HATARI YA MAOMBI YA KUFUNGULIWA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando KZread
/ @pastorsunbellakyando
Пікірлер: 53
nami mimi na taka kumupa yesu maisha yangu niombee baba
@husseinchea5524
2 жыл бұрын
Tafuta kanisa lililopo karibu nawe...
Asante mutumishi Nîmes kufatilia kilasiku n'a ninakua najengwa kabisa kwa somo Niko 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Amen mtumishi barikiwa sana
Huwa nakuelewa sana mtumishi wa MUNGU...wewe na Mch Abiudi Misholi mkiungana Shetani atatetemeka sana. Nakufuatilia nikiwa Mombasa 🇰🇪
Mtumishi ubarikiwe sana mungu akutunze daima
Ubarikiwe saana Kwa Elimu ya kiroho.
Ameni
Amen
Nabarikiwa mwalimu nataka kuja kwenye ibada nizid kumuona mungu
Nimebarikiwa na neno🙏🏾
Asante MUNGU kumtumia mtumishi kutuletea somo zuri
Mubalikiwe sana mmenifunguwa Mimi niliumwa mapepo mda mlefu kupona hakuna hilo ilikuwa inazidi kuwa mbaya kama ulivyo ongea mimi ndo niliyapa mlango mungu anisamehe saana dhambi zote nilizo fanya
Hapa kuna kitu cha kujifunza sana 🙏.Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana Mchungaji neno hili Lina ngumvu kabisa pia uweza kwa kila anayebahatika kushiriki somo hili🙏🙏 🙏
Na watch nko Kenya be blessed man of God
Amen 🙏 for revelation kusudio ya hili pepo kuwa halika ao kutafuta wengine saba
Ubarikiwe Ndugu yangu kwa Neno nzuri ya Mwenyezi Mungu Baba, akubariki...
Ahsante YESU WANGU
Amen...nabarikiwa na huduma
mafundisho mazuri nashukuru naona mbele
Amen 🙏🏿 MUNGU awa bariki
Huyo mtumishi wa MUNGU anayeongoza kundi la waimbaji kweli BWANA amempa kibali cha uimbaji🙏
Mungu atusaidie sana
Ameeeeeeeeeeeeeeeeen
Asante Sana Mtumishi wa Bwana nimeelewa somo
VERY EDUCATIVE 🇰🇪
KTK HILI NA MIMI NIFUNGULIWE
Amen the man of Gos
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
tuned from kenya
Man of God huwa nakuelewa sana!
Amena baba nakuelewa
Man of God huwa nakuelewa sana 🙏
Najiunganisha namaombi
Kila kilicho kinyume na mm ktk ulimwengu wa roho, kupitia madhabau hii, Mungu anifungue kwa kuliangalia agano lake kwenye madhabau hii
@neemaemmanuel4267
2 жыл бұрын
Kanisa hili linapatikana wapi ?samahan
@leonardsr8994
2 жыл бұрын
@@neemaemmanuel4267 Dar, Sinza Mori
@Kofer10
2 жыл бұрын
Amen
Mtumishi maombi Yako yanibarik lakin Jin mahaba linanisumbuwa sina Raha kwenye mahusiano yangu namuomba MUNGU anisaidie
Nilikua naitaji maombi ya kufunguliwa
AMEN AMEN
Pia mtuombee nasi mapepo yote yatukimbiye
Naomba kufanyiwa deliverance
@mandia6913
2 жыл бұрын
San bella mungu akubariki sana
Etii watumishi wanaonekana 0000😀😀😀😀
mimi ni mkenya napenda mahubiri ya huyu mchungaji nikitaka kuwasiliana naye binafsi nitampata vipi kwetu familia imeharibika na uchawi
@Kofer10
2 жыл бұрын
Fridah ni kweli hata Mimi hupenda sana mafundisho yake. Imenizaidia sana. I long if kenya we would get this kind of teachers. It’s very hard to get this kind of the teacher of the word … very very very hard
Neno ni bora kuliko maombi nakuelewa sana Baba likijiumba unapata nafasi ya kujiokoa ww binafsi.. ndio maana Yesu alisema ndugu zangu na mama angu ni wale wanaolisikia neno langu na kulishika
@Kofer10
2 жыл бұрын
Kweli… I learned a lot about that. Heri mafundisho kuliko maombi. I kept that in heart and it has helped me a lot imagine. I have been listening to his teaching very keenly and has helped me a lot
@leytcastle9402
2 жыл бұрын
@@Kofer10 kwakweli ni maarifa ni jambo jema sana...ndio mana hata Yesu walimwita Mwalimu.. Aendelee kutufunza vyema kama Roho mtakatifu anavyomuongoza
@fridafrancis1960
2 жыл бұрын
Ameen
Asante mutumishi Nîmes kufatilia kilasiku n'a ninakua najengwa kabisa kwa somo Niko 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