ALIKUFA NA KUPELEKWA ZIARA YA MASAA MATANO MBINGUNI KISHA KURUDI|Ushuhuda wa John Paul
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 193
Amen Mungu wa mbinguni unisaidie nikujue zaidi
😭😭 Yesu anatupenda sana Na upendo wake hauelezeki tutubu dhambi zetu na turejee kwake
Kweli Mwenyezi Mungu nisaidie kumalizia vyema kama mtume Paulo, ni wachane na na hii kasumba, na vtuko vilivyo jaa kote ulimwenguni, mpaka tunsahau Mungu yuaja hivi karibuni na ujira mkononi, Asante mtumishi
Mungu nisaidie nakuomba nisaidie ktk maish na mienendo yangu unisafishe katik roho wako mtakatifu, nikujue zaid , ufanye jambo jipya katika njia na mapito ya ulimwengu.❤
MUNGU wetu nakuomba unisaidie niishi maisha ya kukupendeza wewe nakuomba MUNGU 🙏😭tusaidie waona hatuwezi bila wewe tuhurumie tuishi maisha ya kukupenzeza wewe.
@DariaDeusdelth
Жыл бұрын
Bila Mungu ss si lolote ,so chochote. Na Dunia tulimo ni tambara bovu na kuti kavu yaani maangamizi. Ee Yesu tukumbatie Mikonon mwako...
Ushuhuda huu ni wa kweli. YESU KRISTO WA NAZARETH Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana utukuzwe milele.
Nisamehe makosa yangu yote nirehemu nitakase. yote niliyofanya kinyume na mapenzi yako.NAKUHITAJI BABA NAKUITA MUNGU WANGU.
Mungu naomba mwisho mwema nakutenda mema kwahidunia
Yesu wangu naomb a unisamehe makosa yangu...futa jina langu kwa kitabu ya mauti andika jina langu kwakitabu ya uzima wamilele jina lako nitalitukuza milele na milele
Bwana Yesu asante kwa Ushuhuda huu, tujalie kufika kwako kwenye utukufu mkuu🙏
Bwana Yesu,umesema nami,naomba unisaidie kukuishi wewe,ili siku hiyo niwe miongoni mwa mabibi arusi
Yesu naomba niwezeshee kuishi maisha matakatifu ya kukupendeza wewe
Yesu naomba unirehemu, nisaidie nimalize mwendo salama.
Bwana YESU KRISTO aachilie msamaha kamili ndani yangu nipate kulithi mbingu ktk jina kuu la YESU KRISTO Amina
Eeee Mungu wangu uni wezeshe niishi maisha y’a ku ku pendeza , na unipe mwisho muzuri kwa jina la yesu kristo. Amen 🙏
Mungu wangu nisaidie natamani uzuri wako pendo lako tuokoe babayeeee na ulimwengu huu wa tabu shida mateso yesu tuangazie neema zangu tena
Yesu nipe kushinda ondoa dhambi zangu nipe Moyo wa kuyaishi uyapendayo nipe kukupenda hatimae nikuone🙏
@dafrozaraphael5547
Жыл бұрын
Yesu nipe kukupenda na kukuishi wewe ❤
@eunicechege1104
Жыл бұрын
@@dafrozaraphael5547 😊 y 😅
@cornelioelibariki190
Жыл бұрын
Yesu nikumbuke kwenye ufalme wako
@saenyiwandambwa1220
Жыл бұрын
Yyfyh6yhy yyyyh hhh😢
Ohh my God, MUNGU nipe kukujua wewe na unionyeshe njia zako maana bila wewe yesu siwez maana safari ni ngumu sana karibu ndani mwangu na usafishe moyo wangu
Yesu naomba nisaidiee niwezee kuingia kwenye mji udumuoo milele na kufurahiii milelee yote
@paskalinathomas5973
Жыл бұрын
Yesu naomba niwezeshee kuishi maisha matakatifu ya kukupendeza wewe
Nice testimony Eeeeh Mungu nisaidie kujitakasa ili ni iishi na wewe milele na milele
EE YESU NAOMBA NIKUJUE ZAIDI NIWEZE KUSOMA NENO LAKO, NIWE NA HEKIMA NA BUSARA NIWEZE KUKUJUA ZAIDI NIWEZE KUPONYA WATU ,KUSAIDIA YATIMA NA WASIOJIWEZA.NIWEZESHE BABA
Yesu nisaidie mwanao niweze kuingia katika uzima wa milele🙏🏼
Asante Mungu atujalie neema ya kutunza Imani zetu
Eeeeh Bwana Yesu naomba unipe mwisho mwema 😭🙏
Mimi ni mwenje zambi nakuja kwako Bwana wangu' nioshe thambi zangu niuone ufalme wako. Na uimidiwe Bwana Yesu kristo !!
