Kupiga Miayo katikati ya maombi ni dalili ya shambulizi la kiroho kupitia mhuri wa moto•Mch.Katekela

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 59

  • @user-rv3ck4wb7t
    @user-rv3ck4wb7t18 күн бұрын

    Barikiwa sana Mchungaji Katekela, mahubiri yako ni mema sana yanagusa maisha ya watu. Nimepokea maombi uliyoyaomba pamoja nasi. Bwana YESU ametenda.

  • @phinescah7353
    @phinescah735324 күн бұрын

    Amen amen ,amiel kwa ufafanuzi wa leo wa undani nime soma mengi kuhusu huu mhuri ubarikiwe mtumishi

  • @JenifaIzengo
    @JenifaIzengo19 күн бұрын

    kwa mafundisho haya, mungu yu pamoja nasi hakika anatupenda, kakuleta tupate maarifa tusiangamie tena ktk jina la yesu kristo.

  • @user-cq8nd4ek8w
    @user-cq8nd4ek8w22 күн бұрын

    Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO! Yaan mafundisho Yako, yamenifunza sana

  • @user-hz3rb7vc1x
    @user-hz3rb7vc1x18 күн бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu

  • @nursechunga4470
    @nursechunga447020 күн бұрын

    Yesu akutunze mtumishi wa Mungu, naimani kupitia somo hili na maombi haya nitakuja na ushuhuda🙏

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee24 күн бұрын

    Mimi nikiomba napata miayo mfululizo nachukizwa sana na hali hii Yesu nakuomba uniponye

  • @princessprecious6995
    @princessprecious699515 күн бұрын

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu katakela

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc24 күн бұрын

    Amen

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f22 күн бұрын

    Be blessed more pastor amiel katekela nakupendea ivyo kwa mafundisho mazuri ya mungu nakuongea ukweli aki nabarikiwa sana na neno zuri la mungu

  • @GraceMollel-u3l
    @GraceMollel-u3l18 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu nimejikuta siku hizi nikiwa naomba napiga miayo ikiambatana na machozi yaani mfano wako imejikuta imetoka kwangu

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w24 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu atulinde na mishale itokayo kwenye Giza.

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess384619 күн бұрын

    Amina mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU

  • @janekhanjila3413
    @janekhanjila341320 күн бұрын

    Amen pastor,nasikia kutoka kitale , Kenya,ngombe yangu ilikufa kwa mafundo

  • @user-ye1dt2eb8u

    @user-ye1dt2eb8u

    17 күн бұрын

    Mafundo ndio nini

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q24 күн бұрын

    Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.

  • @CosterMachangu
    @CosterMachangu23 күн бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner23 күн бұрын

    Ahsante Sana mtumishi ubarokiwe,hata mm nasum buliwa kwenye. Eneo Hilo,

  • @angelinamussa7521
    @angelinamussa75215 күн бұрын

    Amina nimepokea

  • @MarakiPatrick
    @MarakiPatrick24 күн бұрын

    Amen mtumishi wa mungu.

  • @RUTHKCHIKIRA
    @RUTHKCHIKIRA20 күн бұрын

    Amen mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na mafundisho haya NAMI nimefunguliwa nasikiliza kutoka Nairobi Kenya.

  • @user-ye1dt2eb8u

    @user-ye1dt2eb8u

    17 күн бұрын

    Ruth nakujua nini,,majina kama yakutokea taita tavete...au

  • @EmmanuelyMafie
    @EmmanuelyMafie19 күн бұрын

    Be blessed pastor

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi3119 күн бұрын

    Barikiwa

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio56668 күн бұрын

    Amen 🙌

  • @user-qc6ns8fx6q
    @user-qc6ns8fx6q21 күн бұрын

    Asante Yesu napokea🎉

  • @ShallothMatowo
    @ShallothMatowo5 күн бұрын

    Mama mkwe aliniambia nitakufanya kitu ujute maisha yako yote.kisa kwanini naomba sana namharibia.fist bone wangu akafa .2bone kisukari wa miaka12uzazi umegoma .umri wangu umenitupa mkono

