HATARI YA MAOMBI YA KUFUNGULIWA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando KZread
/ @pastorsunbellakyando

Пікірлер: 53

  • @sifasylvie3941
    @sifasylvie39412 жыл бұрын

    nami mimi na taka kumupa yesu maisha yangu niombee baba

  • @husseinchea5524

    @husseinchea5524

    2 жыл бұрын

    Tafuta kanisa lililopo karibu nawe...

  • @bonheurmungalambuyu8015
    @bonheurmungalambuyu8015 Жыл бұрын

    Asante mutumishi Nîmes kufatilia kilasiku n'a ninakua najengwa kabisa kwa somo Niko 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @petermunuo1657
    @petermunuo165710 ай бұрын

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @husseinchea5524
    @husseinchea55242 жыл бұрын

    Huwa nakuelewa sana mtumishi wa MUNGU...wewe na Mch Abiudi Misholi mkiungana Shetani atatetemeka sana. Nakufuatilia nikiwa Mombasa 🇰🇪

  • @EmanuelMakalla-wu1zu
    @EmanuelMakalla-wu1zu10 ай бұрын

    Mtumishi ubarikiwe sana mungu akutunze daima

  • @albertkarakha4364
    @albertkarakha43642 жыл бұрын

    Ubarikiwe saana Kwa Elimu ya kiroho.

  • @josephkiondo4934
    @josephkiondo4934Ай бұрын

    Ameni

  • @elysemurekatete8347
    @elysemurekatete834710 ай бұрын

    Amen

  • @tatukadope7213
    @tatukadope72132 жыл бұрын

    Nabarikiwa mwalimu nataka kuja kwenye ibada nizid kumuona mungu

  • @WinnerJ_
    @WinnerJ_2 жыл бұрын

    Nimebarikiwa na neno🙏🏾

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis19602 жыл бұрын

    Asante MUNGU kumtumia mtumishi kutuletea somo zuri

  • @NdayishimiyeFride-vp7zt
    @NdayishimiyeFride-vp7zt Жыл бұрын

    Mubalikiwe sana mmenifunguwa Mimi niliumwa mapepo mda mlefu kupona hakuna hilo ilikuwa inazidi kuwa mbaya kama ulivyo ongea mimi ndo niliyapa mlango mungu anisamehe saana dhambi zote nilizo fanya

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Жыл бұрын

    Hapa kuna kitu cha kujifunza sana 🙏.Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @jeanbaptiste5512
    @jeanbaptiste55122 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana Mchungaji neno hili Lina ngumvu kabisa pia uweza kwa kila anayebahatika kushiriki somo hili🙏🙏 🙏

  • @dorabenard5592
    @dorabenard55922 жыл бұрын

    Na watch nko Kenya be blessed man of God

  • @anthonymoligi1352
    @anthonymoligi13522 жыл бұрын

    Amen 🙏 for revelation kusudio ya hili pepo kuwa halika ao kutafuta wengine saba

  • @anthonymoligi1352
    @anthonymoligi13522 жыл бұрын

    Ubarikiwe Ndugu yangu kwa Neno nzuri ya Mwenyezi Mungu Baba, akubariki...

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Ahsante YESU WANGU

  • @juddieemma32
    @juddieemma322 жыл бұрын

    Amen...nabarikiwa na huduma

  • @Fridah310
    @Fridah3102 жыл бұрын

    mafundisho mazuri nashukuru naona mbele

  • @francksindano9582
    @francksindano95822 жыл бұрын

    Amen 🙏🏿 MUNGU awa bariki

  • @husseinchea5524
    @husseinchea55242 жыл бұрын

    Huyo mtumishi wa MUNGU anayeongoza kundi la waimbaji kweli BWANA amempa kibali cha uimbaji🙏

  • @The_cbrtz
    @The_cbrtz2 жыл бұрын

    Mungu atusaidie sana

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Жыл бұрын

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @bethmbwilo3092
    @bethmbwilo30922 жыл бұрын

    Asante Sana Mtumishi wa Bwana nimeelewa somo

  • @wanjikuthamana6101
    @wanjikuthamana6101 Жыл бұрын

    VERY EDUCATIVE 🇰🇪

  • @revocatusngomele4905
    @revocatusngomele49052 жыл бұрын

    KTK HILI NA MIMI NIFUNGULIWE

  • @frolianhulubano6358
    @frolianhulubano63582 жыл бұрын

    Amen the man of Gos

  • @leahkaneza1731
    @leahkaneza1731 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @danstonecool1734
    @danstonecool17342 жыл бұрын

    tuned from kenya

  • @patrickmadale5220
    @patrickmadale52202 жыл бұрын

    Man of God huwa nakuelewa sana!