Aissee Yaani ninajutia Sana mda niliopoteza kwenye uganga na wizi na uchawi
@gerardineakima1766
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
Ewe MWENYEZI MUNGU nisaidie nikae katika njia zako🙏
Mungu unisame Zambi zangu zote, unirehemu
MUNGU wambinguni atusaidiye tusiikose mbingu sifa nashukran tunamregesheya MUNGU wambinguni Amina
Amen 🙏 YESU atuwezeshe
Amen..naomba nimuone Yesu na ufalme wa mbiguni
Asante kwa ushuhuda hii Leo ninageuka na kumurundia Yesu Kristo
@gerardineakima1766
Жыл бұрын
Amen Amen Amen Mungu akubariki
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@sylviamalyi3537
Жыл бұрын
Bwana Yesu nisaidie mimi na uzao wangu na ndugu zangu tuwe na mwisho mwema wa kukutana na kukaa na Bwana Yesu Kristo kwenye ufalme wa mbinguni.
Mmh mungu atusaidie tufike kwake tusipotee
Oh my God.... I have listened carefully. Everything in this testimony is biblical. I have experienced some incidences in my dreams. I need you oh God more than anything else here on earth.
@DariaDeusdelth
Жыл бұрын
God is everything in our lives. May we pray to the Holy spirit to lead us to know him well and his ways better! Be blessed in Jesus name!
Promover Tv Mungu Awabarikieni
Yesu naomba msamaha wa dhambi. Nioshe na damu Yako Yesu
Create in me a Clean Heart Oh God and renew a right spirit within me... So that l can have a Golden chance to worship forever ni Heaven! AMEN.
May Jehovah God help us,this are times of repentance and Holiness, revelation 22:11-14.
YESU NAOMBA KUURITHI UFALME WA MILELE UNIPE NGUVU ZA KUKUTUMIKIA MUNGU WANGU UNIPE MWISHO MWEMA NA FAMILIA YANGU AMINA
Njoo kwangu eeh Yesu wangu nakuhitaji katika maisha yangu .
Napenda kujua zaidi kuhusu mambo ya kimungu
Asente jactan Msafiri kwa ushuhuda kama mimi jigika Sana na mombo ya binguni
Mungu wa nakuomba onisamee kwa yale yote mambaya nimetenda mbele zako.Akika ww ni nuru na mwangza wa uzima wa milele. Naomba oni saidi kurejesha nafusi yangu iliopotea jambini.nisaidi niwe mtu wa ukweli mbeli zako hapa duniani na pia binguni.jina lako linuliwe milele na milele Amini.
Mwenyezi Mungu atutetee na atupiganie.😢
Oooh my God ushuhuda mzuri sana hakika huu ushuhuda umenijenga sana katika kiimani yangu asante sana Amen 🙏🙏
Soo touching,Yesu naomba nikutana na wewe
Ameen asante kwa ujumbe huu hakika .nimejuwa mengi na na omba mungu aniwezeshe yale nisiyoyaweza
Eeeh Yesu tunakuomba utuwezeshe
So amazing ,I try to listen well and carefull may God protect us🙏🙏
Bora hata wewe unasema ulikwenda ukamuona na Maria mama wa Yesu❤
Tuna barikiwa Sana,Mungu awatie nguvu katika huduma hii
@christianmarkus3482
11 ай бұрын
Unabarikiwa?na uongo kwani ujuwi kwamba wafu hawajuwi. Neno huku unajiita pasta
Thanks for the testmony be blessed
Nyie yesu alisema msipo wamini manabi nawakina mussa nawegine hata Kama MTU akitoka mbini hawatamin aminini2
Yesu kristo anisaidie niingie mji ule na kumwona yesu wangu, anipuguzie shida za Duniani...
@pleystill9913
Жыл бұрын
Amina Mungu atutie nguvu tubadirike. Tumwamini yeye
Good help to inherit the kingdom of God
Amen amen.....What a beautiful testimony...Life is spiritual. Heaven and hell is real...and Jesus is the only way to heaven....
@DariaDeusdelth
Жыл бұрын
I believe and agree with you! May God save us from all evil in this world!
@benardmasue1851
Жыл бұрын
Amina Ee Mungu mwenyezi tusaidie tuya tende Yale mema ili tuweze kushiriki nawe kwenye huo mji Mtakatifu wadhahabu Ee mwana wa Mungu tupe nguvu na ujasiri wa kupambana na yule imbilisi shalom
Eeh Yesu nipe imani nishinde ya dunia hii AMINA.
Yesu 2saidie😊😊😊 2tende mapenz yako 2 mwil usitukoxeshe mbingu
Bwana wangu YESU nipewishi muzuri
Ee Yesu naja mbele yako nikiwa mchafu mtenda dhambi unisamehe makosa na unipokee Babaa,Oo Jesus may you give me a spiritual ears,eyes and understanding to hear what people cannot hear,to see what people cannot see and to understand what people cannot understand in Jesus name
Mungu naomba unisamea makosa yanyu najua SI sitahili mbele zako lkn mungu turehem Ili tukaone ufalume wa mungu na nikaingia ufalume wa mungu nikaingia kwenye lango lako eee mungu ni nisamea Ili nione ufalume wako😭😭😭😭🧎🧎🧎🧎🧎🧎
MUNGU akubariki sana tena sana Glory to God 🙏🙏 kwa ushuhuda huo
Yesu zidi kutusameha Na kutakaza mioyo yetu . AMEN yesu pkea Sifa Kwa ujumbe Huu.promover tvhongereni.
