл бұрын

    AMEN

  • @immaculatasangu4197
    @immaculatasangu41972 жыл бұрын

    Amen

  • @violetkahuya6201
    @violetkahuya62012 жыл бұрын

    Naomba 😭😭😭😭😭😭😭maombi tafadhali, biashara nafanya, lakini wakati unapo wadia ili nipate faida yangu hapo ndipo shida huniandama, wadeni, stock iliyobakia his shida kuuza!!!!....Leo naomba tafadhali Mtumishi wa Mungu nikumbuke...Niko Kenya, mjini Nairobi

  • @lovenessmwakanyamale6900
    @lovenessmwakanyamale69002 жыл бұрын

    Nikumbuke Mungu

  • @happinessakim2679
    @happinessakim26792 жыл бұрын

    Exactly,,,,,,Man of God,,,,,,Be blessed forever dad 🙏🙏🙏

  • @jordanasadjah8451
    @jordanasadjah84512 жыл бұрын

    Kutoka 1:8-12

  • @jordanasadjah8451
    @jordanasadjah84512 жыл бұрын

    Kutoka 1:15-16

  • @evelinembesele6089
    @evelinembesele6089 Жыл бұрын

    Lini utakuwa Dodoma nije Mtumishi hili somo limenihisu

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame17412 жыл бұрын

    Amina