  • @user-ud1bs8nt3e
    @user-ud1bs8nt3e23 күн бұрын

    Ubarikiwe pastor

  • @upendokikwelele620
    @upendokikwelele62019 күн бұрын

    Asante Mtumishi

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner23 күн бұрын

    Napokea

  • @user-wz6md5bl3s
    @user-wz6md5bl3s24 күн бұрын

    Ameeeeen

  • @ayubumwalongo8267
    @ayubumwalongo826724 күн бұрын

    Mbarikiwe sana

  • @nancykimaru8
    @nancykimaru83 күн бұрын

    Msafili plz tell mtumishi if he teaches hio mihuru,when we find tuko nayo, he should be given us solutions coz we can't all reach himcto pray for is,we are in kenya

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner23 күн бұрын

    Hata mimi nimefungwa nisaidie nitoke nimefungwa ni miaka kumi sasa nimelimitiwa ,kila nilichochuma

  • @denisbongore3098
    @denisbongore309824 күн бұрын

    Mungu tusaidie

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q24 күн бұрын

    Amina , hiyo nimeshuhudia kwenye shamba langu nililima miaka miwili nikaweka na mbolea na lilikuwa karibu ekari moja niliambulia kupata mahindi lita 10 miaka yote miwili yote.

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    20 күн бұрын

    lita 10 unapimaje??

  • @user-os1sr3fy6q

    @user-os1sr3fy6q

    8 күн бұрын

    ndoo ya lita kumi unaifahamu ndo yalijaa humo tu.​@@trophywilson7211

  • @maureennaliaka8936
    @maureennaliaka89367 сағат бұрын

    Yani mchungaji vile niona tu haya maubiri miau ikakuta mara hiyo hiyo eee Mungu ninusuru

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc24 күн бұрын

    Ibarikiwe mtumishi kwamaan mm kila nikiomba lazima miayo ijee na kuna wakati inaambatana na miayo na machozi

  • @user-hc4jv8uz5b

    @user-hc4jv8uz5b

    23 күн бұрын

    Kweli kbxa hata mm

  • @user-ww7jr4vm5u

    @user-ww7jr4vm5u

    23 күн бұрын

    Hata mimi kweli Mungu atusaidie sana katika jina la yesu🎉

  • @JacquelineAron

    @JacquelineAron

    13 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉​@@user-ww7jr4vm5u

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh23 күн бұрын

    Nimekuelewa baba

  • @nancykimaru8
    @nancykimaru83 күн бұрын

    I mean kow to pray to break it

  • @SaraAbudalla
    @SaraAbudalla20 күн бұрын

    Hello ❤❤❤❤❤❤

  • @angelinamussa7521
    @angelinamussa75215 күн бұрын

    Naamini nimepokea na nimepona

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi791922 күн бұрын

    Lakini maombi ya nguvu za damu ya Yesu Christ inavunja hizo nguvu zoto za kichawi

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    20 күн бұрын

    ndiyooo

  • @UpendoChurch-u6c
    @UpendoChurch-u6c18 күн бұрын

    Iko wapi Kwa maandiko

  • @DANIELMWAKABUTA
    @DANIELMWAKABUTA11 күн бұрын

    Mtumishi uliwahi kuwa muslimu?

  • @NeemaSulle
    @NeemaSulle19 күн бұрын

    Mch KATEKELA NAOMBA NAMBA YAKO NI MUHIMU SANA.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson721120 күн бұрын

    Hauitwi Mrundi unaitwa Muundi

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    20 күн бұрын

    Kwa lugha yako,ila wengine tunajua ni murundi.

  • @Frosita
    @Frosita24 күн бұрын

    Mtumishi hii ibada unaifanyia wapi?

  • @neemamassame8183
    @neemamassame818324 күн бұрын

    Unapokuwa kwenye maombi ya vita halafu mtu anashikwa vichomi vikali mbavuni pande zote maana yake nini mchungaji?

  • @ChristineDama-wf3sd
    @ChristineDama-wf3sd24 күн бұрын

    Amen

  • @user-os1sr3fy6q
    @user-os1sr3fy6q24 күн бұрын

    Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani613322 күн бұрын

    Amen

Келесі