@tantinebrijitte6818
Жыл бұрын
😅
Ooh Bwana Yesu nipe neema ya kufika kwako dunia ina mengi magumuu
Ee baba wanao 2saidie mawazo akil njia zetu zifanane nazako mawazo yangu yawe yako yesu2saidie wanao🙏🙏🙏
Amen 🙏🙌 am humble Man of God more anointing more Grace as you continue with the work of God 🙏 Amen shalom
Ee mwenyez Mungu nisaidie kuishi maisha matakatifu il nije niulis uzma wa milele
Amina mungu atujalie na sis pia tuhuone hufalme wa mungu
Mungu nisaidie nipate kuishi muda mrefu duniani
Ee Bwana naomba rehema na neema yako juu ya maisha yangu! Niyaishi mapenzi yako! Yesu nakuomba 🙏
Bora niamini mungu yupo alafu nisimkute,,, nageuka naacha maovu kuanzia Leo ee MUNGU nisaidie
Mungu naomba unirehemu mimimkosefu naanguka mbele yako
Eee Bwana Yesu naomba unisamehe Mimi mwenye dhambi
Amen 🙏 .. Napenda kuskiza shuhuda kama hizi, zinajenga Imani. Atleast ukiambia watu mbinguni ni ukweli, na jehanamu ni ukweli pia. Mtu achague njia yake kwa sababu wokovu ni mtu binafsi.
@christianmarkus3482
11 ай бұрын
Jiulize swali tangu lini ulisikia MTU ameendambinguni akarudi?
@mildredalalia14
11 ай бұрын
@christianmarkus3482 Where do you come from? Continue arguing, that's your own problem. Have you never heard that someone died and, after some time, resurrected again? These things do happen. Heaven is real, and he'll is real too. Choose your path wisely, and stop arguing about things that do not help you .
AMEN MUNGU akutangulie kwa kila jambo
Waaa nangopa lkn naomba mungu hanipe nguvu y kushinda ulimwengu huu wa dhambi bila mungu hatuwezi
@AminaHaule-qj9ot
11 ай бұрын
Ee mwenyezi mungu uturehemu wanao tunaangukia pua utujalie roho ya kujishusha
Amen Amen 🙏 🙌 natimai kuna part 2 my brother jactan be blessed with all ur team nawapenda bure
Ameeeen MUNGU ANA RUDI
Balikiwa sana
Unisamehe makosa yangu yote bwana
Amen may God open for as ooooh lord
Such a moving testimony Godbless you jactan and may God help us live in His likeness eventually inherit His kingdom
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Amen amen
@simaferdnand6962
10 ай бұрын
@@PromovertvTz I Www awWaWWWWWWWWWWW amina aaaA
Ushuhunda mzuri huyu na nimekawia sana sijawatch of late I was not ok bt now I'm back thanks a lot mtumishi Jactan na promover tv
Amen Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kazi unaoifanya
@zainethngongolo8217
Жыл бұрын
😢
Asante kwa ushuhuda huu
MUNGU nifundishe kukutumainia😢😢
Encouraging gospel news thank you promover TV.
@HopeMitula-yb4hr
Жыл бұрын
Amina mungu akubaliki🙏🙏☀️
@HopeMitula-yb4hr
Жыл бұрын
God help you and me to see heaven🙏🙏🙏☀️🙂🏃
Yesu nakupenda nisamehe yote yasiyo kupendeza kwangu ili nirithi ufalme wa mbinguni mkumbuke mtoto wangu katika uzima wa milele
Yesu nisaidie na unisamehe 🙏 niliyokutenda ninayo yajua na nisiyo yajua 😢😢😢😭😭
@annadaudi3114
Жыл бұрын
Utuhurumie eee bwana
Glory be to God almighty
Asante sana kwa matumaini haya mapya sikuwa najua kwamba Musa Abraham wakiwa mbinguni miili ya umri mdogo ni upendo ulioje kwetu sisi ambao tumeyasikia haya.
@dorcasmasinde7349
11 ай бұрын
Tuna heri ambao tumeupata huu ujumbe ulio mkuu.
@PromovertvTz
11 ай бұрын
Amen amen
Ameni
AMEN
Mungu nisaidie
Ee MUNGU turehemu,😭😭na utusaidie tupate kuishi vile upendavyo
E mungu wangu Nisaidie nishinde hiyi dunia
@anjelinaadonga8033
Жыл бұрын
Mungu nisaidie
🙏🙏yesu Kristo nitakapokata roho malaika wanisafirishe na hill Gari LA mbinguni yesu anikubatie :Mara mingi huwa na huzunika moyoni mwangu ;ila naamini nitamiliki mbingu pamoja na yesu:nisaidie Sana bwana maana siwezi bila ww:
@mercykasyoka4007
Жыл бұрын
Amen
God bless promover❤tv
Good job
@bonifasiemanueli21
Жыл бұрын
Pamojaa daima
Ee Bwana yesu turehemu maana tuna hari mbaya