  • @angenizigama8861
    @angenizigama88612 жыл бұрын

    Amena baba nakuelewa

  • @patrickmadale5220
    @patrickmadale52202 жыл бұрын

    Man of God huwa nakuelewa sana 🙏

  • @lydiamakenge5613
    @lydiamakenge5613 Жыл бұрын

    Najiunganisha namaombi

  • @leonardsr8994
    @leonardsr89942 жыл бұрын

    Kila kilicho kinyume na mm ktk ulimwengu wa roho, kupitia madhabau hii, Mungu anifungue kwa kuliangalia agano lake kwenye madhabau hii

  • @neemaemmanuel4267

    @neemaemmanuel4267

    2 жыл бұрын

    Kanisa hili linapatikana wapi ?samahan

  • @leonardsr8994

    @leonardsr8994

    2 жыл бұрын

    @@neemaemmanuel4267 Dar, Sinza Mori

  • @Kofer10

    @Kofer10

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @judylukindo865
    @judylukindo865 Жыл бұрын

    Mtumishi maombi Yako yanibarik lakin Jin mahaba linanisumbuwa sina Raha kwenye mahusiano yangu namuomba MUNGU anisaidie

  • @lydiasai4902
    @lydiasai49022 жыл бұрын

    Nilikua naitaji maombi ya kufunguliwa

  • @christinesavai884
    @christinesavai8842 жыл бұрын

    AMEN AMEN

  • @NdayishimiyeFride-vp7zt
    @NdayishimiyeFride-vp7zt Жыл бұрын

    Pia mtuombee nasi mapepo yote yatukimbiye

  • @joycekariuki46
    @joycekariuki462 жыл бұрын

    Naomba kufanyiwa deliverance

  • @mandia6913

    @mandia6913

    2 жыл бұрын

    San bella mungu akubariki sana

  • @esaubakuza2640
    @esaubakuza26402 жыл бұрын

    Etii watumishi wanaonekana 0000😀😀😀😀

  • @Fridah310
    @Fridah3102 жыл бұрын

    mimi ni mkenya napenda mahubiri ya huyu mchungaji nikitaka kuwasiliana naye binafsi nitampata vipi kwetu familia imeharibika na uchawi

  • @Kofer10

    @Kofer10

    2 жыл бұрын

    Fridah ni kweli hata Mimi hupenda sana mafundisho yake. Imenizaidia sana. I long if kenya we would get this kind of teachers. It’s very hard to get this kind of the teacher of the word … very very very hard

  • @leytcastle9402
    @leytcastle94022 жыл бұрын

    Neno ni bora kuliko maombi nakuelewa sana Baba likijiumba unapata nafasi ya kujiokoa ww binafsi.. ndio maana Yesu alisema ndugu zangu na mama angu ni wale wanaolisikia neno langu na kulishika

  • @Kofer10

    @Kofer10

    2 жыл бұрын

    Kweli… I learned a lot about that. Heri mafundisho kuliko maombi. I kept that in heart and it has helped me a lot imagine. I have been listening to his teaching very keenly and has helped me a lot

  • @leytcastle9402

    @leytcastle9402

    2 жыл бұрын

    @@Kofer10 kwakweli ni maarifa ni jambo jema sana...ndio mana hata Yesu walimwita Mwalimu.. Aendelee kutufunza vyema kama Roho mtakatifu anavyomuongoza

  • @fridafrancis1960

    @fridafrancis1960

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @bonheurmungalambuyu8015
    @bonheurmungalambuyu8015 Жыл бұрын

    Asante mutumishi Nîmes kufatilia kilasiku n'a ninakua najengwa kabisa kwa somo Niko 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